Tunashukuru sana kwa uchambuzi huu wewe ni Mjumbe wa Mungu... umeileta Sauti ya Mungu kama ilivyo... mwenye sikio na asikie Roho wa Mungu anena na watu wake.....ni kweli ushoga sasa unapamba moto... Mungu atusaidie na kutuokoa na vizazi vyetu. BARIKIWA SANA MTU WA MUNGU.
Amen, imenikumbusha ya kwamba, mungu huchukizwa sana, wakati ambapo, binadamu hukosa, kutii neno lake, na kutenda jinsi ambavyo anataka, jameeni dhambi ni mbaya, na pia inamkasirisha mungu wetu
Wah mungu atuepushe mbali na moovu..shetani mbaya...Mshahara wa dhambi ni mauti..Ni vyema kutenda mema na kumwogopa/mcha mungu...mungu anapenda watoto wake bali afurahii maovu ni dhambi
Mtiga abdalah tunaomba urudi uwendelee na simulizi hizi,kuna mtu amekuja kwenye nafasi yako haiwezi kbs hana sauti ya simulizi na msisimko wa simulizi!kwaujumla wakurudishie nafasi yako maana unaiweza vyema 100%
Utuhurumie ee mungu sisi Ni wenye zambi utuepushe na adhabu Kali Kama uliyo wapa sodoma na gomola utuepushe na mabaya ee bwana mungu wetu mungu akupe maisha marefu wew uliye jitolea kwa moyo wako kutoa simulizi hii mungu utarehem sis Ni Wana wako utuepushe na mabaya amen
MWENYEZI MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI NINAKUOMBA UNIUPUSHE NA KIZAZ HIKI CHA LAANA JALIA FAMILY YANGU IWE YENYE KUKUJUA WEWE NA KUJIFUNZA NENO LAKO KTK MAISHA HAYA YA DUNIANI, AMEEEN👏👏👏👏👏👏👏
Ombea mataifa haya, wala usitake like, simama mbele za Mungu, Bwana Yesu ili akuokoe na atuokoe sisi kwa ujumla. Ombea mataifa yote, usitake like. Itakusaidia nini??
@@joycechaz2840 iko hivi: vyote uonavyo ktk sasa, vilishakuwepo tangu zama za zamani sana. Hakuna jipya. Kinachotakiwa ni kwamba, msilale usingizi wa kiroho. Soma1Wathesalonike5:6. Kisha umalizie kwa kusoma Yohana15: 7.
Sina mengi sana..ila unafany kaz nzur sanaaa; 1.unatukumbusha mambo muhimu juu ya maish yetu na uhusiano wetu baina ya sisi na Mungu 2.umekuwa sasa ni kiunganishi unatufanya waisalam kwa wakristo kujiona ni sawa kulingana na ufanano na ushahidi huo wa maandiko 3.unajarbu kudhihirisha na kuonyesha uwepo wa Mungu kwa wale wasio mwamini...!
Hakuna kipya chini ya jua, OMBI: :eeeh mwenyezi Mungu ulipaswa kuweka remote controller ili kwa wale watakao kwenda kinyume na mapezi yako basi na warudishwe ktk mstari, ila kwa sasa umetuachia Uhuru mno ndio maana tumegeuka mabaradhuri/hayawani. Huruma yako iwe juu yetu na kwa kizazi chetu maana janga hili ni kama mchwa utafunao fenicha taratiibu..🙏🙏
Subhanallah zama ndo hizi tulokua nazo sasahivi yarabi tunusuru wajawako tunusulie watotowetuh duh had I naogopa maana dunia sasahivi imejaaa kila aina ya ovu
Hii habari imenitoa machozi kwelikweli. Dahhh nimejikuta chozi yanidondoka, kuwahurumia walimwengu. Kweli Mungu wetu ana huruma ya ajabu. Sijawahi kuona huruma kama ya Mungu. Mungu aliwahurumia sana hawa watu lkn watu hawa kwa kiburi wakaendelea kufanya machukizo mbele za Bwana Mungu wetu. Hawakuwa na utii. Uwiiiii hadi nashindwa kuandika. Lkn ikafikia hatua Mungu Baba muumba wa Mbingu na nchi akakasirika. Ndugu mpendwa wangu, hasira ya Mungu haiwezi kufananishwa na kitu kingine cha aina yoyote. Nakuomba usiwahi kuomba hasira ya Mungu itokee. Mungu ni mwema jmn, Bwana ni mwema siku zote. Hadi sasa bado anasubiri tutubu dhambi zetu. Mungu Baba wa Mbinguni, tusamehe makosa yetu. Ameeeeen. Hivyo ndugu, na marafiki na wengine wote, tuogope dhambi. Ujue siku Bwana akikasirika ujue umekwisha.
