Unaswali mpaka swalaza usiku ila kujistili kisheria. Bado jistili mama. Kulinganana shetlria ya kiislam. Pole kwamtihani. ALLAH atakuvusha bihidhnillah❤❤
@@kuhusumapenzinamahusiano8458 kwako nguoyastala kwenye Dini bado stala hapo kabisa kajiachiakichwawazi maumbileyanaonekana. We usitanie.stala badokabisa
Madam ambassador fungeni camera na security light za solar hata balozi atapata access akiwa commoro...Na mwisho hao ni watu wanafahamu mazingira ya hilo jumba na mara nyingi huwa mtu wanayemfahamu ....ulinzi uimarishwe huyo ni mtumishi wa ngazi ya juu serikalini .....
@@user-cz9zu7ur1h Ndio iko hivyo. Tukio hili halina tofauti kabisa na lile la miaka ya 1997. Jina na muhifadhi Prof ...... huyu alikua waziri wa Viwanda na bihashara wakati huo alikua akiishi maeneo ya Kunduchi. Huyu alivamiwa na majambazi tena walimpatia taarifa tuta kuja nyumbani. kweli walienda nyumbani Mh bahati mbaya Mh siku hiyo alichelewa kurudi nyumbani walipishana lisaa tu.Lkn taarifa ya ugeni alizipata kwa binti yake na ujumbe mzito aliupata kwamba wageni wamesema watarud tena. Yule Mh alitoa taarifa sehem husika akapewa na ulinzi wa polisi mwenye silaha. Siku sio nyingi kuripoti kwa yule mlinzi. Yalitokea maswali Magumu mpaka leo hii. Yule polisi siku aliyo chelewa kwenye lindo mh Prof .... yeye aliwahi mapema kurudi nyumbani saa 18:00 alikua nyumbani wale wageni walifika mapema nao wakaingia Prof kwa kujiamini akatoka ndani kuja nje watambuane Prof alichezea za Kifua 3 mbele ya Familia yake. Mchezo ukaishia hapo prof akaenda kuhifadhiwa kwao Mkoa wa Morogoro huko. Hili limenikumbusha nyuma kidogo. Kuna jambo hapa limejificha.
Subuhanallah Dada Zidisha Kuamka Usiku Na Uzidi Kumomba Allah Yeye Ndie Mlinzi Wa Kila Kitu Yani ZNZ Imefikia Hapo Lahaula Walakuwata Ilabilahi Laaliu Lazwim,
allah awanusuru na awahifadhi, kuhusiana na ibada,haitakiwa usimlie ibada zako unazo zifanya,bora ungesem nilikua macho sikua nimelala ingependeza zaidi !!!
HUYU DADA NI MZURI SANAAA HUENDA MUMEWE ANAMUBITAJI WAISHI WOTE COMORO LAKINI YEYE HATAKI !! IKABIDI ATUMIE PLAN B YAKULA NJAMA NA WALINZI WAKE ,,,WAMTIE HOFU MKEWE ILI AHAMIE COMORO ....mama wee mzuri maashalaah.
Wacha weee nakuombea sana kwa Allah asikuoneshe wewe wala asiwaoneshe watoto wako walioyaona wanangu… Allah ndie alienijaalia nikawa vituko… Ila muhimu khatma njema. Shukraan
@@annamussa185 😃😃😃😃 ngoja nikuhadithie Habari moja. Mume alikuwa ana mkaripia MKEWE na akamwambia " WANAWAKE WOTE MAMBWA TU" mara akakatiza MBWA mbele yao, yule Mke akamwambia mumewe..... yule anaekatiza ni MAMA YAKO.🙏🙏🙏 na mimi nimejibiwa na Binaadamu. Maajabu haya😒😒😒
Kwani hapo Zanzibar hakuna Polisiii… ??? Zanzibar imeharibika sana. Hata Watalii wakisikiya hayo hawatokuja Tena Zanzibar. Serikali tizameni sana mambo hayo.
Pamaoja na wavamizi katika Nyumba yake ,mke wa balozi aliendelea na sala yake ,a faithful beautiful woman.
