BILIONEA WA TANZANIA APEWA SHAVU NA RAISI MAGUFULI / ASIMULIA ALIVYO PATA MADINI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 47

  • @oprahsalum8185
    @oprahsalum8185 Před 4 lety +9

    Ni kiongozi gani Afrika anaweza kufanya kama mpendwa raisi wetu alivyofanya Mungu akufunike kwa Damu ya Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo you are extra ordinary we proud of you be blessed

  • @hijjahbintmardhya6613
    @hijjahbintmardhya6613 Před 4 lety +6

    Mmefanya vyema kumpa ulinzi na pia anaitajika ushauri wa matumizi asitumie vibaya mana wenye macho manne wanamtizama Sasa namna watakavyomtumia ila Mwenyezi Mungu atamlinda naatamuelekeza namna ya kutumia kama alivyo mpa Mwenyezi Mungu akulinde kabisa Mashaa llah

  • @benjaminsamangu2647
    @benjaminsamangu2647 Před 4 lety +1

    Mwenyezi Mungu amlinde na ambariki Rais wetu kwa mema aliyoyafanya

  • @khayraatsaidi3801
    @khayraatsaidi3801 Před 4 lety +2

    Maa shaa Allah
    Hongera sana Mungu Akubariki

  • @monicagabriel4388
    @monicagabriel4388 Před 4 lety +8

    Umtangulize mungu kwanza toa moja ya kumi maana nchi na vyote vijazavyo ni Mali ya bwana.

  • @floranjagi6500
    @floranjagi6500 Před 4 lety +1

    Mfano bora wa kuigwa kwa kweli. Mungu ana nguvu zake! Hongera sana Bilionea mpya!

  • @salimmariane4608
    @salimmariane4608 Před 4 lety +3

    Naombaa mchukue nambaa yangu coz wiki ijayoo naamin nitavunjaa zaidii,,,amen🔥🔥🔥

  • @RIZIKISEMUNAOFFICIAL
    @RIZIKISEMUNAOFFICIAL Před 4 lety +1

    Mungu wa mbinguni akutangulie uzitumie vizuri na damu ya Yesu kristu ikufunike na macho ya waaribifu.Mungu mkubwa kweli Mmmmmmmmm🏖🏖🏖🏖🏖

  • @charlesking8252
    @charlesking8252 Před 4 lety +1

    Mungu ni mwema daima

  • @husseinkhalfan9467
    @husseinkhalfan9467 Před 4 lety +5

    MUNGU AKITAKA KUPA HAKUANDIKII BARUA HUKUPA KWA NJIA YAKE MWENYEWE ANAYOJUA.

    • @bilioneamwegole5138
      @bilioneamwegole5138 Před 4 lety

      Kwel na walikiwa wakichimba miaka yote ila kwa sasa na kwa uongoz wa awamu ya 5 pia naipa heshima anaweza kuongoza hamasa kama hizi hazikuwepo kwakwel

  • @zaharaallymwndelezotunatak818

    Mashaallah mungu akuzidishie

  • @marymary6758
    @marymary6758 Před 4 lety +2

    Magufuli nirais aliyetumwa na mungu,zamani walikuwa wananufaika wazungu

  • @saidachimmy8074
    @saidachimmy8074 Před 4 lety +2

    Asante mungu nimemuona baba angu mdogo laizer nilipoteana nae mda mref mwenye no yake naomb nilimc baba angu

  • @petermwantole9433
    @petermwantole9433 Před 4 lety +1

    hakika Biteko nawe ni kiongozi ambaye unaacha alama ,kweli awamu ya tano ni moto,,viva JPM!!

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Před 4 lety +2

    Laizer kam laizer😔😂

  • @marasightings6735
    @marasightings6735 Před 3 lety

    Billionaire Tanzania hio ni shillingi kumi kenya😂

  • @sumayafissoo8327
    @sumayafissoo8327 Před 4 lety +2

    Manyara hoyeee marerani hoyeee

  • @mboweirene9670
    @mboweirene9670 Před 4 lety +2

    Mambo ni🔥🔥

  • @leilamdoe9178
    @leilamdoe9178 Před 4 lety +2

    Kila lakher ktk utumiaji wako wa hizo pesa

  • @nyangigelucas3050
    @nyangigelucas3050 Před 4 lety +2

    Mkulima n mmoja walaji wengi😂😂😂😂

  • @pendomwenda6190
    @pendomwenda6190 Před 4 lety

    Baba Masai naomba ajira

  • @josiaatupele1787
    @josiaatupele1787 Před 4 lety +1

    Daaaa mpunga uo

  • @automotivetz1275
    @automotivetz1275 Před 4 lety +1

    Ambae yupo free tukachimbe

  • @eliahiluka830
    @eliahiluka830 Před 2 lety

    Mambo ya mbinguni waachie wataramu Wa mambo ya rohoni wewe elezea mambo ya Madini usimwambie mtu ataingia mbinguni kwakuwa amesema serikali ichukue kodi yake yote hicho sio kigezo cha kupima MTU kwenda mbinguni maana neno la Mungu linasema kwamba ni vigumu tajiri kuingia mbinguni ni vyepesi ngamia kupenya katika tundu la sindano

  • @eliahiluka830
    @eliahiluka830 Před 2 lety

    Mambi ya mbinguni waachie wachungaji Mtu Wa Madini Biteko wewe elezea mambo ya madini

  • @leahsimba7159
    @leahsimba7159 Před 4 lety

    Mmh

  • @mrsochu7504
    @mrsochu7504 Před 4 lety

    Maskiniii! Kalala maskini kaamka tajiri. Allah akbar😭😭

    • @angelsaidina3111
      @angelsaidina3111 Před 4 lety

      Hahaha ww alikuwanazo huyo ameongezewa2

    • @jagnamohamed6298
      @jagnamohamed6298 Před 4 lety

      Nani kakwambia alikua maskini uyo

    • @no3edward118
      @no3edward118 Před 4 lety

      Huyu alikuwa tajiri tu alisha anza kujenga shule kabla ya yakuwa bilione

  • @princesssway1396
    @princesssway1396 Před 4 lety +2

    Nipeni number ya uyo Tajiri uwii