Ni wakati watanzania na waafrika kwa ujumla tufunguke akili tusiwe ni watu wenye akili ya kuajiriwa tuu yaani bila ajira huli tuweni watu wa ku identify oppotunity na kuzitumia vyema hata ikiwa ni kuanza pole pole ...hii miradi mikubwa sahii ingekuwa imeshikiliwa na wazawa lakini tatizo akili zetu zimejifunga saana hazina upeo huo ndio ukweli ....ukiangalia mabilionea wengi Tz ni wale watanzania wenye asili ya ki asia na sio kwamba baba zao walikuwa matajiri la hasha ,walitambua fursa wakaitumia vyema na walikuwa na upeo ....tofauti na sisi mtu anauza maandazi miaka 15 yaani yuko pale pale karidhika hio ndio mentality inayo tusumbua sana ndio maana serikali haina budi ila kuangalia wawekezaji wakigeni sababu tz hatuwezi sisi ni tuajiriwe tu
Kaka hongera kwa mafanikio yauchimbaji wa madini Ila ujatufafanulia hapo kwenye wafanyakazi ninafyoelewa huwa Kuna veo kwenye migodi Kuna stealing, mchorongaji, wasomoaji , nobeli fadha resheni, je? Wote unawalipa
Kila jambo linawezekana chini ya jua mungu akulinde dogo walikuwa watai tu
wahandisi(engineers) wenyeji ....soon mheshimiwa support ipo;
Bigup to you our bosses we appreciate your work❤
Hongera Sana mh mbunge wangu
Nice fact and high version, CEO na mhe mbunge God bless more brother from Dodoma Tanzania
GENIUS and VISION💪❤
Napataje mawasiliano yake ,ili kupata nafasi ya ajira???
Hongera sana Boss mungu akutie nguvu Ruby international forever
Mungu akubariki sana mhe kwa ubunifu wako
Ni wakati watanzania na waafrika kwa ujumla tufunguke akili tusiwe ni watu wenye akili ya kuajiriwa tuu yaani bila ajira huli tuweni watu wa ku identify oppotunity na kuzitumia vyema hata ikiwa ni kuanza pole pole ...hii miradi mikubwa sahii ingekuwa imeshikiliwa na wazawa lakini tatizo akili zetu zimejifunga saana hazina upeo huo ndio ukweli ....ukiangalia mabilionea wengi Tz ni wale watanzania wenye asili ya ki asia na sio kwamba baba zao walikuwa matajiri la hasha ,walitambua fursa wakaitumia vyema na walikuwa na upeo ....tofauti na sisi mtu anauza maandazi miaka 15 yaani yuko pale pale karidhika hio ndio mentality inayo tusumbua sana ndio maana serikali haina budi ila kuangalia wawekezaji wakigeni sababu tz hatuwezi sisi ni tuajiriwe tu
Tajiri
Mashallah big up
Hongera sana kwa kipaji na ueledi mkubwa ulionao...🖋🇴🇲🇹🇿
sawa lakini njaaaaaaaaaaaa watu imezidiiiiii
well said my Uncle,Akili na visions kubwa Sana Allah akutunze Inshallah 🤲
Kaka hongera kwa mafanikio yauchimbaji wa madini Ila ujatufafanulia hapo kwenye wafanyakazi ninafyoelewa huwa Kuna veo kwenye migodi Kuna stealing, mchorongaji, wasomoaji , nobeli fadha resheni, je? Wote unawalipa
Big up
I saloute you bro nawish kufanya kazi nawe
Safi sana🙏
Good booss
Saf sana mheshimiwa pongez kwako
Mashallah big up
Vzur
Naomba ajira 😓 boss
Piga kazi Salim ntakuuzia almasi kubwa ya kutoka mwaru singida mchina
Anuani yake plis Yani email yake ili tujaribu kuomba fursa
JPM aliona mbali sana hata mh. mbunge kalithibitisha hilo
Wajna😆
Ndokitu ambacho
Kwa ajili ya wanafunzi wa vyuo vikuu.
czcams.com/video/7fboQ4mR5zs/video.html