SNAKE BOY | ep 34 | SEASON TWO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • clcr.me/CLAMVEVO
    Bonyeza link hapo juu kujisajili na pocket broker ukitumia promo code CLAM2024
    Na uweze pata bonus hadi asilimia 100

Komentáře • 2,1K

  • @clamvevo6472
    @clamvevo6472  Před 15 dny +291

    clcr.me/CLAMVEVO
    Bonyeza link hapo juu kujisajili na pocket broker ukitumia promo code CLAM2024
    Na uweze pata bonus hadi asilimia 100

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 Před 15 dny +835

    Ivi mnajua ifikapo 2099 wote humu tutakua tumekufa tujitahidi kufanya ibada 🙏 KIFO KINAKUJA 😭😭

  • @hendrypeter6182
    @hendrypeter6182 Před 15 dny +75

    Najua hatufahamiani ila. Popote ulipo katika dunia hii mungu akubariki sanaaa na kuwafanyia wepesi kwa kila jambo ❤❤❤❤

  • @thanirajab7652
    @thanirajab7652 Před 14 dny +59

    Hakika kufanya Ibada ni jambo muhim kwetu wanaadam mungu atujalie mwisho mwema kwa uwezo wake inshallah

  • @HatungimanaRahma-r7l
    @HatungimanaRahma-r7l Před 15 dny +115

    Jamanii tunaisubir snaa big boss season 2 wanayo isubir big boss gongeni like apa ❤❤

    • @ZainabujumaVyoni
      @ZainabujumaVyoni Před 13 dny

      @@HatungimanaRahma-r7l m mwanzo ndo nahic nn cjui bigboss nayo n kali vbya sana tunaisubiri kwa hamu

    • @puritynyanchoka821
      @puritynyanchoka821 Před 8 dny

      ​@@ZainabujumaVyonimko sure season 2 iko😊

    • @ZainabujumaVyoni
      @ZainabujumaVyoni Před 8 dny

      @@puritynyanchoka821 atha sipaelew hpa dadangu bt vevo alisema thuisubirie😂😂😂😂uko ndo kuna moto wenyewe

  • @KambaleMbangale
    @KambaleMbangale Před 15 dny +53

    Ongera sana mnatisha kinyama tunawapenda congo tolingi bino mingi nzambe apambolayo clam vevo kuzua bandeko nabiso kotiya bango na snake boy

  • @JoelElifadha
    @JoelElifadha Před 15 dny +116

    Ndugu zangu kama unamwamini MUNGU usipite Bila kulike utabarikiwa sana 🎉🎉

    • @Peter-comedy
      @Peter-comedy Před 15 dny

      youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401

    • @meninafilmstz
      @meninafilmstz Před 15 dny

      Visa series imetoka czcams.com/video/sptDdOBykC4/video.htmlsi=bhurBsZK5ryjz3ms

    • @anthonylister754
      @anthonylister754 Před 15 dny +3

      Mungu hatumii smartphone kaka, Matendo yako ndio yatayokupeleka mbinguni.. na inaandikwa Mungu na sio mungu.. Anza na herufi kubwa

    • @edineezke1616
      @edineezke1616 Před 14 dny

      Sisi tunaamini mizimu​@@anthonylister754

    • @saumucharo3239
      @saumucharo3239 Před 14 dny +2

      Kwa kila njia Ili mpate like😂

  • @ShamsaMudathir
    @ShamsaMudathir Před 15 dny +97

    Mashallah Leo nimewahi wa 2 ila uwe unawah kutuma hii muv mana inachelewa sana

    • @Peter-comedy
      @Peter-comedy Před 15 dny

      youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401

  • @angelpeter-ce6jx
    @angelpeter-ce6jx Před 14 dny +31

    Ila jamanii tumkumbuke mungu siku za ujana wetu mambo ni mengi siku hizi tumuombe mungu tuwe na mwisho mwema🙏🙏

