😂😂😂😂 nko na mimba ya mwezi sita na mwezi mbili yaaaaani nimecheka sanaaa kazi nzuri sanaaaa hongereni 🎉🎉🎉 much love from Kenya watching from lebanon like zangu sikam
Angalia mwanzo mwisho utaelewa katoa wapi Na kama umeona mwanzo mwisho aliagizwa na Kipara na Big Misondo kumwagia Dubu dawa nipo alipo fundishwa kupaa na alikosea kutua akanguka🤝
Love it from USA 🇺🇲
Bonge la movie aisee iko vzr, Mungu awabaliki sana
Tanzania mm nawapenda tu bure ..Niko kenya but much love to you people WAPI LIKE ZA MKENYA SURA MBAYA KAMA BOOTI LANGU❤❤❤❤❤❤❤❤❤
tuko hapo
Hii movie mmeleta urefu wa bure kumuweka kipara na Mwakatobe kweny uchawi mmekosea
Dubu is handsome...much love from kenya
🙏🥰🥰
😂😂😂😂😂😂😂mbavuzangu zinawuma ..hiyi muvi kali sana❤
Kazi Nzurii,,Hakika hapa mliweza sanaa Hongera nyingi toka Mombasa Kenya 🇰🇪 tuko pamoja
🤝🤝
🎉❤fgdh😢😮😂🎉@@OfficialDubu_tz
Watching from kenya.... kali sana
😂😂😂😂😂Yani hii Move Nimecheka Mbavu zangu Kidogo Zipasuke😂😂😂😂
Movi
Ata mimi😂😂😂😂😂😂😂
❤kwakweli hiyi filam nzuri saana kabisa
❤️
daaaaa ni nzur sana nimeioendaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wakwanza from Kenya 🥰🥰
🙏🥰
❤❤❤watch from Kenya nimekupenda uyo mganga amekuokoa sana.....cute boy......but chunga uyo dam
Hajira ni mrembo sana mashalah❤
🙏🥰
Nishatokea jamani nipeni like zangu basi hata tano tuh inatosha ❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂❤
Kwani zinakusaidia nini?😅😅
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅😅😢😢😢😢😢ongera
We nawe unpenda❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
Aya poa ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉😂😂😂😂😂
Ila ww Dubu unafurahshaga jaman, Mungu akubaliki kiukwl
❤️
hii muvi nzuri sanah sichoki kuiangalia°°❤❤❤❤❤❤❤
❤️
Duuh😂😂😢😮😅
mchawi wakwanza kuwa na sigda " MTUMISHI MOTO " 😂😂🙌
Hii movie iko poa sana,hongera kwa wahusika wote,Dubu the cute guy good job much love from Kenya❤❤❤
🙏🥰🥰
@@OfficialDubu_tz 😘😘😘
Duuh ! Nimecheka sana 😂😂😂😂
Hongera sana muvi nzuri sana ❤❤❤❤😂😂😂😂😂
❤️
Jomba nyani gwegwe ana mbwembwe
Huyu professor hanifurahishi
Waooh nimependa kazi nzuri❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jaman mbon mnavaa mabaibui vazi la heshima Hilo
From kenya napenda sana hii movie
Hahahah mchawi msomi, mumbeya wa snake boy
😂😂😂😂😂 hii mimba jamani.watching from Saudi Arabia 🇸🇦🇸🇦
🙏🙏
Let me show follow again 😂😂😂😂,dar,kipara jamani😂😂msomi hatari
Nyani nyani ngwengwe 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂mimba ya miezi sita na miezi miwili........daaa kipara jameni utaniua😂😂😂😂😂😂♥️much love Tz
MUJE NA SESSION TWO NA MATUKIO YAWE YA KIJINI KWELI NA KUMUWEKA NYANI MWENYE MIMBA 😮😮
the kizungu wueh🤣,,enwei twaelewa sio lugha yanu
Naipenda muvi hiki sana❤❤❤❤❤❤❤❤
Jmn, inasikitisha sana movie za majini na uchawi zimekuwa nyingi sana kuliko movie za maadili na zakidini . Tumkumbuke mola bas
Imani yako ndiyo itakuponya huwezi kumshawishi mtu amkumbuke mila kwa kutizama movie za kidini
Jamani hii kali sana MashaAllah 👏😍😍ila Jamani nyani ngwengwe ana mke mrembo😍😍
🥰🤣
Namuona 2pac Shakur
Nyani ngwengwe anajua sana
mwaka Tobe unasifa sanaa
Ndo znalembesha kazi inkua nzur
😁🤣mi ndo napenda izo sifa zake movie inakuwa tamu some time nachekaga adi kujamba😋
Nyani gwegwe na hilo buti wanimaliza jamani 🤣🤣🤣🤣🤣
🙏🤣
Dubu shemeji Yako uyo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
