MBOSSO AWEKA WAZI KUHUSIANA NA BINTI MUNIRA ALIYEDAI KUNYWA SUMU KWAAJILI YAKE ENDAPO ATAMKATAA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024

Komentáře • 2,2K

  • @reggyvallerin7460
    @reggyvallerin7460 Před 4 lety +581

    Demu mwenyewe ni mzuri kinoma, Me najua mbosso huwezi kuniangush🙏 Kama na wew umeliona hii gonga like tuende sawa.

  • @irutingabojoel1060
    @irutingabojoel1060 Před 4 lety +113

    Yani demu akapenda kinoma tafadhali sana tu mbosso mkubaliye anaye penda munira aolewe na mbosso agonge like hapa👈

  • @evandan7
    @evandan7 Před 4 lety +780

    Duh! Hilo geti ndo noma,ka unakubaliana na mimi tafadhali naomba like yako

  • @timamohamed5345
    @timamohamed5345 Před 4 lety +8

    ni ajili ya nyimbo zake za mahaba. tunapenda mapenzi jamani na kubembelezwa saana, kudekezwa sana. sasa labda akiimba tunahisi ndio kinachoendelea katika maisha yake. big love Mbosso

  • @fadhilsanga2847
    @fadhilsanga2847 Před 4 lety +8

    Kama unamkubali mbosso gonga like twende sawa huyu jamaa anajielewa sanaa

  • @florambwambombwambo1322
    @florambwambombwambo1322 Před 4 lety +855

    Kama umeona picha ya boss matha gonga like hapa

  • @Ericoh..467
    @Ericoh..467 Před 4 lety +15

    Napenda mbosso venye uko tu humble Mungu aendelee kukuinua....

  • @nazaelyshani7973
    @nazaelyshani7973 Před 4 lety +5

    Mbosso khn nakubali kaka uko vzur weka like zako kama unamkubali muhindi wa kusini

  • @Euphemiafabi...
    @Euphemiafabi... Před 6 měsíci +2

    Humble mbosso 😊❤ata mm Niko njiani Naja 🤭☺️🥰,,,,,,nakupenda pia😂❤😂😂

  • @langeoym2mbaya117
    @langeoym2mbaya117 Před 4 lety +56

    kama unampenda mbosso gonga like

  • @metiakijoseph9913
    @metiakijoseph9913 Před 2 lety +3

    As a Kenyan from Mombasa, this was the best option my bro Mboso. Take it easy, you are a star in Msa this is normal. How you hundled it was awesome.

  • @boniphacegervas8118
    @boniphacegervas8118 Před 4 lety +273

    Haha alie Sikia kuwa mboso anaweza muoa huyo dem cku za uson... Gonga like

  • @iammusic3404
    @iammusic3404 Před 4 lety +9

    Mbosso ana mjengo mkal hv
    Asante 💎😍

  • @husnaali36
    @husnaali36 Před 3 lety +3

    Mbosso km mbosso. 😍😍. Mi mwenyewe napnga kuja kufnya kolabo na mbosso😂😂. Km tun kubliana nipn like apo.. 🙈💪. Mbosso juu juu sana tamu ya warembo kwa nyimbo zko tuu sio kingine💕💕💕💕

  • @ladylikealwiya
    @ladylikealwiya Před 4 lety +7

    mbosso u are my heartbeat😍 mob love from 254

  • @emmanuelyjoseph2957
    @emmanuelyjoseph2957 Před 4 lety +122

    Unaeshimaaa sanaa mbosso hio tabiaa ndo yakuigaaa safiii sanaa

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 Před 4 lety +3

    Nimempenda mboso naona picha ya mzazi mwenzako stand comedy Dada mkuu Martha blessing brother

  • @annvic3996
    @annvic3996 Před 4 lety +16

    This guy continues to win my heart....he understands how love works. Ni mustarab boy sana. He has love experience. Ngoma zake ni noma sana, its like his speaking to you directly😘😘

  • @zulfamziwanda794
    @zulfamziwanda794 Před 4 lety +2

    Hata kama kupenda ni dhambi kesho kwa mungu nitakaa Kitano nikuombe radhiii acha yakukute mboso kama Niko sawa gonga like

