KISA CHA SODOMA : MUNGU ALIWASHUSHIA MVUA YA MOTO KWA KUENDEKEZA USHOGA / WALITAKA KUWABAKA MALAIKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 11. 2019
  • #TheStoryBook #SodomaNaGomorrah Hadithi kamili ya kisa cha Mji wa Washenzi Sodoma na Gomora, na jinsi Mungu alivyouangamiza.
  • Zábava

Komentáře • 1,8K

  • @jugerulikira1698
    @jugerulikira1698 Před 3 lety +398

    *Akisha uta kuta mtu anasema eti Mungu ayupo🤔 kama wewe una amini kama Mungu yupo gonga like tujuwana*

  • @itstwinshi2179
    @itstwinshi2179 Před 4 lety +64

    Nimependa sana hii episode. Inafundisha *MUNGU BABA hadhihakiwi yeye ndiye mwenye nguvu, uweza na mamlaka kuliko chochote wala yeyote* 👏👏

  • @atusamwely7771
    @atusamwely7771 Před 4 lety +34

    Ata siku moja usiruhusu hasira ya bwana ikawaka juu yako ..
    Mungu atuhurumiee😥😥😥😥

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt Před 2 lety

      SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html

    • @yusuphmohamed5297
      @yusuphmohamed5297 Před rokem

      Nikweli tuzidi kumuomba mungu natujitaidi kukemea mabaya ata kwakuchukulia Shelia Kali unimtian

    • @user-zy2ot3dm2p
      @user-zy2ot3dm2p Před 2 měsíci

      Amen

  • @floramacheva5855
    @floramacheva5855 Před rokem +10

    Waah 😭 Yesu kristo, utuokoe maana Wana wetu wanaishi haya maisha ya hiki KIZAZI Cha sadoma na komora, 😭😭😭uturehemu Mungu wetu

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture6599 Před 4 lety +17

    Tunashukuru sana kwa uchambuzi huu wewe ni Mjumbe wa Mungu... umeileta Sauti ya Mungu kama ilivyo... mwenye sikio na asikie Roho wa Mungu anena na watu wake.....ni kweli ushoga sasa unapamba moto... Mungu atusaidie na kutuokoa na vizazi vyetu. BARIKIWA SANA MTU WA MUNGU.

    • @khamismohamed3100
      @khamismohamed3100 Před 2 lety

      Ccpco jhcohvcppv cc. 😊😶😪✨😜💖😚🍏😄😙😶😙😚🙂😙😙😙😙✨✨😜😄💖💖💖💖😙😋😋😋😶😙😶😙😘🙂😙😚✨🙂💖💖😄😙😄😁😄😄😇😘😘😚😁✨🍎🍎🙂🙂😙😚😙😄😙😄😄😙😙😙😇😇😇😇😇😙😙😚😙😋😱✨😁😁✨✨😊😊✨✨✨😄💕😊💕✨💕😄😊✨✨😁😊✨😪😄😪🍏😄😋🤣😇😁😄💕💕😁💕😄😁😁😄✨😄✨

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt Před 2 lety

      SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html

    • @msafirimoses8815
      @msafirimoses8815 Před rokem

      Amini

  • @eneolatukio8493
    @eneolatukio8493 Před 4 lety +20

    Daah mtangazaji God bless you! Very nice voice na presentation!! Asante kwa kutukumbusha Sodoma na Gomora walivoteketea

  • @saraholuche1117
    @saraholuche1117 Před 3 lety +10

    Amen, imenikumbusha ya kwamba, mungu huchukizwa sana, wakati ambapo, binadamu hukosa, kutii neno lake, na kutenda jinsi ambavyo anataka, jameeni dhambi ni mbaya, na pia inamkasirisha mungu wetu

  • @dibah613
    @dibah613 Před 3 lety +2

    Wah mungu atuepushe mbali na moovu..shetani mbaya...Mshahara wa dhambi ni mauti..Ni vyema kutenda mema na kumwogopa/mcha mungu...mungu anapenda watoto wake bali afurahii maovu ni dhambi

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 4 lety +42

    Shukran sana kwa Maelezo, Nimejuwa Nini Maana Ya Sodama na Gomora.lnna lillahy wa inna illayhi Rajioun, Msiba Mkubwa.

