ASKALI POLICE ALIYE WASAIDIA MAJAMBAZI KUFANYA UHALIFU, ASIMULIA TUKIO ZIMA HADI KUFUKUZWA KAZI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 03. 2024

Komentáře • 118

  • @user-dy5fn6qj1q
    @user-dy5fn6qj1q Před 4 měsíci +7

    Huyu bwana arudushwe kazini atasadia mamboo kuzidi kumwacha uraiyani ni hatari sana wezetu markani huwatia kwenye kazini maalumu

  • @user-fz1ph3cn4s
    @user-fz1ph3cn4s Před 4 měsíci +6

    Pole saba afabde. Huyu ni muelimishaji mzuri sana. Apewe platform nyingi zaidi.

  • @daimofrancisco-fn1mg
    @daimofrancisco-fn1mg Před 4 měsíci +4

    Elimu nzuri sana ni muhimu ukapewa kipindi cha kuelimisha hata katika TV ya taifa ....

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji4242 Před 4 měsíci +2

    Mapito yako ni noma,jeshi la police likuajiri upya ,ww ni super man,wizara husika ww ni dhahabu

  • @gombeeernest4473
    @gombeeernest4473 Před 4 měsíci +3

    Pole sana Afande, Maisha sio mstari mnyoofu, huwa yana makonakona mengi! Nimejifunza vingi kupitia historia yako Afande

  • @francisgituti2494
    @francisgituti2494 Před 4 měsíci +4

    Big lesson to young generation

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 4 měsíci +6

    Sawa Mbengo tv tunashukuru kwa taarifa nzuri
    ila neno Askari usiandike Askali

    • @ahmed-shakirmwamba4992
      @ahmed-shakirmwamba4992 Před 4 měsíci

      Naona hawa jamaa hawana Editor msomi, sio tu wameandika Askali hata huyu msoma habari anatamka Askali au hawa ndio wale wakimbizi.

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x Před 4 měsíci

      Waandishi watangazaji wa mtaani hamna kitu apo

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x Před 4 měsíci +1

      Afande ulikula vya kharam kama kawaida yenu. Waelimishe na maaskari wenzio. Mwishowenu hua mbaya sana. Pole lakini

    • @mkudesimba9518
      @mkudesimba9518 Před 3 měsíci

      ​@@ahmed-shakirmwamba4992😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😊😢😢😢

    • @mkudesimba9518
      @mkudesimba9518 Před 3 měsíci +1

      Mbona

  • @user-ek3rm1gz4b
    @user-ek3rm1gz4b Před 3 měsíci +2

    Pole Ally kowapi kashinde kiwalani shule

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 Před 3 měsíci +1

    Mwandishi unababaisha sana maswali hayabebi maana kubwa unarudiarudia sana maswali. Kama huwezi kujipangilia siyo mbaya ukaandika maswali.

  • @user-dy5fn6qj1q
    @user-dy5fn6qj1q Před 4 měsíci +3

    Kufukuza askari kazi sio sawa kuwe na greza lao la kifungo chakijeshi wakimaliza warudushwe kazini mpaka wazeeke huko huko jeshini kuwatupa uraiyani ni shida inaongeza

  • @ErickMkasas
    @ErickMkasas Před 3 měsíci

    Uko vizuri kaka ambali. Nimepata somo.

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 Před 4 měsíci +3

    Masikin pole lakin tamaa mbaya turidhike na tunachokipata

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid8 Před 3 měsíci +1

    Duhh aisee Mr. AMBALI

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před 4 měsíci +2

    Wasambazaji wakubwa ni vigogo wakubwa Sasa itakuwa je.

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o Před 4 měsíci +1

    Badooo WApoo wengi dizaini Kamaaa ya uyuu mpakaa sasaa kwenyee jeshi raaaa porisii tunawajua wotee Kama anavosemaa serekari ipoo rikizoo

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 Před 4 měsíci +1

    Dah Hatari sana

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před 4 měsíci +3

    Wahalifu wengi wanashirikiana na ma 5:06 skari

  • @akhtarmohammed6233
    @akhtarmohammed6233 Před 4 měsíci +5

    Ebwana huyu jamaa amepangilia vizuri sana hadith yake. Wafikishiwe Netflix watengeneze movie based on true story.

