🔴
Vložit
- čas přidán 25. 08. 2024
- 🔴#EXCLUSIVE: WEMA AMWAGA MACHOZI, Asimulia LULU na KAJALA WALIVYOMUUMIZA, Anampenda DIAMOND na ZUCHU
HII ni Exclusive Interview na muigizaji Wema Sepetu, ambapo amefunguka mambo ambayo hakuwahi kuyazungumza popote.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Utapata wema moyo wako mzuri utakulipa tu tena na mwanaume wa mapenzi yako furaha yako na hisia zako utapata it's not too late mungu ana sababu kukusubirisha zidisha tu maombi kumuomba ipo siku
Pole wema na uhakika utapata mtoto ukute wanaongea makusudi ili wakuumize maana wanajua kitu ambacho unapenda ni mtoto hivyo wanakufanyia makusudi
@@mkaminyintange3602 hamna hawakua na maana iyo ni kawaida mnapokutana kuongea story za maisha watoto nayeye hawezi kuwazuia wenzake ndo mana ata walimfariji atapata pia
subira yabuta heri mamy utapana usijari mamy💝💝💝💝💝🇰🇼🇰🇼🇰🇼
Usijari mungu yupo pamoja na wewe usilie wema zidi kumuomba mungu
Tunakupenda sana na tunakuombea mamy
The humility in wema's voice is priceless....much love from Kenya🇰🇪 Wema
Lkn wema huhafikisha 35 na unalilia mtoto mm nina 37 cna mtoto nimeitwa majina yote lkn nasema wakati wa mungu ni wakati sahihi bana
Pole sana dear Mungu atafungua tumbo lako inshallah
Inshallah utapata mamy, dada angu amepata mtoto ana miaka 42, usichoke kumuomba Mungu dada angu utapat 2
Tatizo nini. Ni tumbo linakusumbua la uzazi au umeenda hospital wamekuambia nini nina bibi yangu yupo tanga anasaidia watu wengi sana nawanapata watoto huyu dada natamani nimfuate nimueleze NA akiwa tayari niletee hizo dawa. Ajali u lakini nashindwa labda wewe kqmq hutajali nipe. Mawasiliano yako nipo tayari tiba zakuanza nikughalimie kila kitu
@@user-po8hz7xw9j me nahitaji jaman
😢😢😢 cwez ongea mengi ila mungu ndo anajua
Nakushauri amka usiku kat ya saa 9 iv muombe mungu akusaidie shida yako ata pokea duwa yako mungu ni wetu sote. Inshaallah utapata mtoto
Unashauri wazinifu
Bila kuwa na mume ama inakuaje...mungu aramshushia tuu tumbo na mtoto...ama umekusudia kumshaur aombe mungu afu akazin atapata mtoto
@@abdulkareemseif1892 anaweza akawa mwema mbele za Allah kuliko ww unae mkashifu hadharani ndugu hakuna mbaya wa wabaya mbele za Allah Wema hajafanya kosa lolote kubwa ambalo litamfanya asiombe Dua kwa Allah ndugu nikufundishe ki2 Allah anapenda wanaomkosea na wakamrudi kwa kumuomba msamaha Laataknatul Mirahamatul Allah
@@funnyvideos-hl3wb ilo la kuzini ndo umeliona uliongele jitafakari amemshauri aamke usiki aombe Dua Allah atamjib akiwa ndani ya ndoa usimfikirie mwezako jambo ovu
Aombe aolewe Kisha mtoto sio zinaa
In Shaa Allah,utapata mtoto wema biidhilillah usikate Tamara dadaa, hujakufa huja umbika simama na mola wako. 🤲🏻 ALLAH KAREEM
Wema God's time is the best... He will bless your womb. It's never too late darling. Much love from Kenya ❤️🇰🇪❤️
Daaaaaah mwezimungu atakupatia mtoto usikate tamaa 🥲🥲🥲
😰😰🥹🥹🥹 God Please help Wema, naomba msamaha badala yake kwa lolote lile alilokutendea, niadhibu Mimi badala yake, Wema ni mwanao, wewe unamjua ndani na Nje kuliko Mtu yoyote yule, unayajua maumivu yake, haja yake, uchungu wake, mawazo yake, Nakuomba eeeh Mwenyezi Mungu angalia Chozi lake Mpendwa Mungu Mwenyezi, Futa machozi yake, kwani umesema yoyote akujuaye wewe, akupendaye wewe hutamuaibisha, naomba umpokee maombi ya Wema kwa fadhira zako. Ninafunga nguvu mbaya zozote zile zinazomzingira Wema kwa jina lako lipitalo majina yote. Nikiomba Nakushukuru kwa Upendo wako kwetu sisi wadhambi Amen 🙏🏾
duh
Amen
Kabisaa wema mwenyezi Mungu atakujalia na mume na atakujalia na watoto na nakupendea moyo wako na si urongo uko na moyo mweupe
Let's share love for wema guys ❤️❤️❤️❤️
Iyo sitution inaumiza mimi yalinikuta hayo unakaa na watu alafu kila mtu anaongelea swala la mtoto inafika mda kila mtu anaangaika na mtoto wake ila wema mimi nilikaa miaka nane kwenye ndoa nikampata mtoto
Duuu mume alikuvumilia aisee wangekuwa wanaume wasasa michepuko mingii wangezalisha hongera sana
I'm praying for you wema.
