HOFU YAMKUTA MKE WA BALOZI MSTAAFU ZNZ, ASIMULIA, KUVAMIWA USIKU WA MANANE NA SILAHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 05. 2024

Komentáře • 532

  • @winfordmwangonda5375
    @winfordmwangonda5375 Před 15 dny +21

    Pamaoja na wavamizi katika Nyumba yake ,mke wa balozi aliendelea na sala yake ,a faithful beautiful woman.

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 Před 16 dny +44

    Ukiachana na uvamizi mashaalah she is beautiful
    #Poleni

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před 16 dny +9

    Pole Sana Endelea Kufanya Ibado Zako Kilasiku Na Allah Yupo Nawewe Ataendelea Kukulinda Usiwe Nawasiwasi.. insha'Allah Hatakweza Kufanya Lakufanya...

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 15 dny +11

    Unaswali mpaka swalaza usiku ila kujistili kisheria. Bado jistili mama. Kulinganana shetlria ya kiislam. Pole kwamtihani. ALLAH atakuvusha bihidhnillah❤❤

  • @ssoud2394
    @ssoud2394 Před 16 dny +16

    Da Amina umeongea point hao majamaa huenda wana kitu maalum wanachokihitaj kutoka kw Mumeo pole sana dada

  • @muhydinaden552
    @muhydinaden552 Před 16 dny +21

    Madam ambassador fungeni camera na security light za solar hata balozi atapata access akiwa commoro...Na mwisho hao ni watu wanafahamu mazingira ya hilo jumba na mara nyingi huwa mtu wanayemfahamu ....ulinzi uimarishwe huyo ni mtumishi wa ngazi ya juu serikalini .....

    • @user-cz9zu7ur1h
      @user-cz9zu7ur1h Před 15 dny +2

      Yawezekana pia niwatu waserekalipi kunakiyu wanakitaka

    • @Mrisho-lj7wy
      @Mrisho-lj7wy Před 10 dny

      @@user-cz9zu7ur1h Ndio iko hivyo. Tukio hili halina tofauti kabisa na lile la miaka ya 1997. Jina na muhifadhi Prof ...... huyu alikua waziri wa Viwanda na bihashara wakati huo alikua akiishi maeneo ya Kunduchi. Huyu alivamiwa na majambazi tena walimpatia taarifa tuta kuja nyumbani. kweli walienda nyumbani Mh bahati mbaya Mh siku hiyo alichelewa kurudi nyumbani walipishana lisaa tu.Lkn taarifa ya ugeni alizipata kwa binti yake na ujumbe mzito aliupata kwamba wageni wamesema watarud tena. Yule Mh alitoa taarifa sehem husika akapewa na ulinzi wa polisi mwenye silaha. Siku sio nyingi kuripoti kwa yule mlinzi. Yalitokea maswali Magumu mpaka leo hii. Yule polisi siku aliyo chelewa kwenye lindo mh Prof .... yeye aliwahi mapema kurudi nyumbani saa 18:00 alikua nyumbani wale wageni walifika mapema nao wakaingia Prof kwa kujiamini akatoka ndani kuja nje watambuane Prof alichezea za Kifua 3 mbele ya Familia yake. Mchezo ukaishia hapo prof akaenda kuhifadhiwa kwao Mkoa wa Morogoro huko. Hili limenikumbusha nyuma kidogo. Kuna jambo hapa limejificha.

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 16 dny +46

    Pisi kali,mzigooo.. hongera mama balozi

    • @Swamadu-om3uj
      @Swamadu-om3uj Před 16 dny +3

      Umebaki hy mitakoyenye majipu tu umekwisha ww

    • @Swamadu-om3uj
      @Swamadu-om3uj Před 16 dny +2

      Nilikuwambia na huyo pereira atakuwacha eti mna vitus tele vya thmn c mungepkw ht rangi wch ushmb

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 Před 16 dny +6

      🤣🤣🤣🤣🤣 mzigooo...😂😂 yenyewe ni Mzigo yupo vizuri bado😂

    • @user-xm2rm7wn6h
      @user-xm2rm7wn6h Před 16 dny +6

      Vijana wahovyo uta wajuatu😂😂😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 16 dny +1

      ​@@user-xm2rm7wn6h😂😂😂😂😂😂 wamechanganyikiwa kuuona kwa picha 😂😂😂😂😂😂😂

  • @shakurushakuru2211
    @shakurushakuru2211 Před 12 dny +3

    Pole kwa misuko suko Allah yupo pamoja nanyi mja wa Allah.