  • @victoromondiochieng9865
    @victoromondiochieng9865 Před 7 měsíci +1

    Waaah noma.....swali langu ni aje
    Do this girl wins mbosso?❤❤

  • @beparlakihaya1921
    @beparlakihaya1921 Před 4 lety +31

    dah pole sna mdgo wangu jikaze tu, ndoustar uwo

  • @master-pu2hc
    @master-pu2hc Před 4 lety +31

    mbosso unapend sn kutabasam yaan uko happy mda ote gd blss

  • @RahmaMohamed-vh8gt
    @RahmaMohamed-vh8gt Před 4 lety +52

    Jaman me naon Kama yuko xaw kwan kuna ubay mtu kuongea hixia zak Jmn 🤷🏼‍♀️🤷🏼‍♀️🤷🏼‍♀️🤷🏼‍♀️🤷🏼‍♀️❤️❤️❤️❤️

  • @officialkassimu7791
    @officialkassimu7791 Před 3 lety

    Kama unakubali mbosso amwoe Munira gonga like yako hap

  • @liliannyakweba6403
    @liliannyakweba6403 Před 2 lety +1

    Mbosso hta mimi nakupenda sana hisia za mapenzi unasijua sana keep up the good work definition of love.

  • @rich3051
    @rich3051 Před 4 lety +147

    Mbosso ana mke na watoto afaa kuheshimiwa wewe dada rudi kenya ungoje Mwenyezi Mungu akupe mume wako sio kutaka waume za watu

    • @saadakiyungi6437
      @saadakiyungi6437 Před 4 lety +2

      Sarah Kililo Ana mke au anamalaya mwenzie?

    • @ceciliastephano645
      @ceciliastephano645 Před 4 lety

      kamaupepo wa kisulisuli umemleta basi umludishe alipotoka😂😂😂😂

    • @marylandmary4067
      @marylandmary4067 Před 4 lety +1

      Sasa mbosso anamkataa huyo demu na maybe walikutana wanaume mna za ovyooo Sasa anamkana mwezie bure.

    • @marylandmary4067
      @marylandmary4067 Před 4 lety

      Maisha Sasa ni magumu akuna mwanamke anamtegemea mwanaume Juu kila kikicha mambo na vimambo

    • @iqraabuhet6588
      @iqraabuhet6588 Před 4 lety +2

      Sarah.. Mboso kaoa lini?

  • @rachelmukazayire8293
    @rachelmukazayire8293 Před 4 lety +8

    mapenzi Jamani, mbosso you're a good guy who understands hisia za mapenzi ya mtu. Wanaume wengi hawaelewi na hawaeshimu hisia za wanamke, wakisha jua una hisia za mapenzi kwake wanaakudanganya na kuanza kuchezea Moyo wa mtu.

  • @mimaakenirram1405
    @mimaakenirram1405 Před 4 lety +51

    r.i.p boss mathar hira mbosso ulimpenda huyu dd bac tu

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 Před 4 lety +25

    Kama umeuelewa mjengo wa Mboso gonga like

  • @rachelmukazayire8293
    @rachelmukazayire8293 Před 4 lety +5

    My love from Rwanda

  • @patricemacky1164
    @patricemacky1164 Před 4 lety +107

    Icho ndo kilicho mfanya mickael jakson akawa king of pop mana alikua kipenzi cha watu kila alie mwambia i love you alimjibu i love you to na alieshimu isia za mashabi sugu kama uyo dada kikubwa zaidi nikumfariji kiujanja ujanja. rest in peace Mj 😭😭😭 kama na wewe umemmisi mikel gonga like hapa.

    • @minyugeminyuge6753
      @minyugeminyuge6753 Před 4 lety +1

      Kabisa kaka., education’ hata kidogo ni bora kwa tasnia yao ya muziki., hayo ni maradhi tu kwa huyu msichana very innocent’ ni ushabiki tu na mwanzo wa mapenz.
      So’ mboso kuwa na busara ya kumpunguz kiakil maana watakuja wengi kwa kupenda muziki wako., utajisikiaje mtu kapanda maradhi hata ya akil au kufa kwa ajili yako? tena ulishaongea hata mara moja?

