🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 07. 2023
  • 🔴#LIVE: RAYA THE BAWSE AFUNGUKA - "BARNABA AMEANGALIA VIGEZO KUNICHAGUA MIMI, SIJAMLOGA"
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 193

  • @bibyansimplis3791
    @bibyansimplis3791 Před 21 dnem +3

    Raya umenifurahisha unawapenda wakwe zako, Mungu akubariki.

  • @user-ug6df5kg7n
    @user-ug6df5kg7n Před 7 měsíci +3

    Wow Raya ni mwanamke bomba ❤❤❤❤alafu anajiamini nampenda adi basiii😘😘😘😘

  • @liliansangali2156
    @liliansangali2156 Před 10 měsíci +7

    Kwa sababu neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 Před 10 měsíci +3

    Hongera ranya uko vizur sana my dear unajielewa mashallah ❤❤

  • @user-ns4oj9cw1j
    @user-ns4oj9cw1j Před 10 měsíci +2

    Banalba ni mtaratibu,,asahau Utu,,angekuwa Msanii mwingine angemtupa mbali sana

  • @zamzamkabogota7510
    @zamzamkabogota7510 Před 9 měsíci +2

    Kwanza mrembo mwenyw@Raya Mungu akutunzie ndoa yako mwaya

  • @salsashmomy
    @salsashmomy Před 10 měsíci +2

    Interview 😅😅😅pambeeee raya MashaAllah hongera Sana ❤❤❤❤❤❤nimeinjoi haichoshi kuisikilizaa

  • @bibyansimplis3791
    @bibyansimplis3791 Před 21 dnem +1

    Huna mdogo wako nimpe mtoto wangu, lakini itabidi awe Mkristo wa kiukweli. Kama kweli unafanya kama unavyoongea hongera mwanangu raya.

  • @athumanimanzabay1894
    @athumanimanzabay1894 Před 10 měsíci +4

    Dida jua Raya mtt wa kitanga so full malav'dave❤ ujavyo ndivyo tukupokeavyo

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys Před 10 měsíci +4

    MashaaAllah RAYA ❤ Hongera Dada AKILI KUBWA 🎉 Eti Hajuwi Kupika 😂😂😂😂

  • @SwaumuMussa-xp1zo
    @SwaumuMussa-xp1zo Před 10 měsíci +19

    Nampenda sana uyu dada mvumilivu mno nataman Mungu anipe moyo kama wa uyu dada katk mahusiano yangu nampenda kwa meng mpk saut yake we ni mwanamke na nusu

    • @TonkariJobeSonya-yq3xq
      @TonkariJobeSonya-yq3xq Před 10 měsíci +1

      Mwenyezi Mungu akupe moyo thabiti sawa na hitaji la moyo wako.........

  • @guenterernst5481
    @guenterernst5481 Před 10 měsíci +9

    Ogopeni Allah kuishi na mume bila ndoa wanawake wa kiislamu wacheni zinaa lakini alhamdulillah umefunga halal

  • @lonicamagupa3416
    @lonicamagupa3416 Před 10 měsíci +3

    Raya Hana ubaya jamani mbona ni Binti mzuri tuu❤❤❤❤ uzuri wa raya ukweri ana busara Sana msikieni tuu anavyojibu 🥰🥰

  • @anunuyahya8708
    @anunuyahya8708 Před 10 měsíci

    Ma shaa allah Raya...Allah awalindeni na husda zawaja ...unamadini love❤❤

  • @abialusekelo-nr8kf
    @abialusekelo-nr8kf Před 10 měsíci +1

    🔥🔥🔥🔥🔥wapi pete ya ndoa🔥🔥🔥🔥🔥tamba Ray

  • @Semenhahemed-lf5om
    @Semenhahemed-lf5om Před 10 měsíci +1

    Ndio wewe ndio wewe Raya kwake uliyoipata namba kwa Barnaba mshipa haukutwangwi Raya ❤❤❤

  • @neemamrisho7500
    @neemamrisho7500 Před 10 měsíci +2

    Huyu dada mtangazaji nampenda ana nogesha interview 😁😁

  • @rehemasalum1987
    @rehemasalum1987 Před 8 měsíci

    Akili mingi ❤️🥰🥰❤️

  • @sashamotana3490
    @sashamotana3490 Před 8 měsíci

    Love boss raya

  • @linahkweka5492
    @linahkweka5492 Před 10 měsíci +1

    Raya mvumilivu pia anahekima nakupendaa❤

  • @salomeraymond2051
    @salomeraymond2051 Před 10 měsíci +2

    Mama yako raya kama mama yangu jamniii❤️

  • @irenemwewe3566
    @irenemwewe3566 Před 10 měsíci +3

    Yaani hii mke wangu ya Barnabas,,imejua kunikosha,,yaani nimeirudia hapo hapo mara kibao

