FILAMU YA KINYOZI (Bongo Movie)
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Baada ya Mumewe kurudisha mapenzi kwa mwanamke wake wa zamani kisa yeye kushindwa kupata mtoto, Hadija anajikuta akiangukia katika penzi la Kinyozi, kwa kujua anatatua tatizo kumbe alikuwa akiongeza tatizo! Fuatilia filamu hii yenye mkasa wa kusisimua.
Written & Directed by ADAM LEO
Produced by Darcity Empire
Usiache Ku subscribe kwa filamu bomba na nzuri kama hizi.
Usiache kutazama shortFilm nzuri ya MAAMUZI MAGUMU hapa👇👇
czcams.com/video/s0-pKGpqX4Y/video.html
Adam vipi, kwa kweli filamu zenyu tamu sana ila mnatukosea Sisi mashabiki kwa kutunyima sauti rekebisha hilo kwa wenye kurecord sauti kaka, much love from Kenya 🥂🍾
Sawa
Baada ya kuwa kimya muda mrefu, tukiwaandalia filamu na tamthilia mpya, sasa tumerudi tena! Usiache kusubscribe ili uwe wa kwanza kutazama kazi mpya tu mara tutakapoiweka! Asanteni, tunawapenda sana.
Mkn bbu
@@youngyoungdizzo5255 poa poa
Hongera sana kaka adamu movie zako nzuri kweli
Shukrani
Sawa Adam tunaingoja kwahamu 😋
Umetoa fundisho Sana Kaka wasanii Kama nyinyi ndio tunawahitaji
Shukrani sana man. Appreciate!
Haya maisha yapo kwenye jamii yetu
Dada zetu wanateseka mama zetu wanateseka
Ndugu zetu wanakufa
Tunakosa utu kwa viumbe hao mpende mkeo mjali mfanye rafiki
Nimejifunza vingi sana
Ahsanteni kwa ujumbe
Asante kwa kuwa ujumbe wangu umefika, 🙏🙏🙏🙏
Kbisa ushasem
Naam
Nicee Adam kaz nzurii Naamini nikimaliza chuo nakujaa kuungana na nyie napenda uigizaji sana❤️❤️🌹
Shukrani sana.
Ndoayo Sasa majuto ni mjukuu Bora ungemsikiliza kakayako Broo Adam ,Akuna malefu yasiyo kuwa na ncha .
Kweli kabsa
Movie nzuri sana mm leo wakwanza kuitizama
Asante kwa kuwa hapa, Filamu kali na tamthilia kali zenye mafunzo na kuburudisha zinakuja!
@@AdamLeoStudios nazisubir kwa hamu maana napenda sana kazi zenu nzuri sana.
Mhuu Bala bulu napenda Sana filam zenu
ShukrAni🙏
movie mzuri sana🎉🎉🎉🎉🎉 Nampenda saaaana kaka wa Adamu😘😍
Nzuri sana💞 tumejifunza kitu
Asante sana! Hakikisha una Subscribe channel yetu ili uwe karibu na kazi zetu.
Dahh ana chura huyo
Hahaa haya bhana
Nilivyoidhania tofauti na nilichokikuta ndani ,, move ni nzurii nimejifunza Jambo frani,,,
Asante sana, mara zote huwa najitahidi kutoa filamu zenye mafunzo kwa jamii yangu, asante kwa maoni yako! Subscribe channel yangu kwaajili ya filamu zangu bora zijazo, Asante Marry.
Wewe Adam kiboko napenda film zako kariba zbar
Shukrani
Shukrani
Aaa filamu nzuri lia sauti imezingua bhana
Haya asante
Adam kimekukuta pole ila movie nzur ❤❤🎉🎉
Shukrani
😂😂😂😂😂Adam kaka 🎉🎉pole
Asantee
Haahaaaahaaaaa kaka wa Adamu nimempenda bure🙏🏼😍
Ushauri wake konki!
Jamaa yuko vizur wakongwe hao
Sinema nzuri ila sauti Haina sehemu zingine.ila hongera sana brother Adamu leo
Asante sana
Maskini. Adamu. Pole. Mke wamtu. Sumu. Daaaah. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kweli kabisaa
Adam nkupenda Bure kaka kaz nzur
Asante saana!!
Daaah unanifany nipend sana film za kibong sas unaandka stry nzur inakuw na mvuto maan inaanza kw kuvutia sana hkuna sehem inaboa kuangalia kila sehem unayoangalia inavutia.....IMENIBURUDISHA IMENIFUNZA PIA.....aaiiseeee usibwetek KAZ NZURI..... 💯 100%
Asante sana, ubarikiwe!!!🙏🙏🙏
Jamaa anajua sana aisee kila siku namfatiria mnoo
Shida hapa ni sauti kupoteza lakini nasema ni bonge la movie hongera sana.
