MCHUNGAJI HANANJA amchana MANARA na DULAH MAKABILA acheni urimbukeni wa mapenzi ,ZAYLISA hana ndoa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024

Komentáře • 150

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Před 7 měsíci +20

    Huyu mchungaji anaongea ukweli kabisa na Mungu akubariki mnooooo

  • @Siasia209
    @Siasia209 Před 7 měsíci +13

    Hana Utu,hana huruma,hana,mapenzi na fasi ya mungu haipo ktk maisha yke maneno ya hekima kbs

  • @nurudinimkumbugo9601
    @nurudinimkumbugo9601 Před 7 měsíci +14

    Umenena vyema sana Allah akubariki

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 7 měsíci +22

    Mchungaji wala hajui kama anaulizwa maswali ya akina manara 😂😂😂😂

  • @MnangwaOmari1971
    @MnangwaOmari1971 Před 7 měsíci +6

    Mwenyezi Mungu akujalie! Ww ni zaidi ya Mlezi

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před 7 měsíci +9

    Uko sahihi mzee

  • @casmuiddy7304
    @casmuiddy7304 Před 7 měsíci +3

    Mtumishi yupo na vitu chanya Sanaa na anawakilisha Kwa njia nzuriii na simple

  • @leylaruhabaye9017
    @leylaruhabaye9017 Před 7 měsíci +4

    Uyu mch. Ana akili nyingi sana apewe mauwa yk hata kwa kumsapot kwa hekma zke. Mm ni muislam lkn namkubali sana

  • @ramadhanikashimbiri4851
    @ramadhanikashimbiri4851 Před 7 měsíci +1

    Mzee yupo sawa kwa 100% , ukifwatilia ushauri wa huyu baba yetu utaumia kwa muda kidogo ila badae ni furaha tuu❤

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před 7 měsíci +7

    WANA KICHAA CHA NGONO NA MALIMBUKENI WA MADEMU😊,,,,TAFTA MWINGINE OA KIHALALI SONGA MBELE,,,

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 Před 7 měsíci

      watamjibu huyu ajiandae kwa hawa vichaa wa ngono

  • @jafariabdillah8585
    @jafariabdillah8585 Před 7 měsíci +6

    Nakupenda sana mzee kwa busala zako

  • @DoboraJohn
    @DoboraJohn Před 7 měsíci +7

    Kweli mchungaji huo ni ushamba wa mapenzi

  • @hawababy120
    @hawababy120 Před 7 měsíci +11

    😂😂😂mchungiji bhana eti unalilia uzinzi😂😂eti wanakicha cha ngono😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Giddy-Official
    @Giddy-Official Před 7 měsíci +2

    Ubarikiwe Mtumishi🙏🙏

  • @MohammedSaid-tf5qc
    @MohammedSaid-tf5qc Před 7 měsíci +4

    Mzee mm nipo Misri huku na soma nakufuatilia sana mchungaji ukosawa sana ktk maneno yako inshallaah nikirudi nitakutafuta nipate hekima zako

    • @user-oc8uo9rl3u
      @user-oc8uo9rl3u Před 7 měsíci

      Acha kufatilia makafiri broo

    • @josephbonday8510
      @josephbonday8510 Před 7 měsíci

      ​@@user-oc8uo9rl3uKWANI hapo amekosea nini alichozungumza?.AU NDIO CHUKI TU ULIZONAZO?

  • @edsonmlelwa5814
    @edsonmlelwa5814 Před 7 měsíci

    Ukweli kabisa umegusa Kila Kona Yani ukweli mtupu ubarikiwe ameni udumu

  • @zephaniazacharia519
    @zephaniazacharia519 Před 7 měsíci +3

    Fact

  • @user-ls9lc4zu3z
    @user-ls9lc4zu3z Před 7 měsíci +5

    Mchungaji uko byeeeee,,,waaaah

  • @husseinmaula4965
    @husseinmaula4965 Před 7 měsíci +6

    Ktk maisha yangu mwanamke akinikataa naona kanipunguzia mzigo.

