KIHORO | latest 2023 SWAHILI MOVIE | BONGO MOVIE | ADAM LEO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Kijana Adam ambaye ni dereva boda boda anajikuta katika matatizo baada ya kufumaniwa na mke wa jirani yake Abdallah, ambapo baada ya fumanizi hilo, Abdallah alimuachia bila kumfanya chochote na kumruhusu aondoke kwa sharti la jambo hilo kubaki kuwa siri ya watu watatu, Je, Adam ataweza kubaki na KIHORO hiko kinachomtesa ndani ya moyo wake bila kumwambia mtu? Fuatilia...
    .
    Filamu hii Imeandikwa na kuongozwa na ADAM LEO
    Kwa mazungumzo yoyote ya kibiashara wasiliana nasi kwa simu namba 0652393960.
    .
    Usisahau ku SUBSCRIBE ili usipitwe na kazi zote tunazoziweka kila mwezi.

Komentáře • 992

  • @AdamLeoStudios
    @AdamLeoStudios  Před rokem +18

    Tazama vituko vya dogo aliyezubaa baada ya kutafutiwa mke na mjomba wake😂😂Komedi ya kuchekesha👇👇
    czcams.com/video/Fu1K5aTTj10/video.html

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před 9 měsíci +5

    Mke wa mtu tutututuu sumu 😅 Adamu kimekukuta kitu 😂😂😂 Haki movie zako ni nzuri na zina uhalisia ,wahusika wanajua kutumia vizuri nafasi wanazo pewa na zinafundisha sana, Mungu akuongoze kwenye njia ya mafanikio 🙏🏻

  • @shilangida4330
    @shilangida4330 Před 2 lety +54

    Wapi like za wakenya

  • @ROSSMUCH-kr3xn
    @ROSSMUCH-kr3xn Před 9 měsíci +9

    ❤❤❤❤🎉🎉🤝🤗🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪aky hii movie inamafunzo mazuri sana nani pitia hapa

  • @bongotamu8758
    @bongotamu8758 Před 2 lety +37

    Waliomuonea huruma Adam baada ya kufa, gonga like hapa

  • @user-fp6jp1mk2v
    @user-fp6jp1mk2v Před 9 měsíci +3

    Hongera sana Adam kwa kutuburidisha unaweza big apu

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb Před rokem +4

    Mashallah hongera sana Adam leo group mnaweza sana zaidi ya sana🔥🔥🔥🔥

  • @SalumNgulya
    @SalumNgulya Před měsícem +1

    Adam umeyatimba mke wa mtu sum 🎉🎉kiukweli movie nzuri na Inamafunzo makubwa sana

  • @raymondkanyama1660
    @raymondkanyama1660 Před rokem +6

    Katika movie zimebeba uhalisia ni hii Adam. Safi sana,Keep up the good work. Nimependa kila sehemu hasa wahusika wote walivyobeba uhalisia, kwa kutoa machozi, that was great!

  • @saidinijimbere4622
    @saidinijimbere4622 Před 9 měsíci +3

    Adam nakubal Sana kwenye move zako unacheza vizur

  • @AdamLeoStudios
    @AdamLeoStudios  Před rokem +1

    Jamani mambo mazuri nimewawekea kwenye GROUP LANGU LA WHATSAPP ili kujiunga bonyeza link hii litakupeleka moja kwa moja kwenye WHATSAPP GROUP langu uweze kufurahia kazi zangu nyingi..
    chat.whatsapp.com/JAVGpA3xKfVAUKHCGxsVHt

  • @user-xk6ig4ft8t
    @user-xk6ig4ft8t Před 7 měsíci +3

    Adam nakukunali sana umetupa funzo kubwa sana kwa sisi wanawake

  • @abdulmajidkarama6469
    @abdulmajidkarama6469 Před rokem +3

    Adam mdogo wangu nimeona movie zako nyingi tu lakini hii kali sana yaani Adam nimelia sana. Adam Nakuombea Mungu sana akuzidishie katika talent zako. Uko juu mdogo wangu.

  • @adijaabubakari4220
    @adijaabubakari4220 Před 2 lety +7

    Jamani Adam pole kwa kufumaniwa na mke wa mtu 😭💖🌹😭😭😂ila hongera sana kwa kazi nzuri💖💖🌹🌹💪.