God will give you on he's on time ⏲️ 🙏 🙌
Pole mpenzi, ni mipango ya mungu. Unaweza ukafanya surrogacy. Mungu atakujalia!
WEMA ukilia nalia pia, nakupenda sana WEMA, usilie mrembo wangu.
Was nice a interview 👌 May Allah bless you wema 🙏 na upate watoto mapacha
Amin 🙏🙏🙏
Amen Amen
M/Mungu yupo nawe dada Wema ipo siku na wewe utapakata mtoto❤️
Duu yan watu wangekuwa kama wema ❤️❤️❤️
Wema your beautiful and for sure God will bless you with a child u in my prayers
Mzuri sana wema nakupenda bure na roho yako zuri🥰🥰🥰
Wema Yesu wetu hana upendeleo naamini utapokea mimba haijarishi umemkosea mangapi kikubwa ni kuomba na kuamini kuwa utapokea Mtoto wako ktk tumbo lako
Raham, ni, nyama, kwahiyo mtoto tutamwita, nyama,
@@user-rv8vm9up5d Nyama ni LAHAM.لحم. sio RAHAM.
Wema nampenda sana.. good girl
yes wema snura shes a good women me to i love her shes respectful
Ila madam hapo kwa zuchu na dai unatulisha matango pori eti una wawish all the best, tunajuwa mumekula kiapo cha damu , lingine naomba mwenyezi mungu akujalie uweze kupata mtoto 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
wema utapata lla muone dokta rajabu watu wanapata kupitia yeye kama upo tayari nikupe namba
InshaAllah utapata mtoto na awe mwema kwako mmy imani yako ndio nguvu yako❤❤❤❤
Wema I really love you… u r still young my love… u r such a nice person don’t cry 😢 I pray to god I will see u get that wish I will live to remember u si don’t cry 😢 love you hugs 🤗 ❤️🌹🌹🌹🌹
L
🇰🇪💕🌹👋🇧🇪
For me , i wish Diamond could come back
Nimekupenda sana wema dada ombi langu kwako nakuhaidi nitakuambea kila siku mungu afunguee milango yako upate mtoto.
Inshalaah allah will give you allah is the greatest you will get tweens love you habbty ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️😭
Duh natamani Mungu akujalie akupe mtoto.. sina tu hela ila mimi ningezaa na wewe kabisa Amen.
Wema pole mamy mungu yupo utapata mtoto
She has no impurities ❤️
Mkubali yesu awe kiongozi wa maisha yako akuongoze na hayo mengine utazidishiwa
God's time is the best daa wema..💞💞💞
Wema Wangu mm nakuombea upate watoto wako mwenyewe in Jesus name 🙏🏼
usilie da Wema mungu atakujalia utapata mtoto.❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Nadine upo vzuri sana
MwenyeziMungu atakuja alia utapata wa kwako, in sha Allah,. Kwanza akupe mume mwenye kheri na ww.. 🙏🏽
Wema nakuombea sanaaa kwa jina la Yesu utapata mtoto endelea kumtolea Mungu sadaka za kuwasaidia watu sadaka zako zitakutetea mbele ya madhabahu ya Mungu
Pole sana wema Inshallah mwenyezimungu atakujalia utapata mtoto kwa uwezo Wa Allah
Utapata mtoto inshaallah
@Saida Said Kwani mtu kupata mtoto adi awe kwenye ndoa 😟 Mbona watu wako kwenye ndoa na awapati watoto bhana weee mtoto ni baraka popote pale anatokeya 😊 acha kuleta abari ya ndoa na wengine wanabarikiwa watoto kisha ndoa inakuja badae 🤨
Nimejukuta nalia maan daah😥😥utapata mtoto da wema wetu😥😥🙏🏼
Wow wema is a sweet gal I cried I laughed it was a nice interview watching from harigesia Somalia
Nakupendaa madam wema
Usisema umechoka zidi kumuomba Allah inshaalah utapata
Usijali mama ... Mungu hacaguwi ...ila Anatumika kwa mda wake tuu. This is from experience, dont worry,have hope and keep praying. ❤️
SNURA Upewe ulinzi ❤️🤗😢
Umeonaeee yaani yule dada anaoneka mtu poa sana
Wema ukiolewa tu Kwa uwezo wa Allah utapata mapacha Amin.
