MTOTO wa Bilionea LAIZER Afunguka Mjengo na Utajiri wa Baba Yake ''Baba ni Zaidi ya DIAMONDI''

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 06. 2020
  • MTOTO wa Bilionea LAIZER Afunguka Mjengo na Utajiri wa Baba Yake ''Baba ni Zaidi ya DIAMONDI''
    Global Tv imfanikiwa kufanya mahojiano na mtoto wa nne wa bilionea Laizer ambaye anafahamika kama Emmanuel Laizer, ambaye ameelezea namna ambavyo wamefanikiwa kuishi kwa amani na upendo ndani ya nyumba hiyo wakiwa na mama wanne na watoto 30....
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 428

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 4 lety +91

    Asante kijana kwa kusema mtatafuta za kwenu uko smart sana unaakili sana Mungu akutangulie🙏

    • @reeky7452
      @reeky7452 Před 4 lety +2

      Kweli as Watoto tusije kutegemea Mali za wazazi wetu Bali kutegeme a kuwezeshwa na jamii

    • @emanuelmayegga1095
      @emanuelmayegga1095 Před 4 lety

      God be with u always

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa5444 Před 4 lety +6

    Huyu mtoto is very bright ana upeo wa juu sana salute to him, billion hazimhusu kwa sasa amenena point sana

  • @kiariedavid8370
    @kiariedavid8370 Před 4 lety +54

    kumcha Mungu muhimu sana

  • @florakimath7144
    @florakimath7144 Před 4 lety +8

    Huyu laizer Mungu anambariki kwasababu anatimiza wajibu km baba wa familia yaan had rahaa na Mungu azidi kumpa uelewa aweze kutumia pesa zake vzr🤗🤗🤗

  • @fatmasule1175
    @fatmasule1175 Před 4 lety +23

    Mungu kambariki Mali watoto na wake amjalie amjalie Iman na kufanya ibada kumkumbuka mungu wake

  • @HamiduChamboko
    @HamiduChamboko Před 4 lety +36

    Nimependa sana tamaduni ya kimasai hata wapate mpunga .utamuduni hawautupi.ndio maana wanabarikiwa

    • @juliusmwambulukutu301
      @juliusmwambulukutu301 Před 4 lety +1

      Hata mzee mwenyewe ni mpole hana makeke anajieleza kwa upole, amemlandisha mtoto wake, mungu awalinde kwani kupata kwao ni kupata kwetu watanzania.

  • @georgebushmissg2830
    @georgebushmissg2830 Před 4 lety +26

    We kijana nimekupenda ila kwa jinsi ulivyo na hekima

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 Před 4 lety +91

    Lakini huyo jamaa Laizer yupo vizuri toka mwanzo.

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 Před 4 lety +86

    Duuu kumbe huyu baba ni tajiri tokea mwanzo kwa hiyo utajiri umeongezeka zaidi Mungu azidi kumlinda baba huyu dhidi ya watu wabaya.

  • @vero57
    @vero57 Před 4 lety +1

    Mzee laizer hongera sana, mungu anazidi kuku ongezea kwani unaangalia FAMILIA yako vizuri sana, kuna watu WENGINE hawajui hata watoto wao wana kaa, kula vaa , elimu wapi, na wanazaa kila MAHALI

  • @amo9579
    @amo9579 Před 4 lety +2

    A very articulate bright and focused young gentleman

  • @kelvinmchau8815
    @kelvinmchau8815 Před 4 lety +69

    HUYU mtoto HEKIMA IPO nahic MZEE ANAJUA SANA KULEA

    • @SunsetHunter4526
      @SunsetHunter4526 Před 4 lety +7

      Dogo anajuaa hata kujieleza na nmependa zaidi anakwambia hiyo hela niya Baba na mipango yake anaweza nipa au asinipe natakiwa kutafuta yangu

    • @safarimallya4536
      @safarimallya4536 Před 4 lety +2

      Nimemwelewa sana

    • @amiriramadhan7753
      @amiriramadhan7753 Před 4 lety

      @@SunsetHunter4526 sana mzee mwana nimemuelewa sana

  • @petersonshaezra1135
    @petersonshaezra1135 Před 4 lety +13

    Pesa imeenda kwa mwenye pesa bn hii imeenda kwake, jamaa yuko vizur tangu mwanzo kumbe, malezi ya watot pia ya kipekee sana fact

  • @bimsinani5944
    @bimsinani5944 Před 4 lety +37

    Maashallah apewae ndio aongezwaye allah ibarik

  • @angelinamkingi8164
    @angelinamkingi8164 Před 4 lety +66

    Hela imeenda kwa mwenyewe hela.

