KUFURU JUMBA JIPYA LA ESMA DAGONTE, APATA KIGUGUMIZI KUMTAJA MUME WAKE KUHUSIKA.!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 05. 2024
  • #esmaplatnumz #wasafi
    KUFURU JUMBA JIPYA LA ESMA DAGONTE, APATA KIGUGUMIZI KUMTAJA MUME WAKE KUHUSIKA.!
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 116

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Před měsícem +39

    Duh!! Huyu Dada katumia vizuri umaarufu wa ndugu yake kujipatia utajiri na umaarufu...huo mjengo ni balaa zito mnooo🎉🎉🎉

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před měsícem +19

    Kajitahidi ..ongera sana esma..umeweza dada.. mungu akubaliki Kila la heri esma.. ubarikiwe

  • @user-bg6jh2no2c
    @user-bg6jh2no2c Před 25 dny +8

    Kujenga sio kazi ndogo tuzidi kumuomba Mungu azidi kutupa hizo baraka👏👏👏👏👏👏👏

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel Před měsícem +5

    MashaAllah. ..Mungu mkubwa ukiwa hai usikate tamaa..a.walivyokua na maisha ya dhiki nani alidhani watakuja nao waishi hivi...Usikate tamaa..tia bidii Mungu atatenda

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Před měsícem +7

    Hongera sana kipenzi cangu ESMA nimekupenda sana sema umasikini mbaya daah! Zuchu atulie kwa huyo huyo Simba hawapendi kuona akiwa nae akiachana nae wataanza kumuhesabia wanaume waanze kumuita malaya

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 Před měsícem +6

    Safi Sana Esma wanataka zuchu ayisabiliwe wanaume alafu haohao kesho wamwite Malaya siyo hulka yake kabisa yani waganda net kama ruba awakusema waseme yeye asijali zuchu wetu❤❤❤

  • @annertz9969
    @annertz9969 Před měsícem +4

    Ndoinavyotakiwa mwanamke siyo kwenda kuongeza makalio❤

  • @alimuchiri6151
    @alimuchiri6151 Před 9 dny

    Bro mtangazaji sema Masha Allah sije ukatia husda jumba la watu😄😄

  • @IMANWILLIAM-bl2ui
    @IMANWILLIAM-bl2ui Před měsícem +19

    within every poor family there is someone selected by God so as to break the chain of poverty. Congratulations to Simba

  • @user-qq2oc4bt3i
    @user-qq2oc4bt3i Před měsícem +1

    Mashallah mashallah

  • @Tariq_Tryagain
    @Tariq_Tryagain Před měsícem +15

    Ila Esma na Duwe wana-chemistry nzur san.. ndomaana anapewag vitambaa vya kueka kichwani😂

  • @beatricejohn1659
    @beatricejohn1659 Před 25 dny +1

    Hongera sana Esma ❤❤Ila saa ndio uhame na friji ya watu😂😂😂Pepsi cola

  • @user-ne4fl7kc8h
    @user-ne4fl7kc8h Před 26 dny +1

    Hongera kwake❤❤❤❤❤

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před měsícem +5

    Hongera sana esma umepamba dada umaalufu wako. Umeutumia vyema

  • @jocelyneliaminarukundo3633
    @jocelyneliaminarukundo3633 Před měsícem +4

    Congratulations esma

  • @jrsingham
    @jrsingham Před 11 dny

    Maashaallah Allah amfungulie zaid

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 Před 29 dny

    Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před měsícem +4

    ila jamani mbona mnamuuliza maswali sensitive hivi kuhusu mume wake kuhusu vyanzo vya mapato? kweli jmni msifanye hivo. alichokuambia basi ridhika ndugu yangu. eti baba? mwacheni dada wa watu

