Thank you so much Brother Millard Ayo for highlighting the dreams and aspirations of this precious young brother. Truly God is with him.And may the Almighty God bless you Millard Ayo.
Daah! Much love Millard unatuletea issues zinazowasaidia watanzania wanaohitaji msaada. Mungu azidi kukubariki na kukusimamia bro WaTanzania wazidi nufaika kupitia wewe✊✊
Millard unamoyo mzuri sana unajitoa kwa watu wa namna hii kiasi kwamba mpaka unaingia gharama ya kufly nae mpaka zanzibar, I know you have a good heart, you are my neighbour from Arusha be blessed with what you are doing.
tukipatikana watu 15,000 tukamchangia jamaa TSH 10,000/- kwa kila mmoja wetu basi jamaa ataweza kwenda kutimiza ndoto yake na kuwa rubani. Tumchangieni kijana mwenzetu aweze kusoma. Bigup sana Narcent kwa kutokataa tamaa. Mungu yupamoja nawe
Bro Millard hili bonge moja la story na tunajifunza mambo mengi sana kama vijana, Mungu ni mkubwa sana na atatimiza ndoto zake hakika, asikate tamaa kabisa! na hyo discipline ya savings nimeielewa sana na imeniongezea ka hekima flani amazing!
Man this dude got high discipline,he got patience he is soo focused and he is soo determined..This article Millard Ayo got me .He's gon make it In sha Allah !!!!
Mimi pia na ndoto ya kuwa kuwa specialist wa Neuro surgeon Mkubwa East Africa and world wide kwa sasa nasoma diploma ya udaktar ila nikimaliza wazazi wangu hawana uwezo wakuniendeleza na mm nilikua na ndoto tangu nikiwa chekechea mpaka sasa am struggling pia na vibiashara vidogo na mm nije nifikie malengo yangu nikasome John Hopkin university cku moja nikiwa daktar nataka nijitolee kuwa hudumia watu wasio jiweza nahsi kuna kitu Mungu anataka anitumie inshallah Mungu nijalie nije niwe msaada kwa watu wengi zaidi cjawah kata tamaa Keep it up bro utafika penye nia pana njia am so touched 😢 mi nmefanya business nyingi nime chekwa nimedharauliwa but still fight
Hakika ndoto yako inaenda kutimia Mungu akulinde na adui wakila aina wewe ni mfano bora wote mlio kata tamaa simameni tusonge mbele Yupo Mungu wa Eliya hapo ulipo amini kwaimani ipo siku atakufta machozi kwa hali yeyote uliyo nayo. Never give up 👆 God bless Israel 🇮🇱 and God bless Tanzania 🇹🇿
Binafsi ninaelewa sana kinachoitwa NDOTO, binafsi nauza nguo ila nina ndoto ya kumiliki maduka makubwa ya nguo km vile VUNJA BEI STORE, hapa mtaani kwetu kuna marafiki huwa nawaambia kufkia 2025 nna ndoto ya kwenda china mwenyewe na niwauzie jeans kwa bei ndogo ... Eeh Mungu nisimamie ktk ndoto yangu hii .. na namuombea pia Ndg Narcent Mungu amtimizie ndoto yake itimie
Daah hzo karanga nishawahi kula jamani ni nzuri sana bila shaka frank adius anajiskia vizur sana kukutengenezea bidhaa nzuri kama hyo jamani tumchsngie nurscent meena
Kila mtu duniani ana malengo na ndoto nyingi sana!! Lakini ni wachache wanao thubutu kutimiza malengo yao!! Wengi huishia kupanga tu. Kaka Narscent Meena umeonesha nia yako ya dhati na umethubutu kutimiza kile ulichokipanga miaka mingi hongera sana na Mungu atakupigania.!"penye nia pana njia"
Kaka Millard hongera sana kwa kuwa na moyo wa kuwaona watanzania wanyonge! Maana channel yako imekuwa chanzo cha mafanikio kwa watu wengi. *na hiyo ndio akili kabisa,badala ya kuwapa 1000/= na kuwaacha unashirikiana nao mwanzo hadi mwisho wa safari yao* hakika Mungu atakulipa brother Millard.
