BILIONEA LAIZER ALIYEPATA MADINI YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI 3 AFUNGUKA TUSIYOYAJUA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Sendeu Laizer Mkazi wa Mundarara Wilayani Longido Mkoani Arusha ambaye ameingia kwenye kundi la mabilionea baada yakupata madini ya ruby yenye thamani ya zaidi ya bilioni 3 amekaa kwenye exclusive na amplifaya kuhusu maisha yake ambapo amesema amewekeza mabilioni ya fedha lakini kitu kingine ambacho hajawahi kukizingumza popote nikuhusu kazi yake ya mwanzo ambayo alikuwa anaifanya yakusafirisha abiria kupitia gari yake aina ya noah ambapo hadi tunavyozungumza pamoja na utajiri wake hajawahi kubadilisha gari yake na ndio anayoitumia hadi sasa

Komentáře • 119

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Před 2 lety +12

    Wakati mwingine unaweza kudhani Mwenyezi Mungu anapendelea;lakini sivyo ilivyo.Hayo ni maamuzi yake.Ndugu Laizer hongera sana,kikubwa usimsahau aliyekupa.Wale husuda poleni saaaana.

  • @ivanross8302
    @ivanross8302 Před 2 lety +6

    Jamaa yuko mbali sana yaani vision yake kubwa sana

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Před 2 lety +7

    "Kila kitu na muda wake"kweli kabisa ndugu laiser

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Před 2 lety +2

    Wamasai wazuri jamani he is so handsome and brilliant

  • @selemanjuma1595
    @selemanjuma1595 Před 2 lety +8

    Hizo hela anazo miliki huyu father angekuwa labda anazimiliki msanii angekuwa kama anamiliki zaidi ya hizo pesa

  • @mungatanamedia5157
    @mungatanamedia5157 Před 2 lety +4

    Mzee yko humble sana,,mungu am'bariki sana

    • @adoniemanuel908
      @adoniemanuel908 Před 16 dny

      anaroho mbaya huyu tuko nayee jaribu kuuliza wamasai waeili watati hana ushirikiano nawatu kabisa

  • @clintondabana7021
    @clintondabana7021 Před 2 lety +6

    (First comment)
    Jamaa ana vision kubwa sana

  • @mubinaledroos7642
    @mubinaledroos7642 Před 2 lety +2

    Mashallah boos you saying true don't deepend on one business well said you r the real bussens man well said

  • @aminamtikaonlinetv7305
    @aminamtikaonlinetv7305 Před 2 lety +10

    Ni mfano wa kuigwa,sasa wenzangu na mie pesa kidogo tayari unataka umiliki Benzi

    • @emmanuelchizenga1572
      @emmanuelchizenga1572 Před 2 lety +1

      Kwanza jamaa anaongea point mwanzo mwisho kwa kifupi jamaa anajua kuzikontro pesa sio pesa imkotro yeye

  • @daniellaizer8590
    @daniellaizer8590 Před 2 lety +4

    He deserve around of applause 👏👏👏

  • @josephvisenti1888
    @josephvisenti1888 Před 2 lety +2

    Leizer!mm naomba unikopeshe milioni 3 nijiajili niwe nakurudishia ndg yng mn daaaaah,au nipe kazi hapo kwenye kampun yako ht ya kupikia wafanya kazi zako

  • @ellybrown5989
    @ellybrown5989 Před 2 lety +2

    Bless you.

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Před 2 lety +7

    Laizer kasema “Maisha ni kuchagua uanze kipi na umalizie na kipi mimi sijaona nianze na gari kuna kitu kingine naanza nayo; je unaweza sema mtu ni tajiri sababu ana nyumba ya million 400?

