HAIJAWAHI TOKEA MELI KUBWA HIVI KUJA TZ, WATU ELFU 2,210, INA VIWANJA VYA MPIRA, PAKUTUA HELIKOPTA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024

Komentáře • 120

  • @kelvintowo4287
    @kelvintowo4287 Před 7 měsíci +12

    Imetoka Mombasa imekuja Dar inaondoka inaenda zake Mozambique , hakuna cha royal tua apo ao wanazunguka dunia nzima 😁😁

    • @amosiabdulallh7965
      @amosiabdulallh7965 Před 7 měsíci

      3:31 3:33
      Kwahio Mnataka iwe yakwenu

    • @ototek8037
      @ototek8037 Před 7 měsíci +1

      Nimekuelewa, jamaa analeta siasa..kwahiyo tulitangaza vivutio vya Africa nzima au Tanzania tu!? Jamaa anatuona wajinga

  • @erickben774
    @erickben774 Před 7 měsíci +1

    poleni sana Tz mko nyuma sana biidi mwimu ..frm KENYA

  • @mwebrannia
    @mwebrannia Před 7 měsíci +3

    Someni bhana msidanganye watanzania wasiojua kusoma, watu wataanza kusema "norin gen dawn" ndo nini sasa, at least Mkurugenzi mkuu wa board ya utalii TZA kasema "Norwegian Dawn" 👏🏼👏🏼👏🏼

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 7 měsíci +2

    Hongereni saaana , naona Uongozi wa Bandari Sasa una jambo, Wananchi tunapenda update kama hizi, Kisheria nyie mmepewa dhamana tu ya Kuongoza lakini Bandari ni yetu wote, naomba mzidi kuwa wabunifu na msibweteke, Ukisikia watu wanamsaidia Rais ndo hivi, Sio Watumishi wa Temeke wanashindwa hata kujenga Soko la kisasa kama walivyofanya watumishi wa Kinondoni pale Mwenge, tunapenda watumishi wabunifu sio kukalia Posho tu

  • @MohamedSaid-jx3df
    @MohamedSaid-jx3df Před 7 měsíci +4

    This vessel called CRUISE SHIP in other hand called PASSENGER SHIP,, She has go alongside the berth without required assisting of harbour tug because of existence of bow thrust,, Congr Tanzania Government lead by Mama Samia suluhu for your strategy of devlp project in different sectors and boost up our Economy,,,,Am from Tanga 20 treet

  • @mayaally2512
    @mayaally2512 Před 7 měsíci +8

    ALAFU NYIE TRC HAMUMUELEWI MAMA MABEHEWA YA TREN YAMEFIKA MUDA BADO NAYAONA HAPO .MAMA AWATUMBUE SHENZI NYIE

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1n Před 7 měsíci +6

    Hongera sana kwa Utalii wetu kukua na kuongeza uchumi. Rais wetu hongera sana!

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před 7 měsíci

    Mrisho Mrisho, hongera sana kwa kuitangaza nchi yetu kwa matukio haya.

  • @wemakalama6458
    @wemakalama6458 Před 7 měsíci +1

    Atleast watoto wetu wali enjoy kenya big up , all the best

  • @deogratiuskapongo4568
    @deogratiuskapongo4568 Před 7 měsíci +19

    Siku hizi watumishi wa serikali wamekuwa wanasiasa, badala ya kuizungumzia meli na lengo la safari, yanazungumziwa maboresho bila kuulizwa swali

  • @amanichaula1
    @amanichaula1 Před 7 měsíci +5

    Tunasifia kuja kwa meli wakati taifa ipo kwenye giza goverment waujumu uchumi leo wamepoteza mapato mengine sana na watu kukosa ajiri tunacha kutatua tatizo la umeme tuna sifu tu meli kubwa umekuja ata sisi tuna mali kubwa zipo kanda ya ziwa hao wazungu watatupa nini maisha yana zidi kuwa magumu tunataka umeme tuzalishe mali mnazingua na meli yenu

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 7 měsíci

      Hapo hapo watatuachia na magonjwa yao ndo tujue hatujui😯😯

    • @athumanabdallah-hn6li
      @athumanabdallah-hn6li Před 7 měsíci

      Nyie baba zenu walkosea kuwaza pumbavuzenu

    • @amanichaula1
      @amanichaula1 Před 7 měsíci

      @@athumanabdallah-hn6li ukweli unauma na ukweli utakuwaka huru

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm Před 7 měsíci

    Si mlikua mnasema bandari imeuzwa 😂😂, watanzania ujinga royal tour mlisema mama alitumia pesa za nchi vibaya wabongo tuache ujinga

