MDANGAJI - New African Movie | 2024 Swahili Movie | Adam Leo Bongo Movie
Vložit
- čas přidán 12. 01. 2024
- MDANGAJI - New African Movie | 2024 Swahili Movie | Adam Leo Bongo Movie
SUBSCRIBE NOW / @adamleostudios
Welcome to Adam Leo STudios CZcams Channel.
Stream and Enjoy Best of Swahili Movies with your favourite artists here on Adam Leo Studios CZcams channel.
SUBSCRIBE NOW to stay updated on all latest Swahili movies.
DO NOT FORGET TO HIT THE NOTIFICATION 🔔 BELL ICON to STAY NOTIFIED ON ALL OUR NEW MOVIES.
#mdangaji #bongomovie #filamumpya #swahilimovies #2023movies #adamleo #adamleobongomovie - Zábava
Angalia filamu yetu mpya hapa
czcams.com/video/siy9nylpx2o/video.htmlsi=TPQWh4-wgxTkO6L8
Huyu dada mdangaji anaitwaje hakika kavurugwa mpaka nimemkubali napenda sana wasanii wanaoweka aibu zao pembeni wawapo kazini
Nimechelewa sana lakin naomben like zangu hii movie kali sana🔥🔥💯
Asante sana
Napenda film zko mara zote hua zinabeba ujumbe mzito😊😊😊ubarikiwe sana❤❤❤❤
Shukrani sana na asante kwa kuliona hiloo🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Umeuanza mwaka kibabe sana kaka bonge Moja la filamu huyo dada mwenye makope ni mkali sana anaweza sana kuigiza
Shukrani sana mkuu
Napenda movie zako sana bro hdi nimekufollw kila Mahali mungu akubariki zaidi 🎉🎉🎉much love from Kenya
Ameen
Brother Adam leo... muko juu sana team Adam big up bro🎉🎉🎉. Can't wait to see you 1M subscribers
Thanks a lot
Waoooooh bonge la movie kwakwel nime enjoy sanaaa na nimefrah sanaaa jmn katika filamu hii
Shukrani sana
Jaman kaka adam movie zako n nzuri san yan nmeipenda😍
Asantee
Bonge la movie jamani Salma.Adam,& zubeda kiukweli wote mmebamba sana' big-up🥳💪
Shukrani sana
This is the film of the year 🎉🎉🎉
Aiseee mapema mnooo asantee sana😂😂😂❤️❤️❤️❤️
Hii ni Kali zaidi ya wakuja nimependa sana hii move nzuri ya mdangajii
Shukrani
MashaAllah movie ina mafunzo sana kwa mwenye akili❤
Shukrani kwa kuelewa🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Uyo ndo salm Sema broo Adam utajta kumjua salm🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha nijute mara ngapi mieee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wow mumeanza mwaka vzr filam zenu nzuri, mhusika mkuu Adam fudi kakangu🎉
Shukrani sana
Asante Sana kaka Adam kwa filamu hii itakua vizuri Sana ukituletea part 2 from Rwanda
Sawa tunalizingatia hilo
Part 2 wakat movie unaona kabsaaa imeisha? Itaenderea nn tena apo
@FunnyConchShell-cf8gv 🙂
Nawakubali nyote team Adam Leo❤❤❤❤Salma naja kuomba hizo kope😅😅
Hahahah anauzaa kopee
Na mikanda ya kupunguza tumbo
@@AdamLeoStudios kabisaa😄😄😄
Congratulations 👏👏👏 All mumeupiga mwingi hongereni nyote big salute i love you all ❤❤❤🎉🎉🎉
Asante
Mdogo wangu adamu umenikumbusha mbali sana nishapitia haya pia hongera sana kwa move nzuri za kuelimisha jamii hasa kwa sisi tunao changia mzazi mmoja mungu ajalie timu yenu mfike mbali
Nashukuru sana🙏🏻🙏🏻
Na kubali movie zko zinamafundisho mazuri❤❤❤❤
Shukrani
@@AdamLeoStudiosjitahidi katika muendelezo mavazi
Movie nayo inaeleweka kinoma, big up guys
Thanks a lot
Kazi nzuri kaka❤❤❤
Asante sana
tuko pamoja sana kutoka Lusaka zambia❤❤❤🎉🎉🎉😂😂😂😂😂
Msalimie Clotus Chota Chama
Asante.ninawapenda.sana.
Adam hujawahi kukosea kazi nzuri sana
Asante sana
Kaka Adam kweli umeamua kutuletea vitu moto moto ama kweli huu mwaka 2024 ni mwaka wafuraha nyingi sana, asante kazi njema bro bigup 👏👏👏👏👏❤.watching from mombasa- kenya.
