Sitta mpaka anakufa alilala bila kumpenda jk ...awamu ya jk sitta alipaswa kuwa Waziri Mkuu ...walichokifanya nikumuandaa msekwa achukue fomu ya uspika ...ccm wakamwambia angalia mkapa anataka kudhibiti bunge na hakuna anaemuweza katka uspika Zaid Yako samwel ..imebakia mda mchache msekwa akajiuzulu sitta akapita bila kupingwa na hapo hapo akaikosa nafasi ya pm Kwa ujanja na ndio maana ili kulipiza aliamua kuweka bunge live kabsa na kuwapa wapinzan info za Siri
Ila Rushwa na Ufisadi ulizidi sana kipindi chako mpaka tanzania ikokasa Dira ya heshima na watu wanyonge wasiokuwa na rushwa waaliipata fresh. Pia ngetuambiwa mlikosana nini na Lowasa wakati mkulikuwa marafiki.
@@jumakapilima7295 Uraisi ni kazi nyepesi saana ( Ukijua Haki na Ukasimamia Haki ) na ( Ukijua Kuna Mungu Mbinguni aliyekupa nafasi ya Kuongoza ) _ mambo Hayo ni mepesi saana kuyafanya kwa Rais ....fuatilia uone utekelezaji wake UTASHANGAA
Waarabu wanajuana kwa vilemba. Huwezi kujisafisha kijanjakijanja. Listi hii ni yenu wote. Wakati mwingine roho zinatusuta tunadukumwa kufichua mamno fulani bila kujielewa . Tumejianika wenyewe hapa.
Grace misa kwani watoto wao hawana sifa? Somesha watoto wako mjinga ww mbona Kuna watoto wengi WA viongozi Duniani na wao ni viongozi? Kenya, marekani, Korea, zanzibar nk
Hizi habari za kuwa ilishinda kura za CCM mwaka 95 uwe rais Mwalimu akakataa nilikuwa nikizani si za kweli. Kumbe njama za kusema mshindi lazima awe na zaidi ya 50% zilitengenezwa baada ya kuwa umemgalagaza Mkapa na bado ukatulia tu Urais wakapeana wenye!? Big up sana JK.
Kikwete Anatakiwa Amwone Lowassa amwombe Msamaha walivyomtukana 2015 na Kumdhalilisha tena juu ya Ugonjwa ki2 ambacho Ni Uovu, Hakujitakia Kuumwa. Mr. President What Yall did to Lowassa Was evil, regardless of whether he wronged you at one point or not, the insult should not get to a point Yall called him, "MFU MTARAJIWA"
WW mzee uko makini sana yaan your smart kuliko unachokiongea I believe in God uwezo ulojenga ktk watanzania one day Yes mungu ataurudisha ktk familia na rafiki
Jakaya Kikwete is larger than life celebrity leader A true son of African who rose from humble beginnings Tunaomba aandike vitabu vijana tujifunze kutoka kwake Nkosi sikeleli Kikwete!
Mmm!!! Unadanganya. Wewe uliutaka sana urais ndiyo maana Mwl Nyerere alikukataa alijua nchi italiwa ukakwama kulikuwa na Sakata sana kubwa la kukukataa kule Chimwaga wewe na Lowasa na Malecela. Awamu ya nne ukalazimisha kuwa rais kupitia wanawake.
Kuna awamu ambayo haikukopa? Je wajua awamu ya tano ndio awamu iliyokopa zaidi ya awamu ya tatu na ya nne na takwimu ziliwekwa wazi na wachumi Ni mara mbili ya kila awmu ya tatu na nne yaani (3 na 4 jumla ya deni 85% halafu ya 4 pekee 75% kwa miaka sita kasoro Kisha tuliaminishwa serikali haikopi. Big up Magufuli kwa uthubutu na usimamizi mzuri wa pesa za serikali kwny miradi na nidhamu ya ufatiliaji hakika hana wa kulinganishwa naye katika hili ila naye alikuwa muenezi mno.wa yeye hakopi.