  • @raquiztv4948
    @raquiztv4948 Před 2 lety +2

    Jamaaa anajibu kisom hatr

  • @filismpangala2146
    @filismpangala2146 Před 2 lety +6

    Duh ana akili mno uyu masai

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 Před 2 lety +6

    Madin yanapatikana na wapo wanaopiga pesa zaid ya laiza ila hawawek waz kukwepa kod maana mikodi ipo juu sana

  • @majutofrancisco4106
    @majutofrancisco4106 Před 2 lety +1

    Mshukuru Mungu kukupatia pumzi

  • @emmamsamba4256
    @emmamsamba4256 Před 2 lety +4

    Huyu ana akili za kuzaliwa! Wacha tu awe billionaire! Kila mtu na fungu lake

  • @agreyaloyce432
    @agreyaloyce432 Před 2 lety +1

    Sitaki sifia ila uyu raiya ako na namna yakujuwa jambo kiasi chake we learn from you brother sante sana

  • @youngsimbawcb1814
    @youngsimbawcb1814 Před 2 lety +3

    Nimejifunza kupitia hii INTERVIEW!!!!!!!!

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Před 2 lety +4

    Wamasai tuko bright sana! Big up

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 Před 2 lety +4

    Mtu mwenye uzoefu wa madini anitafute nimpeleke sehemu privet yenye madini mbalimbali akifanikiwa asinisahau.

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 Před 2 lety +1

    Hongera sana

  • @musason1680
    @musason1680 Před 2 lety +4

    Na unavomwona hajawahi haya kuwaza kumiriki siraha 😂😂 lakn mm sina hata m5 nawaza tureg na kuwa na mkuu wa kuku kweli vijana tuna ujinga mwingi.

  • @amaniomballa1855
    @amaniomballa1855 Před 2 lety +2

    Huyu jamaa ana Elimu ya u professor lakn usikute kaishia darasa la saba kila kitu anacho ongea ni content..kwa kifupi ukitaka kuiona pesa iliyo ingia usibadilishe matumizi wala kuongeza matumizi invest.

    • @paullekunka2339
      @paullekunka2339 Před rokem

      Kaishia lasaba lakini ana akili nyingi kama mtu aliye na phd

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 2 lety +4

    Mzungu huwez kumtukana katika hii dunia mana wao ndo wnatupambañua akir Nashangaa mwendazake

    • @lastgospel706
      @lastgospel706 Před 2 lety

      Pole sana manake umelala mno na unaota.ivi ww unawajua wazungu walivo wanyonyaji ww au unabwata tu

    • @joycekombe7052
      @joycekombe7052 Před 2 lety

      @@lastgospel706 kayachukue wewe hayo madini uyachakate kama una akili kuzid hao wazungu

  • @methodmwenda1373
    @methodmwenda1373 Před 2 lety +5

    jamaa akili kubwa sana kwa majibu anayotoa

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Před 2 lety

    Safi sana.

  • @IBENGM
    @IBENGM Před 2 lety +3

    Mkipata nafasi ya kuongea na hawa wachimbaji waliofanikiwa muwe mnaandaa/mnauliza maswali ya maana!

  • @kanzimili66
    @kanzimili66 Před 2 lety

    uko sawa

  • @jumakhalid5554
    @jumakhalid5554 Před rokem

    Umepigwa

  • @jacquelinegideon1122
    @jacquelinegideon1122 Před 2 lety

    Laizer yuko Bravo sana👏👏

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 Před 2 lety +2

    Daah huyu jamaa ni kichwa sana yani majibu yake yamenyooka

  • @demycratia2567
    @demycratia2567 Před 2 lety +3

    Tafuta mteja kutoka ITALY WANANUNUA SANA KWA AJILI YA TILES NA MAtumixi ya kukupa nguvu MWILINI na katika Bible ruby hitajwa kuwa na DHAMANI Sana Kwa binadi

