#DAR24LIVE
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2022
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#KITWANGWA #MAGUFULI #BUNGENI
Wamekutana watu wawili wenye IQ kubwa sana kuanzia Mtangazaji anachokoza maswali yenye ujazo na kukata kiu ya watazamaji vile vile Mh Kitwanga anajibu maswali beyond na kile anachoulizwa na haachi chembe ya shaka katika majibu yake!Moja ya interview yenye kuacha alama kubwa!!!Big up
Kabisa kabisa ..
Host noma
Sana tena sana mtangazaji anajua sana
Mwanidishi nakutazama ukiwa mbali Sana big up Sana, uko vizuri na kitwangwa Yuko vizuri
Information Tech,Engineer Charles Kitwanga My G.... Graduate from sussex uni...one among of the best uni in the world...facts,,facts,,facts mdingi wangu...machoni tu unaongea ukweli... Amini sana mungu.. intellectual facts... Salute sana mzee... Halafu kwa asilimia kubwa wabaya wote wametangulia mbele za haki...mungu ana maguvu sana mzee wangu...
Ila we jamaaa sijui umesemea wapi daaah unaua sana Mtangazaji very nice
Jamaa yupo halisi Na anaongea ukweli” Ana confidence ya Hali ya juu”
Hongera sana mtangazaji umeuliza maswali vzr kipindi kizuri sana
Mtangazaji safi sana , Uko so professional kwenye kuuliza maswali
Kwel kabisa
Mwandishi wangu bora sana hakika unajua kufanya interview hongera sana
DAAAH!.... KWELI HAYA MAKUBWA
Kitwanga alitumbiliwa kwa msimamo wake wa kutokujikomba kwa magufuli. Magu alitaka kuwafsnua viongozi wote wawe wanatekeleza matakwa yake . Kila aliyetofautiana nae magu alitumia nafadi yake kumkomoa ikibidi kumfukiza kazi au hata kuuliwa. Hivyo kisa Cha kitwanga ni ushahidi tosha kuwa magufuli alionea watu wengi sana. Mungu amweke anapostahili Amen
Hongera sana Kitwanga confidence na imani kwa Mungu. Ubarikiwe!
Mzee kitwanga, heshima sana kwako, natamani kukutana na mzee wangu huyu na kupiga naye story kadhaa wa kadha
Kabisa, hata mimi ananivutiaga sana! Namuelewa sana..
Mzee wetu mkweli sana
Kitwanga MTU makini sana Mungu akubariki
Hivi yule WAZIRI aliyeshindwa kuapa pia alilewa kwani nakubaliana na kitwanga kuhusu ushirikina
Katika siasa
Mzee mmoja aliwai kusema "saidia sahau"
Bwawa LA MWALIM
Bonge la interview nzuri sana ndg
Nimefurahi sana, he is awesome. Respect Sir.
He has the most beautiful home I have seen. So elegant
Mungu akubariki mzee Kitwanga, moja wa waliokuega nimemwona jpm, Mungu atakulipa
Daaah mzee kitwanga anaongea ukweli hata ukimuangalia machoni 🙏🙏🇹🇿
Sii kweli kitwanga ulikua mahali unakunywa ukapigiwa cm na jpm kwamba ondoka uende nyumbani Toka ulipo ukaondoka ukahamia Sehem nyingne bado ukaendelea kunywa mpaka asubui na bado jpm akapata taarifa na ukavuna ulichokipata
Mungu akubariki
Safi sana mawazo mapana na ya muda mrefu sana
Ndugu mwandishi naomba uniunganishe na huyu mzee,ana madini meng San 😘, nisaidie plz brother
Yes Kufanya kazi kwa uadilifu wakubwa watakuona, ulipata nafasi ukashindwa uadilifu kidogo tu.
Jamaa Ni mkweli sana
STATE IKUFATILIE KWA LIPI? HAYA MASWALI MLIPASWA KUMUULIZA ALIPOKUWEPO MUHUSIKA. BUT NOW NO ANY BALLANCE EQUATION.
Wewe ni mpumbavu
Muhusika alipokuwepo wale waliohoji chochote hukuona walichofanyiwa
Magufuli ndo raisi ambae nimewahi kumwelewa kuliko wote walopita
Hata mimi mwanangu
Kitwanga nimkweli nimeipenda Sana
Pole kaka ndio maisha
7:35😁 ... Nimekuelewa father
Huyu mwandishi ni makini sanaaaaaaaaaaaaa. Very professional
Boss's mtangulize mungu katika kila Jambo nafasi hizi zinagombaniwa na watu wengi sana amin uchawi upi
Mtangazaji unauliza maswali Kwa utaalam mkubwa Sana. Naaamini utakuwa TV Anchor mkubwa Sana
Ni kweli mheshimiwa ulikuwa umeelewa vidonge. Umekiri mwenyewe kuwa uliingia bungeni ukiwa umebugia vidonge.Kwa hiyo kubali kuwa ulilewa.
Uko vzr mzee karbu tena misungwi
Kitwanga you are Very funny hahahahah halafu Una furaha
Hapo pia anavyohojiwa inaonyesha wazi amelewa😂😂 ila sio dhambi kulewa
Bro upo makin sana napenda tuu unavo hoj
Wte wna IQ kbw every interesting interview
Unajua sana kuhoji unatakiwa ufanye CNN au BBC au Aljazila
Mtangazaji soon tutamuonaa mbali
Jamani nimempenda huyu mtangazaji Mungu akubariki
Kitwanga alikuwa rafiki yangu tukiwa UDSM angali anacheza Basketball; sikujua kama tunashea birthday ya September 27.
