RAIS SAMIA ASIMAMA KUCHEZA WIMBO wa RAYVANNY - ASINDIKIZWA na WALINZI KWENDA KUMPA MAOKOTO...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • RAIS SAMIA ASIMAMA KUCHEZA WIMBO wa RAYVANNY - ASINDIKIZWA na WALINZI KWENDA KUMPA MAOKOTO...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 104

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Před 18 dny +14

    Watu wameitikia wito Mashallah 🎉🎉🎉🎉 upendo udumu daima❤❤

  • @TariqAziz-sc1lb
    @TariqAziz-sc1lb Před 18 dny +8

    An emotional song❤❤ well done rayvanny

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 Před 18 dny +7

    Hawajawahi kukosea kwny uajiri wao hawa jamaaa wanaovaa suit wanajua kazi zao kwa kweli...The way wanavorganize kwny Ulinzi is fantstic and extremly Remarkable Security...Congratulation TISS.❤❤❤

  • @emanuelelias2082
    @emanuelelias2082 Před 18 dny +2

    Kumuamsha mama si kazi rahisi congratulations ray🎉🎉🎉🎉

  • @ixheryusuph1748
    @ixheryusuph1748 Před 18 dny +1

    Nzur sana hii nyimbo..... Mashaallah

  • @KalambayKasongo
    @KalambayKasongo Před 3 dny

    Toujours super mon petit frère

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Před 18 dny +8

    Twakupenda sana mama mashallah ❤❤❤❤❤

  • @ODENILWILA
    @ODENILWILA Před 18 dny +3

    Rayvanny we we ni dangerous ❤❤❤❤❤

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 Před 18 dny +2

    Beautiful poems ❤Ravannny umeipiga mwingi

  • @user-nb2jw4km6f
    @user-nb2jw4km6f Před 18 dny +4

    Rayvan upo vizuri

  • @khadijatajiri8097
    @khadijatajiri8097 Před 18 dny +1

    Nakupenda rais wangu mzuri❤2025 twende pamoja na mama

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy Před 17 dny

    Wimbo mzuri sana huu ray 😊amen 🙏 🙌

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu Před 17 dny

    Courag Mutoto unajuwa💐💐💪🏽💪🏽

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 Před 18 dny +2

    Ni nzr sawa, lkn ikute unafraha km huna fraha kalo za watoto zimekutinga na nyumba yangu milango na madirisha vimekua mlima mwaka wa nne nimeingia olaa. Hapo fraha naitoa wapi mwenzenu??

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq Před 18 dny +3

    KUMEKUCHAAA!🤔Wabongo wameliamsha DUDE Ndani yakizimkazi😊Mama kizimkazi kapendezaa Tabasamu Nene Ndani yakunyumba Kizimkazi🥰Rais SAMIA MI5TENAAAA!!🎉🥳🥰💯✅

  • @alyakida5262
    @alyakida5262 Před 18 dny +5

    Hongera sana mh Raisi wangu mpendwa mafanikio yanaonekana na kazi zinaendelea .

  • @user-sy3bd7nc2u
    @user-sy3bd7nc2u Před 6 dny

    Bonge la ngoma kinoma

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu Před 17 dny

    Ngangari upo sawa umekaza kama umaga💞💞💞💋💋💋💋

  • @user-qb7ej8cp5y
    @user-qb7ej8cp5y Před 18 dny

    Safi sana mama etu kipenzi

  • @FatimaFati-pu4lb
    @FatimaFati-pu4lb Před 17 dny

    Wooooooo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @mwadawaibrahimmohamed6089

    umetisha❤❤❤❤❤❤

  • @catrhine93
    @catrhine93 Před 18 dny +1

    Mum samia God bless you for ever.🎉

  • @KulwaMakiko-jw7xz
    @KulwaMakiko-jw7xz Před 13 dny

  • @MikidadiKambinda-tr6rl

    Asante. Sana. Mama. Yetu. Mpendwa. Samia. Suluhu. Hassan. Tunaunga. Mko. Juhudi. Zako. Hivi. Mama. Kuwakata. Kodi. Wastaafu. Hapo. Mama. Yetu. Hapana Hapana. Hapana. Hapanaaaa. Pension. Yenyewe. Ndogo. Na. Bado. Inakatwa. Kodi. Mama. Yetu. Hapanaaaa

