MZEE MANGULA: NILIJUA MAPEMA/ SIKUMUOGOPA/NILIRUDI SHAMBA KULIMA
Vložit
- čas přidán 11. 11. 2022
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Mzee mangula nakupenda sana zaid ya sanaaa.
Mzee Mangula Ubarikiwe Ulifanya Kazi Kwa Uadilifu Katika Kukijenga Chama Ubarikiwe Sana Mzee Wa Mafaili
Nampenda sana huyu Mzee.
Mangulaa kuaa ccm nizambi kwa mungu na mungu kakuokoaa nizambi ya kuaa li ccm emeni
Hongera sana mzee napenda ningekuwa kwenye mfumo nami niwe kama wewe ila haiwezekani màana chama kina wenyewe
Content makini sana, naanza kuifuatilia hii chanel
Aiseee huyu mzee yupo vzur, mzee wangu wew ni kiongozi. ♥.
Mzee mangula ni mtu mzuri sana mungu ambariki sanaaaa huyo ndiyo anaejua siasa hao wengine waliochukua nafasi yake mmmmmmmmmm yetu macho tunachoomba amani tu Tanzania
Huyo unaemponda umesahau au hujui kama ndio aliezunguka Tz mzima kufufua chama?,
Kwani chama kilikuwa kimekufa? Wakati kinakufa yeye alikuwa wapi? Si alikuwa ndani ya chama naalikuwa kiongozi mwandamizi? Chama hakijawahi kufa kabisa na hakitakuja kufa.
Moja ya Wazee ninao waelewa ni Mzee Mangula..huwa ni Muelewa na Msikivu
Mwandishi alipaswa kufanya homework yake vizuri kabla ya kumhoji Mzee Mangula. Anaeleza kuwa mwaka 2006 aliamua kwa hiari kupumzika. Lakin akiwa kijijin kwake, aligombea uenyekiti wa CCM Mkoa, nadhan ilikuwa 2007, akashindwa vibaya sana. Alipaswa kumuuliza kwann aligombea uongozi wa mkoa, wakat alikuwa Katibu Mkuu CCM?
Kulikuwa na tetesi zilizopelekea akarudi kijijin. Alipaswa kuuliza maswali ktk maeneo hayo ya tetesi.
Shukrani kutambua kuna umri wa mapunziko wengine hawalijui huo ni moyo mzuri
mtangazaji umempa sana Mzee Mangula mianya CCM haishindi tena uchaguzi Tanzania bali ni kutumia nguvu za dola kubakia madarakani kasema hayo Katibu Mkuu wao Dr.Bashiru
Rudia kusikiliza alichosema DkBashiru juu ya kutumia kukaa madarakani,usibebe upotofu uliotolewa na Wahuni....Alisema Dola kwa maana ya vyombo Mahakama,Polisi n.k...kuvisimamia vifanye kazi zao kwa kuwasaidia wananchi nao wataona kuwa wanasaidiwa kupata haki zao na huduma hivyo Watakipa ridhaa ya kubaki madarakani...Wahuni walikamata maneno ya mwanzo na kuacha habari nzima ya DrBashiru...itafute taarifa nzima ipo humu CZcams.
Ndg mtangazaji kuna tetesi nimewahi kuzisikia kwamba mzee Mangula aliwahi kuwa mshauri wa chama cha A.N.C pale a/kusini kati ya mwaka 2006 hadi 2012, nilitegemea swali hili litaulizwa na kujibiwa hapa..
Mungu akutunze mtani wangu
Mhh sawa
Alikimbia genge la wauwaji.Baada ya kulishwa sumu akaponea chupuchupu.
Rais wa mchogo na Genge lake wanatumaliza watanzania bara,Rip JPM
Hua nakukur broo uko makin sana
Demokrasia ya chadema ni feki. . Tangu Kimeanzaza hakuna uchaguzi wa kiongozi wa chama. Ni wale wale. Na wanaimba demokrasia
Huyu mzee mangula alikuwa ameendana na magufuli Safi Sana, anamsimamo Sana kwa kile anachokiamini .