  • @jameswissa9981
    @jameswissa9981 Před 15 dny +16

    Faume atapinduliwa pinduko la hatar sana,
    Mana team inayotaka kumpindua ni kubwa halaf wanaotaka kurithi kiti chake hao hao watakuja vurugana,
    Tanu unaakili Mingi sana kuwateka had hao watu wa juu wa Chief

  • @jacksonmassato8017
    @jacksonmassato8017 Před 15 dny +91

    Kama upo hai mpaka Leo, Mwambie Mungu Asante

  • @IanKidundu
    @IanKidundu Před 15 dny +41

    Is on top clevo from Kenya I really love Tanzanian things 🔥

  • @Richy622
    @Richy622 Před 15 dny +85

    Na ni kweli clam vevo ameshidikana CZcams 😮only 26 minutes 10k views..Huyu kashidikana ...kama unaamini ni ukweli goga like ❤🎉

  • @sarahnjeri-tz8eu
    @sarahnjeri-tz8eu Před 14 dny +12

    Mwenye kufurahia mipango ya Tanu gonga like 👍👍👍 tuko pamoja sana🎉🎉🎉🎉

  • @user-jt8wt9pf2m
    @user-jt8wt9pf2m Před 15 dny +20

    Vevo naomba no za uyo mlimzi wa chief mwenye rasi jamani anatembea na moyo wangu🤦‍♀️🏃‍♂️☺️

  • @abdizzydhasofia6958
    @abdizzydhasofia6958 Před 15 dny +47

    Nimekuwa wakwanza nipewe maua angu, from mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @GloryEmmanuel-b2t
    @GloryEmmanuel-b2t Před 15 dny +180

    Wa kwanza leo naombeni ata like 100 jaman hamjawah kulike kwangu

  • @Frankline.
    @Frankline. Před 15 dny +60

    Tanu ndiye msaliti mkumbwa 😂 but he knows how to play his part very well

  • @abudaizyvonvincer8701
    @abudaizyvonvincer8701 Před 15 dny +13

    Oooyaaaa wanangu wa snake 🐍 boy 👦 kaa Mpelampela kama Wana wa nzoya ... fanya kunigei like zangu nimewahi sana

  • @josephusekwelas9743
    @josephusekwelas9743 Před 14 dny +8

    Asante mwasi ume fanya kazi nzuri 🇨🇩🇨🇩✌🏽✌🏽✌🏽

  • @mkacibeiib7278
    @mkacibeiib7278 Před 15 dny +109

    jamani Mimi uwa nangalia movie ya snake boy na ni mgeni ntk naon like jmn 🎉🎉🎉

  • @André-c6
    @André-c6 Před 15 dny +79

    Musiwa wagumu kugonga Like jami, kazi tunapata yamoto 🔥🇲🇿🇲🇿

    • @fullanimalstz6212
      @fullanimalstz6212 Před 15 dny

      czcams.com/video/QRumB-qPL6g/video.html

    • @EliasMoris-gh1pv
      @EliasMoris-gh1pv Před 14 dny

      Kwani muvi ni yako unaitaji like😮

    • @SobiTz
      @SobiTz Před 14 dny

      Kazi kuomba like tu, mtakuj kuomba na mboo siku moja

    • @André-c6
      @André-c6 Před 14 dny

      @@SobiTz você fumou liamba 🤌

  • @nickluca1512
    @nickluca1512 Před 15 dny +32

    SHAHIDI + FAUME+ TANU hawa majamaa wanavaa uhusikaa vzur sanaa❤❤😊

  • @jamessamwel9456
    @jamessamwel9456 Před 15 dny +17

    kajolo kapewa kaz ya kumchunguza Tanu, na pia kapewa nafas ya Kapera lakin pia Tanu kamuahidi Kajolo nafasi ya Usaidizi baada ya kumpindua CHIfu😂

  • @goodluckmanfred410
    @goodluckmanfred410 Před 15 dny +9

    Bila yupo vizuri sana na uhusika huo ameuvaa vizuri sana. Kazi nzuri sana

  • @annaki318
    @annaki318 Před 15 dny +43

    Butua, mwasi na chaupele wametuacha na pigo kubwa sanaaa. Wapumzike kwa amani,
    Mafans wenu tutawamis sana😢😭

  • @mwaurapaulofficial7033
    @mwaurapaulofficial7033 Před 15 dny +74

    Wale wamesikia vibaya chaupele alipomezwa😢😢 like hapa.

