TAZAMA MAKOMANDO WA JWTZ WALIVYOTANDA KWENYE MELI YA KIVITA ILIYOMBEBA MKUU WA MAJESHI, ULINZI MKALI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 06. 2023

Komentáře • 450

  • @frankaloyce6438
    @frankaloyce6438 Před měsícem +2

    Duuhh kama movie vile, Mungu libariki jeshi letu JWTZ🤲

  • @juhaveprostudio
    @juhaveprostudio Před 11 měsíci +35

    Mungu ibariki Tanzania kuwe na amani siku zote. maana kwa haya mazoezi na ulimwengu wa sasa wa sayansi na tekinolojia hayana uhusiano(correlation) na ulimwengu tuliopo. watanzania tumwombe Mungu aendelee kutujaria amani nchini

    • @user-ns5bw3dw6e
      @user-ns5bw3dw6e Před 9 měsíci +3

      Unafkr zitaoneshwa mbinu zote ktk media!!!

    • @Chettymlambalipsi-lb9km
      @Chettymlambalipsi-lb9km Před 9 měsíci

      @@user-ns5bw3dw6e haswaa huo ni mfano tu

    • @barakajoseph2234
      @barakajoseph2234 Před 9 měsíci +1

      Hayo yanaendana na vita ya kwanza ya dunia ata mm niliishia cheou
      uservice man iyo ni zero combora likidondoka apo wote ni marehem combania nzima mnalundikana pmj xyo ata platune tu

    • @ramajr3762
      @ramajr3762 Před 7 měsíci

      @@barakajoseph2234 unajifanya unajua

    • @mussacmchile397
      @mussacmchile397 Před 7 měsíci

      Well said

  • @user-pw3fq6bj5m
    @user-pw3fq6bj5m Před 11 měsíci +7

    Mkitaka tuwaamini kuwa mpo vizuri ombeni mechi ya kirafiki hata na Ukraine au urusi hata dk 45 tu Alafu mje hapa tuongee lugha 1

  • @iddymbuma2856
    @iddymbuma2856 Před 11 měsíci +2

    Alaf ndege ikitumbukia Victoria wanasubiri majaliwa

  • @hassanikombe9053
    @hassanikombe9053 Před 11 měsíci +1

    Ukwl ssaiv mmbo yanaenda kisayansi sana kupamban kwa nch kavu iz zlipendwaa tuombe vita isitokeee tz mungu ibariki tanzaniaa, ijaalie aman na upendo

  • @akimjuma2026
    @akimjuma2026 Před 11 měsíci +13

    Ila kuusu jeshi sisi bado kabisa kwanza hatuna new weapon technology hata boat izo ni technologie ya zaman sana,kam ilo zowezi mlilo lifanya hap kam nd mngekuw mnaend kweny vita kweli haf mnakutana na opponent ambae ako na technolog ya kisas dah 😢drone tu kwisha, nafikilia tungejikita katika sanyansi ya silaha za kivita akina kam ndo tutakuwa tunaend hv vitani duh

    • @wechemakambo2182
      @wechemakambo2182 Před 9 měsíci +1

      Kikawaida unachoonyeshwa kirahisi siyo kifanyikacho kihalisi ,usitegemee kuwa wanaingia vitani kwa hali hiyo...wamejaribu kuonyesha tu Jeshi lipoje...usitegemee JWTZ hawana hizo scientific weaponry...jua tu Nchi karibu zote Afrika huleta Askari kujifunza hapa...hizo drones ni za nchi ambazo ni waoga kwenye infantry battles...JWTZ wako vizuri sana mzee....kwa sasa hatuna nchi tishio kwetu.