  • @mohdkhamis5687
    @mohdkhamis5687 Před 14 dny +2

    Subuhanallah Dada Zidisha Kuamka Usiku Na Uzidi Kumomba Allah Yeye Ndie Mlinzi Wa Kila Kitu Yani ZNZ Imefikia Hapo Lahaula Walakuwata Ilabilahi Laaliu Lazwim,

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 Před 16 dny +10

    Ndugu yng tunakuombea Kwa Allah akujaalie Nusra na Ulinzi Inshaallah

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Před 16 dny +11

    Pole sanandugu minaona muondoke tu kunajambo hapo lakini mwenyezi mungu awaepushie nabalaa hilo

  • @MtendeniElectronic
    @MtendeniElectronic Před 16 dny +2

    Pole sana amina mungu atakusaidia

  • @user-gb5vz6wm2q
    @user-gb5vz6wm2q Před 16 dny +14

    Ila mwanamke mzuri mashallah

    • @hono1232
      @hono1232 Před 15 dny

      Hatari kweli kweli mashalah

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Před 16 dny +11

    Mungu anawapenda mpaka UO UMEME KUKATIKA... ALLAH..AWALINDE. YARABB 🙏

    • @mwinyiali
      @mwinyiali Před 6 dny +1

      izo ni sala za usiku anazosali maana ile huwa unaongea na Mungu moja kwa moja

  • @abdulhalimomar5329
    @abdulhalimomar5329 Před 7 dny +1

    Angejistiri vzr abgependeza zaidi hapa

  • @Allyhujjat
    @Allyhujjat Před 12 dny +5

    Mwana amina watu wanakupa pole lkn wanaongelea mzigo tuu inabidi shekhe kipoozeo aje akufanyie dua

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Před 8 dny

      Aise ana mzigo uyo mwanamke namuona sn mazoezini ana takooo si mchezo na mzuri Mashaa Allah

  • @Mohamed-sc6bk
    @Mohamed-sc6bk Před 9 dny +1

    Daa mina umevamiwa tena pole sana

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 Před 16 dny +10

    Pole sana, ALLAH Akuepushie shari zao

  • @aishamuhammad7785
    @aishamuhammad7785 Před 16 dny +11

    Poleni sana, na stara ukhti bado io in shaa ALLAH ujitahidi

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 14 dny +4

    Dada mzuri mashaallah

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Před 15 dny +1

    Pole mama, Mungu akulinde na mabaya waliokusudia, na yawarudie wao wenyewe ktk Jina la Yesu 🙏

  • @lmdos4382
    @lmdos4382 Před 13 dny +4

    Dah! Huyu Dada kwa kweli sio mchezo kabisa !Apewe mauwa yake

  • @stn4873
    @stn4873 Před 15 dny +2

    Bi MwanaAmina Ma shaa Allah.

  • @khairatkisima9217
    @khairatkisima9217 Před 16 dny +4

    Pole jiran yang daah mtihan kwakwel

  • @Farsomtz
    @Farsomtz Před 6 dny +1

    Bi amina mashallah

  • @pyzzocatto1829
    @pyzzocatto1829 Před 16 dny +11

    Walinzi walijificha😂😂😂 af wanasubir kulipwa mshahara😮

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 16 dny +3

      😂😂😂😂😂Tobaaaaa karoho kangu mtume😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @user-vt4vd5rh8u
      @user-vt4vd5rh8u Před 15 dny +1

      ulitaka wapambane na watu wenye silaha wanajua wamejpangaje polisi wenyewe Huwa wajpanga

    • @fatumamilimo7336
      @fatumamilimo7336 Před 15 dny

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @abuusaid3297
    @abuusaid3297 Před 15 dny +11

    allah awanusuru na awahifadhi, kuhusiana na ibada,haitakiwa usimlie ibada zako unazo zifanya,bora ungesem nilikua macho sikua nimelala ingependeza zaidi !!!