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j Před 7 měsíci +2

    Nilichoona Mimi hii meli ina nembo ya ushoga nafiri ndio lengo hasa la wao kutembelea nchi za afrika hususan Zanzibar na vijana wengi wamekua mashoga hususan Zanzibar

    • @user-zi1lr8wk3w
      @user-zi1lr8wk3w Před 7 měsíci

      Na baba yako pia shoga

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 7 měsíci

      @@user-zi1lr8wk3w Babake hawezi kuwa shoga asingeweza kumtengeneza😓😓

  • @florashauri9228
    @florashauri9228 Před 7 měsíci

    Hongera sana Rais wetu kwa kuiongoza nchi yetu vizuri na kuikuza sekta ya utalii, hongera sana Manahodha wetu , hongera Mamlaka ya Bandari Tz, hongera sana board ya utalii Tz,Mungu ibariki nchi yangu nzuri Sana ya Tanzania

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 Před 7 měsíci

    Mbona kenya imefika na viongozi awajawa na promo za siasa ivo 😂😂 ao wanapita tu bahari ya indi na wanasepa

  • @MrSam700
    @MrSam700 Před 7 měsíci

    Mbona ka Naona kila anayeshuka mzee waliojichokea wanasubir kufa😂

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 7 měsíci +3

    mlisem meli yenye ulefu wa mita Zaid ya mia 150 haiwezi kutia nanga bandali ni ndogo ndio mana kapewa muarabu sasa hii imetua wap nchi kavu

  • @danielmussa6944
    @danielmussa6944 Před 7 měsíci +8

    Haya mambo ya kupokea wagen huku mnacheza Cheza ngoma ni ya kishamba sana 😂😂

    • @kelvintowo4287
      @kelvintowo4287 Před 7 měsíci +2

      Wanaona ka manyan hawa

    • @mwebrannia
      @mwebrannia Před 7 měsíci +1

      Bora hata umesema mana nlikua nashangaa sasa wanacheza nini? kipi cha ajabu yani,

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 Před 7 měsíci +1

    Wakati tunashangilia ujio wa hiyo meli tusijisahau swala la kiusalama! Make kwenye msafara wa mamba hata kenge wamo!

  • @IAm_Significant
    @IAm_Significant Před 7 měsíci +6

    At Last! kwa kweli tujivunie...Cruise Ship in Dar es salaam, na sie tuwe kwenye cruise destination! IamSoProud

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 Před 7 měsíci +2

    ilikuwa mombasa hiyo but wabongo mpaka viongozi wao wanapenda kiki,,,kenya ilifika lakini viongozi hawakuongea hivo😂😂😂

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Před 7 měsíci +1

    Wanakuja kuongeza ushoga 😂 noma sanas

  • @salummussa1139
    @salummussa1139 Před 7 měsíci +1

    Hizo mita zilotajwa ni sawa na urefu wa viwanja vitatu vya mpira wa miguu

  • @agapemunyi2095
    @agapemunyi2095 Před 7 měsíci +4

    Awam ya tano iliongeza kina cha maji na kuchimba bahari, zanzibar ilitia nanga mbali sana

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 Před 7 měsíci

      hujaulizwa kuhusu awamu ya ngapi nini kimekuwasha mwangaruka ?

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go Před 7 měsíci

    Wametoka Zanzibar ndipo wakaja Tanganyika

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 Před 7 měsíci

    Duuh 😮

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 Před 7 měsíci

    Iyo meli inapita kila nchi ikitoka apo inaenda kenya itaenda Mozambique south ivo mpaka mataifa mengine msilete usiasa sijui nani sijui nani da!

  • @quickbookingzanzibar
    @quickbookingzanzibar Před 7 měsíci

    Nimeshawaelewa. Kilichobakia ni sisi raia tutapandaje meli kama hizo. Asante

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Před 7 měsíci +1

    Huyo muongeaji Hana uwakika ilipotokea 😂mana Ana waza majibu

  • @CK-ri1mo
    @CK-ri1mo Před 7 měsíci +6

    Royal tour inatokea wapi hapo ?????