  • @chany9950
    @chany9950 Před 9 měsíci

    Nampenda sana laya jmn😘😘😘

  • @elizabethemanuel2027
    @elizabethemanuel2027 Před 9 měsíci

    Ubarikiwe sana dada

  • @khadijasaleh898
    @khadijasaleh898 Před 10 měsíci +2

    Interview nzuri hii💞

  • @mwanajumaraso4637
    @mwanajumaraso4637 Před 10 měsíci +1

    Kila la kheir katika ndoa yko sister

  • @aminajumanne3292
    @aminajumanne3292 Před 10 měsíci +2

    Dada anajielewa sanaa had rahaaa❤❤❤❤❤

  • @user-hk2ry7op4u
    @user-hk2ry7op4u Před 10 měsíci

    Nakupenda sana raya

  • @nailaty
    @nailaty Před 10 měsíci +3

    Mwanaume anaruhusiwa kuoa mke zaid ya mmoja ikiwa ana uwezo wa kiafya kifedha na awe anauweza uadilifu sio mke akiwa na matatizo

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 Před 10 měsíci +3

    Nakupenda raya na hongera sana kwa ndoa allah awasimamie mdumu zaid mpate watto wema

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Před 10 měsíci +1

    Raya wewe Ni Mpole Sanaa jamani uko vizuri kila la kheri karibu kwenye Chama

  • @mwanaherimatata8571
    @mwanaherimatata8571 Před 10 měsíci +2

    Mara ya kwanza Nimecomment 😂😂😂 Nmekipenda kipindi

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 Před 10 měsíci

    mashaallh 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @noelkipera6581
    @noelkipera6581 Před 9 měsíci +1

    😂😂😂😂😂 didaaaa nimecheka wallah big up Raya the boss

  • @samehewaliokukoseya2605
    @samehewaliokukoseya2605 Před 10 měsíci +7

    DIDA UMEPATWA NA BUTWAAA 😂. MTOTO MDOGO KONKI ❤

  • @khamisjina8833
    @khamisjina8833 Před 10 měsíci +3

    Sheria ya kiislamu haijasema hivyo Raya. Quran imesema wanaume waowe wanawake wawili, watatu , wanne na kama mwanamume atakuwa hana uadilifi basi mmoja anatosha. Na hekma yake ni kuwastiri wanawake mana ni wengi kiidadi kuliko wanaume na hiii pia inahekima ya kukuza nasabu(ukoo) na kuondosha uzalilishaji wa wanawake na watoto na mengine mengi.
    Ni haramu kuongeza au kupunguza katika dini tusipojuwa turudi darasani kwanza.

  • @kikiyene5685
    @kikiyene5685 Před 10 měsíci +1

    Akili kubwa huyu Raya🎉

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p Před 10 měsíci +4

    Mashaallah 👏🏻👏🏻👏🏻

  • @paulmwambije1077
    @paulmwambije1077 Před 10 měsíci +2

    Boss wenu mondi ajifunze atafute mke mzuri kama Raya (mtoto wa mama kimbo).. Raya ana sifa zote za kuwa mke

  • @hopesesilius6104
    @hopesesilius6104 Před 10 měsíci

    Hongera mwanangu

  • @lydi791
    @lydi791 Před 10 měsíci +3

    Mungu akulingiye ndoa yako kwamana yote unaongeya maneno yanayo stahili kuwa Muke materiel

  • @upendojoseph7912
    @upendojoseph7912 Před 10 měsíci +6

    Mimi ni mwanamke ila raya nimempenda,

  • @ZainabuWaziri-vw3bp
    @ZainabuWaziri-vw3bp Před 10 měsíci

    Mashallah

  • @abubakarimunga
    @abubakarimunga Před 10 měsíci +3

    Huyu dada Anauwezo mkubwa sana. Ameongea mambo makubwa mnooo. Najihisi ni mtu anaweza kuwasaidia wanawake kujua umuhimu wa kulinda familia zao.

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 Před 10 měsíci +2

    Me sijaelewa kuanzana mahusiano 2016 mpaka 2023 ni miaka 9 au miaka saba au me ndio sijaelewa

  • @user-yi8ut7jt6y
    @user-yi8ut7jt6y Před 10 měsíci +2

    si kweli mwanamme anaruhusiwa kuoa wake wa3 hadi wa4.hata kama ww wa kwanza unazaa kama utitiri ..kuoa wake mpaka wa4 ni sheria kwa wanaume wa kiislam .msipoteze watu kuwaaminisha eti mpka mwanamke uwe huna kizazi ..cjui huwezi kufanya mapenzi..au cjui unaumwa c kweli.