Shukrani sana aisee.
Dah bonge la move nakukubali sana Adam
Shukrani, usisahau ku subscribe kwa filamu zetu zijazo.🙏🙏🙏
❤❤🎉cogratulation movie zuri sana Adamu keep Going ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thanks.
Congratulations for you MR Adamu, for best and qualified work of art. The talent you have is highly.. is can't compered with other movies.
Thank you very much!!! 🙏🙏
Oyee maskn Adam polee
Asante
Jamani inahuzunisha sana, asante kwa mafundisho 🙏🙏 movie nzuri
Asante sana!🙏🙏
Napenda saana jinzi shetani hukuingilia ifikapo upande wa mapenzi na wanawake wa wenyewe adam😂😂😂😂.nway our amounts na watu kuhusu jambo lisilofaa inabidi arekebishe bure tu ulimwengu utamfunza.funzo zuri kweli pia watu waheshimu ndoa zao
Asante kwa maoni yako🙏
Hakika ni nzuri sana na inamafunzo mazuri ,mungu akubarik adamu juu ya kazi yako ya kuelimisha jamii
Shukrani sana, ubarikiwe nawe🙏🙏
Movie nnzuri ilaa sauti inazinguwa sana
Polee
Tujifunze hapa vijana mke wa mtu ni sumu bonge moja ya movie ♥️♥️👌
Shukrani sana kwa kutazama.
Nimeipenda sana iyo muv na imefundisha kwaujumla hongelen na tunategemea kupat nyingin yeny fundish kubwa zaid
Dawa yamoto nimoto safi nime penda sana
Asante sana, subscribe channel yetu sababu ndiyo tumeanza kuachia kazi zetu.
Asante sana.
@@hadijamrope9136 in
mwanaume ndo chazo cha matatizo
Safii sana ila kaa huzai shida kw ndoa na ukizaa pia watelekezwa unabaki kulea watoto pekeako tufanyeje jameni ila nimejifunza kitu kikubwa sana hongere Adam Leo
Shukrani sana aisee...! Uendelea kutazama filamu zangu nina mengi kwaajili yenu.
Asante pia watufunza mengi
Shukrani sana my sister, tupo pamoja.
Sisi ambao tunajua kuzaa hatuwez sijui itakuwaje
Mmeigiza Vzr sn Wasanii wote hongereni sn 👏👏👏👏👏👏👏
Asante sana!!!
Movie nzuri sana yenye mafunzo,kwa waumme,kwa wake na kwa vijana,sauti tu kidogo ndio inaleta mshikila Adam keep it up great job.
Shukrani sana🙏
Daah hii ya mtt hadija polee
Kabisa
Mi imeniboa hii filam adam namkubali movie zke lkn hii dah wamemfny kitu co dah
Huyu jamaa nae calichepuka nje ya ndoa nayeye wangemnanii km vipi imeniboa sana RESPECT KWA ADAM hongera
Hahaha shukrani bhana, ni kutoa mafunzo tu! Watu waheshimu wake zao na vijana waheshimu wanawake wa watu hasa walio ndani ya ndoa.
Nmechelewa kuiangalia ukwelii move kari Ina mafunzo Kwa wanandoah 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Asante kwa kulitambua hilo! Usiache ku subscribe ili usipitwe na filamu yangu ijayo!🙏🙏🙏
Mbonge kali
Asante sana
Mwamba ukaamua kuninyooshea watu daaah Adam kwenye sene za mapenz hunaga mchez unauvaa uhalisia vzr vzr
Shukrani sana...!!!
congratulations Mr adama kwa video zako mzuri tunazipa kutoka hapa kenya
Asante sana much love to🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Adam leo unakazi nzur sana🎉🎉🎉🎉sans
Asante sama
Nampenda sana uyo dada yaan napenda sana jinsi anavoongea na ka baby face chake jaman ❤❤❤
Shukrani
Duuuuuuh! Ila Adam mandevu uko vizur big up!!😀😃😄😅😅😂
Asante sana!!! Hakikisha una subscribe channel yetu kwa kazi zijazo💟
Adam umepatika washakula kwa mparange🤣🤣pole bby
😂😂😂😂
Congratulations bro Adam for good job keep it up
Thanks
Kweli raha ya ndoa ni watoto. Aky hongera san kaka Adam mm huangalia movie zako na zinanifunza mengi sana feel loved from 🇰🇪
Asante sana wa Kenya🙏🙏🙏
Adam jaman acha moto banaaah 😂😂😂
Shukrani..🙏🙏🙏
Wew Adam sauti yako inanimaliza kabisa 😃😃😃
Jamaani asante sana nashukuru!!🙏🙏
Yaan nilijua mimi peke yangu,una sauti nzuri MashaAllah
@@leylasaid3629 yan hadi raha 💚💚
Asanteni jamani.
