HOUSE GIRL EP 40 | S2 | love story💞💕

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024

Komentáře • 612

  • @user-hi3ts2rk8w
    @user-hi3ts2rk8w Před 14 dny +194

    Tunaosubiria ndoa ya Tasha na zatiti kwa hamu ,,,jamani tupite na like ,,

  • @RaphaelDeuc-uk1jg
    @RaphaelDeuc-uk1jg Před 14 dny +406

    Tunaoamin tabia ya candy hata kwenye uharisia wa maisha ni hiyo hiyo gonga like hapo tusonge😂😂😂.

    • @esterkimalio8846
      @esterkimalio8846 Před 14 dny +7

      Yaani yuko hivyo kabisa huyu dada maana mmmmh

    • @user-qq6mv6vh3e
      @user-qq6mv6vh3e Před 14 dny +3

      😂😂😂

    • @AnethDerickius-nt8sm
      @AnethDerickius-nt8sm Před 14 dny +7

      Kila kona Yuko ivi ata kwenye koneksheni

    • @JoyceKayombo-y3g
      @JoyceKayombo-y3g Před 14 dny +11

      Sidhani Kama ndo tabia yake maana Kuna mov kaigiza na mkojan inaitwa nagwa kaigiza mpole mwenye heshima mwenye utu pia

    • @TinnerJnr-y3c
      @TinnerJnr-y3c Před 14 dny +2

      Hapana huyu candy inaonekana na maisha ya uhalisia wake Yuko hivyo

  • @jumannejoseph8986
    @jumannejoseph8986 Před 14 dny +38

    Zuri kawa mrembo hatar kumbe mke n matunzo kama nasema ukwel weka like hapo

    • @hamisuuhamadi1663
      @hamisuuhamadi1663 Před 14 dny +1

      Kumbe hadi wey umemuona kawa mrembo sana ndoa tamu kumbe 😂😂

  • @SerniceShao
    @SerniceShao Před 14 dny +83

    Sijawah kuomba like leo naomba like tunaopenda kuona ndoa ya Mr Tasha na Zatiti

  • @SaumuJumwa-u4v
    @SaumuJumwa-u4v Před 14 dny +98

    Wenye tunaomba bibi zuu asife tujuane 😭😭🙏🙏

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 Před 14 dny +191

    Yeyote,,,atakayesoma hii coment uwe na maisha marefu,,,🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤏🤏🤏🤏

  • @user-cg8ti1re1t
    @user-cg8ti1re1t Před 14 dny +56

    🎉🎉wanao subiri ndoa y zatiti n mr tash munipee like jaman🎉🎉🎉❤

  • @user-sy9cu5ef5q
    @user-sy9cu5ef5q Před 14 dny +36

    Mpumbavu mwenzangu acha kumuaibisha Mpumbavu mwenzako😂😂😂

  • @PurityMwongeli-p9f
    @PurityMwongeli-p9f Před 14 dny +13

    Hata bibi akikufa kazi yake ameifanya vizuri sana. Maua yako bibi kwa kuimaliza harusi ya zuu poa🎉🎉🎉🎉

  • @user-uz3dx6io7l
    @user-uz3dx6io7l Před 14 dny +8

    Nataka kai umpe ujauzito zuur azae tuone mtoto ..mr tasha nae amuoe zatiti azae chiko ashikwe nahaya❤❤❤❤❤😂😂

  • @SaraUlaya-is2ch
    @SaraUlaya-is2ch Před 14 dny +21

    Mpumbavu na mpumbavu mwenzio nawapenda mpaka nawapenda tena❤❤❤❤

  • @SuzyMk94
    @SuzyMk94 Před 14 dny +60

    Nipeni hizo like za mtaji nianze biashara ❤❤❤❤

  • @AgnesDavidmtalemwa
    @AgnesDavidmtalemwa Před 14 dny +26

    Leo nmewahi jamn tunaoamini mr tasha na zatiti wataenda kufunga ndoa gonga like

  • @ErastoMsemwa
    @ErastoMsemwa Před 14 dny +25

    Waooo nimewahi namim naomben like zangu❤

  • @NajaFredy
    @NajaFredy Před 14 dny +36

    Jamani kibendu katapa mke au mnasemaje mashabikii❤❤😂?

