Faume atapinduliwa pinduko la hatar sana, Mana team inayotaka kumpindua ni kubwa halaf wanaotaka kurithi kiti chake hao hao watakuja vurugana, Tanu unaakili Mingi sana kuwateka had hao watu wa juu wa Chief
Waliochelewa km mm n kufurahia umbile la kakoso kurudi tukutane nyuma ya tent 😂🇰🇪🇸🇦♥️♥️♥️love from team kubwa 🥰🥰🥰 nawapenda nikiwa riyadh like utabarikiwa😢
Clam upo vzr mashallaah ila tukisema tukuombee duwa uzidi kufanikiwa itakua hatukupendi mn hii ni starehe ya dunia * bora tukuombee duwa uwe miongoni mwa waja wema ukifa uwe mtu wa peponi *Aamiin
spaiygo ndo naingia, habari zenu jamani na waomben kitu ki1 kwa kuwa mm ni mgeni kwenye snik boy, like ziwe za kutosha🙏🙏 nawashukuru sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 for life One love ❤
Tuna kila sababu ya kumushukuru mwenyezi mungu kwa kila jambo🙏wapo wengi wame tuacha ila kwa sisi tuliyopo hayi tuwa ombee wenzetu waliyo tanguliya bila kusahawu kujiombea na sisi 🙏🙏🙏AMINA
clcr.me/CLAMVEVO
Bonyeza link hapo juu kujisajili na pocket broker ukitumia promo code CLAM2024
Na uweze pata bonus hadi asilimia 100
🧭🤳🤭🤭
@@clamvevo6472 hata uku Congo tuna weza sheza
Clam vevo mm nk kenya vp pia naeza cheza pocket broker
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Jinsi ya kucheza
Ivi mnajua ifikapo 2099 wote humu tutakua tumekufa tujitahidi kufanya ibada 🙏 KIFO KINAKUJA 😭😭
Saw
Kabisa yaan
Tumejisahau xn
Ukumbusho wa wazi kabisa kk
Haya
Commet kuhus kaz ..Iman n ju y mtu
Najua hatufahamiani ila. Popote ulipo katika dunia hii mungu akubariki sanaaa na kuwafanyia wepesi kwa kila jambo ❤❤❤❤
Amen
@@NuruNdegwa-yg2bm pamoj san
Amin
Ameen ❤
Amiin thuma Amiin
Hakika kufanya Ibada ni jambo muhim kwetu wanaadam mungu atujalie mwisho mwema kwa uwezo wake inshallah
🤲🙏
Allahumma aaaamiin
Amiin 🤲
Amin
Jamanii tunaisubir snaa big boss season 2 wanayo isubir big boss gongeni like apa ❤❤
@@HatungimanaRahma-r7l m mwanzo ndo nahic nn cjui bigboss nayo n kali vbya sana tunaisubiri kwa hamu
@@ZainabujumaVyonimko sure season 2 iko😊
@@puritynyanchoka821 atha sipaelew hpa dadangu bt vevo alisema thuisubirie😂😂😂😂uko ndo kuna moto wenyewe
Ongera sana mnatisha kinyama tunawapenda congo tolingi bino mingi nzambe apambolayo clam vevo kuzua bandeko nabiso kotiya bango na snake boy
Ndugu zangu kama unamwamini MUNGU usipite Bila kulike utabarikiwa sana 🎉🎉
youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401
Visa series imetoka czcams.com/video/sptDdOBykC4/video.htmlsi=bhurBsZK5ryjz3ms
Mungu hatumii smartphone kaka, Matendo yako ndio yatayokupeleka mbinguni.. na inaandikwa Mungu na sio mungu.. Anza na herufi kubwa
Sisi tunaamini mizimu@@anthonylister754
Kwa kila njia Ili mpate like😂
Mashallah Leo nimewahi wa 2 ila uwe unawah kutuma hii muv mana inachelewa sana
youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401
