HAMU | latest 2023 SWAHILI MOVIE | BONGO MOVIE | Filamu za Adam Leo
Vložit
- čas přidán 30. 11. 2022
- Ukomavu wa fikra unapelekea kijana Adam kujikuta anashindwa kutatua matatizo yaliyo kwenye ndoa yake na kuiharbu kabisa.
Fuatilia kisa hiki kinachotoa elimu kubwa na funzo kwa vijana kuhusu namna ya kuishi kwenye ndoa. - Zábava
Kutazama filamu yetu mpya bonyeza hapa chini
czcams.com/video/5wUTwjm1YLw/video.html
❤❤❤❤❤❤We the channels are still pp❤l.p. g ❤g b etter the channels are still in ppl to be pole dancing on ice cream ❤😊
❤
❤❤
❤
Mwanadamu
🙏🙏
Okay 😂
Nani i mwengine anangalia huku akisoma comments like hapa awesome movie great work 🙏♥
Thanks a lot.
Hatamimi namuangalia huyu gear8
@@moratikibiki8111 haha umeona eh
. , Nia but
@@AdamLeoStudios apapaylFllaapllcLJaat
Wenye wanangalia comments ndio wa watch movie pita n like
Hahahha kama zote likeee,,, jiachie tu na filamu nzuri
Tupoo
@@naalinneno3558❤
Yn hii ni Zaid ya funzo kwa wana ndoa wote mke na mume kwani unapofanya makosa ndani ya ndoa unaweza sababisha makosa mengine....much lv team Adam
Shukrani sana aisee🙏🙏🙏
Tazama hii hapa czcams.com/video/RlAdbiFvMKo/video.html❤❤❤
Daah!! Kaka Adam umeweza Sana sio Siri Kama wanaume wote wangekua Kama wew bc mapenz yangekua matam Sana Kaka ni unajua kumbembereza mpk bc kwanza saut tuu uporeee daah mashallah😘😘
Asante jamanii🙏🙏🙏
Hatuwez kuwa sawa woteee ww
San mno
Je, ungependa kujiunga katika group langu la WHATSAPP ili uweze kupata filamu zangu mpya ambazo hazipo CZcams nyingine, Muda ni sasa na GROUP LANGU LA WHATSAPP ni hili
chat.whatsapp.com/JAVGpA3xKfVAUKHCGxsVHt
Mbona haifunguki
Nini haifunguki
🥂
Filamu hii ni mojawapo ya filamu bora zaidi ya Swahili. Katika kufunza sheria za ndoa kutumia lugha na tamaduni za ki-afrika asili. Pongezi sana!!!
Shukrani sana aisee, tunatambua hili.
I miss home .. I miss the Swahili ... Nlikua natafta kitu ambacho kita boresha lugha ... nimechoka kusikiliza muziki nikapata filamu hii ... Wakenya njooni tuboreshe lugha 🇰🇪
Shukrani sana kwa kweli🙏🙏🙏nawapenda wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
No problem ndugu yangu
Okay
Tuko... Twangoja filamu zaidi kutoka kenya
Sawa soon tunaachia mpya
😂😂😂😂😂Mashallah movie nzuri sana na huyu mtu na kakake wasukuma wanibamba mie 💞💞from kenya 🇰🇪 watching in Saudiarabia 🇸🇦
Asante sana Bi hadija
Khadija nitumie wasap no nikutafute,uko mji gani
@@abuusirleh8196 Nitafute fb kwa jina hilo hilo
@@khadijaali4657 umeweka picha gani
Tazama hii hapa czcams.com/video/RlAdbiFvMKo/video.html❤❤❤
Kazi nzuri.... Kama mnaikubali nipeni likes zenu🙏🙏🙏
Za kutosha tu chukuaaa
Chukuwa😃😃😃
❤❤
KAZI nzuri.Tazama hii hapa pia Kali czcams.com/video/RlAdbiFvMKo/video.html
Tazama hii hapa czcams.com/video/RlAdbiFvMKo/video.html❤❤❤
Hongera sana Adam kwa kazi nzuri..ila mimi nimependa mama mkwe wallah ana mafunzo mazuri kwa watoto
Asante sana jamani, endelea kutazama filamu zangu nyingine hapa hapa CZcams.
Shetani ni mbaya ataka kuharibu chenye kimeundwa vizuri na Maulana...filamu yenyewe imebaba kweli...naipenda naitazama kutoka Nairobi Kenya
Kabisa kabisa
Hongera sana Kaka Adam na kwawote walioshiriki nimeipenda move nimejifunza mengi🥰🙏
Asante sana kwa kweli.