    • @MachoMesa
      @MachoMesa Před 13 dny

      Mke kapat ila awenamsimamo asimsikilizage wizoake uyo kend🎉

  • @Scolayusuph558
    @Scolayusuph558 Před 14 dny +88

    Asalam aleykumu bwana yesu asifiwe mungu awape maisha malefu ote mnao wngalia move ii leo wa kwanza nipen like ata 10 tyu 🎉🎉🎉

  • @AlineBaby-m5l
    @AlineBaby-m5l Před 14 dny +18

    Watu wameona kam hous girl iko karibu yaku isha munip liké tujuwan tujibane loho😂🎉❤

  • @MancerNkya
    @MancerNkya Před 14 dny +24

    Tunaoangalia muda huuu tolichelewa tujuane kwa like Mungu awabariki

  • @BucumiGabriel-ni5qx
    @BucumiGabriel-ni5qx Před 14 dny +44

    Hey tunaotamani chiko kujuwa maujinga anayofanyiwa na candy gonga like hapa

  • @AishaMasele
    @AishaMasele Před 14 dny +27

    Tunao muelewa mke wa kilamba jamn njoon hapa

  • @zadockcomedy9864
    @zadockcomedy9864 Před 14 dny +26

    Kitu Cha muhimu kwenye runinga yangu house girl lazima pongezi kwa kazi nzuri wana busati tv watching from🇰🇪🇰🇪

  • @user-yp7qy2qf7k
    @user-yp7qy2qf7k Před 14 dny +10

    Wow mko vizuri sana wana busati TV chukueni maua yenu ❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @irakozeshela1809
    @irakozeshela1809 Před 14 dny +13

    sania na kendy😂😂😂😂bibi zuuh usife bana😢

  • @ceciliawilly8573
    @ceciliawilly8573 Před 14 dny +21

    Team hammam leo nimefika wa kwanza 🎉😂

    • @HhUhh-io8ix
      @HhUhh-io8ix Před 14 dny

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @Marim-sj7oi
      @Marim-sj7oi Před 14 dny

      Hongera kipenzi 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-vd9cj5ro4u
    @user-vd9cj5ro4u Před 14 dny +8

    Jaman tunoomba candy na chiko waachane na kila mmoja aumbuke kwa aibu gonga like 🎉

    • @GlycerySadkin
      @GlycerySadkin Před 14 dny +1

      Wasiachane mpaka zatiti aolewe na Tasha

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi Před 14 dny +13

    Wapiri jaman nipen lak bas ❤❤

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 Před 14 dny +12

    Lakin jamani sania nyinyi mwisho wa mawazo .... movie bila sania n swahibaye candy...hainogi....

  • @user-wb2wp5pe9p
    @user-wb2wp5pe9p Před 14 dny +6

    ❤❤❤kazi nzur mnoo mnajitahid mpewe maua yenu to mpo vizur tunawapenda❤❤

  • @AyishaAyisha-k9r
    @AyishaAyisha-k9r Před 14 dny +13

    Mie wakwanza kutoka Burundi naombeni like zangu

  • @Jasweety
    @Jasweety Před 14 dny +12

    My likes apaaa❤ on time kabx

  • @FarhhFarhh
    @FarhhFarhh Před 14 dny +4

    Zoo umependeza bibi usiyende bado mapema zoo angani anakwitaji ❤❤

  • @shilashilajackson7879
    @shilashilajackson7879 Před 14 dny +5

    Nahawa wapombavu wawiwili warudi kwao harusi iliisha😂😂

  • @KambaleTemauzenge
    @KambaleTemauzenge Před 14 dny +13

    Nataka like za wachelewaji tu

  • @zadockcomedy9864
    @zadockcomedy9864 Před 14 dny +8

    Natamani kama ungeoa zuu ya ukweli kakai❤❤❤ mnapendezana❤❤❤

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it Před 14 dny +30

    Kwenye ndoa ya kai na zuu furaha yote hitapotea namaanisha boss wa kai hatakuja kumuaribia zuu ndoa yake wanaoamini kama ninavyoamini mimi nipeni Iikee apa

