JK Afunguka Lowassa, Kinana na Rostam Walivyomshawishi | Aelezea Mchakato wa Kugombea Urais

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 10. 2022
  • Rais mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Kikwete akieleza namna mchakato wa kugombea Urais ulivyoanza 1995 mpaka aliposhinda 2005

Komentáře • 228

  • @user-xh1pp3ic5l
    @user-xh1pp3ic5l Před 5 měsíci +10

    Unafiki

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 Před rokem +7

    jk hakuwa na interest na Urais!! that is new revolution ..This man has been running for president all his life..

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 Před rokem +10

    Mafisadi watupu.! Laaa! Tz kuna shida.

  • @abuumohamed7090
    @abuumohamed7090 Před 5 měsíci +2

    Ur the best president than ever in tz.Very diplomatic person

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před rokem +14

    Jembe kama Jembe, JK, wengi tumemfaham Magu kupitia awamu ya JK kwa usimamizi mzuri wa Miradi ya Barabara, naona Wakimbizi Wana chuki na JK

  • @sambayo2440
    @sambayo2440 Před rokem +18

    Ila uzuri aliwakumbuka washkaji zake wote samweli sita akalamba uspika alf lowasa akalamba uwaziri mkuu

    • @ernestsamson2761
      @ernestsamson2761 Před rokem

      Sitta mpaka anakufa alilala bila kumpenda jk ...awamu ya jk sitta alipaswa kuwa Waziri Mkuu ...walichokifanya nikumuandaa msekwa achukue fomu ya uspika ...ccm wakamwambia angalia mkapa anataka kudhibiti bunge na hakuna anaemuweza katka uspika Zaid Yako samwel ..imebakia mda mchache msekwa akajiuzulu sitta akapita bila kupingwa na hapo hapo akaikosa nafasi ya pm Kwa ujanja na ndio maana ili kulipiza aliamua kuweka bunge live kabsa na kuwapa wapinzan info za Siri

    • @marthamungure1777
      @marthamungure1777 Před 5 měsíci +1

      Kwa Lowasa alimkosea kutokumsimamia alipotaka uraisi baada ya yeye kumsaidia

    • @Munyama675
      @Munyama675 Před 5 měsíci

      ​@@marthamungure1777Alimpa cheo UWAZIRI MKUU. Hayo ya Urais ni mengine na sio Husani.

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před 5 měsíci

      Wakapeana.

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Před rokem +12

    Ila Rushwa na Ufisadi ulizidi sana kipindi chako mpaka tanzania ikokasa Dira ya heshima na watu wanyonge wasiokuwa na rushwa waaliipata fresh. Pia ngetuambiwa mlikosana nini na Lowasa wakati mkulikuwa marafiki.

    • @othmanjumankwabi4150
      @othmanjumankwabi4150 Před rokem +1

      Sio vilizidi kulikuwa uwazi kutokana aina ya serikali yake.Transparent

    • @othmanjumankwabi4150
      @othmanjumankwabi4150 Před rokem

      Ukajua madudu.Awamu 5 haikuwa na mfumo kama Awamu ya 4 na 6 kuna Uhuru wa habari

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 Před 10 měsíci

      Kwani Utawala wa Magufuli hapakuwa Rushwa na Ufisadi

  • @charleschanai601
    @charleschanai601 Před rokem +16

    One among the best story teller ni mzee JK🙌..HACHOSHI KUMSIKILIZA

    • @juniornamao527
      @juniornamao527 Před rokem +1

      Kbsaaaaa

    • @jdanny497
      @jdanny497 Před rokem

      Mnafiki huyu

    • @jdanny497
      @jdanny497 Před rokem +4

      Watanzania mnapenda unafiki,the worst president ambae ameshawahi kutokea Tanzania

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem

      @@jdanny497 sasa tukuone wewe Rais Bora , ukawe Rais,,,

    • @gebborecords
      @gebborecords Před rokem

      @@jumakapilima7295 Uraisi ni kazi nyepesi saana ( Ukijua Haki na Ukasimamia Haki ) na ( Ukijua Kuna Mungu Mbinguni aliyekupa nafasi ya Kuongoza ) _ mambo Hayo ni mepesi saana kuyafanya kwa Rais ....fuatilia uone utekelezaji wake UTASHANGAA

  • @karaoglan9444
    @karaoglan9444 Před rokem +6

    Mtu pekee aliyekubali uwazi na ukweli kwa VITENDO!!
    Hakuna ubishi kwamba ukweli wake na uwazi haukuwa na mfano!!