  • @aminaally242
    @aminaally242 Před 4 lety +46

    Pesa bwana yani huyo dogo kaingia kwenye gari kaliwasha kisha kaondoka

    • @ropedwai5118
      @ropedwai5118 Před 4 lety +1

      Kaenda kufungua get I😁😁😁

    • @patrickmadiwa3845
      @patrickmadiwa3845 Před 4 lety

      Umekuumaee!!!!! Poleeeeee!!!

    • @chambuvichambuvi4318
      @chambuvichambuvi4318 Před 4 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @nurudovino288
      @nurudovino288 Před 4 lety

      😂😂😂😂🤣🤣💃

    • @bushstriker1161
      @bushstriker1161 Před 4 lety +5

      Kawaida gari ikikaa muda mrefu japo masaa 12 na hasa ikiwa sehemu za baridi inatakiwa uiwashe na uipe muda kidogo kabla ya kuondoka. Tatizo wengi wetu tunatumia vitu ndivyo sivyo hivuo kuharibika inakuwa mara kwa mara

  • @syekiwaryoba2514
    @syekiwaryoba2514 Před 4 lety +79

    Kama kuna mtu kaona dogo anawasha ndinga tia like

  • @nasranassor6796
    @nasranassor6796 Před 4 lety +1

    Masha,allah

  • @bukurur.jeandedieu6688
    @bukurur.jeandedieu6688 Před 4 lety +5

    His son will be a billionaire 2 in another way. I can hear him in this interview, he is intelligent and very simple son.

    • @amo9579
      @amo9579 Před 4 lety

      He is very calm and relaxed like the money does not excite him

    • @bukurur.jeandedieu6688
      @bukurur.jeandedieu6688 Před 4 lety

      @@amo9579 You got it 2. He is very calm and more relaxed

    • @petal8776
      @petal8776 Před 4 lety +1

      I agree with you

  • @mcyudasicqo9610
    @mcyudasicqo9610 Před 4 lety +8

    Kwa mijengo hiyo MZEE alikuwa na mavumba long time

  • @nasranassor6796
    @nasranassor6796 Před 4 lety +1

    Allah barik

  • @patricknamangoa3478
    @patricknamangoa3478 Před 4 lety

    May God keep blessing your family.Amen.

  • @aishaabdi5637
    @aishaabdi5637 Před 4 lety

    Mashaallah mashaallah mashaallah.... Umeongea vizuri sana mungu akuongoz kila hatua

  • @beatricemshiu2816
    @beatricemshiu2816 Před 4 lety +12

    Duuh Mzee anamiliki kijiji😊

  • @BrittonaturalistvlogsUSA2024

    When God blesses you no one can stop it .
    God blessed them 🙏 .
    One day you and me will be blessed by God so let us wait for that blessing. Let us not be discouraged.

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 4 lety +6

    Mwenye nacho Mungu humuongezea jaman msikatae

  • @ramsikhamis7083
    @ramsikhamis7083 Před 4 lety +4

    Mm nimependa ilivyotekenywaa apoo pemben Mkonge nakuitikiaa,,,👊,,,kiufupii wandugu mwenye nacho siku zote uongewaa 🙏

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 Před 4 lety +9

    Unaakili Sana

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 Před 4 lety +2

    Wabongo walikuwa hawa juu maisha yako toka mwanza! Yaani kila mtu akawa anaongea lake! Anyway mtoto kichwani zimo! Elimu imesimama kifupi unajielewa! Big up!

