Itakushangaza: Yustar Mgaya Atoa Ushahidi Ugomvi wa Kajala na Harmonize, Sikutaka Kutoa Siri Hii I..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • Itakushangaza: Yustar Mgaya Atoa Ushahidi Ugomvi wa Kajala na Harmonize, Sikutaka Kutoa Siri Hii I..
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .#itakushangaza #yustarmgaya #atoaushahidi
    #huuhapaushahidi #harmonize #kajala #harmonizevskajala #tikitvkiakilizaidi

Komentáře • 338

  • @swahiliqueen9920
    @swahiliqueen9920 Před rokem +24

    Wow ❤❤❤❤ Tiki Tv mmejua kunikosha maana nilikuwa nasubiri sana kuona mahojiano ya huyu dada moyo wangu utulie mwenzenu mambo ni moto

  • @kavyashortsleon
    @kavyashortsleon Před rokem +28

    Huyu dada nampenda sanaaa hapindishagi mambo 🎉🎉🎉

    • @kalistamtanzania7220
      @kalistamtanzania7220 Před rokem +1

      Umeona eeeh Yani ananyoosha kisawaaawa

    • @NicodemusKithi-xe7mg
      @NicodemusKithi-xe7mg Před 10 měsíci

      Ni kweli kabisa, nkikumbuka Mr pimbi akiongea kuhusu kuachana kwa kajala na Hamoo nkaa Wana tundanganya

  • @kavyashortsleon
    @kavyashortsleon Před rokem +16

    Big up Tiki Tv

  • @MohaadpoizCaptain-w9i

    🎉 hongera xna dada mi mohaa dipoiz toka Kenya kwa maongez yako uko vzur

  • @akilimalindevu520
    @akilimalindevu520 Před rokem +20

    Wewe dada wewe love you

  • @kikiswahili
    @kikiswahili Před rokem +14

    Watching from South Africa bondeni kwa madiba

  • @abunajash9995
    @abunajash9995 Před rokem +8

    This lady is very brave,clever and a good adviser love her so much will most definitely follow her programme mapenzi na mahusiano,love from London ❤❤

  • @akilimalindevu520
    @akilimalindevu520 Před rokem +42

    Unaongea point Hadi tumekusanyika hapa watano tunakutazama sauti kubwa tumeconnect na mziki wa bajaji

    • @FauOmiy-bm1yn
      @FauOmiy-bm1yn Před rokem

      Malipo duniani , kamata dinu tudani , km kajala alivyo mtenda wema

  • @EmilyJacobo-vl1mq
    @EmilyJacobo-vl1mq Před rokem +8

    Jamani mm binafusi sipendi kuona harmonize na kajala kuachana jamani

  • @AkiliNdefu
    @AkiliNdefu Před rokem +20

    Dada kama hujaolewa nmekupenda bure

  • @kalistamtanzania7220
    @kalistamtanzania7220 Před rokem +20

    Kumbe ndivyo ilivyokua Sasa nimeelewa kwa nn

  • @mesatagirassane4853
    @mesatagirassane4853 Před rokem +13

    Sababu ni Kajala kumwita JESHI TEMBOOO Teacher HARMONIZE,,,,,Tshizi....

  • @aminarashid-yf4sf
    @aminarashid-yf4sf Před rokem +18

    Wewe dada ni mwehu kipindi chote kajala anamuaibisha harmo kwenye reality shoo kwanin hukumuonya kajala ??? sasaiv harmo kalewa anamwaga mambo ndio wajitokeza ili kumkingia kifua kajala???kweli mwalimu wa wanawake ni kipofu,,,muache harmo nae atoe ya moyoni ili roho yake isafishike na awe na maisha marefu

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 Před rokem +1

      Kweli kabisa. Waanze kumuonya Kajala kwanza.