    • @mosesashikoye3288
      @mosesashikoye3288 Před 14 dny +1

      Nimeumwa zaidi hata kuliko vile niliumwa juzi nilipompata mrembo wangu na mwanamme mwingine 😂😂😂

    • @SobiTz
      @SobiTz Před 14 dny

      Daah 😂😂💔​@@mosesashikoye3288

    • @SalamaTaura
      @SalamaTaura Před 14 dny

      😢

    • @user-yj1lk2jg7p
      @user-yj1lk2jg7p Před 12 dny

      Daaah imeniuma sana

    • @HAWAMAULIDI-zl5xd
      @HAWAMAULIDI-zl5xd Před 12 dny

      @@mosesashikoye3288usinichekeshe tafadhali 😂😂😂

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 Před 15 dny +29

    Waliochelewa km mm n kufurahia umbile la kakoso kurudi tukutane nyuma ya tent 😂🇰🇪🇸🇦♥️♥️♥️love from team kubwa 🥰🥰🥰 nawapenda nikiwa riyadh like utabarikiwa😢

  • @rajabjuma1450
    @rajabjuma1450 Před 14 dny +4

    MANSHA'ALLAH ALLAH AKUZIDISHIE BARAKA KHELI NA AKUPE MAISHA MAREFU UNATUFULAHISHA MASHABIK ZAKO KAKA

  • @Kamhandamapambano
    @Kamhandamapambano Před 15 dny +8

    Kila kukicha ni Neema.....TUNAMSHUKURU MUNGU.... Tuendelee kupambana Ndugu zangu..Kila la kheri kwenye MAPAMBANO YeNu😊🎉

  • @modex_0376
    @modex_0376 Před 15 dny +28

    UKISOMA MSG HII NA KUNIPATIA LIKE ZANGU MUNGU AKUBARIKI NA AKUJALIE UWISHI MIAKA MINGI IN SHAA ALLAH

  • @Dianaf774
    @Dianaf774 Před 15 dny +68

    Kipara na sengo wachinjwe krismas ya mwaka wana umbea sana😂😂😂😂

  • @DoctorKipingu-jb2cp
    @DoctorKipingu-jb2cp Před 15 dny +83

    Wakwanza leo naomben like hata mbili tu jaman upendo kuwa unampenda CLAM VEVO

  • @AsiaOmar-mr7bk
    @AsiaOmar-mr7bk Před 15 dny +11

    Clam upo vzr mashallaah ila tukisema tukuombee duwa uzidi kufanikiwa itakua hatukupendi mn hii ni starehe ya dunia * bora tukuombee duwa uwe miongoni mwa waja wema ukifa uwe mtu wa peponi *Aamiin

  • @aminahaule1806
    @aminahaule1806 Před 15 dny +6

    snake boy iko poa sanaaa bravo clam vevo👏👏

  • @PlaisirKabuyaya
    @PlaisirKabuyaya Před 15 dny +30

    Soso Lelo nakoliya yoo kkk zinga oyebi lingala solo 😂😂😂😂😂

  • @user-dz4vl7wm5n
    @user-dz4vl7wm5n Před 15 dny +21

    Wa Kwanza leo jaman musinizarao kwasababu kutoka Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 nipe mawa yangu

