Ni kiongozi gani Afrika anaweza kufanya kama mpendwa raisi wetu alivyofanya Mungu akufunike kwa Damu ya Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo you are extra ordinary we proud of you be blessed
Mmefanya vyema kumpa ulinzi na pia anaitajika ushauri wa matumizi asitumie vibaya mana wenye macho manne wanamtizama Sasa namna watakavyomtumia ila Mwenyezi Mungu atamlinda naatamuelekeza namna ya kutumia kama alivyo mpa Mwenyezi Mungu akulinde kabisa Mashaa llah
Mambo ya mbinguni waachie wataramu Wa mambo ya rohoni wewe elezea mambo ya Madini usimwambie mtu ataingia mbinguni kwakuwa amesema serikali ichukue kodi yake yote hicho sio kigezo cha kupima MTU kwenda mbinguni maana neno la Mungu linasema kwamba ni vigumu tajiri kuingia mbinguni ni vyepesi ngamia kupenya katika tundu la sindano
Ni kiongozi gani Afrika anaweza kufanya kama mpendwa raisi wetu alivyofanya Mungu akufunike kwa Damu ya Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo you are extra ordinary we proud of you be blessed
Mmefanya vyema kumpa ulinzi na pia anaitajika ushauri wa matumizi asitumie vibaya mana wenye macho manne wanamtizama Sasa namna watakavyomtumia ila Mwenyezi Mungu atamlinda naatamuelekeza namna ya kutumia kama alivyo mpa Mwenyezi Mungu akulinde kabisa Mashaa llah
Ik
Mwenyezi Mungu amlinde na ambariki Rais wetu kwa mema aliyoyafanya
Maa shaa Allah
Hongera sana Mungu Akubariki
Umtangulize mungu kwanza toa moja ya kumi maana nchi na vyote vijazavyo ni Mali ya bwana.
Mfano bora wa kuigwa kwa kweli. Mungu ana nguvu zake! Hongera sana Bilionea mpya!
Naombaa mchukue nambaa yangu coz wiki ijayoo naamin nitavunjaa zaidii,,,amen🔥🔥🔥
Mungu wa mbinguni akutangulie uzitumie vizuri na damu ya Yesu kristu ikufunike na macho ya waaribifu.Mungu mkubwa kweli Mmmmmmmmm🏖🏖🏖🏖🏖
Mungu ni mwema daima
MUNGU AKITAKA KUPA HAKUANDIKII BARUA HUKUPA KWA NJIA YAKE MWENYEWE ANAYOJUA.
Kwel na walikiwa wakichimba miaka yote ila kwa sasa na kwa uongoz wa awamu ya 5 pia naipa heshima anaweza kuongoza hamasa kama hizi hazikuwepo kwakwel
Mashaallah mungu akuzidishie
Magufuli nirais aliyetumwa na mungu,zamani walikuwa wananufaika wazungu
Asante mungu nimemuona baba angu mdogo laizer nilipoteana nae mda mref mwenye no yake naomb nilimc baba angu
😂😂😂😂
😂😂😂😂 baba mdogoooo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwakuwa amepata b 7🤪🤪
hakika Biteko nawe ni kiongozi ambaye unaacha alama ,kweli awamu ya tano ni moto,,viva JPM!!
Laizer kam laizer😔😂
Billionaire Tanzania hio ni shillingi kumi kenya😂
Manyara hoyeee marerani hoyeee
Mambo ni🔥🔥
Xxxx
Mimi ningeomba serekali imjengee nyumba za kupangusha
Kila lakher ktk utumiaji wako wa hizo pesa
Mkulima n mmoja walaji wengi😂😂😂😂
Baba Masai naomba ajira
Daaaa mpunga uo
Ambae yupo free tukachimbe
Nipo asee tuzame zetu
Mambo ya mbinguni waachie wataramu Wa mambo ya rohoni wewe elezea mambo ya Madini usimwambie mtu ataingia mbinguni kwakuwa amesema serikali ichukue kodi yake yote hicho sio kigezo cha kupima MTU kwenda mbinguni maana neno la Mungu linasema kwamba ni vigumu tajiri kuingia mbinguni ni vyepesi ngamia kupenya katika tundu la sindano
Mambi ya mbinguni waachie wachungaji Mtu Wa Madini Biteko wewe elezea mambo ya madini
Mmh
Maskiniii! Kalala maskini kaamka tajiri. Allah akbar😭😭
Hahaha ww alikuwanazo huyo ameongezewa2
Nani kakwambia alikua maskini uyo
Huyu alikuwa tajiri tu alisha anza kujenga shule kabla ya yakuwa bilione
Nipeni number ya uyo Tajiri uwii
Princess Sway haha haha
Ukamfundishe jinsi ya kuzitumia🤣🤣
No nitumie nae jamani nimempenda yeye na pesa zake kkkk
Na shuka lake lile la kimasai😂😂😂
0711-545390