UTAMU | Full Movie
Vložit
- čas přidán 19. 05. 2024
- Naomi binti ambaye alijaribu kumuiba mpenzi wa rafiki yake Teddy lakini mwisho wake anajikuta anapata matatizo ambayo yanaharibu kabisa maisha yake.
Fuatilia kisa hiki cha kuvutia. Pia usiache kufuatilia kisa hiki chenye kuvutia na kufurahisha. - Zábava
Usiache kutazama filamu yetu mpya hapa chini
czcams.com/video/Qq-WlWk4j_4/video.htmlsi=BbKlDT28ebGnSvMQ
@@AdamLeoStudios nishaiona kaka yangu tamu sanaaa hadi rahaaaaaa godbless
❤fadhili mbuzi huenda Siku mmoja utamywa mchuz lakini cyo binadam jaman mwe
Kabisa
Hongera Kaka Adam yaani mungu akubariki at vile ambavyo unajibu kila comment 🎉🎉🎉 alafu huyu ndio kanumba wa leo kazi safi🎉🎉ebu mlike hii filamu nyie watizamaji tafadhali hio ndo raha ya Adam jameni
Shukrani sana sana!!!
❤❤❤❤🎉🎉🎉
Kabisa anaga mbamba
Asante kwa movie nzuri na mafunzo ...Kila siku ridhika na kidogo ulichonacho tamaa mbaya
Umeona eh!
Adam uko poa sana movies zako zinamafunzo sana....mm nimejifunza vituvigi sana kwa movies zako....kaka hata nikipata bwana sisemi kwa watu❤❤❤❤❤❤
Asante kwa kujifunza endelea kufurahia kuwa hapa!
Hii ni fundisho kabisa kwa familia zetu,kweli Adam weye ni kiboko kabisa katika utungaji wa filamu zako.Nakufuata tano juu ya tano toka DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Asante
Hii movie imejua kunigusa ni Movie nzuri sana jmni inamafunzo na kuna mijitu wanatabia kama hizo na tunaishi nao mtaani tupunguze tamaa jmani asante kaka etyu adam kwa movie nzuriii sanaa tusiache ku like na ku comment 🙏🙏
Shukrani sana🙏
MashaaAllah sinema Nxuri mafunxo kibao❤
Shukrani sana sana
Adam umeicheza vizuri sana hii mouve tukutane kwa mama Heppy dada tatu pale nina bahasha yako mkuu
Haya
One Love Team Adam Leo From Burund ❤❤❤❤ Much Respect Guys 🎉🎉🎉🎉
Thanks
moja ya film kali sana toka mwaka huu uanze, hongera sana Adam Leo🙏
Shukrani sana
Nmechelewa ila nimefka,,kaz nzur Adam 🎉🎉❤
Shukrani sana sana🙏
Huyu dada Tedi ni mzuri jaman mweeee filamu nzuri pia
Shukrani sana
Mungu akuongezee umri mrefu kaka Adam uzidi kutuletea vitu juu ya vitu🙏🏾 kazi imenyookaaaaa
Shukrani sana
One love kaka Adam funzo zuri kabisa napataga kutoka kwa filamu zako❤
Shukrani sana
Jaman sisi wanawake tutaona mbinguni kweli lakin huyu dada ameyataka mwenyewe utamsifia vp mume wako rafiki yako pia mm namjaribu liwalo na liwe
Hahahah jamani😂😂
Kweli kayataka wenyewe
😅😅😅
@IreneRoom unafurahia au sioo!!!
😂😂😂Alafu mgangaa kazi yake anaijulia😂 c kwa kujeuza masharati😊
Nawapenda San Kwa mafunzo❤❤❤🎉
Asante
Im from 🇧🇮nipe like zangu apo chini
Enjoy
Adam mm nakupa maua yako 🍒🍒🌱🌱💐💐🌹🌹, ujumbe kwa wanawakee Ila mganga aliwapiga uswailini Kuna Mambo 🔥🔥🔥🔥
Acha kabisaa🙏🙏
Umetisha🎉
Asante
Muv nzur san tunainjoy
Asante sana
😂❤❤ KAZ nzur Adamu Leo Alfu umelost😅😅
Hahaha jamani
Jaman ndugu zangu mm naitwa msomali nimsanii wa adam leo studio naombeni sapoti yenu ndugu zangu mweze kupita nakusubscribed kwenye akaunti yangu jamani napia mpite kwenye akaunti yetu ya leo filx kuna movie mpia tumepandisha mkacheki ndugu zangu
🔥🔥🔥
Napenda filam zako kaka Adam honqera sana
Asante sana
Msiache ku like na ku Comment jamani filamu nzuri sana hii🙏🙏🙏
Shukrani sana
Jamqn wakanza leo nipeni mauwa yenu🎉🎉🎉🎉
Thanks
Hatimaye nimefika, ni nzuri sana
Shukrani
Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga, malipo ni hapa hapa duniani pia tusiwe wawazi sana kwa watu wa karibu yetu wengine hawapendi mafanikio yetu na mambo mazuri hutafuta njia za kutupindua..
