Mungu ibariki Tanzania kuwe na amani siku zote. maana kwa haya mazoezi na ulimwengu wa sasa wa sayansi na tekinolojia hayana uhusiano(correlation) na ulimwengu tuliopo. watanzania tumwombe Mungu aendelee kutujaria amani nchini
Hayo yanaendana na vita ya kwanza ya dunia ata mm niliishia cheou uservice man iyo ni zero combora likidondoka apo wote ni marehem combania nzima mnalundikana pmj xyo ata platune tu
Ila kuusu jeshi sisi bado kabisa kwanza hatuna new weapon technology hata boat izo ni technologie ya zaman sana,kam ilo zowezi mlilo lifanya hap kam nd mngekuw mnaend kweny vita kweli haf mnakutana na opponent ambae ako na technolog ya kisas dah 😢drone tu kwisha, nafikilia tungejikita katika sanyansi ya silaha za kivita akina kam ndo tutakuwa tunaend hv vitani duh
Kikawaida unachoonyeshwa kirahisi siyo kifanyikacho kihalisi ,usitegemee kuwa wanaingia vitani kwa hali hiyo...wamejaribu kuonyesha tu Jeshi lipoje...usitegemee JWTZ hawana hizo scientific weaponry...jua tu Nchi karibu zote Afrika huleta Askari kujifunza hapa...hizo drones ni za nchi ambazo ni waoga kwenye infantry battles...JWTZ wako vizuri sana mzee....kwa sasa hatuna nchi tishio kwetu.
Sio kila sehemu utatumia drone mzee.....drone yenyew inaweza lengwa na sniper ikadondokea hukooo...fikiria sasa kama ni uwanja wa vita utaenda na drones ngapi?? Just show some appreciation to our army....amani ya hii nchi wanailinda wao mzee
pole tanzania yangu cha msingi tuendelee kuomba amani lakini kwa mfumo huu ikitokea mbilinge hapa hatutoboi...kenya wametupita pakubwa sana kwa vifaa vya kijeshi
Zoezi zuri sana 🫶 Nimeona watu wengi wakikosowa hili zoezi wakisema eti ni open area. Tusiwe tunakosowa Kila kitu wakati wengine hata kuogelea nuchangamoto kwenu huko mtaani hahaha. Anyway, karibuni sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa ndani 🌊🏝️
Hongera sana jesh letu na tpdf kwa ujumla hasa kwa kuwamaliza wale magaidi wa rufij na mtwara na yeyote atakaejifanya kama anajikuna kutuchokoza piga tu 🇹🇿🇹🇿💪🏿
Bado sana kwa zoezi hili bora pia wangekuwa kundi la makamandoo na kundi la maadui kwa upande wa pili kwenye kisiwa wakawa wanapambana kwa risasi za bandia kuonyesha angalau uhalisia kidogo lakini unashambulia msitu bila adui mmmhhhh mmmhhhh hapa sioni la maana
Tanzania ndo nchi ambayo wanajeshi wake wanapigana vita wakati wa majaribio ,ila Mungu huyu 😂😂😂😂 pesa zetu zinatabu sana Sasa hii Hela Si tungepewa tukale hata ugali dona
Makomando Waaah Makomando Oyeee. Pigeni Kazi mtapumzika Uzeeni kama Wazalendo Namba 2 wa Nchi baada ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tanzania na Mipaka yake iko Salama. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Kitu ambacho Watanzania wengi hatujui ni kwamba Kazi ya Ukomando ni kazi ya kujitolea kama Upadri, Sheikh na Uchungaji yaani ukisaini kuitumikia ina maana unaweka maslahi ya Taifa mbele mpaka Kifo. Maisha ya kushika Silaha ni kujitolea kuilinda Tanzania na Mipaka yake. Tanzania Imara Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿
Kwamujibu wa Sheria gani maana ukiwa sheikh muaminifu utaingia jannah na ukiwa komando wa wanchi au waserikali ambayo sheriazake amezitunga mwanadamu weweyako nijahannam sasa sijuiwewe unaongelea sheria yanani innalillah wainnalillah Raj un