Daaah 😭😭😭 ya Allah tunusuru vijana wetu sikuiz imekuwa fashion watu kutembea kwa jinsia moj wanawake wameona fashion kuingiliwa nyum ya maumbili dah 😭😭😭
Mungu ni mwenye huruma sana wangetubu huenda wangesamehewa hata sasa tunaitaji kutubu sana maana pia huku wapo wengi sana tunahitaji kutubu juu sahii ni nyakati za mwisho
Kama habari hii imekugusa kama mm tushirikiane kusimamia amri za Mungu na tuishi maisha ya kumpendeza Mungu tangu sasa na hata milele, plz naomba like kama million moja endapo, kama unakubali ushauri wangu,, nawapenda wote, na ninawatakia amani.
@@reginambawi9010 nikweli Dada yangu yeye ni mwazo na ni mwisho ,atukuzwe milele na milele , nakutakia baraka na kibali lolote unalotaka kulitenda, mtangulize Mungu nawe utafanikiwa zaidi na zaidi.
Hii sauti ni best sauti, eeebwana Mtiga wewe ni kiboko napenda The Story Book kwa sababu yako mzee, Nani yuko Hapa na mimi tunacheki story book 👇👇👇👇😍😍😍😍
@@pioneerchunga6347 acha izo Yesu sio MUNGU, bali amepewa mamlaka makubwa kuliko kiumbe chochote, anaweza hata kufufua naweza fanya lilote la kimungu,.
Astaghfirullah shirki huwezi kuonesha ya Malaika na Mitume ya M/ Mungu.... istoshe ukaenda mbali zaidi ktk kukufuru kuigiza sauti ya M/Mungu.... M/mungu subhaanahuu wataala alimzungumzisha Nabii Musa... lkn kuna ikhtilafu kua hayakua haya maneno tunayoongea mm na ww.. anajua mwenyewe alioumba mbingu na ardhi ni aina gani ya maneno... so bora kwako kutoonesha picha wala sauti... sauti yako inatosha kusimulia... ( tusijepata ghadhab za M/mungu na ndio ikawa sababu ya kugharakishwa waliokuemo na wasiokuwemo
Nimeona watu wengi mkiandika Mungu kwa herufi ndogo maana yake ni vimiungu ama kamungu . hata majina yetu yanaanza kwa herufi kubwa sembuse jina la Mungu mwenyezi na muumbaji wetu. Tafadhali tujifunze jambo hilo. Asnteni kwa story yenye kutukumbusha kumcha Mungu
@@lusekelomwinsasu318 atakuwa ni Mungu wa waislama ndugu Kama ilivokuwa Mungu baali ko Kuna Mungu wengi ila sisi wakristo tunamjua Mungu wetu na sifa zake hazifanani na za Mungu Allah muongo.
@@canibalgazaboy8325 Hamna mungu wa waislam wala wa wakristo mungu ni mmoja ni ndio Allah s.w. na ndio mungu wa kila kitu ulimwenguni na mbinguni na hana mshirika wala msaidizi wa aina yeyote.
