BONGO DAR ES SALAAM S02EP01 - IST
Vložit
- čas přidán 21. 10. 2019
- Hii ni Episode ya Pili ya SEASON 2 Katika Drama ya #BongoDaresalaam Kutoka kwa #DudeBongo ambayo inaoneshwa kupitia #WasafiTV
Kama Ulikosa Season 1 Basi Hii Si ya Kukosa Kabisa, Ubunifu, Ujanja, Akili Nyingi na Maarifa ya Kuweza Kumtegua Masta Mwenye Dar es Salaam Yake DUDE Umeboreshwa Zaidi
USIKOSE KUTAZAMA KILA JUMANNE #BONGODARESSALAAM KUPITIA WASAFI TV - Zábava
nyinyi kweli wasafii nimewakubalii u tube ya bongo yote yenu sas tumewapa anaekubali like zetu tuztenge hapa 🤗🤗🤗
august mj wamebugi simu moja wanatumia wote
Ivi unavoomba like, ukizipewa unafaidikaje?????
czcams.com/video/U5AsYNhf8Og/video.html
Duuuhhhh nilijua leo kapatikana kumbe wapiiii.........dude noma xna
Me natamani kuwaona wale dadaz wawili wa zamani kma unakubaliana na mm gonga like kubwa
Wekeni ule mlio wa bongoooo daresalaaam huwa unaonesha msisitizo sana
Afu mm mwenyw naupenda kweli
@@neemamayco3238 gud
Mwarabu kwenye unga alikwama kinyama yaan
Nilijua jamaa atanasa Leo kumbe watu fireeee
Kama umegundua simu ya Mwarabu na Queen Suzzy ni ile ile, nyoosha mkono 🤣🤣🤣
Yani director wao....anafanya makosa ya kizembe kabisa sasa kulikuwa na ulazima gani wa kushare simu? Tanzania ni Tanzania tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
nimepause hapo dk ya 7 nije kusoma comments kwanza kama kuna alieligundua hilo
Wayu Abdallah 😂😂😂😂
Kondo ktu ulivho kuja kkiangalia au una kaz
wabongo bhna tunafelii wap simu moja wanatumia watu wawilii
Sasaa tena tecno
Simu au cover moja?
Ally Mngwaya ndio hapo sasa
😂😂😁😁😁😁👊👊👊
Huyo boss koko nikama mcongo hivi!
Idi Embete wew una mzidi mkongo nini
Kkkķk dude fala sana daaa hatari sana
dude ni balaaa zitooo
Acha iitwe Wasafi TV channel number1 Ester African Big up Kwako Dudu na Team nzima ya Bongo Dsm nim enjoy san piga like kama unaipenda wasafi Tv
Mbona cm ya mwarabu na ya huyo dada km zinafanana
@@ayaotheboss9516 ili Baki moja dukani
Dude ingenoga story ungeondoka na harier yao uwaachie ist.
Nakubali nakubali sana
Gonga like,japo techno ni moja
sawa ni mzuri....ila kunavitu waigizaji wanafeli sasa hyo dude kapajuaje hapo nyumban kwa huyo jamaa hapo inaonesha ni jinsi gani wahusika wanafeli
wanao ona simu ni moja katika scene ya muarabu na huyo Demu
Nimeona ata mm pia
Kama umeon cm ya mwalabu na queen zinafanan nip like kubwaaaa ya wasf
Mbn kweli sjaelewa bado hapo ndo wametuuza Mr
Kwani haiwezekani watu kua na sim sawa?
