A - Z: ZAKAYO Afunguka FEMI Alivyompeleka Kwa MGANGA, KUROGWA na EX WAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 03. 2024
  • A - Z: ZAKAYO Afunguka FEMI Alivyompeleka Kwa MGANGA, KUROGWA na EX WAKE
    Muigizaji Kupitia Tamthilia ya #JuaKali Zakayo amefunguka sababu za kuumwa kwa muda mrefu na kusema baada ya kutafuta suluhu kwenye mahospitali kwa muda mrefu bila kupata jawabu, rafiki yake ambaye pia ni muigizaji katika tamthili hiyo aitwaye FEMI alimshauri kwenda kwa mganga na akakubali ushauri huo
    Sikiliza kujua nini kiliendelea baada ya kufika kwa mganga, Zakayo amefunguka yote kwenye interview hii aliyofanya na Mashamsham
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 304

  • @lilianurio9781
    @lilianurio9781 Před 2 měsíci +29

    Mmh Asante Yesu kwa Neema ulonipa yakukutafuta

    • @shadiantakiyica6647
      @shadiantakiyica6647 Před 2 měsíci

      Sasa yesu ndo Mungu

    • @shamiramsoke1365
      @shamiramsoke1365 Před 2 měsíci

      @@shadiantakiyica6647YESU NDIE MUNGU WA MIUNGU

    • @user-yz5zn4tr6i
      @user-yz5zn4tr6i Před 2 měsíci +2

      Kweli kabisaaa dear YESU Ndio kila kitu❤❤❤❤❤YOU

    • @user-gd2dx3pm9y
      @user-gd2dx3pm9y Před 2 měsíci

      HUYO ALIKUWA NA TB ILIYOJIFICHA DALILI KUBWA YA TB NI KUTOKA JASHO JINGI KAMA MAJI NYAKATI ZA UCKU

    • @elizabethmuli5911
      @elizabethmuli5911 Před 2 měsíci

      Yes YESU NI MUNGU KWA TAARIFA YAKO WEWE UNAYE ULIZA

  • @AnethKapingaInventoryControlle
    @AnethKapingaInventoryControlle Před 2 měsíci +19

    Zakayo bas mpereken na hawa akapone ana teseka jaman🙏🙏

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Před 2 měsíci +24

    Jesus is the only Way to follow

  • @HeleneruthSango
    @HeleneruthSango Před 2 měsíci

    Pole sana kaka Mungu akusaidiye

  • @3malis
    @3malis Před 2 měsíci +28

    Kijana friji yake mbovuu 😂😂😂😂

  • @malemawatson1130
    @malemawatson1130 Před 2 měsíci +3

    Daaaah sio poaaa

  • @uwasekanimba4115
    @uwasekanimba4115 Před 2 měsíci +9

    Ayomaji nimoja symptom ya TB

  • @SamweliMwalyungu-du5ln
    @SamweliMwalyungu-du5ln Před 2 měsíci +1

    Duuh pole san

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 Před 2 měsíci +3

    Zakayo.......pole kwa mlima uliopitia

  • @RukiaRashid-mb7qc
    @RukiaRashid-mb7qc Před 2 měsíci +16

    Asiye pitia mambo ya kiswahili awez kuku elewa Pole sana

    • @AzahOmary-kd2db
      @AzahOmary-kd2db Před 2 měsíci

      kweli?

    • @Thisisgrace979
      @Thisisgrace979 Před 2 měsíci

      Kweli kabisa, mpaka upitie ndio utajua hujui.

    • @RukiaRashid-mb7qc
      @RukiaRashid-mb7qc Před 2 měsíci

      @@Thisisgrace979 kabisa my

    • @wanzitadeogratias497
      @wanzitadeogratias497 Před 2 měsíci +1

      Kweli kabisa wanaongea tu hajawafika watatafuta kila njia

    • @EmJesho
      @EmJesho Před 2 měsíci

      Kabisa japo cjawai kwenda mungu anisimamie.kwasababu watu wangu wa karibu wanaenda sana

  • @UpendoKimesu
    @UpendoKimesu Před 24 dny

    Duuuu uh poles aisee

  • @irenematari6218
    @irenematari6218 Před 2 měsíci +10

    Ila zakayo ndiyo uwataje watu kwa majina yao😂😂

  • @LacknessChaluza-wk9xu
    @LacknessChaluza-wk9xu Před 2 měsíci

    Aiseeeee pole sana kwakwel wanadam hawa jamn Mungu asimame tu kwakweli

  • @MariaNdagile-hx5pr
    @MariaNdagile-hx5pr Před 2 měsíci

    Hapo umenena kaka yangu Mungu akupe mwisho mwema.

