BAAMEDI |2 | Love story❤️😘
Vložit
- čas přidán 24. 08. 2024
- BAAMEDI |2 | Love story😭💔
Kijana Adam anaamua kuanzisha mahusiano na Baamedi na mwishowe anaishia kupingwa na jamii nzima, Adam anaonyesha kuwa na msimamo zaidi, je atafanikiwa kumuoa Baamedi.
Fuatilia kisa hiki cha kusisimua na uburudike!
#baamedi2 #comedy #comedyshorts #comedytanzania #chekatu #ndaro #comedy #stevemweusi #trending #funny #wasafi #movie
Tamthilia yetu mpya ya WAKE ZANGU hii hapa episode ya 1👇👇
WAKE ZANGU EP 1 | love story💞💕
czcams.com/video/8urZ8QhxWEU/video.html
Adam wewe una tufunza sana
Huyu dada alikua anatafuta mwanaume asiyo kua na mke 😂😂😂 cheki anavyo jiongeza 😂😂😂😂
Yaani🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤wapi kelele y Adam weweeeeewwwhhh !!!! Much love from Kenya jamani baamaid iendeelee
Itaendelea
Apoo kwenye ubaamed hakika umeongeaa baa meed huwezi mdanganya kwa chochote!! Na wanafanya kazi kma kazi nyingine tuu🎉🎉🎉🎉
Kabisa
Utake shemeji Yako usitake shemeji Yako twende ndani ukatambulishwe😂😂😂😂
Yaani aje tu ndani🤣🤣
Apa kuna funzo nzuri sio kila mwanamke mweye kufanya kazi kwenye bar ni Baamedi
Kweli kabisa
Indeed ila wengi wanakaliki
Yani Adam khaaa😂Eti mimi humu ndani huwa nafagia mara nusu😂😂
Hahaha nomaa🤣🤣
Hao watakao like waingie tik toki mana mpaka wana kera🤫
Nomaa
Heee lakini huyo baamedi nae ni pisi kali jamani adam siku moja jaribu kuonja jmn
Au sioo
Adam Wangu nakuona uko Na Amanda my lovely actor nawapenda Sana Wana Wangu nko hapa Kenya nmetulia tu nawaona polepole
Enjoy🙏🙏
Big up nimependa msimamo wa Adam👏👏
Shukrani
Amanda ukiamua kuagiza vzr unapendeza sana
Asante sana
Baamedi nikazi kama kazi zingine ila nikweli kuna wanawake wengine ni automatically ni malaya na hafanyi kazi ya baamedi so usimjudge mtu
Kabis
Iko vizuri
Shukrani
Yani hii hali kumbe inawakumba wengi,, unasema uyu ni wa kupita ila inatokea anakuchanganya Mpaka unaachana na mpenzi wako😂😂😂
Acha kabisa
Inamafunzo nzur saana jmn💗
Asante
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🙏🙏🙏
Mafunzo hapa..
BAAMEDI sio umbile la mtu, bali ni kazi tu kama dereva, muimbaji...the lady acting as Baamedi is a very good actress
Thanks a lot🙏
That's true
Hii movie inatufunzaa tusiwe tunafcha uhalisia wa maisha yetuu sem ukweli usaidiwe
Naam
Ni nzuri sana vipi mwendelezo kaka wajina
Ukweli ni kwambaa baamedi ni kaz kama kaz zingne japo ckila anayefanya anapenda nop unakuta mtu anamcha Mung na anafanya hiyo kaz huku anamwomba Mungu ambadilishie hakuna aliyekamilika chini ya jua kaz njema na mafunzo mazur snaa naipenda timu yote hii mauw yenu haya 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kabisa
Kazi nzuri sana 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Asante
Huyo ni baamedi kama baamedi wengi fresh tu
Daah yaani
Adam amenogewa na penz la baamed hadi kajisahau kutoa muendelezo wake🤣🤣🤣
Hahaha jamani
😂😂😂
Adam na Amanda mnapendezana sana mnapoigiza pamoja .🎉🎉🎉🎉.
Asante
ivi watu wapo hapa kwa sababu ya kuangalia muvi au kuomba like yani munaboo sana wakati mwingine
Yaani
Hata Mimi nashangaa na wao.kazi Yao ni kuomba tu like.wanaboo Tena sana.
