MAPANGO ya AMBONI na MAAJABU yake, Kuna Maumbile ya Mwanamke na Mwanaume, Kichwa cha SIMBA, Mlima

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 10. 2020

Komentáře • 156

  • @leatherlee1502
    @leatherlee1502 Před 2 lety +4

    Nimependa kazi ya mwelekezi. Mungu amjalie

  • @fatmakungu2160
    @fatmakungu2160 Před 3 lety +8

    Mashaallah nyumban tumebarikwa sana

  • @songashaban1332
    @songashaban1332 Před 9 měsíci +2

    The guider is 100% educated and is a pure geologist.
    I like him

  • @jafariramadhani3264
    @jafariramadhani3264 Před 3 lety +7

    Huyu kaka anaelezea vzr sana

  • @kecha5251
    @kecha5251 Před 3 lety +8

    Nice clip .I was born in T,A.but I never visit. But I know the place.
    Big up. My home Boyz. I hop to visit one day . In shaAllah.

  • @BilloceArts-bs4nb
    @BilloceArts-bs4nb Před 3 měsíci

    Kwa hili Nina mengi ya kusema na kumshukuru mungu, na Kwa jinsi guide alivyo smart Nina mengi ya kusema lakini kulingana na muda Wacha niseme Sina la kusema 😂😂😂😂😂❤❤❤ proudly Tanzanian

  • @husnaothuman1609
    @husnaothuman1609 Před 3 lety +2

    Hapana Chezea Tanga Yetu...Tanga Ndio Home 🏡💖 I miss you Home

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 Před 20 dny

    Nine injoi sana mtafsiri yuko vizuri mno

  • @maddybongo
    @maddybongo Před 3 lety +11

    Mpe hongera huyo tour gaide hakika yuko vizuri naona Chemistry na Biology iko kichwani.

  • @omanoman1371
    @omanoman1371 Před 3 lety +3

    Hakika tunajivunia vivutio vya kwetu nimeshawahi fika kwenye haya mapango tukiwa form 4 hakika tulifurahia sana japo kunatisha 🇹🇿🇹🇿💃💃

  • @aminatabakari2741
    @aminatabakari2741 Před 3 lety +1

    Asante ndugu mtangazaji na ndugu muongozaji katika mapango haya ya Amboni!!!

  • @ashafroholdt7697
    @ashafroholdt7697 Před 3 lety +2

    Huyu kaka mwelekezaji ni shujaa kweli kweli, sehemu inatisha sana. Lakini yeye hana wasiwasi kabisa daaah pongezi sana kwake ❤🇹🇿🙏🙏

    • @davidcurtis8556
      @davidcurtis8556 Před 3 lety +1

      Sio hivyo sio mwepesi huyo, hiyo sehemu inatisha mno kama unaogopa kufa na imani yako ni ndogo sio sehemu ya kutembelea hapo, nilianza kwenda hapo safari ya kwanza ilikuwa kishule mwaka 1997 mabasi mawili kwa bahati mbaya tuligundua kama mmoja alibaki hapo baada ya kuhesabiwa wakati wa kuondoka maana kila mmoja alikuwa na namba yake namba moja ilikosekana, ilikuwa huzuni sana sana kuondoka bila mwenzetu. Lakini sikuacha kwenda na idadi ya kwenda haihesabiki ni pazuri sana kwa kupumzika kufurahi na familia ila ni pabaya sana kwa mambo ya anasa na aina yoyote ya ushenzi, hili ni pango na 3 na namba mbili ndio watu wanaingia na kufanya matambiko japo namba 3 ndio sana ila namba saba hakuna anaeweza kufika huko panatisha mbo mno na inasemekana pananyoka wasio na macho

  • @mowanaalmowana6126
    @mowanaalmowana6126 Před 3 lety +1

    Upo vizuri kwa maelezo nishafika huko giza kama lote Najivunia kuzaliwa TANGA❤️❤️❤️

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Před 11 měsíci +1

    Nimeshatembelea haya mapango na nikapita ndani yake kuna sehemu kuna giza la atari hata mkutake muwe close kabisa huwez kumuona mwenzako

  • @veronicamfuko9625
    @veronicamfuko9625 Před 3 lety +1

    Congratulations. Yaani imenifurahisha sana kuona mapango ya Amboni. Kwakweli nimejifunza mengi sana. Big up💪👏🙏

  • @mwandegeplaza6504
    @mwandegeplaza6504 Před 3 lety +2

    Jamaa ameelezea vizuri sana

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 Před 3 lety +2

    Jamaa ana describe very good.