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před 2 měsíci +4

    Watu wanatafuta number ya mganga 😅😅tz people 🙌🙌🙌vijana fanyeni kaz acheni umariooo

  • @bahatirobert1009
    @bahatirobert1009 Před 2 měsíci +62

    Kiufupi kijana hauna Siri kabisa,siku nyingine hutopata wa kukusaidia

  • @kassimahmed1831
    @kassimahmed1831 Před 2 měsíci

    Ongera Sana Kwa ukweli Vijana muache kupenda mteremko

  • @josephinemeela9098
    @josephinemeela9098 Před 2 měsíci +6

    Dalili kubwa ya TB ni maji mengi kutoka mwilini, jasho kali haswa usiku

  • @saidisercy1707
    @saidisercy1707 Před 2 měsíci +1

    Lakini unaweza tengeza movie nyngine safi sanaaa😂😂🫵🫵

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr Před 2 měsíci +9

    Dogo yupo vizuri ktk uigizaji. Mungu ampe mafanikio mema🙏🙏

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu Před 2 měsíci +5

    Pole sana zakayo ndo maana nilikuwa sikuon 😭 jua kali pole sana mungu akusimamie sanaa

  • @foodbasiccourt2028
    @foodbasiccourt2028 Před 2 měsíci +11

    Ungemkabizi mungu maisha akurekebishia matatizo

    • @annievibes8794
      @annievibes8794 Před 2 měsíci

      Mhh ushawahi kurogwa wewe😅

    • @RegnaRegna4
      @RegnaRegna4 Před 2 měsíci

      Kwaiy unamaanish mung hawez kutatua tatiz lako ila mganga ​ ach ujing wew@@annievibes8794

    • @wanzitadeogratias497
      @wanzitadeogratias497 Před 2 měsíci

      ​@@annievibes87944:03

  • @monicamwanjisi693
    @monicamwanjisi693 Před 2 měsíci +2

    Amemtaja femi kwa nia nzuri kwa kuwa alimsaidia

  • @heriethmichael6138
    @heriethmichael6138 Před 2 měsíci

    Mmmmh

  • @user-yf3wu6ez3k
    @user-yf3wu6ez3k Před 23 dny

    Duuuuh Allah atuongoze kweli unafanya zambi alafu unatangaza 🤦🤦🤦

  • @habibamura5255
    @habibamura5255 Před 2 měsíci +1

    Dunia pole Sana 🤦🤦

  • @asdfhdv9230
    @asdfhdv9230 Před 2 měsíci +9

    Afazali ungemtaj aliye kuroga na siyo femi ivi watu watamuona femi anapenda shirki

  • @nyamachomamhotel4877
    @nyamachomamhotel4877 Před 2 měsíci

    😮😮😮

  • @jacklinakinabo6479
    @jacklinakinabo6479 Před 2 měsíci +1

    Compressor ya kijana haifanyi kazi vizur😂😂😂😂😂😂

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo3014 Před 2 měsíci

    Vizuri, ila usingemtaja jina aliyekupeleka..

  • @zuhurayusuph4826
    @zuhurayusuph4826 Před 2 měsíci +2

    Naomba location ya bagamoyo maana kaka yangu anateseka sana

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Před 2 měsíci +2

    Jaman mimi nipo nasitofahamu

  • @salama1113
    @salama1113 Před 2 měsíci +3

    Unatowa siri za kambi😂😂😂😂😂

  • @judymarcus6445
    @judymarcus6445 Před 2 měsíci

    jamani idrisa naomba namba hiyoo tunakufa hukuuj daah

  • @mathewkasonta2208
    @mathewkasonta2208 Před 2 měsíci

    Bongo Movie....

