MAULID KITENGE : E-FM, WASINITAFUTE TENA, MIMI MARS, NILIKUAMINI.....
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- Bango Kubwa 🔥
Tunaliendeleza Season 02 Kwenye #TheBarTender #JONIJOOO Akipiga Story Kibao na #KITENGE
.
POWERED BY : @pepsi_tz .
.
Cc : @grillhouse_daressalaam
#TheBarTender #WTVTheBarTender.
Tuelewane...kma interview ya kitenge imekuelimisha kitu kma mimi basi gonga like hapa jufahamiane..
NimeEnjoy sana,anajibu maswali kiufanisi na utani utani asee safiii sana Maulid Kitenge👏🏾👏🏾
Best bartender Show Ever 2019
Ya nick mbishi ni moto mzee
Kitenge baba lao
Bartender imeleta mageuzi flan hv, sawa ni interview but kuna burudani ndani yake, Bango kubwa" mitaa imetulea ww💪💪
Smart boy ilikuepo mkasi ndugu, usisahau aisee 🤣🤣
Just imagine ndo unakutana na comment ya mume wako au bff wako humu eti anaomba like,🙄🙄🙄 are u guys serious?
Nimechekaaaa😂😂😂😂😂😂😂👌👌👌
Nakukubari jonijooo
Ntamdharau sanaaaaa ntamuona bonge la boyaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣ntamshutu humuhumu Kwan c kuna bastola
😂😂😂😂😂🤳🤳
Namkubali sana Maulidi kitenge Mr Chumvi
nimependa interview. Maulid yupo vizuri
Great interview jonijoo your one of the best in the industry
Exclusive nzuri sana big up kwa mwandaaji na Maulid Kitenge
Nimechelewa kuangalia nipeni like zenu wadau wa bartender
Mr. Maulid am with you CHANGE IS GOOD lets POoPP it 🍾🥂 cheers
Hiki kipindi nimekielewa sana yaan kiko makini sana mastory kibaooo kama baba laoooo
aah watu kweli mmeweka notification on, yaani ndani ya dakika 3 mshamwagika wengi hivyoo humu!!;;;;~
Much appreciation to WCB forever
Watching from kenya ,,,what a great show
bonge la interview 💪
Kitenge show nadhani was the best Introoo everrrr!!!!
WAMBIE HAO WANAO SHANGAA MTU KUACHA SEHEMU MOJA KWENDA SEHEMU NYINGINE.
ANGALIZO:ACHA KAZI UKIWA NA UWAKIKA NA KAZI NYINGINE AU KITU CHAKO CHENYE UHAKIKA KWA KUWA KUNA KUNDI KUBWA LINA KUTEGEMEA KWA KILA KITU.
Nakubaliana na wewe kiongozi
Ki kweli katika kusoma magazeti Kitenge upo vizuri, una uwazi mzuri, sio sammsasali anakuwa upande flani tu hadi anaboa
Jonijo Genius sana🔥🔥🔥🔥😁😁😁
JONIJOO WEWE NI FUNDI WA INTERVIEW. HONGERA SANA
Wasafi TV ni best ndani ya bongo sauti iko sawa harafu ziko modified vizuri sana.
Kaliiiii 🔥 🔥 🔥 🔥
Kitenge you look youthful,handsome and healthy
We unamsifu kwa7bu yavile vipesa umeona🤣🤣🤣
@@bajosdamour2347 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mauludi na Babaako🔥🔥interview iko poa
Hapo ndo utakubali kuwa jonijoo ni fundi wa interview ila wale wa block 89 wanampotezea tuu
Kabisa mzeeee
Ahmed Mahamudu
Kweli kabisa, wana akili za kitoto sana yaani
Sahihi mzaz
True
Kwel Kabisa
Fyekelea mbali wanafki wote,bango ni kubwa Baba ako
Oya wew @jonijooo mbona cku hizi kwenye hii pindi hauweki PROFILE? ya mtu husika??
Yaaani nilikuaa nimengojaa sana,,,,tangu jana naitafutaaa sana......
Kama unamkubalii Mr chumvii gonga like hapaaaaaa
goood interview
Bado ndimu... Jonijo..
Jonijoo namkubali sn ana story za kumuelemisha mtu
Interview imenyooka balaa....
Wewe jonijo ni fundi bora uwe unawahojia huku maana kule block 89,nimakeleletu
True
Kweli wanamakelele mpaka wanaboa
lile bango linaitwa [refaree electronic extra time dashboard
]
Kitenge anapenda mpira, anahojiwa lakini kila muda anapepesa macho kwenye tv
🤣🤣🤣
simon mnango inatokezea sana maana kuna mda hufikirii kama litakuja swali likakuchanganya😂
Hatimae imepanda CZcams jonijoo hadi nimekufollow DM✊
Jonijoooo weee fundi wa interview
Robson Wisdom block 89 wale calipso nayule mkaka wanaharibu niheri aliya
Nimekuelewa bro maulid mungu akupe moyo huo huo
Kama unaamini hii shoo ni Kali Tanzania nzima...... Fanya kushare kwa wadau Wengine 🙏
wageni wanaojiana mweengine kaamakazini mwengine kaamakwake duuuu bongohii
Joni joooo with chumviiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Iki kipindi ni hataree sana. Bro kitenge upi vzur
Jonijoo....bonge la show....tunafail sehemu mmoja Tu, INTRO...BAAASI!!!