  • @HenriHSP
    @HenriHSP Před rokem +18

    Only Magufuli forever

  • @user-pp9vz1kv9x
    @user-pp9vz1kv9x Před 5 měsíci +3

    King of mind games🙌🙌

  • @issabilali3539
    @issabilali3539 Před rokem +3

    Kikwete Acha uongo wewe uliufukuzia urais siku nyingi sana na kwanza Huna uwezo wa kuongoza nchi zaidi ya kufuja pesa za walipa kodi.

  • @alishamlan7434
    @alishamlan7434 Před 5 měsíci +1

    One in amillion one of the presidents i admired in ma lyf time.TZ are blessed to have honest and open leaders

  • @marthamungure1777
    @marthamungure1777 Před 5 měsíci +5

    Mlimwonea Lowassa

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Před 5 měsíci +2

    Waarabu wanajuana kwa vilemba. Huwezi kujisafisha kijanjakijanja. Listi hii ni yenu wote. Wakati mwingine roho zinatusuta tunadukumwa kufichua mamno fulani bila kujielewa . Tumejianika wenyewe hapa.

  • @massive1765
    @massive1765 Před rokem +18

    Hiyo list anayoitaja ndio ilifilisi nchi, na ndio imerudi awamu hii

    • @smarty1064
      @smarty1064 Před rokem

      ohooo!

    • @damianlyimo5782
      @damianlyimo5782 Před rokem +3

      Tafuta Hela ww akina rostam ni matajiri kabla hata mwinyi hajawa rais

    • @yunusimchala6569
      @yunusimchala6569 Před rokem

      Grace misa kwani watoto wao hawana sifa? Somesha watoto wako mjinga ww mbona Kuna watoto wengi WA viongozi Duniani na wao ni viongozi? Kenya, marekani, Korea, zanzibar nk

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Před rokem

      Acha ujinga.. Heshimu angalau wakubwa. Kikwete, Kinana, Lowasa, Makamba, Nnauye na wengine wengi walikuwa JWTZ. .. Hawaishi kwa mihemko yenu.

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 Před rokem +5

    Hizi habari za kuwa ilishinda kura za CCM mwaka 95 uwe rais Mwalimu akakataa nilikuwa nikizani si za kweli. Kumbe njama za kusema mshindi lazima awe na zaidi ya 50% zilitengenezwa baada ya kuwa umemgalagaza Mkapa na bado ukatulia tu Urais wakapeana wenye!?
    Big up sana JK.

  • @abdallahwazir7466
    @abdallahwazir7466 Před rokem +8

    M/mungu akuweke sana mzee wetu ww ni hazina yetu Tanzania 🤲🏾

  • @simionbirai7851
    @simionbirai7851 Před rokem +10

    Unastahili sana Mzee Kikwete!
    Una hekima na busara sana!!!
    Hauna makuu!!!!

  • @johnriwa2854
    @johnriwa2854 Před rokem +13

    Bless you sir you did a good job

  • @geeva99
    @geeva99 Před rokem +6

    Kwanini msiweke hii full kabisa kama millard ayo watu tunataka kudive deep

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před rokem +1

    Kikwete Anatakiwa Amwone Lowassa amwombe Msamaha walivyomtukana 2015 na Kumdhalilisha tena juu ya Ugonjwa ki2 ambacho Ni Uovu, Hakujitakia Kuumwa. Mr. President What Yall did to Lowassa Was evil, regardless of whether he wronged you at one point or not, the insult should not get to a point Yall called him, "MFU MTARAJIWA"

  • @user-yh3gk4fg1b
    @user-yh3gk4fg1b Před 5 měsíci +1

    WW mzee uko makini sana yaan your smart kuliko unachokiongea I believe in God uwezo ulojenga ktk watanzania one day Yes mungu ataurudisha ktk familia na rafiki

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 Před rokem +3

    Kikwete anajizonga mwenywe waziri haulizi kitu bila ya kujua waambie wasiojua system yenu

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před 5 měsíci

      Ni kweli. Roho inamsuta.

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 Před rokem +7

    Nimekumiss sana my dear Rais wangu mstaafu.

