KUFURU JUMBA JIPYA LA ESMA DAGONTE, APATA KIGUGUMIZI KUMTAJA MUME WAKE KUHUSIKA.!
Vložit
- čas přidán 23. 05. 2024
- #esmaplatnumz #wasafi
KUFURU JUMBA JIPYA LA ESMA DAGONTE, APATA KIGUGUMIZI KUMTAJA MUME WAKE KUHUSIKA.!
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Duh!! Huyu Dada katumia vizuri umaarufu wa ndugu yake kujipatia utajiri na umaarufu...huo mjengo ni balaa zito mnooo🎉🎉🎉
Kabisa wanakwambia ndugu apate nawewe upatee😊
Kajitahidi ..ongera sana esma..umeweza dada.. mungu akubaliki Kila la heri esma.. ubarikiwe
Kujenga sio kazi ndogo tuzidi kumuomba Mungu azidi kutupa hizo baraka👏👏👏👏👏👏👏
Inshaallah
MashaAllah. ..Mungu mkubwa ukiwa hai usikate tamaa..a.walivyokua na maisha ya dhiki nani alidhani watakuja nao waishi hivi...Usikate tamaa..tia bidii Mungu atatenda
Hongera sana kipenzi cangu ESMA nimekupenda sana sema umasikini mbaya daah! Zuchu atulie kwa huyo huyo Simba hawapendi kuona akiwa nae akiachana nae wataanza kumuhesabia wanaume waanze kumuita malaya
Safi Sana Esma wanataka zuchu ayisabiliwe wanaume alafu haohao kesho wamwite Malaya siyo hulka yake kabisa yani waganda net kama ruba awakusema waseme yeye asijali zuchu wetu❤❤❤
Ndoinavyotakiwa mwanamke siyo kwenda kuongeza makalio❤
Bro mtangazaji sema Masha Allah sije ukatia husda jumba la watu😄😄
within every poor family there is someone selected by God so as to break the chain of poverty. Congratulations to Simba
Your absolutely right
Absolutely
Mashallah mashallah
Ila Esma na Duwe wana-chemistry nzur san.. ndomaana anapewag vitambaa vya kueka kichwani😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂hatari
Hongera sana Esma ❤❤Ila saa ndio uhame na friji ya watu😂😂😂Pepsi cola
Hongera kwake❤❤❤❤❤
Hongera sana esma umepamba dada umaalufu wako. Umeutumia vyema
Congratulations esma
Maashaallah Allah amfungulie zaid
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
ila jamani mbona mnamuuliza maswali sensitive hivi kuhusu mume wake kuhusu vyanzo vya mapato? kweli jmni msifanye hivo. alichokuambia basi ridhika ndugu yangu. eti baba? mwacheni dada wa watu
Big la nyumba Hongera aisei
Hongera
Ila esma ni mzuri bhana
Hakuna space kwa lena kama mim hapo sijui kama nitaweza kuingiza gari na kutoa
Hongera dada ❤❤
Mashalah esma yuda una akil😂❤
safi kujenga sio mchezo
❤❤
❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥
❤❤❤
Ameua. Ila kasahau kitu kidogo sanaaaa
Usk mwema
Amna cha husband material walla nini ni kibenten kama vibeten wengine🤐🤐🤐
😂😂😂lazima amtetee mume ila hakuna kitu hapo😅😅
Honger yakeee anajitahidi
Jamani mpeni maua yake kajitahidu
Uyo esma anavoogopa camera sasa😃😃
Congratulations
Mulokoziiii nyumba nimeiona ni nzuri haujapanga matofaliiiiii umejenga kweli nyumba ni nzuri hongera dada esma unawapa moyo mabintiiiiii wadogo wasidange watafute pesa wafanye vitu vya maana ila hapo simba dangote Ana mkono wake Kaka nasibu nimeona Ka friji ka pepsi
Mmewe ni mission town 😂😂😂
mond kwa promo ni hatareee, nani kaona friji la pepsi ndani kwa Esma?
😂😂😂 mwamba
Wasafi mbona mwatumia micro fon Moja 🤷
Nyumba kubwa sana ila kiwanja kidogo sana
Unataka kiwanja cha kujenga nyumba au unataka kiwanja Cha kujenga bustani??? Mpe maua yake bhn acha izo kaka
@@EzzyEddy-il3ce huwa una elewa cjampinga nimesema nyumba kali ila kiwanja kidogo angalia kuna upande uwezi hata kupita sio lazima nyumba iwe na bustani ila nafasi muhimu
Mashaallah
Nasikia tu s2kizy baby
Na atakuwa na mimba maana tumbo limechomoka maa'shaallah
Atazaa vipi na alilalamika alifirwa mkundu na jamaa mwengine mpaka akashindwa kukaa vizuri?