  • @mamaaanmar1261
    @mamaaanmar1261 Před 8 měsíci +2

    Jaman. Adam. iviukiwa nawifi. inakuje. Maana. Sokwasauti. Hiyo. Daaah. Yote kwayote. Movie. Zako. Tamu balaaaaa. Nakupenda. Mungu akupe hitaji la moyowako. Inshaalh. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-kr3sn9tk9k
    @user-kr3sn9tk9k Před 6 měsíci +1

    Adamu umetisha sana yani umeweza

  • @ommie_nyzer
    @ommie_nyzer Před 2 lety +7

    Yani sio movie tu! Hadi mafunzo ndani ..hujawai niangusha damu yngu adamu😁💥💯🙏🏾🏁 hakuna anaejutia bando lake humu bloody ..mungu akuongoze na kazi zako kaka #StayBlessed

  • @rosemaryolesi5768
    @rosemaryolesi5768 Před 9 měsíci +4

    Hii movie imeniliza kikweli yaani nairudia tenaa,likes za kenyan

  • @milkamakena3914
    @milkamakena3914 Před rokem +5

    Kazi nzuri bro keep moving...i pray God to protect you 🙏🙏🙏kweli kaka angu movie zako zanifunza kitu keep moving bro tusha pata the next Stephen kanumba

  • @Neema-qy3hw
    @Neema-qy3hw Před rokem +1

    Hongera.sana.adam

  • @nassorhaji2637
    @nassorhaji2637 Před rokem +5

    Broo Adam uko makini sana na ector zako nakukubali kinoma pia na mafunzo ndani yake..bodaboda pia waache tabia mbaya kama hizi

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Před 9 měsíci +3

    Pongezi sana kwenu, filam nzuri sana, ina mafunzo mengi, hasa Adam unaweza sana nawapenda. 09.11.23.

  • @mwanamwinyi3372
    @mwanamwinyi3372 Před 7 měsíci +1

    Tangu nimeanza kufuatilia move sana hujawahi niangusha piga kazi kijana .,.....

  • @vivianmwenda9729
    @vivianmwenda9729 Před 2 lety +5

    Jamani wanawake turidhike na waume zetu, watching from kenya

  • @queenofireland898
    @queenofireland898 Před 2 lety +6

    Huyu jamaa anajuaa balaa uktizama movies zake huboeki kwa kweli unatamani usiishe 😍

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 2 lety +1

      Shukrani sana, kazi zake zote zinapatikana hapa🙏🙏🙏

  • @user-zj1hk5oq1n
    @user-zj1hk5oq1n Před 8 měsíci +1

    Hii move imenipa simansi,,hongereni washiriki

  • @user-ug8et6qo6j
    @user-ug8et6qo6j Před 5 měsíci +1

    Please nazipenda sana movie ya Sabi iko na mafunzo but pia na penda movie zako Adam leo

  • @guyngstonnyembo1101
    @guyngstonnyembo1101 Před 2 lety +3

    Ongera kabisa 🤙 brother director adam leo ♌ kazi tunafuata toka apa katanga Lubumbashi ☑️✅ napenda sana movie

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is Před 10 měsíci +3

    Waaah Adam uko vizuri kwenye movie zako sihami ❤❤❤❤🎉

  • @user-nd2yf7vi8f
    @user-nd2yf7vi8f Před 8 měsíci +1

    Leo hongera sana

  • @user-ib7kn6fs4x
    @user-ib7kn6fs4x Před 7 měsíci +1

    Ila dullah anajuwa sana tujifunze Kwa dulah na adam

  • @jumajumanne1455
    @jumajumanne1455 Před 2 lety +5

    Nakubl kz nzur

  • @abdoulmwadjuma2556
    @abdoulmwadjuma2556 Před 2 lety +6

    Nawafatiliya 10/10 toka drc congo

  • @user-sq3rt6qz5n
    @user-sq3rt6qz5n Před 10 měsíci +2

    Da ilih nifunzo tosha❤

  • @pilly238
    @pilly238 Před 9 měsíci +1

    Kaka Adam nimekupenda bure umeigiza vzr ongera yako lete chuma kingine

  • @ramadhanramadhan5051
    @ramadhanramadhan5051 Před 2 lety +4

    mpo vizuri adam

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 2 lety

      Shukrani, usiache Ku subscribe ili usipitwe na kazi zijazo.

  • @jangamefilms
    @jangamefilms Před 2 lety +7

    Asanteni nyote. Nawapenda sana🙏🙏🙏

  • @oswardmsigwa5728
    @oswardmsigwa5728 Před 9 měsíci +1

    Kaz nzur sana

  • @haluarahma3071
    @haluarahma3071 Před 7 měsíci +2

    Tumpe hongera huyu kaka Adam maana kazi zake ni nzur na zinamafunzu aki.