  • @onlytecna9498
    @onlytecna9498 Před 3 lety +2

    Yaan hayaaa ndo mambo ya kua mnatuonyeshaa jmn ❤️❤️❤️

  • @LadouceurTony
    @LadouceurTony Před 3 lety +1

    Wow Mungu acha aitwe Mungu

  • @WinWilly4162
    @WinWilly4162 Před 3 lety

    Esco Ahsante sana, nimetalii kwa macho

  • @kaftan1776
    @kaftan1776 Před rokem +2

    This reminds me the eraly 60's when my family used to visit Kiomoni and Amboni on a weekly basis from Tanga. I used to be terrified of the concrete/gravel crushers of Kiomoni. Once we startled something or someone in the cave and in our desperate attempt to get out the only flame torch we had went out we were in total darkness. It is said that these caves have subterrainian highways that go all the way to places in Kenya and Uganda as there is a story that a pet dog was lost in the caves which later surfaced in Uganda.

    • @kaftan1776
      @kaftan1776 Před rokem

      Kwa ajili ya usalama ni bora zingeliekwa alama za kuongoza yeyote alie ndani ya pango kuonyesha njia ya nje ya pango. Alama hizo ni bora zingelikuwa zile ambazo zaonekana hata bila ya taa kumsaidia yeyote ambae amepoteya kumuonyesha njiya ya kutokeya..

  • @joycenahimana6079
    @joycenahimana6079 Před 3 lety +1

    Asante sana

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Před 3 lety +4

    muongozaji yuko pw hana uoga 😘😘💃💃

  • @petermacharia4156
    @petermacharia4156 Před rokem +2

    Tanzania is nice, from kalema tz

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 Před 3 lety +7

    Hizi ndio habari tunazozitaka sio kila kukicha kiki za wasanii zisokua na mpango

  • @masifaentertainment
    @masifaentertainment Před 3 lety +6

    wakwanza ku comment toka wengereza

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Před 3 lety

    Ahsante kwa maelezo mazuri

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah7083 Před 3 lety

    MashaAllah hongera sana Esco

  • @justinjoshua1059
    @justinjoshua1059 Před 3 lety +5

    Dhaaah pole sana Esko, mm siwezi ingia umo. Panaogopesha saaana.bro sky akupe pongezi nyingi sana kabisa.

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před rokem +1

    Naipenda tanga yetu

  • @peninacharles9757
    @peninacharles9757 Před 3 lety

    Amazing

  • @magrethmathayo2800
    @magrethmathayo2800 Před 4 měsíci

    nimekukubali chali yangu

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 3 lety +5

    Subutu hata kwa pesa siingii humo ndani kwa nje tuu kunatisha ndan jee

  • @lordrextz3686
    @lordrextz3686 Před 3 lety

    Muongozaji yupo vizuri sana

  • @saidabass1098
    @saidabass1098 Před 3 lety +1

    Ni kweli mahan na mm nishawah kuigia umo unajua kule kwetu tanga mukiwa shulen kunasiku maalumu inapagwa kuenda ku enjoy

  • @saumuimeda5181
    @saumuimeda5181 Před 3 lety +4

    Mashaallah Tanzanian tuna vivutiwe vizuri cn Allah ametujaalia vitu vingi cna lkn hp kunatisha mie siingii kbsaa

  • @ericjonstz3120
    @ericjonstz3120 Před 3 lety

    Asante Tanzania, Africa

  • @shamzone388
    @shamzone388 Před 3 lety +1

    Tanga raha kweli tanga raha
    Nendeni mkatembee lushoto soni pangani na kwenginepo karibuni sana

  • @rusirusi771
    @rusirusi771 Před 3 lety +5

    Kwataka moyo kuingia ndani ya mapango mm siwezi

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 Před 3 lety

      hamna wala hakuishi umo ndani ila muakikishe nyie mloshikana mcjemkaachiana akiachia mmoja tu anapotea