Ukiachana na uvamizi mashaalah she is beautiful
#Poleni
Yaaaah
Mecheka sn
Na nyumba wapige rangi😅
😂asee naona raha tu kumtazama sura...
Hilo sio tukio la ubakaji 😂😂😂😂😂
Pole Sana Endelea Kufanya Ibado Zako Kilasiku Na Allah Yupo Nawewe Ataendelea Kukulinda Usiwe Nawasiwasi.. insha'Allah Hatakweza Kufanya Lakufanya...
Unaswali mpaka swalaza usiku ila kujistili kisheria. Bado jistili mama. Kulinganana shetlria ya kiislam. Pole kwamtihani. ALLAH atakuvusha bihidhnillah❤❤
Hakimu mkazi😊
Avae gunia au hapo kavaa stara nguo ndefuu mashallah
@@kuhusumapenzinamahusiano8458 kwako nguoyastala kwenye Dini bado stala hapo kabisa kajiachiakichwawazi maumbileyanaonekana. We usitanie.stala badokabisa
@@SharifaOmary-ui8vs😂😂😂😂😂
@@SharifaOmary-ui8vs 😂😂
Da Amina umeongea point hao majamaa huenda wana kitu maalum wanachokihitaj kutoka kw Mumeo pole sana dada
Madam ambassador fungeni camera na security light za solar hata balozi atapata access akiwa commoro...Na mwisho hao ni watu wanafahamu mazingira ya hilo jumba na mara nyingi huwa mtu wanayemfahamu ....ulinzi uimarishwe huyo ni mtumishi wa ngazi ya juu serikalini .....
Yawezekana pia niwatu waserekalipi kunakiyu wanakitaka
@@user-cz9zu7ur1h Ndio iko hivyo. Tukio hili halina tofauti kabisa na lile la miaka ya 1997. Jina na muhifadhi Prof ...... huyu alikua waziri wa Viwanda na bihashara wakati huo alikua akiishi maeneo ya Kunduchi. Huyu alivamiwa na majambazi tena walimpatia taarifa tuta kuja nyumbani. kweli walienda nyumbani Mh bahati mbaya Mh siku hiyo alichelewa kurudi nyumbani walipishana lisaa tu.Lkn taarifa ya ugeni alizipata kwa binti yake na ujumbe mzito aliupata kwamba wageni wamesema watarud tena. Yule Mh alitoa taarifa sehem husika akapewa na ulinzi wa polisi mwenye silaha. Siku sio nyingi kuripoti kwa yule mlinzi. Yalitokea maswali Magumu mpaka leo hii. Yule polisi siku aliyo chelewa kwenye lindo mh Prof .... yeye aliwahi mapema kurudi nyumbani saa 18:00 alikua nyumbani wale wageni walifika mapema nao wakaingia Prof kwa kujiamini akatoka ndani kuja nje watambuane Prof alichezea za Kifua 3 mbele ya Familia yake. Mchezo ukaishia hapo prof akaenda kuhifadhiwa kwao Mkoa wa Morogoro huko. Hili limenikumbusha nyuma kidogo. Kuna jambo hapa limejificha.
Pisi kali,mzigooo.. hongera mama balozi
Umebaki hy mitakoyenye majipu tu umekwisha ww
Nilikuwambia na huyo pereira atakuwacha eti mna vitus tele vya thmn c mungepkw ht rangi wch ushmb
🤣🤣🤣🤣🤣 mzigooo...😂😂 yenyewe ni Mzigo yupo vizuri bado😂
Vijana wahovyo uta wajuatu😂😂😂😂😂
@@user-xm2rm7wn6h😂😂😂😂😂😂 wamechanganyikiwa kuuona kwa picha 😂😂😂😂😂😂😂
Pole kwa misuko suko Allah yupo pamoja nanyi mja wa Allah.