Ni kweli lakini kwasasa hatuwez kuepuka dhambi ileile ndo ipo katika kizazi hiki Teena sfari hi ndo imeenea kwa kasi..chamsingi Ni kumwambini mwenyezi mungu na kutoshiriki dhambi hizo
Mmmmmh inasikitisha na kutisha dunia imekaribia nyakat za mwisho Innah illah wa innah lillah rajuun ni msiba huu maana yote yaliosemw kweny kitabu kitukufu yanaonekana Mwaka utakuw mfupi kam mwezi tu Wanaume wengine wataolewa Watu watatembea hali ya kuwa wapo nusu uchi Tunachosubir tu ni jua kutoka maghalibi kwenda masharik na masigdajal kurud Tumuombe mungu mwixho mwema Ameen🙏🙏
*Akisha uta kuta mtu anasema eti Mungu ayupo🤔 kama wewe una amini kama Mungu yupo gonga like tujuwana*
Amen
Mungu yupo
Allah yupo na hukumu ipo waache tu waendelee kukufuru
Ni kweli lakini tazameni SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html
Amen.
Nimependa sana hii episode. Inafundisha *MUNGU BABA hadhihakiwi yeye ndiye mwenye nguvu, uweza na mamlaka kuliko chochote wala yeyote* 👏👏
Quranshehminshaw
🙏👏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👏
P
Ata siku moja usiruhusu hasira ya bwana ikawaka juu yako ..
Mungu atuhurumiee😥😥😥😥
SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html
Nikweli tuzidi kumuomba mungu natujitaidi kukemea mabaya ata kwakuchukulia Shelia Kali unimtian
Amen
Waah 😭 Yesu kristo, utuokoe maana Wana wetu wanaishi haya maisha ya hiki KIZAZI Cha sadoma na komora, 😭😭😭uturehemu Mungu wetu
😢😢😢😢😢
Tunashukuru sana kwa uchambuzi huu wewe ni Mjumbe wa Mungu... umeileta Sauti ya Mungu kama ilivyo... mwenye sikio na asikie Roho wa Mungu anena na watu wake.....ni kweli ushoga sasa unapamba moto... Mungu atusaidie na kutuokoa na vizazi vyetu. BARIKIWA SANA MTU WA MUNGU.
Ccpco jhcohvcppv cc. 😊😶😪✨😜💖😚🍏😄😙😶😙😚🙂😙😙😙😙✨✨😜😄💖💖💖💖😙😋😋😋😶😙😶😙😘🙂😙😚✨🙂💖💖😄😙😄😁😄😄😇😘😘😚😁✨🍎🍎🙂🙂😙😚😙😄😙😄😄😙😙😙😇😇😇😇😇😙😙😚😙😋😱✨😁😁✨✨😊😊✨✨✨😄💕😊💕✨💕😄😊✨✨😁😊✨😪😄😪🍏😄😋🤣😇😁😄💕💕😁💕😄😁😁😄✨😄✨
SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html
Amini
Daah mtangazaji God bless you! Very nice voice na presentation!! Asante kwa kutukumbusha Sodoma na Gomora walivoteketea
Amen, imenikumbusha ya kwamba, mungu huchukizwa sana, wakati ambapo, binadamu hukosa, kutii neno lake, na kutenda jinsi ambavyo anataka, jameeni dhambi ni mbaya, na pia inamkasirisha mungu wetu
Ameen
Tuach mapenz ya jinsia mmoja
Wah mungu atuepushe mbali na moovu..shetani mbaya...Mshahara wa dhambi ni mauti..Ni vyema kutenda mema na kumwogopa/mcha mungu...mungu anapenda watoto wake bali afurahii maovu ni dhambi
Shukran sana kwa Maelezo, Nimejuwa Nini Maana Ya Sodama na Gomora.lnna lillahy wa inna illayhi Rajioun, Msiba Mkubwa.
