MKUDE SIMBA : NANDY / ANATUMIA PESA APATE PENZI
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 29. 08. 2024
- #TheBarTender ... Episode Number 08 đčđž .
.
@mkudesimbaoriginal Yupo Ndani ya #TheBarTender đč na BabaAko @jonijooo .
.
Big Shout Out To ..... @rhapsodys.dar đ
Jaman nime enjoy sana interview ya mkunde Simba mlo enjoy interview ya mkunde Simba weka like yako hapa.
kitale yan nakuaminia maneno yakua mkuambiwa vzr sana hongera kk ila weka kila siku maana duu niuhondo
Yupo poasana
1:Young Killer
2:Giggy Money
3:Country Boy
4:Lulu Diva
5:Dude
6:Master Jay
7:Romy Jones
8:Mkude Simba
The best show in Town tuko pa1 show ya kibabe
Duh uko vzr ktk ufuatiliaj
Master j umemsahau
@@salma_6j975 rudia usome liste
Master jay
Shodris tv TV uyo apo no.6
Uhalisia wa inje ya camera juice grac kama zote kudadeq nimekubali
Hiyo juice hata ningekuwa mimi ningeinywa hivoo hivoo ujakoseađđđ
*Kama unaangalia huku ukisoma comments tujuane gonga like twende sawa*
nielekeze mkuu naandikaj hayo maandishi aisee
Nice kk pammoj
kaka nelekeze bhx
Mkude anajielewa sana anaakili ya kufkilia jambo jema namkubal sana
Sana
icho kimwendo Cha mkude simba nimekikubali kama naw unakiona sw gonga like hapa
Kytet Mackam m
Matege flan nnđđđđđđ
Kumbe we pia umekiona
@@zuusaidibushiri5556 ndio ndiio umenikumbusha mbaliii
Jonijooo leo utakiona ametembea juani alafu ucku piga tarumbeta babađđđ„
Kama una futilia maneno ya kuambiwa ngoga like hapa
Tupo sawa sasa episode 26
Baba ako uyu jamaa anakunyw kama me na me siwezi kunywa taratibu
AFRICAN NOLLYWOOD MOVIE TV kitale
*kita kitale lufufu lufufu bwakila bwakila kama una mkubali kitale gonga like*
Namkubali sana
Yaani kiuujumla mkude simba kwa maneno ya kuambiwa umeecheza vizuri sana na kwa mtazamo ule wa maneno ya kuambiwa uko vizuri
Wale walokua hawajui kama Lufufu, Kitale, Mkude simba na Bwakila ni mmoja tujuane
Me namkubali sana mkudeđ kama unamkubali mkunde kama mim gonga like
Noma sana wasaf Tv joni jooo na kitale ndan ya nyumba
Namkubali mzee wa maneno ya kuambiwa acha nikupe mistari kidogo ya kitale!...asante sana afande nimefurahi kuniweka jela mana kula nure kulala bure dah Asante đđđđ
Khadija Njama wajina hii nilichekaga mpaka mbavu zinaumađđ
đđđđ Nipigie tena juice kumbe choo kipo hapo
Millard Ayo kaka yangu sorry mi natafuta kazi aina yoyote ile naomba msaada wako
Iwe Duka au kaunta fresh tu but nahitaji msaada wako
Safi sana kuona Millard unapata time ya kupitia channels nyingine za wenzako kuona wanafanya nini. Nachukulia hii ni kama nafasi ya kujikuza kikazi kwa kupata mapya na kuchubgulia mapungufu ili uteleze nayo. Safi sana Millard. Keep it Up !
Millard ayo nakutafuta sana nikupateje
Millard ayo Kaka nakupayeje
One of the best kati ya zote zilizopita yani mkude katishaa sanaa BABA AKO
Wangapi wamewaona wadada kulee wanahangaika kumuangalia kitale
U
Yani Nakupenda zaidi ya sana kitaleđ
Lookng good mashaallah
Do you really mean?.
.