Ila jamanii tumkumbuke mungu siku za ujana wetu mambo ni mengi siku hizi tumuombe mungu tuwe na mwisho mwema🙏🙏
Be Blessed 🙌 Angel Peter 😇
@@EverlynKenneth 🙏🙏dear
Amin
Faume atapinduliwa pinduko la hatar sana,
Mana team inayotaka kumpindua ni kubwa halaf wanaotaka kurithi kiti chake hao hao watakuja vurugana,
Tanu unaakili Mingi sana kuwateka had hao watu wa juu wa Chief
Umeona mbali💪
Kama upo hai mpaka Leo, Mwambie Mungu Asante
Asante
Asante mungu wangu we ndiwe
Asante mungu
Asante mungu
Amen
Is on top clevo from Kenya I really love Tanzanian things 🔥
Na ni kweli clam vevo ameshidikana CZcams 😮only 26 minutes 10k views..Huyu kashidikana ...kama unaamini ni ukweli goga like ❤🎉
Mbona views zake zimeshuka
Mwenye kufurahia mipango ya Tanu gonga like 👍👍👍 tuko pamoja sana🎉🎉🎉🎉
Vevo naomba no za uyo mlimzi wa chief mwenye rasi jamani anatembea na moyo wangu🤦♀️🏃♂️☺️
Nikupe namba
😂😂😂😂nimechoka kama fala
0684
yuko sawa
Mimi ndo nilikuwa na muwaza sana jamani Yani ananivutiaaaa
Nimekuwa wakwanza nipewe maua angu, from mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Wa kwanza leo naombeni ata like 100 jaman hamjawah kulike kwangu
youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401
Sasa wewe iz like zikusaidie nin
@@Suma001 napata pesa
Tafuta kazi kijana
❤
Tanu ndiye msaliti mkumbwa 😂 but he knows how to play his part very well
Very well
Tanu anatisha mbaya mbov
For sure...na yy ameshapata msaliti wake, mlinz rasta😅
Oooyaaaa wanangu wa snake 🐍 boy 👦 kaa Mpelampela kama Wana wa nzoya ... fanya kunigei like zangu nimewahi sana
Asante mwasi ume fanya kazi nzuri 🇨🇩🇨🇩✌🏽✌🏽✌🏽
jamani Mimi uwa nangalia movie ya snake boy na ni mgeni ntk naon like jmn 🎉🎉🎉
Utapeleka wap
Utapeleka wap
Sasa huwa unaangalia ama ndo mgeni
Kama hatuzioni
Musiwa wagumu kugonga Like jami, kazi tunapata yamoto 🔥🇲🇿🇲🇿
czcams.com/video/QRumB-qPL6g/video.html
Kwani muvi ni yako unaitaji like😮
Kazi kuomba like tu, mtakuj kuomba na mboo siku moja
@@SobiTz você fumou liamba 🤌
SHAHIDI + FAUME+ TANU hawa majamaa wanavaa uhusikaa vzur sanaa❤❤😊
Sahihi wanajua sana
Muongeze mwasi!!
Tanu anajua mn akicheza naumia mm mtizamaji huku muda mwengine nafumba nacho ikifika zam yke
Kabisa yn na mwasi
Kwel kbx
kajolo kapewa kaz ya kumchunguza Tanu, na pia kapewa nafas ya Kapera lakin pia Tanu kamuahidi Kajolo nafasi ya Usaidizi baada ya kumpindua CHIfu😂
Apo Sasa ngoja tuone kitakachotokea
Mmh, kazin kwa kajolo kuna kazi
Bila yupo vizuri sana na uhusika huo ameuvaa vizuri sana. Kazi nzuri sana
Butua, mwasi na chaupele wametuacha na pigo kubwa sanaaa. Wapumzike kwa amani,
Mafans wenu tutawamis sana😢😭
Mwasi pia amekufa😢😢😢
Mwasi hajafa jamn
Al@@rizikladyherson8451hajafa huyo kabadilika jinsia yake
Bi ndiro jamaniii mbona harudiii
Wale wamesikia vibaya chaupele alipomezwa😢😢 like hapa.