What a great movie...mob love Adam..your big fan from Kenya🇰🇪
Thanks my love Lynne❤❤ I appreciate.
Naifagilia movie hii pia nikiwa254,pongezi
Shukrani
Tazama hii hapa Kali czcams.com/video/RlAdbiFvMKo/video.html
❤
Huyuuu mam mkweee n bongeee la mamaaa🔥🔥🥰 big up xanaaaa mam mkwee wtee wawee kam huyuuu mam aiseeee bac hata ndoaa ztadumuuu♥️♥️♥️
Umeeeonaaaa ehhh..✊✊
Huyo Mama mkwe anasitaili pongazi
Sana kwa kweli.
nikweli mama kamahuyu ndoanajua mahuiano ya familia
Huyu mdada mmakonde amenifurahisha😂😂 safi sana Adam na timu yako much love from 🇰🇪
Thanks jamani wa kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
Filamu hii inamafundisho tosha. Ni yakuelimisha, kuburudisha na pia yenye furaha kuitazama. Nimeipenda zaidi. Ni moto sana.
Asante
Bana weee huyu mwanaume anajua kubembeleza sana yaaani hiii ni Kila mwanamke anahitaji katika maisha yake kama uko hivi in really life basi Mungu anakupenda sana....natamani nimtag li ex langu lije lione sababu ya kumuacha
All in All kazi nzuri sana Adam en team kip it up tumeinjoy ❤
Nipo hivi hivi jamani🙏 Asante.
MUNGU wa mbinguni natamani ningepata Mme mzuri hivyo mwenye upendo hivyo daaa ningemshukuru saana MUNGU
@@rebecasaidi hawapo dada hata huyo kaigiza tuuu😔😔
Una uhakika gani nimeigiza tu @rukia
Utapata Rebeca, wanaume wa kweli tupo.
Movie nzuri na yenye kuelemisha jamii san san upande wa wanandoa kujuw na nimependa pia ni filamu hii haina mambo mengi wala watu weng wachezaji wadogo na kitu kikatoka vizur sn big up san mr Adam na team yako yote
Asante mno kaka nashukuru🙏
Adam Leo hii movie ni nzuri kali na ya kipekee..... Haichoshi kuangalia inachekesha na kuelimisha... Congratulations 🎉
Asante mno Wastara🙏🙏🙏
Tazama hii hapa czcams.com/video/RlAdbiFvMKo/video.html❤❤❤
Waaah filam nzuri sana nmeipenda kwa kweli🔥🔥🔥👏👏👏 alafu Adam umzuri ❤❤❤❤ watching from 🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Hahaa jamani Beyonce, nashukuru Mnoo
Mmbo
@@AdamLeoStudios❤
Adam thank you for bringing such interesting movie ❤️❤️ Great lesson.Huyu mdada na kakake daaaah Nimependa part yao 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Aiseeeee.Watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪.So Amazing movie 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥.
Thanks a lot aisee🙏🙏🙏
You are talented Adam keep going 🙏🙏🙏🙏
Asante jamani
Tazama hii hapa czcams.com/video/RlAdbiFvMKo/video.html❤❤❤
Hongera Adam aki nimecheka sana uko mwisho big up bro 🇰🇪 🇸🇦
Shukrani sana🙏🙏🙏
Hongera sana damu yangu kwa hatua ulifika 🙏🏾👊🏽🏁... Hii kali mmakonde na msukuma waliikuzengua😁😁
Sana kwa kweli aisee... nashukuru mno jamaa.
Much-loved Adam very creative keep up hii filamu imelenga mwangu ana matatizo ya kuchukia mumewe akiwa mbali anapenda akiwa karibu anamchukia thanks alot Adam
Ur welcome kipenzi!! Asante kwa kutazama na kuelewa ujumbe.
Kutazama muendelezo wa tamthilia yetu ya SLAY DANGA bonyeza hapa👇👇
czcams.com/video/8ZQEcDFnqwE/video.html
Adam,all what your firm is telling has ever happened to me,I just managed to let her go instead of being stacked by high blood pressure. Thank you for your movies. It is indeed happening.