Tatizo la urubani hata uki graduate bado mziki haujaisha. Inabidi u log more hours to give life the licence up to standards recommended by airlines or na kila ndege inakutaka uwe na type rating trainning unique for each craft. Hizo costs means boat of money , always headache, na bila type ratings no one can risk you take off his plane for game. To say the least , being a pilot is not for everyone. Infact to be sponsored you need to have solid backgrounds in science and proof of competence otherwise it is hypothetical, and a never ending story.
Peter Sume Ushauri mzuri wa Meena kuweka katika harakati zake. He needs to prepare his mind for more huddles. Another disadvantage ya flying you must live in precision, otherwise you may end not flying at all.
Point taken man of God..thank you I promise to Make a best Pilot ever in the world..I will start from the scratch The only thing I know I will make it.
Hongera sana Millard kwa namna hii lazima uendelee kubarikiwa. Narcent Mungu hubariki juhudi za watu wake hivyo namini kabisa na ni matamanio yangu ya juu ufanikiwe
Daah! Mungu akusaidie, Mungu aguse mioyo ya watu , akuwezeshe kufikia ndoto yako. Akufanyie wepesi mdogo wangu . Nakumbea kwa Mungu akufungulie milango ya baraka ili ufike mbali. Nimeguswa sana wengi wanandoto lakini wanapokata tamaa ndoto zao huishia njiani kwa kukosa sapoti so usikate tamaa Mungu atakuwezesha mhimu usijitenge mbali na Mungu mtegemee sana Mungu...mwenyewe ninandoto kibao hapa nakomaa mpaka kieleweke. All the best mdogo wangu. Mungu akutangulie na akuongoze kwa kila hatua
Duh, Maisha ya Narcent yamenigusa nami Nina ndoto ya kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii but Mungu tupiganie sisi Wanyonge baba muumba wa mbingu na nchi
Safi sana M NARSCENT FRESH FOOD BUY MY PRODUCT SEND ME TO FLYING SCHOOL... Jina langu naitwa Narscent Meena Nimemaliza chuo cha Regional aviation College. Nina ndoto ya kuwa Rubani wa kutegemewa, Tanzania na Dunia. Hivyo natafta wadhamini, watakaonichangia ada ili kuweza kufikia ndoto yangu ya kwenda kusoma chuo cha Urubani. The label has these words 👆🏽 Thank you
tambaza kupata Zero ni kawaida dogo nakukumbuka sana Shuleni pale kufaulu ni shida tatizo walimu awajitoi kwa wanafunzi mimi nilimaliza 2013 bahati nzuri nilipasi
Rais wa wanyonge baba magufuli msaidie mnyonge mwenzetu aweke nyota ya tanzania mbele
Kabisa kabisa mungu atakupa itaji la moyo wako iko siku maombi yatajibiwa mungu akubarik sonnakuombea sana
Daa huyu dada anaistolia kubwasana ya maisha
Kweli
kufeli ni njia rahisi sana ya kufanikiwa kama umeelewa namaanisha nini gonga like hapa ### BLT Mtabe
Bonge la Mtanzania
Nitakutumia 100,000..
Mungu akubariki sana sana
Songa mbele
Beto Beto Ahsante sana ndugu yangu
@@narscentmeena2885 nitext whatsaap +16476434665 mungu atalipitisha hili
Beto Beto ...ALLAH Will be paying you forevermore
Wow nice
Thank you so much Brother Millard Ayo for highlighting the dreams and aspirations of this precious young brother. Truly God is with him.And may the Almighty God bless you Millard Ayo.
Millard umetuletea story nzur sana, ww ni moja kati ya watu wanaotuletea habar zilizonzur kwakweli na tunajifunza
Asante sana Najma
@@millardayoTZA bruh nakukubaligi sana bila kumusahau #vidoVidox ❤👊
Interesting story, Mungu akusimamie kaka hakuna linashindikana chini ya jua, weka namba ya akaunt ya tigo pesa au voda
@@millardayoTZA uko vizuri broo
Honger zake mungu amtie nguvu ktk kz zake
Jamani Mimi ni maskini lkn nawaomba nyote wenye uwezo akina diamond ,Ali kiba , harmonize na wengineo msaidieni kijana mwenzenu
Mungu usiyeshindwa kwa chochote unayetoa maj kwenye jangwa naomba umsaidie mwanao,nimelia for sure
This is called spiritual confident thank brother ayo onbehalf of him he gonna make it soon as possible
Story nzuri Sana Millard
Mungu amuongoze Huyu kaka atafika kwa neema za Mungu,, Mpk machozi yamenitoka
Kijana naona ndoto zako
Allah is great 👍🏻
May your wish come true Insha Allah Ameen
Yusuf Ali amiin yaa Rabb
kabisaa
Daah! Much love Millard unatuletea issues zinazowasaidia watanzania wanaohitaji msaada. Mungu azidi kukubariki na kukusimamia bro WaTanzania wazidi nufaika kupitia wewe✊✊
Asante sana Ndahani.