Subuhanallah Dada Zidisha Kuamka Usiku Na Uzidi Kumomba Allah Yeye Ndie Mlinzi Wa Kila Kitu Yani ZNZ Imefikia Hapo Lahaula Walakuwata Ilabilahi Laaliu Lazwim,
Ndugu yng tunakuombea Kwa Allah akujaalie Nusra na Ulinzi Inshaallah
Amiiina Yaarabbi
Pole sanandugu minaona muondoke tu kunajambo hapo lakini mwenyezi mungu awaepushie nabalaa hilo
Pole sana amina mungu atakusaidia
Ila mwanamke mzuri mashallah
Hatari kweli kweli mashalah
Mungu anawapenda mpaka UO UMEME KUKATIKA... ALLAH..AWALINDE. YARABB 🙏
izo ni sala za usiku anazosali maana ile huwa unaongea na Mungu moja kwa moja
Angejistiri vzr abgependeza zaidi hapa
Mwana amina watu wanakupa pole lkn wanaongelea mzigo tuu inabidi shekhe kipoozeo aje akufanyie dua
Aise ana mzigo uyo mwanamke namuona sn mazoezini ana takooo si mchezo na mzuri Mashaa Allah
Daa mina umevamiwa tena pole sana
Pole sana, ALLAH Akuepushie shari zao
Poleni sana, na stara ukhti bado io in shaa ALLAH ujitahidi
Dada mzuri mashaallah
Pole mama, Mungu akulinde na mabaya waliokusudia, na yawarudie wao wenyewe ktk Jina la Yesu 🙏
Dah! Huyu Dada kwa kweli sio mchezo kabisa !Apewe mauwa yake
Bi MwanaAmina Ma shaa Allah.
Pole jiran yang daah mtihan kwakwel
Bi amina mashallah
Walinzi walijificha😂😂😂 af wanasubir kulipwa mshahara😮
😂😂😂😂😂Tobaaaaa karoho kangu mtume😂😂😂😂😂😂😂😂😂
ulitaka wapambane na watu wenye silaha wanajua wamejpangaje polisi wenyewe Huwa wajpanga
😂😂😂😂😂😂😂😂
allah awanusuru na awahifadhi, kuhusiana na ibada,haitakiwa usimlie ibada zako unazo zifanya,bora ungesem nilikua macho sikua nimelala ingependeza zaidi !!!
Acha kupotosha
Ww ndio mpotoshaji
Wivuuu tuuu
Hakusimlia ibada kasimlia matukio
Mwenyezimungu akulinde Insh Allah
Allah akbar Allah akbar Allah akbar pole dada zidisana na swala za ucku Allah atazidi kukulinda😢
Amiiina Yaarabbi
Ww ni mrembo mashallah 🙏
Mzuri MashaAllah ❤❤
Hapo Mwamini Mungu tu hawatoweza hao ni wanadamu tu
HUYU DADA NI MZURI SANAAA HUENDA MUMEWE ANAMUBITAJI WAISHI WOTE COMORO LAKINI YEYE HATAKI !! IKABIDI ATUMIE PLAN B YAKULA NJAMA NA WALINZI WAKE ,,,WAMTIE HOFU MKEWE ILI AHAMIE COMORO ....mama wee mzuri maashalaah.
Nenda COMORO kaishi na balozi mumeo ...wewe ni pic Kali sanaaaaa ...me mwenyewe nimeingiza tamaaa
Utakuta ni hivo hivo kwanini hapendi kuhishi na mume wake Comoro
Maybe true
Comoro kusikie tu,kuna pisi kali balaa kule tena hatar usiombe,usikute mmewe keshaowa maana kastaaf kitambo huk Comoro anafanya nini?
