BONGO DAR ES SALAAM S02EP01 - IST

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 10. 2019
  • Hii ni Episode ya Pili ya SEASON 2 Katika Drama ya #BongoDaresalaam Kutoka kwa #DudeBongo ambayo inaoneshwa kupitia #WasafiTV
    Kama Ulikosa Season 1 Basi Hii Si ya Kukosa Kabisa, Ubunifu, Ujanja, Akili Nyingi na Maarifa ya Kuweza Kumtegua Masta Mwenye Dar es Salaam Yake DUDE Umeboreshwa Zaidi
    USIKOSE KUTAZAMA KILA JUMANNE #BONGODARESSALAAM KUPITIA WASAFI TV
  • Zábava

Komentáře • 349

  • @augustmj4573
    @augustmj4573 Před 4 lety +84

    nyinyi kweli wasafii nimewakubalii u tube ya bongo yote yenu sas tumewapa anaekubali like zetu tuztenge hapa 🤗🤗🤗

  • @chafumirro5617
    @chafumirro5617 Před 4 lety +26

    Duuuhhhh nilijua leo kapatikana kumbe wapiiii.........dude noma xna

  • @sirbentv39
    @sirbentv39 Před 4 lety +25

    Me natamani kuwaona wale dadaz wawili wa zamani kma unakubaliana na mm gonga like kubwa

  • @martindeogratius6547
    @martindeogratius6547 Před 4 lety +9

    Wekeni ule mlio wa bongoooo daresalaaam huwa unaonesha msisitizo sana

  • @selemanimsahani3919
    @selemanimsahani3919 Před 4 lety +14

    Mwarabu kwenye unga alikwama kinyama yaan

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 Před 4 lety +5

    Nilijua jamaa atanasa Leo kumbe watu fireeee

  • @hamdallahmedia1911
    @hamdallahmedia1911 Před 4 lety +73

    Kama umegundua simu ya Mwarabu na Queen Suzzy ni ile ile, nyoosha mkono 🤣🤣🤣

    • @juliusuronu8812
      @juliusuronu8812 Před 4 lety +3

      Yani director wao....anafanya makosa ya kizembe kabisa sasa kulikuwa na ulazima gani wa kushare simu? Tanzania ni Tanzania tu

    • @smileboy8979
      @smileboy8979 Před 4 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @brandonpoint5212
      @brandonpoint5212 Před 4 lety +2

      nimepause hapo dk ya 7 nije kusoma comments kwanza kama kuna alieligundua hilo

    • @filbertkapama8824
      @filbertkapama8824 Před 4 lety +1

      Wayu Abdallah 😂😂😂😂

    • @andreahereman273
      @andreahereman273 Před 4 lety +1

      Kondo ktu ulivho kuja kkiangalia au una kaz

  • @abdallahrashid4901
    @abdallahrashid4901 Před 4 lety +16

    wabongo bhna tunafelii wap simu moja wanatumia watu wawilii

  • @idiembete6696
    @idiembete6696 Před 4 lety +15

    Huyo boss koko nikama mcongo hivi!

  • @famitoissanawanda6295
    @famitoissanawanda6295 Před 4 lety +12

    Kkkķk dude fala sana daaa hatari sana

  • @johnmwakalyelye6846
    @johnmwakalyelye6846 Před 4 lety +13

    dude ni balaaa zitooo

  • @abdulndash9214
    @abdulndash9214 Před 4 lety +35

    Acha iitwe Wasafi TV channel number1 Ester African Big up Kwako Dudu na Team nzima ya Bongo Dsm nim enjoy san piga like kama unaipenda wasafi Tv

  • @paschalmkutho4635
    @paschalmkutho4635 Před 4 lety +9

    Dude ingenoga story ungeondoka na harier yao uwaachie ist.

