Kufukuza askari kazi sio sawa kuwe na greza lao la kifungo chakijeshi wakimaliza warudushwe kazini mpaka wazeeke huko huko jeshini kuwatupa uraiyani ni shida inaongeza
Huyu kwanza ana kauhongo flani umeenda Ccp moshi mwaka 1990 na hapo una umri wa miaka 49 ina maana polisi ulikuchukua ukiwa na 15 kwa hiyo jeshi linatumikisha watoto kweli ngada aijatoka kichwani
Afande Ambali anasema uongo, kasema anatimiza miaka 49 mwaka huu 2024? Hivyo alizaliwa mwaka 1975? Alijiunga chuo cha Police mwaka 1990 akiwa na miaka 15?? Aliajiriwa kama Police mwaka 1991 akiwa na miaka 16?? Mbengo TV muulize alisoma Secondary gani akaishia form three? Alianza lini Shule ya Msingi? Shule gani??
Kumbe polisi ndiyo wanatuangamiza. Na bado wanawalinda. Huyu anayeongea hakustahili hata awe huru. Ilikuwa awe gereza la askari. Hivi serikali inasikia hivi bado huyu polisi hawajamhoji awataje hao vigogo. Kwa kweli nitazidi kushangaa sana kama itaishia hivihivi
kila kitu sawa sema kwenye hesabu za miaka sijaelewa dakika ya 2:00 anasema ana umri wa miaka 49 ina maana kazaliwa 1975 ,halafu anasema kaajiriwa mwaka 1991 ina maana alikuwa na umri wa miaka 16. je jeshi wanaajiri wenye umri chini ya miaka 18
Huyu bwana arudushwe kazini atasadia mamboo kuzidi kumwacha uraiyani ni hatari sana wezetu markani huwatia kwenye kazini maalumu
Pole saba afabde. Huyu ni muelimishaji mzuri sana. Apewe platform nyingi zaidi.
Elimu nzuri sana ni muhimu ukapewa kipindi cha kuelimisha hata katika TV ya taifa ....
Mapito yako ni noma,jeshi la police likuajiri upya ,ww ni super man,wizara husika ww ni dhahabu
Pole sana Afande, Maisha sio mstari mnyoofu, huwa yana makonakona mengi! Nimejifunza vingi kupitia historia yako Afande
Big lesson to young generation
Sawa Mbengo tv tunashukuru kwa taarifa nzuri
ila neno Askari usiandike Askali
Naona hawa jamaa hawana Editor msomi, sio tu wameandika Askali hata huyu msoma habari anatamka Askali au hawa ndio wale wakimbizi.
Waandishi watangazaji wa mtaani hamna kitu apo
Afande ulikula vya kharam kama kawaida yenu. Waelimishe na maaskari wenzio. Mwishowenu hua mbaya sana. Pole lakini
@@ahmed-shakirmwamba4992😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😊😢😢😢
Mbona
Pole Ally kowapi kashinde kiwalani shule
Mwandishi unababaisha sana maswali hayabebi maana kubwa unarudiarudia sana maswali. Kama huwezi kujipangilia siyo mbaya ukaandika maswali.
Kufukuza askari kazi sio sawa kuwe na greza lao la kifungo chakijeshi wakimaliza warudushwe kazini mpaka wazeeke huko huko jeshini kuwatupa uraiyani ni shida inaongeza
Uko vizuri kaka ambali. Nimepata somo.
Masikin pole lakin tamaa mbaya turidhike na tunachokipata
Duhh aisee Mr. AMBALI
Wasambazaji wakubwa ni vigogo wakubwa Sasa itakuwa je.
Badooo WApoo wengi dizaini Kamaaa ya uyuu mpakaa sasaa kwenyee jeshi raaaa porisii tunawajua wotee Kama anavosemaa serekari ipoo rikizoo
Dah Hatari sana
Wahalifu wengi wanashirikiana na ma 5:06 skari
Ebwana huyu jamaa amepangilia vizuri sana hadith yake. Wafikishiwe Netflix watengeneze movie based on true story.
Yan kaeleweka vizuri sana💯💯💯
Huyu kwanza ana kauhongo flani umeenda Ccp moshi mwaka 1990 na hapo una umri wa miaka 49 ina maana polisi ulikuchukua ukiwa na 15 kwa hiyo jeshi linatumikisha watoto kweli ngada aijatoka kichwani
Huyu inawezekana umri wake ni 52 au 53 nadhani kazi Alianza na 18 huko ila umri atakua alipunguza kwaajili ya mambo ya kikazi😂😂😂
Haya maisha haya,pole sana bro
Amani kwako ndugu🎉
Kwa Nini asioneshe sehemu moja aliofanya tukio na thamani yake alipe
Sura ngumu ya polisi
Askari sio askali
Tamaa bay
Pole sana afande
Mungu amxaidie😊
Pole sana kaka mkubwa
Elimu nzuri .
Duu pole sana!😢😢😢😢😢😢😢😢
Afande Ambali anasema uongo, kasema anatimiza miaka 49 mwaka huu 2024? Hivyo alizaliwa mwaka 1975? Alijiunga chuo cha Police mwaka 1990 akiwa na miaka 15?? Aliajiriwa kama Police mwaka 1991 akiwa na miaka 16?? Mbengo TV muulize alisoma Secondary gani akaishia form three? Alianza lini Shule ya Msingi? Shule gani??
Huyu ana 55 huko.