    • @emmanuelmbelele8954
      @emmanuelmbelele8954 Před 2 lety +1

      🙏🙏🙏💞

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt Před 2 lety

      SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html

  • @rukiapatrick3376
    @rukiapatrick3376 Před 4 lety +253

    Tunae mkubali abdallah mtiga hapa tucoment na kulike hapa
    👊👊👊👊

    • @longidastephen9279
      @longidastephen9279 Před 4 lety +4

      Mtiga abdalah tunaomba urudi uwendelee na simulizi hizi,kuna mtu amekuja kwenye nafasi yako haiwezi kbs hana sauti ya simulizi na msisimko wa simulizi!kwaujumla wakurudishie nafasi yako maana unaiweza vyema 100%

    • @josephbalayata4506
      @josephbalayata4506 Před 4 lety +2

      Toka jamaa aondoke stoory book at a aipandi walanini

    • @magrethlugiana7980
      @magrethlugiana7980 Před 4 lety +1

      Yeah up

  • @RUBENOTIENO-bh8yo
    @RUBENOTIENO-bh8yo Před rokem +1

    so good muendele hivyo hivyo tu hadi watu waone wana tenda thambi mbele za muenyezi mungu asanteni wasafi muendelee 😊

  • @bakitakasanga1898
    @bakitakasanga1898 Před 2 lety +1

    Utuhurumie ee mungu sisi Ni wenye zambi utuepushe na adhabu Kali Kama uliyo wapa sodoma na gomola utuepushe na mabaya ee bwana mungu wetu mungu akupe maisha marefu wew uliye jitolea kwa moyo wako kutoa simulizi hii mungu utarehem sis Ni Wana wako utuepushe na mabaya amen

  • @rubylifestyle7463
    @rubylifestyle7463 Před 4 lety +661

    wangapi huwa wanasubiri the story book like hapa tujuane😍🥂

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 Před 4 lety +132

    Hakika umezid kuniongezea Iman yangu nizid kuomba mungu ktk kila jambo, kweli mungu yup na anaona

  • @queenstarboy1823
    @queenstarboy1823 Před 4 lety +3

    Daaaah uyu mkaka ana sauti nzuri hatr yan imetulia hongera kaka

  • @martinaelia1768
    @martinaelia1768 Před 3 lety +8

    MWENYEZI MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI NINAKUOMBA UNIUPUSHE NA KIZAZ HIKI CHA LAANA JALIA FAMILY YANGU IWE YENYE KUKUJUA WEWE NA KUJIFUNZA NENO LAKO KTK MAISHA HAYA YA DUNIANI, AMEEEN👏👏👏👏👏👏👏

  • @bossshilla3596
    @bossshilla3596 Před 4 lety +12

    Unajua sana Mtiga. Mungu atupe macho ya kuona!

  • @obagoabhiathan3565
    @obagoabhiathan3565 Před 4 lety +176

    Daaah! Mungu atuepushe na hiyo life style sodoma na gomora katika dunia hii ya Leo..... Plz like hapa kama una amini

    • @youngweezy3846
      @youngweezy3846 Před 4 lety +2

      Sebastian Abhiathan ndo tunakoelekea sasa

    • @micamathew6433
      @micamathew6433 Před 4 lety +4

      Ombea mataifa haya, wala usitake like, simama mbele za Mungu, Bwana Yesu ili akuokoe na atuokoe sisi kwa ujumla. Ombea mataifa yote, usitake like. Itakusaidia nini??

    • @joycechaz2840
      @joycechaz2840 Před 4 lety +2

      Dah kumbe mashoga walikuwepo tangu enzi hizo!!! Mungu tusaidie

    • @micamathew6433
      @micamathew6433 Před 4 lety +2

      @@joycechaz2840 iko hivi: vyote uonavyo ktk sasa, vilishakuwepo tangu zama za zamani sana. Hakuna jipya. Kinachotakiwa ni kwamba, msilale usingizi wa kiroho. Soma1Wathesalonike5:6. Kisha umalizie kwa kusoma Yohana15: 7.

    • @micamathew6433
      @micamathew6433 Před 4 lety +2

      @@joycechaz2840 hakikisha unayasoma hizo mstari, kisha niambie maana kuna vingi nataka kukueleza.