Sharrap Kwa Maulidi Baraka Wakitengeeee “Chumvi”
Ni shout out (Sharaaut) ama Shut up (Sharrap) ???? Kinge noma🤣
Big Zhumbe Tukae Umoo Mzee wangu Atuna Mdaaaa
good
BAR TENDER IS THE BESTIEST..... BIG UP SANA KWA WASAFI
nc interview
Safi sana kitenge unajiamini sana
Bonge la interview, but I can't believe kitenge umeshindwa kirefu cha SADC duuu,atare
bonge la interview
Alipo jonjo huwa sna wasiwasi mana anajua kuliza maswal ambayo uwez tarajia kulizwa big up sana babako + Mr chumvi baba wa blue and wht blessing brothers
Ni kweli kitenge unawakilisha katika kutowa habari za magazeti vyombo vingi labda vinaogopa tunakuombea Mungu akuongoze katika kuujuwa ukweli na kuufikisha kwa usahihi hongera sana.
Jonijooo. Good nakukubal mzee .Bg up sana
Nice interview
Jonijoo, natamani nikufanyie interview ukiwa hapo hapo Green House Masaki, nina maswali mengi ya kukuuliza.
Nimeisubiri sana hiiiii
Interviews kaliii sanaa
Like zenu Leo jamaN
Mnaopenda like zinawasaidia nini eti naomba mnijuze kidogo
😀😀😀
Zakulia gali nawewe hujui
umeongea vemaa kabisaaa nduguu
They both went Back to EFM (interviewer and Interviewee)..funny that internet never forgets...
Bango ni kubwaaa babaako
Weka like km ww pia mzee wa comet
nakubar sanaaa hiki kipindi
Ni sawa tafsiri ya sadac itakushinda jee kitenge
Kma umemuona jamaa anachek saa yake like apa
Daa nyie wakali sana mmetisha
chumviii,tuwasiliane..niko UK..gimme a link
Mauld mm niko tayar kuolewa na ww sipendi pesa hata kidogo 😗😗😗😗
Kitenge nakukubali sanaaaaaaa
Bar tender masaki sehemu gani mma provide dinner also?
Show ni Kali🔥🔥
Umesema kweli ata mie nilishapigwa pesa na wakurdistan Hollland nimeshuka Airport naenda hotel, Mumbai wake ni euro 10 laliki nilipigwa euro 30 na hotel iko apo apo jirani! Wakati wakushusha mizigo nyuma ya buti ya gari akushusha mzigo mmoja. Tena alikuwa shapu balaa! Kuliza mwenyeji wngu akanambia umepigwa tena dereva alinizungusha kisha tukaludia mtaa uo UK 🤦♀️
Best show ever.
Sasa hiyo ndiyo Interview ya maana, Hongera Maulid, lakini C kama za kina Tid, za matusi, mavijembe, na majina chafu,chafu kama Chawa! unaweza aje kumuita binadamu mwezako Chawa?? Na Headline abazo hazimake sence?? Ukijiheshimu unaheshimiwa, Interview nzuri sana , majibu mazuri, Hongera tena Maulid Kitenge.....
I like it ..👍👍
Jonijoo ni fundi congrats brother
Brother jonijoo ur the best but plz naomba urudshe Yale maswal yako Yale kwa wasanii mazur mazur
Kama na ww unawakubali chumvi na ndim dondosha like yako hapa..
jaman uyu jamaa aliamaga pale Jon joo
Bango nikubwaaaaaaaa
Leo nmeingia top 10 likes zenu jamn 😂😂
Tafuteni pesa jamaniiiii achenii ushamba wa kuomba likes
@@marcomartin7839 kweli waambie awo washamba
@@Aviero_07 kweliiii bro wanakera saana cjui likes zinawasaidia niniii
Nakukubali sana maulid
Wa 4 leo naomben hzo like jmn
Joni joooo we mkali sana ,hv hii ulisomea au nikipaji tu mana unajua mpk unaboa ,huwa najifunza na ninafurahi sana yani ,wahuni co poa tunapiga lock
Maulid kitenge kitambo sana tangu anaigiza tuko pamoja
The best show
Jonijo katafuta majibu kwenye google, yeye mwenyewe alikua ajui, anataka kuonekana anaakili tu, si ukafundishe shule basi
Jonijo uje uwahoji George Ambangile na Edo Kumwembe.
good
Mtu mmoja aliwahi kuniambia hivi ; usimuhukumu mtu kabla hujamsikiliza leo nimekusikiliza maulid nimekuelewa sana 💪💪
Best present ever 🔥🔥
Kavasha kitenge ungeiwekea kipindi bwan man tokauondoke hatuisikii kaka joseph mbwan hapa
Wasafi chama la wana...
Kitenge bhana nakupenda bure,kwa busara zako.
Jonijooo kizazi sana mkiwa na kitenge nawakubali sana #(+974🇶🇦🇶🇦)
Kipindi kizur Sana Umetisha Jonijoo
Daaa million ya dharula kitenge
Jamanii mimi huyu kaka nampendaaa...utangazaji wake na jinsi anavyojiweka his a role model jmanii..
Muna vip
@@husseinghand6408 safii
@muna swaleh plz nichek kweny no hii ya whatsap 0743478595
@@husseinghand6408 🙄
Nichek kwel muna nichek now tubong vzr
Big up kitenge
nakukubari bro kitenge
Hatari...
Yamoto sana harifu .Tunaishi humu humu mitaa imetulea ✊
Oyoooooo. Mzee wa Bartender. Sasa mimi nina swali? Kwani show ya Bartender imekuwa twice by week Jonijooooo??. 🤔🤔🤔. Kitenge much respect 🙌