Nimeumwa zaidi hata kuliko vile niliumwa juzi nilipompata mrembo wangu na mwanamme mwingine 😂😂😂
Daah 😂😂💔@@mosesashikoye3288
😢
Daaah imeniuma sana
@@mosesashikoye3288usinichekeshe tafadhali 😂😂😂
Waliochelewa km mm n kufurahia umbile la kakoso kurudi tukutane nyuma ya tent 😂🇰🇪🇸🇦♥️♥️♥️love from team kubwa 🥰🥰🥰 nawapenda nikiwa riyadh like utabarikiwa😢
MANSHA'ALLAH ALLAH AKUZIDISHIE BARAKA KHELI NA AKUPE MAISHA MAREFU UNATUFULAHISHA MASHABIK ZAKO KAKA
Kila kukicha ni Neema.....TUNAMSHUKURU MUNGU.... Tuendelee kupambana Ndugu zangu..Kila la kheri kwenye MAPAMBANO YeNu😊🎉
Kwako pia🙏
Kwa sote❤🎉
UKISOMA MSG HII NA KUNIPATIA LIKE ZANGU MUNGU AKUBARIKI NA AKUJALIE UWISHI MIAKA MINGI IN SHAA ALLAH
Aamin
Kipara na sengo wachinjwe krismas ya mwaka wana umbea sana😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Mpka wanakera yani😂😂😂
😂😂😂😂wameshindikana hawa
Wakwanza leo naomben like hata mbili tu jaman upendo kuwa unampenda CLAM VEVO
Clam upo vzr mashallaah ila tukisema tukuombee duwa uzidi kufanikiwa itakua hatukupendi mn hii ni starehe ya dunia * bora tukuombee duwa uwe miongoni mwa waja wema ukifa uwe mtu wa peponi *Aamiin
Amin
snake boy iko poa sanaaa bravo clam vevo👏👏
Soso Lelo nakoliya yoo kkk zinga oyebi lingala solo 😂😂😂😂😂
Wa Kwanza leo jaman musinizarao kwasababu kutoka Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 nipe mawa yangu
Oya nimekua tanzania one wadau
Like ziwe nyingi sasa❤
youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401
vvbvvcvccobbv
Return of kakoso
Kama umefurah gonga like❤
😊😊😊😊Kwakweli mlinzi ananikosha sana analafudhi nzuri sana 😊😊😊kajolo
Ana sauti kama ya Rk tunga
Jamaniii leo ndio nimenunua simu kubwaa tangu nizaliwe naombeni likes zenu kama kunikalibisha katika ulimwengu wa smartphone ❤
@@FortiMtolela-xl2nb ndio uitangazie?
@@nurumwinyi796Ndio niyake lazima atangaze furaha Yake Wew Vp 😂😂😊
Hhhh
Xx ndo uanze kuangalia kipande Cha 34 wakatiii Kuna Cha kwanza huko nyuma umetukoxea xana
Nyiee watu mpo fasta sana yani😂😂😂😂 hongereni sana kumpa saport ckam vevo
Nini ckam
Toka naanza kufatilia. Hii move sijawahi pata hata like moja
Like zinakusaidia nn
Tunaochukizwa na poketblocker TUJUANE hapa😂😂
😂😂😂leo ntiba kaongea kiswahili much love clam vevo gang
Here we go Champion boy🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇷🇼🇧🇮🇨🇩🇨🇬🙌
Aah😅 Kila inavoisha ndo inzidi kuwa Tam ila Snake boy big up sana ..🔥✊✊
Mm w kwanza nipo like zangu from Mozambique 🇲🇿🇲🇿💪
Tanu , Tanu sku yako yaja ,kitakuramba ktu
Clam Mimi nauliza tu huyu mlizi wa chifu wa nyoka kajolo ameoa🥰
DRC tuna furaha sana
Kuona muna ongeya lingala . Ni lazma tuwa sapoti 🇨🇩🇨🇩🫶
Nikwel clam anaitikisa Africa mashaliki
Kama unaamin gonga like
Ndan ya dakk moja pekee nimeona like 380. ,,inaonesha nikias gan kaz ilivo nzuri,, usituangushe shabiki zako
Wenye tumefwatilia snake boy tangu ianze gonga like hapa❤
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team vevo
Leo nimebatika kwa wa kwanza namombeni like zangu jamani from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 please clam Vevo kazi nzuri
mimi sitaki hata hizo like japo ni wa kwanza 😅
Wa kwanzaaaaa
Umeniwahi kubabake
Ila wejamaa umenisulika
youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401
spaiygo ndo naingia, habari zenu jamani
na waomben kitu ki1
kwa kuwa mm ni mgeni kwenye snik boy, like ziwe za kutosha🙏🙏
nawashukuru sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 for life One love ❤
Wewe nikama Kanumba bro 🙏 from Congo 🇨🇩🎉🎉🎉
Jaman tulikuwa tunaingoja kwa hamu kubwa sana mauwa yenu🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉
Leo n mm wa qwanzq naomba like❤❤
Vevo leo katuwahishia kbsaaa kaz njema sna
😅😅😅 eti hili umbile la mwaSi lina maadui wengi sana 😅😅 umeogopa kuwa kama kimu. Nakupenda sana kakoso kazi nzur mwasi asante kwa kazi yako nzurii❤❤❤
Tuna kila sababu ya kumushukuru mwenyezi mungu kwa kila jambo🙏wapo wengi wame tuacha ila kwa sisi tuliyopo hayi tuwa ombee wenzetu waliyo tanguliya bila kusahawu kujiombea na sisi 🙏🙏🙏AMINA
Inshallah
Haya wa kwanza leo mm 😂😂 naomba like Ang😢😅❤🎉
Leo hakuna kuwapa WAKENYA like tafadhari 😂😂😂
😂😂
Why?
