DULLA MAKABILA amdiss ZAIYLISSA kwenye wimbo mpya ‘Jitahidi mzungu asijue kuwa hujui kupika’

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
    play.google.co...

Komentáře • 116

  • @user-dt9sy1og4b
    @user-dt9sy1og4b Před 7 měsíci +6

    Pole sana kaka ang dullah allah atakujalia nawe utampata aliye sahihi kwako mwenye upendo wa dhati

  • @aishaabdul9287
    @aishaabdul9287 Před 7 měsíci +7

    Sometimes we stay single not because we don't need love we just tired of lies and broken promises

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny Před 7 měsíci +2

    Tumuombe mungu ,usijali zay huo ni wimbo TU, huyu Dulla apambane na nyimbo yake ,yeye mwenyewe anabadilisha wanawake kama nguo,sisi hatujali na huyo nyimbo yako zai atakaa maisha milele

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Před 7 měsíci +13

    Kubali kuachika Dulla😂😂😂😂

    • @husnaabdallah886
      @husnaabdallah886 Před 7 měsíci +1

      Ukiachwa achika🤣🤣🤣🤣

    • @Mariam-fm8vq
      @Mariam-fm8vq Před 7 měsíci

      @@husnaabdallah886 alalamika mpaka kutoa na wimbo banae 😂 😂 😂

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats Před 7 měsíci +6

    Sifa za mke wangu.
    1. Ajue yeye ni Mke,
    2.Awe na hofu ya Mungu,
    2. Jue kupika📌.
    (Uzuri na kila kitu atakua navyo baada ya me kumchagua hivyo ndio abaki navyo)

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před 7 měsíci +21

    😂😂😂sijawahi kusikiliza wimbo ila kwa huu ishallah naisubiri ni tamu balaa

  • @kiatu
    @kiatu Před 7 měsíci +14

    Lakini sidhani kama hiyo siri ni kipika, mbona hilo jambo kawaida, hapo ni fumbo nadhani.

    • @user-vy2bc6xg3i
      @user-vy2bc6xg3i Před 7 měsíci +1

      Sio fumbo hata mume aliyezaa nae aliwahi kusema. Ila mimi naona sio tatizo

    • @kiatu
      @kiatu Před 7 měsíci

      @@user-vy2bc6xg3i Waandishi wazuri huwa hawaandiki mambo ambayo ni ‘obvious”, mara nyingi. Uzuri wa art ni kwamba kila mtu ana interpretation yake

    • @atoshamkingule7258
      @atoshamkingule7258 Před 7 měsíci

      Jiandae bhana harusi ujae😂😂

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo9798 Před 7 měsíci +3

    Mimi . Nafsi yangu inanisuta kweli Zai❤ anampenda Manara… nimeangalia sana , lakini body language ya huyu dada❤?? Sorry that’s me! MK @ UK 🇬🇧

  • @rerisamba
    @rerisamba Před 7 měsíci +3

    Mbona dadako Amina anamulilia Zaiylisa mpaka jana kaa black 😢

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo9798 Před 7 měsíci +1

    Wow!! Ametoa nyongo? ❤ from MK uk 🇬🇧

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k Před 7 měsíci +3

    Sns❤ dullah 🫡🔥🔥

  • @fatumasalumu2869
    @fatumasalumu2869 Před 7 měsíci +10

    Ex kama bado anakupenda kukusema vibaya kawaida sn 😂😂😂

    • @atoshamkingule7258
      @atoshamkingule7258 Před 7 měsíci

      Yawezekana kuna ukweli,wanawake kuna muda tamaa yaongoza,imagine Huyo Mr msemaji angekuwa kapuku, angepewa nafasi

  • @abdiabdi892
    @abdiabdi892 Před 7 měsíci +4

    Dunia ya sasa baadhi ya wanawake ni biashara miili yao maana tabiya yao ni kubadilisha kila mwanaume sasa mwenzangu na mimi ukitaka kuowa ili mwanamke atuliye sahau wimbo sio kama amemdis mtu sema kaelemisha kila mwanamke mwenye tabiya hiyo ila hawohawo wanawake wanaona kama dullah bado anampenda demu ukiangaliya huyo mwanamke hakutolewa bikra na dullah ndio maana wanawake wanatelekezwa na wanaume kutokana na tabia

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 Před 7 měsíci +4

    Kali mnoooo

  • @user-vb6mc5st8f
    @user-vb6mc5st8f Před 7 měsíci +4

    Mimi nimesha sikilidha jamani ngoma ni noma 😂😂😂😂😂😂

  • @lisazainabu3626
    @lisazainabu3626 Před 7 měsíci +4

    Kweri njaaa mbaya sana wanawake nawakumbusha tutafute hela

    • @happynesbaemuhappynes8813
      @happynesbaemuhappynes8813 Před 7 měsíci

      Kabisa my

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před 7 měsíci

      Kwani njaa nzuri ?