  • @asallymbwego3914
    @asallymbwego3914 Před 11 dny

    Big la nyumba Hongera aisei

  • @mussanchimani4839
    @mussanchimani4839 Před 29 dny

    Hongera

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Před měsícem +3

    Ila esma ni mzuri bhana

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th Před měsícem +2

    Hakuna space kwa lena kama mim hapo sijui kama nitaweza kuingiza gari na kutoa

  • @FelistersMejumaa-xi2ge
    @FelistersMejumaa-xi2ge Před měsícem +2

    Hongera dada ❤❤

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před měsícem +1

    Mashalah esma yuda una akil😂❤

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Před měsícem +2

    safi kujenga sio mchezo

  • @MkamiMaro
    @MkamiMaro Před měsícem

    ❤❤

  • @jumabikyeombe3392
    @jumabikyeombe3392 Před měsícem

    ❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před měsícem

    ❤❤❤

  • @MwanamisiKumbiko
    @MwanamisiKumbiko Před měsícem

    Ameua. Ila kasahau kitu kidogo sanaaaa

  • @Dativa-fe3cj
    @Dativa-fe3cj Před měsícem

    Usk mwema

  • @user-bg6jh2no2c
    @user-bg6jh2no2c Před 25 dny +1

    Amna cha husband material walla nini ni kibenten kama vibeten wengine🤐🤐🤐

  • @user-kw2cd7qu4p
    @user-kw2cd7qu4p Před měsícem +2

    😂😂😂lazima amtetee mume ila hakuna kitu hapo😅😅

  • @user-zz7jr7yj9m
    @user-zz7jr7yj9m Před měsícem

    Honger yakeee anajitahidi

  • @user-dl2cr9dk1m
    @user-dl2cr9dk1m Před měsícem +2

    Jamani mpeni maua yake kajitahidu

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd Před měsícem +1

    Uyo esma anavoogopa camera sasa😃😃

  • @CROWNMEDIAKE
    @CROWNMEDIAKE Před 26 dny

    Congratulations

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk Před 19 dny

    Mulokoziiii nyumba nimeiona ni nzuri haujapanga matofaliiiiii umejenga kweli nyumba ni nzuri hongera dada esma unawapa moyo mabintiiiiii wadogo wasidange watafute pesa wafanye vitu vya maana ila hapo simba dangote Ana mkono wake Kaka nasibu nimeona Ka friji ka pepsi

  • @sund2553
    @sund2553 Před měsícem +1

    Mmewe ni mission town 😂😂😂

  • @rewardnjau7220
    @rewardnjau7220 Před měsícem +7

    mond kwa promo ni hatareee, nani kaona friji la pepsi ndani kwa Esma?

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 Před měsícem +1

    Wasafi mbona mwatumia micro fon Moja 🤷

  • @user-gy7mk8ur1f
    @user-gy7mk8ur1f Před měsícem +3

    Nyumba kubwa sana ila kiwanja kidogo sana

    • @EzzyEddy-il3ce
      @EzzyEddy-il3ce Před 28 dny

      Unataka kiwanja cha kujenga nyumba au unataka kiwanja Cha kujenga bustani??? Mpe maua yake bhn acha izo kaka

    • @user-gy7mk8ur1f
      @user-gy7mk8ur1f Před 26 dny

      @@EzzyEddy-il3ce huwa una elewa cjampinga nimesema nyumba kali ila kiwanja kidogo angalia kuna upande uwezi hata kupita sio lazima nyumba iwe na bustani ila nafasi muhimu

  • @SalmaBakari-dq3rs
    @SalmaBakari-dq3rs Před 27 dny +1

    Mashaallah

  • @HenriHSP
    @HenriHSP Před 27 dny

    Nasikia tu s2kizy baby

  • @Official83640
    @Official83640 Před měsícem +5

    Na atakuwa na mimba maana tumbo limechomoka maa'shaallah

    • @criminalminds7723
      @criminalminds7723 Před měsícem

      Atazaa vipi na alilalamika alifirwa mkundu na jamaa mwengine mpaka akashindwa kukaa vizuri?

    • @LeeLian95
      @LeeLian95 Před měsícem

      @@criminalminds7723looh haikua saut ya Esma ile mxew

    • @Official83640
      @Official83640 Před měsícem

      @@criminalminds7723 Innalillah

  • @saummohamedm435
    @saummohamedm435 Před měsícem +12

    Kweli tv ya familia

  • @Naju645
    @Naju645 Před měsícem +1

    Due mnafk et chanzo cha mapato😅😅

  • @user-nw3ie8yq1x
    @user-nw3ie8yq1x Před 16 dny

    🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Před měsícem

    Esma nomaaa😂😂😂

  • @user-pf7cu9px3c
    @user-pf7cu9px3c Před měsícem

    Me duwe namkubAli sana

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r Před měsícem

    Wambea kama nn mnafukuzwa lkn mmoo tuu

  • @HabibahKhalfan
    @HabibahKhalfan Před měsícem

    Dada zazamani tupesisi izofenich

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 Před 26 dny

    Sasa ni kwanini anazunguka nyumba nzima mnafanyishwa interview ya kuoneshwa nyumba nzima kwa dirishani usumbufu tuuu😂

  • @user-he2pk6io4d
    @user-he2pk6io4d Před měsícem +2

    Sasa mnaweka miziki ya nini na maojiano

  • @lilianpuka218
    @lilianpuka218 Před měsícem +6

    Mbona freji la Pepsi ndani 😮😮😮

    • @mfalmekaitaba2425
      @mfalmekaitaba2425 Před měsícem

      Kwahiyo umechukia au?

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 Před měsícem +1

      ​@@mfalmekaitaba2425jmniiiiiiiiii 😅😅😅

    • @Merry-re1pw
      @Merry-re1pw Před 21 dnem

      Ukumbuke wana hisa za Pepsi hao lzm litue kwao.