  • @mariamfaicalhassan2890
    @mariamfaicalhassan2890 Před 18 dny +1

    Wimbo mtamu lakini si kwa ajili ya samia mimi ni mmasai

  • @user-ej5rp5ku7l
    @user-ej5rp5ku7l Před 18 dny +2

    Rayvany ka juwa litakalo mfurahisha Samia kwa kweli aaaaaaqqqq

  • @LuckyTemu
    @LuckyTemu Před 18 dny

    Jmn me nna swal et lengo la kizimkaz n nini me cjui 😢 af nmependa walinzi wa rais samia walvo very sharp 🙌

  • @RaymondMtewele-j8vpamban

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @JacksCarlos-zy2ci
    @JacksCarlos-zy2ci Před 18 dny

    I thought WA Zanzibar wote n weupe kumbe n Kisumu ndogo pia😂😂😂

  • @GladysHamisiRai
    @GladysHamisiRai Před 18 dny +1

    Inauma lkni hatuna budii kukubali mungu awatie nguvu mm yaani nafidwa kujiziia Marco amuka bas hata sekindee Moja 💔😭😭😭😭😭

  • @roseamon7906
    @roseamon7906 Před 18 dny

    Hongera Mwaisa dog Van kazi nzuri

  • @humphreynyuchi8548
    @humphreynyuchi8548 Před 18 dny +1

    Yes there you are! Chui umeua sana

  • @rajah9328
    @rajah9328 Před 18 dny +1

    Ii Ngoma kali salute Chui...ila Majirani wetu upendo na amani ni nguvu muhimu sana nchini. Wanzania endeleeni na uzalendo wenu na upendo nyote ndugu uwe CCM au Chadema Amani vurugu zinatoa uhai, kupoteza famalia ndgu ata na jirani Mwema

  • @SaidiMiraji-lk3vm
    @SaidiMiraji-lk3vm Před 18 dny +3

    Ray mwanangu umeuaaaaa

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 Před 18 dny

    ❤❤❤

  • @thechallangeboystheawadh5195

    Kweli Mama Samia kapasi mie mmoja sikudhania kama atafikia hapa Hongera Mama Samia!!❤

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 Před 18 dny

    Wakenya mtamuimbia lini RAIS wenu kenge nyie KAZI kusematu ANGUKA NAYO ONE LEGEEE😂😂😂😂

  • @user-ow7pl6tz2c
    @user-ow7pl6tz2c Před 18 dny +1

    ❤❤❤❤ jamani na penda uyu mama jamani mungu akupe umri mrefu

  • @edwardpaulo3351
    @edwardpaulo3351 Před 18 dny

    Huu wimbo wa reyvann ni wa 🔥🔥🔥

  • @user-mz2wx5dt9v
    @user-mz2wx5dt9v Před 17 dny

    Mbona ni wenyew Kwa wenyew

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 Před 18 dny

    Furaha huzaa afya njema, 🎉🎉

  • @Karungi4B
    @Karungi4B Před 18 dny

    Noma sana

  • @slowclimbertothetop4572

    Nice song

  • @omokemorara8656
    @omokemorara8656 Před 17 dny

    Poor audio

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 Před 18 dny

    🙏👍

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 Před 18 dny

    Wimbo unalipa 🎉🎉🎉

  • @elishagwivaha
    @elishagwivaha Před 14 dny

    Tu-vikaragosi flan tunacheza

  • @augustinenjesi3215
    @augustinenjesi3215 Před 18 dny

    Ila vannyboy 🔥🔥

  • @GabbyRomnize
    @GabbyRomnize Před 18 dny

    Reyvanny bana anaandika kwl

  • @nicken3250
    @nicken3250 Před 18 dny

    Sawa❤❤❤

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg

    Nice

  • @EsterKimambo
    @EsterKimambo Před 18 dny

    Love you mama

  • @JninjaH2R
    @JninjaH2R Před 18 dny

    Vanny boy 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @heartz._2
    @heartz._2 Před 18 dny +1