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 7 měsíci

      Wanawake wana shida ya akili huyu mzungu anavyooa na kuacha huyu nae anafuata nini? Kuwa kwenye orodha ya wake WA mzungu? 😂😂😂😂😂😂

    • @atoshamkingule7258
      @atoshamkingule7258 Před 7 měsíci

      Ndo maana yake

  • @igihamanuel1
    @igihamanuel1 Před 7 měsíci +1

    Kama hajui kupika, unamfundisha siyo issue

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha1618 Před 7 měsíci +6

    🤣🤣🤣 kupika hukuhuku tunakopika kawaida? Au anamaanisha "kupika".......?

  • @user-nn7uf1mr7x
    @user-nn7uf1mr7x Před 7 měsíci +1

    Njaaaaa mbaya

  • @alphadreammedia
    @alphadreammedia Před 7 měsíci

    Akiachwa tena manara hapa sijui itakuwaje

  • @MasizieRahim-gw1bf
    @MasizieRahim-gw1bf Před 7 měsíci +1

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @sheruajafari1676
    @sheruajafari1676 Před 7 měsíci

    Ngoma Kali tu😂😂😂😂

  • @dottohami
    @dottohami Před 7 měsíci +1

    Dullah makabila ukiachwa achika babu roho bado😅😅 inakuuma

  • @fatmaabeid9668
    @fatmaabeid9668 Před 7 měsíci +3

    Ila dulla aaa😂😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @mwanaidmaulid4763
    @mwanaidmaulid4763 Před 7 měsíci +1

    Tafta ela acha kuimba tarabu hayo mambo wachie dada zetu

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 Před 7 měsíci +1

    Hao wasanii ni wa kila mtu usiwalaumu wamealikwa wameitika....

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony Před 7 měsíci +1

    ase ile ngoma nkwere mm huwa siwagi mpenz wa singeli ila jamaa napendaga sana uandishi wake

  • @user-jn6ec7qv5p
    @user-jn6ec7qv5p Před 7 měsíci

    Ukiachwa achika dullya atulize ahobo

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu Před 7 měsíci

    Kumbe bado unamp enda sana zailisa dullah pole mwaya

  • @user-ov7ge3ci6f
    @user-ov7ge3ci6f Před 7 měsíci

    Ww dula acha zakoo ww umeachna na madem wangap ww acha zakoo ww

  • @rahimaidd
    @rahimaidd Před 7 měsíci +1

    Angel wa konde alishasema hakuna mwamamke atakae weza kuishi na dulla anamapezi ya kisela kutwa kuangaika atulii upo na angel uku alikuwa kashamuoa rahma 😂😂Sasa yeye kayaona ya ex wake tu bado ajasema mpaka aseme

  • @nassirsalim6679
    @nassirsalim6679 Před 7 měsíci +2

    Mimi mbona niliskia mpaka kule kwa LOKOLE ameshafika ama????

  • @mtabevilaini6527
    @mtabevilaini6527 Před 7 měsíci

    Dula anateseka

  • @nassirnassir6903
    @nassirnassir6903 Před 7 měsíci

    Goma kali kuliko pita huku hii fungwa mwaka 2024

  • @bakariathmanathman2187
    @bakariathmanathman2187 Před 7 měsíci +1

    Kaka dula ushauri wangu kiume kiumeni chamsingi vuta socks juu kuendelea kutafuta hela penzi lakweli litakuja tu

  • @user-zd5pc5nc9c
    @user-zd5pc5nc9c Před 7 měsíci

    Haya mambo hayana muda,,,,,,! Niko paleeee,,,,,,! Wataachana tu. Mbwa hao.

  • @happyiskra7484
    @happyiskra7484 Před 7 měsíci

    Ata download application ya upawa EAAASSY!