🙏🙏🙏💞
SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html
Tunae mkubali abdallah mtiga hapa tucoment na kulike hapa
👊👊👊👊
Mtiga abdalah tunaomba urudi uwendelee na simulizi hizi,kuna mtu amekuja kwenye nafasi yako haiwezi kbs hana sauti ya simulizi na msisimko wa simulizi!kwaujumla wakurudishie nafasi yako maana unaiweza vyema 100%
Toka jamaa aondoke stoory book at a aipandi walanini
Yeah up
so good muendele hivyo hivyo tu hadi watu waone wana tenda thambi mbele za muenyezi mungu asanteni wasafi muendelee 😊
Utuhurumie ee mungu sisi Ni wenye zambi utuepushe na adhabu Kali Kama uliyo wapa sodoma na gomola utuepushe na mabaya ee bwana mungu wetu mungu akupe maisha marefu wew uliye jitolea kwa moyo wako kutoa simulizi hii mungu utarehem sis Ni Wana wako utuepushe na mabaya amen
wangapi huwa wanasubiri the story book like hapa tujuane😍🥂
Sanaa
Yes
Mimi hapa,
Yes
Mambo
Hakika umezid kuniongezea Iman yangu nizid kuomba mungu ktk kila jambo, kweli mungu yup na anaona
Ameni
MUNGU Yuko wanaofaa yakwawo wanajuwa jicorake hariko juuyawo tujirekebishe
Kabisaaa M MUNGU NDO KILA KITU
Shangwe
Luk 19:2_5
Daaaah uyu mkaka ana sauti nzuri hatr yan imetulia hongera kaka
MWENYEZI MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI NINAKUOMBA UNIUPUSHE NA KIZAZ HIKI CHA LAANA JALIA FAMILY YANGU IWE YENYE KUKUJUA WEWE NA KUJIFUNZA NENO LAKO KTK MAISHA HAYA YA DUNIANI, AMEEEN👏👏👏👏👏👏👏
Unajua sana Mtiga. Mungu atupe macho ya kuona!
Daaah! Mungu atuepushe na hiyo life style sodoma na gomora katika dunia hii ya Leo..... Plz like hapa kama una amini
Sebastian Abhiathan ndo tunakoelekea sasa
Ombea mataifa haya, wala usitake like, simama mbele za Mungu, Bwana Yesu ili akuokoe na atuokoe sisi kwa ujumla. Ombea mataifa yote, usitake like. Itakusaidia nini??
Dah kumbe mashoga walikuwepo tangu enzi hizo!!! Mungu tusaidie
@@joycechaz2840 iko hivi: vyote uonavyo ktk sasa, vilishakuwepo tangu zama za zamani sana. Hakuna jipya. Kinachotakiwa ni kwamba, msilale usingizi wa kiroho. Soma1Wathesalonike5:6. Kisha umalizie kwa kusoma Yohana15: 7.
@@joycechaz2840 hakikisha unayasoma hizo mstari, kisha niambie maana kuna vingi nataka kukueleza.
Sina mengi sana..ila unafany kaz nzur sanaaa;
1.unatukumbusha mambo muhimu juu ya maish yetu na uhusiano wetu baina ya sisi na Mungu
2.umekuwa sasa ni kiunganishi unatufanya waisalam kwa wakristo kujiona ni sawa kulingana na ufanano na ushahidi huo wa maandiko
3.unajarbu kudhihirisha na kuonyesha uwepo wa Mungu kwa wale wasio mwamini...!