Kitwanga pole wengi ccm ni wachawi
Huyu mzee ananifurahisha sana 😂🤣! Yupo simple sana na anachekesha sana 😂
Jamaa full furaha mda wote na kanawili vzr nadhan anaish maisha mazr kuliko ata ya aliyokuwa nayo kwa siasa
Mzee huna imani na mungu, uchawi ukapone India kweli.....?
Weee mtangazaji unajua
Mzeeswali jepesi ni ulikuwa umelewa au hujalewa 😂
bureaucracy siyo kujikomba ukifanya kazi jeshini au kwa meli na atittude za Kitwanga hudumu...unapigwa chini mara moja.
🤣🤣🤣 mzee siku hile ulionja kidogo bwana video zipo za bungeni
Mh. kitwanga umesoma Same Sec!!!!! uliishi Agrey,lumumba au bweni gani? nimefurahia kuwa ulisomea Same Sec...Nami nimesomea hio hio Secondary.
Wacha kukufuru SASA Mtangazaji NABII GANI??? Mr. CHARLES Lugha ya Kiswahili 👍Kweli maneno yako fanya wema malipo kwa Mungu...ASANTE SANA 👍
Kwahiyo umeona utafute baya ,, kwamba hujaona mema waliyoyaongea? Moja kati ya ukomavu kiakili ni pamoja na kutokuona mabaya ya mtu kirahisi, jifunze kuona mema kwanza
HAHAHAHA POLE SANA ALIKUBEBA KIRAFIKI NA AKAKUMWAGA NDIO SIASA! DONT WORRY ENDELEA KUPIGA GLASS HUKU UKIPOOZWA NA VYEO VYA KISIASA!
Nyie maccm tukiwaambia 2020 hakukuwa na uchaguzi mnabisha, mnaona kilichowakuta na nyinyi wenyewe
Hkuna mtu hapa
nipepata uelewa juu ya watu unaoishi nao usimuamini kila mtu
Katika watu wanaojielewa kitwanga Yuko juu sikiliza pont zake mwenye uelewa
Wewe ni mlevi sana tu
Unaendaje bungeni unaumwa? Ulikula ka wiski kidogo buana
Kumbe mzee ndiyo ongea yake bhana
Kiukweli hata mimi naijua hili la kurogwa na ilikua bado kidogo nikamuone ndio akapelekwa india
Huyu mzee hata mie nilidhania siku ile alikua kalewa kweli.kumbe ndio uongeaji wake
Mzeee kitwanga binadam ndio kiumbe hatare dunian mm kuna jamaa nimemtoa kimboka analipwa mshahara 90 elfu kwa mwez nimemleta hapa uarabun nipo nae jiraaan anataka anifukuzishe mm kaz yaan yeye hatak anione mm nafanya kaz anataka anione nazalilika
Pgo moja sna kwangu hilo ambalo liliniuumiz sna katika moyo wangu mpaka kesho nikimuona yule jamaa naumia rohon
Poor Kitwanga.
Mtangazaj nmekkubal uko vzr
Na kulewa sio sababu ya kumtoa uwaziri Alitakiwa onyo tu
Una akili nying ila mwamini mungu
jamaa anakaa mlevi sana
Kukataliwa ni kwenye maisha kunafanya mtu kujitambua Sana na kukuona wew sio kila kitu katika ulimwengu huu so tujitaidi kujishusha kabla ya kujipandisha Kama mwigulu nchemba akikataliwa siku na rais atajitambua kuwa watanzania wote sio wajinga
Wewe unae sema kuwa hapo hakuna kitu ooh ni pombe tuu jiangalie wewe na baba yako na mama yako mko timamuu? Kitwanga ni mashinee pombe mbali na uwelewa wa mambo ni mbali. Acheni dharau wachawi wakubwa.
Kwa hiyo umepata Nini sasa mshambq ww
Yap
USIJIKOMBEE
Balozi wa Tanzania nchi fulani siku zajazo
😂😂😂
HUYU BADO NI MBUNGE
Pombe sio chai
HIVI KITWANGA NA MAKONDA NANI ALIPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA?
Dunia ni Watu
Pwenti kubwa sana ktk maisha
huyu jamaa ni mlevi tu! Hata muonekano wake.
Acha kumshambulia Mh ww .
Mhhh nyiye wa Tanzania mnajifanya kila kitu mnajuwa. Huyu mjamaa anaonesha MSTAARABU sana.
Bora mlevi huyu mwenye akili, kuliko wewe usiye mlevi na hauna akili
Sasa huyo Mlevi na ww ambaye akili zako zipo mkunduni nan afandhar
Wewe mtangazaji ni mpumbavu sana na unaonekana una midharau
Mpe mama ako
Hapo umekosea...tena sana tu ( hili neno pumbavu ) liondoe
Hongereni Kwa mahojihano mazuri
Tumejifunza mengi katika harakati za maisha namna ya kwishi na watu
Tunaishi mala moja tu furahia uwepo wako tunaish mala moja tu na siku hazirudii
Kitwanga mtu ya watu mutu mubad .....IT siku zote tupo juu.