  • @user-jz7bn2kx9o
    @user-jz7bn2kx9o Před 7 měsíci

    😮kujua kupika ama kutokujua kupika Karne hi sio ishu ni kawaida tu kwa io hamna jipya

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Před 7 měsíci +1

    Ila SNS mtakuja kusutwa, Makabila hajataja jina la mtu 😅

  • @shery-bf8xh
    @shery-bf8xh Před 7 měsíci +2

    ila wimbo mtamu jamani 😂😂😂😂

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Před 7 měsíci +1

    Wivu unakusumbua mbwa wewe ,ndoa imekushinda , muachie manara alemzigo 😂😂😂

  • @nanahmekaupbeautifu237
    @nanahmekaupbeautifu237 Před 7 měsíci

    Kupika ajui tena😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 ila watakula wanako shindaga kuzulula

  • @gasperjohnson3388
    @gasperjohnson3388 Před 7 měsíci

    Kumbe hamna mwanamke humu ni mdangaji ni
    Tu

  • @silverman6930
    @silverman6930 Před 7 měsíci +1

    Haters will hate .. keep crying Dulla .. 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @khumayraabdulla96
    @khumayraabdulla96 Před 7 měsíci

    Mie nimemuona anawazim tu

  • @YumnaBurhan-ls2un
    @YumnaBurhan-ls2un Před 7 měsíci

    Alikausha mwanzo saiv ameachia

  • @user-yf7ze9be4e
    @user-yf7ze9be4e Před 7 měsíci

    Mbn kawaidaaa tu Sema unaumiaaa ila n mamneno tu hata kwenyeee kanga yapo

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Před 7 měsíci

    Anajisumbua ziro 🧠

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Před 7 měsíci +5

    Dulla makabila amevurugwa kichwa , kuona zai kenda kwamtu anaemzidi uwezo ,ndowanaume walivyo ,mshamba, ndoa yakwanza ilikushinda 😂 muache manara wetu , kakuzidi hela huna jipya 😂😂😂

    • @user-sq2cw9tg2b
      @user-sq2cw9tg2b Před 7 měsíci

      Bro hajji manara hajafanya poa kumuonesha unyonge mwamba

  • @jamilally3916
    @jamilally3916 Před 7 měsíci

    ayo makasiriko tu

  • @user-su7ys5lr9o
    @user-su7ys5lr9o Před 7 měsíci

    Sasa uyu shoga dulla hakutaka zai aolewee mbwa yy

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 7 měsíci

    Maisha haya jamani sio powa 😂😂😂

  • @evodiusantony2115
    @evodiusantony2115 Před 7 měsíci

    Talifa za Ronaldo amjaona

  • @mariamhassan1723
    @mariamhassan1723 Před 7 měsíci

    Unafki gani wamealikwa wamekwenda 😂

  • @WaziriRamadhan-ML
    @WaziriRamadhan-ML Před 7 měsíci

    Bora tumecheka siye😂😂😂

  • @eliassabbath2480
    @eliassabbath2480 Před 7 měsíci

    Alivyomuacha yure dogo mpiga picha wa jux nayeye aliimwimbia😂😂 kakuacha wewe nawewe umemuimbia sjui kanawapa nn sjui sku akimuacha manara ataimbaa nini😂😂😂😂

  • @jacksonnathan7053
    @jacksonnathan7053 Před 7 měsíci +2

    Uwo ushamba ana sababu gan ya kuelezea ayo mambo kwahy akitaka watu wasimsifie dulla mshamba

  • @user-op7zl7fo1r
    @user-op7zl7fo1r Před 7 měsíci +1

    Hiki ndo kizazi cha wanaume tulichokikuza badala ya wadada tuchambe wao ndo wanachamba wanaume coromeo awana kabisa yan wanashibdana na wadada.Mungu tusaidie

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Před 7 měsíci

    X anateseka, ndo mjifunze kuwa mwanamke akikupenda amemaanisha na siku akiondoka utajuta hapo tayari Ana Homa ya kuachwa atulie, ye alijiona kwakuwa kamuoa basi atambuluza

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi Před 7 měsíci

      Atapata mwingine wanawake ni wengi sana hapa duniani idadi yao ni kubwa zaidi kuliko Wanaume,atulie amuombe Mungu atapata mke wa usawa wake ambaye hatayumbishwa na mapicha picha make hata huyo Manara si muda mrefu ameachika,Dulla kama wewe uwezo wako ni sh 100 tafuta atakaye kuthamini Wewe hadi mia yako!

