SEHEMU YA PILI: BILIONEA ALIEWAHI KUCHIMBA NA HARMONIZE,ANENA TUSIYOYAJUA,MAISHA YAKE, NA MENGINEYO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 07. 2023

Komentáře • 40

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics Před rokem +12

    Mtangazaji upo vizuri sana juu ya kuuliza maswali hongera sana kaka.

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 Před měsícem +1

    Jamaa anaongea fact sana Allah akuzidishie bro❤

  • @user-xo2xw4in9f
    @user-xo2xw4in9f Před 11 měsíci +1

    Boss wangu Mimi

  • @user-ht3em4mz2v
    @user-ht3em4mz2v Před rokem

    Powerful

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics Před rokem +5

    Hizi ndo habari sasa kazi mzuri sana najifunza mengi sana kupia wewe hongera sana mbunge na muwekezaji wa ruby kwa Tanzania.

  • @SalmaAs-wl5bn
    @SalmaAs-wl5bn Před rokem +34

    Bosi naomba msaidie mume wangu kazi hana kazi naomba sana msaidie ili aweze kuisaidi familia yake

  • @mtabeagusti4553
    @mtabeagusti4553 Před rokem

    🎉

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před rokem +3

    Nashauri Mheshimiwa Rais Samia afikirie kumpatia nafasi ya Naibu Waziri huyu Mwekezaji na Mbunge wa Mahenge Ulanga ashirikiane na Waziri Biteko. Nafikiri ana uzalendo wa Taifa ni hazina katika Sekta ya Madini na Maendeleo ya Vijana. Tanzania Imara Kazi Iendelee.🇹🇿🇹🇿

  • @chamyfx9377
    @chamyfx9377 Před rokem +2

    Najifunza kitu kikubwa kwa bro

  • @kihange1701
    @kihange1701 Před 8 měsíci

    mahenge

  • @boscokikoti
    @boscokikoti Před 11 měsíci +1

    Pongezi kubwa kwa mtangazaji.maswali yake yameshiba.tunapata elimu kubwa na kujua uzalendo wa mh mbunge.

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 Před rokem

    Ayo umezuiliwa kutoa taarifa ya DP world?

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 Před rokem +2

    Bila harmo watu hawaji Mzee au

  • @user-gq7il3tl3s
    @user-gq7il3tl3s Před rokem +1

    Pesa huenda kwa mwenye pesa

    • @MauFundiElectronics
      @MauFundiElectronics Před rokem +1

      Facts

    • @MagrethEvaresth-dd1lb
      @MagrethEvaresth-dd1lb Před rokem +1

      Kweli

    • @josephbanda2896
      @josephbanda2896 Před rokem

      Hongera sana ndugu, ila Mimi Niko Zambia najishughulisha naununuzi wa zahabu, mambo ya gem stone Sina aidiya nayo Kuna sehemu niliwahi kupewa dini langi ya blue na mzee mmoja hivi aliponipa mkononi mkono wangu ulisisimka akaniambia nipatie kwacha miatano,ambayo kwa Tanzania nisawa na sh.65000 alafu akasema nimnunulie na blangeti hivyo vitu mm nilimpa lile dini Mimi nikapeleka rusaka kwa wachina wakanipatia kwacha, 300,000 ambayo nisawa na sh. 39,000,000 ya kitanzania, sasa swali langu nikwamba hayo madini una aidiya nayo? na je unaweza kuwa na mashine zinazo weza kupima hayo madini tukagundua yalipo? Kwasababu kule alikochimba yule mzee nakufahamu nipolini sana nahakuna watu wanaoenda kule kwa sasa Yale maeneo walikuwa wanachimba wazumgu zamani sana naomba majibu nayule mzee Alisha fariki.

    • @Muda27
      @Muda27 Před rokem

      Sio kweli.

    • @user-gq7il3tl3s
      @user-gq7il3tl3s Před rokem

      @@Muda27 ukwer ni upi kwako