Millard unamoyo mzuri sana unajitoa kwa watu wa namna hii kiasi kwamba mpaka unaingia gharama ya kufly nae mpaka zanzibar, I know you have a good heart, you are my neighbour from Arusha be blessed with what you are doing.
Uko vizuri sana ayo
tukipatikana watu 15,000 tukamchangia jamaa TSH 10,000/- kwa kila mmoja wetu basi jamaa ataweza kwenda kutimiza ndoto yake na kuwa rubani. Tumchangieni kijana mwenzetu aweze kusoma. Bigup sana Narcent kwa kutokataa tamaa. Mungu yupamoja nawe
Uko sawa kabisa
Umewaza vema sana kaka
Bro Millard hili bonge moja la story na tunajifunza mambo mengi sana kama vijana, Mungu ni mkubwa sana na atatimiza ndoto zake hakika, asikate tamaa kabisa! na hyo discipline ya savings nimeielewa sana na imeniongezea ka hekima flani amazing!
Hahahaha karanga kutoka ADIUS COMPANY GROUP safi sana nurscent mungu yuko na wewe ndoto itatimia
Never give up dear friend 💪 Naamini ndoto yako itatimia kwa uwezo wa MUNGU
Ubarikiwe kwa hilo
Kila la heri kwa ndoto zako .Mwenyenzi Mungu Akupe na uzidi kutimiza ndoto yako ...🙏🙏🙏🙏🙏
Millard hongera Sana taarifa km hizi ndizo tunazitaka. Dream zote zinawekekana.
If your orphan like here,for our lovely father's and mother to rest in peace.
Daaaah more than pain,sio siri yatima hatuna dira
Man this dude got high discipline,he got patience he is soo focused and he is soo determined..This article Millard Ayo got me .He's gon make it In sha Allah !!!!
Mirad upo poa sana big up
ohh my lord,,, same story we are passing through, though we pass through hard moments but God Will provide
Mung atakjalia mema
Tupo wapi Matajiri wa Tanzania? Jamani watanzania wote tumsaidie huyu kijana ili atimize ndoto zake.
Huyu kijana atatufuwa tuu. Big up sana #millardAyo. Believe in Jesus. The only way of Victory
Hata mimi nina plan ya kusoma masters yangu, USA, nimeanza kujichanga mdogo mdogo..
MUNGU atasimama na utafanikiwa!!!
Mimi pia na ndoto ya kuwa kuwa specialist wa Neuro surgeon Mkubwa East Africa and world wide kwa sasa nasoma diploma ya udaktar ila nikimaliza wazazi wangu hawana uwezo wakuniendeleza na mm nilikua na ndoto tangu nikiwa chekechea mpaka sasa am struggling pia na vibiashara vidogo na mm nije nifikie malengo yangu nikasome John Hopkin university cku moja nikiwa daktar nataka nijitolee kuwa hudumia watu wasio jiweza nahsi kuna kitu Mungu anataka anitumie inshallah Mungu nijalie nije niwe msaada kwa watu wengi zaidi cjawah kata tamaa Keep it up bro utafika penye nia pana njia am so touched 😢 mi nmefanya business nyingi nime chekwa nimedharauliwa but still fight
Amiin
aisha mnyeke ...inshallah ALLAH AKBAR...Ni mwingi wa huruma.anatuskia vilio vyetu.
aisha mnyeke inshallah.....we don't give up...
Amin mungu jalia
Maombi yangu Mungu yasikie "mjalie kijana huyu kutimiza ndoto zake ya kuwa rubani wa mataifa fanikisha kazi za mikono yake! Amen."