  • @calvincyprian5680
    @calvincyprian5680 Před 4 lety +1

    Sina mengi sana..ila unafany kaz nzur sanaaa;
    1.unatukumbusha mambo muhimu juu ya maish yetu na uhusiano wetu baina ya sisi na Mungu
    2.umekuwa sasa ni kiunganishi unatufanya waisalam kwa wakristo kujiona ni sawa kulingana na ufanano na ushahidi huo wa maandiko
    3.unajarbu kudhihirisha na kuonyesha uwepo wa Mungu kwa wale wasio mwamini...!

  • @charityhalisi7212
    @charityhalisi7212 Před 4 lety +5

    Hakuna jipya chini ya jua.... Vyote tunavyovyiona vilikuwepo! Mungu niokoe mm nimekutenda dhambi

  • @ramamanyama2944
    @ramamanyama2944 Před 4 lety +77

    abdallah usiwe unakaa mda mref san kutuletea the story book tunapenda sn hil show gonga like apo chin kama unaikubal the story book

  • @bulayaconfidential7212
    @bulayaconfidential7212 Před 4 lety +12

    Hakuna kipya chini ya jua,
    OMBI: :eeeh mwenyezi Mungu ulipaswa kuweka remote controller ili kwa wale watakao kwenda kinyume na mapezi yako basi na warudishwe ktk mstari, ila kwa sasa umetuachia Uhuru mno ndio maana tumegeuka mabaradhuri/hayawani. Huruma yako iwe juu yetu na kwa kizazi chetu maana janga hili ni kama mchwa utafunao fenicha taratiibu..🙏🙏

  • @stephanoelphas4278
    @stephanoelphas4278 Před 2 lety +6

    Amen,tumesikia sauti ya Mungu kupitia sodoma na gomora,Jiji huu ulipigwa kwa sababu ya Dhambi,Amen🚌🎺🎸🎤🎻🏍👏👍👋🙏🍉🍌🍎☝👍🏆🎯🎹🎷🎧👾🎗🇹🇿🚗🚕🌦🔥🌪🌞🙏🙏

  • @aminihaji4856
    @aminihaji4856 Před 4 lety +9

    Allah atuepushe na uchafu huu pamoja na vizazi vyetu

  • @gracefabian6114
    @gracefabian6114 Před 4 lety +34

    Story imechelewaaa banaaa😭😭😭 Mtigaaa fanyaa kuwaishaa kdg aiseeh

  • @barakabakari8334
    @barakabakari8334 Před 4 lety +3

    Kisa hikinatufundisha mambo mambo mazuri sana tumche rabuka

  • @latifahjanja6679
    @latifahjanja6679 Před 4 lety +10

    Hz story zinafundisha pia zinarefresh mind big up sana wasafi na the story book

  • @PeterJulius-ej4lu
    @PeterJulius-ej4lu Před 2 měsíci +1

    Mungu ni mungu pekee tuomben mwisho uwe mwema amèeen ❤pia ishaalaaa

  • @HABIBULLAH-nd9ft
    @HABIBULLAH-nd9ft Před 4 lety +13

    Inapendeza sana kwa msuliaji mwenye shauku na hisia kama hii kusikilia historian za ukweli wa vitabu vya dini EUNDELEE HIVYO EWE MTIGA ABDALLAH.

    • @christonchristian7448
      @christonchristian7448 Před rokem

      #ewe MTIGA ABDALLAH

    • @Jamie-292
      @Jamie-292 Před 9 měsíci

      Yu, have, to know about God bcoz wengi, wenu, you want to blike, at, that time

  • @oscarmosha383
    @oscarmosha383 Před 3 lety +4

    mungu atuhurumie kizazi chaleo kimejaa uchafu na laana

  • @veronicaamela3479
    @veronicaamela3479 Před 2 lety +1

    Mungu anifungue kwa magojwa pia awafungulie watoto wangu kazi

  • @nyatindwagerald4607
    @nyatindwagerald4607 Před 4 lety +4

    Hapa lazima ujifunze kitu kwenye hii story Asante Mtiga

  • @mohamedkagoma7066
    @mohamedkagoma7066 Před 3 lety +3

    Subhanallah zama ndo hizi tulokua nazo sasahivi yarabi tunusuru wajawako tunusulie watotowetuh duh had I naogopa maana dunia sasahivi imejaaa kila aina ya ovu

  • @zechyulewagreenapple5705
    @zechyulewagreenapple5705 Před 4 lety +63

    One love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @danielsaimon4718
      @danielsaimon4718 Před 4 lety

      198004141412500005.