    • @rafiaahmad168
      @rafiaahmad168 Před 3 měsíci

      Yan kaeleweka vizuri sana💯💯💯

  • @ahmadifataha6677
    @ahmadifataha6677 Před 4 měsíci +1

    Huyu kwanza ana kauhongo flani umeenda Ccp moshi mwaka 1990 na hapo una umri wa miaka 49 ina maana polisi ulikuchukua ukiwa na 15 kwa hiyo jeshi linatumikisha watoto kweli ngada aijatoka kichwani

    • @Heismasai
      @Heismasai Před 4 měsíci +3

      Huyu inawezekana umri wake ni 52 au 53 nadhani kazi Alianza na 18 huko ila umri atakua alipunguza kwaajili ya mambo ya kikazi😂😂😂

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 Před 3 měsíci

    Haya maisha haya,pole sana bro

  • @yusuphmwangalamwene-zs9ee
    @yusuphmwangalamwene-zs9ee Před 3 měsíci +1

    Amani kwako ndugu🎉

  • @petermgonja8547
    @petermgonja8547 Před 4 měsíci +1

    Kwa Nini asioneshe sehemu moja aliofanya tukio na thamani yake alipe

  • @aliaden5512
    @aliaden5512 Před 4 měsíci +2

    Sura ngumu ya polisi

  • @warideadnanadnan9447
    @warideadnanadnan9447 Před 4 měsíci +2

    Askari sio askali

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před 3 měsíci +1

    Tamaa bay

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 Před 4 měsíci +1

    Pole sana afande

  • @user-uq6hn4vf3i
    @user-uq6hn4vf3i Před 4 měsíci

    Mungu amxaidie😊

  • @johnkalubea8555
    @johnkalubea8555 Před 4 měsíci +1

    Pole sana kaka mkubwa

  • @user-md7ug5dd9r
    @user-md7ug5dd9r Před 4 měsíci

    Elimu nzuri .

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 Před 4 měsíci

    Duu pole sana!😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @josefchacha4457
    @josefchacha4457 Před 4 měsíci +2

    Afande Ambali anasema uongo, kasema anatimiza miaka 49 mwaka huu 2024? Hivyo alizaliwa mwaka 1975? Alijiunga chuo cha Police mwaka 1990 akiwa na miaka 15?? Aliajiriwa kama Police mwaka 1991 akiwa na miaka 16?? Mbengo TV muulize alisoma Secondary gani akaishia form three? Alianza lini Shule ya Msingi? Shule gani??

    • @user-bq2zn1wy1q
      @user-bq2zn1wy1q Před 4 měsíci

      Huyu ana 55 huko.

    • @mrambadiana9678
      @mrambadiana9678 Před 3 měsíci +1

      Itakua anataka kuoa anazuga apate kigoli 😂

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 Před 3 měsíci

      Kiukweli Eneo la miaka kadanganya huyu yuko 55+

    • @treasurerussel3422
      @treasurerussel3422 Před 13 dny

      Wanaajili darasa la saba pia kwa vitengo mfano bigla wale wapuliza buruji ni kawaida alafu form four ni siku hizi

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 Před 4 měsíci

    Pole sana afande🤲

  • @yusuphmwangalamwene-zs9ee
    @yusuphmwangalamwene-zs9ee Před 3 měsíci +1

    Amani kwako ndugu

  • @user-vg2uc3hw1v
    @user-vg2uc3hw1v Před 4 měsíci +3

    Mungu akufanyie wepesi

  • @nashonkibayayu3776
    @nashonkibayayu3776 Před 4 měsíci +1

    Pole sans! Unapaswa kumpa Yesu maisha Yako Sasa! Yuko tayari kukusamehe.

    • @abdifaraji2883
      @abdifaraji2883 Před 4 měsíci

      Usilete udini hapa, kwani Yesu kama kweli yuhai, basi kwanini anaachia mambo mabaya yaendelee kufanyika dun?!

