#DAR24LIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2022
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #KITWANGWA #MAGUFULI #BUNGENI

Komentáře • 105

  • @mimosapudica1894
    @mimosapudica1894 Před rokem +15

    Wamekutana watu wawili wenye IQ kubwa sana kuanzia Mtangazaji anachokoza maswali yenye ujazo na kukata kiu ya watazamaji vile vile Mh Kitwanga anajibu maswali beyond na kile anachoulizwa na haachi chembe ya shaka katika majibu yake!Moja ya interview yenye kuacha alama kubwa!!!Big up

  • @franktibikunda5717
    @franktibikunda5717 Před rokem +3

    Mwanidishi nakutazama ukiwa mbali Sana big up Sana, uko vizuri na kitwangwa Yuko vizuri

  • @dalali_professionalwa_dodo8330

    Information Tech,Engineer Charles Kitwanga My G.... Graduate from sussex uni...one among of the best uni in the world...facts,,facts,,facts mdingi wangu...machoni tu unaongea ukweli... Amini sana mungu.. intellectual facts... Salute sana mzee... Halafu kwa asilimia kubwa wabaya wote wametangulia mbele za haki...mungu ana maguvu sana mzee wangu...

  • @sautiyawanyonge2511
    @sautiyawanyonge2511 Před rokem

    Ila we jamaaa sijui umesemea wapi daaah unaua sana Mtangazaji very nice

  • @obillaezra6205
    @obillaezra6205 Před rokem +8

    Jamaa yupo halisi Na anaongea ukweli” Ana confidence ya Hali ya juu”

  • @robertlatonga9779
    @robertlatonga9779 Před rokem +3

    Hongera sana mtangazaji umeuliza maswali vzr kipindi kizuri sana

  • @charlescosmas4887
    @charlescosmas4887 Před rokem +4

    Mtangazaji safi sana , Uko so professional kwenye kuuliza maswali

  • @evancemayala1576
    @evancemayala1576 Před rokem +2

    Mwandishi wangu bora sana hakika unajua kufanya interview hongera sana

  • @loserianmollel5400
    @loserianmollel5400 Před rokem +5

    DAAAH!.... KWELI HAYA MAKUBWA

  • @bertinkimati2674
    @bertinkimati2674 Před rokem

    Kitwanga alitumbiliwa kwa msimamo wake wa kutokujikomba kwa magufuli. Magu alitaka kuwafsnua viongozi wote wawe wanatekeleza matakwa yake . Kila aliyetofautiana nae magu alitumia nafadi yake kumkomoa ikibidi kumfukiza kazi au hata kuuliwa. Hivyo kisa Cha kitwanga ni ushahidi tosha kuwa magufuli alionea watu wengi sana. Mungu amweke anapostahili Amen

  • @piomgeni8750
    @piomgeni8750 Před rokem +1

    Hongera sana Kitwanga confidence na imani kwa Mungu. Ubarikiwe!

  • @Winstonfying
    @Winstonfying Před rokem +8

    Mzee kitwanga, heshima sana kwako, natamani kukutana na mzee wangu huyu na kupiga naye story kadhaa wa kadha

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 Před rokem

      Kabisa, hata mimi ananivutiaga sana! Namuelewa sana..

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 Před rokem +7

    Mzee wetu mkweli sana

  • @tumsifumartine612
    @tumsifumartine612 Před rokem +3

    Kitwanga MTU makini sana Mungu akubariki

  • @leonardkapati3125
    @leonardkapati3125 Před rokem +3

    Hivi yule WAZIRI aliyeshindwa kuapa pia alilewa kwani nakubaliana na kitwanga kuhusu ushirikina
    Katika siasa

  • @jabarmalid5393
    @jabarmalid5393 Před rokem +4

    Mzee mmoja aliwai kusema "saidia sahau"

  • @ibrahimhodabaksh3939
    @ibrahimhodabaksh3939 Před rokem +3

    Bwawa LA MWALIM

  • @ephrahimrashid8165
    @ephrahimrashid8165 Před rokem +1

    Bonge la interview nzuri sana ndg

  • @lyympemba
    @lyympemba Před rokem

    Nimefurahi sana, he is awesome. Respect Sir.