  • @carlpsonmunisi7315
    @carlpsonmunisi7315 Před 15 dny +48

    Oya nimekua tanzania one wadau
    Like ziwe nyingi sasa❤

  • @Smailmudabado
    @Smailmudabado Před 14 dny +4

    Return of kakoso
    Kama umefurah gonga like❤

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 Před 15 dny +3

    😊😊😊😊Kwakweli mlinzi ananikosha sana analafudhi nzuri sana 😊😊😊kajolo

  • @FortiMtolela-xl2nb
    @FortiMtolela-xl2nb Před 15 dny +22

    Jamaniii leo ndio nimenunua simu kubwaa tangu nizaliwe naombeni likes zenu kama kunikalibisha katika ulimwengu wa smartphone ❤

  • @lydiaezekiel3044
    @lydiaezekiel3044 Před 15 dny +22

    Nyiee watu mpo fasta sana yani😂😂😂😂 hongereni sana kumpa saport ckam vevo

  • @user-ch9sv9ze3u
    @user-ch9sv9ze3u Před 15 dny +32

    Toka naanza kufatilia. Hii move sijawahi pata hata like moja

  • @officialchui5653
    @officialchui5653 Před 14 dny +1

    Tunaochukizwa na poketblocker TUJUANE hapa😂😂

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Před 14 dny +1

    😂😂😂leo ntiba kaongea kiswahili much love clam vevo gang

  • @Swahili_Nation_Studios
    @Swahili_Nation_Studios Před 15 dny +16

    Here we go Champion boy🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇷🇼🇧🇮🇨🇩🇨🇬🙌

  • @FanuelMhonjwa-fm1oe
    @FanuelMhonjwa-fm1oe Před 15 dny +11

    Aah😅 Kila inavoisha ndo inzidi kuwa Tam ila Snake boy big up sana ..🔥✊✊

  • @AnzuluniAlfane-wp5nf
    @AnzuluniAlfane-wp5nf Před 15 dny +8

    Mm w kwanza nipo like zangu from Mozambique 🇲🇿🇲🇿💪

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg Před 15 dny +5

    Tanu , Tanu sku yako yaja ,kitakuramba ktu

  • @ZaylinahNindae
    @ZaylinahNindae Před 15 dny +2

    Clam Mimi nauliza tu huyu mlizi wa chifu wa nyoka kajolo ameoa🥰

  • @Dorcelbyamungu9544
    @Dorcelbyamungu9544 Před 15 dny +10

    DRC tuna furaha sana
    Kuona muna ongeya lingala . Ni lazma tuwa sapoti 🇨🇩🇨🇩🫶

  • @FaliduHamidu
    @FaliduHamidu Před 15 dny +22

    Nikwel clam anaitikisa Africa mashaliki
    Kama unaamin gonga like

  • @user-ne6pd4rl4p
    @user-ne6pd4rl4p Před 15 dny +35

    Ndan ya dakk moja pekee nimeona like 380. ,,inaonesha nikias gan kaz ilivo nzuri,, usituangushe shabiki zako

  • @VeronicaNekesa-p9x
    @VeronicaNekesa-p9x Před 15 dny +5

    Wenye tumefwatilia snake boy tangu ianze gonga like hapa❤

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga Před 6 dny +1

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team vevo

  • @RafiqueSaide
    @RafiqueSaide Před 15 dny +8

    Leo nimebatika kwa wa kwanza namombeni like zangu jamani from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 please clam Vevo kazi nzuri

  • @joshuakaduma-kf4yn
    @joshuakaduma-kf4yn Před 15 dny +13

    mimi sitaki hata hizo like japo ni wa kwanza 😅

  • @rashfordsulley7402
    @rashfordsulley7402 Před 15 dny +16

    Wa kwanzaaaaa

  • @SpaiyGo
    @SpaiyGo Před 15 dny +6

    spaiygo ndo naingia, habari zenu jamani
    na waomben kitu ki1
    kwa kuwa mm ni mgeni kwenye snik boy, like ziwe za kutosha🙏🙏
    nawashukuru sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 for life One love ❤