Nmempenda huyo mtoto wa mwenye nyumba asee....anajua kuigiza
Sema umempenda alivo mrembo weweeee
Kama umeskia dude anachomoa betri ya mwarabu gonga like hapa
Nielekeze jinsi ya kuweka profile ya you tube
Nielekeze jinsi ya kuweka profile ya you tube ples
kali ila wamefeli tu pale kwenye kutumia simu moja mwarabu na yule dada hvo umakini unatakiwa kuongezka zaidi
Simu sio moja ila zinafanana
Izo simu ni infinix naona hawatak kutangaza brand ndo maan wameziba na karatasi ila ni sim zinazofanana na ni different
@@doctorptz1641 wange tofautisha kwa kuweka karatasi white na nyingine black
Praygod charles kile kikaratas kama vile cha risit kilichobandikwa nyuma ndo kmetujulisha we angalia vzr
Kilamtu anacmyake but zinafanana hawakutaka zionyeshe label ndiomaana wakaziba nakaratasi
Da nimecheka kweli jamaa ametokea kwenye mkokoteni
Kazinzur sana na burudi kwakwel na wasaf tv on CZcams ila nigependa translate kwa chini kwa kingereza ila niangalia nao iwe wepes kuelewa ma shabiki wengi walugha yakigeni wanaangalia pia asante 😍😍😍
Ushaur mzuri
Maaskari bado awjakaa vizuri kwenye hualisia
Noma sana wangapi wanataka Dude akamatwe
Peke yako mm sitak
Ofcourse umakini unatakiwa lakini simu ni kawaida watu kutumia simu moja hata kama hamjuani si ndiyo zina trend kwenye soko, nimecheka sana hapo kwenye mkokoteni... safi sana
Kama umekuwa wakwanza kutazama leo gonga like hapa
😂😂😂😂😂 dude Ni msenge kinomaaa...eti kavaa na kitambulisho daah !!
Alie ona simu aweke like hapa
Kwaiyo wote wanatumia tecno Spark 3😂😂km mm tyu
Wote naon kampuni ya Tecno😁😁😁😁😂😂😂😂
Nan anamkumbuka makala kwenye movie ya sindi na kendi
Coco, analafudhi ya kikwetu, *like*
Du sjui nmefata nn huku 2021 natizanama bongo dare salama kitambooo😂😂😂
Wame zingua ao wanatumiaje cm moja au director kazingua
Cmu moja 😂😂
Hakika nimeona
wamechemsha
Amna sio moja n tofauti ila ilo karatas limezba brand ya cm zao ..😉
Gonga like hapo kama upo tayarii kuliamsha DUDEEEEE tuna liamshaa DUDEEEEE.....like
Simu ya mwarabu na mdada ni smu moja wamebadlishana tuu
Yap mm pia nimeliona hilo
Yeah is true
Umeonaeee
Kwani tatizo likowapi?
Niliona hilo alafu walijsahau kutoa karatas ila baadae walitoa
Nakubali sana
Bongo move hamna lolote askari anakuja badala afuate mhalifu anaanz siasa,,hovyo,,
Igizo hili wewe mbumbumbu...siyo uhalisia
Jina lenyewe linatishia amaniiii etiii DUDEE 😆😆😆🤣🤣
Mmecheza vizur character anaendana na movie yenyw ttzo simu mmeweka zimefnana ingekuwa tofaut kidgo
Kama umemuona makala wa movie ya #kissme gonga like
aise nilijua leo kimebuma kumbe we dude ni noma ...
Kutumia cm moja watu wawil huo ndo udhaif nlouna ila dude umetisha
Maaaaaninaaa dudeee ww nowmaaaa ✌😅😅😅😅✌💪
Mhh ongereni kwa kz nzuri
Sasa mbona ule mlio wa bongooooobongo dar salam haupo
Hiyo season 2 hiyo mzee huwez kucopy kutoka season 1
Hivi gari isipopata usajilii wa tra inaweza kuwa na pleti namba kwelii 🤣
Sikiliza vizuri amesema plate number amebandika tu ametembelea miezi sita
Haiwezekani kwanza hat kutembea nayo noma
Bernard Mdendemi wanachukua plet namba za gari zilizopataga ajali wakazikata
Mpigaji nae kapigwa leo hahahah
dah dude we ms**** ni nyoko😂😂😂🙌🙌🙌
K
Hahahahahahaha co mchezo hili dude noma
Hata dem hajakubal ushaanza ita shemej mwarabu hahahaha
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
Kawaachia manyonya msenge kumamamake.
Dude mzito jaman dah
Acha matusi sasa kaka huo sio uungwana kwani hauwezi kukomenti bila matusi?
Acha matusi sasa kaka huo sio uungwana kwani hauwezi kukomenti bila matusi?