Mwaka Ambao Ulitikisa Sana Ndani Ya Chama Moja Kati Ya Kitu Nakumbuka Ile Hotuba Yako Baada Ya Kutajwa Mshind Alaf Ukatoa Hotuba Nzto Ambayo Mpaka Baba Wa Taifa Akasimama Kupga Makofi
Ana roho nzuri ndio maana mpaka leo anaishi kwa Amani Hana maadui wengi. Wengine wakistaafu tu pressure zinaanza kutokana na uadui walioujenga wao wenyewe. Maisha yanakuwa mafupi.
Mwongo huyoo du!!! mambo Gani unefanya zaidi ya kutumia fedha zote Rais Mkapa alizokusanya. JPM ndiyo kafanya mambo na nchi ikapaa. Nani kama MAGUFULI? RIP BABA MAGU
Tunakukumbuka sana rais kaka yetu ilikua rais bora sana Kwa makundi yote wafanyakazi .wafanyabiashara wakulima .wafanyakazi tunakukumbuka sana Kwa kuboresha maisha yetu Kila mwaka.mungu atakulinda na masaibu na atakupa umri mrefu zaidi
Ulijenga shule za kata,uliajiri watumishi wengi,ulimalizia Barabara ya kusini,uliongeza vyuo vikuu,uliongeza mishahara ya watumishi kwa kiwango kikubwa na mengine nisiyoyajua,uchumi wa kati ulitakiwa uanze katika kipindi chako
Duuu ume miss wa nawengi sana maana enzi zako tulijenga nyumba nakupata pesa kilahisi sasa hivi maji tuna yaita mma natamani nyakati zile zijirudie ila wakati umeenda
@Erick Unafiki tu umewajaa, nyakati zake mlisema ufisadi umeshamiri na yeye anasafiri tu kutwa kucha, lawama na magazeti kipindi kile vilipata umaarufu, leo eti mmemiss, yaani wabongo bwana
Rais bora wa wakati wote, demokrasia ilikuwa juu, uhuru wa kutoa maoni, uhuru wa vyombo vya habari na wakati wako ndio tulikuwa na bunge bora zaidi maana lilikosoa serikali na kuchangia mambo mbalimbali ya kitaifa bila kuingiliwa.
Huyu ndo Rais msomi wa utawala siasa na uchumi,amekomaa kwenye chama ,amekuzwa na.chama ,zao la chama.kiongoz bora anajali usawa,demokrasia na uhuru Yote aliyaweza Maendeleo binafs ya mtu ni vita binafsi kati ya mtu nafsi yake na juhud binafs
Unafiki
jk hakuwa na interest na Urais!! that is new revolution ..This man has been running for president all his life..
Tell him. Mpe
Mafisadi watupu.! Laaa! Tz kuna shida.
Ur the best president than ever in tz.Very diplomatic person
Jembe kama Jembe, JK, wengi tumemfaham Magu kupitia awamu ya JK kwa usimamizi mzuri wa Miradi ya Barabara, naona Wakimbizi Wana chuki na JK
Danganyifu.
Ila uzuri aliwakumbuka washkaji zake wote samweli sita akalamba uspika alf lowasa akalamba uwaziri mkuu
Sitta mpaka anakufa alilala bila kumpenda jk ...awamu ya jk sitta alipaswa kuwa Waziri Mkuu ...walichokifanya nikumuandaa msekwa achukue fomu ya uspika ...ccm wakamwambia angalia mkapa anataka kudhibiti bunge na hakuna anaemuweza katka uspika Zaid Yako samwel ..imebakia mda mchache msekwa akajiuzulu sitta akapita bila kupingwa na hapo hapo akaikosa nafasi ya pm Kwa ujanja na ndio maana ili kulipiza aliamua kuweka bunge live kabsa na kuwapa wapinzan info za Siri
Kwa Lowasa alimkosea kutokumsimamia alipotaka uraisi baada ya yeye kumsaidia
@@marthamungure1777Alimpa cheo UWAZIRI MKUU. Hayo ya Urais ni mengine na sio Husani.
