MTOTO wa Bilionea LAIZER Afunguka Mjengo na Utajiri wa Baba Yake ''Baba ni Zaidi ya DIAMONDI''
Vložit
- čas přidán 25. 06. 2020
- MTOTO wa Bilionea LAIZER Afunguka Mjengo na Utajiri wa Baba Yake ''Baba ni Zaidi ya DIAMONDI''
Global Tv imfanikiwa kufanya mahojiano na mtoto wa nne wa bilionea Laizer ambaye anafahamika kama Emmanuel Laizer, ambaye ameelezea namna ambavyo wamefanikiwa kuishi kwa amani na upendo ndani ya nyumba hiyo wakiwa na mama wanne na watoto 30....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Asante kijana kwa kusema mtatafuta za kwenu uko smart sana unaakili sana Mungu akutangulie🙏
Kweli as Watoto tusije kutegemea Mali za wazazi wetu Bali kutegeme a kuwezeshwa na jamii
God be with u always
Huyu mtoto is very bright ana upeo wa juu sana salute to him, billion hazimhusu kwa sasa amenena point sana
kumcha Mungu muhimu sana
Huyu laizer Mungu anambariki kwasababu anatimiza wajibu km baba wa familia yaan had rahaa na Mungu azidi kumpa uelewa aweze kutumia pesa zake vzr🤗🤗🤗
Mungu kambariki Mali watoto na wake amjalie amjalie Iman na kufanya ibada kumkumbuka mungu wake
Nimependa sana tamaduni ya kimasai hata wapate mpunga .utamuduni hawautupi.ndio maana wanabarikiwa
Hata mzee mwenyewe ni mpole hana makeke anajieleza kwa upole, amemlandisha mtoto wake, mungu awalinde kwani kupata kwao ni kupata kwetu watanzania.
We kijana nimekupenda ila kwa jinsi ulivyo na hekima
Lakini huyo jamaa Laizer yupo vizuri toka mwanzo.
YEAH my sister jamaa HELA ANAYO SO HIZI BILLIONS hazita mchanganya sana
Apewaye ndo aengezwaye
@@menalikechildren8836 Hivo ndivo ilivo, penye fungu ndio huongezwa. kama hakuna fungu huwezi kuongeza.
Farris Ikrimah lollllopppppl
Yhasinta Kalenyula
Duuu kumbe huyu baba ni tajiri tokea mwanzo kwa hiyo utajiri umeongezeka zaidi Mungu azidi kumlinda baba huyu dhidi ya watu wabaya.
Aamiin
Ndo maana hana mchecheto na bilioni hizo. Darasa la saba lkn natumai atafanya makubwa zaidi
huyu baba biashara ya nadini yamemtajirisha mno
mwenye nacho uongezewa
Amiin
Mzee laizer hongera sana, mungu anazidi kuku ongezea kwani unaangalia FAMILIA yako vizuri sana, kuna watu WENGINE hawajui hata watoto wao wana kaa, kula vaa , elimu wapi, na wanazaa kila MAHALI
A very articulate bright and focused young gentleman
HUYU mtoto HEKIMA IPO nahic MZEE ANAJUA SANA KULEA
Dogo anajuaa hata kujieleza na nmependa zaidi anakwambia hiyo hela niya Baba na mipango yake anaweza nipa au asinipe natakiwa kutafuta yangu
Nimemwelewa sana
@@SunsetHunter4526 sana mzee mwana nimemuelewa sana
Pesa imeenda kwa mwenye pesa bn hii imeenda kwake, jamaa yuko vizur tangu mwanzo kumbe, malezi ya watot pia ya kipekee sana fact
Maashallah apewae ndio aongezwaye allah ibarik
1
Aaaa
A
Hela imeenda kwa mwenyewe hela.
Kwakweli
Ndo maana huyu baba yuko kawaifa na hana wasiwasi, alisha izoea pesa siku nyingi. Hatahizo anaziona poa tu.
🤣🤣
Ndiyo maana hata maandiko yamesema aliye nacho ataongezewa kwakweli.Duuu!
