Wakamate wote kuanzia waandishi wa habari na wale wanaojiita ndugu zake utatusaidia sana mama. Bado yule Godlove anayetukana vijana wenzake kuwa ni masikini anawadanganya tu.
Pumbavu sana sura kama nyoka wake afungwe huyo mdada anatakiwa apambane afanye kazi huyo akawe mfano kwa wengine anatakiwa Apate adhabu Kali mpuuzi kweli asantee sana mama yetu kwa kuliona hili
Mi5 Tena ya mama gwaji kwanza anatakiwa apewe adhabu ili awe fundisho na Kwa wengine maana tumeshachoka kuskia uongo na mambo ya kupotosha na kudanganya
Ndugu zetu wakenya nashukuru na nyinyi mtaanza kuelewa ukweli na hasa kwa serikali kuwashughulikia hawa waigizaji feki wanaochafua taswira ya nchi ya Tanzania. Miaka ya hivi karibuni kumekuwepo na matukio mengi ya kutengeneza maigizo ya mambo ya kichawi na kuwaaminisha watu kuwa ni ya kweli ili kutafuta kiki. Maigizo haya yalipelekea kwa baadhi ya wageni na hata majirani zetu hasa ndugu zetu wakenya wadhani kuwa Tanzania ni nchi ya wachawi na ushirikina jambo ambalo sio kweli. Hawa watu waliachwa kwa muda mrefu wakishuti video zao za hovyo za maigizo yao haya feki na kuyaposti kwenye social networks, ingawa baadhi yetu tunaodeal na kazi za media tunajua uhalisia na tulitumia nguvu kubwa kukanusha kuwa Tanzania sio nchi ya mambo hayo na watu wake ni wema na wakarimu na hayo ni maigizo tu ya kujitafutia pesa za CZcams na kujipatia umaarufu wa kijinga lakini kwa bahati mbaya hakuna jirani aliyetuelewa, wakenya wengi walidhani haya ni ya kweli. Naishukuru serikali yetu pendwa kwa kulivalia njuga swala hili na kuwafatilia hawa wasanii feki wanaochafua taswira njema ya taifa letu la Tanzania. Ahsante sana.
Safi waziri. Wapo pia vijana wavuta bangi wanatishia maisha ya vijana wema, mheshimiwa Waziri tunaomba msako ufanyike ktk kijiji cha miwaleni Moshi, wameshindikana pia km itakupendeza Tanzania nxima wasakwe na kupewa eka 200 walimie mahindi kwa ajili ya chakula cha masikini ambao hawawezi kufanya kazi. Aksante Mheshimia
Hongera sana Mama Mungu akubariki sanaa, na kuwa hivi vidada vinavyoimba muziki matusi na kukaa nusu uchi Mama naomba upambane nao. Mungu atakulipa mama. Ubarikiwe. Sanaaa
Haswaaaaaaa ndiye aishi naye 😮😢😢 watoto na wajukuu Zetu kwa kweli tunaomba sana Huruma ya Mungu na Serikali Pia kuwa Makini kwa wale wote wanaorusha Habari za Mila na Desturi zetu Halisi za Kitanzania Barikiwa Sanaaa Mama Mheshimiwa kwa Kazi yako Udumu katika Imani 🌹🌹🌹🌹🌸🎀🌸🙇🏽♀️🧚🏾♂️👏🏾
"Kila penye uwazi, HUZIBWA." Maneno hayo aliniambia mhenga MMOJA. Ss kama taifa, hatutaki watu wetu wajadili mambo ya maana kwa mfano, ukosefu wa ajira, maisha magumu, nyumba mbovu, kodi, elimu, utawala nk. Hayo hatuyataki, na kitendo hicho kimetengeza uwazi wa habari na maarifa. Uwazi huo sasa unazibwa na mambo ya hovyo, yasiyosaidia mwananchi kimaisha: kubeti, Simba na YANGA, muziki wa hovyo2, sanaa za kishenzi nk... Chanzo cha haya n sisi wanasiasa, hayo wanayofanya n matokeo tu
Safi Sana Tena sana mpuuzi uyo ata kama kweli kwanini asitunze sili yake anajuwa watu wotetunapenda ujinga au pesa za kijinga Kila mtu abaki na Imani yake 😊😊😊😊
Pia kuna watangazaji wahovyo sana mama gwajima anagalia vibali vyao kwakweli tumechola kutangaziwa habar za uongo tunaonekana watanzania hatuna maana hongera sana mama mungu akutangulie katika kaz yako
Hongera sana mama,binafsi ninakerwa na walewanao hao wanao hamasisha watu namna ya kujipatia fedha kimuujiza Cha kushangaza wengine viongozi wadini Kama liko chini yako pia lishughulikie,maana huo ni utapeli unao tengenza ugoigo kwenye taifa.