  • @bosskimarotv1252
    @bosskimarotv1252 Před 2 lety +5

    Hatari sanaaaaaa. Wadau si ya kukosa hii. Waambieni na wenzenuuu.

  • @Raz254vicky
    @Raz254vicky Před rokem +4

    Waaa kali hii movie iko n mafunzo vizuri adam wanawake tutulie tu n waume zete.... lkn mwisho imenitoa machozi😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před rokem

      Nashukuru asante, comment yako imenipa nguvu ya kuendelea mbele zaidi. Asante sana!

    • @Damacline4004
      @Damacline4004 Před 7 měsíci

      Hadi huluma 😢dah tutulie kwakweli na waume zetu jamani....ila hongera sana kaka Adam na washira wote mumejua kutumia huusika vizuri keep it up ❤❤❤ wapi like za wakenya jamani

  • @jumamwaro3555
    @jumamwaro3555 Před rokem +2

    Nakubal Adam kwa kazi yko ila yataka moyo pia yatupa fundisho kwetu sisi kizazi cha sahii bigup my brother may Lord God bless you

  • @stellamwakyusa7929
    @stellamwakyusa7929 Před 9 měsíci +1

    Yani hii picha ni funzo nimeipenda sana

  • @khadijaali4989
    @khadijaali4989 Před 2 lety +5

    Shikamoo Adam😂😂😂asalam alaykum warhamtullah wabarakatul Abdallah 🤣🤣🤣🤣.

  • @user-jg5et8uh9z
    @user-jg5et8uh9z Před rokem +5

    Alaa why Adam made me cry sorry honey 😂😂

  • @user-zj1hk5oq1n
    @user-zj1hk5oq1n Před 8 měsíci +1

    Adamu pozi lakulia umetisha,nakupa tuzi

  • @user-jn6ld8hy5s
    @user-jn6ld8hy5s Před 6 měsíci +1

    Kwel ni Adam Leo na kihoro kweli kazi nzuri hongera. Nimepend una reply cmnt za mashabik zak. Barikiwa sana

  • @maherzain615
    @maherzain615 Před 2 lety +5

    Nimecheka hapo kwenye kula yaani jamaa aliemfumania adam ako serious. Eti akuetee pilipili😂😂😂😂 adam derea

  • @madollarmadollar7097
    @madollarmadollar7097 Před 2 lety +6

    Hongera adamu unalia kama kweli bana hii movie namini ndio the best qwa sasa

  • @Felista_tz
    @Felista_tz Před 9 měsíci +1

    Ha😅😅😅😅😅😅 mme enjoy vle unalia uache kuchepukaaaaaaaaa

  • @mbwanangare3233
    @mbwanangare3233 Před 8 měsíci +1

    Jamani. Adamu. Movi imeniliza

  • @jeanettegloria6244
    @jeanettegloria6244 Před 2 lety +4

    Unafundisha kabisa. Big up Adam!

  • @adijaabubakari4220
    @adijaabubakari4220 Před 2 lety +3

    Hongera sana Adam love you💖💖🌹

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it Před 8 měsíci +1

    Nimependa mnaweza ongereni jmn

  • @user-gd6ur5bg5s
    @user-gd6ur5bg5s Před 9 měsíci +1

    Adam umepatikana leo funzo hilo wanaume na wanawake mm nimejifunza kiti asanteni sana wapendwa

  • @maryamrashid8499
    @maryamrashid8499 Před 2 lety +3

    Nakupenda Adam

  • @rhoidakalinga3043
    @rhoidakalinga3043 Před 2 lety +3

    Safiii adamu big up broooo

  • @user-gb8wb3wt2l
    @user-gb8wb3wt2l Před měsícem +1

    Hahahaha😂😂😂😂😂 Adam leo jamani upewe maua yko🤣🤣

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Před 2 měsíci +1

    Filamu balaaaa😂😂weeee

  • @abdoulmwadjuma2556
    @abdoulmwadjuma2556 Před 2 lety +3

    Filamu nzuri sana hongereni sana adam

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 2 lety

      Asante sana, nitahakikisha naleta filamu nzuri kila kukicha, usiache ku Subscribe ili usipitwe tu.