  • @bosslilyg4390
    @bosslilyg4390 Před 3 lety

    Esco 💪💪🔥🔥

  • @sayyidaseif6309
    @sayyidaseif6309 Před 3 lety

    I like it

  • @tesokraftokenyaafrika6571

    toka kenya,
    i feel good to be afrikan,
    much more luv,
    gud work bro u explain inna humble way,GOD bless ya work bro

  • @ShekheRajab
    @ShekheRajab Před 27 dny

    Nilienyoy sana nilipokuwa form6 tulifika apo pazur sana

  • @user-cm9lm4mj7v
    @user-cm9lm4mj7v Před 11 měsíci

    Mwelekezi unajua broo sauti yako kama laiza producer wa wasafi recod

  • @aishaabdallah4255
    @aishaabdallah4255 Před 3 lety

    Nice

  • @sa3dasa3da87
    @sa3dasa3da87 Před 3 lety +1

    Mmh asanteni ila cjawaza kuingia huko ni hatari na nusu yatakamoyo

  • @mamfungah
    @mamfungah Před 3 lety

    Very nice clip, je ipo ya lugha ya kigeni kingereza

  • @mapishitanga9861
    @mapishitanga9861 Před 3 lety

    Home sweet home

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 3 lety +2

    Mashallah, inshallah ipo cku nitaenda mapangoni.

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 Před 3 lety

    Masha Allah. Tanga one day ys

  • @fanny7565
    @fanny7565 Před 3 lety

    Dah

  • @yussuphathumani1753
    @yussuphathumani1753 Před 3 lety +1

    Mmetisha 💯💯💯💯💯💯💯💯💯

  • @noorayaqoot1294
    @noorayaqoot1294 Před 3 lety

    Unavofahamisha ni vizuri na hodari

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Před 3 lety +1

    Doh kwatisha kuingia ndani

  • @shamzone388
    @shamzone388 Před 3 lety +1

    Hapo huoo ni uongo kama ukiomba unachotaka unapata basi hapo amboni mabokweni maramba kusingekuwa na masikini

    • @shenjamamzingi7950
      @shenjamamzingi7950 Před 3 lety

      Ndio tulipokwamia hapo,Mapango Makaburi na Mambo mengi ya Historia tunayageuza ndio sehemu ya kumuomba Mungu na Mungu kwa hekima yake anajibu baadhi ya Dua za watu hao wasiokuwa na Akili

  • @salimumohammedsalimu1720

    Mzee esco huko pia kuna mabaharia hebu watafute babuu

  • @jemalukas6342
    @jemalukas6342 Před 3 lety

    Daah. hatari. Naogopa. Sijui kamantaingia

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 Před 3 lety +1

    Esco kapiga kelele kwa kiza kinene🤣🤣🤣🤣

  • @fadhiliswalehe9286
    @fadhiliswalehe9286 Před 3 lety +1

    Nishaingia hapo patam saana

  • @ashwramashallah7242
    @ashwramashallah7242 Před 3 lety +1

    Nimemis Tanga home sweet😘😘😘😘

  • @VicentTarra
    @VicentTarra Před rokem

    Vip humo hawaishi nyoka usije ukaingiza kichwa ukaumwa kichwa

  • @shaadenshaduni7755
    @shaadenshaduni7755 Před 3 lety +1

    🤣🤣🤣nime ogopo Esko ivi linge waangukia !

  • @shabaniissa3163
    @shabaniissa3163 Před 2 lety

    Mungu muweza wa kila jambo

  • @khamisishabani3155
    @khamisishabani3155 Před 3 lety +1

    UYU TOUR GUIDE YUKO NJEMA MNO

  • @princiouskdot6361
    @princiouskdot6361 Před 3 lety +1

    Niliingiaga kpind nipo 4m4 hyo cku ucku ckulala niliota ndoto za ajabu 😁😁😁😁😁kinatish jmn

  • @tanyanyakipande8082
    @tanyanyakipande8082 Před 3 lety

    Napenda utafiti na utalii ila uku siingii

  • @heavenlymusicproduction4360

    Humo ndani oksijeni nivipi?