Kazi iendelee Muheshimiwa Gwajima. Excellency pongezi Mama Gwajima mfano wa kuigwa
Hongera Dr Gwajima, aisee tumechoka. wabananishe na wanahabari hao ndio wanawatengenezea maudhui na kurusha ili kupata viewers.
Wafungiwe ikibidi nawao wafungwe hakuna
Uhuru bila mipaka
Asante mama mngeanza na watangazaji wanaorusha mambo mabaya wanasababisha watoto wetu wawake tamaa za utajiri wa kishetani
Mimi mwanangu jana kaniambia mama nataka niende kwa mganga akanipe utajiri nikamfokea huku nimemtolea macho akasema sikuuwi nitakuwa nalala na joka
Ila hayo ni majini
😮😮😮😮 mmmhhh @@user-gy3dv3tq8d
@@user-gy3dv3tq8ddada yangu kweli?
@@user-gy3dv3tq8d pia usiache kumfunza njia sahih baada kumkemea mjenge kua na hofu ya mungu ukumbusho kwako na kwangu
Kwa kweli kwenye hili jambo nakuunga mkono Mhe. Waziri, wanatuharibia watoto hivyo waache kabisa upuuzi huo.
Wakamate wote kuanzia waandishi wa habari na wale wanaojiita ndugu zake utatusaidia sana mama. Bado yule Godlove anayetukana vijana wenzake kuwa ni masikini anawadanganya tu.
Ahsante sana mama na mlezi wa kizazi hiki kilichojaa ujuaji .Umeitendea haki nchi yetu sisi wazazi tunaumizwa na ujinga kama huu .
Pumbavu sana sura kama nyoka wake afungwe huyo mdada anatakiwa apambane afanye kazi huyo akawe mfano kwa wengine anatakiwa Apate adhabu Kali mpuuzi kweli asantee sana mama yetu kwa kuliona hili
Mi5 Tena ya mama gwaji kwanza anatakiwa apewe adhabu ili awe fundisho na Kwa wengine maana tumeshachoka kuskia uongo na mambo ya kupotosha na kudanganya
Safi sana mheshimiwa waziri, hongera sana kwa kazi nzuri mama gwajima
Nilijuwa kitakuramba mshenziiiii kabisa 😂😂😂😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😂😂😂😂😂
Ndugu zetu wakenya nashukuru na nyinyi mtaanza kuelewa ukweli na hasa kwa serikali kuwashughulikia hawa waigizaji feki wanaochafua taswira ya nchi ya Tanzania. Miaka ya hivi karibuni kumekuwepo na matukio mengi ya kutengeneza maigizo ya mambo ya kichawi na kuwaaminisha watu kuwa ni ya kweli ili kutafuta kiki. Maigizo haya yalipelekea kwa baadhi ya wageni na hata majirani zetu hasa ndugu zetu wakenya wadhani kuwa Tanzania ni nchi ya wachawi na ushirikina jambo ambalo sio kweli. Hawa watu waliachwa kwa muda mrefu wakishuti video zao za hovyo za maigizo yao haya feki na kuyaposti kwenye social networks, ingawa baadhi yetu tunaodeal na kazi za media tunajua uhalisia na tulitumia nguvu kubwa kukanusha kuwa Tanzania sio nchi ya mambo hayo na watu wake ni wema na wakarimu na hayo ni maigizo tu ya kujitafutia pesa za CZcams na kujipatia umaarufu wa kijinga lakini kwa bahati mbaya hakuna jirani aliyetuelewa, wakenya wengi walidhani haya ni ya kweli. Naishukuru serikali yetu pendwa kwa kulivalia njuga swala hili na kuwafatilia hawa wasanii feki wanaochafua taswira njema ya taifa letu la Tanzania. Ahsante sana.
Hii ndio tanzania hawamwachi mtu
Ba kimemramba😂😂😂
Kujipaza tu ulikuwa unasema ili iweje lana tu umerudi tena ww nisamehewe utiwe adabu kwanza liwe funzo kwawengine
Sweka ndani tapeli mkubwa huyo 😂😂😂
0:55 0:57
💪💪💪💪💪
😂😂😂😂
Kamata na wote wanaojifanya waandishi .. wanaoturushia hizo stori zao
Asante Waziri wetu Kwa kusimamia Hilo.Mwenyeezi Mungu akuinue katika Kila jambo
Hongera mh. waziri kwa kunfundisha na kumjenga huyo dada, mi niliona hata alijiharibia hata cv yake binafsi.