    • @arafakitta2223
      @arafakitta2223 Před 6 měsíci

      Hiyo sheria kama uliambiwa lazima😏

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi Před 17 dny

      Kuoa wanawake wanne suna kwa mwanaume mwenye uwezo wa kiafya na uwezo wa kuwahudumia wake zake kwa uadilifu

  • @ZakhiaWaheedy-uv8cy
    @ZakhiaWaheedy-uv8cy Před 10 měsíci +2

    Nimekupenda bule kipenz unaongea vzur sana taratbu wanaokusema wivu tu hongera sana na ndoa yako enderea kumpenda tu mumeo

  • @user-rr9dj5rm3x
    @user-rr9dj5rm3x Před 10 měsíci

    ❤❤❤❤

  • @sikudhanimohammad7692
    @sikudhanimohammad7692 Před 10 měsíci

    Ila kubali ulianza na barnaba akiwa na mama Steven

  • @hawaomary8486
    @hawaomary8486 Před 10 měsíci

    Raya yupo km mm jmn mungu alinde ndoa yk

  • @elizabethemanuel2027
    @elizabethemanuel2027 Před 9 měsíci

    ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @yasminally1015
    @yasminally1015 Před 9 měsíci

    Asallam maalequ maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala maaishaala Allamdulirai Ishaalla Allah hjelp you Ishaalla Ishaalla Alaamdulirai Hasiallah waneema wakiil Il🥰VE Y🥰U S🥰 M Familien Besti Familien ❤❤❤

  • @rahimarahima8962
    @rahimarahima8962 Před 10 měsíci +2

    Nakunyoa

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 Před 17 dny

    Kanaongea vzr

  • @bellazara6448
    @bellazara6448 Před 10 měsíci

    Raya nakupenda dada ❤❤❤❤❤

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 Před 17 dny +1

    Hahaha huyu Dida

  • @user-gv1op1oh2c
    @user-gv1op1oh2c Před 10 měsíci

    Nimekupenda sn ❤️❤️❤️❤️❤️na nimependa meno yako raya kama kijitoto 🙏🙏🙏🙏

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 Před 10 měsíci

    Sheria za kislam hamzijui jaman msiziongelee mkitaka kufajamu jambo la kislam waulize waliowazid elimu

  • @husnahusney
    @husnahusney Před 10 měsíci +1

    Watanga kama wazazibar wanakua na somo zao wa kuwafunda

  • @AsiaPanduka-eh2uh
    @AsiaPanduka-eh2uh Před 10 měsíci +2

    Dini hata kama huna tatizo sisi wanawake tupo wengi kuliko wanaume hivyo kama anauwezo, inaruhusiwa hata kama mkewe hana kasoro yoyote

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 Před 10 měsíci +3

    hawa ndio wameishi kwa shida na raha sio wale eti miezi miwili kwa shida n raha dulla na naira

  • @patrisiamakolonja
    @patrisiamakolonja Před 10 měsíci +2

    Mwambie uyo alovaa jezi ya simba anywe soda ntakuja kulipa

  • @asalkhan9168
    @asalkhan9168 Před 10 měsíci +2

    Sasa Muslim huyu kweli maana kavaa kamvaa yesu😢😢😢 msalaba

    • @womanofsteel1402
      @womanofsteel1402 Před 10 měsíci +1

      Sio kila msalaba unaouona unamwakilisha Yesu,,

    • @janetdundul3858
      @janetdundul3858 Před 10 měsíci

      Mungu wetu mmoja jmn dahaaaaa 🙌🙌🙌

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Před 10 měsíci +1

      ​@@janetdundul3858sisi mungu wete hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana anaefanana nae na yesu sio mungu ni mjumbe wake

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi Před 17 dny

      Nyie c mnasemaga yesu mungu ni mungu yupi wa kwetu sote na nyinyi wakiristo​@@janetdundul3858

  • @IreneIsack-qp9ns
    @IreneIsack-qp9ns Před 10 měsíci +1

    Raha Jamani

  • @zeramohamed9672
    @zeramohamed9672 Před 10 měsíci +1

    Uongo mbona mama yKo aliolewa mke wapili jamani acheni kututanganya nasheria hiyo haipo

  • @rizikisaleh3133
    @rizikisaleh3133 Před 10 měsíci +1

    misaraba yann

  • @user-ie5on4xy9o
    @user-ie5on4xy9o Před 9 měsíci

    Ver brigt upstears

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 Před 10 měsíci +1

    Zile ahadi za muende Paris mara Zanzibar!! Zmeisha ama 🤔 ilikuwa n nogesha sherehe tu!