  • @RahmaUssi-ef5lw
    @RahmaUssi-ef5lw Před 2 měsíci +1

    Hamisa huyo😅

  • @neemakaisy333
    @neemakaisy333 Před 2 měsíci +2

    Mtajeni jamani

  • @neemakaisy333
    @neemakaisy333 Před 2 měsíci

    Aombe apewe dawa za kuzuia TB

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 Před 2 měsíci

    Lkn Juma atatuambia

  • @user-gv1op1oh2c
    @user-gv1op1oh2c Před 2 měsíci

    Juwa kali mnarogana sana ndio mana mabadiliko kila siku

  • @JudithNyabori
    @JudithNyabori Před měsícem +1

    Kwann kwa femi hamjazima maiki alafu huyo mchawi mmezima

  • @vagashappnecy4850
    @vagashappnecy4850 Před 2 měsíci +1

    Friji la kijana haligandishi😂😂😂😂

  • @user-et8tg6qw1k
    @user-et8tg6qw1k Před 2 měsíci +1

    Duuh

  • @AnnerErneo-vc9yz
    @AnnerErneo-vc9yz Před 2 měsíci +1

    Mmnh we kaka huna koo kabisa afu uache umalaya mnawachezea sana wadada acha wawanyooshe

  • @rehemamgeni203
    @rehemamgeni203 Před 2 měsíci

    Kwann anataja majin

  • @sund2553
    @sund2553 Před 2 měsíci +1

    Sio gig kweli😅😅😅😅

  • @sabrinasabrina8395
    @sabrinasabrina8395 Před 2 měsíci +1

    Compressor bovu

  • @Humanity21216
    @Humanity21216 Před 2 měsíci +10

    Ambao tushamjua huyo mwanamke tujikusanye apa😂😁

    • @candiesalm8995
      @candiesalm8995 Před 2 měsíci +1

      Sas mtatusanua na sie au mpk tuwabembeleze😂😂

    • @Humanity21216
      @Humanity21216 Před 2 měsíci +2

      @@candiesalm8995 we huogopi kulogwa 😂😂

    • @candiesalm8995
      @candiesalm8995 Před 2 měsíci

      @@Humanity21216 huu mwezi mtukufu uchawi haufanyi kazi😁😁

    • @Humanity21216
      @Humanity21216 Před 2 měsíci

      @@candiesalm8995 shetani kafungiwa 😁

    • @elbaricktv1632
      @elbaricktv1632 Před 2 měsíci +1

      Mtutajie na sisi achen roho mbaya

  • @rehemamgeni203
    @rehemamgeni203 Před 2 měsíci

    Kijana huna siri kabisa😂😂😂

  • @magrethjohn7684
    @magrethjohn7684 Před 2 měsíci

    Huna kaba khaa😂😂😂 masikini femi

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před 2 měsíci +1

    Kuwa karabu na mungu utafunikiwa

  • @user-od9ud8il3n
    @user-od9ud8il3n Před 2 měsíci +1

    Friji yake haigandishi tobaaaaa😂😂😂

  • @user-im6dl1ie9i
    @user-im6dl1ie9i Před 2 měsíci

    Dida upo vzr. Vjana tafuteni pesa mtakwisha kwa dezo

  • @ramlaprosper7573
    @ramlaprosper7573 Před měsícem

    Jmn isije kuwa Maria nta umia sana sio mambo yk😊

  • @JOHNJOHN-pu7wb
    @JOHNJOHN-pu7wb Před 2 měsíci +2

    Sijaelewa. Karogwa ila alipoanza Dawa za TB akapata nafuu vipimo vikasema maji yameisha na akaendelea na Dawa paka akamaliza na kupona. Sijaelewa hapo ni Dawa za TB simemponesha au uko kwa mganga

  • @stevengeorgetibenda1647
    @stevengeorgetibenda1647 Před měsícem

    End of the story alikuwa anaumwa TB

  • @prosperaugustino5292
    @prosperaugustino5292 Před 2 měsíci

    Hana Siri hata kidogo

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před 2 měsíci +4

    BAADAE WAKAKWAMBIA USITAJE JINA LA FEMI KWENYE STORI YAKO.,,ILIKUWA KAMA UNAMUANIKA YEYE,,UMEKOSEA SANA JIFUNZE KUMUHIFADHI MTU

  • @gladnessshola2718
    @gladnessshola2718 Před 2 měsíci +2

    Yani ukiumwa ukaenda hospital, ukakuta huna ugonjwa wowote, ujue kuna kitu hakipo sawa kwenye ulimwengu wa roho, life is spiritual