Umeonaee
Allah akupe mtoto mwenye kheiri na wewe. Pia mimi napitia hayo dadangu. Natamani mtoto.
Unampa ushauri mzinifu nyinyi mnaakili lakini Kisha waislam .Basi si umuombeee dua aolowe
@@abdulkareemseif1892 itabidi wazinifu hawaombewi Dua hebu nipe Ayaa au Hadith yoyote swahihi inayosema mzinifu asiombewe Dua ww unaojita muislam kuna amali gani unayo ifanya kubwa mpaka ukahukum dini haipo ivo kijana m2 yoyote anaombewa Dua ataaa awe nani
@@kassimali2273 Allah asema ktk Quran sura annisai saidianeni katika Jambo la wema na ucha mungu na musisaidiane katika Jambo la uovu na uadui ..Sasa wewe muislam unamuombea mtoto mtu ambae anatafuta mtoto kwa njia za haramu je hili hulioni ?au kwako Ni dogo .Kama una Nia ya kumuombea dua muombee aache mambo hayo ya kuziini na umuombeee apate mume aolewe sio kumuombea huo upate mtoto huku nikutokuumia na anayoyafanya .Mana Hawa wasanii wao kuzaa nje ya ndoaa Kama wamefaradhishiwa
@@abdulkareemseif1892 shukran Akhii
@@abdulkareemseif1892 shukran 🙏🥰
😭😭umeniliza Wema but MUNGU ATAKUPA WATOTO TENA MAPACHA LOVE
Wewe bint umechoka nini? Kwanza umri wako bado mdogo halafu wewe ingia ktk maombi nakuambia utazaa Tena usipandikize wewe omba Tena kaakimya kwenye maombi
Wonderful interview. Mungu atakupa mtoto wako inshaala. Zidi kumuomba mungu wema.
Polesana Wema wangu 😭😭😭😭jitaidi kuwacha usingizi uwamke usiku wamanane umliliye Allah atakupa hitaji lamoyowako inshallah
That true 🥲👏
Umeongea vizuri sana
Amini kama Allah anaweza, yeye ndio muweza wa kila kitu. Muombe Allah atakupa unacho itaji, I believe it. Wema SEPETU Golden heart
I like your voice, the way you talk👌
Me mwanaume mwenye nidhamu ya uoga kwanza simpendii" Note that ✌️❤️
Dada mzuri huyu❤️❤️
My baby my favourite human being im very proud of you so much❤️...na pia nakuombea sana kila leo Mungu akujalie juu ya haja ya Moyo wako nautapata naamin sana itakuwa hvyo mpenzi iko sku yako baby usikate tamaa kipenz changu iko sku wako kabisaaaa namin sanaaa ila Nakupenda sana Mungu yuko kwa ajil yako na kila mtu trust iko sku utabeba cha kwako Mung mwema sana🙏🏻❤️🥰
May God bless you with the fruit of your womb
Mungu ata ku bariki utampata kwa uwezo wa mungu 🙏
I never thought that your so deep Wema😳😚.
May God give you your heart desire.
Your are 1 in a million.
Have Learned alot from you Wema.
God bless you Darling and remain blessed...💝😘😘😘🙏👍👍
Mungu asikie kilio chako wema, huzuni yako ni huzuni ya wengi, Mwamini Mungu atatenda kwa wakati🙏🏻
Hakuna kubwa kwa mungu ipo SIKU yako tuu Amina katika mungu....
Pole dear, amini Mungu yupo na iko siku utapakata mtoto wako..
Endelea kumtumainia Mungu, amewapa binadamu pia utaalamu kama anavyokwambia Imelda...usikate tamaa..
Nakupenda sana Wema .
Utapata mtoto inshaallah bado kijana mungu yupo
It's too pain bt ucjali ipo cku utapata mtoto INSHAALLAH..
God here the cry of this lady 😍💕.... kwanza utapata twins
Ameen
What a lovely interview .....wem
a u will come with a new song of congratulations
Polee kipenz, mungu ajakuacha bdo utapata nawe mtoto unaemuhitaji.