Yaan hadi nimetoa na machozi 😭mungu akusimamie kwakweliw
Kwa kweli nimelia
Yani sio Pete Yako
Wacha tu wachaaa
Aki imeniuma sana
Hakika ndoto yako inaenda kutimia Mungu akulinde na adui wakila aina wewe ni mfano bora wote mlio kata tamaa simameni tusonge mbele Yupo Mungu wa Eliya hapo ulipo amini kwaimani ipo siku atakufta machozi kwa hali yeyote uliyo nayo. Never give up 👆 God bless Israel 🇮🇱 and God bless Tanzania 🇹🇿
Godfrey Stephano ujumbe wako.umenitia nguvu chenkyuu my brother
Amiin
kakusanya milioni 9, bado milioni 141 ili ifikie milioni 150, watanzania tumchangie kijana inawezekana
Hizo pesa ni dollars ngapi please
Tim Cee ...inshallah
tuma namba yako kaka nikuunge hata ya nauli kaka
nice choice my dear friend, a good thing is just to ask from God,
Wow mungu amuzidishie Salam ziwafikie kutoka upande wangu🇰🇪
mashaAllah, mungu akufanyie wepesi namini mungu yupo pamoja na ww🙏🙏🙏🙏pole San kwa kufiwa na Mama 😥(never give up )
Dah nimependa sana hiyo imani yake,naamin Lazima atafanikiwa
Aminaa....
pow sana daa
Millard Ayo you'r so perfect in preparing good video & news respect for you.
Spirit takes much of positivities than we can imagine of possibilities...I got your back my boy🤝🇹🇿
Prof Martin Peter Nhondo thank you soo much
Sure
Utafanikiwa jamaa angu Mungu hamtupi mja wake be blessed bro
Binafsi ninaelewa sana kinachoitwa NDOTO, binafsi nauza nguo ila nina ndoto ya kumiliki maduka makubwa ya nguo km vile VUNJA BEI STORE, hapa mtaani kwetu kuna marafiki huwa nawaambia kufkia 2025 nna ndoto ya kwenda china mwenyewe na niwauzie jeans kwa bei ndogo ... Eeh Mungu nisimamie ktk ndoto yangu hii .. na namuombea pia Ndg Narcent Mungu amtimizie ndoto yake itimie
Hongera kk jitaidi utafikia
Never give up
Millard Ayo ni moja wa wanahabri ambao ni wa kweli, wazuri na hongera sana ubarikiwe
Daah hzo karanga nishawahi kula jamani ni nzuri sana bila shaka frank adius anajiskia vizur sana kukutengenezea bidhaa nzuri kama hyo jamani tumchsngie nurscent meena
hongera sana hata hapo ulipofikia maana x padogo naamin mung hajawah kumwacha mwenye haki ...siyo mbal utafika tu never give up🙏
Mungu awe na wewe usikate tamaa dogo pambana tutaendelea kukuunga kwa hii biashara yako mungu mbele daima
Kila mtu duniani ana malengo na ndoto nyingi sana!! Lakini ni wachache wanao thubutu kutimiza malengo yao!! Wengi huishia kupanga tu. Kaka Narscent Meena umeonesha nia yako ya dhati na umethubutu kutimiza kile ulichokipanga miaka mingi hongera sana na Mungu atakupigania.!"penye nia pana njia"
Nazielewa xana Makala zako Millard,,kijana ni mpambanaji haswaa,mungu amfanyie wepesi,Ameeen,
Watu kama hawa serikali ingewachukua haraka sana..ni hazina ya Taifa
Never give up my bro on ur dream! the way u still fighting that's the way u pull the bless of GOD to be nearly of u. Be blessed on ur life dreams.
Mashaallah mungu atucmami wenye hali za chini na jitihada ya kutafuta ongereni sna katika history yko inatia moyo sna mungu akucmamie amen
Duh, Mungu akusimamie utimize ndoto zako.🙏
Media nyingine muige millad ayo kwa anacho fanya sio mnatuletea habar za kuunga unga habari big up bro !!!!#mtuwangu wa nguvu
Allah akujaalie saana kaka angu
Penye nia pana njia🙏🙏..
Pambana, Usiache kumtegemea Mungu, yy ni mueza wa kila jambo, akisema liwe basi huwa❤🙏.