Thanks
mwenyez mungu azidii kuwavusha hatua moja mpk nyingine ili mfikie malengo yenu kaka adam
Ameen
Napenda sauti yako adam na unavyo jali wanawake ukiingia nao kwenye mahusiano..mungu akubariki usije ukabadilika
Amen
Hongera sanaa adam kwa kazi nzuri tunaomba filam nyingine nzuri kama hii
Sawa hakuna neno
Much love from BURUNDI🇧🇮 ❤❤❤
Me moree❤️❤️❤️
Tuwombe maisha tu! much love from Ethiopia
Watching from Saudi Arabia congratulations Adam and your team
Thanks
MashaAllah very good 👍 movie 😍❤️ watching from UAE 🇦🇪 DUBAI
Thanks
Jamani nakupenda bure😂😂😂
Asanteee🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Daa salma weeeee Kiboko Daaaaah ....ila Hongereni sana Filam yenu nzury sana pia inaelimisha ....kaka Adam Big up 🎉🎉
Asante sana
😂😂😂😂😂kaolwa na mganga tena mchawi 😂😂😂😂chezea penz ww naijua io series zako zina mafunzo sana hongera adam na kado mungu atimize itaji la mioyo wenu amiin thum amiin
Amen
Waaah adam waniacha hoi yan movie nzuri mashallaah ❤❤❤❤
Asante sana
Jimmy
Nipo oman ila napenda sana movie adamu ongela sana allah azidi kukuinua kaka❤
Shukrani sana
Waaaa adam kivumbi leo maua pokea🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Asante
Umetishaaaa🔥 Adam km adam😊❤️
Naam🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Ivi uyo salima uwa zimo kweli au zinakuwag zinatoka kdg Salma anakuwag ananifurahisha kwel❤❤❤😂😂😂😂😅
Hahaha na lengo letu awafurahishe😂😂😂
Mm naona nikama saa Zengine uwa hazimo 😅😅😅
Hongera wewe zaidi,mpe hai mdangaji,kaenda chuo Cha ugizaji,usimsahau jamaa yako aliye komaa Kama mwanajeshi
Aisee
Huyu dada katisha sana amevaa uhusika vilivyo.congrats bro
Shukraniii
Nimeipenda japo mwanzo ilitaka kunikera, move nzuri sana sana
Asante
Walah inanibamba hiii mov na iko na mafunzo ubarikiwe Adam leo❤❤❤❤
Asante sana
Much love from kenya but watching from gulf w2 wangu wa faida
njooni tupunguze stress za wayahudi mgonge likes😂😂😂
Shukrani sana
Adam umebarikiwa sana naomba nami usaidizi wa sh500 Kwa roho yako nzuri kenya
Karibu
Daaa ndio jamii yetu kwasasa ndugu hatupendani kabisa
Umeona eh
Wow kazi nzuri nimeipenda hii filamu ❤❤❤❤ watching from Kenya 🇰🇪
Asante
❤🎉🎉 Kenya 🇰🇪🇰🇪 tunawafatatilia sana
Adam leo kazi nzuri Maashaa ALLAH ❤❤❤🎉
Asante
Nafatilia snaa films zako kutoka 🇨🇦
Shukrani sana
Salma salma. Salma. Nimekuita. Mara3. Nyie. Huyu. Salma atafika. Mabali. Aiseeeeeee. Anajua. Adam. Hongereni sana. Nimecheka. Mimi. Nikifukuzwa. Kazi. Adam. Mtanipa kazi. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahhaah ujee tuu😂😂😂😂
Watching from saudia adam leo movie zako ziko swa👍kwahihi nimejifuza kuogea ukweli 👌
Asante
wow, hakika nimeipenda sana hii cinema. adam leo kazi nzuri sana
Asante
Kaka Adam we ni mtu wawapi kwani kama nakufanisha ivi ila nazipenda kazi zako sana brother ❤
Asante
@@AdamLeoStudiosujanijibu swali langu jomoni 😢
@@AdamLeoStudiosnakufatilia nikiwa USA
kaka upo sawa muvie zako zinafunza jamii na sisi atutachoka tutaendelea kukusapoti big up adam
Shukrani
Wow! So nice. Jamani huyu mudada kasomea uigizaji??? She's a good actor
Yeah she is! Its a talent from God!
