FILAMU YA KINYOZI (Bongo Movie)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Baada ya Mumewe kurudisha mapenzi kwa mwanamke wake wa zamani kisa yeye kushindwa kupata mtoto, Hadija anajikuta akiangukia katika penzi la Kinyozi, kwa kujua anatatua tatizo kumbe alikuwa akiongeza tatizo! Fuatilia filamu hii yenye mkasa wa kusisimua.
    Written & Directed by ADAM LEO
    Produced by Darcity Empire
    Usiache Ku subscribe kwa filamu bomba na nzuri kama hizi.

Komentáře • 815

  • @AdamLeoStudios
    @AdamLeoStudios  Před rokem +9

    Usiache kutazama shortFilm nzuri ya MAAMUZI MAGUMU hapa👇👇
    czcams.com/video/s0-pKGpqX4Y/video.html

  • @loveCatholic254
    @loveCatholic254 Před 6 měsíci +2

    Adam vipi, kwa kweli filamu zenyu tamu sana ila mnatukosea Sisi mashabiki kwa kutunyima sauti rekebisha hilo kwa wenye kurecord sauti kaka, much love from Kenya 🥂🍾

  • @AdamLeoStudios
    @AdamLeoStudios  Před 3 lety +31

    Baada ya kuwa kimya muda mrefu, tukiwaandalia filamu na tamthilia mpya, sasa tumerudi tena! Usiache kusubscribe ili uwe wa kwanza kutazama kazi mpya tu mara tutakapoiweka! Asanteni, tunawapenda sana.

  • @lenitotz7082
    @lenitotz7082 Před 3 lety +15

    Umetoa fundisho Sana Kaka wasanii Kama nyinyi ndio tunawahitaji

  • @BabaTheo
    @BabaTheo Před 3 lety +10

    Haya maisha yapo kwenye jamii yetu
    Dada zetu wanateseka mama zetu wanateseka
    Ndugu zetu wanakufa
    Tunakosa utu kwa viumbe hao mpende mkeo mjali mfanye rafiki
    Nimejifunza vingi sana
    Ahsanteni kwa ujumbe

  • @abelybutoki6911
    @abelybutoki6911 Před 3 lety +5

    Nicee Adam kaz nzurii Naamini nikimaliza chuo nakujaa kuungana na nyie napenda uigizaji sana❤️❤️🌹

  • @user-ru6kh4de7e
    @user-ru6kh4de7e Před 9 měsíci +3

    Ndoayo Sasa majuto ni mjukuu Bora ungemsikiliza kakayako Broo Adam ,Akuna malefu yasiyo kuwa na ncha .

  • @sabrajuma4112
    @sabrajuma4112 Před 3 lety +15

    Movie nzuri sana mm leo wakwanza kuitizama

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 3 lety +3

      Asante kwa kuwa hapa, Filamu kali na tamthilia kali zenye mafunzo na kuburudisha zinakuja!

    • @sabrajuma4112
      @sabrajuma4112 Před 3 lety +4

      @@AdamLeoStudios nazisubir kwa hamu maana napenda sana kazi zenu nzuri sana.

    • @emmanuellyanda3114
      @emmanuellyanda3114 Před 2 lety +2

      Mhuu Bala bulu napenda Sana filam zenu

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 2 lety

      ShukrAni🙏

  • @hadija846
    @hadija846 Před 3 lety +7

    movie mzuri sana🎉🎉🎉🎉🎉 Nampenda saaaana kaka wa Adamu😘😍

  • @salhahassan2591
    @salhahassan2591 Před 3 lety +6

    Nzuri sana💞 tumejifunza kitu

  • @marryvicent4741
    @marryvicent4741 Před 3 lety +5

    Nilivyoidhania tofauti na nilichokikuta ndani ,, move ni nzurii nimejifunza Jambo frani,,,

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 3 lety +1

      Asante sana, mara zote huwa najitahidi kutoa filamu zenye mafunzo kwa jamii yangu, asante kwa maoni yako! Subscribe channel yangu kwaajili ya filamu zangu bora zijazo, Asante Marry.