Wakapeana.
Ila Rushwa na Ufisadi ulizidi sana kipindi chako mpaka tanzania ikokasa Dira ya heshima na watu wanyonge wasiokuwa na rushwa waaliipata fresh. Pia ngetuambiwa mlikosana nini na Lowasa wakati mkulikuwa marafiki.
Sio vilizidi kulikuwa uwazi kutokana aina ya serikali yake.Transparent
Ukajua madudu.Awamu 5 haikuwa na mfumo kama Awamu ya 4 na 6 kuna Uhuru wa habari
Kwani Utawala wa Magufuli hapakuwa Rushwa na Ufisadi
One among the best story teller ni mzee JK🙌..HACHOSHI KUMSIKILIZA
Kbsaaaaa
Mnafiki huyu
Watanzania mnapenda unafiki,the worst president ambae ameshawahi kutokea Tanzania
@@jdanny497 sasa tukuone wewe Rais Bora , ukawe Rais,,,
@@jumakapilima7295 Uraisi ni kazi nyepesi saana ( Ukijua Haki na Ukasimamia Haki ) na ( Ukijua Kuna Mungu Mbinguni aliyekupa nafasi ya Kuongoza ) _ mambo Hayo ni mepesi saana kuyafanya kwa Rais ....fuatilia uone utekelezaji wake UTASHANGAA
Mtu pekee aliyekubali uwazi na ukweli kwa VITENDO!!
Hakuna ubishi kwamba ukweli wake na uwazi haukuwa na mfano!!
Only Magufuli forever
King of mind games🙌🙌
Kikwete Acha uongo wewe uliufukuzia urais siku nyingi sana na kwanza Huna uwezo wa kuongoza nchi zaidi ya kufuja pesa za walipa kodi.
One in amillion one of the presidents i admired in ma lyf time.TZ are blessed to have honest and open leaders
Mlimwonea Lowassa
Waarabu wanajuana kwa vilemba. Huwezi kujisafisha kijanjakijanja. Listi hii ni yenu wote. Wakati mwingine roho zinatusuta tunadukumwa kufichua mamno fulani bila kujielewa . Tumejianika wenyewe hapa.
Hiyo list anayoitaja ndio ilifilisi nchi, na ndio imerudi awamu hii
ohooo!
Tafuta Hela ww akina rostam ni matajiri kabla hata mwinyi hajawa rais
Grace misa kwani watoto wao hawana sifa? Somesha watoto wako mjinga ww mbona Kuna watoto wengi WA viongozi Duniani na wao ni viongozi? Kenya, marekani, Korea, zanzibar nk
Acha ujinga.. Heshimu angalau wakubwa. Kikwete, Kinana, Lowasa, Makamba, Nnauye na wengine wengi walikuwa JWTZ. .. Hawaishi kwa mihemko yenu.
Hizi habari za kuwa ilishinda kura za CCM mwaka 95 uwe rais Mwalimu akakataa nilikuwa nikizani si za kweli. Kumbe njama za kusema mshindi lazima awe na zaidi ya 50% zilitengenezwa baada ya kuwa umemgalagaza Mkapa na bado ukatulia tu Urais wakapeana wenye!?
Big up sana JK.
M/mungu akuweke sana mzee wetu ww ni hazina yetu Tanzania 🤲🏾
Unastahili sana Mzee Kikwete!
Una hekima na busara sana!!!
Hauna makuu!!!!