@@criminalminds7723looh haikua saut ya Esma ile mxew
@@criminalminds7723 Innalillah
Kweli tv ya familia
Na nyinyi anzisheni yenu mtabanwa na wivi mwishowe mpate ma depression
Anzidha Yako basi bwana 😏😏😏
Anzisha yenu
Due mnafk et chanzo cha mapato😅😅
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Esma nomaaa😂😂😂
Me duwe namkubAli sana
Wambea kama nn mnafukuzwa lkn mmoo tuu
Dada zazamani tupesisi izofenich
Sasa ni kwanini anazunguka nyumba nzima mnafanyishwa interview ya kuoneshwa nyumba nzima kwa dirishani usumbufu tuuu😂
Sasa mnaweka miziki ya nini na maojiano
Si ndio ujinga wa KiBongo🤣🤣🤣
Mbona freji la Pepsi ndani 😮😮😮
Kwahiyo umechukia au?
@@mfalmekaitaba2425jmniiiiiiiiii 😅😅😅
Ukumbuke wana hisa za Pepsi hao lzm litue kwao.
me nampnda esma hana mambo mengi
Hongera zake amejitahidi na ameweza haijalishi mume kachangia au laa chamsingi ni furaha na amani tu.unaweza olewa na mwenyepesa ukakosa furaha.
Ni kweli
Raha ya kuoa mishangazi wanamijengo yao 😂
Wanaume wavivu ndio nyie, sasa utamu gani kulelewa maskini, unakua hauna say. Kakangu tafta pesa, kujisimamia kama mwanaume kuna utamu wake. Pambana sana usikate tamaa
Gorofa 2 ?? Au moja tu??
Ipo mitaa gani nyumba nzuri
Hongera mwaya esma
😂😂
Sasa na huo mziki kwanini hatusikii ila mziki
Serikali angalieni kwa jicho pevu mbezi beach, kama asemavyo Esma , barabara za mbezi beach zinatisha. Sifa ya mbezi na uhalisia ni tofauti
😂😂😂😂❤
hichi kipende mwenyewe ni aaliyah tu
Kwahiyo tv ya familia imeitwa ili ituonyeshe nyumba?
Ni nyumba ya kawaida lakini watanzania wengi hawaishi kwenye majumba mazuri basi hiyo nyumba wanaiyona ni kitu cha AJABU sanaaa . Umasikini mbaya.
Sometimes try to do your interviews in English bro
We are in Tanzania brother
@@nyabugongwe2933 it's fine but u can as well mix English and kiswahili
Angalawu mmeanza kujenga makwenu. Hiii nyumba ni nzuri ndani kuliko hata ya Mwijaku haaaa njo vizuri mutoke kwenye majimba yakupanga Esma ikosaha nijamuzito
Nyumba wanazo hawa sema hawataki zionyesha tu
Diamond ana zake pia ila yuaficha baby Mama zake wasilete fujo
@@Mohaa4309 kwa mbwembwe za Diamond akose kuzionesha . Hana
@Mohaa4mmmhh309
😂😂😂😂😂
Nikion hivi najion kumbe me kile kibanda changu km ch kufugia kuku tu mbele za watu😢
Tuko wengi lkn nivizuri kushukuru naulichonacho wapo ambao hata hicho chakufugia kuku hawana😢
KWA mumewe kaongea kwa uchungu 😅
Kapewa na mond kwa vitambaa gani navyo mpaka mtoto anasomeshewa
Unakuwepo akipewa hivyo vyote acha wivu bana
Labda sapoti lakini na yeye ameweka kitu
Hilo limziki ni lann punguzen basi
Makeup jamaaani...bila hio kizungu mkuti....in reality u not pretty....let's b really..dough... congrats sister...
Haka kaesma kazurii
Esma niajili niwe shaghala wako, ninaozowefu wakaz miaka 15 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 sasaa nataka nije kwako.
Mmmh
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 we kuweza
Uyo mtangazaj ako kakitambaa kichwan huwa ni ka nn😂😂😂😂
Anafunikia kichogo chake 😂😂😂😂😂
Anatangaza vitambaa vya Esma
duu ila due ni mmbea kinoma eti biashara gani
Ila Esma na Duwe wana-chemistry nzur san.. ndomaana anapewag vitambaa vya kueka kichwani😂