  • @fridamapundasafi1862
    @fridamapundasafi1862 Před 4 lety +28

    Wamasai wasomi

  • @amanichanga3448
    @amanichanga3448 Před 4 lety +1

    Mashaallah

  • @deodartngaiza6664
    @deodartngaiza6664 Před 4 lety

    Thank u Columba for the best Tanzanian billionaire's family representative landscape. 👍👍👍👍

  • @lydiamuli3328
    @lydiamuli3328 Před 4 lety +2

    Dah! Kijana huyu ana hekima.kweli.yani anajibu.vizuri
    Hizo nyumba bila shaka uyu nitajiri tangu zamani

  • @SefrozaMafuru
    @SefrozaMafuru Před 4 lety +7

    Hmmh ndo maana hakushoboka aiseee🙌🙌

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 Před 4 lety +37

    Hela inaenda kwenye hela daaa

    • @magiehermess9949
      @magiehermess9949 Před 4 lety +1

      Kabisaa uko na point

    • @hermanntahilaja8929
      @hermanntahilaja8929 Před 4 lety

      @@magiehermess9949 ,w

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 4 lety +1

      Ndio maanake

    • @jarsaduba2626
      @jarsaduba2626 Před 4 lety

      Imani potovu sema Mwz Mungu kampa omba na wewe utapewa

    • @mossymtwana6422
      @mossymtwana6422 Před 4 lety

      Biblie inasema mwenye nacho ataongezewa na asie nacho hata kile kidogo alichonacho atapokonywa. Lakini mimi nakataa kwa Jina la Yesu Kristo haitotokea kwenye familia yangu natengua tutaongezewa tu nasimama na Imani hiyo na Baba yetu aliyembinguni amesikia na atatenda sio kwangu tu kwa kila mmoja atakaesoma

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Před 4 lety +1

    Safi

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Před 4 lety +1

    Hongera sana kijana unaonyesha umelelewa vizuri

  • @rajabusuleman5111
    @rajabusuleman5111 Před 4 lety +1

    Hongera kwa family ya bwana layzer
    Mwez mung awalinde nakuwatangulia
    Amen

  • @johnpapaking1497
    @johnpapaking1497 Před 4 lety +1

    Hongera mtangazaji uko vizuri

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 4 lety +1

    Mashallah, mtoto yuko vizuri kujibu.

  • @fabianmzazi3165
    @fabianmzazi3165 Před 4 lety

    Hongela

  • @ismailmsuya5129
    @ismailmsuya5129 Před 4 lety +55

    Diamond anahusikaje hapo sasa,professional ya uandishi wenu ovyo kabisa

    • @ALOYCE007
      @ALOYCE007 Před 4 lety +1

      Sindio nashan'gaaa

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 Před 4 lety

      Hapo ndo unaweza kujua jinsi majitu ya media yanavyomchukia diamond kwa sabab ya mafanikio yake! Anyway, platinum lazima aelee kwenye mabichwa yao hata kama hawataki

    • @claudiangowi9585
      @claudiangowi9585 Před 4 lety

      😂😂😂😂😂😂

    • @nasraponera3981
      @nasraponera3981 Před 4 lety

      Jomba kumbe umeona hiyo

    • @hassaninkoja284
      @hassaninkoja284 Před 4 lety

      Kwani wewe unaumia Diamond ni babaako

  • @mabyserolouchcraig2431

    Your smart😚

  • @doramkolo1745
    @doramkolo1745 Před 4 lety +2

    Dogo nimependa....yani hapo kwenye tutatafuta vya kwetu...hivyo vya familia safi sanaaaaaa

  • @drysonmoses7179
    @drysonmoses7179 Před 4 lety

    Hongeraa zaoo

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Před 4 lety +24

    Pesa ni kama maji,yanafuata mkondo
    Hayapandagi mlima
    Ha ha haaaaaa

  • @yehosakitelanya4855
    @yehosakitelanya4855 Před 4 lety +1

    Jamani

  • @chrissackland5369
    @chrissackland5369 Před 4 lety

    Ninachowapenda Mnajitahidi Sana Kutuhabarisha Asante sana Mko Juu

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 Před 4 lety

    Kwa kweli ni majaaliwa ya M.mungu.
    M.mungu awabariki sana 🙏🏻

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Před 4 lety +1

    Kijana ana hekima...hela ni ya baba na mama zetu..baba atulea ktk malezi mazuri na anatusisitiza kumcha Mungu...