Itakua anataka kuoa anazuga apate kigoli 😂
Kiukweli Eneo la miaka kadanganya huyu yuko 55+
Wanaajili darasa la saba pia kwa vitengo mfano bigla wale wapuliza buruji ni kawaida alafu form four ni siku hizi
Pole sana afande🤲
Amani kwako ndugu
Mungu akufanyie wepesi
Pole sans! Unapaswa kumpa Yesu maisha Yako Sasa! Yuko tayari kukusamehe.
Usilete udini hapa, kwani Yesu kama kweli yuhai, basi kwanini anaachia mambo mabaya yaendelee kufanyika dun?!
Mungu akufungulie milango ya mafanikio
Ajila bila Elimu husababisha tamaa na hata watu wanaopenda rushwa ni wale Ambao hawajasoma na limbukeni kama huyu
Elimu sio ishu ndugu tatizo watu wengi wanakuwa na tamaa na hawaridhiki na wakipatacho wala hawataki kufanya biashara halali
Na bado Anatumia Hawezi kuacha huyo mpaka Abadili na damu maana damu yake ishakua chafu
Kuachishwa kazi bila malipo yoyote ndio kwanza anakuwa jambazi sugu.
Pole
Pole ambali
Umelipwa na Mungu mwenywe
Arudishwe Kazin Akabidhiwe kitengo hicho Cha madawa amesha jifunza mengi
Japo nusu mshahara Apewe
MWANDISHI MTAG MAMA SAMIA HIYO STORY
Kweli maisha hayana kanuni dunia rangi rangire
Nimependa namna kamanda anavyoelezea, amenyooka sana
Nakukumbuka miaka ile ulikuwa unakuja msasan pale ccm
Hadi leo watu wa namna hii wapo majeshini humo.
Bina damu embu tusaidiee maana maisha ay😢😢😢
Duh
Vya kharam mwishowake hua mbaya waelimishe na maafande wenzio wasiburuze watu iyo ni kazi tu
Palikuwa na disco la nguvu miaka hyo mi nilikuwa meneja pale
Mbona humuulizi mke yaani yule waliozaa naye wakati anatumia madawa alimtafuta?
Hiro ndio tatizo la mwanadamu kutoridhika na anachopata sasa ona kesho yako imeharibika pole
😢
Umejifunza kitu agement wangu ila pole sana
Kiswahili chenu kibovu, jirekebisheni
Wengine wamejifunza kupitia hiyo njia
Jifunze kumuachia MTU Muda wakujieeza , usimkatishe katishe mtu
Kweli tamaa ni mbaya o
Wapo wengi sanaa hao
Kaka mzuri ulijiingiza kwenye mambo ya ushetan pole brother lkn kwakuwa ujitambua nakuacha mrudie mungu kaka ndo kila kitu usijekuishia pabaya
Mwandishi ulisomea kweli hii kazi?
Kweli tamaa nibay
Mungu akurinde
Fikiria kabla ya kuamua
umetoa code
Sio askali . Ni askari
Pole kaka naweza kunipatia phone no yako please
Anaonekana kama bado anavuta sigara ama bangi
Kuacha moja kwa moja ni ngumu kwahyo anatoa arosto kwa style hiyo.
Keri kabix
Pole sana Mkuu!!! nimeifuatilia Story yako kwa umakini mkubwa.....Umeeleza mambo mengi sana muhimu
Kumbe polisi ndiyo wanatuangamiza. Na bado wanawalinda. Huyu anayeongea hakustahili hata awe huru. Ilikuwa awe gereza la askari. Hivi serikali inasikia hivi bado huyu polisi hawajamhoji awataje hao vigogo.
Kwa kweli nitazidi kushangaa sana kama itaishia hivihivi
@@eppiemodest Alishatumikia adhabu Gerezani na adhabu ya Uteja na sasa anatumikia Jamii kupitia Uelishaji kama anavyosema
Panaitwa sis club
Kuna watu wako jela miaka mingi kwa makosa madogo sasa huyu jambazi yuko nje anafanya kazi 😏😏
Alishatumikia Adhabu ya Kifungo
Waomba muvi
Anaonesha sura yake ya kijambqzi
Alishaacha
😂😂sura yake mbona ni handsome tu kabisa yaani hapo ni kama naibu waziri vile.
Angefanya jambo jema kama angewataja majambazi waliobakia ndani ya jeshi la police.
kha kha kha
......
😂😂😂😂😂 kweli kabisa
kila kitu sawa sema kwenye hesabu za miaka sijaelewa dakika ya 2:00 anasema ana umri wa miaka 49 ina maana kazaliwa 1975 ,halafu anasema kaajiriwa mwaka 1991 ina maana alikuwa na umri wa miaka 16. je jeshi wanaajiri wenye umri chini ya miaka 18
Hakuna linaloshindikana. Usikariri.
Mnampa pole ya nini
Jambazi sugu mnamtetea😢
Weeeckuma kweli
@@amossmabangotz2032 unafilwa na maafande Acha usenge
Kila mtu uvuna alichokipata
Naona Yuko kwenye kitengo cha DCEA hongera nyingi kwake pia madawa siyo poa kabisa
Bado macho yake yanatisha namuogopa.
😂😂😂
Kazi ya laana
Pole
Kha kha kha
Kwan mumeo 😂😂😂
Auliwe huyu jambazi hatoacha ujambazi ukila nyama yamtu huachi
Bina damu embu tusaidiee maana maisha ay😢😢😢
Dah amejieleza vzuri sana Serikal ikuangalie kwa jicho la pili ikirudishe kazin