Hamna chochote hapo siku zote Tanzania tutakuwa nyuma tu, akili zenyewe tumeshikiwa mpaka tuambiwe nini cha kufanya na wazungu, okay hongereni kwa kazi hiyo
the world at war we don't need military intevation with any Africa country Africa we must stay netral is time for Africa to gear up toward real development
Afadhali sie watt wa makahaba lkn baba zetu wanajulikana, Sasa Wewe bahati yako ni vile ulifanana sura na mama kisha baba mlezi wako kapotezea, laa sivyo ... Malizia mwenyewe
Mii naona nchi HII police ndo wana kazi ila wanajeshi wako zao polin wamerelax ila police wakiskia sehem Kuna vurugu washaa timba one time au wee unasemaje
Vita gani unyotaka wewe, wakati hao ndio wako vitani Congo, darfur na ndio hao waliomng'oa iddi amin Uganda na kanal Mohammed bakar kule anzwani, ndio hao waliopigana msumbiji, Zimbabwe kote huku Kusini mwa Afrika, usiwasahau pia Al shabaab wa kule rufiji wanajeshi wetu walipambana kuweka Mambo Sawa,,,
Wapiganaji na Wataalamu Wanzalendo wa JWTZ jifunzeni kitu hapo kwenye hii vita ya Gaza. Mbinu na vifaa teknologia imebadilika sana. Vita vinapiganwa sehemu kubwa kwa makobora na vidaka makombora. Ile kubeba rumbeza la kitbags za makomandoo imepitwa na wakati. Israeli wanazungumzia Skysonic.
Hapo mi cjaelewa humo mstuni kuna wanajeshi ambao wanapambana nao ! au wanatumalizia lisasi zetu kwa kualibu matunda tuko laaaivu na hatuogopi chochote 😊
Duuhh kama movie vile, Mungu libariki jeshi letu JWTZ🤲
Mungu ibariki Tanzania kuwe na amani siku zote. maana kwa haya mazoezi na ulimwengu wa sasa wa sayansi na tekinolojia hayana uhusiano(correlation) na ulimwengu tuliopo. watanzania tumwombe Mungu aendelee kutujaria amani nchini
Unafkr zitaoneshwa mbinu zote ktk media!!!
@@user-ns5bw3dw6e haswaa huo ni mfano tu
Hayo yanaendana na vita ya kwanza ya dunia ata mm niliishia cheou
uservice man iyo ni zero combora likidondoka apo wote ni marehem combania nzima mnalundikana pmj xyo ata platune tu
@@barakajoseph2234 unajifanya unajua
Well said
Mkitaka tuwaamini kuwa mpo vizuri ombeni mechi ya kirafiki hata na Ukraine au urusi hata dk 45 tu Alafu mje hapa tuongee lugha 1
Aaaa hawa hoiii kabisaa
@@lillaahilhamdutv5383 waombe mechi ya kirafiki
Alaf ndege ikitumbukia Victoria wanasubiri majaliwa
Ukwl ssaiv mmbo yanaenda kisayansi sana kupamban kwa nch kavu iz zlipendwaa tuombe vita isitokeee tz mungu ibariki tanzaniaa, ijaalie aman na upendo
Ila kuusu jeshi sisi bado kabisa kwanza hatuna new weapon technology hata boat izo ni technologie ya zaman sana,kam ilo zowezi mlilo lifanya hap kam nd mngekuw mnaend kweny vita kweli haf mnakutana na opponent ambae ako na technolog ya kisas dah 😢drone tu kwisha, nafikilia tungejikita katika sanyansi ya silaha za kivita akina kam ndo tutakuwa tunaend hv vitani duh
Kikawaida unachoonyeshwa kirahisi siyo kifanyikacho kihalisi ,usitegemee kuwa wanaingia vitani kwa hali hiyo...wamejaribu kuonyesha tu Jeshi lipoje...usitegemee JWTZ hawana hizo scientific weaponry...jua tu Nchi karibu zote Afrika huleta Askari kujifunza hapa...hizo drones ni za nchi ambazo ni waoga kwenye infantry battles...JWTZ wako vizuri sana mzee....kwa sasa hatuna nchi tishio kwetu.