  • @user-lx8ep6zm6e
    @user-lx8ep6zm6e Před 5 měsíci +3

    Comment za wanafki tupu wanosifia upumbavu,watanzania ni wanafki wa kwanza duniani

  • @kiliankamota7922
    @kiliankamota7922 Před rokem +13

    Jakaya Kikwete is larger than life celebrity leader
    A true son of African who rose from humble beginnings
    Tunaomba aandike vitabu vijana tujifunze kutoka kwake
    Nkosi sikeleli Kikwete!

  • @zachariakejo2563
    @zachariakejo2563 Před rokem +6

    Ndo mana unazeeka taratibu manake mungu amekujalia busara, hekima na hata utu

  • @halifajuma545
    @halifajuma545 Před rokem +7

    Huyu Ana haribu inchi kabisa inchi tajitri lakini watu masikini

    • @ziadakandanga2477
      @ziadakandanga2477 Před rokem

      Ameharibu kwani yy ametawala tangu nchi ipate uhuru,au unaongea kwa sifa

  • @johnandrewmsigala7803
    @johnandrewmsigala7803 Před rokem +1

    Mmm!!! Unadanganya. Wewe uliutaka sana urais ndiyo maana Mwl Nyerere alikukataa alijua nchi italiwa ukakwama kulikuwa na Sakata sana kubwa la kukukataa kule Chimwaga wewe na Lowasa na Malecela.
    Awamu ya nne ukalazimisha kuwa rais kupitia wanawake.

    • @Munyama675
      @Munyama675 Před 5 měsíci

      Kuna Rais alileta maendeleo kumshinda JK?

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 Před rokem +2

    Mwizi na fisadi la karne hii. Kafilisi Tz.

  • @hamisipolenisanaissa8859

    Hongera kwa

  • @NyakiMollel
    @NyakiMollel Před 5 měsíci

    Tulikosea Sana Hii Nchi

  • @sampaconnector2845
    @sampaconnector2845 Před rokem +11

    “Edward is sick” that one was so emotional.

  • @saiddelefa1749
    @saiddelefa1749 Před rokem +3

    Ndio maana mm nasema nikifa historia yangu isisomwe kabisa wakaushe haisaidiii kabisa

  • @ramadhanikipande356
    @ramadhanikipande356 Před rokem +7

    Mwambie mama alipe MADENI ya wanaoidai serikari ahadi zimekuwa nyingi

    • @mhandomhina5503
      @mhandomhina5503 Před 5 měsíci

      Kuna awamu ambayo haikukopa? Je wajua awamu ya tano ndio awamu iliyokopa zaidi ya awamu ya tatu na ya nne na takwimu ziliwekwa wazi na wachumi Ni mara mbili ya kila awmu ya tatu na nne yaani (3 na 4 jumla ya deni
      85% halafu ya 4 pekee 75% kwa miaka sita kasoro Kisha tuliaminishwa serikali haikopi. Big up Magufuli kwa uthubutu na usimamizi mzuri wa pesa za serikali kwny miradi na nidhamu ya ufatiliaji hakika hana wa kulinganishwa naye katika hili ila naye alikuwa muenezi mno.wa yeye hakopi.

  • @Edumastermind01
    @Edumastermind01 Před 5 měsíci

    My favorite president

  • @ramadhanjuma3584
    @ramadhanjuma3584 Před rokem +2

    Umeanza watanzania hawana imani na wewe hata labuda wanao kula kupitia mgongo wako

  • @feisal6592
    @feisal6592 Před rokem

    Baba aslm shikamoo hakisio nzurii sikuku inakuja lakini haliningumuu mnoo

  • @marthamungure1777
    @marthamungure1777 Před 5 měsíci +1

    Huhitaji kujieleza sana. Unajulikana uliyoyafanya

  • @focuserick6162
    @focuserick6162 Před rokem +8

    Jangiri kuu

  • @trig5623
    @trig5623 Před rokem +6

    Nyoka huwa ni nyoka. Tu hawezi kuwa samaki kwakupitishwa baharini....