Bless you sir you did a good job
Wewe ndio baba usio nauonevu namtu
Kwanini msiweke hii full kabisa kama millard ayo watu tunataka kudive deep
Kikwete Anatakiwa Amwone Lowassa amwombe Msamaha walivyomtukana 2015 na Kumdhalilisha tena juu ya Ugonjwa ki2 ambacho Ni Uovu, Hakujitakia Kuumwa. Mr. President What Yall did to Lowassa Was evil, regardless of whether he wronged you at one point or not, the insult should not get to a point Yall called him, "MFU MTARAJIWA"
WW mzee uko makini sana yaan your smart kuliko unachokiongea I believe in God uwezo ulojenga ktk watanzania one day Yes mungu ataurudisha ktk familia na rafiki
Kikwete anajizonga mwenywe waziri haulizi kitu bila ya kujua waambie wasiojua system yenu
Ni kweli. Roho inamsuta.
Nimekumiss sana my dear Rais wangu mstaafu.
Comment za wanafki tupu wanosifia upumbavu,watanzania ni wanafki wa kwanza duniani
Jakaya Kikwete is larger than life celebrity leader
A true son of African who rose from humble beginnings
Tunaomba aandike vitabu vijana tujifunze kutoka kwake
Nkosi sikeleli Kikwete!
😃😃😃😃😃😃😅
Hamna kitu hapo
@@peterlucas7246 umenifanya 🤣🤣🤣 na pia alienda Jamaica 🇯🇲 kube......a
Ndo mana unazeeka taratibu manake mungu amekujalia busara, hekima na hata utu
Huyu Ana haribu inchi kabisa inchi tajitri lakini watu masikini
Ameharibu kwani yy ametawala tangu nchi ipate uhuru,au unaongea kwa sifa
Mmm!!! Unadanganya. Wewe uliutaka sana urais ndiyo maana Mwl Nyerere alikukataa alijua nchi italiwa ukakwama kulikuwa na Sakata sana kubwa la kukukataa kule Chimwaga wewe na Lowasa na Malecela.
Awamu ya nne ukalazimisha kuwa rais kupitia wanawake.
Kuna Rais alileta maendeleo kumshinda JK?
Mwizi na fisadi la karne hii. Kafilisi Tz.
Hongera kwa
Tulikosea Sana Hii Nchi
“Edward is sick” that one was so emotional.
Ndio maana mm nasema nikifa historia yangu isisomwe kabisa wakaushe haisaidiii kabisa
Mwambie mama alipe MADENI ya wanaoidai serikari ahadi zimekuwa nyingi
Kuna awamu ambayo haikukopa? Je wajua awamu ya tano ndio awamu iliyokopa zaidi ya awamu ya tatu na ya nne na takwimu ziliwekwa wazi na wachumi Ni mara mbili ya kila awmu ya tatu na nne yaani (3 na 4 jumla ya deni
85% halafu ya 4 pekee 75% kwa miaka sita kasoro Kisha tuliaminishwa serikali haikopi. Big up Magufuli kwa uthubutu na usimamizi mzuri wa pesa za serikali kwny miradi na nidhamu ya ufatiliaji hakika hana wa kulinganishwa naye katika hili ila naye alikuwa muenezi mno.wa yeye hakopi.
My favorite president
Umeanza watanzania hawana imani na wewe hata labuda wanao kula kupitia mgongo wako
Baba aslm shikamoo hakisio nzurii sikuku inakuja lakini haliningumuu mnoo
Huhitaji kujieleza sana. Unajulikana uliyoyafanya
Anajikosha
Jangiri kuu
Nyoka huwa ni nyoka. Tu hawezi kuwa samaki kwakupitishwa baharini....
wapi uongo uo raisi alikua jpm we janjajanja
Jpm alikuwa rais gani
Mwaka Ambao Ulitikisa Sana Ndani Ya Chama Moja Kati Ya Kitu Nakumbuka Ile Hotuba Yako Baada Ya Kutajwa Mshind Alaf Ukatoa Hotuba Nzto Ambayo Mpaka Baba Wa Taifa Akasimama Kupga Makofi
Alisema wafuasi wake ni wa MKAPA! Hakuna tena team JK!
MR President tunamkubali
Wasiokupenda wanachuki binafisi
HADISI ZA ABUNUWASI.😂😂😂
Sungura huyu
Anayefanya vizuri anasemewa na watu
Ye anajitangaza. Na kujitembeza.