    • @hamisiramadhani6620
      @hamisiramadhani6620 Před 9 měsíci

      Sio kila sehemu utatumia drone mzee.....drone yenyew inaweza lengwa na sniper ikadondokea hukooo...fikiria sasa kama ni uwanja wa vita utaenda na drones ngapi?? Just show some appreciation to our army....amani ya hii nchi wanailinda wao mzee

    • @emmanuelmruma3225
      @emmanuelmruma3225 Před 5 měsíci

      Huyo anaongelea drone itakuwa mpiga picha hajui chochote kuhusu jeshi😂

    • @morricedevice6490
      @morricedevice6490 Před 4 měsíci

      Nimekupata mkuu😂😂😂😂

  • @duvaboy
    @duvaboy Před rokem +8

    pole tanzania yangu cha msingi tuendelee kuomba amani lakini kwa mfumo huu ikitokea mbilinge hapa hatutoboi...kenya wametupita pakubwa sana kwa vifaa vya kijeshi

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem

      Kwahiyo ulitaka vifaa vyote vianikwe hapo ili maadui wavione,,,,,pimbi kweli wewe!!

    • @lillaahilhamdutv5383
      @lillaahilhamdutv5383 Před 11 měsíci

      Ona zile risasi zoteee eti wanazifanyia mazoezi, na ukutu ni za mkopo, ama ni zile za plastic🤣

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 11 měsíci

      @@lillaahilhamdutv5383 kwa nini usishangae madaktari wanafunzi wanapofanyia mazoezi uhai wako, unakuja kushangaa wanajeshi kufanyia mazoezi risasi za moto

  • @FloraJohn-je9ch
    @FloraJohn-je9ch Před 10 měsíci +3

    Mbwembwe..tupu ,,waende somalia Sasa kwenye vita zenyewe🤣

  • @senseiamani4684
    @senseiamani4684 Před rokem +9

    Viva Tanzania Viva makomandoo

  • @ngusamalegi4577
    @ngusamalegi4577 Před rokem +15

    Nilitamaningi sana kuwa kama hawa jamaa sema ndo hivyo tu , nikipata nafasi hata sasa niko tayari.💪💪

    • @zuhurarikosaidi
      @zuhurarikosaidi Před 11 měsíci

      😂😂😂😂

    • @ibrahimisar-pn1tg
      @ibrahimisar-pn1tg Před 11 měsíci

      Kumbe kama me yani naona jamaa wanavyomwaga risas kama wanafaidi kweli, nataman kweli kulitumikia taifa lang

    • @ramadhanichilumba3610
      @ramadhanichilumba3610 Před 9 měsíci

      😂😂😂😂dah njoo tu huku ni kazi kazi

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar Před rokem +9

    Zoezi zuri sana 🫶 Nimeona watu wengi wakikosowa hili zoezi wakisema eti ni open area. Tusiwe tunakosowa Kila kitu wakati wengine hata kuogelea nuchangamoto kwenu huko mtaani hahaha. Anyway, karibuni sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa ndani 🌊🏝️

  • @onanarosse9657
    @onanarosse9657 Před rokem +3

    🔥🔥🔥🔥 safi walinzi wetu mko vyema

  • @teenbamazaga9973
    @teenbamazaga9973 Před rokem +1

    Wapi #Mwaky #Wizfil kwambali kabisa nimeku zoom nzurii hiyo😄😄👍👍

  • @benjaminshoph1032
    @benjaminshoph1032 Před 9 měsíci +5

    Saf sana wakubwa ndokuipenda nchi yetu wasilete mambo ya kipumbav

  • @RazakiKateule
    @RazakiKateule Před 7 měsíci +1

    Kikubwa amani ndo tunayotaka mungu ibariki tanzania

  • @hajighulk4387
    @hajighulk4387 Před 11 měsíci +1

    Proudly my country feel safe I m here

  • @emanuelnjalakila4693
    @emanuelnjalakila4693 Před 11 měsíci +6

    Hongera sana jesh letu na tpdf kwa ujumla hasa kwa kuwamaliza wale magaidi wa rufij na mtwara na yeyote atakaejifanya kama anajikuna kutuchokoza piga tu 🇹🇿🇹🇿💪🏿

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Před rokem +6

    Bado sana kwa zoezi hili bora pia wangekuwa kundi la makamandoo na kundi la maadui kwa upande wa pili kwenye kisiwa wakawa wanapambana kwa risasi za bandia kuonyesha angalau uhalisia kidogo lakini unashambulia msitu bila adui mmmhhhh mmmhhhh hapa sioni la maana