  • @halimaomar2986
    @halimaomar2986 Před 2 lety +5

    Kuna wanawake wengine..na wanaume wengine sijui wakoje..awatosheki..ata uwafanyie nni..watachepuka tu 😭😭😭.. shikamoo mapenzi...mi Niko single naejoy 🤣

  • @CalvinDegele-xh8oo
    @CalvinDegele-xh8oo Před 3 měsíci +1

    daa unajua sana yan

  • @ahmedksa6442
    @ahmedksa6442 Před měsícem +1

    Adam kazi nzuri

  • @adijaabubakari4220
    @adijaabubakari4220 Před 2 lety +3

    Wapili leo Adam keep going 💖💖

  • @paschaljuma3414
    @paschaljuma3414 Před 2 lety +5

    Kanyimbo kazur cjuih nan alieimba

  • @bethamoses837
    @bethamoses837 Před 2 lety +2

    Yan mnajua kuigiza ad raha😘😘😘😘bigup

  • @YohanaMaswaga-ss3ul
    @YohanaMaswaga-ss3ul Před 8 měsíci +1

    Ety ni meziraa😂😂😂😂

  • @evolathamachaki4585
    @evolathamachaki4585 Před 2 lety +9

    The ending made me cry😭 so sad😪..!! I love u Adam

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 2 lety

      Pole, mimi pia nililia.😁 nitajitahidi kufanya filamu zinazogusa hisia za watu, usiache ku Subscribe ili usipitwe.

    • @Janetkerry32
      @Janetkerry32 Před 2 lety +1

      Adam wee eti pia ww ulilia hivyo tuendelee kulia tu

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 2 lety

      Hahahah jamani hayaa, ngoja niendelee kulia.

  • @maherzain615
    @maherzain615 Před 2 lety +3

    Mguu wangu mguu wako na huyo rafki yako mpka kwa huyo baba,ah mm kule hapana siezi kwenda,na ulpoenda kuyafanya....😅😅😅🤣🤣

  • @AminaYazidu
    @AminaYazidu Před měsícem +1

    Unajaua saan babaaa 😢😢 mke wa mtu sum pole sana sio kwa kulia huko asee na sisi wanawake turidhike na waume zetu jamn maan si ndo vyanzo wa matatz😢😢

  • @ayshanani
    @ayshanani Před rokem +1

    Duh filamu kali ama kweli kimya kiko na mshindo Adam kajiuwa mwenyewe na uoga

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 Před 2 lety +4

    Ebnaa adamu eeee mi nishapiga mke wa mtu lakin kwangu na nilifunga mpka milango ya choooo la kwa move hiii nafuta namba sasa hivi 🤣🤣🤣

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 2 lety

      Hahahah futa kaka, wanachota unyayo siku hizi... wanaua kimya kimya hawakupigi tena.🤣

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 Před 2 lety +1

      @@AdamLeoStudios ebnaa ni hatar sana sasa kwa hiyo adamu ndo umekufa mtu wangu 🤣

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 2 lety

      Adam Kwishney..

  • @nativeinfotv9620
    @nativeinfotv9620 Před 2 lety +5

    Adam hayo macho basi.sura km kalamba limao

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 2 lety

      Ogopa kifo, hakina uzuri wa sura ukikishuhudia ndiyo utaelewa mwanadamu anaonekanaje.

    • @nativeinfotv9620
      @nativeinfotv9620 Před 2 lety +1

      ADAMUUUU.UNATISHA KWAKUJUA KUTONGOZA HUJAMBO.WEWE NA WANAWAKE TU.

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 2 lety

      Msiige vijana hizi movie tu.

  • @aishaallyaishaally3220
    @aishaallyaishaally3220 Před 5 měsíci +1

    Nakubali 😂❤❤

  • @user-uz7uq5lj5w
    @user-uz7uq5lj5w Před měsícem +1

    Nawakubali sana yani Adam nguho imemcheya kama kweli sura ilibadirika kama kweli kabisa mmetisha kinoma eti kula usipige chega😂😂😂Adam 😂chepuka tena Adam rizika na mkeo kime kukuta leo.

  • @queenofireland898
    @queenofireland898 Před 2 lety +3

    Hahha adamu umenichekesha hp 🤣sina mbavu kwa kucheka

  • @asmatabdallah1368
    @asmatabdallah1368 Před 2 lety +6

    Adam dar zamani sana mpaka nime miss Enzi zetu za kwa chuzy days kihangara😂😂 kazi nzuri sana ndugu balikiwa sana 🙏

  • @mohamedmwinyi1012
    @mohamedmwinyi1012 Před rokem +1

    Noma sana

  • @Xialover2
    @Xialover2 Před 9 měsíci +2

    Movie nzur sana kaka Adam 🥰 barikiwa

  • @japhetadelard9465
    @japhetadelard9465 Před 2 lety +3

    Wa pili Leo🤓💪

  • @bongotamu8758
    @bongotamu8758 Před 2 lety +4

    Kihoro bonge moja la funzo, nimekukubali adam na washiriki wote, filamu nzuri sna