    • @chief2177
      @chief2177 Před 2 lety

      Tuko pamoja

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt Před 2 lety

      SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt Před 2 lety

      SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html

  • @faimagulam9142
    @faimagulam9142 Před rokem +3

    Amen,,,Mungu yupo hakika nahukum ipo

  • @chrisboateng8458
    @chrisboateng8458 Před 4 lety +77

    Kama unasikiliza na kusoma coment kama mimi naomba like zenu MTIGA. Keep it up broo

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 Před 4 lety +13

    Hii habari imenitoa machozi kwelikweli. Dahhh nimejikuta chozi yanidondoka, kuwahurumia walimwengu. Kweli Mungu wetu ana huruma ya ajabu. Sijawahi kuona huruma kama ya Mungu. Mungu aliwahurumia sana hawa watu lkn watu hawa kwa kiburi wakaendelea kufanya machukizo mbele za Bwana Mungu wetu. Hawakuwa na utii. Uwiiiii hadi nashindwa kuandika. Lkn ikafikia hatua Mungu Baba muumba wa Mbingu na nchi akakasirika. Ndugu mpendwa wangu, hasira ya Mungu haiwezi kufananishwa na kitu kingine cha aina yoyote. Nakuomba usiwahi kuomba hasira ya Mungu itokee. Mungu ni mwema jmn, Bwana ni mwema siku zote. Hadi sasa bado anasubiri tutubu dhambi zetu. Mungu Baba wa Mbinguni, tusamehe makosa yetu. Ameeeeen. Hivyo ndugu, na marafiki na wengine wote, tuogope dhambi. Ujue siku Bwana akikasirika ujue umekwisha.

  • @sophierseyyd1162
    @sophierseyyd1162 Před 2 lety +25

    Daaah 😭😭😭 ya Allah tunusuru vijana wetu sikuiz imekuwa fashion watu kutembea kwa jinsia moj wanawake wameona fashion kuingiliwa nyum ya maumbili dah 😭😭😭

    • @margrethemanuel7501
      @margrethemanuel7501 Před rokem +1

      Hadi naogopa hii lawiti lawiti ya watoto, wanaume kuoana, Mwenyenz Mungu turehemu

    • @wilsonmutethia9276
      @wilsonmutethia9276 Před rokem

      MUNGU wangu namba ukaniurumie mim na family nyangu pamoja

    • @Simonkasero-ij6sz
      @Simonkasero-ij6sz Před 9 měsíci

      ​@@wilsonmutethia9276mi Hy KO Jo use use pi of ln l of la

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 Před 3 lety +2

    Asante sana ndugu mungu atunusuru na tabiya chafu amiin

  • @neemagabrieli-ff4mq
    @neemagabrieli-ff4mq Před 9 měsíci +2

    Mungu ni mwenye huruma sana wangetubu huenda wangesamehewa hata sasa tunaitaji kutubu sana maana pia huku wapo wengi sana tunahitaji kutubu juu sahii ni nyakati za mwisho

  • @anonymouslyhidden95
    @anonymouslyhidden95 Před 4 lety +31

    Ee bwanaee ulete world war much love from Kenya please kama mnaungana nami jamani Like waonee

    • @fredkangethe7497
      @fredkangethe7497 Před 3 lety

      Bruno Niko hapa Makindu

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt Před 2 lety

      Ni kweli lakini tazameni SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html

  • @titreevents8790
    @titreevents8790 Před 4 lety +7

    Story zako nzuri sana kila mtu anazipenda sasa tunasubilia naya SAMSON

  • @isayagidion4714
    @isayagidion4714 Před 3 lety +11

    The story book inatukumbusha kumrudia Mungu tuache dhambi wapendwa ipo siku haya tutashuhudia dahaaa mpaka ninaogopa

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt Před 2 lety

      SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html

  • @westgagus6417
    @westgagus6417 Před 4 lety +16

    Na tumeacha katika mji huo ishara iliyo wazi kwa watu wanao tumia akili zao. -Alqur'an, sura ya 29, Aya 35.