  • @thomasgabriel588
    @thomasgabriel588 Před rokem +5

    Hatuna kazi ya kufanya😂😂😂

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga7075 Před 4 měsíci +1

    Mungu awalinde jeshi letu liwe salama

  • @michaeltilusasila2992
    @michaeltilusasila2992 Před 11 měsíci +21

    Tanzania ndo nchi ambayo wanajeshi wake wanapigana vita wakati wa majaribio ,ila Mungu huyu 😂😂😂😂 pesa zetu zinatabu sana Sasa hii Hela Si tungepewa tukale hata ugali dona

    • @meshajohn8713
      @meshajohn8713 Před 11 měsíci +2

      Awa ni mabishoo miwani Sasa vitamin kweli

    • @bernardjosephmulokozi3901
      @bernardjosephmulokozi3901 Před 8 měsíci

      Vita haina hodi,unapo train kwa jasho unapunguza damu kuvuja kwenye battle field.

    • @eltonwazingwa8340
      @eltonwazingwa8340 Před 5 měsíci

      Wapo sasa kabisa kufanya zoez. Wewe wazia ugali tu

    • @eriqueodhiambo4094
      @eriqueodhiambo4094 Před 5 měsíci

      Hii ni show mnapewa. Vita mnayo ata video ya kuonyesha kweli ???

    • @Issa_negro
      @Issa_negro Před 5 měsíci +1

      Hawajaiyona vita ndo maana wanachezea marisasi .... Waende Somalia wakapokee kichapo kama walivo fanywa Kenya 😂😂😂

  • @Users2523
    @Users2523 Před rokem +2

    Wameshindwa kupapambana na m 23 congo kila siku vurugu haziishi huko , waache drama zao.

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Před 11 měsíci +3

    Angalia msiwe na misifa kama marekani na wa Ukraine 👌👌👌👌👌

  • @user-ku1nl2ul5g
    @user-ku1nl2ul5g Před 5 měsíci

    Wako vizuri sana mungu azidi kuwalinda

  • @DACKIEWARRIOR
    @DACKIEWARRIOR Před rokem +2

    Lakini mim sijaona mmoja kafa kimajaribio et wote wametoka wazima😂😂😂😂

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před rokem +1

    Makomando Waaah Makomando Oyeee. Pigeni Kazi mtapumzika Uzeeni kama Wazalendo Namba 2 wa Nchi baada ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tanzania na Mipaka yake iko Salama. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿

  • @mlungumasaba1786
    @mlungumasaba1786 Před rokem +2

    Mbona kama Vietnam na malekani💪💪💪

  • @Teambossmusic
    @Teambossmusic Před 11 měsíci +1

    😂😂😂 akuna ata mmoja apo ila hi icnchi uhuru umekuwa mwingi kweli eti wanagombowa kisiwa mazoezi dhuu niatari😂😂😂❤

  • @ismailp827
    @ismailp827 Před 11 měsíci +3

    Hayo ni mazoezi tu sio kukomboa kisiwa kama kungelikua na vita hasa wangelikula sabuni wote hao.

  • @Zenny89
    @Zenny89 Před rokem +3

    🤣🤣🤣..waliovaa nguo nyeusi Ndo Navy Seal au??? Wakimaliza hapo..ndege wote, ngedere, mijusi…KUSHNEI!!!!🤣

  • @ngowipatrick5777
    @ngowipatrick5777 Před 4 měsíci

    Nzuri kufanya zoezi.kuna mmoja amenikumbusha siki ya mapinduzi Zanzibar alikuwepo kwenye maonyesho

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před rokem +10

    Kitu ambacho Watanzania wengi hatujui ni kwamba Kazi ya Ukomando ni kazi ya kujitolea kama Upadri, Sheikh na Uchungaji yaani ukisaini kuitumikia ina maana unaweka maslahi ya Taifa mbele mpaka Kifo. Maisha ya kushika Silaha ni kujitolea kuilinda Tanzania na Mipaka yake. Tanzania Imara Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿

