BILIONEA MBUNGE AJENGA MJENGO MKUBWA WA UTALII WA MADINI, NANUNUA HELCOPTER "NITAAJIRI WATU 600"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 10. 2022

Komentáře • 30

  • @moyogems
    @moyogems Před 10 měsíci

    Kila jambo linawezekana chini ya jua mungu akulinde dogo walikuwa watai tu

  • @thomasansigar-002
    @thomasansigar-002 Před 10 měsíci

    wahandisi(engineers) wenyeji ....soon mheshimiwa support ipo;

  • @sheilangei7839
    @sheilangei7839 Před rokem +2

    Bigup to you our bosses we appreciate your work❤

  • @juniourelemba6650
    @juniourelemba6650 Před rokem +2

    Hongera Sana mh mbunge wangu

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 Před rokem

    Nice fact and high version, CEO na mhe mbunge God bless more brother from Dodoma Tanzania

  • @abdujr_tiktrends
    @abdujr_tiktrends Před rokem +2

    GENIUS and VISION💪❤

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před rokem +3

    Napataje mawasiliano yake ,ili kupata nafasi ya ajira???

  • @gasatoneedwardgastoneedwar6906

    Hongera sana Boss mungu akutie nguvu Ruby international forever

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před rokem +1

    Mungu akubariki sana mhe kwa ubunifu wako

  • @oklahommy9838
    @oklahommy9838 Před rokem +2

    Ni wakati watanzania na waafrika kwa ujumla tufunguke akili tusiwe ni watu wenye akili ya kuajiriwa tuu yaani bila ajira huli tuweni watu wa ku identify oppotunity na kuzitumia vyema hata ikiwa ni kuanza pole pole ...hii miradi mikubwa sahii ingekuwa imeshikiliwa na wazawa lakini tatizo akili zetu zimejifunga saana hazina upeo huo ndio ukweli ....ukiangalia mabilionea wengi Tz ni wale watanzania wenye asili ya ki asia na sio kwamba baba zao walikuwa matajiri la hasha ,walitambua fursa wakaitumia vyema na walikuwa na upeo ....tofauti na sisi mtu anauza maandazi miaka 15 yaani yuko pale pale karidhika hio ndio mentality inayo tusumbua sana ndio maana serikali haina budi ila kuangalia wawekezaji wakigeni sababu tz hatuwezi sisi ni tuajiriwe tu

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před rokem

    Tajiri

  • @mariamchuwa7916
    @mariamchuwa7916 Před rokem

    Mashallah big up

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Před rokem

    Hongera sana kwa kipaji na ueledi mkubwa ulionao...🖋🇴🇲🇹🇿

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 Před rokem +1

    sawa lakini njaaaaaaaaaaaa watu imezidiiiiii

  • @graceraphael6658
    @graceraphael6658 Před rokem +1

    well said my Uncle,Akili na visions kubwa Sana Allah akutunze Inshallah 🤲

  • @thomasmunishi7858
    @thomasmunishi7858 Před 11 měsíci

    Kaka hongera kwa mafanikio yauchimbaji wa madini Ila ujatufafanulia hapo kwenye wafanyakazi ninafyoelewa huwa Kuna veo kwenye migodi Kuna stealing, mchorongaji, wasomoaji , nobeli fadha resheni, je? Wote unawalipa

  • @jamals.mbarak8638
    @jamals.mbarak8638 Před rokem

    Big up

  • @ibrahimmodue7869
    @ibrahimmodue7869 Před rokem

    I saloute you bro nawish kufanya kazi nawe

  • @fedelinamahenge6649
    @fedelinamahenge6649 Před rokem

    Safi sana🙏

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 Před rokem

    Good booss

  • @godfreytarimo3246
    @godfreytarimo3246 Před rokem +1

    Saf sana mheshimiwa pongez kwako

  • @mauthamani
    @mauthamani Před rokem

    Vzur

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem +1

    Naomba ajira 😓 boss

  • @salbokosaid8992
    @salbokosaid8992 Před rokem

    Piga kazi Salim ntakuuzia almasi kubwa ya kutoka mwaru singida mchina

  • @senseiamani4684
    @senseiamani4684 Před rokem +1

    Anuani yake plis Yani email yake ili tujaribu kuomba fursa

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 Před rokem +2

    JPM aliona mbali sana hata mh. mbunge kalithibitisha hilo

  • @ngwelesalu8348
    @ngwelesalu8348 Před rokem

    Wajna😆

  • @gasatoneedwardgastoneedwar6906

    Ndokitu ambacho

  • @jakuali6821
    @jakuali6821 Před rokem

    Kwa ajili ya wanafunzi wa vyuo vikuu.
    czcams.com/video/7fboQ4mR5zs/video.html