Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
I like your show
Wew muongo et unapekeka kusaidia wakati unavituma kwenu huko mwanza😂😂
Duh! Huko Mbona Kamseleleko Kaka 😅😅😅😅 Tatizo Visa Tu! Ningekuja Kuokota Maisha Yangu Yote Na Kuleta Bongo 😂😂😂😂
Hahaha Ety kamseleleko
Visa ukifuata taratibu unapata bila shida je kwanza una passport?
Duhhhhh mpya kabixa anga zetu huku aisee@ACTOR BONGO MOVIE TZ @
Noma
Thx so much bro unatupa material mzr sn na mungu Akubariki
Wakwanza mie leo jmn naomben like ❤ kutoka UAE
Karibu
Nakubali sana kaka
Ni ukweli sio Marekani TU hata nchi za Scandinavia eg.Denmark,Norway na Sweden wanafanya hayo.mf.miji ya Arboga, Mariaberg na Feringsbro.
Huko ni kutafuta hela ya kulipia kodi ya chumba na hela ya chakulatuu maana Matandiko kama yote mafriji
Noma 😂
kwakweli
Bro hili jimbo gani
Nakuamini.❤
Sasa swali la kujiuliza wale wanosafirisha mizigo ya used,inakuwaje kwenye kusafirisha
Si wanasafirisha Kwa njia ya ndege au meli then wanalipia gharama ya mzigo mpk sehemu husika
Maisha Ni nguvu(energy), hivyo Basi wazungu wanaamini kitu kikitumika maanake kimejaa nguvu(energy) mbaya, ambayo inazuia flowing ya nguvu mpya na mafanikio ndo maana hivyo vilivyochakaa wanatoa ili kuleta neema nyingine ndani ya nyumba!
Kumbe
Kwann hamtaki kutupa connection za kuja huko mambele
Connection pesa tu Ukiwa nayo mbn kazi zipo nyingi tu na watu wanatakiwa ila Hadi uwepo kule
Hatar
@juniortalent unaupiga mwingi🙌
Shukrani
unyama sana
Camera man wako arudi shule Tena hajui
Connection kaka nipo tiari
Je passport unayo ?
Hapo ni jimbo gani au sehemu gani
Simchezo YAANI hadi raha
Blood ❤😊
Me na wew tena brouh♥️
Bro upo jimbo gani na mji gani?
Navichukua nikavidoneti, acha usenge peleka gheto fala
Usemi ni jimbo gani tatizo hilo
Naomba mawasiliano yako naomba please
Mbona hawatupi magari
😂😂😂😂😂😂😂😂
Hata magari wanatupa
Mali sana
Hawatupi magari? yaliyotumika
Ni mutaa gani huyo????
Sasa rafikiangu unaniangusha kwenye kuandika mrundi mwenzangu sema mtaa gani huo nawala si huyo😅 mtaa sio mutaa😢
Kaka upo State gani?
Iowa now
I like your show
Wew muongo et unapekeka kusaidia wakati unavituma kwenu huko mwanza😂😂
Duh! Huko Mbona Kamseleleko Kaka 😅😅😅😅 Tatizo Visa Tu! Ningekuja Kuokota Maisha Yangu Yote Na Kuleta Bongo 😂😂😂😂
Hahaha Ety kamseleleko
Visa ukifuata taratibu unapata bila shida je kwanza una passport?
Duhhhhh mpya kabixa anga zetu huku aisee
@ACTOR BONGO MOVIE TZ @
Noma
Thx so much bro unatupa material mzr sn na mungu Akubariki
Wakwanza mie leo jmn naomben like ❤ kutoka UAE
Karibu
Nakubali sana kaka
Ni ukweli sio Marekani TU hata nchi za Scandinavia eg.Denmark,Norway na Sweden wanafanya hayo.mf.miji ya Arboga, Mariaberg na Feringsbro.
Huko ni kutafuta hela ya kulipia kodi ya chumba na hela ya chakulatuu maana Matandiko kama yote mafriji
Noma 😂
kwakweli
Bro hili jimbo gani
Nakuamini.❤
Sasa swali la kujiuliza wale wanosafirisha mizigo ya used,inakuwaje kwenye kusafirisha
Si wanasafirisha Kwa njia ya ndege au meli then wanalipia gharama ya mzigo mpk sehemu husika
Maisha Ni nguvu(energy), hivyo Basi wazungu wanaamini kitu kikitumika maanake kimejaa nguvu(energy) mbaya, ambayo inazuia flowing ya nguvu mpya na mafanikio ndo maana hivyo vilivyochakaa wanatoa ili kuleta neema nyingine ndani ya nyumba!
Kumbe
Kwann hamtaki kutupa connection za kuja huko mambele
Connection pesa tu Ukiwa nayo mbn kazi zipo nyingi tu na watu wanatakiwa ila Hadi uwepo kule
Noma
Hatar
@juniortalent unaupiga mwingi🙌
Shukrani
unyama sana
Camera man wako arudi shule Tena hajui
Connection kaka nipo tiari
Je passport unayo ?
Hapo ni jimbo gani au sehemu gani
Simchezo YAANI hadi raha
Blood ❤😊
Shukrani
Me na wew tena brouh♥️
Bro upo jimbo gani na mji gani?
Navichukua nikavidoneti, acha usenge peleka gheto fala
Usemi ni jimbo gani tatizo hilo
Naomba mawasiliano yako naomba please
Mbona hawatupi magari
😂😂😂😂😂😂😂😂
Hata magari wanatupa
Mali sana
Shukrani
Hawatupi magari? yaliyotumika
Ni mutaa gani huyo????
Sasa rafikiangu unaniangusha kwenye kuandika mrundi mwenzangu sema mtaa gani huo nawala si huyo😅 mtaa sio mutaa😢
Kaka upo State gani?
Iowa now