Allah akulinde sana
Bismillah mashallah mzurii
Itabidi hiyo camera unga na kwenye simu yako dada matukio yote utayaona na hata mumeo aunge kwa simu akupita mtu nje atakwambia kuna mtu getini
Good idea weka camera ktk simu yako
Wacomoro ni wazuri mashaallah kuusu mzigo sina hakika ❤
Huyo sio mkomoro mzanzibar
Kwani alienda kusoma Comoro au kwenda kikazi😂😂😂😂
Mkomoro@@user-jf7vx9nb9m
😂😂😂eti mzigo sina uhakika
@user-si9pb1us8d Hahaha hatari hao ndio washenzi washenzi
Lakin pia walinzi walijificha , kujificha sindowangepiga cm wapate usaidizi wao wamejificha mpaka kunapambazuka 😂
Uyo ndo Amina Haji bigwa wa vituko asiemjua aende mtopepo garagara mtapata stori zake noma
Wacha weee nakuombea sana kwa Allah asikuoneshe wewe wala asiwaoneshe watoto wako walioyaona wanangu… Allah ndie alienijaalia nikawa vituko… Ila muhimu khatma njema. Shukraan
Na hata wakija huku chukwani pia watazipata kule za utotoni huku za ukibwani kubwa ni kuomba khatma njema baasss
Hatari zanzibar
Hongera mama kwa tahajud Mungu akudumishe
Amiiina
MA Sha Allah mama Mzuri ila pole Sana na mtihani
Huyu dada mwanaamina mzuri jamani mashallah mashallah
Kwakweli Allah kamuumba vizuri Masha’Allah
@@FatumaIssa-kw3vv yani huyu dada itabidi niende znz nimtafute nimwone tu nimtunze tu basi niridhike
@@FatumaIssa-kw3vv halafu mashallah hajijui kuwa ni mzuri hivo ! Unajua hata hao walomvamia majambazi watakuwa tu wanamtaka tu kwa uzuri wake
Nmeumia roho kwa izo swala za uxku mashaallah uxjali iyo michizi haina uwezo wowote mama tulia unapiga ibada uxku ww ni mtu mwengine kabisa mashaallah
Ibada za usiku stara bure
Mama anataka akaushi Kwa mumewe TU , huko Comoro , mazingira ya tukio kama la kusadikika waje na slaaa wasimdhuru mt
Afande anajitangulizia eti aje ofisini kwangu tujadili usalama wake😮😊😊😊😊😊😊😊
Mashaallah mashaallah mashaallah dada yng allah akuhim yaaaaarab we na family yk
Balozi anajua kuchagua mke ana kishundu hadi raha
Daah muheshimiwa hakika alikuwa analala kwenye usingizi mzuri
Mimi nimsaidie kumlinda mke wa mstaafu
Hama hio nyumba my jihami kabla y hatari Mungu awanusuru inshallah
Bora uweke camera itakusaidia kiasi flani pole sana dada
Chukua cm zte za walinz wako zipeleke police zikafuatiliwe mawasiliano utapata majbu
mama mbona kama unaonyesha unamashaka kwamba mume kaoa mkee mwingine basi mwambie akuahamishie komoro mkae wotee ili uwee na amani
😂😂😂
Ila duuh dada kajaliwa kuanzai sura, umbo, kujistili anaongea vizuri, anamacho mazuri 😮😮 hadi afande anajifanya mjanja heti aje ofisini kwangu nijadili nae juu ya usalama wake 😂😂😂 afande tunaijua hiyo!.
ALLAH USAFISHE MOYO WKO DDA UZID KUUSTIR MWILI WK
Dah wazidishe ulinzi
Aaaa jamani mama Maashaallah sijui alivyokua msichana mdogo alikuaje
Pole mama mungu akulinde akuepushie na watu wabaya wanamna hiyo
Pole sana dada
Pole mama mkwe hili ni funzo jamani kwamba sala za usiku zinasaidia majambo yetu
Saaana sana
MashaAllah bonge la toto dah
Mama mzuri haswaa MashaAllah
Pole sana Amina
Daah b mwanaamina akikaa haumii maana ana sit protector
Tuachane na uvamizi, ila we mzuri bhana hadi unakera
Mungu anakulinda, hayo yalimkuta gwajima usiogope
Pole sana mama hao watakua kunaki2 wanata
Kesi ya nyani anapewa sokwe
Hiyo ni siasa. Wanamtafuta mumeo
hao asikali wa MZ niviazi kweli ya mhalifu anakuja wahajificha sasa hao Ni asikali au madem wa kimboka
Nimecheka km fala
😂😂😂😂😂😂
Yani wew unakirungu mwenzio anabunduki wew usijifiche acha zako
@@mnesoboy4338 😂😂😂😂😂😂😂😂MSG
@@MiriamAbdallah ana utani huyu jamaa
Kuna shida hapo ila mungu akulinde na shari zao kwakwel
Upishane na mtu koridoni asikuone hadi ukajifiche alaf walinzi wawaone majambazi wajifiche??hao ni walinzi?? Hee🤣🤣🤣
Hata mimi nimejiuliza naona maelezo yanakinzana
Mungu akiamua kukulinda hata wew huwezi kujua ilikuaje
@@winfridahubert4072point 🎉🎉🎉🎉🎉 tumwache MUNGU aitwe MUNGU
Muongo huyu dada, hapo analo analolitafuta pengine anataka kumfungisha mlinzi wake, anajua Siri zake Balozi akiwa hayupo
Sala usiku manwele nje vp haya maelezo
Ajla itakuaje kama mama yupo hiv, ayo mtuoneshe na ao watoto bas
Daaaaaah kama mkundu tuanao 😅😅😅😅😅😅 aiseeee
Amina una Kiuno ww Mheshimiwa Anafaidi
😂😂😂
Sio katika mafundisho ya mtume s.w.a jifunze kuandika usisifu maumbile ya wake za watu . mwenye zimngu atuongoze sote Amin.