  • @SaumuJumwa-u4v
    @SaumuJumwa-u4v Před 14 dny +30

    Nimewahi leo kutok Kenya 🇰🇪 😂team hamamu mko wapi na weekend hii ama mwatumika 😁😁wenye tunaombea Tasha na Zatiti waona tujuane❤halafu kiramba na mjinga mwenzio mrudi kwenu basi siku saba zimeisha 😂😂😅wenye walikuwa wamemmiss bibi ya Zuu gonga likes hapa 🥰🥰😍😍

  • @OffKidd-p3s
    @OffKidd-p3s Před 14 dny +12

    Wasoma comment mpo😂

    • @HhUhh-io8ix
      @HhUhh-io8ix Před 14 dny

      Tupoooooooo🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂

  • @NjoleZuma-ue9yo
    @NjoleZuma-ue9yo Před 14 dny +1

    Kai anatoka kazini Zuu anamkaribisha waende wakale ndio waje wale😂😂

  • @GetrudeChengula
    @GetrudeChengula Před 14 dny +5

    Mnaambiwa mtoe maoni kuhus movie nyie mnaomba like Jamaniiiiii wabongo 😅😅

  • @Marymegewa
    @Marymegewa Před 14 dny +5

    Wooooooow🎉🎉🎉🎉 wa 14 kuview na wa 1 kucomment😋😌😊

  • @user-oj5sb8dk1m
    @user-oj5sb8dk1m Před 14 dny +5

    Woow ❤❤❤zuuu kanoga

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo Před 14 dny +9

    My mother masaa 19 view 29 uku house girl 44 dakika views 6000 lets go guys
    Kaz nzur inalipa

  • @OmarJaffar-fw4lt
    @OmarJaffar-fw4lt Před 14 dny +6

    atimae nimewahi Leo 😂😂😂😂😂haya sasa zul umeolewa tayali uzae sasa😊😊😊😊😊

  • @user-rj4yd3cu3n
    @user-rj4yd3cu3n Před 14 dny +12

    Kwani mnacomment kabla amjawatch move 😢

  • @NibitangaOliva
    @NibitangaOliva Před 14 dny +1

    Chikoo
    Utakuja
    Kujuta
    Mke arikuwa
    Zatiti❤

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid Před 14 dny +3

    Wow apa tutaenda sawa kwa kumuona mmpenzi wangu malaika tu

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th Před 14 dny +5

    Team hamamu nimechelewa

  • @zawadismaili144
    @zawadismaili144 Před 14 dny +4

    Number one 🎉❤❤❤❤❤

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Před 14 dny +6

    Candy na Sania siwawezi jamani bibi zuu usife move inataka kuisha bb kay naye anataka kurudi kijijini move tunaiagaaga naona😢

    • @PiliShemdoe
      @PiliShemdoe Před 14 dny

      Bado harusi ya Tasha jamn na zatiti

  • @DainessMtewele
    @DainessMtewele Před 14 dny +5

    Tunae subili ndoa ya mr tasha na zatiti gongo like

  • @Franciscah-ks5zq
    @Franciscah-ks5zq Před 14 dny +3

    Hello team Busati,,, nani anayeniunga mkono kuwa ijapo mamake candy ni mkali lakini candy hana adabu ata kidogo