Nice
Tunawajua ndioooooo... Walimu wapyaaa "Kwa sauti ya Mstalini"đ€Łđ€Łđ€Ł
Mkude uko poa sana yan mm nakupendaga sana Broo haswa kwenye maneno ya kuambiwa, mungu akulinde na akupe nguvu afya njema wewe na familia yako Amina
That ninja is real G mob love from 254
Yaan huyuu jamaa amekaaga kishari em ona ata anavooingia apoo đđđ
Hahahaa
I love you Mkude a.k.a Lufufuu đđđđ
Mhhhhhh 0719975406
mkude simba much love from kenya jonijoo đ„đ„đ„đ„bigup babakooo
Dah uyu jamaa kitale ni balaa sana juice itaisha kabisa
Always huwa sina manenoooooooooo napitaaaaaaaađ đ đ đ đ #big up kitale # big up wasafiââ
Kupatwaa kwa juicee đđđđđđđ
Alimasi king. je suis au congo (DRC) Ă kinshasa. j'aime beaucoup kitale. il fait bien son boulot. je l'adore. il est beaugar
đđđđđJuice imempata mnywaji
Kupatwa kwa juisi
đ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Ł
đđđđđ
Eee bwana mkunaji limemkuta pele
minho kid đđđđ Hakika
wanao mkubali mkude gonga like tujuane
Siku nyingine huitwi Tena the bar tenderđđ unamaliza juice
Nimemkubali kbs bwana Mkude Simba, Kitale kama umemkubali na ww gonga like đđ
Daaah hizi juice leo zimemtambua yeye ni nan!?
đđđđ
Hatbt Alveson 9
Huyo mshikaji dairy ye pepsi tu hahahahaha
Daaah leo mswahiri kavAMIA KAMBI
#mkudeeeeeđ·đ·đ·â
Like kama jamaa umemuelewa
Kizazi sana
Ndiyooooo walimu wapyaaaaa hahahahahahahahaaaaaaaaaaaaa kweli wewe mkude simba
Naangalia huku nafuraha na hela ya kubet
Wasafi tv nooma sana sana yaani.show la kibabe ...#Babako
Shoo la kibabe jonijo + kitale #Bartender #Wasafi đđ like kama hubanduki wasafi
Kizazi sana
Uko poa sana kitale
Jonijo na kubari sana burundi oyoooooo tunafatiria kipindi cako hongera sana show kari ya kizazi kabisa
Wangapi wanakubali tamthilia ya maneno ya kuambiwa gonga like hapa
Ahahah mkude ataki uzungu juice mapigo yafastađđđ
Kitale is real....maswali yako jonijoo hunifurahisha
Ivi jaman inamaana bwakira ndo huyu huyu mkude Simba mwenye kujua ukweli jaman.
đđđDhu!? Leo nimecheka sana kitare we noma kwamba juis iko nying
Kitale nouma babaako
Yani kitale kumbe wewe mzuri hivo ayise nakupenda sana kwa maneno ya kuambiwa umeshuti vizuri sana
walevi wanakunywa bia ata zaidi ya kumi kwnn juice tucnywe ata lita 5,,,,
Umeonaaaa
Baba akooo
Bwakila mkude Simba tuna kukubar sana zaid ya sana kwanza nikat ya mkaka unae jitambua naunaheshim ndoayako PIA KAZI UNAZOZIFANYA NINZUR TUNAOMKUBAR GONGA LIKE.
Asee hii ya mkude nimeikubali sn!! @Bartender,
tunakunywa kumaliza ndani ya camera hatuogopi wangapi wamekubali gonga like kama zote hapa
Daaaah kitale huvungi me mwenyewe na juice si vungi yani
Mwanaume kamili ana kunywa Juice kama mkude simba đ„
Dope.....pindi la kijanja always #hallaaah
Eti juis baba unasahau.kweli anajisahaulisha si kwa unywaji huo mkudeđđđđ
Duuuh kapiga vikombe vi 5 vya juice nimekukubali mzee baba
Nobody like jonijo you are the best man
Yes hongera sana kabisa kwa Movie ile ya MANENO YA KUAMBIWA đ„đ
Ile ni tamthilia sio movie
Nakukubaliiii my brooooooooo
MKUDE SIMBA kamaliza show KINYAMWEZI
Dah kweli kuna watanfazaji wakihama sehemu kila walicho kianzisha kina isha nacho yupo wapi jonijoo wasafi
Ipo wapi block89
Kila kitu kime kwama
Heshima yako jonijoo hicho ndo kipindi changu bora wasaf na kwa bartender ukweli haifichiki ila diamond platunmz kapoteza jembe na wasafi wame poteza mtu umuhimu wake una oknekana haswaaa
Pongezi pongezi kwa bonge la idea
Hiyo ya walimu wapya imenivunja mbavu hahaha kama na wewe imekuchekesha gonga like
kitale handsome sanaa
Kama unatoka morogoro like yako muhimu apa tujuane mapema
Bonyeza picha kushoto uone magonjwa ya figo Subscribe like komenti
Penda sana kaziyake ila punguze kunywa juisi
Aliy Mapenzi imepit hy
Hongera xana kake yngu katika iman kwa kua hautumi kilevi i salute u blazer kitale from saudi Arabia
Majizo kabisa anafanya kazi mzuri sana tena kwaki siri â€ïžđ„°â€ïžđ„°đ„°đ„đ„đ„đ„
Julienne Heart naomba namba yko
Ali Ali did you know Majizo was helping them?? Tell me where you heard that I can go watch it toođđ
Paul Reuben ThT not a problem but this is public comment come in my inbox on Instagram @julienneheart
@@Buterajm25 hi naomba nikutafute
Nakubali sana hajawahi kuharibu interview hata siku Moja, like kwake tafadhali.
