KIHORO | latest 2023 SWAHILI MOVIE | BONGO MOVIE | ADAM LEO
Vložit
- čas přidán 25. 08. 2024
- Kijana Adam ambaye ni dereva boda boda anajikuta katika matatizo baada ya kufumaniwa na mke wa jirani yake Abdallah, ambapo baada ya fumanizi hilo, Abdallah alimuachia bila kumfanya chochote na kumruhusu aondoke kwa sharti la jambo hilo kubaki kuwa siri ya watu watatu, Je, Adam ataweza kubaki na KIHORO hiko kinachomtesa ndani ya moyo wake bila kumwambia mtu? Fuatilia...
.
Filamu hii Imeandikwa na kuongozwa na ADAM LEO
Kwa mazungumzo yoyote ya kibiashara wasiliana nasi kwa simu namba 0652393960.
.
Usisahau ku SUBSCRIBE ili usipitwe na kazi zote tunazoziweka kila mwezi.
Tazama vituko vya dogo aliyezubaa baada ya kutafutiwa mke na mjomba wake😂😂Komedi ya kuchekesha👇👇
czcams.com/video/Fu1K5aTTj10/video.html
1saxxx1❤ww
@@AdamLeoStudios saw broo
Mke wa mtu tutututuu sumu 😅 Adamu kimekukuta kitu 😂😂😂 Haki movie zako ni nzuri na zina uhalisia ,wahusika wanajua kutumia vizuri nafasi wanazo pewa na zinafundisha sana, Mungu akuongoze kwenye njia ya mafanikio 🙏🏻
Ameen
Wapi like za wakenya
Like kama zoooooteeeee.... +254 nawapenda...
Mww sin mbavu ap Adam et nimeshibaaa
Yaani
Hakuna siku inapita kama sijaangalia filamu za Adam
Yapendeza sana,,, Adam unafunza jamii kweli
❤❤❤❤🎉🎉🤝🤗🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪aky hii movie inamafunzo mazuri sana nani pitia hapa
Shukrani sana
Waliomuonea huruma Adam baada ya kufa, gonga like hapa
Asante, ninashukuru.🙏🙏
Mimi hapa😂😂
Hongera sana Adam kwa kutuburidisha unaweza big apu
Shukrani sana
Mashallah hongera sana Adam leo group mnaweza sana zaidi ya sana🔥🔥🔥🔥
Shukrani sana aisee.😊
Adam umeyatimba mke wa mtu sum 🎉🎉kiukweli movie nzuri na Inamafunzo makubwa sana
Asante sana🙏🙏🙏
Katika movie zimebeba uhalisia ni hii Adam. Safi sana,Keep up the good work. Nimependa kila sehemu hasa wahusika wote walivyobeba uhalisia, kwa kutoa machozi, that was great!
Shukrani sana bro, I appreciate🙏🙏
Adam nakubal Sana kwenye move zako unacheza vizur
Asante sana sana.
Jamani mambo mazuri nimewawekea kwenye GROUP LANGU LA WHATSAPP ili kujiunga bonyeza link hii litakupeleka moja kwa moja kwenye WHATSAPP GROUP langu uweze kufurahia kazi zangu nyingi..
chat.whatsapp.com/JAVGpA3xKfVAUKHCGxsVHt
Adam nakukunali sana umetupa funzo kubwa sana kwa sisi wanawake
Shukrani sana
Adam mdogo wangu nimeona movie zako nyingi tu lakini hii kali sana yaani Adam nimelia sana. Adam Nakuombea Mungu sana akuzidishie katika talent zako. Uko juu mdogo wangu.
Shukrani sana aisee🙏🙏
Jamani Adam pole kwa kufumaniwa na mke wa mtu 😭💖🌹😭😭😂ila hongera sana kwa kazi nzuri💖💖🌹🌹💪.