  • @mikaelikamili3108
    @mikaelikamili3108 Před rokem +3

    wapi uongo uo raisi alikua jpm we janjajanja

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Před rokem +10

    Mwaka Ambao Ulitikisa Sana Ndani Ya Chama Moja Kati Ya Kitu Nakumbuka Ile Hotuba Yako Baada Ya Kutajwa Mshind Alaf Ukatoa Hotuba Nzto Ambayo Mpaka Baba Wa Taifa Akasimama Kupga Makofi

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 5 měsíci +2

    HADISI ZA ABUNUWASI.😂😂😂

  • @marthamungure1777
    @marthamungure1777 Před 5 měsíci +1

    Anayefanya vizuri anasemewa na watu

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před 5 měsíci

      Ye anajitangaza. Na kujitembeza.

  • @rahmambugi1950
    @rahmambugi1950 Před rokem +4

    Yaaani sichoki kuku Sikiliza 🙏

    • @hajiameir8688
      @hajiameir8688 Před rokem

      Kikwete mshauri mama atuondolee kikokotoo kwani sisi wastaafu wa polisi tunaumia mzee

  • @fredrickallan5437
    @fredrickallan5437 Před rokem +6

    Baba yetu mzee kikwete mungu akutunze uishi miaka mingi sana na familia yako.

    • @zainabmapezi5730
      @zainabmapezi5730 Před rokem

      Ana roho nzuri ndio maana mpaka leo anaishi kwa Amani Hana maadui wengi. Wengine wakistaafu tu pressure zinaanza kutokana na uadui walioujenga wao wenyewe. Maisha yanakuwa mafupi.

  • @user-qg5bq4sj9c
    @user-qg5bq4sj9c Před 11 měsíci +1

    Unajua mungu anaona
    😊

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před 5 měsíci

      Anauona uongo hapo.

  • @AndrewKombe-ie9nf
    @AndrewKombe-ie9nf Před 2 měsíci

    Yes

  • @johnandrewmsigala7803
    @johnandrewmsigala7803 Před rokem +1

    Mwongo huyoo du!!! mambo Gani unefanya zaidi ya kutumia fedha zote Rais Mkapa alizokusanya. JPM ndiyo kafanya mambo na nchi ikapaa. Nani kama MAGUFULI? RIP BABA MAGU

  • @ramadhanikhalfan848
    @ramadhanikhalfan848 Před rokem +11

    Rais Bora kuwahi Kutokea katika Nchi yetu.

  • @jebace
    @jebace Před rokem +3

    nguruwe

  • @ramadhanimtambo6755
    @ramadhanimtambo6755 Před rokem +6

    Tunakukumbuka sana rais kaka yetu ilikua rais bora sana Kwa makundi yote wafanyakazi .wafanyabiashara wakulima .wafanyakazi tunakukumbuka sana Kwa kuboresha maisha yetu Kila mwaka.mungu atakulinda na masaibu na atakupa umri mrefu zaidi

  • @haridsaid6286
    @haridsaid6286 Před 6 měsíci +1

    Sema huyu MZEE inaonekana kinana ni mwanae saaana

  • @juliuslabarani8575
    @juliuslabarani8575 Před rokem +1

    Nimejifunza jambo ktk maisha

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před rokem +5

    Makubwa wakati uligombea na mkapa Nyerer akakukataa kumbe alijua

    • @estermpagama9664
      @estermpagama9664 Před rokem +1

      Mungu warehemu Mwalimu na JPM wape wepesi familia zao wawe waja wema kama wazee wao

  • @paulinekamau9633
    @paulinekamau9633 Před rokem +2

    One of Africa’s best presidents

  • @user-qg5bq4sj9c
    @user-qg5bq4sj9c Před 11 měsíci +1

    Tunataka latina mpya acha maneno meng

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Před rokem +3

    Mzee wetu Rudi Basi ugombee Tena toka utoke rais wangu nchi imekosa mwelekeo the best president ever...MUNGU AKUTUNZE UISHI MIAKA MINGI SN.

  • @tibubandar413
    @tibubandar413 Před 10 měsíci +1

    Kikwete bhana eti nimesepa😂😂😂

  • @eliassangisangi
    @eliassangisangi Před 5 měsíci +2

    Mbwa loko

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 Před rokem +2

    JK nampenda Ana wisdom kubwa sana

  • @tahiraabdul1701
    @tahiraabdul1701 Před rokem +1

    Umecheza vizuri Sana Jakaya....safi sana

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před 5 měsíci

      Kajifichua na wenziwe.

