🔴
Vložit
- čas přidán 29. 04. 2024
- 🔴#LIVE: MASHAMSHAM NDANI YA WASAFI FM - 30 APRIL, 2024
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Hakana tamaa maskini angekua shankupe mwengine apo angekuja na ma make up angeenda kuazima hadi nguo kisa anaenda kumuongelea diamond nimekupenda sarah jamn mungu akufungulie na wewe uishi best life keep praying 🙏 ❤❤
😂😂😂😂 shankupe
🤣🤣🤣🤣
Anajiamini
Wanaokubaliana na Mimi penz la kweli halifi like hapa🎉🎉🎉
Zilipendwa izo
Iyo kweli
@@Koki-xd2cozilipendw zinakumbukw ndugu kupitiya upendo uyo mond lazim amukumbuk sababu walipendan katik maisha yashi ila awa wengine wote wamejuwana nae kashafanyikiwa
Kabisa
Kweli
Team sarah tujuane mie nimempenda bure ama kweli true love never dies,usikute sara ndo chaguo la mungu kwa diamond na ndo maana diamond ajaowa mpaka leo
Very true..kuna kitu chaitwa soulties na maadam walidimyana hawa damu zao ziliingiana na huyu ndo mtu sahihi wa diamond kbsa
Yaani 😂
True love of mondi❤
Mrudiane tafathali🎉
It never die
Kwel
Huyu ndio 1 love wa Nasibu . Maana after 15 years bado anampandisha kwenye stage
Uyo mwenzake nae mtu
Nilichopenda hapo ni jinsi wanaume walivyo! Mwanaume akifanikiwa awezi kumsaau ex wake aliesota nae !Pokea maua YENU
Diamond huyu ndo mke ❤
Mungu akitaka kukupa anakupa kupitia mtu imagine maumivu yeye ndo yamemfanya afanikiwe I like this girl hana tamaa maskin diamond muoe huyu jamn 😢
Hii interview ya mwaka kabisa 😂😂😂😂 true love never die
Yaani nampenda sarah kupitiliza tangu siku ya interview sichoki kumsikiliza kila mda namrudia tu nimsikia yaani mstarabu hana papala na mtu anajua upendo ameridhika na alichonacho mashallah tamaa hana na mashauzi hana alafu yuko naturally huyu ndio mke wa daimond wengine karagosi hana makubwa ya maisha
Hii ndio interview niliowahi kusikiliza kwa umakini kabisa nipewe Maua yangu
Of all the songs hii ndio nyimbo diamond aliimba na feelings Sana first love Never dies
Huyu dada uchoki kumsikiliza
Wow I love it.walai hadi Raha.nimesikiliza hii interview nimengunduwa Sarah ana utulivu n moyo mzuri.yaani ni mwanamke anayejielewa hana Tamaa wala siye kicheche.she is a house wife.ni mwanamke wa kutulia ndani ya nyumba.love the interview.am from mombasa Kenya
Nmempenda san Sarah jmn ❤❤❤
Huyu aunt hana majivuno, sijasikia akichanganya kinge kiswahili kama hao wengine waliokwisha pita, big up Sarah wewe ni really sio fake.
Hapa diamond hachomokiiii hata iweje. Nipo hapo nimekaa😂😂😂
😂😂sema Zuchu angiaja kufunga mafurushi yani kama anamupa nafasi sarah😂😂
Shikilia dadangu Sarah Mungu awaunganishe unapendwa
Subutu dai yupi anamtumia tu huyo ili yake yaende😂 kupendwa huko kwiyo???miakq yote hayo mapenz8 hayo mapenzi gani hana hata cha mana alichomfanyia ...apo kuna ule kamchezo wa kupiga matukio tu na si jengine.mambo yakikaa sawa hamtamuona tena sara.km vip amuowe tutajua anampenda lkn hawa wakuwachezea tu wote hawajielewi hakuna wa maana mpk sasa.
Diamond is a disappointment
Si alinifunza mapenzi nilikuwa sijui kamwambiee akanidekeza kishenzi na nyimbo nzuri nimuimbie🥹🥹🥹🥲😝😝😝😝
Ila me najikuta nampenda Sarah si waowane sasa😢
Kuna cha kujifunza apo madem msiache wapenzi wenu Kwa ubaya wachaneni kw wema...