    L love you

  • @user-qt7jd5on4z
    @user-qt7jd5on4z Před 18 dny

    Vanny boy❤❤❤

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před 18 dny +1

    Mama Samia kabla ya kuketi tuu akaskia sauti yake akastuka kidogo; 'nani huyu mie naongelea wapi tena?' Samiaaaaa!!!

  • @MikidadiKambinda-tr6rl

    Mama. Wastaafu. Tunakufa. Njaa. Badala. Ya. Kutuongezea. Hiki. Kidogo. Tulicho Nacho. Hicho. Hicho. Bado. Mnapunguza. Tukuombe. Sana. Mama. Yetu. Tunakupenda. Sana. Lakini. Kwa. Hili. Mama. Yetu. Hapanaaaa. Mama. Hapanaaaa. Kuwa. Na. Huruma. Kwa. Wagonjwa. Wako. Maana. Sisi. Wastaafu. Ni. Wagonjwa. Na. Toko. ICU

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Před 17 dny

    Yn ss. Ivi silipendi iki

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 Před 17 dny

    Jifunze kuimba ukiwa jukwaani acha makelele

  • @user-gl5mn2qs1r
    @user-gl5mn2qs1r Před 18 dny +2

    Ila watanzania ni wanaaaa mmmmh me sisemi chochote nisijepotea mazingira ya kutatanisha

  • @zephaniazacharia519
    @zephaniazacharia519 Před 18 dny

    Reyvan umeua

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 Před 18 dny

    rayvanny kauwa sana umu!🍟🍟🍟🍟🍟🍟🍟🍟🍟🍟✍️.

  • @Thomaschipembe
    @Thomaschipembe Před 14 dny

    Thomas chipembe

  • @JohnMagwila-j5d
    @JohnMagwila-j5d Před 18 dny

    Ninafuraha kubwa saana Mwenyezi Mungu kumpa siha na afya njema mama yetu mama Samia, Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mama wewe ni kipenzi chetu sisi Watanzania hakika kucheza kwako kunaakisi maendeleo makubwa uliyoyafanya kwa muda mfupi kwa sisi Watanzania. Kweli wewe ni mlezi na unauchungu na sisi wanao na kwa amani iliyopo uliyoidumisha na kuitunza sisi hatuna budi kukuenzi. Watanzania ninao tuitunze tunu hii yaani mama SAMIA. Mitano tena tuone maendeleo makubwa na Tanzania itapaa kwa kila jambo na mataifa yote ulimwenguni waamini kuwa wanawake wanaweza uongozi na wewe mama umedhihirisha hilo. Nakuombea kwa Mungu mabaya na husuda zipishilie mbali na sisi wenye kuona matendo yako makuu na maono uliyopewa na mwenyezi tuzidi kukufurahia. Nakupenda mama yangu.KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, UDUMU MAMA YETU SAMIA.