Pole sana Wema. Endelea kumuomba Mungu na usisahau kufunga. Naamini kuwa Mwenye Enzi zote Mungu wa Mbingu na Nchi atakupa hitajio la moyo wako hasa kutokana na imani yako kwake pamoja na moyo wako mzuri. Sema Big Amen.
Wema, na mungu akasikie tamanio la moyo wako.wakati umesema umechoka sana ,umeniliza mama
Mungu akurehemu Wema 🥰 wewe mwema tu kama jinako ...
Jamani mim Wema Allah akimujalia akapata mtoto Nitafurah💃 Emunguuuu 🤲
Omba sana Dua za usiku Allah atakujibu me nimekaa ktk ndoa miaka 20bila mtoto lakini Allha akanijaria nikiwa na miaka 42wakati wa Mungu ni sahihi
God's timing is always good wema just wait
She sweet girl my dear inshallah u will have your child soon ... inshallah and you will get married soon..I am telling you wema..
😭😭😭😭😭Pole sana Mungu atakupa
I just love her❤, from Kenya🇰🇪
Maskini Wema wanguu.nakufill Sana surely my dear.nakupenda na ntazidi kumuombea inshallah mamaangu.Allah atakufungulia huo mlango huo
Kila mtu Nasibu, Mungu akubariki Nasibu. Nasibu una nyota yakupendwa🙏🙏🙏
Kadada kazur aka sema kananiuz kujipa strees za kulia kisa mtt mtt majaaliwa ya Mungu lia na Mung wako dada
Yaani siku Mungu akimbariki wema nakupa mtoto, huyo mtoto atakuwa wapekee Sana Tena Sana katika Dunia hii Dunia nzima itazizima kwakweli natamani Sana iyo siku ifike💋💋💋💋❤️
Ss ni shabiki zako Sanaa natunakuombea Mungu upate kile unachokita katika maisha yako , naamin utapata mtoto Cha msingi usiache kuomba Mungu mm binafsi nakupenda sanaaaa
my luv.. amua .. amua .. amua .. narudia mara 3. na amini katika unalo omba. funga amka uck ongea na Mungu. na usilalamike wala usilie. ongea na Mungu kwa kumaanisha wema. na omba ukiamini Mungu atakujibu. utapokea . hii nyota yetu uzazi ni changamoto. bila Mungu hatuwezi mamy..
Good advice..
We love you wema
Inshallah utapata mtoto
Pole Wema usijali mungu atakupa kwa wakati wake dear 😭😭😭
Napenda Wema Sepetu , nakuombea Mungu akupe baraka ya mtoto, akupanguze machozi.
Yaaan wema lazima ubebe mimba na uzae mtoto. Amini mungu anaweza kama ukipata nafasi ya kusoma hii comment sema amina 🥰🥰🥰🥰
Utapata mtoto the time ambayo umeisha utoa moyo wako huko na kuamua kuishi maisha Yako kawaida
Baadhi yetu tumepita huko.insha Allah mungu atakupa
I like your voice, I like the way you talk. You so gold👌
Daah inabidii wema uolewe sasa mungu awezii kukupangia usipatee ni ww 2 ujapendaaaa
Pole sana dada yangu mungu atakusaidia utapata mtoto
Jmnii wema una roho nzur kam jina lakoo
Mungu ni mwema kila wakati usikate tamaa
Asallam maalequ maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala Sister Wema
Pole dear MUNGU kakupa mtihani utashinda kwa Imani
Wema for real l pray for you it's from my heart ln shaa Allah mola atakujalia utapata Mume mwema na atakujalia pia utapata na watoto ln shaa Allah wewe ni binti bora sana hayo mengine ni maisha tu it's ol about time but Mimi na amini muda wako utafika na amini huu ndio wakati Allah akufanyie wepesi In Shaa Allah it's me Juma Makanko
Nakuombea wema wangu wee !! Mungu akupe mtoto WEma. In Jesus name . Don't give up. Don't give up wema. Nakupenda na nakuombea pia
Usiumie wengi awana usikate tamaa japoinaumiza
Hili ni funzo kwa wadada pale usipohitaji kuzaa we usibebe mimba tu maana utatoatoa halafu pale utakapokuja kuhitaji ndio mungu hakupi.
God I pray that you bless this soul with a kid🤲🙏
Usijali mwaya God is within you kama ni Mtoto Atakupa tu just keep on moving praying hardly ❤️
Unaongea vizuri🥰🥰
Namupenda sana wema😍
May God bless you with fruit of ur own child.. I love you wema
Wema Yani katumwa star w1nawake w1 Bongo wewe uko pekeyako kwa kila kituu i love you from burundi ❤❤❤