#Umust #Ucan #Uwill
Dimond na wengine pls msaidieni huyu kaka kwa ajili ya taifa la Tanzania
milliard safi sana I like your work brother all the way from cape town South Africa
Allah akufanyie wepesi zaidi ya ya unapofikiria
Aiseee very touching story. Km vijana wote wangekua na msimamo,mipango na mikakati km huyu tanzania ya viwanda ingetimia kiuhalisia
Best of luck, realizing your life's work is of great excellence.
Very courageous young man. Never give up. You will go far God Bless you. Watching from Kenya.
phydiliah mwagodi thank you soo much
Hongera sana my lovely Friend...I real love you and I love your hardworking...
Naamin umefika kukamilisha ndoto yako...NEVER GIVE UP MY FRIEND
Pole saana Kaka pia hongera maana bado una nguvu na matumaini💖☑️☑️☑️
jamani naumia Sana ningalikuwa nauwezo ningalimzaidia huyu kijana nikiamini Mimi kama mwanamke ningemwambiya kwaza mimi mama nakumsaidia
Nacent nimefurahiya sana juhudi zako za ndoto yako yakuwa Rubani mtarajiwa hongera sana kwa mapambano
Daaah,, hii ni ndoto kubwa sana,, hongera kwako mkuu
Kaka Millard hongera sana kwa kuwa na moyo wa kuwaona watanzania wanyonge! Maana channel yako imekuwa chanzo cha mafanikio kwa watu wengi. *na hiyo ndio akili kabisa,badala ya kuwapa 1000/= na kuwaacha unashirikiana nao mwanzo hadi mwisho wa safari yao* hakika Mungu atakulipa brother Millard.
Tatizo la urubani hata uki graduate bado mziki haujaisha. Inabidi u log more hours to give life the licence up to standards recommended by airlines or na kila ndege inakutaka uwe na type rating trainning unique for each craft. Hizo costs means boat of money , always headache, na bila type ratings no one can risk you take off his plane for game. To say the least , being a pilot is not for everyone. Infact to be sponsored you need to have solid backgrounds in science and proof of competence otherwise it is hypothetical, and a never ending story.
PWENTI
Peter Sume
Ushauri mzuri wa Meena kuweka katika harakati zake. He needs to prepare his mind for more huddles. Another disadvantage ya flying you must live in precision, otherwise you may end not flying at all.
Point taken man of God..thank you
I promise to Make a best Pilot ever in the world..I will start from the scratch
The only thing I know I will make it.
lnshallha mungi yuko nawe itatimia ndoto yako kaka na nimependa unauza karanga kwa ajili ya ada
Masha Allah masha Allah mungu akubariki utimizendotozako insha Allah mungu atakusaidia nakupenda sana love you ❤♥️❤
Hongera Kijana mwenzetu nimekukubali mkali tuko pamoja sanaaa
Interesting story but painful😭😭
Mungu Akuongoze na Kaka Adi Machozi yaminitoka Wallah
Hongera sana Millard kwa namna hii lazima uendelee kubarikiwa. Narcent Mungu hubariki juhudi za watu wake hivyo namini kabisa na ni matamanio yangu ya juu ufanikiwe
Daah! Mungu akusaidie, Mungu aguse mioyo ya watu , akuwezeshe kufikia ndoto yako. Akufanyie wepesi mdogo wangu . Nakumbea kwa Mungu akufungulie milango ya baraka ili ufike mbali. Nimeguswa sana wengi wanandoto lakini wanapokata tamaa ndoto zao huishia njiani kwa kukosa sapoti so usikate tamaa Mungu atakuwezesha mhimu usijitenge mbali na Mungu mtegemee sana Mungu...mwenyewe ninandoto kibao hapa nakomaa mpaka kieleweke. All the best mdogo wangu. Mungu akutangulie na akuongoze kwa kila hatua
Afrika ni balaa kweli! Serikali ipo? Lakini naamini kwamba raisi Magufuli akiona hii clip basi huyo jamaa ataitekeleza ndoto yake bila shaka!
Duh, Maisha ya Narcent yamenigusa nami Nina ndoto ya kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii but Mungu tupiganie sisi Wanyonge baba muumba wa mbingu na nchi
😂😂😂😂 uwaziri hausomewi kaka, kuwa na ndoto ya kitu ambacho kinasomewa, ila yote kwa yote Mungu afanye ndoto yako itimie
Utauza pembe za ndovu...!