Sio kila sehemu utatumia drone mzee.....drone yenyew inaweza lengwa na sniper ikadondokea hukooo...fikiria sasa kama ni uwanja wa vita utaenda na drones ngapi?? Just show some appreciation to our army....amani ya hii nchi wanailinda wao mzee
Huyo anaongelea drone itakuwa mpiga picha hajui chochote kuhusu jeshi😂
Nimekupata mkuu😂😂😂😂
pole tanzania yangu cha msingi tuendelee kuomba amani lakini kwa mfumo huu ikitokea mbilinge hapa hatutoboi...kenya wametupita pakubwa sana kwa vifaa vya kijeshi
Kwahiyo ulitaka vifaa vyote vianikwe hapo ili maadui wavione,,,,,pimbi kweli wewe!!
Ona zile risasi zoteee eti wanazifanyia mazoezi, na ukutu ni za mkopo, ama ni zile za plastic🤣
@@lillaahilhamdutv5383 kwa nini usishangae madaktari wanafunzi wanapofanyia mazoezi uhai wako, unakuja kushangaa wanajeshi kufanyia mazoezi risasi za moto
Mbwembwe..tupu ,,waende somalia Sasa kwenye vita zenyewe🤣
Viva Tanzania Viva makomandoo
Nilitamaningi sana kuwa kama hawa jamaa sema ndo hivyo tu , nikipata nafasi hata sasa niko tayari.💪💪
😂😂😂😂
Kumbe kama me yani naona jamaa wanavyomwaga risas kama wanafaidi kweli, nataman kweli kulitumikia taifa lang
😂😂😂😂dah njoo tu huku ni kazi kazi
Zoezi zuri sana 🫶 Nimeona watu wengi wakikosowa hili zoezi wakisema eti ni open area. Tusiwe tunakosowa Kila kitu wakati wengine hata kuogelea nuchangamoto kwenu huko mtaani hahaha. Anyway, karibuni sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa ndani 🌊🏝️
hii wapi
True fact, you can't criticize what you can't do
kamkosoe mama yako nyumbu wewe
🔥🔥🔥🔥 safi walinzi wetu mko vyema
Wapi #Mwaky #Wizfil kwambali kabisa nimeku zoom nzurii hiyo😄😄👍👍
Saf sana wakubwa ndokuipenda nchi yetu wasilete mambo ya kipumbav
Kikubwa amani ndo tunayotaka mungu ibariki tanzania
Proudly my country feel safe I m here
Hongera sana jesh letu na tpdf kwa ujumla hasa kwa kuwamaliza wale magaidi wa rufij na mtwara na yeyote atakaejifanya kama anajikuna kutuchokoza piga tu 🇹🇿🇹🇿💪🏿
Bado sana kwa zoezi hili bora pia wangekuwa kundi la makamandoo na kundi la maadui kwa upande wa pili kwenye kisiwa wakawa wanapambana kwa risasi za bandia kuonyesha angalau uhalisia kidogo lakini unashambulia msitu bila adui mmmhhhh mmmhhhh hapa sioni la maana
Hatuna kazi ya kufanya😂😂😂
Pimbi wewe huwezi kujua
Mungu awalinde jeshi letu liwe salama
Tanzania ndo nchi ambayo wanajeshi wake wanapigana vita wakati wa majaribio ,ila Mungu huyu 😂😂😂😂 pesa zetu zinatabu sana Sasa hii Hela Si tungepewa tukale hata ugali dona
Awa ni mabishoo miwani Sasa vitamin kweli
Vita haina hodi,unapo train kwa jasho unapunguza damu kuvuja kwenye battle field.
Wapo sasa kabisa kufanya zoez. Wewe wazia ugali tu
Hii ni show mnapewa. Vita mnayo ata video ya kuonyesha kweli ???