Shukrani sana sana
Kazi nzuri sana 👏👏 haya wale wakujifanya wakarimu kukaribisha karibisha watu hovyo sijui kusimulia simulia mashosti chukueni funzo apo mtakuja kulia
Umeona eh
Kaka onger san katik kaz zak haujawai kufel saf san nakupenda
Asante
Kazi nzuri sana kaka adam🎉🎉🎉❤❤❤
Asante
Adam kaka big up sana brooh
Endelea ku enjoy
Kazi nzuli mr. Adam leo
Shukrani
Nimejifunza sanaaa kazi nzur ❤️
Shukrani sana
Napenda movie za kuelimisha Sanaa Kuna kitu tumejifunza tamaa mbaya
Ni kweli kbs
Kaka Adam hongeren sana kwa kaz nzur, tamaa siku zote haijawah kumuacha mtu salama shukran sana kaka
asante sana
Akika na penda sana filamu zako Adam ❤ adi na toka congo kukuja kuku tatufu ww. jameni na wependa sana 😢 mungu izidishe kuwa bariki.. mm apa mtoto wa Congo 🇨🇩🇹🇿
Shukrani sana sana
Kazi ipo🎬😀🙌
Noma
@@AdamLeoStudios yh mzur sanaa umetishaaaaaaa yani filam yke haina zogo safii wala kelele
Mupeleke Azam tv hizi filam maana ni mzuri mnoo Adam
Bwana naye hayo matho kiboko😂😂😂 sleeping eyes ❤❤❤❤❤❤❤
Hahah
Adam kazi zako azibohi mashallah Nakupenda buree❤🎉🥳
Shukrani sana sana
Adam zaidi ya kanumba Tisha broo
Shukrani
Siamin kama nimekuwa wa kwanza 😅
Endelea kuenjoy!
mim na ndy maana sitaki kabisa marafiki katika maisha yangu maana unafki tu.
Umeona eh
Wallah
Kaka adamu unajuaaaaaaaa nakukubali braza
Asante sana🙏🙏🙏
😂😂😂😂wallah nmecheka jamani mtu mzm kujamba vibaya duhhh asante adam kwa kaz nzur broo nmechek san
Hahaha endelea kuenjoy
Filam iko vizur Sana hongeren wote❤❤❤❤❤
Shukrani
Dah kaka adamu nimependa kumuona dada teddy dah nilishawahi kumuona kweny tamthilia ya uhuru na gharama zake natamani nione move nying zaid alizoshiriki
Inshallah
Haki....Adam umeweza umeweza na umeweza tena
Shukrani sana🙏🙏
Kadanganywa na mganga 🤣🤣🙌 hii movie hataree❤
Hahah shukrani
kazi nzur inafundisha sana na haya mambo yapo sanaaa ktk dunia ya sasa,haifai kusifia mume kw rafk yak maan moyo wa mtu ni msitu
Umeona eh
Adam Leo wewe unawajua .. Back Home Bro one time
Thanks
Hongera sana kwa kazi nzuri yenye mafunzo nawapenda nyote 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante
Usiache kutazama filamu yetu mpya ya LAANA hapa👇👇
czcams.com/video/5wUTwjm1YLw/video.html
Fica por bem boss andam
@AnliAbudo thanks
Naomba iyo audio ya come feel me ... please ❤
194.shida sio kumsaidiya.shida unaishi naye vipi.🎉🎉🎉
Kabisa kabisa
Mapema ndio best❤❤...
❤️❤️❤️
Nimempenda sana huyu mume wa huyu dada wanaume wote wangekuwa hivi tungukuwa naamani
Hahah umeona eh!