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 Před 4 měsíci

    Mungu akufungulie milango ya mafanikio

  • @user-ds3oi3tt8u
    @user-ds3oi3tt8u Před 2 měsíci

    Ajila bila Elimu husababisha tamaa na hata watu wanaopenda rushwa ni wale Ambao hawajasoma na limbukeni kama huyu

    • @allymoshi2053
      @allymoshi2053 Před 2 měsíci

      Elimu sio ishu ndugu tatizo watu wengi wanakuwa na tamaa na hawaridhiki na wakipatacho wala hawataki kufanya biashara halali

  • @user-ds3oi3tt8u
    @user-ds3oi3tt8u Před 2 měsíci

    Na bado Anatumia Hawezi kuacha huyo mpaka Abadili na damu maana damu yake ishakua chafu

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před 4 měsíci

    Kuachishwa kazi bila malipo yoyote ndio kwanza anakuwa jambazi sugu.

  • @saimondede6044
    @saimondede6044 Před 4 měsíci

    Pole

  • @user-is4xx1nz8k
    @user-is4xx1nz8k Před 4 měsíci

    Pole ambali

  • @gemmamwajombe3169
    @gemmamwajombe3169 Před 4 měsíci

    Umelipwa na Mungu mwenywe

  • @mubaonemubaone3249
    @mubaonemubaone3249 Před 3 měsíci

    Arudishwe Kazin Akabidhiwe kitengo hicho Cha madawa amesha jifunza mengi
    Japo nusu mshahara Apewe
    MWANDISHI MTAG MAMA SAMIA HIYO STORY

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Před 4 měsíci

    Kweli maisha hayana kanuni dunia rangi rangire

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 Před 4 měsíci

    Nimependa namna kamanda anavyoelezea, amenyooka sana

  • @mussamtalika243
    @mussamtalika243 Před 3 měsíci

    Nakukumbuka miaka ile ulikuwa unakuja msasan pale ccm

  • @stn4873
    @stn4873 Před 2 měsíci

    Hadi leo watu wa namna hii wapo majeshini humo.

  • @TinahFrank
    @TinahFrank Před 4 měsíci

    Bina damu embu tusaidiee maana maisha ay😢😢😢

  • @agapemajoya3234
    @agapemajoya3234 Před 4 měsíci

    Duh

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 4 měsíci

    Vya kharam mwishowake hua mbaya waelimishe na maafande wenzio wasiburuze watu iyo ni kazi tu

  • @mussamtalika243
    @mussamtalika243 Před 3 měsíci

    Palikuwa na disco la nguvu miaka hyo mi nilikuwa meneja pale

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 Před 4 měsíci

    Mbona humuulizi mke yaani yule waliozaa naye wakati anatumia madawa alimtafuta?

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Před 4 měsíci

    Hiro ndio tatizo la mwanadamu kutoridhika na anachopata sasa ona kesho yako imeharibika pole

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 4 měsíci

    😢

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 4 měsíci

    Umejifunza kitu agement wangu ila pole sana

  • @user-ou8sp5bb7n
    @user-ou8sp5bb7n Před 4 měsíci

    Kiswahili chenu kibovu, jirekebisheni

  • @user-sj3il5hr8h
    @user-sj3il5hr8h Před 4 měsíci

    Wengine wamejifunza kupitia hiyo njia

  • @user-rk7vt2km2b
    @user-rk7vt2km2b Před 3 měsíci +2

    Jifunze kumuachia MTU Muda wakujieeza , usimkatishe katishe mtu

  • @gemmamwajombe3169
    @gemmamwajombe3169 Před 4 měsíci

    Kweli tamaa ni mbaya o

  • @omegaanyitike3263
    @omegaanyitike3263 Před 2 měsíci

    Wapo wengi sanaa hao

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q Před 4 měsíci +6

    Kaka mzuri ulijiingiza kwenye mambo ya ushetan pole brother lkn kwakuwa ujitambua nakuacha mrudie mungu kaka ndo kila kitu usijekuishia pabaya

  • @bahatimahone4922
    @bahatimahone4922 Před 3 měsíci

    Mwandishi ulisomea kweli hii kazi?