Hawajaiyona vita ndo maana wanachezea marisasi .... Waende Somalia wakapokee kichapo kama walivo fanywa Kenya 😂😂😂
Wameshindwa kupapambana na m 23 congo kila siku vurugu haziishi huko , waache drama zao.
Angalia msiwe na misifa kama marekani na wa Ukraine 👌👌👌👌👌
Wako vizuri sana mungu azidi kuwalinda
Lakini mim sijaona mmoja kafa kimajaribio et wote wametoka wazima😂😂😂😂
Makomando Waaah Makomando Oyeee. Pigeni Kazi mtapumzika Uzeeni kama Wazalendo Namba 2 wa Nchi baada ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tanzania na Mipaka yake iko Salama. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
Mbona kama Vietnam na malekani💪💪💪
😂😂😂 akuna ata mmoja apo ila hi icnchi uhuru umekuwa mwingi kweli eti wanagombowa kisiwa mazoezi dhuu niatari😂😂😂❤
Hayo ni mazoezi tu sio kukomboa kisiwa kama kungelikua na vita hasa wangelikula sabuni wote hao.
🤣🤣🤣..waliovaa nguo nyeusi Ndo Navy Seal au??? Wakimaliza hapo..ndege wote, ngedere, mijusi…KUSHNEI!!!!🤣
Nzuri kufanya zoezi.kuna mmoja amenikumbusha siki ya mapinduzi Zanzibar alikuwepo kwenye maonyesho
Kitu ambacho Watanzania wengi hatujui ni kwamba Kazi ya Ukomando ni kazi ya kujitolea kama Upadri, Sheikh na Uchungaji yaani ukisaini kuitumikia ina maana unaweka maslahi ya Taifa mbele mpaka Kifo. Maisha ya kushika Silaha ni kujitolea kuilinda Tanzania na Mipaka yake. Tanzania Imara Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿
Acha ujuaji, huna unachokijua
@@joesimba 😂😂😂
Komandoo ni kama upadri ???🤣🤣 Daah we jamaa ni noma sana
Kwamujibu wa Sheria gani maana ukiwa sheikh muaminifu utaingia jannah na ukiwa komando wa wanchi au waserikali ambayo sheriazake amezitunga mwanadamu weweyako nijahannam sasa sijuiwewe unaongelea sheria yanani innalillah wainnalillah Raj un
anaejitolea halipwi mshahara hapo bado sana tusijitie midomo hapo helkopter moja tu ya marekan inafyeka wote hapo
Napenda sana Tena sana ingawa sikupata nafasi ila nilituma maombi yakujiunga na jkt
Mungu libariki jeshi la Tanzania
Mimi n mzalendo kama hawa
Makomando
Naomba
Ndoto itimie .Mungu anibark
Pia
Mungu
Awa barki
Jitume kwa bidii aamin
Wacheza Pubg tunazijua silaha zote hapo ,,,
😂
HAPO mlihigiza Kama watoto wadogo,
HAPO meli yakivita ingelikuea inatowa supoter aidha msahad a ,sasawewe meli unajipeleka kimbele 2(
Namuomba Mungu atupe ushindi mkubwa ,ila serikali yetu viongozi waliwepo ni watu ambayo rushwa kubwa badala ya kujiwekeza katika technology
Ukimuona askari amejipamba hivo usifkiri kwenye uwanja wavita napo atatisha hamna lolote uko Kuna vimoda zaidi yake
Nilisemaje 😂 hao Mbele ya majimaji wa wili wa congo ni dakika sifuri
Maana wale jamaa hawapigi risasi kitu wasicho kiona