    • @maryammussa2835
      @maryammussa2835 Před rokem

      Kaaibishwa Nini huyo hamor ACHA zako nawewe

    • @aminarashid-yf4sf
      @aminarashid-yf4sf Před rokem

      @@maryammussa2835 naachaje zangu,,,Inamaana reality show za kajala huzioni akimsema harmo???na Ile Zima taa umeisahau pia??ungekuwa muelewa ungeelewa faida ya kuwa excited state,,,au yakutoa ya Moyon,,,unakuwa huru unakuwa mwepesi na kinyomgo kinatoka,,,jambo likipita lishapita kwa yule asieweka mambo rohon,,mwache harmo aseme asiumie ndan kwa ndan,,huu ni ufala wa wanaume wengi kukaa na mambo moyoni mwisho wa siku wajane wanakua wengi

    • @ghahahahanex8470
      @ghahahahanex8470 Před rokem

      Fact

  • @robertpaul7714
    @robertpaul7714 Před rokem +7

    Wadada wanaojielewa ndo kma hawa sasa 👏👏👏👏

  • @user-bz8cu7fk8w
    @user-bz8cu7fk8w Před rokem +3

    Dada yusta nakupenda sana unaakili sana na upeo.lena umeongea point sana hao wanapendàna sana .nataman wakae chini wayamalize na kurudiana tena kupo tena wasiogope kurudiana sababu ya watu yena hawa wakioana watadumu sana .na watawafunga midomo wambea wote wanaowachonganisha.dada yusta weka tena nguvu zako kwenye maombi

  • @BeatriceKalembwane
    @BeatriceKalembwane Před rokem +32

    Huyu dada ni mtaji kwa Taifa ajengewe sanamu lake nmemkubali japo ni mwanmke mwenzangu na wanawake hatupendani ila huyu Nmempenda bureee

    • @OpMagu
      @OpMagu Před rokem +5

      Sana na ni hazina kwa mume na watoto wake

    • @bonfacemuchiri1600
      @bonfacemuchiri1600 Před rokem +1

      Lazima amtetete rafiki yake nani atamtetea boy child

    • @user-qv5xg2ng9v
      @user-qv5xg2ng9v Před rokem

      ​@@bonfacemuchiri1600Kama haujafiti kwenye bedroom sexy lazima mwanaume atoke nje na ndio maana hakuna mwanaume Malaya uwa tunabadirisha Radha ya mahabati

    • @hashimuuhehwa4252
      @hashimuuhehwa4252 Před rokem +1

      Wewe huyu dada napata shida kidogo kuna kauli kaitoa inanipa hofu na story yake! Anasema huyo dada alikuwa rafiki wa Kajala kwa hiyo Kajala alikuwa rafiki wa Yolo mmm tuanzie hapo

    • @BonnyMwajombe-iu7hb
      @BonnyMwajombe-iu7hb Před rokem

      Apewe ulinzi

  • @LilianAchieng-bo9xo
    @LilianAchieng-bo9xo Před rokem +5

    Asante sana dada mungu hakulinde 🙏🙏

  • @kikiswahili
    @kikiswahili Před rokem +24

    Yustar chukua maua yako shost🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AkiliNdefu
    @AkiliNdefu Před rokem +16

    😂😂😂😂 kelvin unajua kumchimba mtu

  • @BeatriceKalembwane
    @BeatriceKalembwane Před rokem +21

    Acha niweke bando niangalie hii maana huyu Yustar hakurupukagi kuongea tu kila siku kila saa kama kina mwijaku na baba levo

  • @furahachuma9039
    @furahachuma9039 Před rokem +10

    Yani uwe na dharau tuendelee na mahusiano? Wewe uko upande wa kajala.

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Před rokem +14

    Sio mtu wakuongea mbona kwenye lialit sho yao wanamuongelea konde

  • @JudithKimaro-fw6dd
    @JudithKimaro-fw6dd Před rokem +4

    Ila kiukwel kajala nakushaur achana na harmonize usimrudie fata maisha yako dadaang

  • @amangearge9594
    @amangearge9594 Před rokem +22

    Dada unaakili kubwa sana ninachopendaga sana kwako niukweli wako juu ya mambo kongole kwa hilo

  • @namukwayamweshihange8866

    Ahsante sana dada yani to the point.

  • @beatricemabula4783
    @beatricemabula4783 Před rokem +3

    Yusta una upeo mkubwa sana. Umeongelea watu zaidi ya wanne wote haha hakuna hata mmoja uliemuongelea vibaya. Umeongea kwa bashaha kubwa.nakupenda

  • @mohsenaljahwary5730
    @mohsenaljahwary5730 Před rokem +8

    Hi, Yusta Uko vizuri sana.Hata mimi hii sijaipenda huu ugomvi.Mdogo wangu Harmo achana na hii kitu na pia Shem Kajala achana na hii kitu Tulizeni akili zenu hii ipite km mapenzi yamekufa basi muwe marafiki tuu wa kweli.Kuna leo na kesho peace & Love.Mtake it easy.Hey mdogo Harmo take care Bro.U r something else now ur Big usiharbu.