  • @mgalamohamed6956
    @mgalamohamed6956 Před 8 dny

    Mwenyezimungu akulinde Insh Allah

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 Před 11 dny +2

    Allah akbar Allah akbar Allah akbar pole dada zidisana na swala za ucku Allah atazidi kukulinda😢

  • @hafidhclassic5862
    @hafidhclassic5862 Před 16 dny +3

    Ww ni mrembo mashallah 🙏

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga6191 Před 15 dny +2

    Mzuri MashaAllah ❤❤

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 Před 15 dny +1

    Hapo Mwamini Mungu tu hawatoweza hao ni wanadamu tu

  • @charlzmboya
    @charlzmboya Před 16 dny +3

    HUYU DADA NI MZURI SANAAA HUENDA MUMEWE ANAMUBITAJI WAISHI WOTE COMORO LAKINI YEYE HATAKI !! IKABIDI ATUMIE PLAN B YAKULA NJAMA NA WALINZI WAKE ,,,WAMTIE HOFU MKEWE ILI AHAMIE COMORO ....mama wee mzuri maashalaah.

    • @charlzmboya
      @charlzmboya Před 16 dny

      Nenda COMORO kaishi na balozi mumeo ...wewe ni pic Kali sanaaaaa ...me mwenyewe nimeingiza tamaaa

    • @oman1oman179
      @oman1oman179 Před 16 dny

      Utakuta ni hivo hivo kwanini hapendi kuhishi na mume wake Comoro

    • @gasper90mathias58
      @gasper90mathias58 Před 13 dny

      Maybe true

    • @hawrajehan2398
      @hawrajehan2398 Před 7 dny

      Comoro kusikie tu,kuna pisi kali balaa kule tena hatar usiombe,usikute mmewe keshaowa maana kastaaf kitambo huk Comoro anafanya nini?

  • @omarmassoud2011
    @omarmassoud2011 Před 15 dny +1

    Allah akulinde sana

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 Před 13 dny +1

    Bismillah mashallah mzurii

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před 16 dny +8

    Itabidi hiyo camera unga na kwenye simu yako dada matukio yote utayaona na hata mumeo aunge kwa simu akupita mtu nje atakwambia kuna mtu getini

  • @EddahBure-te7ft
    @EddahBure-te7ft Před 16 dny +13

    Wacomoro ni wazuri mashaallah kuusu mzigo sina hakika ❤

    • @user-jf7vx9nb9m
      @user-jf7vx9nb9m Před 16 dny +4

      Huyo sio mkomoro mzanzibar

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 16 dny

      Kwani alienda kusoma Comoro au kwenda kikazi😂😂😂😂

    • @husna34562
      @husna34562 Před 15 dny

      Mkomoro​@@user-jf7vx9nb9m

    • @user-si9pb1us8d
      @user-si9pb1us8d Před 15 dny

      😂😂😂eti mzigo sina uhakika

    • @baloz8974
      @baloz8974 Před 11 dny

      ​@user-si9pb1us8d Hahaha hatari hao ndio washenzi washenzi

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p Před 16 dny +7

    Lakin pia walinzi walijificha , kujificha sindowangepiga cm wapate usaidizi wao wamejificha mpaka kunapambazuka 😂

  • @mzeenassib4271
    @mzeenassib4271 Před 7 dny +1

    Uyo ndo Amina Haji bigwa wa vituko asiemjua aende mtopepo garagara mtapata stori zake noma

    • @aminafarouk5062
      @aminafarouk5062 Před 4 dny

      Wacha weee nakuombea sana kwa Allah asikuoneshe wewe wala asiwaoneshe watoto wako walioyaona wanangu… Allah ndie alienijaalia nikawa vituko… Ila muhimu khatma njema. Shukraan

    • @aminafarouk5062
      @aminafarouk5062 Před 4 dny

      Na hata wakija huku chukwani pia watazipata kule za utotoni huku za ukibwani kubwa ni kuomba khatma njema baasss