Kweli, ndo akina mandonga, kabla ya mtanange anapiga ngumi mgomba alafu atisha mpinzani, sasa ngoja ktk match
Hamna chochote hapo siku zote Tanzania tutakuwa nyuma tu, akili zenyewe tumeshikiwa mpaka tuambiwe nini cha kufanya na wazungu, okay hongereni kwa kazi hiyo
the world at war we don't need military intevation with any Africa country Africa we must stay netral is time for Africa to gear up toward real development
KAZI nzuri
Naona coment zawatoto wamakahaba wanavojua kupinga vi2😂
😂😂😂
Afadhali sie watt wa makahaba lkn baba zetu wanajulikana, Sasa Wewe bahati yako ni vile ulifanana sura na mama kisha baba mlezi wako kapotezea, laa sivyo ... Malizia mwenyewe
@@lillaahilhamdutv5383 watoto wamakahaba mbna kama mnapanik kisa kuxema ukweli ndy koxa lang🤗 nakingine kwakukuweka sawa ninasura yababa
Alafu babayao wewe coz kahaba hashiki mimba ya roho mtakatifu
@@planetbomba6170 sawa mama yao
Wazee wa Gazza mpo vizuri
Hakuna kitu hapa vitendea kazi vya enzi ya usovieti hadi leo.boresheni vitendea kazi ili viendane na wakati😂😂😂
😂😂😂 mweee usinivunje mbavu
Hahaha
Kimazoezi ya kijeshi tuko vizuri,, sasa ingekuwa vizuri tungejikita kiteknolojia mana karne ya 14 Africa and Europe tulikuwa sawakimaendeleo
Maashaallah
Hivi makomando wa bongo wataacha lini kuigiza kuvaa miwani myeusi kama majambazi,hv kuna ulazima hata wakujipaka masizi usoni ndo uonekane komando😂😂😂
Simba
Nawapenda sana wanajeshi.Tunaishi kwa amani kwa sababu yao.
Wewe unaiahi kwa amani kwa sababu yao sema kwa sababu yetu sote coz watanzania sisi wenyewe pia hatutaki tabu tumeridhika na hali zetu
Mii naona nchi HII police ndo wana kazi ila wanajeshi wako zao polin wamerelax ila police wakiskia sehem Kuna vurugu washaa timba one time au wee unasemaje
@@dangomc_niger akil yako imewaza na hapo ndipo ulipoishia
Mwanajeshi kala Kavimba tumbo yupo ndiii 😮😂😂😂
Bado Jeshi ya Tanzania inavaa sufuria kwa kichwa😂😂😂
😅😅😅😅 waah tanzanians are funny
Wanajuwa vita Kweli? 😂😂😂 Maana hata hizo mbio siziamini 😂😂😂😂😂
😜
Hongerini jeshi letu
Watu kazi kazini
Wajitahidi kuyaishi mazoezi.. Mambo ya Mtwara aibu.
Kukunja uso ukaiifanya ucheki ndo nn, unaweza ukawa usikunje uso na ukaifanya kazi yko kwa weredi
Kiukweli nilijua kimenuka kumbe zoezi fresh nilitaka kuaandaa andaki na maandazi 1000
mibomu yanyuklia mbona haipigwi sasa
Awa nys wanachapa na shepe tuu😂😂😂
Hakuna cha maana happ zaidi ya mbwembwe
Makomando hatari sana nchi yetu amani
Awa si wakuje Tu angalau boni forest kidgo tunataka uwo usharp wao
JJ mkunda💪
Kumbe mazoez maana nilishaanza kupaki mabeg yangu na vibakuli vyote vyandan nikimbie navyo 😂😂😂
SAFI JESHI LA TZ TUMEKUKABIDHINI ULINZI WA NCHI NA MIPAKA.