    • @nuratumary67
      @nuratumary67 Před 3 lety +1

      Alafu kuna mijitu inakuja hapo inauliza allah ni nani 😱 innalilahi waina ilaihii rajiun,,,IPO cku watamjua allah ni nani

  • @johnrogasiani
    @johnrogasiani Před 4 lety +43

    Kama habari hii imekugusa kama mm tushirikiane kusimamia amri za Mungu na tuishi maisha ya kumpendeza Mungu tangu sasa na hata milele, plz naomba like kama million moja endapo, kama unakubali ushauri wangu,, nawapenda wote, na ninawatakia amani.

    • @johnrogasiani
      @johnrogasiani Před 4 lety +1

      @@reginambawi9010 nikweli Dada yangu yeye ni mwazo na ni mwisho ,atukuzwe milele na milele , nakutakia baraka na kibali lolote unalotaka kulitenda, mtangulize Mungu nawe utafanikiwa zaidi na zaidi.

    • @johnrogasiani
      @johnrogasiani Před 4 lety +1

      @@reginambawi9010 asante na uwe na usiku mwema

    • @johncavishe353
      @johncavishe353 Před 4 lety +1

      Kweli wakat umefka tmrudie mwenyenz mungu

    • @dainesssindiho2968
      @dainesssindiho2968 Před 3 lety +2

      Unahak bro. God bless you

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt Před 2 lety +1

      SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html

  • @fatumaabdallah566
    @fatumaabdallah566 Před 4 lety +58

    Naomba kwa Allah anitwae mimi na kizaz changu kabla iyo laana haijamkinai🙏🙏🙏

    • @dunduumaster4815
      @dunduumaster4815 Před 4 lety

      Kama huamini katika Kristo wembe ni ule ule

    • @fatumaabdallah566
      @fatumaabdallah566 Před 4 lety +2

      @@dunduumaster4815 jidanganye ivyoivyo huna ulijualo hata kuhusu uyo kristo😎

    • @iffahbahet1499
      @iffahbahet1499 Před 4 lety +2

      Allah atakuhifadhi kwa unaloliomba kwake inshaallah

    • @iffahbahet1499
      @iffahbahet1499 Před 4 lety +3

      @@dunduumaster4815 Wewe subiri utakapo ufahamu ukweli utajuta sana

    • @jafariomary745
      @jafariomary745 Před 4 lety

      Fatuma Abdallah maneno yakwajwakwambiwabiwa

  • @kacherosimba5762
    @kacherosimba5762 Před 4 lety +8

    Dah machozi yananitoka enye mashoga wakinondoni shauli yenu😢😢😢😢😢

  • @dullahmbabe3869
    @dullahmbabe3869 Před 4 lety +3

    Mungu hachezewi tumuogope

  • @Pratnumzsimba
    @Pratnumzsimba Před 4 lety +15

    Kiukweli tumuogope mungu dhambi ni mbaya sana tumuombeni sana mungu atuepushe na hiki kikombe

  • @sudymalema2313
    @sudymalema2313 Před 4 lety +46

    Haya ndoo yapo sasa mungu yatupasa tumuombe mungu atunusulu🙏🙏🙏

    • @tonijr8229
      @tonijr8229 Před 4 lety +1

      Sudy Malema a wapi saiv mbna Hamna uovu mzeee .....fuatilia vzr ishu ya sodoma na gomora ndo utaona saiv Hamna dhambi .....we fikiriw hadi Mungu alishindwa kuvumilia sio poa

    • @jamessuka5845
      @jamessuka5845 Před 4 lety +1

      anina

    • @snoda8056
      @snoda8056 Před 4 lety +1

      @Sudi Malema, Umesema Kauli thabiti

    • @zedfahmomyy8809
      @zedfahmomyy8809 Před 3 lety +2

      Amein

    • @lizzybahati9833
      @lizzybahati9833 Před 3 lety +2

      Amen 😭😭😭

  • @Kimaro_Comedy
    @Kimaro_Comedy Před 4 lety

    Hii sauti ni best sauti, eeebwana Mtiga wewe ni kiboko napenda The Story Book kwa sababu yako mzee, Nani yuko Hapa na mimi tunacheki story book 👇👇👇👇😍😍😍😍

  • @mariamathumani1781
    @mariamathumani1781 Před 2 lety +1

    Wapendwa wa Mungu hebu kila mmoja wetu akiulizwa tangu azaliwe umempa nini na je,umejiaandaaje katika maisha yako

  • @stevohjohn1569
    @stevohjohn1569 Před 4 lety +5

    Sauti tamu...story tamu....more love from +254🔥

  • @winifridathomas5081
    @winifridathomas5081 Před 3 lety +3

    Ee mungu tuepushe na family zetu tusikubwa na sodoma 🤲

  • @SubilagaKabango-bu8tu
    @SubilagaKabango-bu8tu Před 11 měsíci +1

    KWA kweli ukuu wa Mungu ni wa pekee! Maana jinsi alivyoumba Dunia na vyote vilivyomo Inatiisha!