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 Před 10 měsíci

    Didaaaa! Endelea kubinuka sarakasi

  • @shanaharuna217
    @shanaharuna217 Před 10 měsíci +1

    Mashallah🎉🎉🎉 chukua maua yako❤❤❤

  • @user-xk6st3zn6e
    @user-xk6st3zn6e Před 10 měsíci +2

    Yuko vizur

  • @fortunathajohn9745
    @fortunathajohn9745 Před 9 měsíci +1

    Binti mwenye akili 100 percent unajielewa huna shoo off

  • @saumuhaji8244
    @saumuhaji8244 Před 10 měsíci

    iiiiiiiiii🙊

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Před 10 měsíci +2

    Sauti ya Raya vp unatatizo LA sauti. Au unakuwaga unapiga kelele Sana hadi sauti inaisha

  • @MwamvitaAlly-zs4oy
    @MwamvitaAlly-zs4oy Před 9 měsíci

    My una confidence ya hatat

  • @zeramohamed9672
    @zeramohamed9672 Před 10 měsíci +1

    Haipo sheria hiyo imeandikwa wapi mwanaume akiamua ameamua

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 Před 10 měsíci

    Didaaaa unanivunja mbavuuuuu😂😂😂😂

  • @rayasaid4099
    @rayasaid4099 Před 9 měsíci

    Kwani huyu Raya muislamu jamni mbona kavaa kidani cha msalaba jamanii jamani nyieee tumuogopeni Allah

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 10 měsíci +2

    Mpk raha umefundwa sn sn

  • @guenterernst5481
    @guenterernst5481 Před 10 měsíci +6

    Mkufu wa msalaba inna lillahi wainna inna lillahi rajiun

  • @cheka480
    @cheka480 Před 10 měsíci +2

    Anachokisema mdogoangu ni sahihi kabisa. ila usivae misalaba u r a muslim woman. Huwa tunaambiwa watu wa Tanga tunaroga haturogi ni how we handle our husband.

    • @vaikaayagadiel520
      @vaikaayagadiel520 Před 10 měsíci +2

      Sio misalaba yote ni ya Yesu, mingine ya jambazi aliyesulubishwa na Yesu. Mwache avae huo ni wa jambazi

  • @SafiyaaaSofi-uy3nk
    @SafiyaaaSofi-uy3nk Před 7 měsíci

    Raya natamaini nijuwe namba yako nikuletee udi uone udi wa omani

  • @hanialsaadi7394
    @hanialsaadi7394 Před 10 měsíci +1

    Hapo kwenye kuongeza mke mmetudanganya et mpk mwanamke awe namatatizo siyo kweli😜😜😜

  • @user-gb8tl5tk9u
    @user-gb8tl5tk9u Před 10 měsíci +1

    Dida jamani 😂😂😂

  • @lydi791
    @lydi791 Před 10 měsíci +1

    Uyu Dada anakili nyingi sana

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před 10 měsíci

    Juma upunguzage umbeya

  • @user-uo6bo3ph6g
    @user-uo6bo3ph6g Před 10 měsíci +2

    Ila hiki kipindi jmn😅😅😅😅😅😅😅

  • @Sppah697
    @Sppah697 Před 10 měsíci

    Raya mwenyewe mdura mkubwa mbayaaaa

  • @hadijasalim7769
    @hadijasalim7769 Před 10 měsíci

    Naauliza musalaba wanini shingoni jaman sikuhizi wasilamu wavamusalaba mwezimungu anawaona kwani dada dida kwani huyo Raya musalaba wanini ??

  • @pendoanzigar3172
    @pendoanzigar3172 Před 10 měsíci +1

    dida unanichekeaha ujue😂😂

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 Před 10 měsíci

    Dida unanichekeshaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 Před 10 měsíci +3

    izo nywele za juma nilijua pepkon zilizoungua

  • @isakhamisi8923
    @isakhamisi8923 Před 10 měsíci +1

    Sasa huyo kamsilimisha Barnabas lakini yeye anavaa misaraba ndio vp hivyo.

  • @Ayuminchasi
    @Ayuminchasi Před 17 dny

    Huo masala unafanya nn shingon wakati ww ni muislam

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 Před 10 měsíci

    Jaman nimecheka 🤣🤣

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 Před 10 měsíci

    Samahn kma nitakuwa nimekosa wadau mbona raya ni Muslim ☪️ mbn kavaa cheni ya chapa ya ms7 kifuani....

  • @reyone6870
    @reyone6870 Před 10 měsíci

    😅😅

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Před 10 měsíci

    Dida Mungu anakuona😅😅😅

  • @Mima-theboss
    @Mima-theboss Před 10 měsíci +1

    Ila dida 😂😂😂mbona vichwa kama panga😂😂😂🙌

  • @JanethJoshua-rs1ze
    @JanethJoshua-rs1ze Před 10 měsíci +1

    Vichwa kama pangaa😂😂😂😂😂😂😂