  • @nassorsubah3100
    @nassorsubah3100 Před 3 dny

    Hatari zanzibar

  • @salehothman6144
    @salehothman6144 Před 14 dny +1

    Hongera mama kwa tahajud Mungu akudumishe

  • @feisalabdallah8632
    @feisalabdallah8632 Před 15 dny

    MA Sha Allah mama Mzuri ila pole Sana na mtihani

  • @maase2023
    @maase2023 Před 14 dny +3

    Huyu dada mwanaamina mzuri jamani mashallah mashallah

    • @FatumaIssa-kw3vv
      @FatumaIssa-kw3vv Před 9 dny

      Kwakweli Allah kamuumba vizuri Masha’Allah

    • @maase2023
      @maase2023 Před 9 dny

      @@FatumaIssa-kw3vv yani huyu dada itabidi niende znz nimtafute nimwone tu nimtunze tu basi niridhike

    • @maase2023
      @maase2023 Před 9 dny

      @@FatumaIssa-kw3vv halafu mashallah hajijui kuwa ni mzuri hivo ! Unajua hata hao walomvamia majambazi watakuwa tu wanamtaka tu kwa uzuri wake

  • @ZubeirJuma-up7kb
    @ZubeirJuma-up7kb Před 16 dny +7

    Nmeumia roho kwa izo swala za uxku mashaallah uxjali iyo michizi haina uwezo wowote mama tulia unapiga ibada uxku ww ni mtu mwengine kabisa mashaallah

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 Před 15 dny +1

    Mama anataka akaushi Kwa mumewe TU , huko Comoro , mazingira ya tukio kama la kusadikika waje na slaaa wasimdhuru mt

  • @Aminayunus-je7id
    @Aminayunus-je7id Před 15 dny +1

    Afande anajitangulizia eti aje ofisini kwangu tujadili usalama wake😮😊😊😊😊😊😊😊

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 Před 15 dny

    Mashaallah mashaallah mashaallah dada yng allah akuhim yaaaaarab we na family yk

  • @user-bl4sy5ei1k
    @user-bl4sy5ei1k Před 14 dny +1

    Balozi anajua kuchagua mke ana kishundu hadi raha

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 Před 15 dny +1

    Daah muheshimiwa hakika alikuwa analala kwenye usingizi mzuri

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 Před 11 dny +1

    Mimi nimsaidie kumlinda mke wa mstaafu

  • @user-cx7rh6jt6y
    @user-cx7rh6jt6y Před 15 dny

    Hama hio nyumba my jihami kabla y hatari Mungu awanusuru inshallah

  • @mapishiyalulu9696
    @mapishiyalulu9696 Před 3 dny

    Bora uweke camera itakusaidia kiasi flani pole sana dada

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7n Před 16 dny +7

    Chukua cm zte za walinz wako zipeleke police zikafuatiliwe mawasiliano utapata majbu

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 Před 16 dny +10

    mama mbona kama unaonyesha unamashaka kwamba mume kaoa mkee mwingine basi mwambie akuahamishie komoro mkae wotee ili uwee na amani

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg Před 12 dny +1

    Ila duuh dada kajaliwa kuanzai sura, umbo, kujistili anaongea vizuri, anamacho mazuri 😮😮 hadi afande anajifanya mjanja heti aje ofisini kwangu nijadili nae juu ya usalama wake 😂😂😂 afande tunaijua hiyo!.