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před 3 měsíci

    Kweli tamaa nibay

  • @user-uq6hn4vf3i
    @user-uq6hn4vf3i Před 4 měsíci +1

    Mungu akurinde

  • @AllyYomba
    @AllyYomba Před 3 měsíci

    Fikiria kabla ya kuamua

  • @issakisalu9237
    @issakisalu9237 Před 4 měsíci

    umetoa code

  • @shamisalmahruqi1527
    @shamisalmahruqi1527 Před 4 měsíci

    Sio askali . Ni askari

  • @saidalghafri3111
    @saidalghafri3111 Před 3 měsíci

    Pole kaka naweza kunipatia phone no yako please

  • @richzebest2029
    @richzebest2029 Před 4 měsíci

    Anaonekana kama bado anavuta sigara ama bangi

    • @stn4873
      @stn4873 Před 2 měsíci

      Kuacha moja kwa moja ni ngumu kwahyo anatoa arosto kwa style hiyo.

  • @user-uq6hn4vf3i
    @user-uq6hn4vf3i Před 4 měsíci

    Keri kabix

  • @mwaka43
    @mwaka43 Před 4 měsíci

    Pole sana Mkuu!!! nimeifuatilia Story yako kwa umakini mkubwa.....Umeeleza mambo mengi sana muhimu

    • @eppiemodest
      @eppiemodest Před 4 měsíci

      Kumbe polisi ndiyo wanatuangamiza. Na bado wanawalinda. Huyu anayeongea hakustahili hata awe huru. Ilikuwa awe gereza la askari. Hivi serikali inasikia hivi bado huyu polisi hawajamhoji awataje hao vigogo.
      Kwa kweli nitazidi kushangaa sana kama itaishia hivihivi

    • @mwaka43
      @mwaka43 Před 3 měsíci

      @@eppiemodest Alishatumikia adhabu Gerezani na adhabu ya Uteja na sasa anatumikia Jamii kupitia Uelishaji kama anavyosema

  • @mussamtalika243
    @mussamtalika243 Před 3 měsíci

    Panaitwa sis club

  • @happinessmosala2217
    @happinessmosala2217 Před 4 měsíci

    Kuna watu wako jela miaka mingi kwa makosa madogo sasa huyu jambazi yuko nje anafanya kazi 😏😏

    • @mwaka43
      @mwaka43 Před 3 měsíci

      Alishatumikia Adhabu ya Kifungo

  • @user-uq6hn4vf3i
    @user-uq6hn4vf3i Před 4 měsíci

    Waomba muvi

  • @user-jx7ot4ru7l
    @user-jx7ot4ru7l Před 4 měsíci

    Anaonesha sura yake ya kijambqzi

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu Před 4 měsíci +1

    Angefanya jambo jema kama angewataja majambazi waliobakia ndani ya jeshi la police.

  • @user-vx7xu5rz7x
    @user-vx7xu5rz7x Před 3 měsíci

    kila kitu sawa sema kwenye hesabu za miaka sijaelewa dakika ya 2:00 anasema ana umri wa miaka 49 ina maana kazaliwa 1975 ,halafu anasema kaajiriwa mwaka 1991 ina maana alikuwa na umri wa miaka 16. je jeshi wanaajiri wenye umri chini ya miaka 18

    • @stn4873
      @stn4873 Před 2 měsíci

      Hakuna linaloshindikana. Usikariri.

  • @jaybrown9338
    @jaybrown9338 Před 4 měsíci

    Mnampa pole ya nini
    Jambazi sugu mnamtetea😢

  • @AnthonyVitalis-iy5su
    @AnthonyVitalis-iy5su Před 4 měsíci +1

    Kila mtu uvuna alichokipata

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 Před 3 měsíci

    Naona Yuko kwenye kitengo cha DCEA hongera nyingi kwake pia madawa siyo poa kabisa

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 Před 4 měsíci +1

    Bado macho yake yanatisha namuogopa.

  • @JamalMeneja-xd8tq
    @JamalMeneja-xd8tq Před 3 měsíci

    Auliwe huyu jambazi hatoacha ujambazi ukila nyama yamtu huachi

  • @TinahFrank
    @TinahFrank Před 4 měsíci

    Bina damu embu tusaidiee maana maisha ay😢😢😢

  • @samwelpeter5219
    @samwelpeter5219 Před 3 měsíci

    Dah amejieleza vzuri sana Serikal ikuangalie kwa jicho la pili ikirudishe kazin