  • @cmsa1r
    @cmsa1r Před rokem

    He has the most beautiful home I have seen. So elegant

  • @piuspanga864
    @piuspanga864 Před rokem

    Mungu akubariki mzee Kitwanga, moja wa waliokuega nimemwona jpm, Mungu atakulipa

  • @colinmlay3756
    @colinmlay3756 Před rokem +1

    Daaah mzee kitwanga anaongea ukweli hata ukimuangalia machoni 🙏🙏🇹🇿

  • @ernestsamson2761
    @ernestsamson2761 Před rokem +1

    Sii kweli kitwanga ulikua mahali unakunywa ukapigiwa cm na jpm kwamba ondoka uende nyumbani Toka ulipo ukaondoka ukahamia Sehem nyingne bado ukaendelea kunywa mpaka asubui na bado jpm akapata taarifa na ukavuna ulichokipata

  • @patrickmfundiri8669
    @patrickmfundiri8669 Před rokem

    Mungu akubariki

  • @raymondmattoke3094
    @raymondmattoke3094 Před rokem

    Safi sana mawazo mapana na ya muda mrefu sana

  • @chondihussein9939
    @chondihussein9939 Před rokem

    Ndugu mwandishi naomba uniunganishe na huyu mzee,ana madini meng San 😘, nisaidie plz brother

  • @salehestambul5535
    @salehestambul5535 Před rokem

    Yes Kufanya kazi kwa uadilifu wakubwa watakuona, ulipata nafasi ukashindwa uadilifu kidogo tu.

  • @safarimallya4536
    @safarimallya4536 Před rokem +1

    Jamaa Ni mkweli sana

  • @godfreymasele8853
    @godfreymasele8853 Před rokem +9

    STATE IKUFATILIE KWA LIPI? HAYA MASWALI MLIPASWA KUMUULIZA ALIPOKUWEPO MUHUSIKA. BUT NOW NO ANY BALLANCE EQUATION.

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 Před rokem +9

    Magufuli ndo raisi ambae nimewahi kumwelewa kuliko wote walopita

  • @goodluckmunisi1009
    @goodluckmunisi1009 Před rokem

    Kitwanga nimkweli nimeipenda Sana

  • @SM-fu1yv
    @SM-fu1yv Před rokem

    Pole kaka ndio maisha

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 Před rokem +1

    7:35😁 ... Nimekuelewa father

  • @michaeldady1767
    @michaeldady1767 Před rokem +3

    Huyu mwandishi ni makini sanaaaaaaaaaaaaa. Very professional

  • @ezrakabelege4690
    @ezrakabelege4690 Před rokem +1

    Boss's mtangulize mungu katika kila Jambo nafasi hizi zinagombaniwa na watu wengi sana amin uchawi upi

  • @mloleinvestmentltd8281
    @mloleinvestmentltd8281 Před rokem +3

    Mtangazaji unauliza maswali Kwa utaalam mkubwa Sana. Naaamini utakuwa TV Anchor mkubwa Sana

  • @danielmgomo717
    @danielmgomo717 Před rokem

    Ni kweli mheshimiwa ulikuwa umeelewa vidonge. Umekiri mwenyewe kuwa uliingia bungeni ukiwa umebugia vidonge.Kwa hiyo kubali kuwa ulilewa.

  • @arstaricoazaria7023
    @arstaricoazaria7023 Před rokem

    Uko vzr mzee karbu tena misungwi

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 Před rokem

    Kitwanga you are Very funny hahahahah halafu Una furaha

  • @fredypastoryutd4864
    @fredypastoryutd4864 Před rokem

    Hapo pia anavyohojiwa inaonyesha wazi amelewa😂😂 ila sio dhambi kulewa

  • @issasaidi5781
    @issasaidi5781 Před rokem

    Bro upo makin sana napenda tuu unavo hoj

  • @mussabinford9872
    @mussabinford9872 Před rokem

    Wte wna IQ kbw every interesting interview

  • @kimingowameno4068
    @kimingowameno4068 Před rokem

    Unajua sana kuhoji unatakiwa ufanye CNN au BBC au Aljazila

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 Před rokem +1

    Mtangazaji soon tutamuonaa mbali

  • @mgonasipapune1383
    @mgonasipapune1383 Před rokem +1

    Jamani nimempenda huyu mtangazaji Mungu akubariki

  • @Ambagaye
    @Ambagaye Před rokem

    Kitwanga alikuwa rafiki yangu tukiwa UDSM angali anacheza Basketball; sikujua kama tunashea birthday ya September 27.