Hakuna jipya chini ya jua.... Vyote tunavyovyiona vilikuwepo! Mungu niokoe mm nimekutenda dhambi
Nawe ushafanyaga kma hivi 😁
abdallah usiwe unakaa mda mref san kutuletea the story book tunapenda sn hil show gonga like apo chin kama unaikubal the story book
Dah imenifundisha sana the story book
Kwel
Kweri
Hakuna kipya chini ya jua,
OMBI: :eeeh mwenyezi Mungu ulipaswa kuweka remote controller ili kwa wale watakao kwenda kinyume na mapezi yako basi na warudishwe ktk mstari, ila kwa sasa umetuachia Uhuru mno ndio maana tumegeuka mabaradhuri/hayawani. Huruma yako iwe juu yetu na kwa kizazi chetu maana janga hili ni kama mchwa utafunao fenicha taratiibu..🙏🙏
Hakika
Amen,tumesikia sauti ya Mungu kupitia sodoma na gomora,Jiji huu ulipigwa kwa sababu ya Dhambi,Amen🚌🎺🎸🎤🎻🏍👏👍👋🙏🍉🍌🍎☝👍🏆🎯🎹🎷🎧👾🎗🇹🇿🚗🚕🌦🔥🌪🌞🙏🙏
Allah atuepushe na uchafu huu pamoja na vizazi vyetu
Story imechelewaaa banaaa😭😭😭 Mtigaaa fanyaa kuwaishaa kdg aiseeh
Kisa hikinatufundisha mambo mambo mazuri sana tumche rabuka
Hz story zinafundisha pia zinarefresh mind big up sana wasafi na the story book
Mungu ni mungu pekee tuomben mwisho uwe mwema amèeen ❤pia ishaalaaa
Inapendeza sana kwa msuliaji mwenye shauku na hisia kama hii kusikilia historian za ukweli wa vitabu vya dini EUNDELEE HIVYO EWE MTIGA ABDALLAH.
#ewe MTIGA ABDALLAH
Yu, have, to know about God bcoz wengi, wenu, you want to blike, at, that time
mungu atuhurumie kizazi chaleo kimejaa uchafu na laana
Mungu anifungue kwa magojwa pia awafungulie watoto wangu kazi
Hapa lazima ujifunze kitu kwenye hii story Asante Mtiga
Subhanallah zama ndo hizi tulokua nazo sasahivi yarabi tunusuru wajawako tunusulie watotowetuh duh had I naogopa maana dunia sasahivi imejaaa kila aina ya ovu
One love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
198004141412500005.
Tuko pamoja
SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html
SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html
Amen,,,Mungu yupo hakika nahukum ipo
Kama unasikiliza na kusoma coment kama mimi naomba like zenu MTIGA. Keep it up broo
Nawapenda sanaaaaa mnatuletea mambo mazur
Pamoja
Jiunge frimanson numéro whtpppp+25768361373
Ni kweli lakini tazameni SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html
Pamoja
Hii habari imenitoa machozi kwelikweli. Dahhh nimejikuta chozi yanidondoka, kuwahurumia walimwengu. Kweli Mungu wetu ana huruma ya ajabu. Sijawahi kuona huruma kama ya Mungu. Mungu aliwahurumia sana hawa watu lkn watu hawa kwa kiburi wakaendelea kufanya machukizo mbele za Bwana Mungu wetu. Hawakuwa na utii. Uwiiiii hadi nashindwa kuandika. Lkn ikafikia hatua Mungu Baba muumba wa Mbingu na nchi akakasirika. Ndugu mpendwa wangu, hasira ya Mungu haiwezi kufananishwa na kitu kingine cha aina yoyote. Nakuomba usiwahi kuomba hasira ya Mungu itokee. Mungu ni mwema jmn, Bwana ni mwema siku zote. Hadi sasa bado anasubiri tutubu dhambi zetu. Mungu Baba wa Mbinguni, tusamehe makosa yetu. Ameeeeen. Hivyo ndugu, na marafiki na wengine wote, tuogope dhambi. Ujue siku Bwana akikasirika ujue umekwisha.
Ni uzuni
Daaah 😭😭😭 ya Allah tunusuru vijana wetu sikuiz imekuwa fashion watu kutembea kwa jinsia moj wanawake wameona fashion kuingiliwa nyum ya maumbili dah 😭😭😭
Hadi naogopa hii lawiti lawiti ya watoto, wanaume kuoana, Mwenyenz Mungu turehemu
MUNGU wangu namba ukaniurumie mim na family nyangu pamoja
@@wilsonmutethia9276mi Hy KO Jo use use pi of ln l of la
Asante sana ndugu mungu atunusuru na tabiya chafu amiin
Mungu ni mwenye huruma sana wangetubu huenda wangesamehewa hata sasa tunaitaji kutubu sana maana pia huku wapo wengi sana tunahitaji kutubu juu sahii ni nyakati za mwisho
Ee bwanaee ulete world war much love from Kenya please kama mnaungana nami jamani Like waonee
Bruno Niko hapa Makindu
Ni kweli lakini tazameni SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html
Story zako nzuri sana kila mtu anazipenda sasa tunasubilia naya SAMSON
The story book inatukumbusha kumrudia Mungu tuache dhambi wapendwa ipo siku haya tutashuhudia dahaaa mpaka ninaogopa
SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html
Na tumeacha katika mji huo ishara iliyo wazi kwa watu wanao tumia akili zao. -Alqur'an, sura ya 29, Aya 35.