    • @hawaomary8486
      @hawaomary8486 Před rokem +1

      Acha kuwongea SN muwandishi aha dada aonge

  • @kalistamtanzania7220
    @kalistamtanzania7220 Před rokem +16

    Kukupenda ndo kitu najua Yani napendga sana unavyoongea ukweli 👏👏

    • @AkiliNdefu
      @AkiliNdefu Před rokem +3

      Na mm nampenda sanaaa kuliko hata ww kwanza ww mwanamke tuachie sisi wanaume ndiyo tumpende

    • @shamzone388
      @shamzone388 Před rokem +3

      @@AkiliNdefundugu wa tanga mbona una tamaa sana

    • @OpMagu
      @OpMagu Před rokem

      ​@@shamzone388kweli ana tamaa hata mm namuona maneno yetu wanaume tukitamani nayajua

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Před rokem +10

    I believe you 100% both they are abusing each other 👌

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před rokem +15

    Watu siku iz mnaniwahi eehh😅😅😅

  • @aisharajimbo6784
    @aisharajimbo6784 Před rokem +8

    Ht km hamo ni mbaya lkn mbona hio reality show yao imemzungumzia hamo sana ya kumponda

  • @suraiyahhussein3608
    @suraiyahhussein3608 Před rokem +17

    Dahh kumbe mambo yalianzia huku, nyie moyo wa mtu kichaka walahi

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 Před rokem +5

    Yaani nilikuulizia jana,,yuster yupo wapi?haya mambo mi naona aibu utafikilia ndo mimi.

    • @marrymazengo1315
      @marrymazengo1315 Před rokem +2

      Hata mm nahisi tuliwaza pamoja nanpenda sana yustar 😂❤❤

  • @saniaidrisa3920
    @saniaidrisa3920 Před rokem +20

    Dada nimekuelewa sana ila ulichokosea ni kushindwa kumshauri rafiki yako toka mwanzo kumuongelea vibaya mwenzake ulikaa kimya kipindi chote wanamdhalilisha ndilo kosa lako

    • @marrymazengo1315
      @marrymazengo1315 Před rokem +6

      Mbona kasema kwamba kajala nae kakosea kumsema harmo au hamjasikia

    • @saniaidrisa3920
      @saniaidrisa3920 Před rokem +5

      @@marrymazengo1315 Hatukatai kasema k alikosea lakn kama rafiki wa kweli alitakiwa kumshauri kajala na mwanae toka walipoanza tu kumsema harmo kwenye kipindi chao cha kwanza yasingetokea haya maana kadri walivozidi kumsema vibaya ilizidi kuchochea hasira naye ni binadam kuwa mwanaume haimaniishi haumii

  • @daylight1707
    @daylight1707 Před rokem +9

    Na wewe yusta mwambie kajala aache kumuongelea harmo kwenye kile kapindi chake kichoruka kila jumatano hicho kapindi ndo kimeleta hayo yote

  • @olly7037
    @olly7037 Před rokem +12

    Huyu mwanamke inaonekana anaweza kuwa anazungumza ukweli 100%. Very clear!

  • @estherjackson6038
    @estherjackson6038 Před rokem +7

    Huyu Yuster Ni mtu makini Sana.Nimetokea kumuamini mno.

  • @erickmuli1030
    @erickmuli1030 Před rokem +1

    interview imeenda sana joh...hongeren YUSTA+TIKI

  • @catherinensemwa3907
    @catherinensemwa3907 Před rokem +16

    Yustar mgaya tulikumic sana tupeu ubuyu❤❤❤

  • @aminatanditse4987
    @aminatanditse4987 Před rokem +6

    Ongea ukweli ham hana mda kajalan ni mzee

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 Před 4 měsíci

    Yustar nimekusikiliza yani umeongea vizuri sanaaa ❤❤❤❤

  • @catherinensemwa3907
    @catherinensemwa3907 Před rokem +17

    Wa kwanza like zangu jamani

  • @shamzone388
    @shamzone388 Před rokem +14

    Yusta Mgaya nakupenda sana fanya juu chini warudiane maana wamependezana kajala na hormonise nakuaamini sana