  • @chamandaayolaiza1535
    @chamandaayolaiza1535 Před 11 dny

    ALLAH USAFISHE MOYO WKO DDA UZID KUUSTIR MWILI WK

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 Před 9 dny

    Dah wazidishe ulinzi

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 Před 6 dny

    Aaaa jamani mama Maashaallah sijui alivyokua msichana mdogo alikuaje

  • @user-ll7np8td7x
    @user-ll7np8td7x Před 16 dny +2

    Pole mama mungu akulinde akuepushie na watu wabaya wanamna hiyo

  • @geoffreygaudance904
    @geoffreygaudance904 Před 16 dny +6

    Pole sana dada

  • @kadiakirua7621
    @kadiakirua7621 Před 13 dny +3

    Pole mama mkwe hili ni funzo jamani kwamba sala za usiku zinasaidia majambo yetu

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před 15 dny +5

    MashaAllah bonge la toto dah

  • @seifdisail3007
    @seifdisail3007 Před 11 dny

    Mama mzuri haswaa MashaAllah

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 Před 15 dny

    Pole sana Amina

  • @faiasap8307
    @faiasap8307 Před 15 dny +1

    Daah b mwanaamina akikaa haumii maana ana sit protector

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho9272 Před 16 dny +1

    Tuachane na uvamizi, ila we mzuri bhana hadi unakera

  • @giftkelvin7
    @giftkelvin7 Před 14 dny

    Mungu anakulinda, hayo yalimkuta gwajima usiogope

  • @manuelsaramba2138
    @manuelsaramba2138 Před 15 dny

    Pole sana mama hao watakua kunaki2 wanata

  • @ammaherman3391
    @ammaherman3391 Před 8 dny

    Kesi ya nyani anapewa sokwe

  • @Smokeylucas
    @Smokeylucas Před 16 dny +3

    Hiyo ni siasa. Wanamtafuta mumeo

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 16 dny +9

    hao asikali wa MZ niviazi kweli ya mhalifu anakuja wahajificha sasa hao Ni asikali au madem wa kimboka

  • @JabiriSeif
    @JabiriSeif Před 12 dny

    Kuna shida hapo ila mungu akulinde na shari zao kwakwel

  • @StellahLivogah
    @StellahLivogah Před 16 dny +7

    Upishane na mtu koridoni asikuone hadi ukajifiche alaf walinzi wawaone majambazi wajifiche??hao ni walinzi?? Hee🤣🤣🤣

    • @gracekiondo2541
      @gracekiondo2541 Před 16 dny +2

      Hata mimi nimejiuliza naona maelezo yanakinzana

    • @winfridahubert4072
      @winfridahubert4072 Před 16 dny +6

      Mungu akiamua kukulinda hata wew huwezi kujua ilikuaje

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 16 dny

      ​​@@winfridahubert4072point 🎉🎉🎉🎉🎉 tumwache MUNGU aitwe MUNGU

    • @powerrecordszanzibar3384
      @powerrecordszanzibar3384 Před 15 dny

      Muongo huyu dada, hapo analo analolitafuta pengine anataka kumfungisha mlinzi wake, anajua Siri zake Balozi akiwa hayupo

    • @SurprisedOmbreSky-qg6dk
      @SurprisedOmbreSky-qg6dk Před 15 dny

      Sala usiku manwele nje vp haya maelezo

  • @silimangwali9181
    @silimangwali9181 Před 3 dny

    Ajla itakuaje kama mama yupo hiv, ayo mtuoneshe na ao watoto bas

  • @user-jl5zh6qi2w
    @user-jl5zh6qi2w Před 9 dny

    Daaaaaah kama mkundu tuanao 😅😅😅😅😅😅 aiseeee

  • @seifhabib5987
    @seifhabib5987 Před 16 dny +5

    Amina una Kiuno ww Mheshimiwa Anafaidi

    • @nuhumaalim4976
      @nuhumaalim4976 Před 15 dny

      😂😂😂

    • @SaidIssa-tq3yv
      @SaidIssa-tq3yv Před 11 dny

      Sio katika mafundisho ya mtume s.w.a jifunze kuandika usisifu maumbile ya wake za watu . mwenye zimngu atuongoze sote Amin.

  • @majumaatieno5640
    @majumaatieno5640 Před 7 dny

    Pole mama Aisha perera ....hao wezi wakome

  • @jokhaali5893
    @jokhaali5893 Před 15 dny

    Bi Amina unatakiwa kubakwa wewe na watoto. M. Mungu atawalinda

  • @MassoudAmour-qj1og
    @MassoudAmour-qj1og Před 12 dny

    Acheni masihara mama ana wowooo alindwee😮

  • @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy
    @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy Před 15 dny +1

    Ukiachana na uvamizi mmmh shep IPO haswa

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před 16 dny +10

    Hiyo ndo nyumba ya Barozi😮😮Pakeni hata rangi basi

    • @halimahalima1488
      @halimahalima1488 Před 16 dny +1

      Astahili eeh

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl Před 16 dny +3

      Wewe yako Umepaka rangi? Kumbuka,Kaburi haina rangi wala Taa.