    • @ruwaidaali8937
      @ruwaidaali8937 Před 4 lety +1

      Tatizo ilooo upepo huo WA kisurisuri

    • @patricemacky1164
      @patricemacky1164 Před 4 lety

      @Sulayzi VEVO shukrani sana.

    • @patricemacky1164
      @patricemacky1164 Před 4 lety +1

      @@ruwaidaali8937 hahaha wameanza kupokea😂😂😂

    • @patricemacky1164
      @patricemacky1164 Před 4 lety +2

      @@minyugeminyuge6753 umeona ndo mwanzo wa kua star mboso ameanza kushindwa kuimi mikiki mpaka anadai alitaka kwenda polisi je atapofika kwenye level ya juu ya hustar mambo yatakuaje ? Unacho kisema nikweli education ni inaitaji kwenye tasnia ya musiki.

  • @user-cl8bz4zw1r
    @user-cl8bz4zw1r Před 4 lety +16

    Mashaallah mboso tunakusubir huk maskat

  • @nsanzabahizirahma7104
    @nsanzabahizirahma7104 Před 4 lety +78

    Pole san Mboso unamutihani ila Allah atakuwekeya wepesi

  • @aminajuma
    @aminajuma Před 3 dny

    Well, honestly, I am married, but I really admire Mbosso. Therefore, I think I know why those girls are really into Mbosso cuz he’s got a potential. through his music, just redefined him as a good one so it’s good.

  • @yusufally6853
    @yusufally6853 Před 4 lety +1

    Pia mboso we we una nyota nzuri ya kupendwa...mungu akusaidie pia wew n MTU was watu na mpole ..nyimbo zako pia za slowmotion na msisimuko.ndan ya mioyo za watu zinakongwa...mungu akulinde na hasad.pia jitahid uoe na c kuongeza watoto was nje...umeumbwa wew hujui SAA wala DKK... Prevention better than cure.tahadhari kabla lmauti

  • @sarahhamisi2070
    @sarahhamisi2070 Před 4 lety +31

    safi sana ila ukikua usijemsalit/ bos utokage kwawema2

  • @jacksonjosephkungunde6337

    Mboso upo vizuri sana ndugu yangu, umejua kumjibu kwa hekima.. Hongera sana

  • @mackladislaus474
    @mackladislaus474 Před 4 lety +61

    Hiyo ni kweli mboso mdogo wangu anaitwa chino huwa akiona nyimbo zako lazima alie anadaiii anakupenda sana

  • @tida3727
    @tida3727 Před 3 lety +4

    Sisi Kama wakenya tunamuobea huyu mtoto wetu,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hii nayo ni Kali

  • @gm7045
    @gm7045 Před 4 lety +8

    Mboso you’re smart man

  • @Jackiedaniel75
    @Jackiedaniel75 Před 4 lety +25

    She’s cute thou

  • @mohamedabdallah8321
    @mohamedabdallah8321 Před 4 lety +5

    Mboso unajua kujieleza vizuri saana nimependa na nikushauri kitu usijaribu kujichora kama bosi wako acha kabisa angalia ivo unavopendeza safi sana

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 Před 4 lety +483

    Nyimbo zako mbosso ndo zinazo sabanisha ufatwe na wasichan tofaut tofauti upepo wa kisulisuli huo 😂😂

    • @machadostopper586
      @machadostopper586 Před 4 lety +3

      z Qatar nom

    • @chedielymussa4045
      @chedielymussa4045 Před 4 lety +1

      ukiskia mbosso hodari ndo hiki kinamkuta

    • @zaiiomary8970
      @zaiiomary8970 Před 4 lety +3

      @@chedielymussa4045 hodar wamapenz haraf amebeba jina kubwa kutok India sio name nampenda kuchi hotahe tumpase hae wee stor ya mapenz yan namboss anamizik wake anabez na mapenz uwiii

    • @hadijangaya477
      @hadijangaya477 Před 4 lety +2

      z Qatar Hahaaaa rewo nimecheka, njoo uchukuwe soda

    • @mymunamymuna4807
      @mymunamymuna4807 Před 4 lety +3

      Punguani wa akili huyo dada

  • @mayangehemed9804
    @mayangehemed9804 Před 4 lety +1

    Waislamu kumbe wana good kind...yaani wakarimu kweli asee good interview.