Afadhali uwaambie wanakera kweli
😂😂mm ata staki kuona comment zao
Kwan ww umeambiwa usome
Shida sio kazi Ila baa meed wa sikuiz wanatombw mara kwa mara na wanaume tofaut tofaut
Hukuona neno lingine la kutumia mpaka hilo tusi mzee? Hujui kama kuna watu wazima waliokuzidi umri wanaweza soma comment yako!? Unaendelea kukua kuna umri utafikia hutopenda kusikia lugha hii uliyoitumia leo, jifunze kustaarabika angali ukiwa kijana! Asante kwa kutazama filamu zetu na endelea kuenjoy🙏
Adam kazi Nzuri Tunasubiri episode 3
Sawaa
Keep going Adam,,kazi zako ni nzuri sana🎉❤❤
Asante sana
Jomn watu mnaoccoment huku ndani nivizuri tukatumiaa lugha za kisitahrabu sababu tumechangnyikan kiumuri🙏🙏🙏🙏
Kabisa
Sema kwli brother hapo umeongea
Naam
❤❤❤ kazi nzuri
Shukrani
Mapema2🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Asante
Mwanamke Usafi and Barmaid is doing great in cleaning process anyway she is amazing too❤
Kaz nzur mr Adam🎉
Asante
Dah sjawahi coment movie yeyote lkn hii asee mpo vizuri sn
Shukrani
Dhaa nimeyakumbuka ayo maisha ya kufnya kaz baa ni maisha tuu yanakufnya ufanye iyo kaz ila ni kaz inayo fnya unauza utu wako unakuwa uthaminiki ila namshukulu Mungu mpaka apa nilipo ni kaz iyo ya baa ilinipa asilaa nipambane mpaka nikajiajili mwenyewe
Sifa ziende kwa MUNGU
Adam mngoni wa 1 kupenda makende na sio ugali 😂😂😂
Hahaha jamani
Alie sikia kwamba ww ni mragi Hakuna mwanamke mragi alotulia nipeni like zangu
Hahah nomaa
Hapo mmetukana kabila za wenzio
Adam kaamua kututukana😢😢😢😢
@@Nailaty564Mambo!
Nipo mrangi niliyetulia apa
kaka Adam sijapenda unavyo tuchelewesha ep 3(Baamedi) bwanawe.....ke ke ke repped....likes zangu jameni.
Shukrani
@@AdamLeoStudios zingatia basi....ama tuingie chumbani na Amanda wenyewe.😁😎
Kwl mapenz ataree alokua na baamedi anaenjoy afu walokua hawana baamed wanakula jiwe😂😂😂😂😂
Jamanii
Jameni nawapenda San Adam na Amanda Yani munajua na munajua Tena pewa 🌹🌹🌹🌹 yenu❤❤❤❤
Asante
Alfu Adam nimesahau makande ni nini?
Ila Adam muheshim Amanda muda mwingine 😂😂😂 sa umemuokotaje ? Mwenzio😂😂😂
Hahaha jamani
Nampenda sana Adam na Amanda munapendezan kuwa wapenz 😂😂😂😂
Jamanii
Adam's movies are always on top👌👌,,Alf ndungu zangu wa tz nini maana ya neno Baamedi😂😂 watching from Nairobi 🇰🇪🇰🇪
Ni BARMAID
Wanawake wote sawa labda waliookoka tu ndo wana meena ya Mungu na hofu
Umeona eh!!