  • @emmanuelmuhili6812
    @emmanuelmuhili6812 Před 4 lety +7

    Nakubali nakubali sana

  • @khatibujuma8880
    @khatibujuma8880 Před 4 lety +4

    Gonga like,japo techno ni moja

  • @faudhimaulid5678
    @faudhimaulid5678 Před 4 lety +3

    sawa ni mzuri....ila kunavitu waigizaji wanafeli sasa hyo dude kapajuaje hapo nyumban kwa huyo jamaa hapo inaonesha ni jinsi gani wahusika wanafeli

  • @balo_tixer9
    @balo_tixer9 Před 4 lety +6

    wanao ona simu ni moja katika scene ya muarabu na huyo Demu

  • @emmanuelsamwel2865
    @emmanuelsamwel2865 Před 4 lety +19

    Kama umeon cm ya mwalabu na queen zinafanan nip like kubwaaaa ya wasf

  • @wilfredmgowe9153
    @wilfredmgowe9153 Před 4 lety +5

    Nmempenda huyo mtoto wa mwenye nyumba asee....anajua kuigiza

  • @saadsalum3253
    @saadsalum3253 Před 4 lety +6

    Kama umeskia dude anachomoa betri ya mwarabu gonga like hapa

  • @jacksonkimario6033
    @jacksonkimario6033 Před 4 lety +17

    kali ila wamefeli tu pale kwenye kutumia simu moja mwarabu na yule dada hvo umakini unatakiwa kuongezka zaidi

    • @desamavevo
      @desamavevo Před 4 lety +2

      Simu sio moja ila zinafanana

    • @doctorptz1641
      @doctorptz1641 Před 4 lety +4

      Izo simu ni infinix naona hawatak kutangaza brand ndo maan wameziba na karatasi ila ni sim zinazofanana na ni different

    • @bone102
      @bone102 Před 4 lety +2

      @@doctorptz1641 wange tofautisha kwa kuweka karatasi white na nyingine black

    • @jacksonkimario6033
      @jacksonkimario6033 Před 4 lety

      Praygod charles kile kikaratas kama vile cha risit kilichobandikwa nyuma ndo kmetujulisha we angalia vzr

    • @queensuzy6847
      @queensuzy6847 Před 4 lety +2

      Kilamtu anacmyake but zinafanana hawakutaka zionyeshe label ndiomaana wakaziba nakaratasi

  • @hancemagembe8221
    @hancemagembe8221 Před 4 lety +4

    Da nimecheka kweli jamaa ametokea kwenye mkokoteni

  • @iamthad7663
    @iamthad7663 Před 4 lety +3

    Kazinzur sana na burudi kwakwel na wasaf tv on CZcams ila nigependa translate kwa chini kwa kingereza ila niangalia nao iwe wepes kuelewa ma shabiki wengi walugha yakigeni wanaangalia pia asante 😍😍😍

  • @anoldbashube7954
    @anoldbashube7954 Před 3 lety +1

    Maaskari bado awjakaa vizuri kwenye hualisia

  • @solomonitv7808
    @solomonitv7808 Před 4 lety +2

    Noma sana wangapi wanataka Dude akamatwe

  • @NeneMedia
    @NeneMedia Před 4 lety +2

    Ofcourse umakini unatakiwa lakini simu ni kawaida watu kutumia simu moja hata kama hamjuani si ndiyo zina trend kwenye soko, nimecheka sana hapo kwenye mkokoteni... safi sana

  • @godwinjunior297
    @godwinjunior297 Před 4 lety +17

    Kama umekuwa wakwanza kutazama leo gonga like hapa

  • @aloyceiluminata3650
    @aloyceiluminata3650 Před 4 lety +12

    😂😂😂😂😂 dude Ni msenge kinomaaa...eti kavaa na kitambulisho daah !!