Hawa sahii Vita Ni technology drone 1 inauwa wote
Hapo likitupwamu c mnakufa wote inayakiwa kuwa mbalimbl
Mmekosa drones wazee, action hiz drones camera ni muhim wazee
Ndyo ujue sisis Bado na wanajifanya wajuaji mno
Ikitokea vita labda tunaweza kupima uwezo wao Kwa sasa zaidi ya commando siamin mwingine kwanza
Vita gani unyotaka wewe, wakati hao ndio wako vitani Congo, darfur na ndio hao waliomng'oa iddi amin Uganda na kanal Mohammed bakar kule anzwani, ndio hao waliopigana msumbiji, Zimbabwe kote huku Kusini mwa Afrika, usiwasahau pia Al shabaab wa kule rufiji wanajeshi wetu walipambana kuweka Mambo Sawa,,,
@@jumakapilima7295 dah kumbe basi sawa nimekubali kama ndio hao basi sawa wako vizur tumalize hii topic
Hapo DRC wamechapwa, nawamekata ku advance Tena 😂
Ohh pole ndugu wengi wa hawo majeshi wenu wameuwawa na m23, sasa wamekataa ku advance eti watapiga silaha za msaada wakiwa mbali saana ya frontline😂
Walio poga I'd Amin wame zeheka sana wengine wamekufaa
Hapo kama mjeshi mwenzio alikuw anazngua hatoboi mana ndo nafax pekee yakujifanya umekosea nikumuwashia za kichwa
Naomba siku moja Alshabab waje kutupma uwezo
Hapo inabid tumtafute super men wa bongo ambaye hata akipigwa risasi haziingii🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅 Makomando Vitambi noma wote wamo
Balaaa ni huo moto unaweza usinyanyuke mpaka zoezi liishe
Wapiganaji na Wataalamu Wanzalendo wa JWTZ jifunzeni kitu hapo kwenye hii vita ya Gaza. Mbinu na vifaa teknologia imebadilika sana. Vita vinapiganwa sehemu kubwa kwa makobora na vidaka makombora. Ile kubeba rumbeza la kitbags za makomandoo imepitwa na wakati. Israeli wanazungumzia Skysonic.
waswahili hatuendelei asa kizingu chanini kwenye jeshi la waswahili
Nimeona wamefunga vitambaa mtindo wa waarabu kana kwamba wanawakubal sana Hamas... jeshi linalowaangamiza wazayun
Bado hawana combat experience ukilinganisha na wakenya
Nalipongeza Sana jeshi letu
Bonge la move 🎥 😮😮😮
Hapo mi cjaelewa humo mstuni kuna wanajeshi ambao wanapambana nao ! au wanatumalizia lisasi zetu kwa kualibu matunda tuko laaaivu na hatuogopi chochote 😊
We must be smart everytime❤
Tuombeni mechi ya kirafiki na uganda amazing nini!!!!mana so kwa tizi hilo mazee
Uliza habari zao huko. DRC m23 imewacapa cyakutosha😂
Hahaahaaa kuna vitu bora ata msiwe mnarekodi na kupost maana ni aibu
😅😅😅 wanaweza wakatutamani jamani tukauwawa iv kweli
😢naona wengne wanadondoka ila bdo ivo utafanya nn kzen tu
Yanga
❤
😅😅 should we fix a match with Kenya prisons?😅
Kenya prisons mbali broh hawa waizi wetu tu wakaida.....!!! Ambao huwa tuna waitia A.P
sasa mbona hawafanye kitu incini DRC
Napenda sana kuona jeshi letu Lina vifaa madhubuti japokuwa bado ila angalau inafurahisha
Vizuri lakini wananchi tunahitj technolojia zaid hususan kisayansi
Kuna vita hata moja Tanzania imepigana kweli ???
Wanajeshi wanamaliza miaka kama hawajafyatua risasi wala kukabiliana na magaidi 😂😂
Regina thomas reasons ❤😂🎉😢😮😅😊
Bongo Ndio Nchi Pekee Inasapoti Upuuzi
Huyo jamaa alokunja sura ikitokea vita anakula sabuni ili aharishe asiende
😂😂😂😂😂 tanzania inachekesha sana
Hii movie inaitwaje?
Woga mtupu . Risasi bila adui hamna kitu. Makomando hewa!
Poaaaa sanaaa.
Si wangetuokolea kwanza na ccm nchi ipate amani tunateseka utafikiri tupo utumwani utafikiri nchi haina jeshi la wananchi jeshi limegeuka jeshi la ccm