  • @saulmwalubunju1076
    @saulmwalubunju1076 Před rokem +1

    Kitwanga pole wengi ccm ni wachawi

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Před rokem +1

    Huyu mzee ananifurahisha sana 😂🤣! Yupo simple sana na anachekesha sana 😂

    • @samwelsalawa2432
      @samwelsalawa2432 Před rokem

      Jamaa full furaha mda wote na kanawili vzr nadhan anaish maisha mazr kuliko ata ya aliyokuwa nayo kwa siasa

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před rokem

    Mzee huna imani na mungu, uchawi ukapone India kweli.....?

  • @teulechristopher1845
    @teulechristopher1845 Před rokem +1

    Weee mtangazaji unajua

  • @MrBeerlahairoi
    @MrBeerlahairoi Před rokem +1

    Mzeeswali jepesi ni ulikuwa umelewa au hujalewa 😂

  • @mvunge7108
    @mvunge7108 Před rokem

    bureaucracy siyo kujikomba ukifanya kazi jeshini au kwa meli na atittude za Kitwanga hudumu...unapigwa chini mara moja.

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Před rokem +1

    🤣🤣🤣 mzee siku hile ulionja kidogo bwana video zipo za bungeni

  • @samwelkitiku7087
    @samwelkitiku7087 Před rokem

    Mh. kitwanga umesoma Same Sec!!!!! uliishi Agrey,lumumba au bweni gani? nimefurahia kuwa ulisomea Same Sec...Nami nimesomea hio hio Secondary.

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před rokem

    Wacha kukufuru SASA Mtangazaji NABII GANI??? Mr. CHARLES Lugha ya Kiswahili 👍Kweli maneno yako fanya wema malipo kwa Mungu...ASANTE SANA 👍

    • @reganshao
      @reganshao Před rokem

      Kwahiyo umeona utafute baya ,, kwamba hujaona mema waliyoyaongea? Moja kati ya ukomavu kiakili ni pamoja na kutokuona mabaya ya mtu kirahisi, jifunze kuona mema kwanza

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 Před rokem +1

    HAHAHAHA POLE SANA ALIKUBEBA KIRAFIKI NA AKAKUMWAGA NDIO SIASA! DONT WORRY ENDELEA KUPIGA GLASS HUKU UKIPOOZWA NA VYEO VYA KISIASA!

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 Před rokem

    Nyie maccm tukiwaambia 2020 hakukuwa na uchaguzi mnabisha, mnaona kilichowakuta na nyinyi wenyewe

  • @fimboezekiel9654
    @fimboezekiel9654 Před rokem +1

    Hkuna mtu hapa

  • @emanuelmpare772
    @emanuelmpare772 Před rokem

    nipepata uelewa juu ya watu unaoishi nao usimuamini kila mtu

  • @funnuelmwalukasa4506
    @funnuelmwalukasa4506 Před rokem

    Katika watu wanaojielewa kitwanga Yuko juu sikiliza pont zake mwenye uelewa

  • @margarethpolepole7438

    Wewe ni mlevi sana tu

  • @raysonngowi4679
    @raysonngowi4679 Před měsícem

    Unaendaje bungeni unaumwa? Ulikula ka wiski kidogo buana

  • @kimingowameno4068
    @kimingowameno4068 Před rokem

    Kumbe mzee ndiyo ongea yake bhana

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Před rokem

    Kiukweli hata mimi naijua hili la kurogwa na ilikua bado kidogo nikamuone ndio akapelekwa india

  • @aliymwazoa3051
    @aliymwazoa3051 Před rokem

    Huyu mzee hata mie nilidhania siku ile alikua kalewa kweli.kumbe ndio uongeaji wake

  • @juxjemc5768
    @juxjemc5768 Před rokem

    Mzeee kitwanga binadam ndio kiumbe hatare dunian mm kuna jamaa nimemtoa kimboka analipwa mshahara 90 elfu kwa mwez nimemleta hapa uarabun nipo nae jiraaan anataka anifukuzishe mm kaz yaan yeye hatak anione mm nafanya kaz anataka anione nazalilika
    Pgo moja sna kwangu hilo ambalo liliniuumiz sna katika moyo wangu mpaka kesho nikimuona yule jamaa naumia rohon

  • @humphreykennethmpalaza1493

    Poor Kitwanga.