    • @joesimba
      @joesimba Před rokem +1

      Acha ujuaji, huna unachokijua

    • @duvaboy
      @duvaboy Před rokem

      @@joesimba 😂😂😂

    • @samuelmwangu3301
      @samuelmwangu3301 Před rokem

      Komandoo ni kama upadri ???🤣🤣 Daah we jamaa ni noma sana

    • @agripahvaisa2138
      @agripahvaisa2138 Před 11 měsíci

      Kwamujibu wa Sheria gani maana ukiwa sheikh muaminifu utaingia jannah na ukiwa komando wa wanchi au waserikali ambayo sheriazake amezitunga mwanadamu weweyako nijahannam sasa sijuiwewe unaongelea sheria yanani innalillah wainnalillah Raj un

    • @user-fm4cm3fy5i
      @user-fm4cm3fy5i Před 9 měsíci

      anaejitolea halipwi mshahara hapo bado sana tusijitie midomo hapo helkopter moja tu ya marekan inafyeka wote hapo

  • @user-ri4rr5ij6y
    @user-ri4rr5ij6y Před 5 měsíci

    Napenda sana Tena sana ingawa sikupata nafasi ila nilituma maombi yakujiunga na jkt

  • @Heiscude1234
    @Heiscude1234 Před 5 měsíci

    Mungu libariki jeshi la Tanzania

  • @PiusRupia-zc3kp
    @PiusRupia-zc3kp Před 11 měsíci

    Mimi n mzalendo kama hawa
    Makomando
    Naomba
    Ndoto itimie .Mungu anibark
    Pia
    Mungu
    Awa barki

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 11 měsíci +3

    Wacheza Pubg tunazijua silaha zote hapo ,,,

  • @MusaRamadhani-sm3pz
    @MusaRamadhani-sm3pz Před 27 dny

    HAPO mlihigiza Kama watoto wadogo,
    HAPO meli yakivita ingelikuea inatowa supoter aidha msahad a ,sasawewe meli unajipeleka kimbele 2(

  • @elsonjohnsonafricaboe56
    @elsonjohnsonafricaboe56 Před 11 měsíci +5

    Namuomba Mungu atupe ushindi mkubwa ,ila serikali yetu viongozi waliwepo ni watu ambayo rushwa kubwa badala ya kujiwekeza katika technology

    • @GitariroBujenia
      @GitariroBujenia Před 11 měsíci

      Ukimuona askari amejipamba hivo usifkiri kwenye uwanja wavita napo atatisha hamna lolote uko Kuna vimoda zaidi yake

  • @Runkiller1
    @Runkiller1 Před rokem +6

    Nilisemaje 😂 hao Mbele ya majimaji wa wili wa congo ni dakika sifuri
    Maana wale jamaa hawapigi risasi kitu wasicho kiona

    • @lillaahilhamdutv5383
      @lillaahilhamdutv5383 Před 11 měsíci

      Kweli, ndo akina mandonga, kabla ya mtanange anapiga ngumi mgomba alafu atisha mpinzani, sasa ngoja ktk match

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc Před měsícem

    Hamna chochote hapo siku zote Tanzania tutakuwa nyuma tu, akili zenyewe tumeshikiwa mpaka tuambiwe nini cha kufanya na wazungu, okay hongereni kwa kazi hiyo

  • @saidjaja6197
    @saidjaja6197 Před 5 měsíci

    the world at war we don't need military intevation with any Africa country Africa we must stay netral is time for Africa to gear up toward real development

  • @elviskoech-pz3bz
    @elviskoech-pz3bz Před 4 měsíci

    KAZI nzuri

  • @jameschumbula7351
    @jameschumbula7351 Před rokem +4

    Naona coment zawatoto wamakahaba wanavojua kupinga vi2😂

    • @duvaboy
      @duvaboy Před rokem

      😂😂😂

    • @lillaahilhamdutv5383
      @lillaahilhamdutv5383 Před 11 měsíci +1

      Afadhali sie watt wa makahaba lkn baba zetu wanajulikana, Sasa Wewe bahati yako ni vile ulifanana sura na mama kisha baba mlezi wako kapotezea, laa sivyo ... Malizia mwenyewe

    • @jameschumbula7351
      @jameschumbula7351 Před 11 měsíci

      @@lillaahilhamdutv5383 watoto wamakahaba mbna kama mnapanik kisa kuxema ukweli ndy koxa lang🤗 nakingine kwakukuweka sawa ninasura yababa