  • @boscoboscoboy3100
    @boscoboscoboy3100 Před 4 lety +1

    Ati fresh baridi uliwai mpenda mtu mwenye ako na mausiano akakufanya mchepuko umuwa broo mbosso

  • @esabellaleonard2313
    @esabellaleonard2313 Před 4 lety +236

    Mmmh uyo demu nae bado anamistari ya zaman eti npo tayar kunywa sumu

  • @yusufmwash6299
    @yusufmwash6299 Před 4 lety +43

    Duh! Mwambieni aje kwangu katuacha kenya na kuja Dar kutafuta mbosso.🇰🇪🇹🇿

  • @husseinlanh2052
    @husseinlanh2052 Před 4 lety +3

    Mh gelz have confdence eeh!!! Km unakubaliana na mm gonga like hapa

  • @iddywalocation1030
    @iddywalocation1030 Před 4 lety +1

    Anae kubali wasanii Wanakula bata Kinoumaaaa gonga like hapa

  • @kenyanyavanistir3064
    @kenyanyavanistir3064 Před 2 lety +2

    Much respect mr Mbosso

  • @makulazomorice3766
    @makulazomorice3766 Před 4 lety +33

    Kwa maisha haya mwisho wa siku mtu akisema lipa milion 500 mnasema mnanyanyaswa

  • @dailylife2543
    @dailylife2543 Před 4 lety +3

    Mapenzi kizunguzungu jameni...alafu pia wee Mbosso umzuri sana...wavutia mno..nyimbo zako pia Mashallaaah...mi mwenyewe pia wa Mombasa...na kuna venye huwa wanipagawisha lakini nachezea chini...nachorea hiyo story😂😂kwa hiyo huyo binti mi simlaumu wala I will not judge her...but ongea naye tena...tusipuuze mwishowe tukaanza kutype humu RIP Munira...ati kajiua kweli...(Astaghfirullah)...she needs help...mawaidha na ushauri tasaidia sana.

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Před 4 lety +6

    Inshallah pia mm nkirud Home ntakutafita nkupe za wadi braza mbosso 😎

    • @azaliayefta1163
      @azaliayefta1163 Před 4 lety

      Una mtihani mgumu sana mbosso Dada wa watu kakolea sana mzee

  • @paschalpeter4540
    @paschalpeter4540 Před 4 lety +1

    Mbsso unaakili sana kwa kuangalia mbele wengine hap wangepita naye pyaaaa bila kuangalia kesho so big Up

  • @poulkiarie254
    @poulkiarie254 Před 3 lety +2

    Mbosso uko very understanding to many, nakupenda sana kakangu,heko kaka,walakini saidia huyo dada munira.

  • @prezoking7781
    @prezoking7781 Před 4 lety +12

    Aiiii....kenyans ladies jiheshimu jameni,,,,how can you love someone that even he does not think that you exist in this world,,,nimeboeka sana wacheni kutuaibisha jameni.

    • @eveeve4077
      @eveeve4077 Před 2 lety

      Walai u manzi ame tuchea ndogo

  • @mulamwanaliaka2900
    @mulamwanaliaka2900 Před 4 lety +4

    Mimi ni mkenya mbosso labda huyu dada ni jini la Mombasa mwangalie vizuri unaweza ingia illuminated bila kujua

  • @caroladanez3344
    @caroladanez3344 Před 4 lety +3

    2020 huyu dame bado yupo🤣🤣🤣🤣 mbossoh apenda kufurahi sana he is a good man

  • @amamohammed8072
    @amamohammed8072 Před 4 lety +2

    MASHALLAH MBOSO KWA KUPENDWA LAKINI MUNIRA ANAWAZIMU ENDELEA MBELE USIANGALIE NYUMA HATA SIKUMOJA BADAE

  • @winniejoy9518
    @winniejoy9518 Před 4 lety +1

    Wah kumbe sio mimi pekee yangu niko na hiyo shida munira nakupa wewe kubali hata ukiolewa bibi wa sita sawa 😭😂😅