  • @BIUBWASuleyman
    @BIUBWASuleyman Před měsícem +2

    Wewe Adam kiboko napenda film zako kariba zbar

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Před 2 měsíci +1

    Aaa filamu nzuri lia sauti imezingua bhana

  • @user-hw9ii7ge9s
    @user-hw9ii7ge9s Před 2 měsíci +1

    Adam kimekukuta pole ila movie nzur ❤❤🎉🎉

  • @aminaneema495
    @aminaneema495 Před 7 měsíci +1

    😂😂😂😂😂Adam kaka 🎉🎉pole

  • @hadija846
    @hadija846 Před 3 lety +7

    Haahaaaahaaaaa kaka wa Adamu nimempenda bure🙏🏼😍

  • @elijahwelim6901
    @elijahwelim6901 Před 10 měsíci +2

    Sinema nzuri ila sauti Haina sehemu zingine.ila hongera sana brother Adamu leo

  • @mamaaanmar1261
    @mamaaanmar1261 Před 9 měsíci +2

    Maskini. Adamu. Pole. Mke wamtu. Sumu. Daaaah. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-mt8st9nl1g
    @user-mt8st9nl1g Před 10 měsíci +2

    Adam nkupenda Bure kaka kaz nzur

  • @danielkikotidk7610
    @danielkikotidk7610 Před 3 lety +8

    Daaah unanifany nipend sana film za kibong sas unaandka stry nzur inakuw na mvuto maan inaanza kw kuvutia sana hkuna sehem inaboa kuangalia kila sehem unayoangalia inavutia.....IMENIBURUDISHA IMENIFUNZA PIA.....aaiiseeee usibwetek KAZ NZURI..... 💯 100%

  • @Goals592
    @Goals592 Před rokem +4

    Shida hapa ni sauti kupoteza lakini nasema ni bonge la movie hongera sana.

  • @cloudearally6709
    @cloudearally6709 Před 3 lety +3

    Dah bonge la move nakukubali sana Adam

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 3 lety +1

      Shukrani, usisahau ku subscribe kwa filamu zetu zijazo.🙏🙏🙏

  • @ROSSMUCH-kr3xn
    @ROSSMUCH-kr3xn Před 10 měsíci +1

    ❤❤🎉cogratulation movie zuri sana Adamu keep Going ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @kimendekimendekimende4626

    Congratulations for you MR Adamu, for best and qualified work of art. The talent you have is highly.. is can't compered with other movies.

  • @halimadamasi2770
    @halimadamasi2770 Před 2 měsíci +1

    Oyee maskn Adam polee

  • @jeanettegloria6244
    @jeanettegloria6244 Před 3 lety +5

    Jamani inahuzunisha sana, asante kwa mafundisho 🙏🙏 movie nzuri

  • @jacklinekenyanya9352
    @jacklinekenyanya9352 Před rokem +2

    Napenda saana jinzi shetani hukuingilia ifikapo upande wa mapenzi na wanawake wa wenyewe adam😂😂😂😂.nway our amounts na watu kuhusu jambo lisilofaa inabidi arekebishe bure tu ulimwengu utamfunza.funzo zuri kweli pia watu waheshimu ndoa zao

  • @nurusaidi3481
    @nurusaidi3481 Před 2 lety +3

    Hakika ni nzuri sana na inamafunzo mazuri ,mungu akubarik adamu juu ya kazi yako ya kuelimisha jamii

  • @user-dx6lk8kz8w
    @user-dx6lk8kz8w Před 8 měsíci +2

    Movie nnzuri ilaa sauti inazinguwa sana

  • @hassanisaidi9860
    @hassanisaidi9860 Před 2 lety +2

    Tujifunze hapa vijana mke wa mtu ni sumu bonge moja ya movie ♥️♥️👌

  • @mohamedmussa9396
    @mohamedmussa9396 Před 3 lety +5

    Nimeipenda sana iyo muv na imefundisha kwaujumla hongelen na tunategemea kupat nyingin yeny fundish kubwa zaid

  • @mercymuranga817
    @mercymuranga817 Před rokem +2

    Safii sana ila kaa huzai shida kw ndoa na ukizaa pia watelekezwa unabaki kulea watoto pekeako tufanyeje jameni ila nimejifunza kitu kikubwa sana hongere Adam Leo

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před rokem +1

      Shukrani sana aisee...! Uendelea kutazama filamu zangu nina mengi kwaajili yenu.