Kwa nn unatamani siasa
Tafuta chuo cha chichiem
Mungu amjalie afya njema ili ndoto zake zitimie
Mungu akujalie Kabisa. Umenifurahisha sana na kunitia moyo.
Wow congratulations classmate it has been our dream finally you made it through Narcent
Mtoto mwenye hakiri...mungu akujalie
There’s nothing good like BELIEVING IN YOURSELF hands up to you 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 aiseee mbeeee keep it uo
Usikate tamaa mzee wa kazi,,endelea kupambana.kwenye nia pana njia
Vizuri sana brother 🙏 hongera sana brother 🙏
Still hastle never give up brother
yaani hiyo story mpaka machozi aisee yaani urubani kumbe ni hela nyingi hivyo?
Imenitowa machozi aisee mungu ni mkubwa Sana I love your God
Yaani ndio habari bora zaidi Hongera Millard Ayo
My dear the details from the peanuts 🥜 labels we cannot read them so please repeat by writing them properly.
Safi sana M NARSCENT FRESH FOOD
BUY MY PRODUCT SEND ME TO FLYING SCHOOL...
Jina langu naitwa Narscent Meena Nimemaliza chuo cha Regional aviation College.
Nina ndoto ya kuwa Rubani wa kutegemewa, Tanzania na Dunia. Hivyo natafta wadhamini, watakaonichangia ada ili kuweza kufikia ndoto yangu ya kwenda kusoma chuo cha Urubani.
The label has these words 👆🏽
Thank you
Mashallah, nimependa sana juhudi zako bro, Allah akuongoze na akutangulie katika biashara zako na akutimizie ndoto yako. 👏
Mungu amesikia..Ndoto Imetimia..his now a Pilot🎉
We ni mpambanaji na uko very strong. Utafanikiwa
Sina cha kukuchangia hila nakuchangia kwa maombi tu MUNGU atakuwezesha amen
tambaza kupata Zero ni kawaida dogo nakukumbuka sana Shuleni pale kufaulu ni shida tatizo walimu awajitoi kwa wanafunzi mimi nilimaliza 2013 bahati nzuri nilipasi
Vicent, we ni mdogo wake na Nevil Meena?? Mama alikuwa anaitwa Yurta Meena, nitakutafuta kaka
adolph Emanuel wamefanana na Nevil Meena, baba mchaga mama Muhaya, nahisi ni ndugu.
adolph emmanuel ndio mimi ni mdogo wake wa mwisho ...mama Yulitha amefariki mwaka huu.
@@narscentmeena2885 Pole sana kaka, nitafute kwa #0764854646 whatsap,(Adolph Lulinga Mugyabuso)
What an inspirational story.... God will see you my Brother captain +974 #Ayo Kazi nzuri
Mungu nkubwa kaka yangu piga moyo konde bado Mungu atakukumbuka tu kwa ndaa wake na tayari mujiza wako uko mbele yako tu uamini tu
Pilot meena anajitambua sana na mnyenyekevu Muombe Mungu atakusaidia ndoto yako iwe.
Amani Jolam Ahsante sana sana
Namuombea Sana Sina cha kumpa Lakin naomba MUNGU akutokee
Wow may your wish come true my younger brooo
Don't give up bro keep pushing, right now i'm a student pilot and i think there is no difference btw you and me cz we're in a same path
Mungu atamsaidia jamaa wazazi wake nawajua MUNGU amlaze mahari pema mama ake
haya makala yamenikuza sana,imenifunza kutokata tamaa.Naamini kuwa ndoto yake itatimia hasa kwa juhudi zako Millard Ayo
😢😢😢 imenigusa sana lkn Dua zangu namuomba Allah akujaalie biashara itoke kwa wingi ili weze fanikisha ndoto yako kijana🙏🙏🙏
Maryam Maram Amin
@@narscentmeena2885 pamoja kaka✌
Ahsante sana
#millardayo wew n nyooko unaipenda xn kaz zako
Kila la kheri rafiki yangu, classmante wangu najua ndoto zako, Mungu atakufanyia wepesi zitatimia.
Lightness Wilving Ahsante sanaa rafiki yangu