    • @planetbomba6170
      @planetbomba6170 Před 11 měsíci

      Alafu babayao wewe coz kahaba hashiki mimba ya roho mtakatifu

    • @jameschumbula7351
      @jameschumbula7351 Před 11 měsíci

      @@planetbomba6170 sawa mama yao

  • @yasinntandu59
    @yasinntandu59 Před 5 měsíci

    Wazee wa Gazza mpo vizuri

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco2567 Před rokem +3

    Hakuna kitu hapa vitendea kazi vya enzi ya usovieti hadi leo.boresheni vitendea kazi ili viendane na wakati😂😂😂

  • @otmarmkali8883
    @otmarmkali8883 Před 9 měsíci

    Kimazoezi ya kijeshi tuko vizuri,, sasa ingekuwa vizuri tungejikita kiteknolojia mana karne ya 14 Africa and Europe tulikuwa sawakimaendeleo

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem

    Maashaallah

  • @chrisostommakole1510
    @chrisostommakole1510 Před 11 měsíci +1

    Hivi makomando wa bongo wataacha lini kuigiza kuvaa miwani myeusi kama majambazi,hv kuna ulazima hata wakujipaka masizi usoni ndo uonekane komando😂😂😂

  • @user-rc7rq7fj8b
    @user-rc7rq7fj8b Před měsícem

    Simba

  • @robertmhando3386
    @robertmhando3386 Před 11 měsíci +2

    Nawapenda sana wanajeshi.Tunaishi kwa amani kwa sababu yao.

    • @omariselemani4038
      @omariselemani4038 Před 11 měsíci

      Wewe unaiahi kwa amani kwa sababu yao sema kwa sababu yetu sote coz watanzania sisi wenyewe pia hatutaki tabu tumeridhika na hali zetu

    • @dangomc_niger
      @dangomc_niger Před 11 měsíci

      Mii naona nchi HII police ndo wana kazi ila wanajeshi wako zao polin wamerelax ila police wakiskia sehem Kuna vurugu washaa timba one time au wee unasemaje

    • @ramajr3762
      @ramajr3762 Před 7 měsíci

      @@dangomc_niger akil yako imewaza na hapo ndipo ulipoishia

  • @itNeza
    @itNeza Před 11 měsíci

    Mwanajeshi kala Kavimba tumbo yupo ndiii 😮😂😂😂

  • @ManuuMwarenge
    @ManuuMwarenge Před 7 dny

    Bado Jeshi ya Tanzania inavaa sufuria kwa kichwa😂😂😂

  • @walterjohn7572
    @walterjohn7572 Před 11 měsíci +2

    😅😅😅😅 waah tanzanians are funny

  • @Runkiller1
    @Runkiller1 Před rokem +2

    Wanajuwa vita Kweli? 😂😂😂 Maana hata hizo mbio siziamini 😂😂😂😂😂

  • @moses_2555
    @moses_2555 Před 11 měsíci

    Hongerini jeshi letu

  • @rexminangu4964
    @rexminangu4964 Před 9 měsíci

    Watu kazi kazini

  • @SampleKiller99
    @SampleKiller99 Před rokem +2

    Wajitahidi kuyaishi mazoezi.. Mambo ya Mtwara aibu.

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis4424 Před rokem +2

    Kukunja uso ukaiifanya ucheki ndo nn, unaweza ukawa usikunje uso na ukaifanya kazi yko kwa weredi

  • @user-ed7je8cu4q
    @user-ed7je8cu4q Před 5 měsíci

    Kiukweli nilijua kimenuka kumbe zoezi fresh nilitaka kuaandaa andaki na maandazi 1000

  • @sultankivumbi9255
    @sultankivumbi9255 Před rokem +1

    mibomu yanyuklia mbona haipigwi sasa

  • @ManuuMwarenge
    @ManuuMwarenge Před 7 dny

    Awa nys wanachapa na shepe tuu😂😂😂

  • @user-qh3hb1tp8r
    @user-qh3hb1tp8r Před 5 měsíci

    Hakuna cha maana happ zaidi ya mbwembwe

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga7075 Před 4 měsíci

    Makomando hatari sana nchi yetu amani

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 Před 9 měsíci

    Awa si wakuje Tu angalau boni forest kidgo tunataka uwo usharp wao

  • @charzykiyabo3263
    @charzykiyabo3263 Před měsícem

    JJ mkunda💪

  • @user-fz3nk1nw4n
    @user-fz3nk1nw4n Před 5 měsíci

    Kumbe mazoez maana nilishaanza kupaki mabeg yangu na vibakuli vyote vyandan nikimbie navyo 😂😂😂

  • @intervention_team
    @intervention_team Před 11 měsíci

    SAFI JESHI LA TZ TUMEKUKABIDHINI ULINZI WA NCHI NA MIPAKA.