Alafu kuna mijitu inakuja hapo inauliza allah ni nani 😱 innalilahi waina ilaihii rajiun,,,IPO cku watamjua allah ni nani
Kama habari hii imekugusa kama mm tushirikiane kusimamia amri za Mungu na tuishi maisha ya kumpendeza Mungu tangu sasa na hata milele, plz naomba like kama million moja endapo, kama unakubali ushauri wangu,, nawapenda wote, na ninawatakia amani.
@@reginambawi9010 nikweli Dada yangu yeye ni mwazo na ni mwisho ,atukuzwe milele na milele , nakutakia baraka na kibali lolote unalotaka kulitenda, mtangulize Mungu nawe utafanikiwa zaidi na zaidi.
@@reginambawi9010 asante na uwe na usiku mwema
Kweli wakat umefka tmrudie mwenyenz mungu
Unahak bro. God bless you
SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html
Naomba kwa Allah anitwae mimi na kizaz changu kabla iyo laana haijamkinai🙏🙏🙏
Kama huamini katika Kristo wembe ni ule ule
@@dunduumaster4815 jidanganye ivyoivyo huna ulijualo hata kuhusu uyo kristo😎
Allah atakuhifadhi kwa unaloliomba kwake inshaallah
@@dunduumaster4815 Wewe subiri utakapo ufahamu ukweli utajuta sana
Fatuma Abdallah maneno yakwajwakwambiwabiwa
Dah machozi yananitoka enye mashoga wakinondoni shauli yenu😢😢😢😢😢
Mungu hachezewi tumuogope
Kiukweli tumuogope mungu dhambi ni mbaya sana tumuombeni sana mungu atuepushe na hiki kikombe
Haya ndoo yapo sasa mungu yatupasa tumuombe mungu atunusulu🙏🙏🙏
Sudy Malema a wapi saiv mbna Hamna uovu mzeee .....fuatilia vzr ishu ya sodoma na gomora ndo utaona saiv Hamna dhambi .....we fikiriw hadi Mungu alishindwa kuvumilia sio poa
anina
@Sudi Malema, Umesema Kauli thabiti
Amein
Amen 😭😭😭
Hii sauti ni best sauti, eeebwana Mtiga wewe ni kiboko napenda The Story Book kwa sababu yako mzee, Nani yuko Hapa na mimi tunacheki story book 👇👇👇👇😍😍😍😍
Wapendwa wa Mungu hebu kila mmoja wetu akiulizwa tangu azaliwe umempa nini na je,umejiaandaaje katika maisha yako
Sauti tamu...story tamu....more love from +254🔥
Ee mungu tuepushe na family zetu tusikubwa na sodoma 🤲
KWA kweli ukuu wa Mungu ni wa pekee! Maana jinsi alivyoumba Dunia na vyote vilivyomo Inatiisha!
Yesu kristo ndie njia na wokovu wa binadamu U kwake pekee
Unakosa kumsifu aliye kuumba unamsifu asiye umba....sa Kama yy n muokoaji mbona hakujiokoa akiwa msalabani
Hauna swaga
Watu Wang wanaangamia Kwa kukosa maarifa
@@aklamramadhan1042 Kwa upendo wake ndio ulimshikilia msalabani. Hii ni kwa sababu alikuwa na uwezo wa kujiokoa kwa kuwa yeye ni MUNGU.