    • @mercymuranga817
      @mercymuranga817 Před rokem +1

      Asante pia watufunza mengi

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před rokem +1

      Shukrani sana my sister, tupo pamoja.

    • @kijeneema4527
      @kijeneema4527 Před 2 měsíci

      Sisi ambao tunajua kuzaa hatuwez sijui itakuwaje

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 Před 3 lety +3

    Mmeigiza Vzr sn Wasanii wote hongereni sn 👏👏👏👏👏👏👏

  • @TeclarSore
    @TeclarSore Před rokem +1

    Movie nzuri sana yenye mafunzo,kwa waumme,kwa wake na kwa vijana,sauti tu kidogo ndio inaleta mshikila Adam keep it up great job.

  • @halimadamasi2770
    @halimadamasi2770 Před 2 měsíci +1

    Daah hii ya mtt hadija polee

  • @betinvestment3204
    @betinvestment3204 Před 3 lety +2

    Mi imeniboa hii filam adam namkubali movie zke lkn hii dah wamemfny kitu co dah
    Huyu jamaa nae calichepuka nje ya ndoa nayeye wangemnanii km vipi imeniboa sana RESPECT KWA ADAM hongera

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 3 lety

      Hahaha shukrani bhana, ni kutoa mafunzo tu! Watu waheshimu wake zao na vijana waheshimu wanawake wa watu hasa walio ndani ya ndoa.

  • @elizabethjohn9313
    @elizabethjohn9313 Před 3 lety +5

    Nmechelewa kuiangalia ukwelii move kari Ina mafunzo Kwa wanandoah 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 3 lety

      Asante kwa kulitambua hilo! Usiache ku subscribe ili usipitwe na filamu yangu ijayo!🙏🙏🙏

  • @milcahwangura4234
    @milcahwangura4234 Před rokem +1

    Mbonge kali

  • @hakiamaliki144
    @hakiamaliki144 Před rokem +1

    Mwamba ukaamua kuninyooshea watu daaah Adam kwenye sene za mapenz hunaga mchez unauvaa uhalisia vzr vzr

  • @justinjusto9934
    @justinjusto9934 Před rokem +3

    congratulations Mr adama kwa video zako mzuri tunazipa kutoka hapa kenya

  • @munalove450
    @munalove450 Před 2 měsíci

    Adam leo unakazi nzur sana🎉🎉🎉🎉sans

  • @user-gy3wo2ez4d
    @user-gy3wo2ez4d Před 7 měsíci +1

    Nampenda sana uyo dada yaan napenda sana jinsi anavoongea na ka baby face chake jaman ❤❤❤

  • @victorlangson443
    @victorlangson443 Před 3 lety +2

    Duuuuuuh! Ila Adam mandevu uko vizur big up!!😀😃😄😅😅😂

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 3 lety

      Asante sana!!! Hakikisha una subscribe channel yetu kwa kazi zijazo💟

  • @najmaabduli9593
    @najmaabduli9593 Před 2 lety +3

    Adam umepatika washakula kwa mparange🤣🤣pole bby

  • @annastaziavedastus
    @annastaziavedastus Před rokem +3

    Congratulations bro Adam for good job keep it up

  • @bentskahindi
    @bentskahindi Před 10 měsíci +1

    Kweli raha ya ndoa ni watoto. Aky hongera san kaka Adam mm huangalia movie zako na zinanifunza mengi sana feel loved from 🇰🇪