Yaaani sichoki kuku Sikiliza 🙏
Kikwete mshauri mama atuondolee kikokotoo kwani sisi wastaafu wa polisi tunaumia mzee
Baba yetu mzee kikwete mungu akutunze uishi miaka mingi sana na familia yako.
Ana roho nzuri ndio maana mpaka leo anaishi kwa Amani Hana maadui wengi. Wengine wakistaafu tu pressure zinaanza kutokana na uadui walioujenga wao wenyewe. Maisha yanakuwa mafupi.
Unajua mungu anaona
😊
Anauona uongo hapo.
Yes
Mwongo huyoo du!!! mambo Gani unefanya zaidi ya kutumia fedha zote Rais Mkapa alizokusanya. JPM ndiyo kafanya mambo na nchi ikapaa. Nani kama MAGUFULI? RIP BABA MAGU
We jamaa ni CHIZI
Rais Bora kuwahi Kutokea katika Nchi yetu.
Mirada yote aliyomalizia Magufuli aliianzisha huyu.
Kabisa
People dont want to hear this
😂😂😂😂😂😂😂
@@mvukiedavid4332 Kabisaaaa
nguruwe
Tunakukumbuka sana rais kaka yetu ilikua rais bora sana Kwa makundi yote wafanyakazi .wafanyabiashara wakulima .wafanyakazi tunakukumbuka sana Kwa kuboresha maisha yetu Kila mwaka.mungu atakulinda na masaibu na atakupa umri mrefu zaidi
Sema huyu MZEE inaonekana kinana ni mwanae saaana
Nimejifunza jambo ktk maisha
Makubwa wakati uligombea na mkapa Nyerer akakukataa kumbe alijua
Mungu warehemu Mwalimu na JPM wape wepesi familia zao wawe waja wema kama wazee wao
One of Africa’s best presidents
Tunataka latina mpya acha maneno meng
Mzee wetu Rudi Basi ugombee Tena toka utoke rais wangu nchi imekosa mwelekeo the best president ever...MUNGU AKUTUNZE UISHI MIAKA MINGI SN.
Kikwete bhana eti nimesepa😂😂😂
Mbwa loko
JK nampenda Ana wisdom kubwa sana
Mjanja
Umecheza vizuri Sana Jakaya....safi sana
Kajifichua na wenziwe.
Channi hicho kitapeli aaah!
Mzee jk anajua kucheza na akili za Wtz.
Ningeshangaa kama ungemsahau Rafiki yako Sukwa.
Hongera mkuu wa nchi wa 2005 @ 2015
Fanya sana ibada muheshimiwa umli umeenda achana na mambo ya mitandao mbele yetu kuna ummaut
Aisee unaona MBALI
Kwani wewe umejuaje hafanyi ibada tuache kuhukumu watu hiyo ni kazi ya Allah ndiyo anawajua watu wake
@@apple9711 mbali Sana haka kazee kanajiletaleta kwa mitandao kahana vibese Wala nini'
Ulijenga shule za kata,uliajiri watumishi wengi,ulimalizia Barabara ya kusini,uliongeza vyuo vikuu,uliongeza mishahara ya watumishi kwa kiwango kikubwa na mengine nisiyoyajua,uchumi wa kati ulitakiwa uanze katika kipindi chako
Leo 23% + kikokotoo = kizungumkuti
Hiyo mishule mmejengewa ili mjaziwe ujinga kwenye mibichwa yenu na mitaara ya MKOLONI ona sasa faida yake mwezio tajili wewe bado kajamba nani 🤣🤣🤣🏃🏃🏃
@@shinipapaya846 punguza makasiriko
Watumishi fekije, mwehu ww
@@shinipapaya846 mitaara,tajili inaonesha kabila lako na chuki yako dhidi ya JK..we hufai kubaki nchi hii mbuzi kabisa
Netwk/mtandao
Duuu ume miss wa nawengi sana maana enzi zako tulijenga nyumba nakupata pesa kilahisi sasa hivi maji tuna yaita mma natamani nyakati zile zijirudie ila wakati umeenda
Nyumba yangu iliishia kwenye linta Toka alivyo Toka madarakani sijajenga hata tofali moja
@Erick
Unafiki tu umewajaa, nyakati zake mlisema ufisadi umeshamiri na yeye anasafiri tu kutwa kucha, lawama na magazeti kipindi kile vilipata umaarufu, leo eti mmemiss, yaani wabongo bwana
Mwizi mwenzio mwehu
Lowassa
Ni ruhusuni niseme ukweli uliyo moyoni mwangu. Mimi kama MKenya rais ambaye alinipendeza sana Tanzania ni Kikwete
One of our very best. Yatunzetunze Baba utayasemea kwenye memoirs zako?