  • @AgueroBoaz-ei5qt
    @AgueroBoaz-ei5qt Před 6 měsíci

    Daaaaah funzo nzuri sanaaaa kaka daaaah

  • @aminaneema495
    @aminaneema495 Před 7 měsíci +1

    Adam looo kimekuramba😂😂😂😂❤

  • @emmykisigelile4412
    @emmykisigelile4412 Před 2 lety +5

    Sna cha kusema nikimimwonaga Adam tu najua movie nzur sina shaka nae

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 2 lety

      Basi hakika hutojutia na hapa utazipata kazi zote za Adam Leo🙏🙏usiache ku Subscribe na kubonyeza alama ya kengele ili usipitwe na kazi mpya kila tunapoziweka.

  • @angeladorrell9454
    @angeladorrell9454 Před 2 lety +3

    You have good and seductive movies thnkx 4 everyone who participated in it wish you all the best 🥰🥰🙏

  • @mbwanangare3233
    @mbwanangare3233 Před 8 měsíci +1

    Nzr. Sana mashallah. Kaka. Abdallh upo. Vzr. Nakupenda. Sana. Jinsi. Ulivyo

  • @user-kf1jv2nm1l
    @user-kf1jv2nm1l Před 3 měsíci +1

    Asnt Adam leo umenifurahisha unavojitetea 😂😂😂

  • @madollarmadollar7097
    @madollarmadollar7097 Před 2 lety +4

    Hahahaha adamu we mshenzi wewe yani mmi nkiangalia movie yako hua natamani hata isishe brow uko juu haya angalia tv mbn unaogopa

  • @djchgxfdudvg2860
    @djchgxfdudvg2860 Před 2 lety +3

    Huna mbaya broo Safi Sana hii kitu

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 2 lety

      Shukrani sana mkuu, tuisambaze ili ujumbe uwafikie watu wengi..

  • @hasinamwako4589
    @hasinamwako4589 Před 2 lety +2

    Mafunzoo mazurii Sanaa San subraaa muhimuu sanaa ktk hii dunia

  • @user-ki9lz5sr4d
    @user-ki9lz5sr4d Před 8 měsíci +1

    Adam umetisha kaka umefanya vizuri kwl ila mbn umekuwa moga sana hivo😂😂

  • @madollarmadollar7097
    @madollarmadollar7097 Před 2 lety +4

    Adamu kula ubwabwa uwo acha uoga jamaa mkarimu huyo

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 Před 2 lety +5

    Sasa wewe adamu mtu wangu unakula mzigo wa mlinzi unajisahau hata kufunga .mlango basi ??

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 2 lety +1

      Nilinogewa na siku ya kufa nyani miti yote huteleza.

  • @user-ib7kn6fs4x
    @user-ib7kn6fs4x Před 7 měsíci +1

    Hii nimeipenda

  • @EmelyneNiyonsaba
    @EmelyneNiyonsaba Před 9 měsíci +1

    Mambo moto jamani😮😮

  • @octavianmasala3862
    @octavianmasala3862 Před 2 lety +3

    Mwamba anajua aisee salute🙌

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 2 lety

      Shukrani sana, tuisambaze ili ujumbe uwafikie watu wengi.

  • @nativeinfotv9620
    @nativeinfotv9620 Před 2 lety +4

    Adam usilie nyamaza tu.usiwaze

  • @user-rz1tk8ni3f
    @user-rz1tk8ni3f Před rokem +2

    Good job penda sana adam

  • @zulekhaabdallah2966
    @zulekhaabdallah2966 Před 8 měsíci +1

    Daaah Kali sana haki ya mungu kihoro kinaweza kuua

  • @Ligobatov
    @Ligobatov Před rokem +6

    Dada wa Adamu kaenda kuomba msamaha kwa Dullah kutoka kwa Dullah mpka kwa Adam ni mtaa wa4, Dullah rafiki ake walikutana kujadili swala la Adamu, and Adamu alipigiwa simu kwenda Ubungo maziwa ili Dullah aweze kuchota mchanga, Dullah alifanikiwa kuchota mchanga na Adamu alirudi home umauti ukamfika wakati huo dada ake aliye toka mtaa wa4 hajafikaa😂😂 inachanganya sana kwakwelii, Adamu yupo kitandani anaugulia maumivu ya mkono aliwezaje kuendesha boda mpaka Ubungo maziwa?? I think ilipaswa kuwa hata baada ya siku4/5 mbele