Akumuja sababu ya maisha bali sarah wema alimunyangany mond na weye sarah kipindi icho Wema alikuwa na pesa apo sarah angikuw na nguvu sababu wema ametumikisha pesa katik mpenzi
Ni dada mzuri sana , Sarah😊
Sarah ni mdada ambaye akua na tamaa.ni mvumilivu na elijieshimu sana
Kila mtu Ana safari yake ya mapenzi na mtu aliewahi kumpenda sana iwe mwanamke au mwanaume
Mashallah anaonyesha Sara ni mtu mstaarabu hata kuzungumza kwae ni upole ❤
Sara anaonekana hana tamaa
Uyu bint yupo smart sana interview nzur nimeipenda
Diamond will end up with this woman.true love nvr dies
Amen
Ilaa D anajuana kucheza na akili za waTz yaani hii ni next level scenario sio kwamba anampango nae huyo sarah Bali anajua what's next..... i saluted you D iz all abt fame nd money.....🙌🙌🙌
Mambo ni moto sarah tumia muda wako vzuri tumia nafasi hii dada
😂😂😂ila uyu dada anaakili sawa
Nilichogundua sarah hana tamaa
kabisaa
uzur hatumii daimond anatumia nasibu
Kweli
Na Sarah she is her true love kwa Naseb n ni soulment wake.hata mbele.ya mungu.sarah ni mwanamke wa kishuwa ni mwanamke ambaye atailinda ndoa n Mali za mume wake hasaa mali za diamond.mm na prefer awe mke wa halali kwa diamond.she is the perfect for diamond
Nyinyi izi comment ndio mmefanya zuchu abebe mabegi😂😂😂😂😂
😂😂😂
😅😅😅 Familia washampa jina mabegi juu juu au kinganga
Am from Kenya but it seems Sarah alikua special to naseeb Kuna kitu alikua amezoea kutoka kwa Sarah maana hyu Dada alikua mtaratibu na Ana heshima sana sio kicheche kwa kweli respect dia
Kenya pia tuko huku aaaiii udaku twapenda
Sarah is the best ever, she did not come out to tarnish the name of Diamond, and ye she knew he had all , money she took care of the kid in silence God bless Sarah.
Sarah she's cute hapo ata ajajikokoboa nature face mashallah she's fine girl ❤ acha achukue mauwa yake
Sara ni pesa tu hana ila sio mkubwa na ni mzuri akipata matunzo brand ikakolea
Kweli aisee
Simba akishakuptsha tayar ww ushatoboa Tena xana so kidogo#yy n daraja la kuwaweka watu on top hilo halipngk mng kashamp hiyo uwezo
Nilicho kugua nyimbo zote diamond ana muandikia sara
Kosa langu
Kamwambie
Lala salama
Ntampata wapi
I miss you
Kizai zai
E.t.c
Yani mwamba ampe backup she deserves the best kikubwa yupo Hai.😢 chibu roho safi sana
Kwel kabisa 🤣🤣💋
Dah, sijajua miaka ya mbeleni lakini kwa miaka hii leo ndonimefurahi kuliko siku yoyote kuwahi kutokea miaka ya hivi karibuni, Hongera Sarah na brother Mack
How many times is the daughter of Zanzibar gonna pack and leave?
I just feel bad for her just look at how sweet Sarah is and confident. This tells you that she knows where to press if need be! She got the keys to his heart!
To Zuchu, You're enough! You're beautiful but you are not the one! Romeo can't fix you because he has daddy issues only women like her mama can contain him.
Indeed Love doesn't ask why and Men only want Love if it's torture! May the day break.
Sara mwanamke na nusu na Hana tamaa ikisha mzuri
Kila mtu ana kiboko yake kwenye maisha🥰🥰
Jaman kweli penz ra kweli halifi ❤
Kweli kbx
Kweli
Kweli
MAC is WANTED.
yaaani nyinyi huko kwa maa Samia, hamuga jambo ndogo kabisa, 😅😅😅😅😅 nawafuata toka 🇨🇩🇨🇩🇨🇩✌️✌️
Hii issue tunaenda nayo mwezi mzima😂😂
Aletwe hata ni defender 🏃🏃
😂😂😂😂
Uyu njo anajuwa story ya Mond ku wanawake wote ametembeya nae sarah nakupenda sababu interview yote awukumusema Mond vibaya yani sifa njo nyingi unamupa uyu njo hutuu ❤❤❤
Pia haja muhita Diamond. Yeye anajuwa Nasibu tu
Hii interview ni yamotroo 🔥🔥🔥🔥
Team mark hapa tumpe likes zake
Nani kaenda kuiangalia kofia nyeupe ya sara ktk video km mmi😂
Best Gossip interview
Best interview ever
Ni mzuri bado hajapata hela tu na napenda anavyomuita naseeb yani
Mzuri mwenywe🥰🥰
TATIZO SARA NI WA KIENYEJI NA SIO WA KISASA NDIO MAANA HANA MABUJE BUJE🫶🏼❤️
😂😂😂
Cameraman unamuonea Double D vidole vimeng'aaa tofauti na rangi ya mwili 😂 bila kusahau hivi nani kagundua Dida ana dimpoziii😂❤ au ndio mmegundua leo nimewafumbua macho😂😂
Kama Movie za kihidi jmn❤❤ love so Sweetie ☺️☺️
Tulijua true love wa diamond ni wema heeeeee kumbe kuna Sarah 😅😅😅😅😅
Tunaotaka kumfahamu Mack tujuane kwa likes
Huyu dada yupo vzr one ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Dada mstaarabu ❤ humble
😂Walai Mtuonyeshe Huyu Mark Jamani😂😂😂😂
Mak ndo uyo uyo diamond😂😂😂
😂😂😂
Jama hawezi kuonekana maana ameisha kua most wanted
@@hassankhamis7380 🤣🤣🤣
Ukute ndy dj mark😂😂
After allllllllllllllllllllll these years. What is going on here?? People are on a different level, the gossip train is real.