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 Před 4 lety +20

    Hawa wanawake,walikuwa wanazaa kwa kushindana.😂😂😂😂

  • @jifunzekusamehe4527
    @jifunzekusamehe4527 Před 4 lety

    Good

  • @ramaabuu7625
    @ramaabuu7625 Před 4 lety

    Safi sana

  • @maryammct3967
    @maryammct3967 Před 4 lety +1

    Mashallah aallah mzudishiye barka

  • @mwenjewambugu7319
    @mwenjewambugu7319 Před 4 lety

    Hongera!!!!!!!

  • @sultanm9166
    @sultanm9166 Před 4 lety

    Hugo mzee ana mungu azindi Hat a kumuongezea amesema families yake poa sana na ndio Hat a mungu amemjalia kupata hizo pesa.hongela mzee Hat a ingekua wa huko kwenyu ningetamani unioe pia angalao nikue kwa hio familia nimeipenda tu sana

  • @indiatredings7005
    @indiatredings7005 Před 4 lety +1

    Wow even before he was not poor having such a mansion

  • @epafrangweshemi4014
    @epafrangweshemi4014 Před 4 lety

    Kumcha Mungu ni chanzo cha marifa. Like father like son. Hawana wasiwasi wala mashaka.

  • @inathimid9979
    @inathimid9979 Před 4 lety

    Hongereni sana

  • @rosechuwa8419
    @rosechuwa8419 Před 4 lety +1

    Jamaa ana jua kuuliza

  • @ashleymussa2027
    @ashleymussa2027 Před 4 lety

    Umetisha bba

  • @sakayonsakihunga3496
    @sakayonsakihunga3496 Před 4 lety +21

    Huyo hakua maskini hata kabla ya hizo B kwa mijengo hio nisawa na diamond kuongeza mtoto

    • @boylondontztz920
      @boylondontztz920 Před 4 lety +1

      Kabisa aisee yaan hapo tajir kaongezewa pesa aisee huon madogo wenyewe wanatembelea cruiser kama ya serikal wanashida gan sasa

    • @dalancydevin4302
      @dalancydevin4302 Před 4 lety

      @@boylondontztz920 😁😁

  • @naimaseleman6868
    @naimaseleman6868 Před 4 lety

    Mashaallah ana mtoto

  • @hassansaid9925
    @hassansaid9925 Před 4 lety

    Kumbe huyu jamaa alikuwa na vihele hela tangu kabla,, hongera zake bhana

  • @hassanbinally7127
    @hassanbinally7127 Před 4 lety +25

    Hutu mzee anahela toka mwanzo hizi zimekuja tu kumpa umaarufu

  • @vanessajames1567
    @vanessajames1567 Před 4 lety +3

    Sasa Diamond amehusikaje hapo hata hivyo jamaa noma watoto 30 🙌🙌

  • @dianaamon9844
    @dianaamon9844 Před 4 lety +1

    Mmh kumbe ana hela kitambo tu.. Ndio maana wanasemaga wenye nacho huongezewa..😊

  • @sultanm9166
    @sultanm9166 Před 4 lety +1

    He deserve the money .he is a good husband and a good father.wish he can marry me and build me a beautiful house like those he has built for those wife's.hongela baba

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 Před 4 lety +2

    Pesa inaenda kwenye pesa,ukishapewa hakuna wa kuzuia

  • @virginiamutisya6216
    @virginiamutisya6216 Před 4 lety

    This man is rich the house waaa

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 Před 4 lety

    Mzee analea wtt wake kwa maadali Mazur sana alafu mzee yupo vizur yani anafanana na watot wake u smart

  • @amaniomballa1855
    @amaniomballa1855 Před 4 lety +14

    Mung katuambia kuhusu ridhiki yeye ndiye mtoajii na tusi haribu vizazi vyetu kwa kuwa tupa watoto wetu au kutoa mimba hap ndio maandiko yana timia mzee ana watoto 30 na wote wanna ishi vizuri na mpunga unaongezeka..