  • @mbwanahussein2014
    @mbwanahussein2014 Před 4 lety +25

    Alie ona simu aweke like hapa

  • @rechojonas508
    @rechojonas508 Před 4 lety +29

    Kwaiyo wote wanatumia tecno Spark 3😂😂km mm tyu

    • @issanaseeb7699
      @issanaseeb7699 Před 4 lety

      Wote naon kampuni ya Tecno😁😁😁😁😂😂😂😂

    • @rosejasiry8502
      @rosejasiry8502 Před 4 lety +1

      Nan anamkumbuka makala kwenye movie ya sindi na kendi

  • @malkiabintimfalme6820
    @malkiabintimfalme6820 Před 4 lety +4

    Coco, analafudhi ya kikwetu, *like*

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Před 3 lety

    Du sjui nmefata nn huku 2021 natizanama bongo dare salama kitambooo😂😂😂

  • @lampungaofficial6323
    @lampungaofficial6323 Před 3 lety

    Wame zingua ao wanatumiaje cm moja au director kazingua

  • @ommie_nyzer
    @ommie_nyzer Před 4 lety +14

    Cmu moja 😂😂

  • @florahraymond3547
    @florahraymond3547 Před 4 lety +1

    Gonga like hapo kama upo tayarii kuliamsha DUDEEEEE tuna liamshaa DUDEEEEE.....like

  • @finiaskabungulu1239
    @finiaskabungulu1239 Před 4 lety +20

    Simu ya mwarabu na mdada ni smu moja wamebadlishana tuu

  • @dullahcheckbob9358
    @dullahcheckbob9358 Před 4 lety +3

    Nakubali sana

  • @iddyrashid4515
    @iddyrashid4515 Před 4 lety +1

    Bongo move hamna lolote askari anakuja badala afuate mhalifu anaanz siasa,,hovyo,,

  • @emmanuelnicholaus8795
    @emmanuelnicholaus8795 Před 3 lety +1

    Jina lenyewe linatishia amaniiii etiii DUDEE 😆😆😆🤣🤣

  • @husseinlaizer7983
    @husseinlaizer7983 Před 4 lety +1

    Mmecheza vizur character anaendana na movie yenyw ttzo simu mmeweka zimefnana ingekuwa tofaut kidgo

  • @idrissaabeidy7984
    @idrissaabeidy7984 Před 3 lety +3

    Kama umemuona makala wa movie ya #kissme gonga like

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu Před 4 lety +1

    aise nilijua leo kimebuma kumbe we dude ni noma ...

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 Před 4 lety +1

    Kutumia cm moja watu wawil huo ndo udhaif nlouna ila dude umetisha

  • @ahmedsule1520
    @ahmedsule1520 Před 4 lety +5

    Maaaaaninaaa dudeee ww nowmaaaa ✌😅😅😅😅✌💪

  • @issakamangila9113
    @issakamangila9113 Před 4 lety +2

    Mhh ongereni kwa kz nzuri

  • @hancemagembe8221
    @hancemagembe8221 Před 4 lety +9

    Sasa mbona ule mlio wa bongooooobongo dar salam haupo

    • @Johnjoo196
      @Johnjoo196 Před 4 lety

      Hiyo season 2 hiyo mzee huwez kucopy kutoka season 1

  • @bernardmdendemi7347
    @bernardmdendemi7347 Před 4 lety +4

    Hivi gari isipopata usajilii wa tra inaweza kuwa na pleti namba kwelii 🤣

    • @jelasnkoma4240
      @jelasnkoma4240 Před 4 lety +1

      Sikiliza vizuri amesema plate number amebandika tu ametembelea miezi sita

    • @neemamayco3238
      @neemamayco3238 Před 4 lety

      Haiwezekani kwanza hat kutembea nayo noma

    • @issajohn8688
      @issajohn8688 Před 4 lety

      Bernard Mdendemi wanachukua plet namba za gari zilizopataga ajali wakazikata

  • @harunakayega5531
    @harunakayega5531 Před 4 lety +3

    Mpigaji nae kapigwa leo hahahah

  • @kingss6709
    @kingss6709 Před 4 lety +5

    dah dude we ms**** ni nyoko😂😂😂🙌🙌🙌

  • @shayopaterini8678
    @shayopaterini8678 Před 4 lety +2

    Hahahahahahaha co mchezo hili dude noma

  • @shabaninyanda4262
    @shabaninyanda4262 Před 3 lety

    Hata dem hajakubal ushaanza ita shemej mwarabu hahahaha

  • @abdulbandidu119
    @abdulbandidu119 Před 4 lety +4

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
    Kawaachia manyonya msenge kumamamake.
    Dude mzito jaman dah

    • @aloycesteven5998
      @aloycesteven5998 Před 3 lety

      Acha matusi sasa kaka huo sio uungwana kwani hauwezi kukomenti bila matusi?