Duuuh nchi hii ni hatari sana
Mbona mnajadili hoja nyepesi sana, Siku zote vyama vunavyojijenga vinahitaji sana watu wanao wanajitoa kwa dhati ya moyo wao katika kusimamia jambo lao, Mbowe kuwa M/kiti au kuendelea kuwa m/kiti Wala sioni tatizo, rejeeni vyama vyote vilivyo kuwa vinapigana kuongoza serikali havikuwa na shaka yeyote inapoonekana Kuna shoka linaweza kufanya kazi Barbara.
Ila nchi ngumu sana hii kuja siku tutaamka asubuhi tusiikute nyie
CCCMM ni chama cha wahuni
Julius jovin wewe ndiyo muhuni
Wahuni wengi wako usukuleni huko chambowe! Mmojawapo ni ww
Mzee hajasoma ilani. Vyama vingine
David huyo ndiyo mzee anaejua siasa tokea enzi ya mwalimu nyerere
Mzee mangula
Ccm yenyewe wamejaa wahuni tu
Adamu fundikira wewe ndiyo muhuni kabisa anzisha chama chako cha kushindana na ccm uchukue dola nyau wee
Naswa
Magufuli hakuwa anakijua chama?
Mzee Mangula uliwahi kugombea uenyekiti was ccm mkoa, ukakosa, na ulilalamika sana.
So what? Kwani kuna mtu kwenye chama wa juu ambaye hajawahi kugombea na kukosa?
Miss you banduka
VIONGOZI wa maana ndani ya CCM hakuna tena. Tumebakia na wahuni, waliobakia ni wahuni na wanao fikilia Tanzania ni Mali yako binafsi.
Mzee mangula umesema kweli chama gani mwenyekiti huyo huyo kila siku wamemchoka kabisa wanachama wenzie huko mitaani mbowe njoo usikie ya mitaani
Wivu
Flsvian polee mbowe anatakiwa abadilike chama siyo chake peke yake achie na vijana hicho ni chama au kikundi cha vikoba kaisha huyo
Badala ya kuilizia mafanikio ya utendaji kipindi cha utumishi wake, wewe unataka kusikia kuhusu minong'ono ?
mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe !! Chadema ni tishio .. vyama vingine mf. tadea Demokrasia makini , tlp, dp nk. vina wenyeviti pia ila haviinyimi ccm usingizi kama ilivyo kwa Chadema.
Huo mrazamo wakoni mihemko tu, bado sojaona chama tishio tTanzania unataliwa ujiulize imeluwaje wabunge 19 kwa wakati mmoja kutofaitiana na chama? Jinu ni rahusi sana ni dictatorship
😂
Hivi vyama vinamisukosuko sana na polisi, CCM, Na dola kwa ujumla. Nyerere alikaa muda gani jamani. Vyama vyenyewe havijalalamika mbona hamoni maovu ya CCM ?
Kama mtu ana ng'ang'ania nafasi ya wenyekiti! Miaka yoote yeye tu, ukimpa uraisi hawezi kuachia nafasi Kwa wengine, na atauwa wengi Kwa kutetea nafasi yake, ccm ndo chama pekee chenye sera kabambe, mipango ya kupokezana madaraka bila ugomvi, hivo kinafaa kuongoza Dora, hivyo vyama vingine ni mapanya road hao.
Kupokezana madaraka? Mbona hawakubali Kupokezana madaraka pindi wakishindwa kwenye uchaguzi?
Kupokezana kivipi cjakuelewa tatizo cio uenyekiti tatizo ni wanatengezwa kwenda kuvuruga
Mzee mangula
Mzee hajasoma ilani. Vyama vingine
Nakuelewa…. Siasa ni kama dini …. Wengine wasubiri. Umri siyo hoja…imani ni mtu.
Sina chama namkubali anayesiasa vizuri. Kwa neno lake juu ya vyama vingine amenikwaza. Ila namheshimu sana. Akibarikiwa umri asizungumze zaidi katika siasa…. Awaachie vijana.