Asante sana🙏🙏
Jaman. Adam. iviukiwa nawifi. inakuje. Maana. Sokwasauti. Hiyo. Daaah. Yote kwayote. Movie. Zako. Tamu balaaaaa. Nakupenda. Mungu akupe hitaji la moyowako. Inshaalh. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amen
Adamu umetisha sana yani umeweza
Asante sana sana
Yani sio movie tu! Hadi mafunzo ndani ..hujawai niangusha damu yngu adamu😁💥💯🙏🏾🏁 hakuna anaejutia bando lake humu bloody ..mungu akuongoze na kazi zako kaka #StayBlessed
Shukrani sana, barikiwa mzee🙏
Hii movie imeniliza kikweli yaani nairudia tenaa,likes za kenyan
Shukrani sana
Kazi nzuri bro keep moving...i pray God to protect you 🙏🙏🙏kweli kaka angu movie zako zanifunza kitu keep moving bro tusha pata the next Stephen kanumba
Amen thanks for the prayers!🙏
Hongera.sana.adam
Asante sana
Broo Adam uko makini sana na ector zako nakukubali kinoma pia na mafunzo ndani yake..bodaboda pia waache tabia mbaya kama hizi
Shukrani sana
Pongezi sana kwenu, filam nzuri sana, ina mafunzo mengi, hasa Adam unaweza sana nawapenda. 09.11.23.
Asante sana
Tangu nimeanza kufuatilia move sana hujawahi niangusha piga kazi kijana .,.....
Shukrani
Jamani wanawake turidhike na waume zetu, watching from kenya
Shukrani mnooo
Wengine wanapesa lkn wanavibamia😂😂
Huyu jamaa anajuaa balaa uktizama movies zake huboeki kwa kweli unatamani usiishe 😍
Shukrani sana, kazi zake zote zinapatikana hapa🙏🙏🙏
Hii move imenipa simansi,,hongereni washiriki
Asante sana
Please nazipenda sana movie ya Sabi iko na mafunzo but pia na penda movie zako Adam leo
Asante sana🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Ongera kabisa 🤙 brother director adam leo ♌ kazi tunafuata toka apa katanga Lubumbashi ☑️✅ napenda sana movie
Shukrani, hongera zako zimefika🙏🙏🙏
Waaah Adam uko vizuri kwenye movie zako sihami ❤❤❤❤🎉
Shukrani sana sana.
Leo hongera sana
Asante sana
Ila dullah anajuwa sana tujifunze Kwa dulah na adam
Shukrani sana
Nakubl kz nzur
Shukrani sana🙏🙏
asante sana
Nawafatiliya 10/10 toka drc congo
asante sana kutoka dc
Asante sana sana, u got love from us🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Da ilih nifunzo tosha❤
Umeoona eh
Kaka Adam nimekupenda bure umeigiza vzr ongera yako lete chuma kingine
Soon nawaletea kazi mpya
mpo vizuri adam
Shukrani, usiache Ku subscribe ili usipitwe na kazi zijazo.
Asanteni nyote. Nawapenda sana🙏🙏🙏
Boss
MashaAllah movie nzuri na Adam una Mke mzuri nimempenda
Shukrani sana🙏🙏
@@Stanbul.Y wole wako ukamnyemelee mke wake utakula ubwabwa na maharage huku unalia🤓
Hahahaha
Kaz nzur sana
Asante sana sana🙏
Tumpe hongera huyu kaka Adam maana kazi zake ni nzur na zinamafunzu aki.
Shukrani sana😂😂
Hatari sanaaaaaa. Wadau si ya kukosa hii. Waambieni na wenzenuuu.
🙏🙏
Waaa kali hii movie iko n mafunzo vizuri adam wanawake tutulie tu n waume zete.... lkn mwisho imenitoa machozi😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Nashukuru asante, comment yako imenipa nguvu ya kuendelea mbele zaidi. Asante sana!
Hadi huluma 😢dah tutulie kwakweli na waume zetu jamani....ila hongera sana kaka Adam na washira wote mumejua kutumia huusika vizuri keep it up ❤❤❤ wapi like za wakenya jamani
Nakubal Adam kwa kazi yko ila yataka moyo pia yatupa fundisho kwetu sisi kizazi cha sahii bigup my brother may Lord God bless you
Thanks a lot.🙏
Yani hii picha ni funzo nimeipenda sana
Asante sana
Shikamoo Adam😂😂😂asalam alaykum warhamtullah wabarakatul Abdallah 🤣🤣🤣🤣.
🙏🙏🙏🙏
Alaa why Adam made me cry sorry honey 😂😂
Very sorry😭😭
Adamu pozi lakulia umetisha,nakupa tuzi
Asantee
Kwel ni Adam Leo na kihoro kweli kazi nzuri hongera. Nimepend una reply cmnt za mashabik zak. Barikiwa sana
Shukrani sana
Nimecheka hapo kwenye kula yaani jamaa aliemfumania adam ako serious. Eti akuetee pilipili😂😂😂😂 adam derea
🤣🤣
Hongera adamu unalia kama kweli bana hii movie namini ndio the best qwa sasa
Asante sana🙏🙏
Ha😅😅😅😅😅😅 mme enjoy vle unalia uache kuchepukaaaaaaaaa
🤣🤣sichepuki tena.
