Nashauri Mheshimiwa Rais Samia afikirie kumpatia nafasi ya Naibu Waziri huyu Mwekezaji na Mbunge wa Mahenge Ulanga ashirikiane na Waziri Biteko. Nafikiri ana uzalendo wa Taifa ni hazina katika Sekta ya Madini na Maendeleo ya Vijana. Tanzania Imara Kazi Iendelee.🇹🇿🇹🇿
Hongera sana ndugu, ila Mimi Niko Zambia najishughulisha naununuzi wa zahabu, mambo ya gem stone Sina aidiya nayo Kuna sehemu niliwahi kupewa dini langi ya blue na mzee mmoja hivi aliponipa mkononi mkono wangu ulisisimka akaniambia nipatie kwacha miatano,ambayo kwa Tanzania nisawa na sh.65000 alafu akasema nimnunulie na blangeti hivyo vitu mm nilimpa lile dini Mimi nikapeleka rusaka kwa wachina wakanipatia kwacha, 300,000 ambayo nisawa na sh. 39,000,000 ya kitanzania, sasa swali langu nikwamba hayo madini una aidiya nayo? na je unaweza kuwa na mashine zinazo weza kupima hayo madini tukagundua yalipo? Kwasababu kule alikochimba yule mzee nakufahamu nipolini sana nahakuna watu wanaoenda kule kwa sasa Yale maeneo walikuwa wanachimba wazumgu zamani sana naomba majibu nayule mzee Alisha fariki.
Mtangazaji upo vizuri sana juu ya kuuliza maswali hongera sana kaka.
Jamaa anaongea fact sana Allah akuzidishie bro❤
Boss wangu Mimi
Powerful
Hizi ndo habari sasa kazi mzuri sana najifunza mengi sana kupia wewe hongera sana mbunge na muwekezaji wa ruby kwa Tanzania.
Bosi naomba msaidie mume wangu kazi hana kazi naomba sana msaidie ili aweze kuisaidi familia yake
Bora umeonesha kumjali me wako hongera sana dada
Mke bora
Vizur atamjaalia
Hongera sana Dada,Mungu atawajalia mtapata kazi bora sana.
Ameen
🎉
Nashauri Mheshimiwa Rais Samia afikirie kumpatia nafasi ya Naibu Waziri huyu Mwekezaji na Mbunge wa Mahenge Ulanga ashirikiane na Waziri Biteko. Nafikiri ana uzalendo wa Taifa ni hazina katika Sekta ya Madini na Maendeleo ya Vijana. Tanzania Imara Kazi Iendelee.🇹🇿🇹🇿
Najifunza kitu kikubwa kwa bro
mahenge
Pongezi kubwa kwa mtangazaji.maswali yake yameshiba.tunapata elimu kubwa na kujua uzalendo wa mh mbunge.
Ayo umezuiliwa kutoa taarifa ya DP world?
Bila harmo watu hawaji Mzee au
Nashangaa Hawa watu hawajiamini
Pesa huenda kwa mwenye pesa
Facts
Kweli
Hongera sana ndugu, ila Mimi Niko Zambia najishughulisha naununuzi wa zahabu, mambo ya gem stone Sina aidiya nayo Kuna sehemu niliwahi kupewa dini langi ya blue na mzee mmoja hivi aliponipa mkononi mkono wangu ulisisimka akaniambia nipatie kwacha miatano,ambayo kwa Tanzania nisawa na sh.65000 alafu akasema nimnunulie na blangeti hivyo vitu mm nilimpa lile dini Mimi nikapeleka rusaka kwa wachina wakanipatia kwacha, 300,000 ambayo nisawa na sh. 39,000,000 ya kitanzania, sasa swali langu nikwamba hayo madini una aidiya nayo? na je unaweza kuwa na mashine zinazo weza kupima hayo madini tukagundua yalipo? Kwasababu kule alikochimba yule mzee nakufahamu nipolini sana nahakuna watu wanaoenda kule kwa sasa Yale maeneo walikuwa wanachimba wazumgu zamani sana naomba majibu nayule mzee Alisha fariki.
Sio kweli.
@@Muda27 ukwer ni upi kwako