Thanks a lot, we appreciate for ur time to watch our content🙏🙏
Tazama hii hapa Kali czcams.com/video/RlAdbiFvMKo/video.html
Heri kuashilia iende sometimes hii watu mang'aa ni bure waumiza mioyo
Mama kisrani inapatiangwa slap, take🙄
Hahahha @Johnstone
Daah Iko pow sanaaa mwanzo imeixha vizurii 🥰
Shukrani mno
👍♥️ shema huyo dada mpigaji kapatia Sana 👏👏👏
Sanaa aisee yupo vizuri
Asante Adam huwa napenda movie zako❤️❤️❤️
Shukrani sana uskache ku subscribe
Waaai mpaka nimechelewa kwenda kazini, duh muvi kali kinoooooooma
Ila nimejifunza sana
Tena mpk mke wangu kaona aibu,
Kweli nimeamini, KOSA MOJA TU LA NDANI YA NDOA, hutengeneza kosa LA MILELE,
fikiri kama kwwli angekua na mimba yule Muuza bar......
Aisee makosa Ya kipumbavu usimfanyie mpenzi wako
Thnk you sana kwa good move
Asante sana kwa kujifunza kitu, endelea kutazama filamu zetu zilizojaa elimu kama hizi, hakikisha una subscribe ili usipitwe kila tutapoweka filamu mpya.🙏
Hahahaa mtu na kaka ake hahahaa 😂😂😂😂
Noma sana.
pongezi sana Adam mungu asidi kukupea hiyo ujasiri na kipaji🙏🙏
Asante
I'm from Kenya bt I watch from Dubai nawapenda wote ♥️♥️♥️
Thanks a lot🙏🙏🙏
Tazama hii hapa czcams.com/video/RlAdbiFvMKo/video.html❤❤❤
Adam jina la mwanangu, nimeipenda sana hii movie. Gaga na mama big-up kwa sana. super talents, very composed in acting
Thanks a lot, we appreciate. Make sure u subscribe so u wont miss any of our new movie.
Tazama hii hapa Kali czcams.com/video/RlAdbiFvMKo/video.html
Bro unguza akili ulete doz ya pili,, hii kali sana 💪💪💪💪💪
Naileta soon
😢Nimejifunza kitu kwa hii filamu katika ndoa kuna changamoto nyingi sana kitu kikubwa ni kuwa na subra , umakini na kusamehe
Kabisa kabisa umeona eh
Wadada muache ku2chukia bila 7bu mta2poteza big up broo Adam
Shukrani sana aisee.
Dada mmakondee 😀😀😀😀😀😀umejua kunifurahisha
Asante mnooo🙏🙏
Adam leo picha moja kali saaana hii kwanza huyu msichana na huyu kijana msukuma na mmakonde wazimu saaaana😅😅😅😅
Hahahaha jamani. Asante🙏🙏
Mkaka anasauti nzuri sana yakumbereza Dem wake duh wanawake kueweni na hulumaa
Yaani ila huyo Geah hana huruma hata kidogo.
Naitwa suneiya...ubrikiwe sma kka Adam 🥰🇰🇪
Asante sana.🙏
Broo Adam umetixha xana..nimekubali xana kazi yako pambana xana broo
Sawa mkuu naongeza juhudi.
Saluti kwako adamu nazipenda sana movie zako
Asante sana kwa kuwa mtazamaji wa filamu zangu, barikiwa.
Kazi nzuri sana be gup
Asante jamani
wooow nzuri sanaa 👏👏👏
Asante sana aisee...!!!
Wamama mujikirebishe kikweri mupeni wawumezenu hakizawo🙄🙄🦋❤️🤣 Adamu love tu somach for Oman 🇴🇲😍🦋🦋🎉🦋
Asante sana mnoo...!!!
Nzuri sanah naaa Ina fundishaaaa
Shukrani sana
❤
Hii filamu ina mafunzo mazuri ,😍😊👍🏾
Umeeonaa eh, tunashukuru sana kwa hilo usiache ku subscribe ili usipitwe na kazi zetu zijazo.
Filamu nzuri yenye mafunzo kabisa. Hongera sana bro
Shukrani sana aisee.
Haki mpo vizuri Mungu awabariki mzidi kuendelea
Asante sana, endelea kutazama nawe usipitwe na filamu mpya uaiache ku subscribe.
Ningepata anaenipenda Kama hv ningefrai sanaa ooooh my god
Pole jamaniii tupo wengii tu😊
@@AdamLeoStudios mhhhhhh
Yaani kila nikikaa nairudia kuangalia hakika ni kazi nzuri
Shukrani sana aisee🙏🙏🙏
Wooow amazing teaching according to our young ladies
Thanks a lot
Tazama hii hapa czcams.com/video/RlAdbiFvMKo/video.html❤❤❤
Hongera bwana adam
Asante sana.
Iko powa nimekipenda, wanaume tunaonewa sana sema tu tunajikaza. Matukio mengi ya Mchongo mbaya zaidi hakuna wakututetea kudhihilisha ukweli. Nice movie.