Jamani. Adamu. Movi imeniliza
Polee jamani
Unafundisha kabisa. Big up Adam!
Shukrani sana
Hongera sana Adam love you💖💖🌹
Thanks love u moree..
Nimependa mnaweza ongereni jmn
Asante sana
Adam umepatikana leo funzo hilo wanaume na wanawake mm nimejifunza kiti asanteni sana wapendwa
Asante sana
Nakupenda Adam
Nakupenda pia.
Safiii adamu big up broooo
Shukrani sana..🙏🙏🙏
Hahahaha😂😂😂😂😂 Adam leo jamani upewe maua yko🤣🤣
Shukrani
Filamu balaaaa😂😂weeee
Asante
Filamu nzuri sana hongereni sana adam
Asante sana, nitahakikisha naleta filamu nzuri kila kukicha, usiache ku Subscribe ili usipitwe tu.
Kuna wanawake wengine..na wanaume wengine sijui wakoje..awatosheki..ata uwafanyie nni..watachepuka tu 😭😭😭.. shikamoo mapenzi...mi Niko single naejoy 🤣
Enjoy mama😂😂😂
@@AdamLeoStudios 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
@@AdamLeoStudios kazi njema 🎉🎉
daa unajua sana yan
Shukrani sana
Adam kazi nzuri
Shukrani
Wapili leo Adam keep going 💖💖
Umekuwa wa kwanza, hongeraaa... enjoy filamu nzuri🙏🙏
ajifunze
Kanyimbo kazur cjuih nan alieimba
Anaitwa RUMIE SAJ, mtafute instagram kwa jina hilo.
Thanx
@RumieSaj, unajua sana✔✔✔
Yan mnajua kuigiza ad raha😘😘😘😘bigup
Asante sana aisee.
Ety ni meziraa😂😂😂😂
Hahaha ale mwenyeweee
The ending made me cry😭 so sad😪..!! I love u Adam
Pole, mimi pia nililia.😁 nitajitahidi kufanya filamu zinazogusa hisia za watu, usiache ku Subscribe ili usipitwe.
Adam wee eti pia ww ulilia hivyo tuendelee kulia tu
Hahahah jamani hayaa, ngoja niendelee kulia.
Mguu wangu mguu wako na huyo rafki yako mpka kwa huyo baba,ah mm kule hapana siezi kwenda,na ulpoenda kuyafanya....😅😅😅🤣🤣
😂😂😂😂
Unajaua saan babaaa 😢😢 mke wa mtu sum pole sana sio kwa kulia huko asee na sisi wanawake turidhike na waume zetu jamn maan si ndo vyanzo wa matatz😢😢
Kabisa
Duh filamu kali ama kweli kimya kiko na mshindo Adam kajiuwa mwenyewe na uoga
Shukrani sana🙏🙏
Ebnaa adamu eeee mi nishapiga mke wa mtu lakin kwangu na nilifunga mpka milango ya choooo la kwa move hiii nafuta namba sasa hivi 🤣🤣🤣
Hahahah futa kaka, wanachota unyayo siku hizi... wanaua kimya kimya hawakupigi tena.🤣
@@AdamLeoStudios ebnaa ni hatar sana sasa kwa hiyo adamu ndo umekufa mtu wangu 🤣
Adam Kwishney..
Adam hayo macho basi.sura km kalamba limao
Ogopa kifo, hakina uzuri wa sura ukikishuhudia ndiyo utaelewa mwanadamu anaonekanaje.
ADAMUUUU.UNATISHA KWAKUJUA KUTONGOZA HUJAMBO.WEWE NA WANAWAKE TU.
Msiige vijana hizi movie tu.
Nakubali 😂❤❤
🙏🏻🙏🏻🙏🏻❤️❤️❤️
Nawakubali sana yani Adam nguho imemcheya kama kweli sura ilibadirika kama kweli kabisa mmetisha kinoma eti kula usipige chega😂😂😂Adam 😂chepuka tena Adam rizika na mkeo kime kukuta leo.