😂😂😂😂dude hakamatwi tena
Nimekubari sana bongo dar es salaam dude umetisha sana
nakusubiria hapa utanimalizia sendo zangu
Kma umesikia tunduma home weka like zako apo
Mmmh hatar
kiburudisho safi sana
Nilipo muona makala nimekumbuka kiss me. , sindi na kendy love you more makala
Acha kabisa aisee
Goma liko powa sana nakupa 100/1000 ila unayumba kukamatwa kiboya nawewe ni intaneshino.way
Nakubali dude we noma duuuhh
Dude like naombeni jaman ata na mm leo nioshe nimepata like
😂😂
Hii
Hii ya Leo kweli mmeumiza vichwa cs imekuwa ni ngumu ku guess kuwa kitu gani kitafwatia tofauti na ep1. Hongereni sana nimeipenda but Dude ur always killn' me wit dis 25:19 na hicho kisauti na macho, inaonyesha kabisa mtu ameshaingizwa mkenge huko
😂😂😂 dude bhna na hyo mawan dah waniachaga hoi kwl
kama umegundua mwarabu na queen suzy wametumia simu moja gonga like twende sawa
We jamaa noma mno
Kweliii na mm nimeonaa hyo
nlkua natafta koment inayosema kuhusu sim nilike
Wew zaid ya F.B.I
@@AngelAngel-it7jv kwa hapo wamepuyanga
Mkiigiza muweke na uhalisia,,how comes gari haina vibali hata kimoja alafu ina registration namba🙉🙉🙉
*Badala ya kutoa mapungufu mengine au kusifu kazi mzuri watu wameona cmu tuu hakuna chengine cmu tuu huo ni ushamba kuangalia mambo ya cmu kwani kuna tatizo gani kutumia cku aina moja?*
Tisha sana Dude
IST kutoka kutoka sauth Africa jamn
😂😂😂 jombaa kachomozaa km anord jane vlee kudadekii hahahahahaahahahaaa
Hawa jamaa ni 🔥🔥🔥🔥🙌🙌😂
Jmn kesho jmosi maneno yakuambiwa sijui tupo wangapi uku
Kileo Amani tupo wengi mzee
Hahahahah Cm Wametumia Moja Alafu Mnatuchanganya
Mjaribu kuboresha bt for sure n tamthiliya mbovu haijawahi tokea
Hapo kwenye cm mmetudanganya
Dah dude mkali sana
I dont know you, but its August 4th 2018, and the worlds a scary place
right now. But I just thought I'd let you know, no matter what race,
religion, culture, sex, orientation, or belief you are, from one human
to another. I love you.
@
Daaaa bora aise Dude umetuletea Bongo Dar-esalaam 😃😃😃😃😃
Hi
@@mashototv7510 hi
Kwa hii kasi wasafi wasumbua sana youtube
Maascary Maascary...
Hahaha haha dude hatari sana
Aisee dude ni motooooo 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Hii filamu ni kali
Hahahaaaaaa kwel bongo ni hataaaaari dude umetishaaa safi
Dude hapa umeuwaaa duh😆😆
Good stuff, top creativity
Make up zenu Usoni mna kuwa kama hulk bana.
Ila hapo Dude angeondoka na Gari ili maisha yaendelee!!!
Mimi nikawanajua dude leo kapatikna aisee
Koko ni mkongomani au sio wazee wangu ? 18:31
Dude alitakiwa kuondoka na hiyo gari hapo harrier happy njee brother
dude noma
Mi nilichoona ni prety namba za gari tu sa sijui ilipataje kama haina vibali ebu mnielekeze kina dude wa umu
Mzigo wa magendo kaka prety izo za uongo zakufoji
hahahaahhaaaaaaaa dude nimekukubali iyo staili
Daa hii baba umeua yaani umebuni alafu ukapiga bonge la jicho
dude ni shiiiiiida😂😂😂
Makalla kitambo sana🔥🔥🔥
Weka mbali na watoto
Munajua mpaka mnakela
kam umeon vibali vya TRA vimebandikwa kweny kioo cha mbele upande wa kulia alafu wanatuambia gari halina vibali gonga like kwangu
Wewe ni mshamba
Sio kosa lako
Jamani 😂😂 😂🤣 😂 dude jizi