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is Před 11 měsíci +1

    Adam jaman acha moto banaaah 😂😂😂

  • @sarahsesa8851
    @sarahsesa8851 Před rokem +3

    Wew Adam sauti yako inanimaliza kabisa 😃😃😃

  • @amaliaanthony3739
    @amaliaanthony3739 Před 2 lety +2

    Adam sauti yako inafanana na sauti ya Sagar kwny tamthilia ya Gangaa ya star swahili au ni wew ndye uliyetafsili ile voice

  • @hassanibakari9355
    @hassanibakari9355 Před 3 lety +5

    MUVI KALI DIRECTOR BABA MWENYE GARI MJINI

  • @mwanamisirama1836
    @mwanamisirama1836 Před 2 lety +2

    Adam movie zako zabamba na jinsi unavyowapenda hao warembo

  • @veroo869
    @veroo869 Před 3 lety +8

    Yan movie inafundisha sana 💞💞

  • @minnahloveiove1074
    @minnahloveiove1074 Před 3 lety +4

    Jmn mlikuwa wp tuliwamic sana tunapenda kazi sana hongereni washiriki wote jmn kazi nzuri sana

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 3 lety +1

      Asante sana, tunakukaribisha U subscribe channel yetu tunapost filamu mpya na tamthilia zetu kila siku.

  • @jandaboytzz2755
    @jandaboytzz2755 Před 3 lety +13

    Hiii Story Kama Inanihusu😂😂😂💪

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 3 lety

      Hahahahaha sawa man/

    • @yusuphubalali9212
      @yusuphubalali9212 Před 3 lety +2

      Haya Mambo yapo Sana.

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 3 lety +1

      Asante sana kwa maoni yako, tunaendelea kujitahidi kuweka kazi zetu za kuburudisha na kufundisha pia! Subscribe channel yetu ili uwe wa kwaza kujionea kazi mpya.

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 Před 3 lety +2

      Imetugusa wengi move hii,Kuna mwanaume aliniambia tuishi Kama kaka na dada leo anachukuwa cm zawatu ananifuta waaaaaapi nishakwendaaa,vizuri mnafundisha Yani mnafundisha sana

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 3 lety

      @julihan asante sana! Tutahakikisha tunatia filamu zenye mafundisho mara kwa mara.

  • @user-xh9lb5mf4l
    @user-xh9lb5mf4l Před 7 měsíci +1

    Ongera sana ndugu yangu na watu wako kwa kazi nzr

  • @RaelAmunga
    @RaelAmunga Před 2 měsíci

    Kwa kweli Adam napenda movie zako Sana Zina mafunzo Sana

  • @mamu1155
    @mamu1155 Před rokem +1

    Wow big up broo kwa move yko tamu sema tuu upande wa sauti ndio mna boo sana sauti inakatakata kwl

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před rokem

      Ni tatizo la mtandao ila kwenye filamu nyingine ipo sawa.

  • @Khadijah-p8v
    @Khadijah-p8v Před měsícem

    Hongera kwa kazi nzuri Adam aki we ni kiboko

  • @ramadhanikayimanda7355
    @ramadhanikayimanda7355 Před 9 měsíci +1

    Wewe adam asha ujinga filam gani hiyo mara hakunasaut

  • @user-nm6vd8og3d
    @user-nm6vd8og3d Před 11 měsíci +1

    Oya Adam hii umeuwa kaka mafunzo kw wingi nakubal kaz

  • @EutikiusBenedicto-ek4bf
    @EutikiusBenedicto-ek4bf Před 11 měsíci +1

    Mr Adam in short unatoa amazing movie .Mungu akujalie sana

  • @skipperkassim44
    @skipperkassim44 Před 3 lety +8

    Mashallah movie nzuri na ina mafunzo

  • @robertmollel7388
    @robertmollel7388 Před rokem +2

    Hakika kazi nzuri..
    Ina mafundisho makubwa sana..
    Lkn kali zaidi ni KIHORO...