❤❤❤
Wapo ukitafuta utapata
Ata mimi niko kma yeye dada.. kuja tujaribu😊
😅😅😅😅😅@@farajyassir9822
Napenda mno muv zako kaka adamu, unajua mno ❤❤❤❤❤
Shukrani
Adam movie nzuri sana mpk naogopa wee huogopiii 😂😂
Naogopa aisee! Watazamaji ndo wananifelisha
Sio wote😮
Umetishaa❤❤❤❤❤
Asante
Adam leo#Big up my super star ✨❤❤❤❤❤
Thanks🙏🙏
Keep it up...Good production
Thanks, will do!
Thanks, will do!
🙏
🤣🤣🤣mwanaume anamakusudu huyooo ameamua kumjambia naomi🤣🤣🙌 halafu anamwambia kuna kitu kimedondoka kutoka juu ahahaaaa ahahaaaa 🤣 🤣 balaa sana hongera bro Adam
Shukrani sana sana!🙏🙏
@mariampaulo umeniwai😂😂😂 na I comment ,,pia mm naomi some nimetiiiii😂😂
@NaomiWambui-gx2qd hahaha Naomi mwenye jina lakee😂😂
😂😂😂😂
Inafundisha sana wanaume tuwe namsimamo sana yani
Kabisa kabisa
Asante Adam kwa kuniletea Naomi hope Salma hakosi hpa😊😊😊
Shukrani sana
Tuwe makini jmn mashoga sio wa kuwaamin ata mala Moja
Umeona eh!
Waah imeweza mbaya❤
Shukrani sana
Jamani kujitamba kungine kupunguage basi daahh utaibiwa mume
Umeona eh
Hii ni fundisho sana kwa wanawake ukiwa na shoga usimwambie ya chumban 😂😂 maskin tedy😢
Kabisa
Watching from 🇰🇪
Thanks for watching
Nimejifunza kitu hapo daaah Adam barikiwa sana ❤❤❤❤
Amen
Sarut sana bother Adam
Shukrani sana
Imebidi nirudi kulike kumbe zina umuhimu😁
Asante sanaa
kaz nzr kaka 🎉🎉
Shukrani
Kazi nzur 🎉❤
Asante
Mganga apewe maua yake jaman 🎉🎉🎉
Hahaha Mganga katisha!
Duh nimechkaaa sanaa🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe mgangaa naee tapelii uwiiiiii
😂😂😂
Adam hujawah kutoa kitu kibovu❤❤❤❤❤
Shukrani
Wow❤
🙏🙏
Hii Kali mno tamaa mwisho ndo huo
Umeona eh
Mungu naomba nipatie mwanaume kama huyu...
Ameen
😂😂😂😂😂
Kali kwakweli hii dunia ya sai usiwahi amini mwanadam mungu tu ndio kila kitu ❤️❤️
Umeona ehhh
#umu tu umu tuuuuuuu waiteeee
Enjoy
From London ❤
Enjoy
Jamaa munajua Sana
Asante sana
Asante Adam leo
Shukrani
😂😂udugu wangu Adam huyu dada Naomi usimuachee Wallah dada shangupele linajua kuigiza hili Wallah Yan limepita mulemule kwa mashankupeee yalivyo tabia zao watu wenye viherehere na ndoa za watu hahahahaa Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi nimejifunza leo ubarikiwe
Asante sana!🙏
❤❤❤🎉🎉 Kaaba ni Kaaba
Jamanii
Kazi tam❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Thanks
Chunga sana wa dada waku jifanya wana haya😂 hatareee
Nomaa
😀😀😀😀😀jameni move tamu kwel
Shukrani
Jimalize kwa shost utakuja kulia😢😢
Hahah umeona eh
Kazi nzuri sana....Ila teddy alijiachia sana kusema mambo yake duuuh....hongera Adam 😊
Shukrani sana
....kali
Asante
movie nzuri jamani congratulations brother Adam ❤
Thanks
Kaz nzur sana ongera
Asante
❤❤❤❤to much love from Mayotte
Thanka
Kazi nzuri kaka Adam hii kazi unaijua sana keep it up ❤
Shukrani sana!
Good job brother Adam God bless you 💪👍🤛
Amen
Mnayoigiza ni ya kweli yapo katika Jamii 😢
Kabisa
Movie 💥💥
Thanks