  • @dennissamora729
    @dennissamora729 Před 18 dny

    Tanzania bado giza totoro mnoo! Kwa huo uchawa wenu! Mtasota saana

  • @blessed2610
    @blessed2610 Před 18 dny

    🐆🐆🐆🐆🐆🐆🐆🐆

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Před 18 dny

    Chuiìii umetisha

  • @Misheckkazilist-cv2hb
    @Misheckkazilist-cv2hb Před 18 dny +2

    Yani kinacho endelea hapo ni ujinga na upumbavu mnasifiana kimavi mavi yani kazi kuarib maisha ya watanzania cheefu

  • @allyboka4264
    @allyboka4264 Před 18 dny +1

    Nchi ina machawa wengi

  • @salimahmedabdou5908
    @salimahmedabdou5908 Před 18 dny

    Vanny vivani boy

  • @amirmohamed2729
    @amirmohamed2729 Před 18 dny

    Wewe mama wa kislamu hujiheshimu ndio maana watu wanakutukana

  • @bandeoudjumashandrack1909

    Rayvanny unatisha

  • @MalikiaRecho
    @MalikiaRecho Před 18 dny

    M

  • @jumabonge8577
    @jumabonge8577 Před 18 dny +1

    saidia wanyonge ww hawana kitu ww

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Před 18 dny

    Najiwazia tu hawa watu wote wameenda huko kwa mapenzi yao kwa raisi?

  • @YasiniHusseni
    @YasiniHusseni Před 18 dny

    Nataman namimi siku moja nikutane na mama walau nimwambie kuwa nampendaga tu. Hakuna kingine ila basi tu

  • @PiliQueen-sm1nm
    @PiliQueen-sm1nm Před 18 dny

    Bodigad yuko makini na maokoto ya boss😂😂😂

  • @SalimAbdallah-tk9hs
    @SalimAbdallah-tk9hs Před 18 dny

    Kwa mbali alikamwe

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Před 18 dny

    Mama nimamatuuu

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 Před 18 dny

    Rey van unetuliaa

  • @user-fp9xl4xy3t
    @user-fp9xl4xy3t Před 18 dny

    Wanacheza rakin wamejaa unafiki tu hata hawampendi kuwa makini nao mama

  • @robertmwangomale
    @robertmwangomale Před 18 dny

    Unajua ngwa kukaja

  • @bizzyjunior_tz
    @bizzyjunior_tz Před 18 dny

    Chui kauwa so powa

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th Před 18 dny

    Kogamano la waislam na wakiristo palikua patupu ila upuuzi kumejaa

    • @staanstaan8722
      @staanstaan8722 Před 18 dny

      We inakuusu nn

    • @AGM19697
      @AGM19697 Před 18 dny

      Sasa wewe ulitakaje? Au ulidhani mm kwakuwa ni wa dini yako basi ni raisi wa dini yako?
      Bado una utoto wa kidini, inabidi uanze kukua sasa

    • @AGM19697
      @AGM19697 Před 18 dny

      Mijitu ya hivi ndio ile inayojiripuaga kuuwa watu wasio na hatia ikidhani ndio itaenda mbinguni kuoa wanawake mabikira.
      Duuuh kaazi kweli kweli

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 Před 18 dny

    Nailazimisha fraha ingawa moyoni nina majonzi nani wakunifuta machozi😢😅?

  • @adamswafi5149
    @adamswafi5149 Před 18 dny

    Naona maokoto sio mchezo

  • @MrNitsonTz-v5y
    @MrNitsonTz-v5y Před 18 dny

    Weeeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni Před 18 dny

    Mama anawakata jicho yuko na ndugu yake hapo pembeni wanaambiana hawa mang'ombe acha yahangaike apo uzuri wa tanzania kwa katiba hii hata mm nikiwa rais mtanisifia woteeeee hahhaha ndo katiba hawataki kubalisha ng'oòooòoo labda kwa mabom na kwa bandeji

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 Před 18 dny

    Chui

  • @SaidiPala
    @SaidiPala Před 18 dny

    Mfariji ya mwisho mwisho.😡😡😡

  • @RaymondKilomeye
    @RaymondKilomeye Před 18 dny

    Pata cheo tuione tabia yako

  • @idatonymassawe
    @idatonymassawe Před 18 dny

    Prestage one!!😂 less meaning and decision

  • @allyboka4264
    @allyboka4264 Před 18 dny

    Nchi ina machawa wengi