    • @demycratia2567
      @demycratia2567 Před 2 lety

      Hivi HAO vijana walio wapa mimba wanafanywa niniii

  • @janemhango5884
    @janemhango5884 Před 2 lety +3

    Leo amebadilika kwavile amevaa shati

    • @IBENGM
      @IBENGM Před 2 lety

      Usije kuwa unamchanganya na Saniniu Laizer

    • @judithmmari6316
      @judithmmari6316 Před 2 lety

      unamchanganyaa na saniniu laizer

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 Před 2 lety

    Bilious gani mnyonge ivi aisee

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 Před 2 lety +1

    Tangu awe billionea ameacha kuvaa mashuka😁😁

    • @babengarutta44
      @babengarutta44 Před 27 dny

      huyu ni mwingine wapo laizer wawili tofauti huyu ni wa rubi yule mwingine wa tanzanite

  • @saidhamad9723
    @saidhamad9723 Před 2 lety +4

    Jamaa umezungumza maneno yenye akili ..wengi wakipata pesa wanatak kuji show kwa watu km wamepata lkn ww upo na fikra tofaut ukipata unata ku invest zaid ..congrat ni bilinionea wa fikra pia

  • @imanmodern
    @imanmodern Před 2 lety +1

    First to comment ✔️

  • @jamesmlokozi3545
    @jamesmlokozi3545 Před 2 lety +1

    Naomba mawasiliano yake Godfrey

  • @mcback4384
    @mcback4384 Před 2 lety +4

    Hilo gari kwa huo mwaka ulionunua na hata 2040 halitakaa liwe million 20 wamekupiga mzee wangu halafu wamekuuzia gari bila tairi aisee watu wahuni, isijekua na kwenye hayo madini wanakupiga hivyo

    • @TheBastarrrd
      @TheBastarrrd Před 2 lety

      Dah nimeshtuka pia man😂😂

    • @paulokiruwa9879
      @paulokiruwa9879 Před rokem

      Ndio bei yake hiyo mpumbavu wewe ukinunua gari mpya lazima ubadilishe tairi

  • @vononlinetv6396
    @vononlinetv6396 Před 2 lety +1

    I think I am one of his Kids

  • @barakanestory7366
    @barakanestory7366 Před 2 lety +4

    😂😂😂😂😂😂 mahela ya dawa hayo unamabilion ya pesa unatumia Noah aaaaah hayo ni mahera ya dawa kabisa usituambie kitu nyinge aisee daaah 😓😓😓😓

    • @devothasimbi1055
      @devothasimbi1055 Před 2 lety

      Ndio hayo uliyoyajaza moyoni mwako

    • @jacksontulito864
      @jacksontulito864 Před 2 lety +1

      Hiyo ndiyo fikra zako. Huyu ni kichwa anasaidia jamii anasomesha yatima na hiyo ndiyo matumizi ya fedh sio magar na wanawake

    • @frankmtei3017
      @frankmtei3017 Před 2 lety

      Kwani noa sio gari?

    • @saraphinajoely7047
      @saraphinajoely7047 Před 2 lety +2

      Tusikulaumu ndouwezo wako wakuwaza

    • @ndiiyolazaro4274
      @ndiiyolazaro4274 Před 2 lety

      Fikra za kimasikini hayo🤣🤣🤣acha ujinga utakufa maskin

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 2 lety +1

    Muulize katumia gharama kiasi gn mpaka kapata b3 mana hata ukuta kashindwa kujenga

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 Před 2 lety +4

    Ukiwa unapesa akili wanakupa watu tu yaani utaskia tu jamaa ana akiliii,tafuta hela ndugu yangu akili itakuja kutoka kwa wanaokuzunguka