  • @Pascal1122
    @Pascal1122 Před 4 lety +24

    Umemusahau FALLY IPUPA, THE KING

  • @saleheathumani1291
    @saleheathumani1291 Před 4 lety +73

    Sio kila mwanamke akimtongoza mwanaume mkazania ni Malaya🙈hata wao wanahisia Kama sisi mda mwingine inabidi uheshimu hisia za mtu mbosso inabidi msikilize huyo dada kwani hadi katoka kenya kaja bongo bc kweli anamapenzi ya kweli na wewe🙆upepo wa kisurisuri huo umekuja kwako 😂😂😂

  • @mariamnamwa188
    @mariamnamwa188 Před 4 lety +10

    its not easy but by the tym huyu dem akili itatulia tu

  • @tumtumkhan3115
    @tumtumkhan3115 Před 4 lety +12

    Sidhani kama ni mkenya jinsi anavyoongea nakataa aseme anatokea Mombasa upande gani alafu pia kama akili zake hayumo ama ni huko kupenda

  • @rahmanmaabadi3760
    @rahmanmaabadi3760 Před 4 lety +6

    God bless you mboso Khan tunaokupenda tupo weng tang ya moto band full Maupendo 💖💖💖

  • @videlialabeka4899
    @videlialabeka4899 Před 4 lety +8

    Mbosso anacheka poa...mm nmeona ☺☺☺

  • @zenamadhan2517
    @zenamadhan2517 Před 4 lety +5

    Mbosso akaa mpole mashallah..

  • @luludiva7276
    @luludiva7276 Před 4 lety

    Kama unaamini mbos. Ni mkali gonga like

  • @sylviawawira6525
    @sylviawawira6525 Před 4 lety +2

    Iiih waah hii noma kweli upepo wa kisulisuli umetembea kenya kila kukicha mapya mmh

  • @rodgersmukhove3776
    @rodgersmukhove3776 Před 4 lety +49

    Munira anaweza,mbosso mfanyie huruma mtoto wa watu

    • @kardblymond3634
      @kardblymond3634 Před 4 lety +1

      rodgers mukhove 😂😂😂😂😃

    • @yurubadan7334
      @yurubadan7334 Před 4 lety

      Muonee huruma mtoto wa wtu bwana,mbosso usijiangushe mwanangu

  • @beastmc6663
    @beastmc6663 Před 4 lety +39

    Mbosso upepo wa kisuli suli😂😂😂

  • @salvatory2987
    @salvatory2987 Před 4 lety +158

    Angecheza nachibu aone.. 😂 😂 Chibu hana hiana, angemsaidia angalau ndoa ya week moja2..

  • @leanabusanga875
    @leanabusanga875 Před 4 lety +2

    Ata mimi na kupenda mbosso 😍😍😍

  • @rosemarykatogomusanga1619

    Weee. mbosso. Kenyans so Beauty+254

  • @jacksonkayanda455
    @jacksonkayanda455 Před 4 lety +5

    Mbosso vuta jiko demu mzuri kinomaaa yani .....nafsi ya mwanamke from Mombasa inakulilia

  • @wolfgangkichai8577
    @wolfgangkichai8577 Před 4 lety +13

    Kachoka kusubiria upepo wa kisulisuli. Kaingia front mwenyewe 🤨🤨🤨🤨

  • @christinenanji526
    @christinenanji526 Před 4 lety +6

    Forcing a gut to love,stay with u jesus mbona unaaibisha mamako

  • @metrinewesonga2418
    @metrinewesonga2418 Před 2 lety

    Me too i love you mbosso

  • @richarddominico6953
    @richarddominico6953 Před 4 lety +1

    Mboss usichengane na bahati yako. Broo fanya ivoo

  • @elizabethatienoogutu2056
    @elizabethatienoogutu2056 Před 4 lety +4

    Hahahaaa mbosso get ready am coming for u next week ukinikataa nachange niwe mwanaume...heheee

  • @essauenock8148
    @essauenock8148 Před 4 lety +68

    mbsso ulitusimlia dodoma kua mapenz yamekutesa san. mhulumie huyu dad.