Adam sauti yako inafanana na sauti ya Sagar kwny tamthilia ya Gangaa ya star swahili au ni wew ndye uliyetafsili ile voice
Ndiyo hujakosea
MUVI KALI DIRECTOR BABA MWENYE GARI MJINI
Poa poa man
Adam movie zako zabamba na jinsi unavyowapenda hao warembo
Shukrani sana
Yan movie inafundisha sana 💞💞
Asante sana!
Kaa karibu nasi kazi nyingi nzuri zinakuja.
Jmn mlikuwa wp tuliwamic sana tunapenda kazi sana hongereni washiriki wote jmn kazi nzuri sana
Asante sana, tunakukaribisha U subscribe channel yetu tunapost filamu mpya na tamthilia zetu kila siku.
Hiii Story Kama Inanihusu😂😂😂💪
Hahahahaha sawa man/
Haya Mambo yapo Sana.
Asante sana kwa maoni yako, tunaendelea kujitahidi kuweka kazi zetu za kuburudisha na kufundisha pia! Subscribe channel yetu ili uwe wa kwaza kujionea kazi mpya.
Imetugusa wengi move hii,Kuna mwanaume aliniambia tuishi Kama kaka na dada leo anachukuwa cm zawatu ananifuta waaaaaapi nishakwendaaa,vizuri mnafundisha Yani mnafundisha sana
@julihan asante sana! Tutahakikisha tunatia filamu zenye mafundisho mara kwa mara.
Ongera sana ndugu yangu na watu wako kwa kazi nzr
Shukrani
Kwa kweli Adam napenda movie zako Sana Zina mafunzo Sana
Asante sana
Wow big up broo kwa move yko tamu sema tuu upande wa sauti ndio mna boo sana sauti inakatakata kwl
Ni tatizo la mtandao ila kwenye filamu nyingine ipo sawa.
Hongera kwa kazi nzuri Adam aki we ni kiboko
Asante
Wewe adam asha ujinga filam gani hiyo mara hakunasaut
Aisee
Oya Adam hii umeuwa kaka mafunzo kw wingi nakubal kaz
Shukrani sana.
Mr Adam in short unatoa amazing movie .Mungu akujalie sana
Ameen
Mashallah movie nzuri na ina mafunzo
Asante sana!
Hakika kazi nzuri..
Ina mafundisho makubwa sana..
Lkn kali zaidi ni KIHORO...
Shukrani sana, zipo nyingi zinakuja tuombe uzima na afya.
@@AdamLeoStudios pamoja
Poa
Sitii neno Asante kwa funzo Zur adam
Shukrani sana🙏🙏
Nawapenda sana ndugu zangu wa Tanzania ❤❤nikiwa hapa kenya 🇰🇪🇰🇪 sauti imekatakata
Shukrani
Big up sana adam uk p
Shukrani sana
Penda sana wajina wa mume wangu Adam master
asante
Hahahaha!Adam,unajua sana kuingiza,very nice
Asante sana. 🙏🙏🙏
kazi mnzuri_sana my ongereni_washiriki_wote kwajuhudi_namafinzo_mengi_ndani_ya hii_video
Shukrani sana, asante kwa kutazama ubarikiwe.
@@AdamLeoStudios amiin amiin yarabi_ubaeikiwe_na wewe kakaangu kwatuelimisha
Amen🙏🙏🙏
Iyi movie ninzuri lakini muri kata sana Sauti,ao simu yangu ndoo iko feki ?
Niukweli sauti ilikata sana
Kweli KBS sauti hakuna
Wamefelisana kwenyesauti
Mmmmh huuuw jamani imeniuma huyu mdada asiyezaa
Mmmh adamu nyie kiboko mi shabiki wenu nalala saa 7
Asante dada, endelea kutazama filamu zetu nyingine hapa hapa Darcity Tv.