  • @pioneerchunga6347
    @pioneerchunga6347 Před 4 lety +15

    Yesu kristo ndie njia na wokovu wa binadamu U kwake pekee

    • @aklamramadhan1042
      @aklamramadhan1042 Před 3 lety +1

      Unakosa kumsifu aliye kuumba unamsifu asiye umba....sa Kama yy n muokoaji mbona hakujiokoa akiwa msalabani

    • @aminamohd604
      @aminamohd604 Před 3 lety

      Hauna swaga

    • @sadickchakka6350
      @sadickchakka6350 Před 3 lety +1

      Watu Wang wanaangamia Kwa kukosa maarifa

    • @pioneerchunga6347
      @pioneerchunga6347 Před 3 lety

      @@aklamramadhan1042 Kwa upendo wake ndio ulimshikilia msalabani. Hii ni kwa sababu alikuwa na uwezo wa kujiokoa kwa kuwa yeye ni MUNGU.

    • @millionairejeffreysunofbez3766
      @millionairejeffreysunofbez3766 Před 3 lety

      @@pioneerchunga6347 acha izo Yesu sio MUNGU, bali amepewa mamlaka makubwa kuliko kiumbe chochote, anaweza hata kufufua naweza fanya lilote la kimungu,.

  • @yussufabdul-rahman5601
    @yussufabdul-rahman5601 Před 4 lety +5

    Laanatullah, hasbiyallah waniimal wakil mungu atuepushia cye na kizaz chetu😖🙏

  • @plantp.o1823
    @plantp.o1823 Před 4 lety +314

    DUUUH AYSEE MPAKA NMESHIKWA NA IMANI NA KUONA BORA 2RUDI KWA MUNGU JAMAN GUYS 2TUBU DHAMBI ZETU😢😢😢

  • @NiceErasto-ni8wi
    @NiceErasto-ni8wi Před 4 měsíci +1

    Thank you God bless my family 🙏🙏💞💓🙏🙏🙏

  • @shabanshaban7742
    @shabanshaban7742 Před 4 lety +2

    Mungu nimwema

  • @sokoinesokoine7468
    @sokoinesokoine7468 Před 4 lety +6

    Astaghfirullah shirki
    huwezi kuonesha ya Malaika na Mitume ya M/ Mungu.... istoshe ukaenda mbali zaidi ktk kukufuru kuigiza sauti ya M/Mungu.... M/mungu subhaanahuu wataala alimzungumzisha Nabii Musa... lkn kuna ikhtilafu kua hayakua haya maneno tunayoongea mm na ww.. anajua mwenyewe alioumba mbingu na ardhi ni aina gani ya maneno...
    so bora kwako kutoonesha picha wala sauti... sauti yako inatosha kusimulia... ( tusijepata ghadhab za M/mungu na ndio ikawa sababu ya kugharakishwa waliokuemo na wasiokuwemo

    • @sokoinesokoine7468
      @sokoinesokoine7468 Před 4 lety

      @@farajijuma9204 Sikiliza kwanza kisha utauliza.. Au umejuaje nilichokisema km hukusoma comment yng... so sikiliza kwanza kilicoemwa dhen uulize

    • @ericksadock8176
      @ericksadock8176 Před 4 lety

      a.I.c

  • @AdacharityColeman
    @AdacharityColeman Před 4 lety +26

    Nimeona watu wengi mkiandika Mungu kwa herufi ndogo maana yake ni vimiungu ama kamungu . hata majina yetu yanaanza kwa herufi kubwa sembuse jina la Mungu mwenyezi na muumbaji wetu. Tafadhali tujifunze jambo hilo. Asnteni kwa story yenye kutukumbusha kumcha Mungu