  • @kennethdc2577
    @kennethdc2577 Před 2 lety +1

    Jamaa ana akili sana yani saf sana kwake

  • @samaboy2592
    @samaboy2592 Před 2 lety

    Aisee pesa inajeuri sana

  • @stevenminja8628
    @stevenminja8628 Před 2 lety +2

    Laizer anatumia landcruiser lx mwaka juzi alinunua kwa kijana anaitwa frank

  • @tranchescoanthony2509
    @tranchescoanthony2509 Před 2 lety

    Wakina laizer,,,balaaa

  • @udakutv6973
    @udakutv6973 Před 2 lety

    HARMONIZE KWISHA HABARI YAKE
    czcams.com/video/Toldeu_VYtg/video.html
    czcams.com/video/Toldeu_VYtg/video.html
    czcams.com/video/Toldeu_VYtg/video.html

  • @macksonmagambo2197
    @macksonmagambo2197 Před 2 lety +2

    Mbona n kina laizer daily...kunanini ndan yao ...

  • @rinaldaoman7892
    @rinaldaoman7892 Před 2 lety +1

    Siyo kweli anatumika.huyo. yanaibiwa wanampa ili waie wagawane

  • @pastormzirayofficial2048

    Jesus

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 Před 2 lety +2

    Ruby hutumika kutengeneza vito vya thamani,urembo kama pete,hereni,mikufu n.k.Pia hutumia kiroho katika kumfanya mtu afurahie maisha. Mfano huimarisha afya ya akili ki imani.

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 Před 2 lety +1

    Pesa humfuata mwenye pesa

  • @mabenzimabenzi4348
    @mabenzimabenzi4348 Před 2 lety

    SAhv kawa kijana af hata shuka kaacha kuvaa

  • @aminamtikaonlinetv7305
    @aminamtikaonlinetv7305 Před 2 lety +2

    Laizer unatuambia kuwa huwezi kuwa na kitu kimoja ni sawa kabisa,
    He ktk mahusiano nayo imekaaje hiyo?maoni yenu ndugu wasikilizaji

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 Před 2 lety

    SHUKA liko wapi?

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton7760 Před 2 lety

    Nilikuwa naitwa mwakajoka mwambipile, kwa sasa naitwa Laizer Thomas, potelea mbali...

  • @placidiasilvanus9113
    @placidiasilvanus9113 Před 2 lety

    N kwel hatujui ndo maana uchumi co mzr

  • @ramadhanjuma5526
    @ramadhanjuma5526 Před 2 lety +4

    Licha ya kuwa billionea, jamaa ana contexts kwenye brain 🧠🧠🧠...

  • @alexprotas40
    @alexprotas40 Před 2 lety

    Nimeamini Tajiri ajionyeshi

  • @thehunter5920
    @thehunter5920 Před 2 lety +4

    Na wala haringi

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 Před 2 lety +1

    Kwenye kununua hili gar walimuibia

  • @dille_td
    @dille_td Před 2 lety

    huyu nae au anayatengeneza mbona anapata yeye tu

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 Před 2 lety +1

    Mbona kina laiza tu ndo wanaonekana
    Mbona wingingehawaonekan wiz mwingi

  • @aminaj.mkwizu2497
    @aminaj.mkwizu2497 Před 2 lety

    Ana akili mingii sanaaa

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 Před 2 lety +1

    Pesa nzur jamaa katakata

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 Před 2 lety +1

    Kwahyo huyu ni ndugu wa saniniu laizer?

  • @jumaharuna9899
    @jumaharuna9899 Před 2 lety

    Jaman ni madini yake yote Yale ??

  • @perfectchoiceenterprises

    Huyu mwamba ni kichwa

  • @berthandollo3227
    @berthandollo3227 Před 2 lety

    Hatutokee Naye tushamchoka . Na nyie hayo tv

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 Před 2 lety +1

    Ndioo nimungu kapanga

  • @eugenejr.8844
    @eugenejr.8844 Před 2 lety

    Business Mentality. No Lucky!

  • @phillipmatola6964
    @phillipmatola6964 Před 2 lety

    🤣🤣🤣Watu wananiomba hela....

  • @janemapoz6360
    @janemapoz6360 Před 2 lety

    Uwiiii czcams.com/video/wxfTfu0_S6U/video.html