Pesa bwana yani huyo dogo kaingia kwenye gari kaliwasha kisha kaondoka
Kaenda kufungua get I😁😁😁
Umekuumaee!!!!! Poleeeeee!!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂🤣🤣💃
Kawaida gari ikikaa muda mrefu japo masaa 12 na hasa ikiwa sehemu za baridi inatakiwa uiwashe na uipe muda kidogo kabla ya kuondoka. Tatizo wengi wetu tunatumia vitu ndivyo sivyo hivuo kuharibika inakuwa mara kwa mara
Kama kuna mtu kaona dogo anawasha ndinga tia like
Dogo katuoshea
kaliwasha mwanangu dah
Masha,allah
His son will be a billionaire 2 in another way. I can hear him in this interview, he is intelligent and very simple son.
He is very calm and relaxed like the money does not excite him
@@amo9579 You got it 2. He is very calm and more relaxed
I agree with you
Kwa mijengo hiyo MZEE alikuwa na mavumba long time
Allah barik
May God keep blessing your family.Amen.
Mashaallah mashaallah mashaallah.... Umeongea vizuri sana mungu akuongoz kila hatua
Duuh Mzee anamiliki kijiji😊
When God blesses you no one can stop it .
God blessed them 🙏 .
One day you and me will be blessed by God so let us wait for that blessing. Let us not be discouraged.
Mwenye nacho Mungu humuongezea jaman msikatae
Mm nimependa ilivyotekenywaa apoo pemben Mkonge nakuitikiaa,,,👊,,,kiufupii wandugu mwenye nacho siku zote uongewaa 🙏
Unaakili Sana
Wabongo walikuwa hawa juu maisha yako toka mwanza! Yaani kila mtu akawa anaongea lake! Anyway mtoto kichwani zimo! Elimu imesimama kifupi unajielewa! Big up!
Wamasai wasomi
Mashaallah
Thank u Columba for the best Tanzanian billionaire's family representative landscape. 👍👍👍👍
Dah! Kijana huyu ana hekima.kweli.yani anajibu.vizuri
Hizo nyumba bila shaka uyu nitajiri tangu zamani
Hmmh ndo maana hakushoboka aiseee🙌🙌
Hela inaenda kwenye hela daaa
Kabisaa uko na point
@@magiehermess9949 ,w
Ndio maanake
Imani potovu sema Mwz Mungu kampa omba na wewe utapewa
Biblie inasema mwenye nacho ataongezewa na asie nacho hata kile kidogo alichonacho atapokonywa. Lakini mimi nakataa kwa Jina la Yesu Kristo haitotokea kwenye familia yangu natengua tutaongezewa tu nasimama na Imani hiyo na Baba yetu aliyembinguni amesikia na atatenda sio kwangu tu kwa kila mmoja atakaesoma
Safi
Hongera sana kijana unaonyesha umelelewa vizuri
Hongera kwa family ya bwana layzer
Mwez mung awalinde nakuwatangulia
Amen
Hongera mtangazaji uko vizuri
Mashallah, mtoto yuko vizuri kujibu.
Hongela
Diamond anahusikaje hapo sasa,professional ya uandishi wenu ovyo kabisa
Sindio nashan'gaaa
Hapo ndo unaweza kujua jinsi majitu ya media yanavyomchukia diamond kwa sabab ya mafanikio yake! Anyway, platinum lazima aelee kwenye mabichwa yao hata kama hawataki
😂😂😂😂😂😂
Jomba kumbe umeona hiyo
Kwani wewe unaumia Diamond ni babaako
Your smart😚
Dogo nimependa....yani hapo kwenye tutatafuta vya kwetu...hivyo vya familia safi sanaaaaaa
Hongeraa zaoo
Pesa ni kama maji,yanafuata mkondo
Hayapandagi mlima
Ha ha haaaaaa
😂😂😂kwa kwl
Jamani
Ninachowapenda Mnajitahidi Sana Kutuhabarisha Asante sana Mko Juu
Kwa kweli ni majaaliwa ya M.mungu.
M.mungu awabariki sana 🙏🏻
Kijana ana hekima...hela ni ya baba na mama zetu..baba atulea ktk malezi mazuri na anatusisitiza kumcha Mungu...