  • @SammyNjorogeVisionary
    @SammyNjorogeVisionary Před 4 lety +18

    To be honest I like the voice of this man

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 Před 4 lety +6

    Yarabi Mungu we tunusuru waja wako 😭😭😭😭😭🙏🙏🙏

  • @joharhamisi9140
    @joharhamisi9140 Před 4 lety +35

    Subbuhana allah allah atupe mwisho mwema amin

  • @festovenas502
    @festovenas502 Před 4 lety +4

    Nakubali stor book mko juuu

  • @fatumamkuzi1475
    @fatumamkuzi1475 Před 3 lety +4

    Mungu tumbe mwisho mwema
    Amiin yarabb 🤲🤲

  • @calvarytv7338
    @calvarytv7338 Před 3 lety +3

    Mtegemee mungu kwa kila kitu

  • @dottosebastianophilipo2693

    Story hii nairudia mara kwa mara coz ninajifunza kitu kikubwaa saana be blessed

  • @youngchella4322
    @youngchella4322 Před 4 lety +3

    Xo talented hyu jamaa wanaocheki hapa neno la Mungu gonga like✊

  • @goodluckjohn492
    @goodluckjohn492 Před 4 lety +1

    Mungu anaangamiza wasioskia

  • @khamissathumany8392
    @khamissathumany8392 Před 4 lety +42

    Wangap wanapenda the story book like tujuane

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid3095 Před 4 lety +5

    Tupe mastry tupate kufaidika kama umeikubali hii story book gonga like 👍tuende p1

  • @amrimalumbo1712
    @amrimalumbo1712 Před 4 lety +3

    Kila MTU gonga like duh mnapenda like ushambaa tupe story Baba

  • @user-pe5ko5mp3b
    @user-pe5ko5mp3b Před 2 lety +2

    Amen tumepaza na tumeskia sauti ya mungu kitokana na hadithi hii.Tuache dhambi na tutubu.

  • @aminajacobs76
    @aminajacobs76 Před 2 lety +1

    Very nice explanation dear.

  • @sashaaishajamani1979
    @sashaaishajamani1979 Před 4 lety +5

    Anhansante Kwa story nzuri mungu atufanyie wepes yasijirudie tena all the best kaka

  • @caribbean9692
    @caribbean9692 Před rokem +1

    Story book mtiga Abdallah unatisha Kaka fanya arud hapa wasafi aisee

  • @munajafu3080
    @munajafu3080 Před 3 lety +2

    So nice l like it

  • @saxenaofficial4168
    @saxenaofficial4168 Před 4 lety +17

    Kama unailudia story hii mpaka leo 2020 tuwe pamoja nipe like zako hapa

  • @abdullahhashimu2380
    @abdullahhashimu2380 Před 4 lety +3

    Allah atuepushe cc na familia zetu Aamiin

  • @mirrabeloduor2016
    @mirrabeloduor2016 Před 4 lety +27

    I wish we could download and watch it offline sometimes when we less busy. I love it

  • @mohammedikingazi5166
    @mohammedikingazi5166 Před 4 lety +1

    Naam stor nzuri mungu akuzidishie kaka

  • @estheronyoro1452
    @estheronyoro1452 Před 4 lety +10

    Sauti yako iko poa kwakusimulia story 🔥🔥🔥👍

  • @twalibabdulkarim6463
    @twalibabdulkarim6463 Před 4 lety +201

    ALLAH NI MKUBWA SANA......TUMUABUDU YEYE TUU...WALA TUSIMSHIRIKISHE NA VIUMBE WAKE...NA HAKIKA YA MUHAMMAD NI MTUME WAKE

    • @lusekelomwinsasu318
      @lusekelomwinsasu318 Před 4 lety +4

      Huyo allah ni nani? Maana hapo anaongelewa Mungu ambaye ni Jehova wewe unasema allah mkubwa ametoka wapi hapo?

    • @hemedramadhani7946
      @hemedramadhani7946 Před 4 lety +8

      Ipo siku tu utamjua Allah ninani

    • @CizaDangote
      @CizaDangote Před 4 lety +2

      @@hemedramadhani7946 mwambie uyo mjinga

    • @canibalgazaboy8325
      @canibalgazaboy8325 Před 4 lety +4

      @@lusekelomwinsasu318 atakuwa ni Mungu wa waislama ndugu Kama ilivokuwa Mungu baali ko Kuna Mungu wengi ila sisi wakristo tunamjua Mungu wetu na sifa zake hazifanani na za Mungu Allah muongo.