Nakubal😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Shukrani
Tunaomba uwe unatuwaishia broo nawakubali sana ww na huyo dada❤❤
Poa poaa
Ila Adamu bwana sivo anavo penda makande 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤️❤️❤️napenda sana sinema zako, zina mafunzo sana 🥰🥰🥰
Shukrani
Adam na Amanda nawakubali ddddamwaniiii
Asantee
Broo enjoy banana Yule mlevi wa nini
Sawaaa🤣🤣
sio kila mwanamke wa bar ni waku tiwa tiwa tuh na kila mwanaume wengine ni matatizo jamn 😢
Yaani ni kweli kabisa🥲
Nimependa sana hii sinema Iko tamu❤❤❤💞💞💞
Shukrani
Kwanza movies zako Adam ni kali na nusu🔥 pili una vimaneno fulani hv mi huwa vinanichekesha sana na kuenjoy😂😂😂 halafu unakuwa seriously mwenyew😅🙌🏾
Shukrani sana
Yani😀😀😀
Daaaa umempatia kweli kama hata badilika
Kumbee
Amazing work.. my brother Adam much love from 254🎉❤❤❤
Thanks
😂😂nipe nyama ni nyamaze adam apenda mambo haya napenda movie yako adam pogezi kwa kutufuraisha ❤
Shukrani
Ila Adam twende mbele turud nyuma uyo barmaid umemla kikweli kweli sio kwa hzo busu anazokupa io ni Zaid ya kuigiza kuna namna apo 😂😂😂
Yaani kuna kitu Adam na huyu 😂😂
Au sioo
Kabisa😂😂
Kwaiyo Adam na yy analelewa na lishangazi au sio 😂😂😂
Wakati anamla na wanapwachukua picha wanakuwa wapi
Umenifurahisha sana broo atake shemeji Yake asitake shemeji Yake big up
Umeona eh
Kazi nzuri sana
Asante sana
Ukiwa single kama mimi movies za adamu utaona kama zinakutia simanzi.. 😂😂😂 sio kwa mabusu hayo wallahy 🙌🏾
🙏🙏jamani poleee♥️
😂😂😂 nimecheka wapi yatima wamapenzi tujuane
Daaah 😂😂😂
Kweli jamani
Adam tuingie chumbani😂😂😂
Ndiyoo😂😂
Kazi.nzuri.broo.ysni.uboeki.kuangalia.nawapenda.sana❤❤❤
Asante
kaz nzuri 🎉🎉🎉 nainjoy sana na kaz zako🎉🎉❤
Asante
Adamu Leo munatisha sana mumejua kunimalizia bando langu.
Endelea ku enjoy🔥
Vijana kama awaa wanamchango mdg sana kwenye ilii Taifa 😂😂😂
🎉
🙏🙏
Labda wanazila. Hizo. Like
Jamani
Nawakubal sana adam na amanda mungu awabarik juu ya kazi yenu ya kutuelimisha
Amen
Kk akikaa Muvi n nzuli mpaka nimetaman isiishe ila ww na Amanda kado mnajua love ❤❤❤
Asante sana
Kaz nzuri kaka
Asante
Mmepima afya adamuu😂😂??au ni mdundo tu😂😂😂❤❤❤mpo vizuri adam
Nomaa
Kumekucha......❤️🎬
Endelea kuenjoy
Saaafi kabisaaa
Shukrani
Kaka Adam hii bonge la movie hongera sanaaaaa ❤❤❤
Asante
Nataman nikija Tanzania niwatembelee inshallah amanda❤❤
Karibu
Karibu 😊
mkato leo amesituka sana
Hahaha umeona eh
Kama wakununua ni kama amada sioni wanaume tukitongoza,,Anajua sana
Umeona eh🤣🤣
Amanda kawa mke bora😅😊😅
😂😂😂 Si ndio
Yaani🤣
Ongela sana bro Kuna kitu nimejifunza apo
Shukrani
Adam kwa nyama na makande we mwisho wallai😂😂
Hahaha
We Adam hushikiki hushikiki🎉🎉🎉🎉 Kaz mzur kaka
Asante
WAaaaooo kaz bzuli sana 🎉🎉🎉🎉
Asante
Kaz nzri sana ❤
Asante
Kado mnyama big up brother 😂😂
Shukrani
😂😂😂cadeau mtu wa hovyo
Wow Kazi nzuri ❤❤❤from 🇧🇮
Thanks
Wa Kwanzaa leo, naombeni mauwa yangu hata 10 wakuu
Enjoy
Adam yupo penzini kwa TOTO LA KISUKUMA😂
Shukrani jamaniii
Jamani yaani ilimradhi wamharibie mwenziwao 🥰🥰🥰
Umeona eh😢
Safi sana kwA msimamo wako ada
Shukrani
Ila huyo BAAMED namuelewaga sana ❤❤ adam mfikishie salam
Sawa
Adam makande 🤣🤣🤣 wapenda hlo jina wwe
Naam
Wale wa ubandaaa😂😂😂
Yaani🤣🤣
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Enjoy
😂😂😂 nilijuwa tu Adam mzee wa makande🙊
Yaani
Kazi nzuri Adam
Shukrani
Kwa hisani yenu naomba ata like 300k cjawahi KUPATA 😢😢
Duh
comment zenyewe hazifiki😂
Wee kazi ipo..biashara ndipo
Duh mara nusu 😅
Kazi zuri🎉🎉
Asante
Kasi safi xna❤❤
Asante
Baamid 3 Iko wapi?
Itakuja