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Před 4 lety +19

    Uyu dada anahamuyakufa, atakuya sumu daaaaaah 🤔 😂

  • @yusufally6853
    @yusufally6853 Před 4 lety +2

    Ni sheria wanne na huwezi jua kesho yako muombe mwenyezimungu akupe wake was kheri inshallah.

  • @faithwairynyambu1385
    @faithwairynyambu1385 Před 4 lety

    Wew,, mm pia ntaenda kumsaka vany boy,, kama unanisuport piga like apa

  • @justinenyamao273
    @justinenyamao273 Před 4 lety +8

    Mimi sisemi kitu naomba tu like yako wadau

  • @kurubby9850
    @kurubby9850 Před 4 lety +1

    Km umeona picha ya matha gonga like apa

  • @AishaAisha-rh1fc
    @AishaAisha-rh1fc Před 4 lety +1

    Mboss Kua makini na wanawake wa aina iyo maana mkizinguana ana jiua

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 Před 4 lety +14

    Nyimbo zako pia mbosso jamani...vry romantic

  • @nuurkee7240
    @nuurkee7240 Před 4 lety +7

    Mboso usituangushe sisi wa kenya mu owe huyo murembo ni murembo sana 😅 gonga lik kama ume penda

  • @secondwife3561
    @secondwife3561 Před 4 lety +16

    In the meantime ,we disown munira as a Kenyan,,, 😁

  • @mariamramadhani3860
    @mariamramadhani3860 Před 4 lety +1

    Jamani sauti ya mboso kama ya dai gonga like

  • @joanchibbungu9786
    @joanchibbungu9786 Před 3 lety

    Huyo dada si mkenya,,, ata kiswahili chake si cha Mombasa mimi ni mkenya na nimekaa Mombasa sanaa... Wasichana wa Mombasa tena waswahili hawana ascent hiyo aache kudanganya na kutuvunjia heshima sisi kama wasichana wa Mombasa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ukhutysalmaah1463
    @ukhutysalmaah1463 Před 4 lety +7

    Kwan Kenya hakuna wanaume😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wakenya tulieni huko kwenu msituletee joto bongo maana kuna upepo wa kisuli suli

  • @gracemalatwe5344
    @gracemalatwe5344 Před 4 lety +106

    Du pole ila jaman hiyo picha ya matha jaman nimekumbuk mbali😢😢😢😢

  • @marycelinapaschal9619
    @marycelinapaschal9619 Před 4 lety +226

    Tulio ona picha ya boss matha tujuane

  • @razackmajaliwa5434
    @razackmajaliwa5434 Před 4 lety +7

    It's so amazing👍

  • @obediesenga9951
    @obediesenga9951 Před rokem

    Mbosso mkubali umhowe❤❤❤❤😊😊😮😮

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki6898 Před 4 lety +30

    wcb niwasani wasiojinyima kwa kidogo wanacho pata ongera sana mbosso,ila huyo ni nyota kutoka mbinguni anakupenda mdogo wangu kama nikuowa wake wawili chukuwa mzigo muishi wote.

  • @flightclubtanzania1638
    @flightclubtanzania1638 Před 4 lety +7

    Mbosso usiniangushe aseeee funika kombe mwanaharamu apite. 💎💎

    • @monicahmwkali1209
      @monicahmwkali1209 Před 3 lety

      Ukiona akijitokeza yeye mwenyewe kweli mapenzi yake kwa mbosso ni 🔥🔥🔥🔥ako mwisho sasa ww muongeleshe tu vizuri atakam utamuo hivi sasa asije poteza maisha juu ya neno mapenzi

  • @jontezdiamond670
    @jontezdiamond670 Před 2 lety +1

    Wale tukohapa Leo 2juane 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