  • @mylovejosecharles4362
    @mylovejosecharles4362 Před 25 dny

    me nampnda esma hana mambo mengi

  • @afrigrowers
    @afrigrowers Před měsícem +1

    Hongera zake amejitahidi na ameweza haijalishi mume kachangia au laa chamsingi ni furaha na amani tu.unaweza olewa na mwenyepesa ukakosa furaha.

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Před měsícem +9

    Raha ya kuoa mishangazi wanamijengo yao 😂

    • @user-gu1lg2zr8s
      @user-gu1lg2zr8s Před měsícem

      Wanaume wavivu ndio nyie, sasa utamu gani kulelewa maskini, unakua hauna say. Kakangu tafta pesa, kujisimamia kama mwanaume kuna utamu wake. Pambana sana usikate tamaa

  • @Deedah4
    @Deedah4 Před 28 dny

    Gorofa 2 ?? Au moja tu??

  • @farhannahkulishwaburekunam5360

    Ipo mitaa gani nyumba nzuri

  • @mwajumagomera7609
    @mwajumagomera7609 Před měsícem

    Hongera mwaya esma

  • @fatimawazeer701
    @fatimawazeer701 Před měsícem +1

    😂😂

  • @salamalsawaqi1206
    @salamalsawaqi1206 Před měsícem +3

    Sasa na huo mziki kwanini hatusikii ila mziki

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Před měsícem +1

    Serikali angalieni kwa jicho pevu mbezi beach, kama asemavyo Esma , barabara za mbezi beach zinatisha. Sifa ya mbezi na uhalisia ni tofauti

  • @mwanaidingwita6214
    @mwanaidingwita6214 Před měsícem

    😂😂😂😂❤

  • @user-tk4ko9on7n
    @user-tk4ko9on7n Před 14 dny

    hichi kipende mwenyewe ni aaliyah tu

  • @sophiekanyengele3241
    @sophiekanyengele3241 Před měsícem +1

    Kwahiyo tv ya familia imeitwa ili ituonyeshe nyumba?

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 25 dny

      Ni nyumba ya kawaida lakini watanzania wengi hawaishi kwenye majumba mazuri basi hiyo nyumba wanaiyona ni kitu cha AJABU sanaaa . Umasikini mbaya.

  • @user-wf4vk3vz8e
    @user-wf4vk3vz8e Před měsícem +1

    Sometimes try to do your interviews in English bro

    • @nyabugongwe2933
      @nyabugongwe2933 Před měsícem +1

      We are in Tanzania brother

    • @user-wf4vk3vz8e
      @user-wf4vk3vz8e Před měsícem

      @@nyabugongwe2933 it's fine but u can as well mix English and kiswahili

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Před měsícem

    Angalawu mmeanza kujenga makwenu. Hiii nyumba ni nzuri ndani kuliko hata ya Mwijaku haaaa njo vizuri mutoke kwenye majimba yakupanga Esma ikosaha nijamuzito

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 Před měsícem

      Nyumba wanazo hawa sema hawataki zionyesha tu

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 Před měsícem +1

      Diamond ana zake pia ila yuaficha baby Mama zake wasilete fujo

    • @RandB_Channel
      @RandB_Channel Před měsícem

      @@Mohaa4309 kwa mbwembwe za Diamond akose kuzionesha . Hana

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x Před měsícem

      ​@Mohaa4mmmhh309

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před měsícem

    😂😂😂😂😂

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 Před měsícem

    Nikion hivi najion kumbe me kile kibanda changu km ch kufugia kuku tu mbele za watu😢

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 Před 17 dny +1

      Tuko wengi lkn nivizuri kushukuru naulichonacho wapo ambao hata hicho chakufugia kuku hawana😢

  • @user-kq5qc4qv5e
    @user-kq5qc4qv5e Před měsícem +1

    KWA mumewe kaongea kwa uchungu 😅

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před měsícem

    Kapewa na mond kwa vitambaa gani navyo mpaka mtoto anasomeshewa

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Před měsícem

    Hilo limziki ni lann punguzen basi

  • @juliakinusa4900
    @juliakinusa4900 Před měsícem +1

    Makeup jamaaani...bila hio kizungu mkuti....in reality u not pretty....let's b really..dough... congrats sister...

  • @shahamtindo
    @shahamtindo Před 27 dny

    Haka kaesma kazurii

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y Před měsícem +1

    Esma niajili niwe shaghala wako, ninaozowefu wakaz miaka 15 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 sasaa nataka nije kwako.

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd Před měsícem

    Uyo mtangazaj ako kakitambaa kichwan huwa ni ka nn😂😂😂😂

  • @KelvinPatrick-mm2zv
    @KelvinPatrick-mm2zv Před měsícem +1

    duu ila due ni mmbea kinoma eti biashara gani

  • @Tariq_Tryagain
    @Tariq_Tryagain Před měsícem +2

    Ila Esma na Duwe wana-chemistry nzur san.. ndomaana anapewag vitambaa vya kueka kichwani😂