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 Před 7 měsíci +1

    Hawa mi nahisi ndio wametuletea ugonjwa wa Macho Red eyes"

  • @kariz_3264
    @kariz_3264 Před 7 měsíci

    meli imefunika bandari haionekani😂😂😂 maisha haya nyie mungu ya balance hapo kidogo na sisi tuishi..tusishindikize wenzetu

  • @mrrockboy9508
    @mrrockboy9508 Před 7 měsíci +1

    Uuu utumwa mpakalini ao wanaocheza apo wanamanisha nini kama sio uboya

  • @user-zi1lr8wk3w
    @user-zi1lr8wk3w Před 7 měsíci +1

    Iyo meli ilikuwa zanzibar aache uwongo

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 7 měsíci +1

    kweli kwetu washamba mbona hizi meli zipo kitambo sana toka mwana 19930 hasa kampuni ya CMCC inazo nying kweli unaweza ukapanga nyumba ukawa ukawa unazunguka nayo kila pahali huduma zote zipo maduka hospital hoteli sehem ya michezo mpara jim kuogerea yani swim pool kila kitu kama nyumbani2

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 Před 7 měsíci

      Ujaambiwa ushamba kina kilikua kidogo meli kama iyo ilikua aiwezi kuingia ndo maana ata tanker kubwa zinafunga SPM ,

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 Před 7 měsíci

    Kwaiyo mfano ilipokuja apo nilijua wataongea watu wa Dubai na pesa za parking wanachukua watu wa dubai ama vp

  • @evaristsamali5858
    @evaristsamali5858 Před 7 měsíci +3

    Karibuni wageni zingatieni maadili yetu

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 Před 7 měsíci +1

    KARIBUNI WAGENI. AYA NI MATOKEO YA FILAM YA MAMA. ILA msituibie jmn.

  • @highlights973
    @highlights973 Před 7 měsíci +2

    Wadau umeme vp maana unakatika kama sifa😅

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 Před 7 měsíci +4

    Utazani yetu

  • @yasiniswedi8835
    @yasiniswedi8835 Před 7 měsíci

    Kwaufisadi na lushwa zilizo kisili katika nchiyetu ujio wa hizomeli utakuwa natija kweli kwa taifaletu?

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. Před 7 měsíci +1

    Hio meli ya diamond platinum

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 Před 7 měsíci +2

    Nasikia Harmonize kaghaili kununua private Jet sasa ndio anataka kuinunua hii Meli# Hongera Konde Boy🎉

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd Před 7 měsíci +1

      we nae usichekeshe watu huyu konde hana uwezo wakuinunua hii hata uyo boss wake simba hawezi hii meli inauzwa dolla billion miamoja huko marekani china finlend na korea kusini pya

    • @jumaamohamed2815
      @jumaamohamed2815 Před 7 měsíci

      @@ScopionScopion-zj9cd Sasa si ndio naskia ameghairi kufungua kituo cha redio na Runinga na kununua iyo Jet anataka kununua hilo Meli wakatembee huko Baharini na Posh Queen, maana vile viboti vya slipway Posh vinambana hips hazitoshi kwenye kiti"

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 Před 7 měsíci

    Tunachekelea meli huku mnashindwa kuendesha bandari tunawapa wawekezaji hii ni aibu, tuko mil60 hatutakiwi kushindwa jambo, sekta ya umma iwe bora kuliko wawekezaji ,tunahitaji viongozi wenye uwezo huo wanao shindwa wa p ishe

  • @user-dt1ez2jv9h
    @user-dt1ez2jv9h Před 7 měsíci +2

    Jamani mtukumbuke na ziwa Tanganyika huku hakuna meli

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 Před 7 měsíci

      Zinatemgenezwa moja mpya na kuirejshea upya mv liemba

  • @zahramohammed2337
    @zahramohammed2337 Před 7 měsíci +1

    😅madanga nnjenje jamani😂😂😂😂

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Před 7 měsíci +1

    Ushamba tu

  • @barakakephasi4741
    @barakakephasi4741 Před 7 měsíci +3

    Tunapataje ajira huko dAh

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Před 7 měsíci +1

    Mnaitana na meli jmn

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe Před 7 měsíci

    Mmmmh sasa hao wa mama mmeweka wacheze hao lengo nini?

  • @hajiameir8688
    @hajiameir8688 Před 7 měsíci +1

    Mbona wabongo mnapenda sifa hiyo meli ilikuwa zanzibar na tumekaa kimnya kwani tumeshayazoea nyinyi huko ni gumzo acheni hayo mambo

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 Před 7 měsíci

      C hamna vyombo vya habari ,Nyinyi kazi yenu kupiga umbea tu vibarazani ,kwani ikionyeshwa tatizo liko wp?