Dah one of the best,
Napenda sana taarabu mie mmenifurahisha❤
Mac popote ulipo fahamu wewe ni MOST WANTED
😂😂😂
😂😂😂😂
Bro nimependa komenti yako bro ❤❤❤❤❤
😂😂😂
Tatizo ustaa ila uyu ndo mwanamkee wa Mondi kweli 🥰🥰
Huu Mungu asifiwe kwelikweli story za Mondi haziishi utamu🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇨🇩
omg nime lia saana this one is true love story 🥹😭❤️❤️
Juma lokole mbea😅😅et sharkan
Huyu ndio mwanamke mwenye mapenzi ya dhati wengine wanampendea hela tu
😂😂😂😂😂😂
Zuchu anahal mbaya😂😂
Kweli inaonekan mond katik ndoto zake alikuwa natak kuwa na sarah sababu wametok mbali pya uyu anajuwa Naseeb💯
Sarah n mzungu🔥🔥🔥
SARAAA UR THE FIRST LOVE OF DAIMOND ❤❤❤❤❤
Noma sana
Nimempenda sarah❤
Huyu ndo mwanamke sasa❤❤❤
Me namkubali didah kinoma noma❤
Nakupenda sana Sara ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Jamani MACK AITWE HAPA
I love you Sarah ❤️
Daaaaah. Salah❤❤❤❤
Mac ni mshikaji halisi ingekuwa mimi ndie diamond mack angechukua nafasi ya mkono wa kushoto yaani kila niendako yupo siyo kukaa na chawa kama baba levo wanataka hela tuu
😂😂😂😂
Kweli asee
Kama Fally IPupa na rafiki yake wa Utoto alimpeleka kwenye VIP PROTECTION kisha akawa MSAIDIZI WAKE WA KARIBU MIAKA YOTE HATA MAJI YA KUNYWA. HADI POPOTE ALIPO FALLY IPUPA YUPO NAYE.
@@shukranimugasa3521 hiyo inapendeza siyo hawa washkaji wa kukujua ukubwani kisa unahela
Watuletee Mack fasta 😂😂😂
Wanawake tunachakujifunza kwa Sarah
Hivi huko bongo kuna taarabu nzuri kama hizo za zaman dah dada zetu walikuwa wanaimba aisee ... Hiyo nyimbo ya fungu la mungu imenikumbusha enzi zile za kigodoro aise
Saut ya shamsa ford kabsa
First love never die kabisa hata mimi my first love namtfta ila ameolewq
Yan wanaume😅😅😅 wema akiona hii interview sijui atajisikiaje😂😂😂
Vyovyote vile ulipendwa kabisaa❤🎉🎉
Sarah kiboko ya simbaa❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Nicee
Dj Mark
Mond namjua n kamanda sio kwamba alkuwa hataki pisi bali alkuwa anasoma mchezo alkuwa anachezea simu ila kuna jcho flani alkuwa analpga
Iyi njo Interview 👌👌 inanyooka bila unafik
MARK aje interview bana
Huyu ndio mke wa kuolewa na Nasibu❤
Nimempendaaa buree saraaa
Uyo MAC apewe mauwa yake😂😂😂
Diamond na sarah hebu suluhisheni mrudiane nyote mnawatoto iliobaki mpate mtoto kwa pamoja
MAABEGI JUU ALIKO ROHO INAMUUMA KAMA NN?? ZUCHU UMEYASIKIA HAYO SHOGA ANGA
Big time sara me nmekupenda sana uh deserve to be wife ❤🥰😍
Sema hao wambea leo wamefurahi
Ila sara anamjua sanaaa naseeb ndo mana hana papara nae...yani anammudu
Kweli yani sana wengine wote nimaneno tuu
juma unazingua et sarah atakufa maskini 😂😂😂😂
Alifi kweli ❤
Jumaa leo umefulai sana😂😂