Huyo dada mchuma janga aise namkubali sana, huwa namfuatilia kwenye movie nyingi, huwa anauvaa uhalisia wa kile anachoigiza. Mpe Hongera zake. Tatizo ni huyo jamaa anayewarekodia sauti hajui ku balance.
Nishakuelewa dada asante kuniponda Mimi ndio kunifunza hakuna alizaliwa akiwa anatembea tayari dada huenda wewe wa bongo mm ni mkenya uezi nipenda Ila asante ndio nitazidi kupambana kwakuwa ushaniambia asante
@@nbsstudiosinema 🤣🤣🤣Yani Kuna Tony ticha mud kiango elven flora najuta kingwendu bila kusahau Abu Majuto na bilalai yani dah kitambo sanaaaa Kuna mwamba mmoja nime msahau Jina alikuwa mlefu mweupeeeee yy alikuwa ana simami sana upande wa ngoma
Sio shida asante kwa kunijulisha dear hakuna anaejijua hata wewe huenda ujijui Kuna vitu unafunzwa so thanks kwakunipa nguvu ili niendeleee kujifunza inshaallah 🤲
Huyo dada mchuma janga aise namkubali sana, huwa namfuatilia kwenye movie nyingi, huwa anauvaa uhalisia wa kile anachoigiza. Mpe Hongera zake. Tatizo ni huyo jamaa anayewarekodia sauti hajui ku balance.
Sawa tutalifanyia kazi inshallah litakaa Sawa Hilo jambo la sauti
Kweli kabisa directer hayuko sawa
Napenda.movie.sana.inafundisha.sana.napenda.mimi.kenya.tena.mbaya.sana.
Upandalo ndilo uvunao dada. Huyo ni mme wa mtu mtamu
Na atajuta kuchukua wanaume za watu
Mna ni cheko saana kabisa mume siwa mtu mumonja kabisa pole sana 😂😂😂😂😂😂😂😂🎉❤😮😮😊
😂😂😂💕
Hyu dada wa kwanza aloibiwa mumewe bdo ajaivaa yuwarudia maneno bdo hanaitaji kupikwa❤❤❤
Tumepokea tutafanyia kazi
Kawaida unapoongea na mtu ku uhalisia Ila asante kwa comment 😂 nitapikwa nitaiva asante
@@overarchiversartist2399 😄😄😄😄😄😄hapana kipenzi warudia yni hauko sharp bt ucjali hata mbuyu ulianza kma mchicha
Kabisa tutafijia malengo na kuwapa kilicho bora
@@nbsstudiosinema in sha Allah
Mko vizuri na niko tayar kuwa pamoja nanyi
Asante na karibu sana
Jaman inatia huruma mpaka machozi 😭😭
Pole aisee
Hiyo movie sijui nifanye nini marcani nihatari manji yame zidi unga ahhha huruma 😊🫢🤣🤣🤣🤣🤣😯
Pole sana una mpenda nani katika kazi yetu hiyo
Hapo director bado uko na kazi na huyu dada wa mombasa 😅😅😅😅
Sawa nimekuelewa na ntafanyia kazi🙏🙏🙏
Watanzania.nawapenda.sana.
Hata sisi tuna kupenda
Huyu dada wa Mombasa kipaji Hana mna force tuu
Sawa tumepokea
Acha kuvunja Moyo watu ww ushawai jaribu kuigiza
Nishakuelewa dada asante kuniponda Mimi ndio kunifunza hakuna alizaliwa akiwa anatembea tayari dada huenda wewe wa bongo mm ni mkenya uezi nipenda Ila asante ndio nitazidi kupambana kwakuwa ushaniambia asante
Nime angalia hii move kwasababuu ya najuta na flora maana nime wa kumbuka sana Enzi za CCM holl😂😂😂
Sawa na Asante sana
wanangu sana enzi hizo na tony
@@nbsstudiosinema 🤣🤣🤣Yani Kuna Tony ticha mud kiango elven flora najuta kingwendu bila kusahau Abu Majuto na bilalai yani dah kitambo sanaaaa Kuna mwamba mmoja nime msahau Jina alikuwa mlefu mweupeeeee yy alikuwa ana simami sana upande wa ngoma
Daaaaah hiii Kali 🤣😂😂😂😂😁 sawa dada msema kweli
Pole sana Mustafa kwa mitihani uliyopitia😢
Asante sana kwa kunijali
Movie nzuri sana ila mtaalamu wenu wa sauti anawaangusha sana, sauti haiko sawa kuna sehemu inakuwa China na sehemu nyingine inapayuka.
Asante sana tutalifanyia kazi Hilo pia Asante kwa kuangalia lkn pia endelea kutazama kazi zetu zingine
Hii movie imenitoa machoz kwakweli😢😢😢😢
Pole sana ila ndio hivyooo
Huyu dada wa mombasa hana kipaji ameharibu
Sio shida asante kwa kunijulisha dear hakuna anaejijua hata wewe huenda ujijui Kuna vitu unafunzwa so thanks kwakunipa nguvu ili niendeleee kujifunza inshaallah 🤲
Lisemwalo ni lilelile ""Asiefundishwa na wazazi kufundihwa na dunia. Muache atajieleza mwenyewe kabsaaaaa.
Na tayari kaisha funzwa
Story nzuri ila baadhi ya waigizaji hawajui...uyu mzee anajua sana hongereni 🎉
Asante sana tumepokea
Sio kwamba hawajui director kuwa maakini
Nice movie
Thanks for watching
Good movie
Thanks
😂😂😂😂sakina umenishinda tabia
Hatari huyo
Dada wa mombasa yuko Vizuri Sana
Asante sana
Asante dear nashkuru nitazidi kujifunza ili nifike kiwango ndio kwanza naanza mola atanifikisha inshaallah asante dear
Mwisho wa kiburi nto huo
Kabisa
Mafunzo mazuri yanapatikana ktk movie hii
Hakika na Asante kwa kutazama
Munze anaishiwa
good movie
Asante sana na karibu sana kwenye channel yetu
❤❤❤❤❤
Hiikali sana
Asante sana
Sakini kiboko 😂😂
Kiboko na nusu
Goood moviea 🎉🎉🎉🎉🎉
Make more effort in order to sucessful
We will but thanks a lot
Anachokipanda atavuna
Kabisa
Mwambia.anjea.mimi.sina.bibi.
hyu dda w mombasa mfunzeni tena hajakuwa tayar
Sawa
Asante dear nitafunzwa kwa mankini okay 😂😁 asante and be blessed
❤❤❤😂😂
😂😂😂
gvhgchc