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 Před rokem +1

    Hawa sahii Vita Ni technology drone 1 inauwa wote

  • @CatherineSimon-jq6kk
    @CatherineSimon-jq6kk Před 11 měsíci

    Hapo likitupwamu c mnakufa wote inayakiwa kuwa mbalimbl

  • @frashconnect.1
    @frashconnect.1 Před 11 měsíci +1

    Mmekosa drones wazee, action hiz drones camera ni muhim wazee

  • @philemonmwita2305
    @philemonmwita2305 Před rokem +3

    Ikitokea vita labda tunaweza kupima uwezo wao Kwa sasa zaidi ya commando siamin mwingine kwanza

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem +1

      Vita gani unyotaka wewe, wakati hao ndio wako vitani Congo, darfur na ndio hao waliomng'oa iddi amin Uganda na kanal Mohammed bakar kule anzwani, ndio hao waliopigana msumbiji, Zimbabwe kote huku Kusini mwa Afrika, usiwasahau pia Al shabaab wa kule rufiji wanajeshi wetu walipambana kuweka Mambo Sawa,,,

    • @philemonmwita2305
      @philemonmwita2305 Před rokem

      @@jumakapilima7295 dah kumbe basi sawa nimekubali kama ndio hao basi sawa wako vizur tumalize hii topic

    • @user-gr7jk4vc7f
      @user-gr7jk4vc7f Před 4 měsíci

      Hapo DRC wamechapwa, nawamekata ku advance Tena 😂

    • @user-gr7jk4vc7f
      @user-gr7jk4vc7f Před 4 měsíci

      Ohh pole ndugu wengi wa hawo majeshi wenu wameuwawa na m23, sasa wamekataa ku advance eti watapiga silaha za msaada wakiwa mbali saana ya frontline😂

    • @user-gr7jk4vc7f
      @user-gr7jk4vc7f Před 4 měsíci

      Walio poga I'd Amin wame zeheka sana wengine wamekufaa

  • @user-ic6sb7yz8m
    @user-ic6sb7yz8m Před 5 měsíci

    Hapo kama mjeshi mwenzio alikuw anazngua hatoboi mana ndo nafax pekee yakujifanya umekosea nikumuwashia za kichwa

  • @RichardNyalucy
    @RichardNyalucy Před 3 měsíci

    Naomba siku moja Alshabab waje kutupma uwezo

  • @bentez911
    @bentez911 Před 11 měsíci

    Hapo inabid tumtafute super men wa bongo ambaye hata akipigwa risasi haziingii🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dastaniguni5599
    @dastaniguni5599 Před 11 měsíci +1

    😅😅😅😅 Makomando Vitambi noma wote wamo
    Balaaa ni huo moto unaweza usinyanyuke mpaka zoezi liishe

  • @wamisangi2801
    @wamisangi2801 Před 8 měsíci

    Wapiganaji na Wataalamu Wanzalendo wa JWTZ jifunzeni kitu hapo kwenye hii vita ya Gaza. Mbinu na vifaa teknologia imebadilika sana. Vita vinapiganwa sehemu kubwa kwa makobora na vidaka makombora. Ile kubeba rumbeza la kitbags za makomandoo imepitwa na wakati. Israeli wanazungumzia Skysonic.