    • @user-wh8xm1yp3x
      @user-wh8xm1yp3x Před rokem

      Mimi piya napenda sana warudiyane dada afanye mambo Ili warudiyane jamani

    • @HappyFamily-qz9up
      @HappyFamily-qz9up Před rokem

      Ata mm jamani naumia kama vile mwanangu kaachika. Nawapenda sana

  • @nimbonaleongontran5952
    @nimbonaleongontran5952 Před rokem +3

    Jameni wa tanzania, me am from burundi 🇧🇮, munisahidie munambie maana ya adha. Thx

  • @user-nj2yi9jk8b
    @user-nj2yi9jk8b Před rokem +1

    Asante sana yustar tumejuwa ukweli leo 😮😮😮

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Madam Ustar umeolewa??? Mzuri Sana ❤

  • @thekiliguides
    @thekiliguides Před rokem +4

    Pole Kwake 😊😊

  • @AngelaNicolaus
    @AngelaNicolaus Před rokem +1

    dada ang umesema ukwel kbx ,maan ata kama mmeachana haipasw kuachana mpaka nkataman nmwambie harmonize ayo anayofanya so vzr ,,,,nasukuru da yusta kwa hekima ulonayo ,,,,,,Mungu aitunze iyo hekima....

  • @amangearge9594
    @amangearge9594 Před rokem +38

    Kumbe bado wanapenda eeeh hata mm naona hivyo kwa kweli maana hata mm nilipoachana na ex wangu nilikua badonampenda nilikua namfanyia sana visa 😂😂

    • @carolinenyakio8592
      @carolinenyakio8592 Před rokem +1

      😅😅

    • @Mina.15
      @Mina.15 Před 11 měsíci

      Ten years ago Ata pia mimi mpaka nika fake kunyuwa sumu 😂😂😂 LAKINI wapi 😂 Kaka anaroho ngumu 😂 sikuizi I don't care jina lake TU linanifanya kutapika 😂

    • @KuriaLukumay-ys5xp
      @KuriaLukumay-ys5xp Před 11 měsíci

      Nani kakuliz Achasob

    • @FaithSaisi
      @FaithSaisi Před 10 měsíci

      😮

  • @user-jj7ep1sr9s
    @user-jj7ep1sr9s Před 7 měsíci

    Sawa hila yusta nakupenda❤

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa Před rokem +2

    Ni Kweli bado wanapendana, sis yuster Waite kaa nao ongea nao yaishe,

  • @zeddydanielotieno4317
    @zeddydanielotieno4317 Před rokem +4

    Je!!, HUYU DA YUSTA AMEOLEWA, MAANAKE NAMTAMANI SANAAA😂😂😂😂😂😂

    • @USDisdoomed
      @USDisdoomed Před 10 měsíci

      Dogo punguza upwiru 😂😂

  • @KaserekaIbrahim
    @KaserekaIbrahim Před rokem +3

    Asante kwa hamo na kajala

  • @marrymazengo1315
    @marrymazengo1315 Před rokem +4

    Heri nisike leo acha nijaze bando kwa ajili yako yustar wangu😂😂

  • @tikitvog
    @tikitvog  Před rokem +8

    Kutazama zaidi kazi za Yustar Mgaya bofya link👇👇
    youtube.com/@mapenzinamahusiano

  • @gracemunthali7945
    @gracemunthali7945 Před rokem +7

    Ni kweli nakubaliana na wewe. Hawa bado wanapendana

    • @DIO-jd8xs
      @DIO-jd8xs Před rokem

      Hakuna mbona akiongea kajala hamim tuone kama kama atakuja kupata mwanaume kama hamo

  • @user-tb5bt8lq8j
    @user-tb5bt8lq8j Před rokem +4

    Lililo muuma harmonize kwenye kile kipindi chao kumuita chizi pia kila siku wanamuongelea kwanni wasiachanenae

  • @walengamwamaua-ws6io
    @walengamwamaua-ws6io Před rokem +6

    Wewe mkweli kabs, Lakini rafiki yako angevumilia yote maana wanaume ni hivo

  • @fernandshabani
    @fernandshabani Před rokem +3

    Ndio wanapendana hawa.ku mukuta na mwengine sio tatizo kwakuwa KAJALA mwenyewe ana wengine,pili harmonize ni star anaezi akawa na wengine kwa hiyo jibu ni kusameyana tuh..kingine longo ilikuwa ranj na wala hakuna chama penzi hapo kwani mwanamke ana kubali kama mwenziwe siwakwanza mpaka ashindwe muacha..Fernand toka DRcongo