Tumechoka kabisaaa na ujinga waoo
Asante mama waziri haswa Hawa wanahabari wapumbavu sana hawajuwi kama uongo ni dhambi
Kumbe serikali ya Tanzania iko macho? Ni vizuri waelimishwe hao. Ahsante mama
Safi waziri. Wapo pia vijana wavuta bangi wanatishia maisha ya vijana wema, mheshimiwa Waziri tunaomba msako ufanyike ktk kijiji cha miwaleni Moshi, wameshindikana pia km itakupendeza Tanzania nxima wasakwe na kupewa eka 200 walimie mahindi kwa ajili ya chakula cha masikini ambao hawawezi kufanya kazi. Aksante Mheshimia
❤ukiona mtu kajianika nazinaa tena anatangaza waziwazi ujuwe laana imemvaa
Asante mama Gwajima
Hongera sana Mama Mungu akubariki sanaa, na kuwa hivi vidada vinavyoimba muziki matusi na kukaa nusu uchi Mama naomba upambane nao. Mungu atakulipa mama. Ubarikiwe. Sanaaa
Hongera Dk umefanya vinzur sana pongez kwako 🙌🙌🙌🙌🙌
Mimi nilitaka kushangaa nyoka anawezaje kumpelekea🔥🔥🔥 mwanadam🤔
Asante big up Mh. Gwajima..
😂😂😂😂😂 kimemramba
Safi Sana Waziri ,kazi njema Sana 🙏
Hongera mama yangu kipenzi.natamani tungekuwa na viongoz wa aina yako wooote sio wapenda vigodoro.big up mama!!!
Mheshimiwa waziri hapa umefanya kazi yako good job hawa watu brainless wote sweka ndani hawana faida
Mama shkamoo Asante kwa huduma .
Hongera kutambua kosa lako
HONGERA MAMA , YOU DID, KEEP IT UP MOM
Kajipandikizia Mikosi tu, hapati mume ng'o😭
😂😂😂
😂😂mume si yule nyoka wake
Haswaaaaaaa ndiye aishi naye 😮😢😢 watoto na wajukuu Zetu kwa kweli tunaomba sana Huruma ya Mungu na Serikali Pia kuwa Makini kwa wale wote wanaorusha Habari za Mila na Desturi zetu Halisi za Kitanzania Barikiwa Sanaaa Mama Mheshimiwa kwa Kazi yako Udumu katika Imani 🌹🌹🌹🌹🌸🎀🌸🙇🏽♀️🧚🏾♂️👏🏾
@@salmamlokela1987 atajua mwenyewe
Barakaaaa... Katika Ulimwengu huu,si ajabu Kuna wamaume waliokuwa WANAMTONGOZA na walikuwa tayari kuishi nae na NYOKA wake. Binaadamu wa siku hizi😮😮😮😮
Hongera sana mama ❤wakomeshe na wakaa nusu huchi nao bado sikuyao
"Kila penye uwazi, HUZIBWA." Maneno hayo aliniambia mhenga MMOJA. Ss kama taifa, hatutaki watu wetu wajadili mambo ya maana kwa mfano, ukosefu wa ajira, maisha magumu, nyumba mbovu, kodi, elimu, utawala nk. Hayo hatuyataki, na kitendo hicho kimetengeza uwazi wa habari na maarifa. Uwazi huo sasa unazibwa na mambo ya hovyo, yasiyosaidia mwananchi kimaisha: kubeti, Simba na YANGA, muziki wa hovyo2, sanaa za kishenzi nk... Chanzo cha haya n sisi wanasiasa, hayo wanayofanya n matokeo tu
Asante mama wafundishe jisi yakuishi
Safi Sana Tena sana mpuuzi uyo ata kama kweli kwanini asitunze sili yake anajuwa watu wotetunapenda ujinga au pesa za kijinga Kila mtu abaki na Imani yake 😊😊😊😊
Kabsaaaaaaaaaaaa
Siri sio sili
Asante mheshimiwa waziri
Mungu akibark mama kee
Asante mamangu imekuchukua muda saan kusimama juu ya aya mambo ya kishetani yamekuwa mengi saan
Safisana mama 👏👏👏👏👏❤️❤️❤️❤️❤️
Mama umeupiga mwingi....kazi iendelee
Pia kuna watangazaji wahovyo sana mama gwajima anagalia vibali vyao kwakweli tumechola kutangaziwa habar za uongo tunaonekana watanzania hatuna maana hongera sana mama mungu akutangulie katika kaz yako
Alaaaaaaaaaaaaa! Kumbe ni Matapeli. Akina Dr sule Hawa. Mmmmmmmmmmmm! Ok
Niwalewale
Hongera mama na wandishi wao waongo wenzao kazi iendeleee
Asante sana Mama na waandishi wanaofanya hizo content wafungiwe kufanya kazi wanafanya hii Tasinia ionekane ya hovyo
Hongera mh. Gwajima kwa kulifanya vyema Mungu akubariki!