  • @isayamsoka5590
    @isayamsoka5590 Před rokem +1

    Channi hicho kitapeli aaah!

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Před 5 měsíci +1

    Mzee jk anajua kucheza na akili za Wtz.

  • @hamzasukwa432
    @hamzasukwa432 Před rokem +2

    Ningeshangaa kama ungemsahau Rafiki yako Sukwa.

  • @jumakaoneka5456
    @jumakaoneka5456 Před rokem +7

    Hongera mkuu wa nchi wa 2005 @ 2015

  • @shabaniselemani9159
    @shabaniselemani9159 Před rokem +4

    Fanya sana ibada muheshimiwa umli umeenda achana na mambo ya mitandao mbele yetu kuna ummaut

    • @apple9711
      @apple9711 Před rokem +1

      Aisee unaona MBALI

    • @ichronicpro3081
      @ichronicpro3081 Před rokem +1

      Kwani wewe umejuaje hafanyi ibada tuache kuhukumu watu hiyo ni kazi ya Allah ndiyo anawajua watu wake

    • @elizabethpetro1258
      @elizabethpetro1258 Před rokem

      @@apple9711 mbali Sana haka kazee kanajiletaleta kwa mitandao kahana vibese Wala nini'

  • @omaryngitu2443
    @omaryngitu2443 Před rokem +6

    Ulijenga shule za kata,uliajiri watumishi wengi,ulimalizia Barabara ya kusini,uliongeza vyuo vikuu,uliongeza mishahara ya watumishi kwa kiwango kikubwa na mengine nisiyoyajua,uchumi wa kati ulitakiwa uanze katika kipindi chako

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem

      Leo 23% + kikokotoo = kizungumkuti

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Před rokem +1

      Hiyo mishule mmejengewa ili mjaziwe ujinga kwenye mibichwa yenu na mitaara ya MKOLONI ona sasa faida yake mwezio tajili wewe bado kajamba nani 🤣🤣🤣🏃🏃🏃

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem

      @@shinipapaya846 punguza makasiriko

    • @foyaalfa8837
      @foyaalfa8837 Před rokem +1

      Watumishi fekije, mwehu ww

    • @karaoglan9444
      @karaoglan9444 Před rokem

      @@shinipapaya846 mitaara,tajili inaonesha kabila lako na chuki yako dhidi ya JK..we hufai kubaki nchi hii mbuzi kabisa

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Před rokem +3

    Netwk/mtandao

  • @erickgadson1617
    @erickgadson1617 Před rokem +7

    Duuu ume miss wa nawengi sana maana enzi zako tulijenga nyumba nakupata pesa kilahisi sasa hivi maji tuna yaita mma natamani nyakati zile zijirudie ila wakati umeenda

    • @abdibilali4186
      @abdibilali4186 Před rokem

      Nyumba yangu iliishia kwenye linta Toka alivyo Toka madarakani sijajenga hata tofali moja

    • @georgemassebu2083
      @georgemassebu2083 Před rokem

      @Erick
      Unafiki tu umewajaa, nyakati zake mlisema ufisadi umeshamiri na yeye anasafiri tu kutwa kucha, lawama na magazeti kipindi kile vilipata umaarufu, leo eti mmemiss, yaani wabongo bwana

    • @foyaalfa8837
      @foyaalfa8837 Před rokem

      Mwizi mwenzio mwehu

  • @masaimediagroup3146
    @masaimediagroup3146 Před rokem +2

    Lowassa

  • @panafrican.nation
    @panafrican.nation Před rokem +2

    Ni ruhusuni niseme ukweli uliyo moyoni mwangu. Mimi kama MKenya rais ambaye alinipendeza sana Tanzania ni Kikwete

  • @lgffumbuka183
    @lgffumbuka183 Před rokem

    One of our very best. Yatunzetunze Baba utayasemea kwenye memoirs zako?