@@pioneerchunga6347 acha izo Yesu sio MUNGU, bali amepewa mamlaka makubwa kuliko kiumbe chochote, anaweza hata kufufua naweza fanya lilote la kimungu,.
Laanatullah, hasbiyallah waniimal wakil mungu atuepushia cye na kizaz chetu😖🙏
YUSSUF ABDUL-RAHMAN
Allahum Amn
DUUUH AYSEE MPAKA NMESHIKWA NA IMANI NA KUONA BORA 2RUDI KWA MUNGU JAMAN GUYS 2TUBU DHAMBI ZETU😢😢😢
Na wewe huwa unakula boga
Me silagi lakini ni mwenye dhamb pia
Kula boga ndo nini
@dogo leo jifunze kuandika vizuri, hata kuandika vibaya wakati unaweza kuandika pia ni UHUNI
Ramadhani Mwanyumba nifundishe kuandika mkuu😐😐
Thank you God bless my family 🙏🙏💞💓🙏🙏🙏
Mungu nimwema
Astaghfirullah shirki
huwezi kuonesha ya Malaika na Mitume ya M/ Mungu.... istoshe ukaenda mbali zaidi ktk kukufuru kuigiza sauti ya M/Mungu.... M/mungu subhaanahuu wataala alimzungumzisha Nabii Musa... lkn kuna ikhtilafu kua hayakua haya maneno tunayoongea mm na ww.. anajua mwenyewe alioumba mbingu na ardhi ni aina gani ya maneno...
so bora kwako kutoonesha picha wala sauti... sauti yako inatosha kusimulia... ( tusijepata ghadhab za M/mungu na ndio ikawa sababu ya kugharakishwa waliokuemo na wasiokuwemo
@@farajijuma9204 Sikiliza kwanza kisha utauliza.. Au umejuaje nilichokisema km hukusoma comment yng... so sikiliza kwanza kilicoemwa dhen uulize
a.I.c
Nimeona watu wengi mkiandika Mungu kwa herufi ndogo maana yake ni vimiungu ama kamungu . hata majina yetu yanaanza kwa herufi kubwa sembuse jina la Mungu mwenyezi na muumbaji wetu. Tafadhali tujifunze jambo hilo. Asnteni kwa story yenye kutukumbusha kumcha Mungu
Ulichosema ni ukweli kaka watu wasicheze na Muumba
Muomben mumewang maana anaelekea hukohuko Mungu tusamehe sana
@@thomasedward4878😳😳😳Lord have Mercy 🙏🙏🙏
@@thomasedward4878 ya Rabby 🤔
To be honest I like the voice of this man
Nice
Yarabi Mungu we tunusuru waja wako 😭😭😭😭😭🙏🙏🙏
Aamin
Subbuhana allah allah atupe mwisho mwema amin
Jina la Mungu andika kwa herufi kubwa
@@nawihadj6674 allah sio Mungu.
Aamin Yaarabul Aa'lamin
Aamin
Amin
Nakubali stor book mko juuu
Mungu tumbe mwisho mwema
Amiin yarabb 🤲🤲
Mtegemee mungu kwa kila kitu
Story hii nairudia mara kwa mara coz ninajifunza kitu kikubwaa saana be blessed
Xo talented hyu jamaa wanaocheki hapa neno la Mungu gonga like✊
Mungu anaangamiza wasioskia
Wangap wanapenda the story book like tujuane
hello
Hadi nimeshituka jamn
Ni kweli lakini tazameni SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html
Tupe mastry tupate kufaidika kama umeikubali hii story book gonga like 👍tuende p1
Mmb
Kila MTU gonga like duh mnapenda like ushambaa tupe story Baba
Amen tumepaza na tumeskia sauti ya mungu kitokana na hadithi hii.Tuache dhambi na tutubu.
Very nice explanation dear.