  • @rayanaabdallah473
    @rayanaabdallah473 Před 4 lety

    Jamaaa maisha mazuri toka zamani

  • @cipyen
    @cipyen Před 4 lety +3

    MAONI YANGU: Kijana ana hekma, hongera Laizer.

  • @mabujuma1215
    @mabujuma1215 Před 3 lety

    nakukubali

  • @mangalilikilawe6788
    @mangalilikilawe6788 Před 4 lety

    Miss Andrea standing

  • @ngalamasilongoi5834
    @ngalamasilongoi5834 Před 2 lety

    hongeren baba laisa na family's yako

  • @yusuphmkapa5302
    @yusuphmkapa5302 Před 4 lety

    Watoto wawili wanakutoa jasho je 30 VIP hongera Sana we nijembe sana nimwanaume washoka

  • @sadikimwalongo7871
    @sadikimwalongo7871 Před 4 lety

    Du mzee amewalea watoto vizuri sana

  • @hassansaid9925
    @hassansaid9925 Před 4 lety +4

    Nimekosea katika kusema comment yangu si alikuwa na viela bali pesa nyingi na alishakuwa tajiri kabisa kaongezewa tu,,,

  • @sannysansannie1275
    @sannysansannie1275 Před 3 lety

    🤗❣️

  • @careencharlescharles9749
    @careencharlescharles9749 Před 4 lety +1

    da yuko vizur

  • @nurumanyota416
    @nurumanyota416 Před 4 lety

    Ni handsome mzee laizer

  • @olepusindawamiagie1092

    Umetisha coromba the babas wa global tv

  • @enriquechatilah8246
    @enriquechatilah8246 Před 4 lety

    Duh mzee yuko vizuri toka mda kumbe ndomana alikuwa ana ata presha

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 Před 4 lety +1

    Huyu baba tangu🙏mwanzo tajili

  • @pacifiquerema2347
    @pacifiquerema2347 Před 4 lety +1

    Ivi Tz hamjikubali????everything turns around Diamond?????

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 Před 4 lety

    Duh aisee hongereni na maisha matam

  • @abdallahhamza9689
    @abdallahhamza9689 Před 4 lety +5

    Mwenyenacho huongezewa

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 Před 4 lety

      Ameobgezewa kwa sababu ametii amri ya Mungu
      "Enendeni mkaujaze ulimwengu"
      Kama una mke 1 watoto 2,basi utaoewa kiasi chako
      Ha ha ha haaaaaaa

  • @michaelsukwa4371
    @michaelsukwa4371 Před 4 lety

    Kijana kaongea vizuri sana

  • @sauwahambaraka8480
    @sauwahambaraka8480 Před 4 lety

    Kjana yupo vzr sana kwenye kujibu maswal

  • @caromwende4374
    @caromwende4374 Před 4 lety +1

    Kuleni rahaa

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 Před 4 lety +2

    Yaaaaani huyu kak jamani nakupenda unaakili😃😃🏃‍♀️

  • @hamisahillary8615
    @hamisahillary8615 Před 4 lety

    Noma noma yuko vizur

  • @kumulwa
    @kumulwa Před 4 lety

    Huyu mtangazaji kauliza suali lakipumbavu Sana eti Dimond na huyu mzee wa kimasai Nani handsome

  • @adelinaadoloph5311
    @adelinaadoloph5311 Před 4 lety

    Big up mtangazaji

  • @rachelielias2996
    @rachelielias2996 Před 4 lety

    Mzee yuko vzr sana

  • @rachelielias2996
    @rachelielias2996 Před 4 lety +1

    Et dimond jaman

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 Před 4 lety +1

    👍🏾😊

  • @bshemweta3944
    @bshemweta3944 Před 4 lety

    Kula lomoni gonga like mazee