Acha ubinafsi
Wa kwanzaaaaaaaaaaaaa 🇨🇩🇨🇩
Hua sifatilii muve lakini hii nafatilia paka mwisho🎉🎉🎉🎉❤❤😂😂asaka ndenge asakamoko zinga kiboko😂😂😂😂
Yaan sikuhizi imepooza Sana tofauti na mwanzo hamna matukio alafu mnachelewesha nn shida
Yani Mkofanya Yote Ila Mungemuacha Chaupele Amalize Hii Move Nilimpenda Bure Cjapenda Eti Kumezwa Na Nyoka
Mimi pia nimechukia
Tupo wote 😢
Imeudhi
Wanafanya matukio mengine yasiwe na umuhimu wowote kujenga ploti kuu.
Ata na mm pia😢
Upuuz t
Kali sana
youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401
Wakwanza hapa🎉
youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401
hey hii noma kibara ananifanya kuìpenda filam na mwenzie kikono like zenu
ila Tanu 🙌🙌
Leo mm wa Kwanzaa wapi likes zangu
Umeweza mzee baba hongera
Wa kwanza leo nipeeni likes from Kenya 🇰🇪❤❤
Visa series imetoka czcams.com/video/sptDdOBykC4/video.htmlsi=bhurBsZK5ryjz3ms
huyu tanu anamaliza mmoja baada ya mwingine hata huyo mlinzi aliechukua nafasi ya kapela yuko hatalini kuuwawa
Hii series Tanu analeta mvurugano ila mwanangu Chaupele kwann amezwe na joka ila mkimuondoa VILA hii movie mtanikera kabisa mganga mtaalam kabisa 😂😂🙌🙌
Clam vevo ww n hatar sanaaaah, Mungu azd kkpa malifa Mara dufu.
Kila mtu kawai kila mtu wakwanza ila kutoa maon kuusu ii movies anhaa😂😂
wa kwanza kuview toka Kenya...si mnipee likes jameni😂❤
jammaniiiiii daaaaaah kazi bombaaaaa🎉🎉🎉🎉
Bozoo bebisa langue nabiso te boyebi oh Solango te botika lingala ezali yabino te c'est pour nous les congolais 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Can from Msumbiji Mozambique naomba like zenu
My Team Clam and Kakoso salute nyie wote kwafilam nzulii sana uuuuu
All the way from Kenya 🇰🇪🇰🇪❤❤ GEN Z nipewe zangu
Jmn tutammis Mwasi khaaa!kakoso kukumis n ww duuu!Tanu saasaa jmn😂😂😂namkubal sana chief Faume 🔥🔥🔥💯👌
Ongera sana vevo
Dakika kumi tu watu washakuwa 400 na kidogo duh😂😂 nyie watu nimewashindwa
Leo nimekuwa wa kwanza naombeni likes za kutosha 😂😂😂
🎉🎉🎉🎉 from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Nakukubali Sana kutokea Congo 🇨🇩🔥🇨🇩
Clam vevo bingwa wa bingwa ❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Chaupele 😢atleast angetumia ungo kupaaa nyoka hatambai angani😂😂 snake boy kila uchao moto kakoso is back
Yaniiiii 😢😢😢😢
What about mwasi
@@rizikladyherson8451 ndio hivyo kashasahaulika kakoso karudi katika nafasi yake
Nimewai leo like zangu kutoka congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩
youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401
Movies Iko poa sana ila anachokosea ili tangazo kuliweka katikati ya movi kwann asiwek mwanzo
Nikweli angeeka tuu mwisho na mwanzo tuu
Kweli bora angeweka mwisho
@@mohammedkidody5618 yeah
Yesuu yuaja kumlipa Kila mtu ujiraa wakee sawasawa na matendo yake OKOKA NDUGU
Mimi ndo wa kwanza gonga like hapa❤😂😂