  • @deborahmsemwa9363
    @deborahmsemwa9363 Před rokem +1

    Sitii neno Asante kwa funzo Zur adam

  • @stevenolwombo9519
    @stevenolwombo9519 Před 7 měsíci +1

    Nawapenda sana ndugu zangu wa Tanzania ❤❤nikiwa hapa kenya 🇰🇪🇰🇪 sauti imekatakata

  • @jelemiahnashonotieno9362
    @jelemiahnashonotieno9362 Před 3 lety +2

    Big up sana adam uk p

  • @edinanyinge7280
    @edinanyinge7280 Před 3 lety +2

    Penda sana wajina wa mume wangu Adam master

  • @monicamsile2284
    @monicamsile2284 Před rokem +1

    Hahahaha!Adam,unajua sana kuingiza,very nice

  • @mauwarashid4823
    @mauwarashid4823 Před 2 lety +1

    kazi mnzuri_sana my ongereni_washiriki_wote kwajuhudi_namafinzo_mengi_ndani_ya hii_video

  • @elieniyonzima1074
    @elieniyonzima1074 Před rokem +9

    Iyi movie ninzuri lakini muri kata sana Sauti,ao simu yangu ndoo iko feki ?

  • @salomemakene9241
    @salomemakene9241 Před 2 lety +1

    Mmmmh huuuw jamani imeniuma huyu mdada asiyezaa
    Mmmh adamu nyie kiboko mi shabiki wenu nalala saa 7

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 2 lety

      Asante dada, endelea kutazama filamu zetu nyingine hapa hapa Darcity Tv.

  • @AloisWesonga
    @AloisWesonga Před 9 měsíci +1

    Banae mkunaji 😂😂😂❤

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 Před 3 lety +1

    Daah! hongereni sn kwnz kbs tukianza na Opening Credit ni nzuri sn,,,,Sound iko Vzr sn na idara za Uaandaji wa Filamu km Production department,,,,Grip department,,,,Camera department,,,,S.F.X (Special Effects) department,,,, Electric department ziko poa japo sio zote sijaziona..... Watanzania 🇹🇿 tunajitahidi sn Kwny tasnia ya Filamu.... tutafika tu kuuza Movie zetu Dunia nzima Soon 👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @winnickshonde5521
    @winnickshonde5521 Před rokem +1

    Yaaan jamn nilikuwa sijawah erew mov z kibongo saiv jamn kha

  • @dullahvunjabei
    @dullahvunjabei Před 6 měsíci +1

    Nkubar kak adam

  • @zawadiagape9762
    @zawadiagape9762 Před 3 lety +2

    Ooooh........ Nimekuona kumbe Adamu wa maneno ya kuambiwa....... Ooooohhhh. Poa sana..

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 3 lety

      Kuna Adam wawili! Adam wa maneno ya kuambiwa anaitwa HAJI ADAM, na Adam KINYOZI anaitwa ADAM LEO.

  • @mediatrixmusabi3624
    @mediatrixmusabi3624 Před rokem +1

    Hi natokea Kenya @Adam Leo nakupenda mno , natumai siku moja tutaonana 💖💖

  • @nicohkjacinta-ke9cv
    @nicohkjacinta-ke9cv Před 3 měsíci +1

    nice one leta mpya adam im from kenya

  • @aishaomaryyousefomaryloiru1990

    Adam unanikosha sana,uko kama kanumba,

  • @albinishirima6981
    @albinishirima6981 Před 3 lety +2

    Nice movie dah movie nzuri sana inaelimisha respect kwenu

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 3 lety +1

      Shukrani Albini, hakikisha una subscribe channel yetu kwa kazi zetu mpya...

    • @albinishirima6981
      @albinishirima6981 Před 3 lety +1

      Msijali tayr nimeshatimiza hilo ila ile movie ingekua na part 2 ingekua konki maana tamu bhana😋😋😋

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 3 lety

      Tumalifanyia kazi ombi hili ndugu.