Asante kwa maoni yako hata taasisi za kutetea haki zetu nazo hazina nguvu au sijui ni vipi...!!! Ila kuna siku maonevu haya yataisha pia.🙏🙏
Much Love from Kenya.... Good work brother
Thanks a lot mwanangu wa kenya🇰🇪🇰🇪tuko pamoja sana.
Umetixha sana kaka
Asante mno kwa kweli🙏
Uko makini sana broo Adam endelea kutuelimisha wana ndoa unapitia changamoto nyingi ila inshaaallah tuko pamoja sanaa
Asante sana kaka, tutaendelea kupeana darasa taratibu taratibu hivyo hivyo.
Nimekubali sana kwa fundisho la hi filam, kuzidi huyu dada makonde.
Shukrani sana
Mashallah 💙💙💙nawapenda nyote mlio shiriki big up Adam
Asante sana Bi Khadija.
Twakupenda pia mpendwa wetu
Mwanamke si.kma mtoto ila tu gee anajisahau mwanamme n kma mtoto alie shinda malezi ya wazazi wake kwa hyo mwanamke anafaa amridhishe mumewe ipasavyo na yote n hayo mume hufurahia mapenzi mazuri kwa mkewe mwanaume nawe inafaa umdekeze mkeo ipasavyo sisi wanawake tunapenda vijizawad vidogovidogo vya kutufurahisha ili tudumishe ndoa zetu😍👌 Adam kaza kamba umdekeze mpenzi wako
Hahahha nimempelekea UA kaninyari😂 nimepika chakula kakisusa sa nimpe roho au.. jamaniii haya nitakaza buti.
@@AdamLeoStudios 😅😅kaza buti alfu una hasira wewe baba 😂😂😂
Hahahah kwenye movie tu🤣🤣
Safiiiiiiiii sana mpendwa wetu mungu akulinde uzidi kutufatilia amina
Adamu nimependa kaz Yako big up sana kaka🎉🎉🎉🎉❤
Akh mpaka nkalia,,,,bt at the end love 💕 wins much love 💕 from kenya.currently at gurlf naomba nkirudi niwajoini
Asante sana, usiache kusubscribe ili usipitwe na zijazo.🙏🙏
Dah! Brother hii Movie umeitendea haki, imeisha bila kuacha swali kwa mtazamaji, umeenda mpaka final stage, maana mwingine angewezakuishia Pale hospital but wewe dah!! Kongole sana, naomba nikusuport kwa kulike, kushare kusubscrb na comment. God be with you, nakuona katika levo nyingine, Fikisha salamu kwa Geah nimempenda buuuuure.
Safiiii.
Zimefika. Tunashukuru sana🙏
Jamaniiii waooooooh big up broo really appreciate you two Mr great you nailed it
Thnks jaq
@@AdamLeoStudios kaka upo vizuri sana japokuwa mm ndoo naelekea kuwa na mke umenifunza vitu vingi Sana hongera kwa hilo
Kila la kheri kaka.
Hujawai feli kwenye kazi yako hongera sana
Shukrani sana asante mnoo.
254 🇰🇪 wameikubali kitu safi ❣️❣️❣️💯
Asante sana watu wangu wa kenya✊
Napenda sana movie zako Adam ♥️♥️♥️
Asante sana kwa kweli🙏🙏🙏
@@AdamLeoStudios NAOMBA NO ZAKO NAPENDA KUIGIZA
0652393960
Yaaaan mmetisha Kama huyo mmakonde aiseee ni fundi Sana hongereni kazi nzuri Sana mwamba Adam👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Shukrani sana jamani🙏🙏
Naumia sana kuiona ii movie imechukua maisha yangu alisi ya ndoa yangu mpaka imevunjika n week 2 tu toka imevunjika
Pole sana kaka, hakuwa chaguo la MUNGU kwako hilo, bila shaka wako atakuja siku moja na utafurahia ndoa yako.
Adam! Adam! Adam! Nmekuita mara tatu,, ila mwaka 2023 ntakwambia nimekuitia nini 😂 😂 😂 😂
Sawa tuombe uzima😊
Asante sante sana mpendwa
Mmh makubwa haya😜😂😂😂
Chuna yepi hayo
Yes bonge la move huwa sipendi kuangaria bongo move Ila kwahii nimevutiwa Sana mungu awatie nguvu nyote mulio shiriki na kufanikisha kazi nzuri Kama hii
Shukrani sana,
Si nikakutana nayo CZcams, nkasema ngoja nichungulie, nmetoka basi😅😁 adam brother, nothing to say, tupe vitu👐🏽
Thanks a lot my brother Bemjamin tupo pamoja. Usisahau ku Subscribe ili usipitwe tu.