  • @UkhtyDeyder
    @UkhtyDeyder Před 14 dny +5

    Jamani mm huyuuu Malaika ananikeraaa

  • @RehemaHamisi-i4b
    @RehemaHamisi-i4b Před 14 dny +5

    Ni wa mwisho naombeni like

  • @RoseKagai
    @RoseKagai Před 14 dny +6

    Nipeni hizo like mtaji nianze biashara❤❤❤❤❤❤

  • @ZuhuraAbdallah-u9o
    @ZuhuraAbdallah-u9o Před 14 dny +8

    Kutoka Omani jamni naombeni like 😮like nacho kits cha kumnyima mtu😅😅

  • @mercykatini6758
    @mercykatini6758 Před 14 dny +2

    Kendy si ametoka kula ugali tu saii😂😂😂😂😂saii anaumwa

  • @AishaRashed-m5o
    @AishaRashed-m5o Před 14 dny +2

    Honger san kai na zuri

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol Před 14 dny +1

    Bibi zuu 😭😭 kiramba mchuzi hoi hila baba kai mashallah hila kwa mtoto wako roy kiboko m karobo

  • @safarimbawa-ri9lc
    @safarimbawa-ri9lc Před 14 dny +9

    Wapenda like mpo

  • @user-xr1ru9li5t
    @user-xr1ru9li5t Před 14 dny +12

    😂Yani Candy na Sania ni sikio la kufa mwanivunja mbavu na comedy zenu masikini malaika sijui Bibi Yake kapatwa na nn ila malaika anatia huzuni kumkosa Tasha sema tuu Tasha kashaakuwa wazatiti lakini malaika pia ni mwanamke mzuri wakuoa Kai Leo anainjoy kakaaa na mfanyakazi muda kumbe ndio mke wake wa Maisha dah 😂kilamba na mkewe BG up zenu mfano wakuigwa😅

  • @CollinsMusungu-mg4cn
    @CollinsMusungu-mg4cn Před 14 dny +5

    Nataka kuona zatiti Kwan ako

  • @JullyanaMathiasy-nt8op
    @JullyanaMathiasy-nt8op Před 14 dny +1

    Wanaoamin house girl inaendaaaaa kuishaaaa tujuaneee😂😂😂

  • @gracenyevu8082
    @gracenyevu8082 Před 14 dny +3

    Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @user-hp3vn4kc4s
    @user-hp3vn4kc4s Před 14 dny +1

    Kazi nzuri sana team Busati🇹🇿

  • @MymunaMuna-qn5lo
    @MymunaMuna-qn5lo Před 14 dny +8

    wa kwanza wakwanza yani nyiee khaaaa tumechoka hakuna hata kushauli move hapa like nyokoooo zangu uzeni basi

  • @Farthun
    @Farthun Před 14 dny +3

    Wow na mm nimewahi leo 👏👏👏👏👏👏

  • @RoseMylove-m2m
    @RoseMylove-m2m Před 14 dny +3

    Congo 🇨🇩 tunasubiri ndoa ya tasha na zatiti na tunasubiri lahana ya kendy

  • @DianaAnatos
    @DianaAnatos Před 14 dny

    Zuli sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

  • @JasminMussa-s2u
    @JasminMussa-s2u Před 14 dny +5

    Kilamba anatia chuvi kwa zuli 😂😂

  • @JenifaSilvester
    @JenifaSilvester Před 14 dny +2

    Jaman tambia ya candy haifai kabisa naombeni lake zenu kwa mara ya kwanza

  • @KilaindmbapeJnior
    @KilaindmbapeJnior Před 14 dny +5

    AMJAMBO NDUGU ZANGU NAZANI SOTE NI WAZIMA WA AFYA GONGA LIKE ❤

  • @user-oi2qc7gr2d
    @user-oi2qc7gr2d Před 14 dny +1

    Penzi litambe au sio😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @CattybrightCattybright
    @CattybrightCattybright Před 14 dny +4