    • @fatmafeisal442
      @fatmafeisal442 Před 4 lety +7

      @@canibalgazaboy8325 Hamna mungu wa waislam wala wa wakristo mungu ni mmoja ni ndio Allah s.w. na ndio mungu wa kila kitu ulimwenguni na mbinguni na hana mshirika wala msaidizi wa aina yeyote.

  • @philemonkayombo6563
    @philemonkayombo6563 Před 3 lety +1

    Mungu utusaidie

  • @sadamxadam1807
    @sadamxadam1807 Před rokem +2

    Mungu yupo

  • @manofgodbabazero9237
    @manofgodbabazero9237 Před 4 lety +32

    Leo wa Kwanzaa... Plz like Naomba kwa heshima ya kuwa wa Kwanzaa plz like......

  • @aliceondeko3455
    @aliceondeko3455 Před 4 lety +4

    Hadidhi nzuri sana pongezi

  • @menyosami9713
    @menyosami9713 Před rokem +1

    Asante bro

  • @nawwarsultwaan6404
    @nawwarsultwaan6404 Před 3 lety +1

    Yaani hii sauti achana nayoo yaani huuyu jamaa ni Nina abdallah mtiga uko juu ingawa Kuna watu wanajaribu lkn ww ni baba lao km dj Macy yaani nomaa

  • @rukiamwakinyo5324
    @rukiamwakinyo5324 Před 4 lety +140

    Haya ni yakweli kabisa Allah atuepushe na haya mabalaa

  • @mdindaoscar3631
    @mdindaoscar3631 Před 4 lety +8

    Daaah! Saut ya mshikaji mirraldiayo Cha Mtoto

  • @allytuwa1922
    @allytuwa1922 Před 4 lety +4

    Mmmmmh inasikitisha na kutisha dunia imekaribia nyakat za mwisho
    Innah illah wa innah lillah rajuun ni msiba huu
    maana yote yaliosemw kweny kitabu kitukufu yanaonekana
    Mwaka utakuw mfupi kam mwezi tu
    Wanaume wengine wataolewa
    Watu watatembea hali ya kuwa wapo nusu uchi
    Tunachosubir tu ni jua kutoka maghalibi kwenda masharik na masigdajal kurud
    Tumuombe mungu mwixho mwema
    Ameen🙏🙏

  • @michaelokeyo3956
    @michaelokeyo3956 Před 11 měsíci +1

    May God bless you

  • @godfreynyansira8227
    @godfreynyansira8227 Před 4 lety +3

    Asante sana the story , ,nmejifunza

    • @monicahovda4524
      @monicahovda4524 Před 3 lety

      Ipo yote kwenye Biblia, Agano la kale, Soma Biblia pia

  • @hadijambwan8092
    @hadijambwan8092 Před 4 lety +633

    Kam hii story imekushtua gonga like twend saw

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 Před 4 lety +4

      Haipo kwenye Kuruhani kwani? Maana ipo kwenye biblia

    • @rashidambari3468
      @rashidambari3468 Před 4 lety +6

      @@ilovejesus9303 ipo lakini kwenye Quran inahadithiwa kama kisa cha kaumu Luthi...

    • @sistitemu7346
      @sistitemu7346 Před 4 lety +1

      Palikuwa sheda sana! Itabidi sasa Mungu arudi tena

    • @juliusmwinga4051
      @juliusmwinga4051 Před 4 lety +1

      Yarabi Tusamehe sisi na waliotutangulia

    • @tyromonster5699
      @tyromonster5699 Před 4 lety +1

      @@juliusmwinga4051 kwel

  • @katumbilimunira5112
    @katumbilimunira5112 Před 4 lety +1

    Mwenyezi mungu tusamehee sisi waja wako tupe mwisho mwema

  • @iammusic3404
    @iammusic3404 Před 4 lety +17

    Wasafi media is the best indeed!
    😍😍😍😍😍

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt Před 2 lety

      SODOMA na Gomora imerudi Tena tazama. czcams.com/video/dwIfZBz2bIE/video.html

  • @joxiahmendez1325
    @joxiahmendez1325 Před 4 lety +696

    Kama unaamini akina Amberuty na bobyrisk walitoroka kutoka Sodoma na Gomora weka likes!....