Safi sana kaka inafundisha sana 🔥🔥
Shukrani sana aisee.
Umetisha kaka ..... kazi njema
Asante
@@AdamLeoStudios barikiwa kaka kwa kazi yako
Elimisha kizazi hiki
Adam... Unaweza unaweza unawezaa tenaaaaa kazi nzuri movies zako zote nzuriii🥰🥰🥰 Nakupenda sanaaaaaaa by myjah
Asante sana, nakupenda pia
Mashaallah kazi nzuri sana nimejifunza kupitia hii movie hongera sana kaka Adam
Asante sana kwa kujifunza kitu.😊
Ety anahic kama nimeliiba kwenye makaburii😂😂😂 umejua kunifulahisha😂
Endelea kuenjoy
Watched now from Kenya but currently in Saudi Arabia,it's so amazing,I like it
Thanks a lot.🙏🙏🙏
Watched it from Doha Qatar,it's so amazing
Doha qatar, thanks a lot.
Filamu ipo nzuri inaelimisha kingole mwamuto from kenya
Thanks
The Movie is so interesting ❤ Watching from Kenya 🇰🇪
Thanks a lot🙏🙏🙏
Tazama hii hapa czcams.com/video/RlAdbiFvMKo/video.html❤❤❤
Kaka congratulations 🎉 Kwa kutuelimisha na kutuburudisha na wenye wivu watabaki kuumwa sanaaaa keep going bro we love u
Asante sana kaka...!! Nashukuru kiukweli🙏
mashallah!Adam your movie is much interesting may God bless you so much for your good job,, watching from kenya❤❤❤
Thanks for watching
Hongera sana kaka adamu mungu akufungulie milango ya kazi zako mungu akubariki uzidi kutupa filamu nzury zaidii ya hii
Shukrani sana, tuko pamoja..
Wow uvumilivu kwa ndoa 💯💯
Jamani
Nice one big love 🔥🔥from 254
🙏🙏🙏thanks kenyan
@@AdamLeoStudios your so creative brother ...I love your project alot keep going 💯
Thanks man, I appreciate🙏
Ushauri wa mama 😍😍
Mama anaupiga mwingi
Watching from Saudi Arabia napenda hi filami sana
Shukrani mno aisee🙏🙏
Jamani kazi nzuri sana kicheko mwanzo hadi mwisho nawapenda
Shukrani mno
Adam nazipenda filamu zako sana,,braza u so creative 🤲🥰🥰
Thanks a lot jamanii🙏🙏🙏
Masha Allah tabaraka Allah Adam mumetupa funzo na pia anasema hasira hasara
Asante sana nashukuru kwa kutazama, usiache ku subscribe ili usipitwe na kazi zijazo🙏🙏
Aloooohh Ina mafunzo mengi mnooo yani inshort mnajua nini mnakifanya,, Hongereni sana 👏👏👏,,, na aliye kudanganya kwenye ndoa tendo ni kila siku ole wake tumkamate atajua hajui na uyo mmakonde msimuache 😂😂😂🙌🏻
Hahahahah jamanii😂😂😂hapa nipo namsaka aliyenidanganya huku nikipanga nguvu za kumkamata mmakonde upya
Big up kaka yaani upo juu 🔥🔥🔥
Thanks
Congratulations 👏 Adam watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thanks a lot
Mashalah 😅❤❤❤ very interesting movie ,,, watching from Saudi Arabia 👌👌👌
Thanks for watching
Movie inamafunzo ndn yke Asante kazi nzuri
Asante sana usiache ku subscribe ili usipitwe na filamu ijayo.
Nice Movie KUDOS👊👊
Thanks a lot.
Nice one.wanaume hupitia mengi whilst drunk coz ya stress🤯😱 mbana
Kweli kabisa
kazi nzuri❤🎉adam waongea kama suleiman hemedi🎉
Asante sana
Nimejifunza kitu sana kwenye hii movie...ongera Adam..!!
Nashukuru sana barikiwa, usiache ku subscribe channel yangu ili usipitwe na filamu zijazo.
Wasia wa mamaaa uko level ingine movie tamuu sanaaa #watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Shukrani mno🙏🙏
Bariki weni wa chezaji wa yi filamu nimejifunza mambo mengi sana kupitia filamu yi kabisa Mama Adamu MUNGU apate ku kubariki sana asante sana.
Shukrani sana🙏🙏