Yaani nimeshindwa mimi
Hahha adamu umenichekesha hp 🤣sina mbavu kwa kucheka
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣bado ww fulani adam shukrni kama vile kwli😋💓💓💓
Asante sana aisee🙏🙏🙏
Adam dar zamani sana mpaka nime miss Enzi zetu za kwa chuzy days kihangara😂😂 kazi nzuri sana ndugu balikiwa sana 🙏
Asante nitumie namba zako
Noma sana
Nomaaa
Movie nzur sana kaka Adam 🥰 barikiwa
Amen🙏🙏🙏
Wa pili Leo🤓💪
Hongera mzee, enjoy filamu nzuri.
Kihoro bonge moja la funzo, nimekukubali adam na washiriki wote, filamu nzuri sna
Shukrani sana🙏🙏
Daaaaah funzo nzuri sanaaaa kaka daaaah
Shukrani mno
Adam looo kimekuramba😂😂😂😂❤
Nomaa
Sna cha kusema nikimimwonaga Adam tu najua movie nzur sina shaka nae
Basi hakika hutojutia na hapa utazipata kazi zote za Adam Leo🙏🙏usiache ku Subscribe na kubonyeza alama ya kengele ili usipitwe na kazi mpya kila tunapoziweka.
You have good and seductive movies thnkx 4 everyone who participated in it wish you all the best 🥰🥰🙏
Thanks, I appreciate!!!
Aliemuona adamu akila wali maharang nani
😂😂😂😂oman
Nzr. Sana mashallah. Kaka. Abdallh upo. Vzr. Nakupenda. Sana. Jinsi. Ulivyo
Shukrani sana
Asante
Asnt Adam leo umenifurahisha unavojitetea 😂😂😂
Jamaniii
Hahahaha adamu we mshenzi wewe yani mmi nkiangalia movie yako hua natamani hata isishe brow uko juu haya angalia tv mbn unaogopa
Hahahaha🤣🤣kuogopa muhimu!!
@@AdamLeoStudios unajitia huruma et usamehewe bure mara unamaliza kula jamaa anakupaka mafuta
Hongera Sana nimewakubali sauti ziko poa
@joseph shukrani
Adamu good job
Huna mbaya broo Safi Sana hii kitu
Shukrani sana mkuu, tuisambaze ili ujumbe uwafikie watu wengi..
Mafunzoo mazurii Sanaa San subraaa muhimuu sanaa ktk hii dunia
Kabisa kabisa, subra ndiyo kila kitu.
Adam umetisha kaka umefanya vizuri kwl ila mbn umekuwa moga sana hivo😂😂
Asante sana shukrani
Adamu kula ubwabwa uwo acha uoga jamaa mkarimu huyo
Hahahh mi nimeshibaa🤣🤣
@@AdamLeoStudios hahaha ndio ulie na jicho moja ama wee Fundi qweli
🤣🤣🙏🙏🙏shukrani
@@AdamLeoStudios but ujue kwa mshua umeambiwa kuna sheria
Sasa wewe adamu mtu wangu unakula mzigo wa mlinzi unajisahau hata kufunga .mlango basi ??
Nilinogewa na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.
Hii nimeipenda
Asanteee
Mambo moto jamani😮😮
Endelea ku enjoy.
Mwamba anajua aisee salute🙌
Shukrani sana, tuisambaze ili ujumbe uwafikie watu wengi.
Adam usilie nyamaza tu.usiwaze
😂😂😂 we inatisha unaachaje kulia
Ngumu, kulia lazima.😂@native
@greencity umeona eh
Waa halafu hata kuguswa bado. Duuuh
Good job penda sana adam
Asante
Daaah Kali sana haki ya mungu kihoro kinaweza kuua
Umeona eh
Dada wa Adamu kaenda kuomba msamaha kwa Dullah kutoka kwa Dullah mpka kwa Adam ni mtaa wa4, Dullah rafiki ake walikutana kujadili swala la Adamu, and Adamu alipigiwa simu kwenda Ubungo maziwa ili Dullah aweze kuchota mchanga, Dullah alifanikiwa kuchota mchanga na Adamu alirudi home umauti ukamfika wakati huo dada ake aliye toka mtaa wa4 hajafikaa😂😂 inachanganya sana kwakwelii, Adamu yupo kitandani anaugulia maumivu ya mkono aliwezaje kuendesha boda mpaka Ubungo maziwa?? I think ilipaswa kuwa hata baada ya siku4/5 mbele
Asante kwa maoni.🙏
Pale yule shekhe alikuwa anakumbuka utakuwa hujaelewa tu