  • @MrTouch-rm4rh
    @MrTouch-rm4rh Před 3 lety

    Mm nilihishia inje apo noma kunatisha sana aisee

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 Před 3 lety +1

    Huyu jamaa nmwamba sana

  • @didaamohsin6594
    @didaamohsin6594 Před 3 lety +1

    DAAAAAAAH...WAJIWEZAA HUOGOPII..HUMO NDANI WW...UNA MOYO..NAKUPA HONGERA ZAKO.SKY MUONGEZE MSHAHARA KWA KAZI NZURI

  • @shaadenshaduni7755
    @shaadenshaduni7755 Před 3 lety

    😄😄😄hapo siwezi kuingia naogopa

  • @safiauwimana2355
    @safiauwimana2355 Před 3 lety +1

    Wapili leo

  • @stephanokigosi656
    @stephanokigosi656 Před 3 lety

    apewe tuzo huyo mwandishi wa habari wa sns .katisha sana bwana esco

  • @peterchilumba739
    @peterchilumba739 Před 2 měsíci

    Vitu hivi ndiyo tunapswa kufundishwa shule na sio hadithi zao za magharibi.

  • @pitargamba9208
    @pitargamba9208 Před 3 lety

    Faida ya shule hiyo, tuliyo shindwa sasa tunashangaa

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Před 3 lety

    Mhh hayo mengine nahisi kama mmeyachonga hayo ya nje

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool4235 Před 3 lety +1

    WA Tatu

  • @aliamar4422
    @aliamar4422 Před 3 lety +1

    Hhhhh

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 Před 3 lety

    Muongozaji wa Mapangoni ameshindwa kumtukuza Muumba,alitakiwa kusema haya Mapango yameumbwa na Mungu

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis3303 Před 3 lety

    Esco si bure ndani ya pango umeomba upunguziwe mahari mn si bure km safari haijazaa matunda😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @medicalphysicsbiomedicalen1707

    Ahsante ipo siku tutafika much love from Italy 🇮🇹

  • @thakibuiddi1857
    @thakibuiddi1857 Před 3 lety

    Ww hujui ht kutangaza

  • @stephanokigosi656
    @stephanokigosi656 Před 3 lety

    Tangaaaa what's good ?

  • @salimumwnyipembe4961
    @salimumwnyipembe4961 Před 3 lety

    Amboni home kabisa

  • @Fm-MornStar2014
    @Fm-MornStar2014 Před 3 lety +4

    Dah!
    Nimetembea bila kuchoka ndio nahisi uchovu sasa hivi.
    Tuliotembea wote tujuane kwenye LIKES

  • @saidihemedimkukulike3545

    Kwa ushauri wangu muwe mnawavalisha elenti

  • @salehali4saleh19
    @salehali4saleh19 Před 3 lety

    Nakumbuka ile operation ya majambazi waliyokwenda kujificha ktk mapango hayo,ili make headline sana

  • @fatmaomar1012
    @fatmaomar1012 Před 3 lety +1

    wa5 kwenye kumi boar ctoki👍

  • @ahmedyussuf5883
    @ahmedyussuf5883 Před 3 lety

    6

  • @mustafaosman1838
    @mustafaosman1838 Před 3 lety

    Kiusalama zaid wangevaa mahelment

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 Před 3 měsíci

    Tuliingia humo group la watu mwezetu mmoja alipandisha mashetani akatoka nje kuna joto balaa lazima utoke kijasho

  • @mamukassim4075
    @mamukassim4075 Před 3 lety

    Nishaingia mote umo nilienda fanya project na wenzenu tuliinyoy Ila nda tulishikana tukawa msururu ili tusipotezane

  • @sherin3171
    @sherin3171 Před 3 lety

    Kuna stima pia

  • @floraflora9490
    @floraflora9490 Před 3 lety

    Siezi enda pango hilo waaa😳

  • @mowanaalmowana6126
    @mowanaalmowana6126 Před 3 lety

    Mungu. Ni mkubwa

  • @shedrackmwaipopo9427
    @shedrackmwaipopo9427 Před 3 lety

    Nenda na mbeya kuna ziwa ngosi

  • @sadiyakb8498
    @sadiyakb8498 Před 3 lety +1

    Kwatisha

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 Před 3 lety +1

    Dah mim ni mtu wa tanga lkn sijawahi kwenda apo yaan naogopa

  • @frimasonidunia86
    @frimasonidunia86 Před 3 měsíci

    Saf

  • @didaamohsin6594
    @didaamohsin6594 Před 3 lety

    NYIEE HAMUOGOPII JAMANII