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Před 7 měsíci

      Tatizo.ujui.unaempenda moyoni mwako. Dheyuss motoni

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj Před 7 měsíci +1

    Barikiwa sana mtumishi

  • @sallymurembo815
    @sallymurembo815 Před 7 měsíci

    Mchungaji wangu umeongea vitu vizuri mno na muhimu sana ❤

  • @user-eq9hl9vg2x
    @user-eq9hl9vg2x Před 7 měsíci +1

    😂😂😂aise nakupenda bulee mchungaji wetu mungu akubaliki sanaa kwakwel upo vzr sanaa 😂😂😂

  • @neemacharles9848
    @neemacharles9848 Před 7 měsíci

    Uko sahihi mchungaji Mungu akulinde uzidi kutufundisha

  • @fabianbenardngatunga2713
    @fabianbenardngatunga2713 Před 7 měsíci

    Barikiwa sana mchungaji mpaka ushangae kwa maneno yako

  • @stellamunisi4038
    @stellamunisi4038 Před 7 měsíci

    Uishi miaka mingi baba..una busara sana...nakuombea heri na utajiri wa afya na mali pia❤

  • @user-vr5bi8rb8y
    @user-vr5bi8rb8y Před 7 měsíci

    Baba nashkur,Mungu akuinue zaid🙏🙏💪🥰

  • @FunnyWindowTulips-rt8hn
    @FunnyWindowTulips-rt8hn Před 7 měsíci

    Mungu ukulinde daima

  • @siwonikewilliam9146
    @siwonikewilliam9146 Před 7 měsíci +6

    Kweli kabisa mtumishi haujakosea

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 7 měsíci +1

    Hananja nakukubali sana mzee

  • @mercymichael476
    @mercymichael476 Před 7 měsíci

    Kweli kabisa mchungaji.Mungu akubariki sana.Makanisa mengi yanazuka sio kwa lengo la kuponya roho za hao waumini ila ni kwa ajili ya wamiliki kuwapokonya fedha waumini wao.

  • @wiza2309
    @wiza2309 Před 7 měsíci +1

    Yaani mnamvunjia heshima Mch kumuuliza maswali ambayo jibu lake unalo. Mambo ya udaku msimtafute Mchungaji, yapo mambo mengi ya maana ya kumtafuta lkn siyo udaku

  • @user-xy7ir3eg1d
    @user-xy7ir3eg1d Před 7 měsíci +6

    Uyu mchungaji ana akili namqubar sana

  • @user-mh2nk6oi7p
    @user-mh2nk6oi7p Před 7 měsíci

    Nakupenda baba❤❤❤

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi Před 7 měsíci

    Mungu akupe maisha malefu Baba❤❤❤❤❤❤

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx Před 7 měsíci

    Ubarikiwe Pst

  • @user-vu2th5fe6y
    @user-vu2th5fe6y Před 7 měsíci +3

    Kwr mchungaj huyu namwerew

  • @NeemaDesheshe
    @NeemaDesheshe Před 7 měsíci

    Ameen

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 Před 6 měsíci

    Nimecheka kwa sauti bila ya kukusudia. Umenena wote wanawake

  • @user-zk6mx6de3q
    @user-zk6mx6de3q Před 7 měsíci

    Asante mchungaji

  • @hassanmoalimmuse6014
    @hassanmoalimmuse6014 Před 7 měsíci +3

    Wampe balozi matangazo mzee anafaa

  • @melosta
    @melosta Před 7 měsíci +7

    Uwa sichok kumsikilza 😂

  • @mousaoswego8257
    @mousaoswego8257 Před 7 měsíci +2

    Ameongea vzr na kwa hisia adi imenigusa, vijana wanaumia sana

  • @mwanzangafesto7110
    @mwanzangafesto7110 Před 7 měsíci

    Ukweli nakuelewa sn mchungaji uwa nakufatilia maelekezo yako yapo vzuli sn mungu azidi kukupa uzma utuelimishe

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Před 7 měsíci +2

    eti nyumbu wa mapenzi😃😃😃😃

  • @benjaminshayo32
    @benjaminshayo32 Před 7 měsíci +11

    Baba kwanza nikushukuru, ila mimi nipende kuchangia kitu,
    Kwanza ckuiz watu hawawazi kuoana...na huo ni ukuzimu kabisa... Watu wanataka tu kuwa na mahuciano ya kizinaa.....
    Wengine wanataka kuwa na rekodi ya kuwa na mahuciano na mabinti wengi wazuri,
    Wengine wanataka tu kwasababu ya tamaa, tena hasa tamaa....
    Wengine wanaona kuoa ni uzamani, yaani mambo ni mengi...na kwa utafiti wangu mdogo nloufanya nkaja kugundua ustaa ndio unachochea sana uharibufu wa kizazi hiki...mastaa wengi wameharbika kimaadili na wao kwa kujua ama pasipokujua wamesagau kama wao wameinfluence sana kizazi hiki...tukifanikiwa kucontrol mastaa naamini tutaweza kuokoa kizazi hiki sana.