    • @annamussa185
      @annamussa185 Před 16 dny

      @@MinskBelarus-il2tl siongei na Mbwa 🐕

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 16 dny +2

      ​@@annamussa185acha matusi kwani umetukanwa?

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl Před 15 dny +1

      @@annamussa185 😃😃😃😃 ngoja nikuhadithie Habari moja. Mume alikuwa ana mkaripia MKEWE na akamwambia " WANAWAKE WOTE MAMBWA TU" mara akakatiza MBWA mbele yao, yule Mke akamwambia mumewe..... yule anaekatiza ni MAMA YAKO.🙏🙏🙏 na mimi nimejibiwa na Binaadamu. Maajabu haya😒😒😒

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 Před 16 dny +2

    Bibi amina wew sio mchezo mmh

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p Před 16 dny +3

    Pole sana mama , lakin unazungumza mimi ninakutizama to nasahau hata kama unazungumza , mashaallah wewe ni mrembo .

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 16 dny +2

    Kwani hapo Zanzibar hakuna Polisiii… ??? Zanzibar imeharibika sana. Hata Watalii wakisikiya hayo hawatokuja Tena Zanzibar. Serikali tizameni sana mambo hayo.

  • @ssoud2394
    @ssoud2394 Před 16 dny +10

    Duuh! Hao walinzi wanafanya kazi hapo watimuliwe hawafai kukaa tena hapo

    • @bilakawaboynew978
      @bilakawaboynew978 Před 14 dny

      Wewe mtu Ana silaha unamzuiaje

    • @ssoud2394
      @ssoud2394 Před 14 dny

      @@bilakawaboynew978lazima apambane kwa hilo kwani yy ni kazi yake kutoruhusu chochot kuingia ndan na hasa nyumban kwa kiongoz

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 Před 16 dny +1

    Mke mwenyewe mrembo hivyo, kasema nani nikafanye kazi Comoro, nimwache mrembo wangu Zenji! Balozi beba familia yako, ohooo binaadamu si watu wazuri😂😂😂

  • @user-gj2mm3ko8m
    @user-gj2mm3ko8m Před 10 dny

    Serikali mpe Ulinzi is Na hao watu ashikwe, Ama serikali yetu ya Kenya Uje imusaidie🇰🇪😭😭😭😭

  • @homeofvideos8893
    @homeofvideos8893 Před 11 dny

    Mashallah mwanaamina ❤

  • @daudifesto5592
    @daudifesto5592 Před 8 dny

    Shangazi nitunuku wew ni pisi kali ya kwendaaa

  • @nasraissa4873
    @nasraissa4873 Před 14 dny +1

    Majumba mazuri yanamitihani hawana raha vo wenye majumba mazuri

    • @baloz8974
      @baloz8974 Před 11 dny

      Kweli kabisa kuna kuwa sana na mitihani

  • @GraceMakenga-zd1vn
    @GraceMakenga-zd1vn Před 16 dny +5

    Mulize mumeo vizurii

  • @ahmedbaamironlinetv4753

    HUYU MAMKWE MASHALLAH

  • @petermdoe4691
    @petermdoe4691 Před 15 dny +1

    Wanautaka mzigo huo, umeumbika mashallah. Waki kukamata hao sijui... Naomba Mungu awaepushie mbali, jaman uje huku kwangu.

  • @user-tw5er2qh3q
    @user-tw5er2qh3q Před 12 dny

    Pole sana mama 😮😮😮😮😮😮😮

  • @hono1232
    @hono1232 Před 15 dny +1

    6:04 Nahisi mmeo kawafanyia kosa hao jamaa awaombe msamaa

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 Před 16 dny +2

    Muonekano wangu mimi naona hio ni fitna y madaraka chamuhimu wahame kwanza hapo

  • @l.marley_2542
    @l.marley_2542 Před 12 dny

    Mwanamke mrembo sana

  • @veronicaaugust1793
    @veronicaaugust1793 Před 15 dny +1

    POLE SANA MAMA

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před 14 dny

    Mungu ndo mlinzi hakika yuko Nanyi

  • @mbarakkhalid117
    @mbarakkhalid117 Před 7 dny

    Umeme hukukatika zingatia swala za usiku Allah atawalinda daima