    • @aloycesteven5998
      @aloycesteven5998 Před 3 lety

      Acha matusi sasa kaka huo sio uungwana kwani hauwezi kukomenti bila matusi?

  • @hkfreeboy9533
    @hkfreeboy9533 Před 4 lety +6

    😂😂😂😂dude hakamatwi tena

  • @sefukanga964
    @sefukanga964 Před 4 lety

    Nimekubari sana bongo dar es salaam dude umetisha sana

  • @shareeph2223
    @shareeph2223 Před 4 lety +2

    nakusubiria hapa utanimalizia sendo zangu

  • @favourmusic4692
    @favourmusic4692 Před 4 lety +16

    Kma umesikia tunduma home weka like zako apo

  • @evaristmollel5584
    @evaristmollel5584 Před 4 lety +2

    kiburudisho safi sana

  • @salehsaleh591
    @salehsaleh591 Před 4 lety +1

    Nilipo muona makala nimekumbuka kiss me. , sindi na kendy love you more makala

  • @ramadhanihussen4695
    @ramadhanihussen4695 Před 4 lety

    Goma liko powa sana nakupa 100/1000 ila unayumba kukamatwa kiboya nawewe ni intaneshino.way

  • @mohamedishabani4167
    @mohamedishabani4167 Před 4 lety +1

    Nakubali dude we noma duuuhh

  • @sallyraidan6867
    @sallyraidan6867 Před 4 lety +35

    Dude like naombeni jaman ata na mm leo nioshe nimepata like

  • @mulastar
    @mulastar Před 4 lety

    Hii ya Leo kweli mmeumiza vichwa cs imekuwa ni ngumu ku guess kuwa kitu gani kitafwatia tofauti na ep1. Hongereni sana nimeipenda but Dude ur always killn' me wit dis 25:19 na hicho kisauti na macho, inaonyesha kabisa mtu ameshaingizwa mkenge huko

  • @yussuphkazumar6229
    @yussuphkazumar6229 Před 4 lety +9

    😂😂😂 dude bhna na hyo mawan dah waniachaga hoi kwl

  • @abdoullateefsappy3359
    @abdoullateefsappy3359 Před 4 lety +35

    kama umegundua mwarabu na queen suzy wametumia simu moja gonga like twende sawa

  • @vaghoghontweki9827
    @vaghoghontweki9827 Před 3 lety

    Mkiigiza muweke na uhalisia,,how comes gari haina vibali hata kimoja alafu ina registration namba🙉🙉🙉

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 Před 4 lety +1

    *Badala ya kutoa mapungufu mengine au kusifu kazi mzuri watu wameona cmu tuu hakuna chengine cmu tuu huo ni ushamba kuangalia mambo ya cmu kwani kuna tatizo gani kutumia cku aina moja?*

  • @mussakisoma4369
    @mussakisoma4369 Před 4 lety +2

    Tisha sana Dude

  • @jameschilongo161
    @jameschilongo161 Před 4 lety +1

    IST kutoka kutoka sauth Africa jamn

  • @dennisjulius1136
    @dennisjulius1136 Před 4 lety +3

    😂😂😂 jombaa kachomozaa km anord jane vlee kudadekii hahahahahaahahahaaa

  • @NEXTtz
    @NEXTtz Před 4 lety +7

    Hawa jamaa ni 🔥🔥🔥🔥🙌🙌😂

  • @kileoamani6744
    @kileoamani6744 Před 4 lety

    Jmn kesho jmosi maneno yakuambiwa sijui tupo wangapi uku

  • @bonshayo3458
    @bonshayo3458 Před 4 lety +1

    Hahahahah Cm Wametumia Moja Alafu Mnatuchanganya

  • @ishakamhina8274
    @ishakamhina8274 Před 4 lety +1

    Mjaribu kuboresha bt for sure n tamthiliya mbovu haijawahi tokea

  • @josiahrhobi7225
    @josiahrhobi7225 Před 4 lety +1

    Hapo kwenye cm mmetudanganya

  • @wazirmasokola5951
    @wazirmasokola5951 Před 3 lety

    Dah dude mkali sana

  • @bongomsasa2496
    @bongomsasa2496 Před 4 lety +1

    I dont know you, but its August 4th 2018, and the worlds a scary place
    right now. But I just thought I'd let you know, no matter what race,
    religion, culture, sex, orientation, or belief you are, from one human
    to another. I love you.
    @