Hawa wanawake,walikuwa wanazaa kwa kushindana.😂😂😂😂
😂😂😂😂
😄😄😄😄
Yan mambo ya balance equation 😂 😂 😂
Ila kumbuka mzee alikua kila goli linafanya kazi, hatoi bure
😆😅
Good
Safi sana
Mashallah aallah mzudishiye barka
duuh mkachimbe na nyinyi
Hongera!!!!!!!
Hugo mzee ana mungu azindi Hat a kumuongezea amesema families yake poa sana na ndio Hat a mungu amemjalia kupata hizo pesa.hongela mzee Hat a ingekua wa huko kwenyu ningetamani unioe pia angalao nikue kwa hio familia nimeipenda tu sana
Wow even before he was not poor having such a mansion
Kumcha Mungu ni chanzo cha marifa. Like father like son. Hawana wasiwasi wala mashaka.
Hongereni sana
Jamaa ana jua kuuliza
Umetisha bba
Huyo hakua maskini hata kabla ya hizo B kwa mijengo hio nisawa na diamond kuongeza mtoto
Kabisa aisee yaan hapo tajir kaongezewa pesa aisee huon madogo wenyewe wanatembelea cruiser kama ya serikal wanashida gan sasa
@@boylondontztz920 😁😁
Mashaallah ana mtoto
Kumbe huyu jamaa alikuwa na vihele hela tangu kabla,, hongera zake bhana
Hutu mzee anahela toka mwanzo hizi zimekuja tu kumpa umaarufu
We unafikiri utapata pesa ukiwa huna pesa?
Sasa Diamond amehusikaje hapo hata hivyo jamaa noma watoto 30 🙌🙌
😮
Mmh kumbe ana hela kitambo tu.. Ndio maana wanasemaga wenye nacho huongezewa..😊
He deserve the money .he is a good husband and a good father.wish he can marry me and build me a beautiful house like those he has built for those wife's.hongela baba
Pesa inaenda kwenye pesa,ukishapewa hakuna wa kuzuia
This man is rich the house waaa
Mzee analea wtt wake kwa maadali Mazur sana alafu mzee yupo vizur yani anafanana na watot wake u smart
Mung katuambia kuhusu ridhiki yeye ndiye mtoajii na tusi haribu vizazi vyetu kwa kuwa tupa watoto wetu au kutoa mimba hap ndio maandiko yana timia mzee ana watoto 30 na wote wanna ishi vizuri na mpunga unaongezeka..
Kabisa Dada Riski minal Allah
Riziki √, Ridhiki X,riski X
Jamaaa maisha mazuri toka zamani
MAONI YANGU: Kijana ana hekma, hongera Laizer.
nakukubali
Miss Andrea standing
hongeren baba laisa na family's yako
Watoto wawili wanakutoa jasho je 30 VIP hongera Sana we nijembe sana nimwanaume washoka
Du mzee amewalea watoto vizuri sana
Nimekosea katika kusema comment yangu si alikuwa na viela bali pesa nyingi na alishakuwa tajiri kabisa kaongezewa tu,,,
🤗❣️
da yuko vizur
Ni handsome mzee laizer
Umetisha coromba the babas wa global tv
Duh mzee yuko vizuri toka mda kumbe ndomana alikuwa ana ata presha
Huyu baba tangu🙏mwanzo tajili
Ivi Tz hamjikubali????everything turns around Diamond?????
Duh aisee hongereni na maisha matam
Mwenyenacho huongezewa
Ameobgezewa kwa sababu ametii amri ya Mungu
"Enendeni mkaujaze ulimwengu"
Kama una mke 1 watoto 2,basi utaoewa kiasi chako
Ha ha ha haaaaaaa
Kijana kaongea vizuri sana
Kjana yupo vzr sana kwenye kujibu maswal
Kuleni rahaa
Yaaaaani huyu kak jamani nakupenda unaakili😃😃🏃♀️
Nimimi hapa pia mimi nakupenda
Noma noma yuko vizur
Huyu mtangazaji kauliza suali lakipumbavu Sana eti Dimond na huyu mzee wa kimasai Nani handsome
Big up mtangazaji
Mzee yuko vzr sana
Et dimond jaman
👍🏾😊
Kula lomoni gonga like mazee