  • @kianda973
    @kianda973 Před 5 měsíci +1

    Mmhh

  • @zachariakejo2563
    @zachariakejo2563 Před rokem +3

    We mzee mungu akupe maisha marefu kwali tena kwa niaba ya wale wa 2014, niseme tu much respect 🙏 👏 👍

    • @augustinosiasi7368
      @augustinosiasi7368 Před rokem

      Mzee duh bila yeye tunge Kaa sana mtaani jk jembe ukitaka kula lazima na we uliwe mungu akujalie miaka mingi

  • @AwadhiAlfani-bd5pj
    @AwadhiAlfani-bd5pj Před 5 měsíci +1

    baba shika mooooo

  • @awamiabbas222
    @awamiabbas222 Před rokem

    Neno tutatengeneza au usjali kuna namna ya kufanya lilianzia hapo😀

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 Před rokem +4

    Tangu Samwel Sitta aachie madaraka , nafasi ya spika hadi leo ipo wazi tu

  • @furika7931
    @furika7931 Před rokem +5

    Rais bora wa wakati wote, demokrasia ilikuwa juu, uhuru wa kutoa maoni, uhuru wa vyombo vya habari na wakati wako ndio tulikuwa na bunge bora zaidi maana lilikosoa serikali na kuchangia mambo mbalimbali ya kitaifa bila kuingiliwa.

  • @jonsjones2580
    @jonsjones2580 Před 5 měsíci

    Mswahili sio mtuuu

  • @MasiagaMatiku-qj3oc
    @MasiagaMatiku-qj3oc Před 5 měsíci

    Swara Ra katiba siulianzisha mbona uliacha kiporo mswahili bwana

  • @samwelimwashiuya7894
    @samwelimwashiuya7894 Před rokem +1

    Tutakukumbuka daima na kutamani ingewezekana katiba kuruhusu kurudi hakika tungekurudisha mheshimiwa kiongozi wetu.

  • @fabiopaul8897
    @fabiopaul8897 Před rokem +7

    Ishi miaka mingi mzee wa msoga

  • @user-jh3yu7wl9r
    @user-jh3yu7wl9r Před 5 měsíci

    ❤Mungu akujalie maisha marefu❤❤❤❤

  • @Lodrickmwambene
    @Lodrickmwambene Před 5 měsíci

    Huyu mzee Ana mind games sana eti hakuta kuwa raisi uwaziri Ulimtosha Wewe mzee kikwete acha bwana ebu niache 😂😂😂😂😂 😂 Nani hataki kuwa raisi

  • @jumakalukanya5730
    @jumakalukanya5730 Před 5 měsíci

    Mmmmm wewe huaminiki

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey2614 Před rokem +5

    Kwahiyo lowasa anaumwa

  • @livinohaule8442
    @livinohaule8442 Před 9 měsíci

    "Kwahiyo nilipokuja kuwa Rais nilikuwa niko vizuri." Mwisho wa kunukuu 😅

  • @elipidtesha5466
    @elipidtesha5466 Před rokem +1

    Huyu ndo Rais msomi wa utawala siasa na uchumi,amekomaa kwenye chama ,amekuzwa na.chama ,zao la chama.kiongoz bora anajali usawa,demokrasia na uhuru
    Yote aliyaweza
    Maendeleo binafs ya mtu ni vita binafsi kati ya mtu nafsi yake na juhud binafs

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Před rokem +3

    Huyo Twiga hapo pembeni ni kama huyo dada ameinua mkono kutaka kuchangia jambo.

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Před rokem

    Mzee kikwete tunataka utukamilishiye kiporo ulichokiacha chakatibampya Sasa vipi naombajibu ndg mh!!! duniani hakuna umilele kibinadamu vilevile hakuna kitakachodumumilele,wanyuma atakuwa wambele!!!!

  • @bahatikengese744
    @bahatikengese744 Před rokem +1

    I'm sorry jk sasa hvi silali bar kipindi cha rais nilikuwa na lala bar ile mbaya

  • @feisal6592
    @feisal6592 Před rokem

    Kama ahatajita tambulishaa

  • @lungusii
    @lungusii Před 8 měsíci

    Mheshimiwa huyo paka ni nani??

  • @BeaniesAreHappy
    @BeaniesAreHappy Před rokem +2

    Corrupt leader

  • @labanigalusi874
    @labanigalusi874 Před rokem +5

    kati ya maraisi watanzaia nisio wapendi wewe nasamia yani nawachukia sana

  • @godfreymwesigwa9375
    @godfreymwesigwa9375 Před rokem +1

    DUH, TUNGEKUWA NA KATIBA NZURI ISIYOLINDA VIONGOZI

  • @franciskavyega280
    @franciskavyega280 Před rokem +2

    Nkosi Sikeleli KIKWETE