  • @jennifernduka720
    @jennifernduka720 Před 4 lety +4

    Daaaa bora aise Dude umetuletea Bongo Dar-esalaam 😃😃😃😃😃

  • @deograssiusmatembo3430
    @deograssiusmatembo3430 Před 4 lety +1

    Kwa hii kasi wasafi wasumbua sana youtube

  • @stn4873
    @stn4873 Před 2 lety

    Maascary Maascary...

  • @BoniKazimoto
    @BoniKazimoto Před 4 lety +1

    Hahaha haha dude hatari sana

  • @majotv3405
    @majotv3405 Před 4 lety +7

    Aisee dude ni motooooo 😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @mohamedhamdan4956
    @mohamedhamdan4956 Před 4 lety +1

    Hii filamu ni kali

  • @aljunijohn5395
    @aljunijohn5395 Před 4 lety

    Hahahaaaaaa kwel bongo ni hataaaaari dude umetishaaa safi

  • @seifmassoud2686
    @seifmassoud2686 Před 3 lety

    Dude hapa umeuwaaa duh😆😆

  • @kennedymwagambo7197
    @kennedymwagambo7197 Před 3 lety +1

    Good stuff, top creativity

  • @gibsongeorge8801
    @gibsongeorge8801 Před 4 lety +3

    Make up zenu Usoni mna kuwa kama hulk bana.

  • @staralive9260
    @staralive9260 Před 2 lety

    Ila hapo Dude angeondoka na Gari ili maisha yaendelee!!!

  • @theosiyantemi4150
    @theosiyantemi4150 Před 4 lety

    Mimi nikawanajua dude leo kapatikna aisee

  • @patientGrevislay
    @patientGrevislay Před 4 lety +3

    Koko ni mkongomani au sio wazee wangu ? 18:31

  • @philosophygilbertgaspermol5505

    Dude alitakiwa kuondoka na hiyo gari hapo harrier happy njee brother

  • @omymcatalunya2331
    @omymcatalunya2331 Před 4 lety +1

    dude noma

  • @benjaminulanga6749
    @benjaminulanga6749 Před 4 lety +2

    Mi nilichoona ni prety namba za gari tu sa sijui ilipataje kama haina vibali ebu mnielekeze kina dude wa umu

  • @generallydangote7629
    @generallydangote7629 Před 4 lety +1

    hahahaahhaaaaaaaa dude nimekukubali iyo staili

  • @desamavevo
    @desamavevo Před 4 lety

    Daa hii baba umeua yaani umebuni alafu ukapiga bonge la jicho

  • @wilsonbalama2849
    @wilsonbalama2849 Před 4 lety +3

    dude ni shiiiiiida😂😂😂

  • @historianyeusi9524
    @historianyeusi9524 Před 4 lety +7

    Makalla kitambo sana🔥🔥🔥

  • @kelvingeorgefido7814
    @kelvingeorgefido7814 Před 4 lety +1

    Weka mbali na watoto

  • @derickmpilipili5273
    @derickmpilipili5273 Před 4 lety +1

    Munajua mpaka mnakela

  • @kisshydirector2630
    @kisshydirector2630 Před 4 lety +6

    kam umeon vibali vya TRA vimebandikwa kweny kioo cha mbele upande wa kulia alafu wanatuambia gari halina vibali gonga like kwangu

  • @bukurudaudi1543
    @bukurudaudi1543 Před 4 lety +1

    Jamani 😂😂 😂🤣 😂 dude jizi