  • @Salhiya96
    @Salhiya96 Před 2 měsíci

    Sbr wakufanyie tn m.mme hun kooo loooogh w.umme wengn mmmgh 😢😢😢😢😢

  • @mankinemansulikine-2220
    @mankinemansulikine-2220 Před 2 měsíci +11

    Kwann mmezima maiki mnatabia mbaya na ss tunataka kusikia

    • @CelinaPeress
      @CelinaPeress Před měsícem +1

      😂😂😂😂 umbeya utakuponza kijana

  • @EllyDanielMtei
    @EllyDanielMtei Před 2 měsíci

    Na mm namtaka nisaidie 12:18

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 Před 2 měsíci +2

    Ilikuaje sasa umtaje Femi wajina wangu😢😢😢😢😢😢

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 Před 2 měsíci

    Naomben namba ya uyo mganga

  • @user-sl3ry5zw7j
    @user-sl3ry5zw7j Před 2 měsíci

    Pole

  • @user-jg3zt9ym8m
    @user-jg3zt9ym8m Před 2 měsíci +1

    umezunguka sana ila hiyo ni TB ilikuwa inakusumbua coz jasho jingi n dalili tosha na si lazima uwe na dalili zingine na hata vipimo baadhi haviwezi kuonesha had pale itakapokomaa, na kama ulipotumia doz ukawa sawa, basi umrudie mungu na utubu kwa dhambi hiyo, keep praying brother ..

    • @CelinaPeress
      @CelinaPeress Před měsícem +1

      Hivyo kwa hali hyo angeanza dawa moja kwa moja bila vipimo au angefanyaje ili kupona?

  • @michaelkikusa2646
    @michaelkikusa2646 Před 2 měsíci

    Hapo kwenye kumtaja Femi amezingua 😂😂😂😂

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Před 2 měsíci +2

    Sijakuelewa kabisa idrisa

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Před 2 měsíci +1

    Tatizo wanaume ss hv mnapenda wanawake wenye pesa hiyo ndo shida Bora mrogwe mtu anakusaidia huumiya pesa zk na mwanamke mwenye pesa anaweza kuenda kukuroga popote Kwa garama yyote si anapesa

  • @LucyPaul-xc2pe
    @LucyPaul-xc2pe Před 2 měsíci

    Mitihani ya dunia nkuonaga mnazimmoja hospital

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly Před 2 měsíci

    Kma hivy bas mpeleken hawa jmn yule dada anateseka jmn upareshen 22 sio kawaida daah pole

  • @bwisofredrick8047
    @bwisofredrick8047 Před 2 měsíci +5

    Hii ulitakiwa kutulia nayo maana bado unajitafuta ungekuja kusimulia ukiwa mkubwa😅😅😅
    Ila bas hayanihusu😂

  • @aishanoor6819
    @aishanoor6819 Před 2 měsíci

    Izo chale utakuwa kujitiia badae umepona lkn baado una vita usijisahau muombe Mungu

  • @officualjey2387
    @officualjey2387 Před 2 měsíci

    dogo jau huna Siri kbs dah😂

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 2 měsíci +1

    Kama Ni Kweli Basi Umejibloku Siku Ukiwa Hoi Sijui Kama Utapata Mtu Wa Kwenda Nawe Kwa Mganga Mana Kuna Yesu Na Mtume Muhamadi Sasa Ukienda Kwa mganga Weka Sili

  • @hamidahamza3754
    @hamidahamza3754 Před 2 měsíci +1

    Ila wifiii sio mcha Mungu kumbe uwiii ndaghaaaaaaaaa mamaaaaaaaa.... idi shemeji UNAE😂😂😂😂

  • @EllyDanielMtei
    @EllyDanielMtei Před 2 měsíci

    Na mm namtaka nisaidie

  • @user-lx8nl8hh3f
    @user-lx8nl8hh3f Před 2 měsíci +1

    Bora ucngemtaja Femi

  • @shamsaaman2855
    @shamsaaman2855 Před 2 měsíci

    Kunakastory kamefichwa

  • @PascalDk-pz5sg
    @PascalDk-pz5sg Před 2 měsíci +1

    Kijana huna siri wewe !!
    Ungechambua vitu vinavyostaili kusema Hekima ni muhimu sana