Pole mama Aisha perera ....hao wezi wakome
Asante teacher Mwajuma
Bi Amina unatakiwa kubakwa wewe na watoto. M. Mungu atawalinda
Acheni masihara mama ana wowooo alindwee😮
Ukiachana na uvamizi mmmh shep IPO haswa
Hiyo ndo nyumba ya Barozi😮😮Pakeni hata rangi basi
Astahili eeh
Wewe yako Umepaka rangi? Kumbuka,Kaburi haina rangi wala Taa.
@@MinskBelarus-il2tl siongei na Mbwa 🐕
@@annamussa185acha matusi kwani umetukanwa?
@@annamussa185 😃😃😃😃 ngoja nikuhadithie Habari moja. Mume alikuwa ana mkaripia MKEWE na akamwambia " WANAWAKE WOTE MAMBWA TU" mara akakatiza MBWA mbele yao, yule Mke akamwambia mumewe..... yule anaekatiza ni MAMA YAKO.🙏🙏🙏 na mimi nimejibiwa na Binaadamu. Maajabu haya😒😒😒
Bibi amina wew sio mchezo mmh
Pole sana mama , lakin unazungumza mimi ninakutizama to nasahau hata kama unazungumza , mashaallah wewe ni mrembo .
😂😂😂😂😂
Kwani hapo Zanzibar hakuna Polisiii… ??? Zanzibar imeharibika sana. Hata Watalii wakisikiya hayo hawatokuja Tena Zanzibar. Serikali tizameni sana mambo hayo.
Duuh! Hao walinzi wanafanya kazi hapo watimuliwe hawafai kukaa tena hapo
Wewe mtu Ana silaha unamzuiaje
@@bilakawaboynew978lazima apambane kwa hilo kwani yy ni kazi yake kutoruhusu chochot kuingia ndan na hasa nyumban kwa kiongoz
Mke mwenyewe mrembo hivyo, kasema nani nikafanye kazi Comoro, nimwache mrembo wangu Zenji! Balozi beba familia yako, ohooo binaadamu si watu wazuri😂😂😂
Serikali mpe Ulinzi is Na hao watu ashikwe, Ama serikali yetu ya Kenya Uje imusaidie🇰🇪😭😭😭😭
Mashallah mwanaamina ❤
Shangazi nitunuku wew ni pisi kali ya kwendaaa
Majumba mazuri yanamitihani hawana raha vo wenye majumba mazuri
Kweli kabisa kuna kuwa sana na mitihani
Mulize mumeo vizurii
Tena we kiboko na mawazo yako
HUYU MAMKWE MASHALLAH
Wanautaka mzigo huo, umeumbika mashallah. Waki kukamata hao sijui... Naomba Mungu awaepushie mbali, jaman uje huku kwangu.
Pole sana mama 😮😮😮😮😮😮😮
6:04 Nahisi mmeo kawafanyia kosa hao jamaa awaombe msamaa
Muonekano wangu mimi naona hio ni fitna y madaraka chamuhimu wahame kwanza hapo
Mwanamke mrembo sana
POLE SANA MAMA
Mungu ndo mlinzi hakika yuko Nanyi
Umeme hukukatika zingatia swala za usiku Allah atawalinda daima