Mmhh
We mzee mungu akupe maisha marefu kwali tena kwa niaba ya wale wa 2014, niseme tu much respect 🙏 👏 👍
Mzee duh bila yeye tunge Kaa sana mtaani jk jembe ukitaka kula lazima na we uliwe mungu akujalie miaka mingi
baba shika mooooo
Neno tutatengeneza au usjali kuna namna ya kufanya lilianzia hapo😀
Tangu Samwel Sitta aachie madaraka , nafasi ya spika hadi leo ipo wazi tu
Rais bora wa wakati wote, demokrasia ilikuwa juu, uhuru wa kutoa maoni, uhuru wa vyombo vya habari na wakati wako ndio tulikuwa na bunge bora zaidi maana lilikosoa serikali na kuchangia mambo mbalimbali ya kitaifa bila kuingiliwa.
Lakini uhuru watu waliutumia vibaya hasa wa vyombo vya Habari
Mungu no mwema
Mungu ni mwema
Mswahili sio mtuuu
Swara Ra katiba siulianzisha mbona uliacha kiporo mswahili bwana
Tutakukumbuka daima na kutamani ingewezekana katiba kuruhusu kurudi hakika tungekurudisha mheshimiwa kiongozi wetu.
Ishi miaka mingi mzee wa msoga
❤Mungu akujalie maisha marefu❤❤❤❤
Huyu mzee Ana mind games sana eti hakuta kuwa raisi uwaziri Ulimtosha Wewe mzee kikwete acha bwana ebu niache 😂😂😂😂😂 😂 Nani hataki kuwa raisi
Mmmmm wewe huaminiki
Kwahiyo lowasa anaumwa
"Kwahiyo nilipokuja kuwa Rais nilikuwa niko vizuri." Mwisho wa kunukuu 😅
Huyu ndo Rais msomi wa utawala siasa na uchumi,amekomaa kwenye chama ,amekuzwa na.chama ,zao la chama.kiongoz bora anajali usawa,demokrasia na uhuru
Yote aliyaweza
Maendeleo binafs ya mtu ni vita binafsi kati ya mtu nafsi yake na juhud binafs
Huyo Twiga hapo pembeni ni kama huyo dada ameinua mkono kutaka kuchangia jambo.
Umeona eeh kama mim
Hahhhahahha umeona kama mmi pia
Mzee kikwete tunataka utukamilishiye kiporo ulichokiacha chakatibampya Sasa vipi naombajibu ndg mh!!! duniani hakuna umilele kibinadamu vilevile hakuna kitakachodumumilele,wanyuma atakuwa wambele!!!!
I'm sorry jk sasa hvi silali bar kipindi cha rais nilikuwa na lala bar ile mbaya
Kama ahatajita tambulishaa
Mheshimiwa huyo paka ni nani??
Corrupt leader
kati ya maraisi watanzaia nisio wapendi wewe nasamia yani nawachukia sana
Pmoja
Mpumbavu ww
DUH, TUNGEKUWA NA KATIBA NZURI ISIYOLINDA VIONGOZI
Nkosi Sikeleli KIKWETE