    Nikajua nitakua wakwanz

  • @JoanEthel
    @JoanEthel Před 14 dny +5

    Mimi ni wa mwisho nahitaji like ata moja jameni

  • @hamischubwajumanne2269
    @hamischubwajumanne2269 Před 14 dny +6

    Noma sana sijachelewa

  • @SalamaRajabu-c6h
    @SalamaRajabu-c6h Před 14 dny +7

    Jaman candy nahuyu kamkonde wanachokitafuta watakipat

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Před 14 dny +1

    Ila hawa wapumbavu wenzetu! Kwa wenyewe na upumbavu wao🤗

  • @lovenessmichael7098
    @lovenessmichael7098 Před 14 dny +1

    Mnajua kutuchanganya❤❤❤

  • @Fatemah-s4d
    @Fatemah-s4d Před 14 dny +3

    Candy na sania nyinyi utaenda sijui tabia zenu n za laana sana😂😂😂

  • @ميريالشمري-ح9ب

    Kandy na sania kwakweli mumeolewa kwakweli mnatabia ngumu😂😂😂😂

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg Před 14 dny +4

    Bibi zuuh vp tena jaman

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 Před 14 dny +3

    Chiko ameingia chakiwetee😂 kazi anayo

  • @tabithanzisa9755
    @tabithanzisa9755 Před 14 dny +1

    ❤❤❤❤❤wapumbavu wenzangu wako na vituko ady ugenini😂😂😂😂😂

  • @Leilajepmtu
    @Leilajepmtu Před 14 dny +3

    nyinyi watoto kweli mko 🔥🔥🔥🔥🔥 kweli

  • @denismshanga2201
    @denismshanga2201 Před 14 dny +3

    Achen kuomba like sana uyo candy jaman na Sania daaaaaaaa??!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @LuleDotto-p9v
    @LuleDotto-p9v Před 14 dny +3

    Leo angalau nimewah kidogo 🎉

  • @asmamohd5769
    @asmamohd5769 Před 14 dny +1

    😂😂😂tunao angalia mda huu tujuane kwa like 😂😂😂😂

  • @MercySilvester
    @MercySilvester Před 14 dny +4

    Aky huyu candy hii tabia ni apa kwa runinga tu ama ata maisha yake yako hivi 😂😂gaii apa kwa Candy akuna kitu najifunza labda kwa zuuu wangu

  • @AminaKavuo-gj3oc
    @AminaKavuo-gj3oc Před 14 dny +4

    Nimeone baba Kai 🎉🎉🎉🎉

  • @MaLeLeMaGidu
    @MaLeLeMaGidu Před 14 dny +5

    Ila asingekuwepo Kai kwenye huo wasifu wake lingekuwa bonge la movie

    • @bintijumachongoa892
      @bintijumachongoa892 Před 14 dny +1

      Kwann

    • @MaLeLeMaGidu
      @MaLeLeMaGidu Před 14 dny +1

      @@bintijumachongoa892 hana zile hisia za uharisia yaani anaonekana direct kwamba anaigiza
      He is not emotional

  • @DamarisNyaboke254
    @DamarisNyaboke254 Před 14 dny +3

    Watu mkoje naona mumewai ❤❤❤❤

  • @MaannaMawawili
    @MaannaMawawili Před 9 dny +1

    ❤❤🎉 Iko vzr

  • @NiyokwizeraJulienne
    @NiyokwizeraJulienne Před 14 dny +1

    Nawapenda san vipenzi ♥️♥️♥️🥰 mungu awalinde mukaz zenu 🎉🎉

  • @Johar903
    @Johar903 Před 14 dny

    ❤❤❤boss wa kai utayatimba 😂 wrong house umegeuzwa flem ya picha kwa mganga sasa iyo bibi Zuuu kazi unayo boss wa kai na bibi aondoki safi sana bibi zuu

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 Před 14 dny +1

    Tasha mtie mimba zatiti yule boya aumie😂

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 Před 14 dny +2

    Kazi zuri ❤❤❤❤❤❤🎉

  • @khamiskhamis1205
    @khamiskhamis1205 Před 14 dny

    😂😂😂 Chiko umemvaa Kenge mwaka huu😂😂😂

  • @AminaAmina-wm1og
    @AminaAmina-wm1og Před 14 dny +4

    Ni wangapi tunataka Zuri apate ujauzito

  • @agathamkwawi4377
    @agathamkwawi4377 Před 14 dny +1

    Nyie watu wa humu wachoyoo sijawahi kupewa like ata moja

  • @zainabsabas1807
    @zainabsabas1807 Před 14 dny

    Sasa Zuu si mkalishane chumbani 😂😂😂