Asante mama
Mheshimiwa mama hao ni wapuuzi wakanye kabisa
Njaaa mbaya sana daaa hongera serekali yetu komesha mbwa kma huyu
Point in point guud san mheshimiwa
Mpk media iriyorusha ule upumbavu fungia
Hongera Mheshimiwa
Hongera sana mama💕💕wote washike adabu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana mimi
Safi sana waziri
Wawejewe sheria kali waandishi wa hsbar wanalipa pesa watu kisha wanarikod wanayo taka wao
Fanya haraka kuhusu hilo mama ngwajima hongera
Niliwaambia Ni Biashara Ile Tangazao😂😂😂
Dr Gwajima unafaa sanaaaa wakomeshe watoto wanaharibika kwa ajili yao
Safi sana big up serikali
Kaz nzur mama wazir
safi sana mama hakika ww ni mama Bora kwetu na hii ndo Tanzania yetu umejua kuponya nchi mamangu
Asante Mama heshima kwako❤❤❤❤
Mama umetisha sana❤
Asante sana mama yetu umetusaidia sana
🙏🙏🙏🙏Dr Gwajima
Wakamatwe wote pamoja Mimi sijakubali kumpa msamaha wametuabisha sana
Hasbiyalwahu waaniimal wakil
Asant sana mama umefanya vzr hpo nimweusi uongo wekandan uyo sukuma ndni uyoo
Safi sana mama Gwajima
Bora.asante mama.ludini na wana muziki hata mumpe mkuu hule nae inakuwaje?😂😂😂😂
Mshamba sana huyo bint achukulie hatu kari sana Ongera sana Waziri.
Safi sana! Aliniuz sana mbwa huyu kisa TU atrend😏😏
Muheshiwa ni kweli kabisaa wasituharibie watoto watulizane kabisaaa wasituletee ukafiri kwa ujinga wa kuiga mambo
Hongera sana mama,binafsi ninakerwa na walewanao hao wanao hamasisha watu namna ya kujipatia fedha kimuujiza Cha kushangaza wengine viongozi wadini Kama liko chini yako pia lishughulikie,maana huo ni utapeli unao tengenza ugoigo kwenye taifa.
Daaaaah hii dunia hii
Safi sanaaa sweka ndan me nilijua uongo tu ndio mana sikuangalia ile habar. Kupenda shirki tu hovyooo
Haha Tz Iko na vituko Kila kitu ni sanaa
Safi sana Mama angu tukemeeni mabaya
Yani mama umenikosha Safi Sana wanyooshe
Nyokooo! ukomeee, HONGERA MAMA❤
Kongole Mama Gwajima
Huyu binti afungwe miaka mitatu gerezani....... peleka jela huyu
Duuuu❤❤❤ kwenye ukweli uongo ujitenga
safi sana nimependa
Hongera saana mama maana ni mtihani huo waliyo yaongea ni kinyume na maadili kabisa 😢
Safi saaana mh. Hakuna maadili kabisa . Na pia mngewaelimisha wanahabari. Habari hazina maana wala faida yeyote kwa watanzania na wengine pia.
Hongera sana mama
Wewe pamoja na woooote😂😂😂
Apelekwe jela ya wanaume wenye ugwadu waliofungwa maisha apigwe MITI hadi ifuke Moshi kama tanuli la mkaa.☹️☹️
Safi sana mh
Vzr waziri gwajima pongez kwakoo
Wachukuliwe hatu Tanzania inangoza kwa kutumia mtandao vibaya
Umefikisha ujumbe mama Gwajima.
Hongera sn kwa kukemea hao matapeli
Mhh kazi kweli kweli
Mama pia nyimbo za wasanii ziangaliwe zingine hazifai
Leo ndo naona unaongea sense🔥🔥🔥
Heheheheeeee nmechek kwa saut
Nilijuwa ni uwongo 💯 hamna utajiri wa nyoka au nyoko! Shenzi hawa woote
😂😂😂Hii nchi duuuh