  • @jofreykibona8709
    @jofreykibona8709 Před 3 lety +2

    Inakuwaje hapo amerudi amelewa mchana alafu mchepuko anapiga simu anasema usiku mwema

  • @reginajustin2432
    @reginajustin2432 Před 3 lety +1

    Nzr sana Adamu kz nzr sana nishilikishen na mm jmn naweza

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 3 lety

      Karibu. Kwa shughuli za kisanaa tutafute humu 0652393960

  • @sidisafari8712
    @sidisafari8712 Před 3 lety +4

    Nimeipenda sanaa kwakweli

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 3 lety +1

      Asante sana, endelea kuwa hapa kwa filamu nyingine nzuri zaidi.

    • @sidisafari8712
      @sidisafari8712 Před 3 lety

      @@AdamLeoStudios sawa sawa tuko pamoja muendelee kutupa mazuri

  • @Jackymomanyi
    @Jackymomanyi Před 8 měsíci +1

    Kazi nzuri sana 🎉🎉❤❤

  • @salomeomashibo1971
    @salomeomashibo1971 Před 3 lety +5

    Aii kinyozi kazi unayo. kama iyo ndio biashara. yako ww ni ng'ombe ikijipeleka kwa buchari ndugu ya adamu nime kupenda bure🙂🙂

  • @winnickshonde5521
    @winnickshonde5521 Před rokem +2

    Adamu mbna hii move mmekata kata saut mno jamn

  • @saum9697
    @saum9697 Před 10 měsíci +1

    Kumbe adam ni mkirsto bac umekaa km muislam voo

  • @samwelirobert2576
    @samwelirobert2576 Před 3 lety +3

    Filam imetulia na ina massage nzuri

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 3 lety

      Asante kwa kutazama, usiache ku Subscribe kwa kazi zetu zijazo!

  • @zawadirichard405
    @zawadirichard405 Před 2 lety +1

    Hongeren xn kz zur an.dear trend.

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Před 3 lety +1

    Ndo watu wanauwaga wake zao sababu hii ya wivu daaah movie mzuri inamafuzo mazuri

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 3 lety

      Asante sana! Usiache ku Subscribe channel yetu kwa kazi zetu zijazo!

  • @dhddudg507
    @dhddudg507 Před 11 měsíci +1

    Huyu Adam kafanana na mpenz wangu Wa zamani kila kitu kweli Duniani watu wawili wawili

  • @dullasakume7902
    @dullasakume7902 Před 3 lety +1

    Nakubali mzeh Kaz nzuri. Mwanangu mi ni xhabiki wako namba1

  • @mersianantibakazi6732
    @mersianantibakazi6732 Před 2 lety +1

    Adamu unajua kuigiza baraaa.

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 2 lety

      Asante sana, nashukuru kwa kuendelea kutazama kazi zangu.🙏

  • @salimumamboleo4171
    @salimumamboleo4171 Před rokem +2

    Broo mungu akuongoze vyema nakukupa maono zaid ya ulionayo sasa juu yakukuza ulichonacho

  • @josephinajosephu3897
    @josephinajosephu3897 Před 2 lety +1

    Movie nzur sana kaka adam na inamafunzo

  • @zacharykilango930
    @zacharykilango930 Před 3 lety +1

    Nimemkubali sana Hadija ameipatia sana movie hii ila come saluti kwako ila wanaume tujifunze tuache ujina Hadija nitafute upate dina cku moja

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 3 lety

      Asante sana! Usiache ku Subscribe channel yetu kwa filamu zetu zijazo.

  • @godfreyjames8582
    @godfreyjames8582 Před rokem +2

    Ni nzuri work hard bro but kuna sehemu hamna sauti

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před rokem +1

      Yah zilikuwa ni changamoto za kimtandao, lakini kwenye filamu mpya zimeshafanyiwa kazi.

  • @ZaidChekwa-ns7db
    @ZaidChekwa-ns7db Před rokem +1

    Big up guys kazi nzuri sana

  • @dantafai1020
    @dantafai1020 Před 3 lety +2

    Hongeleni muvi nzuli jamani ina fundisha

  • @jeniphayohana3566
    @jeniphayohana3566 Před 2 lety +1

    Movie za Adam nzur lakn hii sasa sauti seem nyingne Hamna jitahdn