2:14 eti nikampiga za mbali tu.. babaaako... hahahahahah... hlf mkude we ni hbr nyngn umepiga Glass 5.. salute baba
Nmependa unavyo fanya maambulizi ya hio juice bro
Mike Sonko
OLAAA JUICE BEI GANI KM VP NITALIPAAAAA WEKAAAA JUICE BAAAAAAAAAAAAKO HAPO HAKUNA KUREMBAAAA MWENDO WA JUICE TUUUU đ đ đ
An niliwaza mkude aje kwenye hili pindi an duh nimefurahi sana af surplize make nimetafta insta usafini kote cjaona kitu nikawa nawaza leo tunakuwa na nani pendaa sanaaa
#ManenoYaKuambiwa
#KichwaniHamnaShule
*...team no strec...# much love BaBaAko
da jamn huyu jamaa namkubali xan wangap tuko pamoj
Ata kojoa Sasa haaahaaa yani ana chekesha sanaaa
Kafanya mambo kiualisia kbs nimekukubali babaake
Jamani huyu kaka hb wallahy kama unakubaliana na mimi achia like yako wacha chuki
Ww dada samahani ila naomba number yako nikutafute
@@stanleyjunior7230 mmh ukona mazuri gani kakangu
Nakubali Jonijo namkubali sana jamaa yupo active harafu maswali anajibu kama inavyotakiwa hapindishi, pamoja sana
Nimetoka zangu bongo dar saram kwa dude sasa nipo na babaako mdogo mdogo
ESEMUDJE MUDIAGAA
hahahhahahaa kama mm vileee
Umetisha sana bro kital đđđ
Bora Hata nisi kushangaze baba gonga like Twende sawa
Ther bartender jonijooo
Wasaf tv
Mhh juice nneđ€đ€
Watakuwa hawakuiti kwenye shoo za kulađđ
Dah Wasafi tv mko poa sana,kitale ameniuwa sana kabisa nimecheka sana
mkude simba nimemkubali anishi maisha ya ualisia wake
Kama umeziona Glass Tano za juicy alizopiga mkude gonga. Like twende sawa
Juice ipo nyingi hhhhhhhhh
Jamn tatu sio tano alafu kuna watu wanakunywa zaid y hapo mmemuona huyo tu
namkubali sanaa
M
Babaaakoooooo Jonijoo izo juice simchezo siungempa na dumu la juice aweana jimimi nia mwenyeweđđđđ
Kitale bhana eti ''hii juice ipo nyingi ?'' đđ
Daaahhh n noumaaa sana hkii kipindiii
Mkude Simba juice unakunywa Kama maji hahahahđđđđđđđđ
sijawai pewa like ata sitaki wahuni sio watu wazuri
Nani anaamin kama mm, yakuwa KitĂ le haalikwi TNA maana c kwa juix hzo gonga like kama tu pmj
Napenda sana mtu ambae hatumii pombe asante sana kaka
Kwani xi anlipia
Kutale I love youđđđđđđđđđđđđđđđđ
Umekosea ni kitale mrembo wangu
Bartender kipind chang bora kabisaaa
Bbbabakooooo
kma na ww umekuja hapa kwa ajili ya kitale tafadhali tujuane naomba like zenu
Bwakila leo kanywa juis utalipa mze baba hhhhh
mkude simba umetisha blaza
Duh- huyumshkaji namkubali pia anavpaj 4 vyakuigiza
Aisee #mkude nimekukubali sio poa kwenye matunda juis
wangapi tulio kimisi hiki kipindi tujuane kwa likeđđđ„đ„
waaambieni waarabu watupunguzie matangazo..yaan unasikiliza kidgo matangazo.....đ
Kwan like zina nin mbona kila mtu anaombaa like nashindwa kuelewa
Kumbe huyu ndiye mkude nimejua like plZ
Baba aako, kizazi sana. Keep it up brother đ„