I like it 😊😊❤❤❤❤❤
Habar broo, tunasubir ijayo naimani itakua kali kama hii
Inshaallah
Huyo Dada ako dubu alimpendea nini Huyo mumewe au huo uchiz wake 🙌🙌
We siumema we kidume unahaso Kila Kona 😂😂😂😂😂😂😂😂chukua maua Yako
waganga na wachawi wote na majini wana shauriana kumuomba MUNGU anyway nimecheka 😂😂🙌🔥🔥🙏🙏
🙏
❤❤❤❤ move nzur sana
🙏🥰
Dah kubabaake dubu nimekupenda mwenzio voh❤
❤️
Mweusi kama njia panda ya kuzimu
Mbavu zangu😂😂 the English is englizing eee bravoo 🎉🎉🎉 good job from kenyaa we love you guys❤❤❤
🙏🥰
😂
😂😂😂😂 nko na mimba ya mwezi sita na mwezi mbili yaaaaani nimecheka sanaaa kazi nzuri sanaaaa hongereni 🎉🎉🎉 much love from Kenya watching from lebanon like zangu sikam
🙏🥰
😂😂😅😅am watching from tz but she cry like chicken onger zako mchawi mweny elimu yako😅😅
🙏🙏
Jamani like sangu muvis tamu kama asali
🙏🥰
Watching live from kenya❤movie tamu jamani
Kazi iko vizuli Sana hongereni sana
watching from Kenya npeni likes jamani
Eeee sija fungua udugu wangu nilienda krinick Nina miba ya miezi 6 na miezi miwili 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Haichoshi walai nice job dubu we all love you ❤❤from Saudi Arabia
🙏🙏🥰🥰
Pendan sana movie zenyu wakuu😊
Walai mnaastua wadau
Mr Dubu eeeeeeh, hata njoo uku kenya tufunze jinsi ya kuunda mchezo. Rongo University Kenya
🤝🤝
Habari ya mjini hii filamu nimeipenda bure
Huyu mganga hata hanogi anamuiga mwakatobe lkn hta hapendez
Wa kwanza toka 🇰🇪
🙏🙏
From kenya
Yote kwa yote ila Hajra ni mrembo sana
🙏🥰
Filamu kali sana imenifanya nilale kuchelewa kwa utamu wake.
🙏🙏🙏🙏
Mganga anafanana na makudubela skudu
Jaman movie nzur sana 😁😂❤ yaan uyo nyan ngwengwe na mganga wao ni balaa😅😅😂
🙏🙏
Jamani muganga unaweza mutuwongeze nyingine ❤❤❤❤
❤️
N'ngombe wa mayai😂😂😂 kipara
MashaAllah movie nzuri sana❤❤❤❤
🙏🥰🥰
hi fatuma🎉🎉🎉
Nimejikojolea vile ulikuwa unataka Ni kucheka
Lit movie❤😂
Sura kaa mandazi ya jela 😂😂😂😂😂
Dubu bro unyama mwingi
Kiiingereza kitamu hichi😂
Mashaallah jamn nimeipendaa saan❤❤❤❤
❤️
Ndugu amkutuonyesha wapi ametoa nguvu nyani ngwengwe na anapaaa kwa nn mnatuongopea
Angalia mwanzo mwisho utaelewa katoa wapi Na kama umeona mwanzo mwisho aliagizwa na Kipara na Big Misondo kumwagia Dubu dawa nipo alipo fundishwa kupaa na alikosea kutua akanguka🤝
Nakubali sana
Anamimba isiyo zaliwa nakushi ndwa tu mashalti mganga msame siyo yeye🇧🇮
Nampenda huyu mganga pia anajua sana kuigiza kama mganga🎉🎉🎉🎉🎉
🙏🥰
Hii movie yanibamba mbaya dubu nimerudia kuangalia tena
Nice movie I'm watching from Kenya
Uyu Dada nampendaga Sanaa uyu kacheza jini
🎉😂😂😂😂hizo abaya mulikodisha wapi ..kipara aki unanivunja mbavu😂😂😂❤
Kipala kazi anayo
Mganga nimekupenda humu♥️♥️♥️🤣ana me neno yake hivi👌🔥😂😂😂
🙏🙏
Jamaa wak poah xn
Pitieni mnipee subscribers ndugu zagu❤❤❤
Dubu the boy. Kipara . Mchezo konkiiii
Good job My friend 🎉🎉🎉❤🤠
Huyo mdomo koma ananichekesha sana
Ako kamtumishi moto sika islam
Oya tv shingapi 😅😅😅
Hii movie nlitmn hta nisiianglie innikumbusha ex wangu tu😢anafanana san na dubu😢sema cna jins movie nzr..
❤️
❤️❤️🙏nawapenda jamani mungu azidi kuwap nguvu na juhudi katik kaz zenu
Inshaallah 🤲
Hajira ametoka kwa steve
Kiengereza kibovu Sana tuaje
Movie Tami nimeipenda Sana u Niko Narok
🙏🙏
Hii movie nimeuridia zaidi ya mara tano na leo ni tarehe 29 mwezi wapili naiangalia tena
🙏🙏🙏
Yaani hii movie kali sana🔥🔥nime enjoy kwa kweli❤
🙏🙏