  • @razesdragon
    @razesdragon Před 13 dny +3

    Wewe nikama Kanumba bro 🙏 from Congo 🇨🇩🎉🎉🎉

  • @user-co7nu4kj1k
    @user-co7nu4kj1k Před 15 dny +26

    Jaman tulikuwa tunaingoja kwa hamu kubwa sana mauwa yenu🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AnthonyOgega
    @AnthonyOgega Před 15 dny +27

    Leo n mm wa qwanzq naomba like❤❤

  • @user-ek1gi9fv9z
    @user-ek1gi9fv9z Před 15 dny +15

    Vevo leo katuwahishia kbsaaa kaz njema sna

  • @SarahCharls
    @SarahCharls Před 13 dny +2

    😅😅😅 eti hili umbile la mwaSi lina maadui wengi sana 😅😅 umeogopa kuwa kama kimu. Nakupenda sana kakoso kazi nzur mwasi asante kwa kazi yako nzurii❤❤❤

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx Před 14 dny +3

    Tuna kila sababu ya kumushukuru mwenyezi mungu kwa kila jambo🙏wapo wengi wame tuacha ila kwa sisi tuliyopo hayi tuwa ombee wenzetu waliyo tanguliya bila kusahawu kujiombea na sisi 🙏🙏🙏AMINA

  • @Shahembreezy
    @Shahembreezy Před 15 dny +10

    Haya wa kwanza leo mm 😂😂 naomba like Ang😢😅❤🎉

  • @GodblessMpenda
    @GodblessMpenda Před 15 dny +14

    Leo hakuna kuwapa WAKENYA like tafadhari 😂😂😂

  • @user-iv3yi2jq1l
    @user-iv3yi2jq1l Před 15 dny +21

    Wa kwanzaaaaaaaaaaaaa 🇨🇩🇨🇩

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Před 15 dny +1

    Hua sifatilii muve lakini hii nafatilia paka mwisho🎉🎉🎉🎉❤❤😂😂asaka ndenge asakamoko zinga kiboko😂😂😂😂

  • @OMMYGUNJO-if3gg
    @OMMYGUNJO-if3gg Před 14 dny +2

    Yaan sikuhizi imepooza Sana tofauti na mwanzo hamna matukio alafu mnachelewesha nn shida

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Před 15 dny +19

    Yani Mkofanya Yote Ila Mungemuacha Chaupele Amalize Hii Move Nilimpenda Bure Cjapenda Eti Kumezwa Na Nyoka

  • @ShamsiKaim
    @ShamsiKaim Před 15 dny +19

    Kali sana

    • @Peter-comedy
      @Peter-comedy Před 15 dny

      youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401

  • @AmilyKahomi-i6v
    @AmilyKahomi-i6v Před 15 dny +26

    Wakwanza hapa🎉

    • @Peter-comedy
      @Peter-comedy Před 15 dny

      youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401

  • @abdulrazackmafugalo4933
    @abdulrazackmafugalo4933 Před 15 dny +4

    hey hii noma kibara ananifanya kuìpenda filam na mwenzie kikono like zenu

  • @mustafampande173
    @mustafampande173 Před 15 dny +3

    ila Tanu 🙌🙌

  • @JamilahMusavi
    @JamilahMusavi Před 15 dny +16

    Leo mm wa Kwanzaa wapi likes zangu

  • @laurentharuna8671
    @laurentharuna8671 Před 15 dny +22

    Umeweza mzee baba hongera

  • @PurieMakena
    @PurieMakena Před 15 dny +9

    Wa kwanza leo nipeeni likes from Kenya 🇰🇪❤❤

    • @meninafilmstz
      @meninafilmstz Před 15 dny

      Visa series imetoka czcams.com/video/sptDdOBykC4/video.htmlsi=bhurBsZK5ryjz3ms

  • @PatrickKimaro-do3lj
    @PatrickKimaro-do3lj Před 15 dny +3

    huyu tanu anamaliza mmoja baada ya mwingine hata huyo mlinzi aliechukua nafasi ya kapela yuko hatalini kuuwawa

  • @Bombwejr18
    @Bombwejr18 Před 13 dny +1

    Hii series Tanu analeta mvurugano ila mwanangu Chaupele kwann amezwe na joka ila mkimuondoa VILA hii movie mtanikera kabisa mganga mtaalam kabisa 😂😂🙌🙌

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg Před 15 dny +16

    Clam vevo ww n hatar sanaaaah, Mungu azd kkpa malifa Mara dufu.