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 Před rokem

    waswahili hatuendelei asa kizingu chanini kwenye jeshi la waswahili

  • @mohamedaley5632
    @mohamedaley5632 Před 5 měsíci

    Nimeona wamefunga vitambaa mtindo wa waarabu kana kwamba wanawakubal sana Hamas... jeshi linalowaangamiza wazayun

  • @jeremymaina3582
    @jeremymaina3582 Před 10 měsíci

    Bado hawana combat experience ukilinganisha na wakenya

  • @FunnyDaisies-wy5lb
    @FunnyDaisies-wy5lb Před 5 měsíci

    Nalipongeza Sana jeshi letu

  • @isayaswai
    @isayaswai Před 5 měsíci

    Bonge la move 🎥 😮😮😮

  • @rajabuhamisi9675
    @rajabuhamisi9675 Před 7 měsíci

    Hapo mi cjaelewa humo mstuni kuna wanajeshi ambao wanapambana nao ! au wanatumalizia lisasi zetu kwa kualibu matunda tuko laaaivu na hatuogopi chochote 😊

  • @user-br5sq8os4l
    @user-br5sq8os4l Před 4 měsíci

    We must be smart everytime❤

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 Před 5 měsíci

    Tuombeni mechi ya kirafiki na uganda amazing nini!!!!mana so kwa tizi hilo mazee

  • @user-gr7jk4vc7f
    @user-gr7jk4vc7f Před 4 měsíci

    Uliza habari zao huko. DRC m23 imewacapa cyakutosha😂

  • @godfreygoyayi6576
    @godfreygoyayi6576 Před 11 měsíci +1

    Hahaahaaa kuna vitu bora ata msiwe mnarekodi na kupost maana ni aibu

    • @therealkingo
      @therealkingo Před 11 měsíci

      😅😅😅 wanaweza wakatutamani jamani tukauwawa iv kweli

  • @user-tl4vx8uk5y
    @user-tl4vx8uk5y Před 4 měsíci

    😢naona wengne wanadondoka ila bdo ivo utafanya nn kzen tu

  • @user-df4zp3et4e
    @user-df4zp3et4e Před 11 měsíci

    Yanga

  • @jeffkadenge7936
    @jeffkadenge7936 Před 11 měsíci +1

    😅😅 should we fix a match with Kenya prisons?😅

    • @planetbomba6170
      @planetbomba6170 Před 11 měsíci

      Kenya prisons mbali broh hawa waizi wetu tu wakaida.....!!! Ambao huwa tuna waitia A.P

  • @thevoicetv5361
    @thevoicetv5361 Před 4 měsíci

    sasa mbona hawafanye kitu incini DRC

  • @marojumamugha3062
    @marojumamugha3062 Před rokem +2

    Napenda sana kuona jeshi letu Lina vifaa madhubuti japokuwa bado ila angalau inafurahisha

  • @AgueroTrap-hk9gv
    @AgueroTrap-hk9gv Před 11 měsíci

    Vizuri lakini wananchi tunahitj technolojia zaid hususan kisayansi

  • @eriqueodhiambo4094
    @eriqueodhiambo4094 Před 5 měsíci

    Kuna vita hata moja Tanzania imepigana kweli ???
    Wanajeshi wanamaliza miaka kama hawajafyatua risasi wala kukabiliana na magaidi 😂😂

  • @OnenThomas-cw7py
    @OnenThomas-cw7py Před 5 měsíci

    Regina thomas reasons ❤😂🎉😢😮😅😊

  • @BarakaObedy-ic5hu
    @BarakaObedy-ic5hu Před 11 měsíci

    Bongo Ndio Nchi Pekee Inasapoti Upuuzi

  • @hamadfaki2503
    @hamadfaki2503 Před 11 měsíci +1

    Huyo jamaa alokunja sura ikitokea vita anakula sabuni ili aharishe asiende

    • @Nasbu-tb6cs
      @Nasbu-tb6cs Před 11 měsíci

      😂😂😂😂😂 tanzania inachekesha sana

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Před 5 měsíci

    Hii movie inaitwaje?

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu Před 9 měsíci

    Woga mtupu . Risasi bila adui hamna kitu. Makomando hewa!

  • @user-fy6ck9di1f
    @user-fy6ck9di1f Před 10 měsíci

    Poaaaa sanaaa.

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf Před 5 měsíci

    Si wangetuokolea kwanza na ccm nchi ipate amani tunateseka utafikiri tupo utumwani utafikiri nchi haina jeshi la wananchi jeshi limegeuka jeshi la ccm