Banae mkunaji 😂😂😂❤
🤣🤣
Daah! hongereni sn kwnz kbs tukianza na Opening Credit ni nzuri sn,,,,Sound iko Vzr sn na idara za Uaandaji wa Filamu km Production department,,,,Grip department,,,,Camera department,,,,S.F.X (Special Effects) department,,,, Electric department ziko poa japo sio zote sijaziona..... Watanzania 🇹🇿 tunajitahidi sn Kwny tasnia ya Filamu.... tutafika tu kuuza Movie zetu Dunia nzima Soon 👏👏👏👏👏👏👏👏
Amen🙏
Yaaan jamn nilikuwa sijawah erew mov z kibongo saiv jamn kha
Shukranii🙏🙏🙏🙏
Nkubar kak adam
Shukrani
Ooooh........ Nimekuona kumbe Adamu wa maneno ya kuambiwa....... Ooooohhhh. Poa sana..
Kuna Adam wawili! Adam wa maneno ya kuambiwa anaitwa HAJI ADAM, na Adam KINYOZI anaitwa ADAM LEO.
Hi natokea Kenya @Adam Leo nakupenda mno , natumai siku moja tutaonana 💖💖
Karibu sana
@@AdamLeoStudios salamia Adam na akuje kenya
Naam nitakuja huko
nice one leta mpya adam im from kenya
Sawa mpya zajaa
Adam unanikosha sana,uko kama kanumba,
Aisee, haya bhana asante.
Nice movie dah movie nzuri sana inaelimisha respect kwenu
Shukrani Albini, hakikisha una subscribe channel yetu kwa kazi zetu mpya...
Msijali tayr nimeshatimiza hilo ila ile movie ingekua na part 2 ingekua konki maana tamu bhana😋😋😋
Tumalifanyia kazi ombi hili ndugu.
Inakuwaje hapo amerudi amelewa mchana alafu mchepuko anapiga simu anasema usiku mwema
Tumekosea.
Nzr sana Adamu kz nzr sana nishilikishen na mm jmn naweza
Karibu. Kwa shughuli za kisanaa tutafute humu 0652393960
Nimeipenda sanaa kwakweli
Asante sana, endelea kuwa hapa kwa filamu nyingine nzuri zaidi.
@@AdamLeoStudios sawa sawa tuko pamoja muendelee kutupa mazuri
Kazi nzuri sana 🎉🎉❤❤
Shukrani sana
Aii kinyozi kazi unayo. kama iyo ndio biashara. yako ww ni ng'ombe ikijipeleka kwa buchari ndugu ya adamu nime kupenda bure🙂🙂
Asante sana.
Asante sana, subscribe channel yetu kwa kazi zetu bora mpya. Asante.
Adamu mbna hii move mmekata kata saut mno jamn
Cyo sisi ni hao youtube ila movie zingine ziko poa.
Ayaa bro kaz yako ni zur kwakwwr
Shukrani sana
Kumbe adam ni mkirsto bac umekaa km muislam voo
Hahah wengi tu wasema hvyo.
Filam imetulia na ina massage nzuri
Asante kwa kutazama, usiache ku Subscribe kwa kazi zetu zijazo!
Hongeren xn kz zur an.dear trend.
Shukrani sana🙏🙏🙏
Ndo watu wanauwaga wake zao sababu hii ya wivu daaah movie mzuri inamafuzo mazuri
Asante sana! Usiache ku Subscribe channel yetu kwa kazi zetu zijazo!
Huyu Adam kafanana na mpenz wangu Wa zamani kila kitu kweli Duniani watu wawili wawili
Kweli kabisa wawili wawili.
😂😂😂😂🎉wewe mimi nampenda uyukaka jamani
Nakubali mzeh Kaz nzuri. Mwanangu mi ni xhabiki wako namba1
Asante sana,,
Adamu unajua kuigiza baraaa.
Asante sana, nashukuru kwa kuendelea kutazama kazi zangu.🙏
Broo mungu akuongoze vyema nakukupa maono zaid ya ulionayo sasa juu yakukuza ulichonacho
Amen kaka. Ubarikiwe nawe sana.
Movie nzur sana kaka adam na inamafunzo
Asante sana kwa kutazama jamani.
Nimemkubali sana Hadija ameipatia sana movie hii ila come saluti kwako ila wanaume tujifunze tuache ujina Hadija nitafute upate dina cku moja
Asante sana! Usiache ku Subscribe channel yetu kwa filamu zetu zijazo.
Ni nzuri work hard bro but kuna sehemu hamna sauti
Yah zilikuwa ni changamoto za kimtandao, lakini kwenye filamu mpya zimeshafanyiwa kazi.
Big up guys kazi nzuri sana
Shukrani man.!!
Hongeleni muvi nzuli jamani ina fundisha
Asante sana
Movie za Adam nzur lakn hii sasa sauti seem nyingne Hamna jitahdn
Asante, tumeshaitatua hiyo.