#EXCLUSIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 02. 2024
  • #EXCLUSIVE: DAVID MULOKOZI ALIYETRENDI na JUMBA LAKE la KIFAHARI MANYARA - NI VIOO na MAWE ya VOLCANO...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 33

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 6 měsíci +1

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 Před 5 měsíci +1

    hongera saaana ,ni mfano wa kuigwa Africa, nyumba hii ni moja ya nyumba bora zaidi na ya kisasa zaidi Africa nzima, hadi watu wa UN Habitat wafike hapo kujionea Manyara imetisha, Tanzania 🇹🇿

  • @nin6324
    @nin6324 Před 6 měsíci +3

    I love his energy that’s literary me… staying at home is a way better than in a hotel….

  • @irenekayombo5509
    @irenekayombo5509 Před 5 měsíci

    Hongera sana kwake.

  • @abelmwakalinga2305
    @abelmwakalinga2305 Před 5 měsíci +1

    Nimependa wazo lakutembea ili kupata exposure. Big up kwa kazi nzuri

  • @ThomasMselewa
    @ThomasMselewa Před 6 měsíci +5

    Interview nzuri sana ila changamoto ni mtu wa sound alishindwa kucontrol muingiliano Kuna mawimbi ya upepo sana yameharibu kazi ila big up

  • @domisonrichman6499
    @domisonrichman6499 Před 6 měsíci +1

    Big work bro naishi huku na wahaya wengi Kagera sifa nyingi but Huyu bro hana sifa kabisa keep it up ..mm strong ndo kinywaji changu hicho

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego4408 Před 6 měsíci +1

    Waooo, inatia MOYO sana. Hongera kwake

  • @godfreychaula3969
    @godfreychaula3969 Před 6 měsíci +4

    kolumba interview nzur ila next time kuwa makini na sound....noise nying sana apaaa

  • @subiradaud711
    @subiradaud711 Před 5 měsíci

    Safi sana shem

  • @ellgodfather282
    @ellgodfather282 Před 5 měsíci

    Mimi nimesport madayako ya kutengeneza nchi maana Tanzania ni sehemu nzuri sana duniani.

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 Před 3 měsíci

    KAZIKAZI SIO MAANDAZI..

  • @juniorstanford1467
    @juniorstanford1467 Před 6 měsíci

    This is huge

  • @user-rg1xe7we7b
    @user-rg1xe7we7b Před 6 měsíci

    Umeniinspire mi alot

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před 5 měsíci

    Unayo sema kweli ujipende ni kwelin

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 Před 3 měsíci

    Nawishi kuklonana na Bilionea Mulokozii

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 6 měsíci +1

    Safiii ni msomi sn ss mwinyaku ana nyumba sio ile yako na ipo babati hii ni ndio kasiri

  • @hassanhancha1413
    @hassanhancha1413 Před 6 měsíci +6

    Ndio maana Millard Ayo anawa win kila siku nyinyi media nyingine hamko serious na mnachokifanya.Yaani mmetoka koote mpaka mmefika hapo halafu lengo lililowapeleka mnalifanya ilimradi tu.sauti iko mbovu,back sound zakitosha fujo mtindo mmoja.Kuweni seriou na kazi zenu.Shame on you

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 Před 5 měsíci

    Huyo jamaa nitajili anae jielewa hayuko Kama wengine misifa kibao dah ongera Sana mkuu

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 Před 6 měsíci

    Nmejifunza,you are e your own limit

  • @sarahminja7255
    @sarahminja7255 Před 6 měsíci

    Mwandishi wa habari anaongea Sana alitakiwa atuonyeshe nyumba iko vip mpaka ndani

  • @massawemrlowprice3949
    @massawemrlowprice3949 Před 6 měsíci +2

    Which country is this😂

  • @subiradaud711
    @subiradaud711 Před 5 měsíci

    Safi sana shem