  • @BarlosinChidy-i7f
    @BarlosinChidy-i7f Před 15 dny +9

    Kila mtu kawai kila mtu wakwanza ila kutoa maon kuusu ii movies anhaa😂😂

  • @harmomzaga8728
    @harmomzaga8728 Před 15 dny +9

    wa kwanza kuview toka Kenya...si mnipee likes jameni😂❤

  • @fatmamohammed8346
    @fatmamohammed8346 Před 15 dny +1

    jammaniiiiii daaaaaah kazi bombaaaaa🎉🎉🎉🎉

  • @KarbandikaPromax
    @KarbandikaPromax Před 15 dny +2

    Bozoo bebisa langue nabiso te boyebi oh Solango te botika lingala ezali yabino te c'est pour nous les congolais 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @canzilatanziro
    @canzilatanziro Před 15 dny +10

    Can from Msumbiji Mozambique naomba like zenu

  • @IrangezaYaga
    @IrangezaYaga Před 15 dny +16

    My Team Clam and Kakoso salute nyie wote kwafilam nzulii sana uuuuu

  • @MaryKariuki-qw7oh
    @MaryKariuki-qw7oh Před 15 dny +5

    All the way from Kenya 🇰🇪🇰🇪❤❤ GEN Z nipewe zangu

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 Před 12 dny +1

    Jmn tutammis Mwasi khaaa!kakoso kukumis n ww duuu!Tanu saasaa jmn😂😂😂namkubal sana chief Faume 🔥🔥🔥💯👌

  • @Blacksontigre25
    @Blacksontigre25 Před 14 dny +1

    Ongera sana vevo

  • @dainesmsagala8588
    @dainesmsagala8588 Před 15 dny +8

    Dakika kumi tu watu washakuwa 400 na kidogo duh😂😂 nyie watu nimewashindwa

  • @Alimekatizii
    @Alimekatizii Před 15 dny +8

    Leo nimekuwa wa kwanza naombeni likes za kutosha 😂😂😂

  • @AnitaVictor-nb3oh
    @AnitaVictor-nb3oh Před 15 dny +8

    🎉🎉🎉🎉 from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @JeanLunda-nv5fd
    @JeanLunda-nv5fd Před 14 dny +1

    Nakukubali Sana kutokea Congo 🇨🇩🔥🇨🇩

  • @_Wayiva_mukuta_jean
    @_Wayiva_mukuta_jean Před 14 dny +1

    Clam vevo bingwa wa bingwa ❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @saimelody5844
    @saimelody5844 Před 15 dny +6

    Chaupele 😢atleast angetumia ungo kupaaa nyoka hatambai angani😂😂 snake boy kila uchao moto kakoso is back

  • @gidenprotz
    @gidenprotz Před 15 dny +20

    Nimewai leo like zangu kutoka congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩

    • @Peter-comedy
      @Peter-comedy Před 15 dny

      youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401

  • @BarlosinChidy-i7f
    @BarlosinChidy-i7f Před 15 dny +15

    Movies Iko poa sana ila anachokosea ili tangazo kuliweka katikati ya movi kwann asiwek mwanzo

  • @AgreyAckim-pt3wv
    @AgreyAckim-pt3wv Před 11 dny +2

    Yesuu yuaja kumlipa Kila mtu ujiraa wakee sawasawa na matendo yake OKOKA NDUGU

  • @Designer1501
    @Designer1501 Před 15 dny +8

    Mimi ndo wa kwanza gonga like hapa❤😂😂