I can tell you
Salma Mwizi 😂😂😂nimeiona hio,,,hongera sana team Adam kaz zunu nzuri🎉
Asante
uyu salma izi part ndio zamfaa😂😂🙌
Hahahha umeona eh😂😂
Much love from Saudi Arabia ❤
Asante saudi
Asante sana adamo filamu zango inzorir🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Shukrani mnooo
😂😂Ati wanaume aliokutana nao ni wanane🤣.. Kavunja sheria za wanawake wenzio idadi huwa mbili au tatu😅.... Movie Tam Sana.. Much love from 🇰🇪
Hahahaha jamani eti mbili au tatu
Wawli tu
Blz hujawahi kuniangusha ❤😂😂
Shukrani
Movie nzur kaka❤❤
Shukrani sana
Good job nawapenda wote
Asante sana tunakupenda pia
Duuu mdangaji noma Sana nimecheka yangu yote venye amekuwa anaitisha madawa jamani wanaume tizameni Wana wake bora wakuenda nao nawapenda Sana team Adam nyote ❤🇧🇮
Shukrani sanaa
Love from Mozambique
Nia same name of my mom
Ooh msalimie Mom wetu mwambie tunampenda
Jimmy
aaaaaaaa adam umenikera na iyo huruma yako huyo bibie shemej mngemwacha hapohapo ngoja akawageuke🤣🤣🤣🥰🥰🥰🥰👌
Hahaha jamani tumemuonea huruma😂😂
@@AdamLeoStudios 👏👏🤣🤣
Salma utaniuwa jamani nakupenda bure jamani
Anakupenda pia
Weee Adam wee et hutaki😂😂😂😂😂😂😂😂 salma anakuchokozaa😂😂
Sitakiii kabisaa😂😂😂😂
Naishiwa bando tu ila hamu ya kuangalia tamthilia siishiwi hamu aisee adamu ktk pati zako unacheza vizuri inafundisha sana zuu nakupenda sana umekuwa msataarabu sana hivyo ndivyo inavyotakiwa mpewe mauwa yenu❤❤❤
Shukrani sana
Hongera xana dada mwizi ukapata mume😂😂😂😂❤❤❤
Hahaha jamani
Uyu dada anaitwa mwanambacho au salma kwao ni namanga alinitangulia darasa mimi nipo la sita ye lasaba
Aisee kweli
Namanga wap
Adam wewe nimwanaume mustarabu sana muvie zako pia zinatufuza mengi adam ongera saana niko Zambia lusaka tatamani siku moja tuonane
Karibu Tanzania
movie nzuri sana sana na nakupigia salute adam leo msania mahiri
Asante
Nashangaa kuna filam mbovu hazina maadili wala ushauri wowote zina trends mbele ya filam zako nashangaa sana kaka kaza buti Mungu anaona kazi yako usikati tamaa Mungu atakupa tu km utaamini anaweza na sisi mashabiki zako tutabako na wewe km utabaki kwa hiyo hiyo style yako kwa sababu ndio yenye tumependa filam zako zinaujumbe mzuri
Shukrani sana tupo pamoja
Tunakufwatilia sana flm zaķo nazipenda zaidi❤❤❤❤❤
Asanteee
Yani mtu mmoja anamagojwa yote yadunia😂😂😂
Ni muongo sana huyu binti😂😂😂😂😂
Ila huyu dada mdangaji hua anavaa uhalisia kweli ama ni katabia kake maana amepatia kweli🎉🎉🎉
Anavaa uhalisiaa
Noma sana,,
Nawapenda Sana Kutoka Burundi Guys 🙏🙏🏼🇧🇮🇧🇮 ❤❤❤
Tunakupenda pia
Nmejifunza asanten wote kwa kaz mzur
Asante sana.
Kisokolokwinyo 😂😂😂😂 Nimecheka leo🤣🤣🤣🤣
Hahaha
Huyu salma jaman mmmh huyu dada kiboko🙌🙌🙌🙌
Umeona eh
Kaka honger san kwa kaz mzr san nakupenda san
Shukrani sana.
Much love from kenya❤❤
Asantee
Much love from Kenya ❤❤❤❤
Kwa kweli ni jambo la kufurai na kumpa sifa zote kaka etu Adam and the team Adm Group kwa kazi nzuri sana, # mdangaji huyu mdada anajua kuicheza hiyo tamtilia vizuri.
Shukrani sana
Nzuri sana❤
❤️❤️❤️
Asante
Nawapenda San nyinyi❤
Tunakupenda pia
Wow nasema je Adam we ni umoja filamu nzuri mno zenye mafunzo
Asante snaa
Hahahahaha!!! Mwanzo wa mwaka mzuri, navotazama Kwa film hizi tu Huu mwaka nitatoboaaaa!!
Utatoboa bila shaka
Napenda sana move zako adam❤❤🎉🎉
Shukrani
Hai, kaziyen nimeipend
Shukrani
Much love from Saudi ,❤❤❤❤ nakupenda Adam ❤❤❤❤ movie tamu sana
Asantee
Jaman nimeipenda hongera sana
Asante
Movie nzuri tena yenye mafunzo
Shukrani kwa kuliona hilo
Mashallah kazi nzuli from oman ❤❤❤
Asante sana
adam atakuua hy dada mabomba nane😀😀😀😀
Hahaha acha kabisa
hv haukuwah kufilia series mr? naona itakua bomba pia !!!
Nimefikiria na inakuja
Masha Allah tamu sana 😋hongera team adam❤❤❤❤
Asante mnoo
Jamani huu mzigo mpya umeingia na meli ya saa ngapi Adam😂😂
Asubuhi mapemaaa😂😂
Salma anaweza sana..nampenda bure😅😅
Zimefika!!
Kwhiyo Salma na kope zote hizoo hujala siku ya pili😂😂 acha bhsss😂😂😂😂... enewei una kazi nzuri sana Adam❤ keep it up😊
Nashukuru sana Ubarikiweee
Ubarikiwe kwakuona kope na njaa😂
@@user-bw7ky5oe3y 🤣🤣🤣🤣😩
Mhh jamaa ametaka kulia duuh pole Adam Leo ,🎉🎉🎉🎉🎉
Asante sana