    • @user-fc3og1eo3x
      @user-fc3og1eo3x Před 9 měsíci

      Hata hivyo wanawake wanatupiga Sana mizinga na marafiki zao wanatumia bajeti kubwa Sasa kwanini usilipize harmonize bado yuko sawa

  • @thomasgonnah7452
    @thomasgonnah7452 Před rokem +5

    Mapenzi Kwa mwanaume ni kama nguo unaeza ukainunua Kwa duka Kisha ukifka nyumbani ukaichukia na kununua nyingine

  • @jumannemagawa5095
    @jumannemagawa5095 Před 11 měsíci +1

    Dada wewe ni muungwana na hongera sana, ila ukiweza washauli warudiane kama ile ndoa ilikuwa ya ukweli.

  • @sophiafalk6484
    @sophiafalk6484 Před rokem +6

    Kweli kabisa hawa bado wanapendana kabisa. Ila wahache kutoa siri zao hazarani. Na wewe mlogo wangu washauli wahache huu ujinga.

  • @user-pw2bl4qd8w
    @user-pw2bl4qd8w Před 6 měsíci

    Umeonge point dada yustar

  • @suraiyahhussein3608
    @suraiyahhussein3608 Před rokem +26

    Yani huwezi amini namuamini sana Yustar akiongelea hili jambo kuliko hata angeongea kajala mwenyewe maana kajala au harmonize wanaweza kuficha mengine Kila mmoja akitetea upande wake.

    • @aminangusura6115
      @aminangusura6115 Před rokem

      Yusta kaongea vizuri ila alichoaribu kitu kimoja,unajua kajala na Paula walikua na kipindi kwa zamaradi mtetema wanamuongelea AMORNIZE na sio mara moja ni kila wakati ,YUSTA alikua aoni kumsema rafiki yake, aache kumsema AMORNIZE ,jamani AMORNIZE naye binadamu,sio MTUME useme katolewa nyongo,je kiatu chake kivae wewe je ungeweza??????????

    • @rachelsimbeye9637
      @rachelsimbeye9637 Před rokem

      😂😂😂

  • @zabibuidi1938
    @zabibuidi1938 Před rokem +3

    Ndio bado wanapenda

  • @parachichiFM
    @parachichiFM Před rokem +2

    Yustar naomba unipende

  • @neemasiame
    @neemasiame Před 10 měsíci +2

    Kajala nimtu mzina angevumilia hakuna mwanaume msafi

  • @azizaaziza7996
    @azizaaziza7996 Před rokem +13

    Sija chelewa

  • @nusrathmanyawa4501
    @nusrathmanyawa4501 Před rokem +3

    Nakupenda sana my Yusta

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 Před rokem +4

    Kajala hapo alibugi.Ukimchunguza kuku hutamla.

  • @robertpaul7714
    @robertpaul7714 Před rokem +4

    Hakuna mwanaume rijali ambaye hana mchepuko ata kma umeoa kuchepuka kupo tu kuna vitu vinapunguaga kwenye ndoa

  • @Sppah697
    @Sppah697 Před rokem +3

    Dada Fausta mzuri!