    • @Dullz-yt9gk
      @Dullz-yt9gk Před 7 měsíci

      Yaaan hiyo ni bonge moja la elimu watu wengu awajui hilo

  • @user-bv2oe6iv3e
    @user-bv2oe6iv3e Před 7 měsíci

    Nakukubali San mchungaji

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 7 měsíci +3

    Usi lilie uzinzi 😂😂 hilo neno zuri sana

  • @user-zv5ny8np8d
    @user-zv5ny8np8d Před 7 měsíci +2

    Hananja nimchungaji mzuri ❤❤❤❤

  • @user-up1py2tk9x
    @user-up1py2tk9x Před 7 měsíci

    Unasema kweli mchungaji

  • @emmanuelakutulaga9756
    @emmanuelakutulaga9756 Před 7 měsíci +1

    Pastor kuanzia Leo nakuelewa.

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 Před 7 měsíci +1

    Mimi nataka kuonana na mchungaji,nitampata wapi Huyo mchungaji

  • @user-sb5du8rv9g
    @user-sb5du8rv9g Před 6 měsíci

    Uchungaji unahitaji elimu kubwa kwel unafaa kuwa kioo Cha jamii kwa elimu bora

  • @brigitaassenga5230
    @brigitaassenga5230 Před 7 měsíci

    perfect advisor👏👏👏hakika Mungu azid kukup maisha marefu😂😂😂"unalilia usinzi,?"😂😂🤣🤣💯hio imeenda....

  • @emmanuelshila9885
    @emmanuelshila9885 Před 6 měsíci

    kijana mbonyeza kinanda na wabeba spika hata kodi ya nyumba hawana wanatia huruma

  • @TheAlman
    @TheAlman Před 7 měsíci +2

    😂😂😂😂😂😂 kweri kabisa

  • @helenpeter5522
    @helenpeter5522 Před 7 měsíci

    Amen

  • @user-jz1mc5qg1j
    @user-jz1mc5qg1j Před 6 měsíci

    Baba niombee na mm niolewe

  • @burhanhusseintv4879
    @burhanhusseintv4879 Před 7 měsíci +1

    I'm from England I don't understanding that language but mchungaji kasema ukweli🙏

  • @ramadhanikiseko2226
    @ramadhanikiseko2226 Před 3 měsíci

    Achana nayeeeee😅😅😅

  • @user-iw1qp1cu8u
    @user-iw1qp1cu8u Před 7 měsíci

    ❤❤❤❤

  • @user-ih4kw5eb3d
    @user-ih4kw5eb3d Před 7 měsíci +1

    Huyu mchungaji namfagilia sana kwa kuwapa watu ukweli 😂😂😂😂😂😂

  • @greatwallhotelandktv266
    @greatwallhotelandktv266 Před 7 měsíci

    Mchungaji uishi sana

  • @hudhaimarajab9103
    @hudhaimarajab9103 Před 7 měsíci +1

    Kwaiy dula na manara nyumbu 😂

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 7 měsíci

    Umemalizaa BABA

  • @user-ho8gk9os7f
    @user-ho8gk9os7f Před 7 měsíci

    Uko vizur mzee

  • @user-ur3pw2rw8r
    @user-ur3pw2rw8r Před 7 měsíci +1

    Uko poa Mzee

  • @jacklinetimothy1641
    @jacklinetimothy1641 Před 7 měsíci

    Ukweli mtupu baba

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Před 7 měsíci

    huyu mzee ananifurahisha sana yani nacheka tu kama mazuri vile

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 Před 7 měsíci +1

    Utafikiri tumetoka mbinguni juzi😂😂😂😂😂

  • @mohammedsarehe6857
    @mohammedsarehe6857 Před 7 měsíci

    Uyu ndo hiribd awe mwamposa namuerewaga sana japo razima ucheke

  • @BarakaMwaikenda-ty1bt
    @BarakaMwaikenda-ty1bt Před 7 měsíci

    Huyu mchungaji wa kweli kutoka moyoni

  • @maryam4va538
    @maryam4va538 Před 7 měsíci

    Mchungaji big up😊😅

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi Před 7 měsíci

    Asanteee Babaa umetishaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AfricaYangu
    @AfricaYangu Před 7 měsíci +4