  • @patrickkaite3822
    @patrickkaite3822 Před 7 měsíci

    Hii umeenda

  • @MwanaidRamadhan-gt8tu
    @MwanaidRamadhan-gt8tu Před 7 měsíci

    Ukimuona mwanaume mwenye tabiya izo kukuacha akaropoka huwa bado anakutaka jifunze kukataliwa w dogo kuropoka humtit aibu zai umeumiya sannnnn ulitkiwa ukae kimya kimya ndoo ushindi

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 Před 7 měsíci +2

    Dilla move on

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Před 7 měsíci

    Kwani alitaka hao wasani kisa walimpongeza pindi anamuoa wasingejitokeza kumpongeza Haji?? Wote watanzania na marafiki wao hilo linawahusu nini??

  • @user-yq4sn6cq1l
    @user-yq4sn6cq1l Před 7 měsíci

    Dulla turiya umesha acwa

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 Před 7 měsíci

    Zuchu atamfunza kupika

  • @fatumasalumu2869
    @fatumasalumu2869 Před 7 měsíci

    Kawaida kwa ma ex kusemana vibaya

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 Před 7 měsíci

    fursa iyo yakupita nayo,Dulla tutamufudisha sisi ma wifi kupiga,wivi wivu,kaka yetu alisema atamutuza tena atamujali tena atamupa furaha😁😁alitaka asiolewe Dullla tuashe sasa muzungu atainjoìiiii weye tosha tu wimbo na nyimbo hata kaka haji kamuibiya,kaka yetu anakula shukushuku dulla iyo unayo sema leo ni wivu

    • @aishaabdallah4560
      @aishaabdallah4560 Před 7 měsíci

      Mwanamume jitume upambane na maisha yako na c kutoa cri hata mungu hapendi ukitaka kutoa aibu za mwenzako kwanza kumbuka zako

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 7 měsíci

    Hahahahaha 😂🤣😂🤣 past tense 😂🤣😂

  • @FanyMuhiri-uj7ov
    @FanyMuhiri-uj7ov Před 7 měsíci

    Hakuna alieona ex wake kafanikiwa akawa na furaha, hapo lazima kichwa kiume

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 7 měsíci

    Manara yatamkuta tu,, ni swala LA muda

  • @zamzamyusuphukagemulo
    @zamzamyusuphukagemulo Před 7 měsíci

    😅😅😅

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 7 měsíci

    Hahaha ni hudhuni😅😅😅

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3i Před 7 měsíci

    Kwani yeye mpishi si atachukuliwa mfanyakazi

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Před 7 měsíci

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂inabdi niiutafute huo wimbo akhi

  • @amaraibrahim1939
    @amaraibrahim1939 Před 7 měsíci

    VIJEMBE MUUNGANE WEWE NA KONDE

  • @bahatiyves78
    @bahatiyves78 Před 7 měsíci

    Dulla tuliya ka mtafute temba na chege wata kupa Usha uri

  • @rerisamba
    @rerisamba Před 7 měsíci +1

    Mara useme anataka laki nane mara useme hajui kupika vinaingilia na wapi au wamanisha kupika gani

  • @zamzamyusuphukagemulo
    @zamzamyusuphukagemulo Před 7 měsíci

    😅😅😅😂😂😂😂

  • @mpenzisamaki9488
    @mpenzisamaki9488 Před 7 měsíci

    Utoto mwingi

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 7 měsíci

    Tuliya bado upo kijana tafuta mnyonge mwenzio na wewe ukwapuwe Haya ni majungu sasa

  • @lickymaker5857
    @lickymaker5857 Před 7 měsíci

    Desperate 😅

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Před 7 měsíci

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @hanifaally4694
    @hanifaally4694 Před 7 měsíci

    😂😂😂😂😂

  • @amaraibrahim1939
    @amaraibrahim1939 Před 7 měsíci

    Wivu tu yeye na konde watakufa kwa vijembe kwa ma ex wawo tulieni mkiwachwa achikeni

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 Před 7 měsíci

    Yes dulla nanilisa she's terrible women shame on her

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před 7 měsíci

    Huu mwanamke ana kashida labda ndie maana yule bwana yake alim piga hadi mimba ikatoka

  • @erickmsilu6308
    @erickmsilu6308 Před 7 měsíci

    Waandishi wachonganishi sana,kwani alikwambia lini kwamba amemuimba yeye?

  • @frorenceetoile3016
    @frorenceetoile3016 Před 7 měsíci

    Nimeisikia 😂😂😂😂kamupa makavu yake kama hajuwi kupika kweli daaa sijuwi iyo ndoa itakuwaje🤔

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 Před 7 měsíci

    Zai usimjibu hata neno MOJA ACHANA NAE mpuuuzi huyo

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l Před 7 měsíci

    😅😅😅