  • @furahamwazembe7257
    @furahamwazembe7257 Před rokem

    Mtangazaj nmekkubal uko vzr

  • @jumakondo3527
    @jumakondo3527 Před rokem

    Na kulewa sio sababu ya kumtoa uwaziri Alitakiwa onyo tu

  • @mdl6463
    @mdl6463 Před rokem

    Una akili nying ila mwamini mungu

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Před rokem +3

    jamaa anakaa mlevi sana

  • @danielsimwanza1046
    @danielsimwanza1046 Před rokem

    Kukataliwa ni kwenye maisha kunafanya mtu kujitambua Sana na kukuona wew sio kila kitu katika ulimwengu huu so tujitaidi kujishusha kabla ya kujipandisha Kama mwigulu nchemba akikataliwa siku na rais atajitambua kuwa watanzania wote sio wajinga

  • @idarusishabani7551
    @idarusishabani7551 Před rokem

    Wewe unae sema kuwa hapo hakuna kitu ooh ni pombe tuu jiangalie wewe na baba yako na mama yako mko timamuu? Kitwanga ni mashinee pombe mbali na uwelewa wa mambo ni mbali. Acheni dharau wachawi wakubwa.

  • @rajabubushiri7418
    @rajabubushiri7418 Před rokem

    Kwa hiyo umepata Nini sasa mshambq ww

  • @bennieathuman9917
    @bennieathuman9917 Před rokem +2

    Yap

  • @luganomwaisumo1938
    @luganomwaisumo1938 Před rokem

    USIJIKOMBEE

  • @pastorbonnyphillip8945
    @pastorbonnyphillip8945 Před rokem +1

    Balozi wa Tanzania nchi fulani siku zajazo

  • @ibrahimhodabaksh3939
    @ibrahimhodabaksh3939 Před rokem +4

    HUYU BADO NI MBUNGE

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před rokem +1

    Pombe sio chai

  • @godfreymasele8853
    @godfreymasele8853 Před rokem +3

    HIVI KITWANGA NA MAKONDA NANI ALIPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA?

  • @leonceuwandameno6378
    @leonceuwandameno6378 Před rokem +4

    huyu jamaa ni mlevi tu! Hata muonekano wake.

    • @ancytarimo1103
      @ancytarimo1103 Před rokem +1

      Acha kumshambulia Mh ww .

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před rokem +2

      Mhhh nyiye wa Tanzania mnajifanya kila kitu mnajuwa. Huyu mjamaa anaonesha MSTAARABU sana.

    • @victorsanga2229
      @victorsanga2229 Před rokem

      Bora mlevi huyu mwenye akili, kuliko wewe usiye mlevi na hauna akili

    • @revocatuspaulo6716
      @revocatuspaulo6716 Před rokem

      Sasa huyo Mlevi na ww ambaye akili zako zipo mkunduni nan afandhar

  • @pauljohn6393
    @pauljohn6393 Před rokem +2

    Wewe mtangazaji ni mpumbavu sana na unaonekana una midharau

  • @mwansasu
    @mwansasu Před rokem

    Hongereni Kwa mahojihano mazuri
    Tumejifunza mengi katika harakati za maisha namna ya kwishi na watu

  • @neemajohn6142
    @neemajohn6142 Před rokem +1

    Tunaishi mala moja tu furahia uwepo wako tunaish mala moja tu na siku hazirudii

  • @thobiaslupogo7262
    @thobiaslupogo7262 Před rokem

    Kitwanga mtu ya watu mutu mubad .....IT siku zote tupo juu.