    Uzinzi ni mapokezi ya jehanamu 😂

  • @user-tl9zq4ue5g
    @user-tl9zq4ue5g Před 7 měsíci

    Reception ya jehanamu😂😂😂😂

  • @bushbabytz
    @bushbabytz Před 7 měsíci +3

    huyu mchungaji alishawahi kuvuta bangi

  • @user-kn8tp6lk6i
    @user-kn8tp6lk6i Před 7 měsíci

    Kweli😂

  • @YohanaMwagala-r5z
    @YohanaMwagala-r5z Před 7 měsíci

    Waelimishe mzee wangu maana wamekuwa limbukeni sana hawa vijana

  • @user-gu6en8ct4m
    @user-gu6en8ct4m Před 7 měsíci

    😂😂kichaa Cha ngono😂😂😂kabisa wote wanawake..

  • @kulwasuleiman2798
    @kulwasuleiman2798 Před 7 měsíci

    Mademu watatu nimecheka sna aisee.

  • @salimashambi7047
    @salimashambi7047 Před 7 měsíci +1

    Tuna mdemu wa tatu 😂😂😂😂chukua maua yako🎉🎉🎉🌹🌹

  • @user-zv1xc1cv7p
    @user-zv1xc1cv7p Před 7 měsíci

    😂😂😂 mchungaji unichekesha mpaka

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 Před 7 měsíci

    I dont want peace i want problem any time🤣🤣🤣🤣hiii imeeendaaa🙋🙋🙋

  • @user-gu6en8ct4m
    @user-gu6en8ct4m Před 7 měsíci

    😂😂kichaa Cha gono kabisaa😂😂

  • @user-du4dt5gz3t
    @user-du4dt5gz3t Před 7 měsíci

    Huyu mzee hanaga kupepesa macho anachana live na haogopi lolote😀😀😀

  • @shizohard1882
    @shizohard1882 Před 7 měsíci

    Malimbukeni wa mademu

  • @sewandomkuchu9267
    @sewandomkuchu9267 Před 7 měsíci +2

    Eti na mijoho yetu, kama vile tumetoka mbinguni juzi!!!

  • @davidtry4ne
    @davidtry4ne Před 7 měsíci

    😂😂😂😂asee hii kali

  • @jalinachilala8465
    @jalinachilala8465 Před 7 měsíci

    Ni ulimbukeni😂😂😂

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa6039 Před 7 měsíci

    🤣🤣🤣🤣🙌👏👏👏🙏 Raia wanchi mbili

  • @suleimanmohd2451
    @suleimanmohd2451 Před 7 měsíci +1

    Mimi Suleiman ila ninampenda sana huyu jamaa nimkweli sana

  • @user-kn8tp6lk6i
    @user-kn8tp6lk6i Před 7 měsíci

    Kabsa mchungaji😂😂

  • @khamisjuma3841
    @khamisjuma3841 Před 7 měsíci

    Mchungaji hananja punguza ukali wa maneno dah, yaani unasema wanaume wanaogombana kwa ajili ya wanawake nao wote ni wanawake uuuuwi umeua hiyo. Imefika hiyo sent.

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Před 7 měsíci

    Duh😂

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Před 7 měsíci

    eti kichaa cha ngono🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 7 měsíci

    Mchungaj umesem kweli kabisa kwa wenye akili ndio wataelewa

  • @sifandayisaba9360
    @sifandayisaba9360 Před 7 měsíci

    😂😂😂wanawake watatu

  • @lowasameliyo4027
    @lowasameliyo4027 Před 7 měsíci +1

    Hahahahah jmn et unalilia uzinzi

  • @rahmaabdalla7643
    @rahmaabdalla7643 Před 7 měsíci

    Chakula cha mbiguni hakina chunvi wala bizari 😂😂😂.

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 Před 7 měsíci

    😂😂😂😂😂😂 unakaa mapokezi