  • @shaymaamlanza3949
    @shaymaamlanza3949 Před rokem +4

    Dada upo vzr sana konde amekosea mwanaume aliyekamilika hatoi cri za ndani

  • @gracemsalila7735
    @gracemsalila7735 Před rokem +2

    Safi umeongea point

  • @jumabidery5051
    @jumabidery5051 Před rokem +4

    Zarau sio kitu kidogo

  • @aminarashid-yf4sf
    @aminarashid-yf4sf Před rokem +13

    Nyie wapumbavu kweli tangu lini mwanaume akawa na mwanamke mmoja😂😂😂

  • @DIO-jd8xs
    @DIO-jd8xs Před rokem +3

    Kajala tapeli hatokuja PATA Tena mume kama hamo we ungeweza

  • @foodbasiccourt2028
    @foodbasiccourt2028 Před rokem +4

    Kwani ukimpa kitu mti inampangia matumizi? Basi harmo alikuwa anamtaka anjera

  • @Bakarirajabu-cg3kn
    @Bakarirajabu-cg3kn Před 2 měsíci

    Nakubali apo

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour676 Před rokem +3

    Kwani kajala nae si alikuwa wakiibana kimya na harmo akiwa na jack

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Před rokem +4

    Km sijaakuangalia ww ktk CZcams namuangalia nani tn. Enhhh tupe burudani Yustar

  • @melichmahingule2896
    @melichmahingule2896 Před rokem +3

    Sasa nyie nanii kawaambia kuna mwanaume ana mwanamke mmoja?????😊😊

  • @neemasiame
    @neemasiame Před 10 měsíci +1

    Ila dada dharau sio kitu kidogo

  • @violethactress
    @violethactress Před rokem +4

    Unaongea point sana mama nimekusikiliza mwanzo mwisho

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Před rokem +4

    Huyu Dada yupo sahihi, na ukimsikiliza vizur, Harmo alijisacrifice kwa kila kitu kwa Kajala na familia yake, unfortunately sio fate kuwa pamoja, na ofcause Kajala kuhis yupo above mwanaume, hakuna mapenz yasiyo na changamoto, wai wameyageuza kua business kwa interest za watu. So wache tu wawafaidishe watu na maadui, Harmo alishamaliza yote kwenye #vibaya

  • @ntakilutandato
    @ntakilutandato Před rokem

    Mabaya ya harmo yanalingana na mema yake, Harmo anatakiwa akutane na mwanamke mpole, mcha Mungu,, asiye na matumizi, aumwanamketajiri, asiyena makuu na kutochunguza, harmo ana upendo wa muda mfupi na wa kimbunga, harmo hawezi kuwa mtulivu na mnyenyekevu wakudumu kwa mwanamke yeyote yule.

  • @erickmuli1030
    @erickmuli1030 Před rokem +2

    aliyempata ssa hv harmonise uyo kajala hafui dafu ssa iweje et harmo awe anaendlea mpenda uyo kajala kwa uzee ule hata mm siwez kka.

  • @user-jp5yy6kb9h
    @user-jp5yy6kb9h Před rokem +2

    Yaan wanapenda aswa tena one day watarudi ana

  • @KinDanger-dw5sj
    @KinDanger-dw5sj Před rokem +3

    harmonaize anavuta sigala poli musichangae akatokeya mambo kama aya vumiliana harmonize bang zinasumbuwa

  • @jenifermlay3625
    @jenifermlay3625 Před rokem +2

    Kwakweli Hawa wawili wanapendana Bado ushauri wangu wasikubali kuidhulimu mioyo yao kwa kuogopa watu,wanatakiwa kutii kiu zao.Wahenga walisema wagombanao ndio wapatanao.

  • @kadino_jc
    @kadino_jc Před rokem +3

    Nauriza kajala2 yiko wapi?ampe na kajala2 njo ni amini kamupa kweri

  • @user-fr5sh6sh5y
    @user-fr5sh6sh5y Před rokem

    Hongera dada ww ni mama ushauri mzuri sanaa ❤❤❤

  • @shaidaniyonkuru3007
    @shaidaniyonkuru3007 Před rokem +1

    Dada imiss you unasemesha ukwer

  • @AbdallahBakena
    @AbdallahBakena Před 11 měsíci

    Yan we mdada watu wanazin araf unasema hazaran vitu ambavyo havimpendez mwenyez mungu me nikafikir ungewashaur wafunge ndoa kumbe rengo rako waenderee kumkosea mungu

  • @emmatheboy8447
    @emmatheboy8447 Před 9 měsíci

    Mwandishi naomba niunganishe na huyo dada, kuna vitu nataka muuliza , cjui nampataje mhimu sana...

  • @user-ul7ri4fh8m
    @user-ul7ri4fh8m Před rokem +3

    Unaongeya paka natoa machozi😢😢

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Před rokem +1

    Nampendaga huyu dada ❤❤❤❤❤

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct

    Mh .kajala Kumbe kapitia mapito sana

  • @ggvv9970
    @ggvv9970 Před rokem +6

    Ataivyo bado wanapendana ndio mana wanafatiliana.😂😂

  • @debbylitina3480
    @debbylitina3480 Před rokem

    Umeongea vizuri... Hata mimi Naona Hao Watu WanaPendana..