Maisha yasiyo rasmi daima haya mwisho mwema, haya maisha ya hawa wapuuzi waitwao wadudu sio maisha rasmi wala sahihi hayana baraka ya dunia wala kutoka kwa Mungu, wanapaswa kubadilika, vyenginevyo watajutia milele
Wadudu wa dampo ,,,,,Ankle D,na rasta ,wanajiita wadudu toka nijuane nao kwenye harakati za sanaa 2014,wanajuklikana sana kama wa dudu wa dampo ,,,,,,ingekuwa dar ilo jina lingeleta maneno sana sema majamaa wametulia hawajesema jina lao limetumika
Me nawajua wadudu Toka 2007-8 wakiwa wanaitwa Wadudu wa Dampo tulikuwa tunavunja kwenye Free stage ya Via Via.....chuga Ina historia kubwa sana.....Hawa machalii wa juzi mengi hawayajui.
Jina la wadudu sio waendesha bike wala nini..simpingi kaka ila nawapa historia ya jina wadudu....Jina wadudu lipo tangu miaka shazi manyu limeanzia kwa wale machalii walikuwa wanapakiaga takataka kwenye gari wanapeleka jalala kuu kwa jina la wakati huo kwasasa wanapaita dar au dampo,sasa walikuwa wakipita sinoni miaka iyo hakuna ata lami kuna jalala wakiwa wanapakia taka tuna watania wadudu kutokana na wao kufanya kazi dampo na mataka taka ndo tukawa tunawaida wadudu wa dampo,vikaja vikaibuka vikundi vya wadudu vingi kuna wadudu wa unga na kuna wadudu wa unga wanasaga paka chuma ...ndo kwanzia apo miaka ya 2010 kuendelea sisi tunakua wadudu ikawa fem maana zamani mdu akikuita mdudu ni mnazichapa halikuwa jina zuri kabisa majamaa wenyewe tulikuwa tukiwatania wanakutukana mbaya ...hiyo ndo mwanzo wa jina wadudu kaka
Broh all the best wonderful ahead crank hip hop music there just take it to another level interm of promote tourist external,That's will nourish your music international
Maisha yasiyo rasmi daima haya mwisho mwema, haya maisha ya hawa wapuuzi waitwao wadudu sio maisha rasmi wala sahihi hayana baraka ya dunia wala kutoka kwa Mungu, wanapaswa kubadilika, vyenginevyo watajutia milele
Jina la wadudu ni wanamziki wa maeneo ya engosengiu kwa malaizer ndo wadudu wa dampo
Mwamba fido kwanza kulikuwa nawa dampo usiwasahaau
Huyu jamaa kuna media akifanya interview anakuwa smart sana.... Kuna interview alifanya Manara Tv 😂😂😂😂 sema yule prizenta wa Manara alistahili yale
Wadudu og ,wapo dampo na wanatakiwa kupewa heshima yao,, ila wanao trend sio walio anzisha jina wadudu
Daah, huyu.mshikaji ana bonge la Confidence aisee, keep it up bro
Nimeipenda sana hii interview
Wadudu wa dampo ,,,,,Ankle D,na rasta ,wanajiita wadudu toka nijuane nao kwenye harakati za sanaa 2014,wanajuklikana sana kama wa dudu wa dampo ,,,,,,ingekuwa dar ilo jina lingeleta maneno sana sema majamaa wametulia hawajesema jina lao limetumika
Huyu kaka huwa Mhandsom shida Bangi yani akubali akatauye acha Bangi
Me nawajua wadudu Toka 2007-8 wakiwa wanaitwa Wadudu wa Dampo tulikuwa tunavunja kwenye Free stage ya Via Via.....chuga Ina historia kubwa sana.....Hawa machalii wa juzi mengi hawayajui.
leo fido umeongea kikukwa sana from dar sema nakukubali sana🎉🎉
Leo Fido katulia sana.
❤fido upo vizuri sana Big gap
Jina la wadudu sio waendesha bike wala nini..simpingi kaka ila nawapa historia ya jina wadudu....Jina wadudu lipo tangu miaka shazi manyu limeanzia kwa wale machalii walikuwa wanapakiaga takataka kwenye gari wanapeleka jalala kuu kwa jina la wakati huo kwasasa wanapaita dar au dampo,sasa walikuwa wakipita sinoni miaka iyo hakuna ata lami kuna jalala wakiwa wanapakia taka tuna watania wadudu kutokana na wao kufanya kazi dampo na mataka taka ndo tukawa tunawaida wadudu wa dampo,vikaja vikaibuka vikundi vya wadudu vingi kuna wadudu wa unga na kuna wadudu wa unga wanasaga paka chuma ...ndo kwanzia apo miaka ya 2010 kuendelea sisi tunakua wadudu ikawa fem maana zamani mdu akikuita mdudu ni mnazichapa halikuwa jina zuri kabisa majamaa wenyewe tulikuwa tukiwatania wanakutukana mbaya ...hiyo ndo mwanzo wa jina wadudu kaka
Big up sana👊👊👊👊👊
Twende yukaingalie chuga youtube❤❤❤
Wadudu tunasema Braaaap nakubali sana brodhee fido
Broh all the best wonderful ahead crank hip hop music there just take it to another level interm of promote tourist external,That's will nourish your music international
Leo.umeongea point
Jamaa anauwezo sana wa kujieleza