FIDO VATO AWATOFAUTISHA WADUDU WALIOITWA NA RC MAKONDA "SIO WADUDU WALE WANAOENDA KUZIKA WENZAO"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 05. 2024

Komentáře • 100

  • @pwanihabari

    Maisha yasiyo rasmi daima haya mwisho mwema, haya maisha ya hawa wapuuzi waitwao wadudu sio maisha rasmi wala sahihi hayana baraka ya dunia wala kutoka kwa Mungu, wanapaswa kubadilika, vyenginevyo watajutia milele

  • @SamwelLaizer-mg5ww

    Jina la wadudu ni wanamziki wa maeneo ya engosengiu kwa malaizer ndo wadudu wa dampo

  • @paulomollel7721

    Mwamba fido kwanza kulikuwa nawa dampo usiwasahaau

  • @GREATESTHITSREPLAY

    Huyu jamaa kuna media akifanya interview anakuwa smart sana.... Kuna interview alifanya Manara Tv 😂😂😂😂 sema yule prizenta wa Manara alistahili yale

  • @J96_PFT_ACADEMY.
    @J96_PFT_ACADEMY. Před 28 dny +1

    Wadudu og ,wapo dampo na wanatakiwa kupewa heshima yao,, ila wanao trend sio walio anzisha jina wadudu

  • @Worldunite

    Daah, huyu.mshikaji ana bonge la Confidence aisee, keep it up bro

  • @GibsonNtamamilo

    Nimeipenda sana hii interview

  • @raskise7493

    Wadudu wa dampo ,,,,,Ankle D,na rasta ,wanajiita wadudu toka nijuane nao kwenye harakati za sanaa 2014,wanajuklikana sana kama wa dudu wa dampo ,,,,,,ingekuwa dar ilo jina lingeleta maneno sana sema majamaa wametulia hawajesema jina lao limetumika

  • @annamussa185

    Huyu kaka huwa Mhandsom shida Bangi yani akubali akatauye acha Bangi

  • @emmahaugusty2383
    @emmahaugusty2383 Před 21 dnem

    Me nawajua wadudu Toka 2007-8 wakiwa wanaitwa Wadudu wa Dampo tulikuwa tunavunja kwenye Free stage ya Via Via.....chuga Ina historia kubwa sana.....Hawa machalii wa juzi mengi hawayajui.

  • @msafitv5461

    leo fido umeongea kikukwa sana from dar sema nakukubali sana🎉🎉

  • @peterlyimo6696

    Leo Fido katulia sana.

  • @johnmeshack4431

    ❤fido upo vizuri sana Big gap

  • @Samarahmotorcylesparepartshop

    Jina la wadudu sio waendesha bike wala nini..simpingi kaka ila nawapa historia ya jina wadudu....Jina wadudu lipo tangu miaka shazi manyu limeanzia kwa wale machalii walikuwa wanapakiaga takataka kwenye gari wanapeleka jalala kuu kwa jina la wakati huo kwasasa wanapaita dar au dampo,sasa walikuwa wakipita sinoni miaka iyo hakuna ata lami kuna jalala wakiwa wanapakia taka tuna watania wadudu kutokana na wao kufanya kazi dampo na mataka taka ndo tukawa tunawaida wadudu wa dampo,vikaja vikaibuka vikundi vya wadudu vingi kuna wadudu wa unga na kuna wadudu wa unga wanasaga paka chuma ...ndo kwanzia apo miaka ya 2010 kuendelea sisi tunakua wadudu ikawa fem maana zamani mdu akikuita mdudu ni mnazichapa halikuwa jina zuri kabisa majamaa wenyewe tulikuwa tukiwatania wanakutukana mbaya ...hiyo ndo mwanzo wa jina wadudu kaka

  • @deusmallya3384

    Big up sana👊👊👊👊👊

  • @gideonstanley2155

    Twende yukaingalie chuga youtube❤❤❤

  • @MAILAGUN

    Wadudu tunasema Braaaap nakubali sana brodhee fido

  • @user-sg6ez3cf1f

    Broh all the best wonderful ahead crank hip hop music there just take it to another level interm of promote tourist external,That's will nourish your music international

  • @yusuphtwaha8386

    Leo.umeongea point

  • @EvansGodfrey-tj5op

    Jamaa anauwezo sana wa kujieleza