Anhansante Kwa story nzuri mungu atufanyie wepes yasijirudie tena all the best kaka
Story book mtiga Abdallah unatisha Kaka fanya arud hapa wasafi aisee
So nice l like it
Kama unailudia story hii mpaka leo 2020 tuwe pamoja nipe like zako hapa
Allah atuepushe cc na familia zetu Aamiin
I wish we could download and watch it offline sometimes when we less busy. I love it
Sodoma na Gomora
Naam stor nzuri mungu akuzidishie kaka
Sauti yako iko poa kwakusimulia story 🔥🔥🔥👍
ALLAH NI MKUBWA SANA......TUMUABUDU YEYE TUU...WALA TUSIMSHIRIKISHE NA VIUMBE WAKE...NA HAKIKA YA MUHAMMAD NI MTUME WAKE
Huyo allah ni nani? Maana hapo anaongelewa Mungu ambaye ni Jehova wewe unasema allah mkubwa ametoka wapi hapo?
Ipo siku tu utamjua Allah ninani
@@hemedramadhani7946 mwambie uyo mjinga
@@lusekelomwinsasu318 atakuwa ni Mungu wa waislama ndugu Kama ilivokuwa Mungu baali ko Kuna Mungu wengi ila sisi wakristo tunamjua Mungu wetu na sifa zake hazifanani na za Mungu Allah muongo.
@@canibalgazaboy8325 Hamna mungu wa waislam wala wa wakristo mungu ni mmoja ni ndio Allah s.w. na ndio mungu wa kila kitu ulimwenguni na mbinguni na hana mshirika wala msaidizi wa aina yeyote.
Mungu utusaidie
Mungu yupo
Leo wa Kwanzaa... Plz like Naomba kwa heshima ya kuwa wa Kwanzaa plz like......
Hadidhi nzuri sana pongezi
Asante bro
Yaani hii sauti achana nayoo yaani huuyu jamaa ni Nina abdallah mtiga uko juu ingawa Kuna watu wanajaribu lkn ww ni baba lao km dj Macy yaani nomaa
Haya ni yakweli kabisa Allah atuepushe na haya mabalaa
Aamin insha Allah @Rukia Abdallah
Amiin Yarabi🤲🏼
Aamin inshaallah
Amiin
Ni kweli lakini kwasasa hatuwez kuepuka dhambi ileile ndo ipo katika kizazi hiki Teena sfari hi ndo imeenea kwa kasi..chamsingi Ni kumwambini mwenyezi mungu na kutoshiriki dhambi hizo
Daaah! Saut ya mshikaji mirraldiayo Cha Mtoto
Mmmmmh inasikitisha na kutisha dunia imekaribia nyakat za mwisho
Innah illah wa innah lillah rajuun ni msiba huu
maana yote yaliosemw kweny kitabu kitukufu yanaonekana
Mwaka utakuw mfupi kam mwezi tu
Wanaume wengine wataolewa
Watu watatembea hali ya kuwa wapo nusu uchi
Tunachosubir tu ni jua kutoka maghalibi kwenda masharik na masigdajal kurud
Tumuombe mungu mwixho mwema
Ameen🙏🙏
Kikumbwa tumwomba mungu dua
May God bless you
Asante sana the story , ,nmejifunza
Ipo yote kwenye Biblia, Agano la kale, Soma Biblia pia
Kam hii story imekushtua gonga like twend saw
Haipo kwenye Kuruhani kwani? Maana ipo kwenye biblia
@@ilovejesus9303 ipo lakini kwenye Quran inahadithiwa kama kisa cha kaumu Luthi...
Palikuwa sheda sana! Itabidi sasa Mungu arudi tena
Yarabi Tusamehe sisi na waliotutangulia
@@juliusmwinga4051 kwel
Mwenyezi mungu tusamehee sisi waja wako tupe mwisho mwema
Wasafi media is the best indeed!
😍😍😍😍😍
SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html
Kama unaamini akina Amberuty na bobyrisk walitoroka kutoka Sodoma na Gomora weka likes!....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahaha akini mecheka atariiii
😀😀😀😀Duuuuu
😂😂😂😂😂😂
Warudi huko wasijetuletea kisanga