  • @saidisercy1707
    @saidisercy1707 Před 2 měsíci

    Stori za kutunga tunazijua😅😅

  • @foodbasiccourt2028
    @foodbasiccourt2028 Před 2 měsíci

    Kumbe ushikina kamo

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před 2 měsíci +8

    Mwanaume huna kifua kabisa kwann umtaje mtu tena kwenye radio ?! Hovyoo kabisa 😢😢😢 ndo mana watu hawataki kusaidia wengine kwasababu ya vijana wa hovyo kama ww 😢😢

  • @Tec_martin
    @Tec_martin Před 2 měsíci +7

    Friji frijiiiiiiiiiiiiiiiiiii ni bovu mnoooooooo.... Kumbe Femi mshirikina

  • @susankahindi244
    @susankahindi244 Před 2 měsíci

    Number ya munga please

  • @user-eq3oo1md2l
    @user-eq3oo1md2l Před 2 měsíci

    Naamini ayo mambo yapo maana mimi pia nimepitia na nilipitia wakati mgumu sna😊

  • @kamalissabig4631
    @kamalissabig4631 Před 2 měsíci

    Kuma ww Mbea mkubwa hakuna kitu kama hiko

  • @NelsonNnko-fr4re
    @NelsonNnko-fr4re Před 2 měsíci

    Friji lauyu dogo alipoozi niatari sana

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 Před 2 měsíci +13

    Asante yesu mimi kua na.imani nawe.sio hao.waminio.shetan na waganga.

    • @JamaliZidadu-jd1nl
      @JamaliZidadu-jd1nl Před 2 měsíci +2

      Hujaumwa wew omba uyo yesuu uendelee kua mzm ivo ivo usipate homaa saw😢 amn anae amini ila katika harakat za kujitibia kuutafuta uhai ipo siku utakuja kutuelezea apa na wew

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před 2 měsíci +1

      Uganga sio ushetani... mjifunze tofauti ya Mganga na Mchawi

    • @user-kc1br9zx4o
      @user-kc1br9zx4o Před 2 měsíci

      Hayajakukuta

    • @fatumakiwera7145
      @fatumakiwera7145 Před 2 měsíci

      Hayajakukuta mwaya

    • @jacquilinemsule9462
      @jacquilinemsule9462 Před 2 měsíci

      Tema mate chini.....hayajakukuta makubwa.....bado unasafari ndefu sana katika maisha.....wachungaji wenyewe yanawakuta makubwa na wanatafuta msaada upande wa pili..😢

  • @storytownTv
    @storytownTv Před 2 měsíci

    C ungetupa na namba za uyo mtaalamu maana hata cc wengine hatuelew kabix nahis kunamtu ananichezea..😢

  • @AshuraKigoma-vf7wb
    @AshuraKigoma-vf7wb Před 2 měsíci

    Hutapa wa kukusaidia kk s7b. Huna qaba

  • @kiya0910
    @kiya0910 Před měsícem

    Sasa ukitangaza Kwa mitandaoni suutarongwa tena ww

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Před 2 měsíci +1

    Basi nishamjua jamani niliwaona polisi baasiii heee dunia hiii kumbe niyeye

    • @scenic6
      @scenic6 Před 2 měsíci

      Nan uyo tupee code jamn

  • @jaydenbedas5729
    @jaydenbedas5729 Před 2 měsíci +1

    Kumbe uchawi ni bei rahisi hivi jaman

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 Před 2 měsíci

    dah kwanza nakusifu yaani ule ulemavu unaoiga umeweza tena umeweza tena

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 Před 2 měsíci

    😂😂😂mashangazi yanaroga jaman kuwen makin vijana

  • @matronmkenda3510
    @matronmkenda3510 Před 2 měsíci

    Kwani kulikua na ulazima wa kumtaja aliekusaidia

  • @viatuvikali4938
    @viatuvikali4938 Před 2 měsíci

    Naombeni namba ya femi jamani😊

  • @SaraphinaPeter-rx1sm
    @SaraphinaPeter-rx1sm Před 2 měsíci

    Jmn mm namuhitaji huyo mganga jmn inakuaje msada jmn

  • @HidayaNgala-uk8tt
    @HidayaNgala-uk8tt Před 2 měsíci

    Nisaidie na Mimi uyu mganga jamanii