    • @Thekidp3702
      @Thekidp3702 Před 7 měsíci

      Acha mawazo hasi Kwani kai ya media ni nini?

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 Před 7 měsíci

    Tutajutia ujio wa meli hizo wenzet wanajitambua endeleen kufagilia tu adi zitakuja mnaziita za wataliii zaid ya hiyo

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 Před 7 měsíci

    Kwani mombasa napo royal tour ilifnywa na Rais wao?

  • @user-ec7tn9zp6k
    @user-ec7tn9zp6k Před 7 měsíci

    Duuuh

  • @hassanmsonga
    @hassanmsonga Před 7 měsíci

    WANGEAGIZA SUKARI KWANZA KWA WINGI NINGEONA WANATUJARI WANANCHI WAO

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 Před 7 měsíci

    Jengo liboreshwe tafadhali linatia aibu

  • @piterasifa3757
    @piterasifa3757 Před 7 měsíci

    Hi kubwa kuliko iliyoleta magari 4000

  • @Fesary
    @Fesary Před 7 měsíci +2

    Marubani, 😢😢

  • @abdallahchande2913
    @abdallahchande2913 Před 7 měsíci +1

    Kwani inauzwa?

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 7 měsíci

      Eeh...wamesema laki 2 bila hao abiria, ikiwa na abiria laki 3😃😃

  • @dismasdastan5493
    @dismasdastan5493 Před 7 měsíci

    Cruise ship

  • @abdallahkisuda4859
    @abdallahkisuda4859 Před 7 měsíci

    Najiouliza hakuna mwandishi ameuliza itakaa kwa muda gani?

  • @user-iw4el8ec6i
    @user-iw4el8ec6i Před 7 měsíci +4

    Hyo meli ipo znzbar

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 7 měsíci

      Achaga ujinga basiiii !!!!

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 7 měsíci

      Ashukuriwe alieleta wazo la kuongeza kina na upana wa mlango...

    • @wolinet1
      @wolinet1 Před 7 měsíci +2

      Google waongo. Yaani uki translate kiswahili kwenda English ni majanga

    • @shabanponera2895
      @shabanponera2895 Před 7 měsíci

      Imetoka Zanzibar ndio imekuja dar

    • @nuhumaalim4976
      @nuhumaalim4976 Před 7 měsíci

      Sasa si ushaambiwa inatoka zanzibar ww

  • @testmyphone1305
    @testmyphone1305 Před 7 měsíci

    ukisema haijawahi tokea meli kubwa kuja tanzania na si tunaona inekuja tanzania unatuchanganya

  • @amirymdee4259
    @amirymdee4259 Před 7 měsíci

    ***Hao siyo watalii ni wakimbizi wanakimbia vita Ulaya***

  • @samasob8233
    @samasob8233 Před 7 měsíci

    huyu jamaa anavyoongeaga utafikiri dah

  • @hamisikitwana7957
    @hamisikitwana7957 Před 7 měsíci

    HACHENI UONGO WALISHAKUJA ZAIDI YA HAO

  • @user-bs7dj7ps9g
    @user-bs7dj7ps9g Před 7 měsíci

    Wamefata nini

  • @abbumwaipopo2940
    @abbumwaipopo2940 Před 7 měsíci

    Hongereni🎉

  • @jerrywilliamz1795
    @jerrywilliamz1795 Před 7 měsíci +1

    Tz jengen cruise ship yenu achen kushangaa vya wazungu

  • @HamisiMakasara-hb3nt
    @HamisiMakasara-hb3nt Před 7 měsíci +1

    Na mpaka rufaa ikisikilizwa, tutakuwa tumeshaingiza meli za kutosha, na dolari nyingi

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk Před 7 měsíci +1

    Chuma hiyo inakata wimbi

  • @Allybinamour
    @Allybinamour Před 7 měsíci

    meli hii ilipokuja zanzibar imetia nanga nje hakuna bandari yakufunga meli kubwa,wala serikali yetu haijasema inataka kuboresha bandari yetu. hii ndo faida ya muungano wetu.

  • @clementmsenga2485
    @clementmsenga2485 Před 7 měsíci +3

    Fanyeni mjenge waterfront yakisasa kupokea hizo meli,amuoni hata aibu kupokea wageni kwenye hicho kibanda

  • @prezyb1699
    @prezyb1699 Před 7 měsíci

    Watanzania tutaacha lini kusujudia wazungu