MAKJUICE: KAANZA NA MTAJI WA ELFU 7 MPAKA DALADALA YA KUUZA JUICE MTAANI
Vložit
- čas přidán 4. 02. 2018
- Mjasiriamali Mak maarufu kama Mak Juice amezungumza jinsi alivyoanza biashara yake kwa mtaji mdogo lakini sasa imemsadia kuajiri vijana wengine na hata kubadili maisha yake kiuchumi, pamoja na hilo ameelezea jinsi alivyojipanga kuanza kusambaza juice yake mtaa kwa mtaa kwa bei hiyo hiyo ya elfu mbili.
story kama izi hazina views kabisa kama video za diamond na ally kiba pia hata izi views zilizopo zipo negative then usipoona maendeleo unaisema ccm...jamaa kaongea points nyingi nzuri kuliko hiyo ishu ya 7000.. God have a mercy on Tanzania
kabisa,hapa nimejifunza kitu
Nakubali brother!!!
Watu hawataki kufanya kazi
Uthubutu na juhudi ndio vitu muhimu zaidi katika ujasiriamali...Kuna Dada anauza uji anaitwa Porridge point amethubutu na ameweza ,kwanini sisi tushindwe....Vijana tuache kulalamika tupige kazi...
Hakuna Mambo Magumu Kama Unajitumaaaa.. I like it
Yuko bomba sana huyu jamaa,maamuz magumu na yenye busara
Jamani amesema mtaji wa kwanza kwenda nao sokoni ni 7000 hajasemea vifaa🙄🙄 mnakua wagumu kuelewa jmn, hiyo fridge na blender si pengine alikua navyo tangu zaman kwa matumizi yake ya nyumbani??
husnat gamaah safiiii unauelewaaa sanaaaa
Kwa uelewa wangu mtaji nikuanzia banda, blendar na matunda hivyo bhac ameeleza kitu kidogo sana
Mwenyezi Mungu akakuinue viwango na viwango..nimejifunza kitu ahsante 🙏
Fun juice soon In Sha Allh ndn ya tz more delicious
Comment zotw zimepingana na kaul ya mtaji wa 7000, mm naona kweli, kwasababu huenda Alivo kuwa ataanza labda hakuanza hivo hivo alianzia chini kabisa mpaka Sasa yupo hapo alipo
Tatzo hana sehem za watu kukaa ,,,kazdiwa Kingdom juice pale kuna pakukaa projector inaonesha mzik mkubwa Yan unaenjoy
Jamani!!! Ndiyo mwanzo, hata hao walianza kama yeye...
zanana aliongea kwa uwazi, but mskikaji aficha kidogo mtaji.....but still ameninspire sanaa
He is fuc**ing genius! Im inspired big up bro 👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Nice!!! You are smart!
hongera sana bro! big up
Safi sana kaka!!! MUNGU akazidi kukuongoza ktk kazi yako na sisi utuombee tufikie salama malengo yetu.
👍
Nakuamini kwa kuanza na mtaji wa 7000 watu wanazani biashara lazima uanzie milioni no, tena mtaji mdogo ndio unakufanya uwe milionea well done 👍🏾
mac nakubali sana mzazi nakumbuka kazi yako yakwanza ya chps lakini umekoma salul broo
nimejifunza kitu hongera sana MAKJUICE
angela mhina sasa ashakufundisha kununua, blender, fridge, matunda, glass, na kujenga kibanda kwa elfu saba
Hongera Mark though nlikuwa sijaonaga upo wapi nimezoea kingdom juice
Hongera sana wengi watajifunza ila kwa mtaji wa 7000 binafsi siamin ila kiukwel juice inalipa sana kma ukiithamin
Elfu saba alienda nunulia matunda
Ni kweli mana apo hajaongelea gharama za kununua Brenda cjui ma fridge hzo glass za take away, ujenzi wa kibanda sawa hajatumia mtaji mkubwa ila sio 7000 mana hzo gharama zote za awali zinahesabika kama mtaji pia
👊He is doing something with his life,It's inspiring
Yaani kote nimekuelewa ila umenichefua kwenye mark kondom
Sio mwenzako auze juice na ww uuze juice fkiria tafta chako
hongeraa watu wanatokwa mapovu biashara ni ubunifu ni kitu mhimu hyo 7000 kaitaja general pengine hzo juice kumi na moja ndo ziligharimu 7000 me nakupa hongeraa kwanza kwa uamuzi mgumu wa kuacha ajira sio kila mtu anaweza move foward
daah jamaa anarekodi nzito sana juice glass 11
mteja wakwanza alikua mdada 😂😂😂
big up bro
Gracius Makoi
Mie napenda kufahamu ingridients za juice zako boss
I like it
mtaji wa elfu 7000 sio kweli,afu umeanza ndani ya banda zuri.
Willy Julius ni mitaji wa kununua matunda ajaweka mtaji wa ofisi ambayo ni zaid ya iyo 7000
Katudanganya hapo hahahaahaha
Willy Julius
Hakuanza hapo hujamfatilia hapo Awwal nvp alianzaa Amini hilo
Willy Julius K
Willy Julius huo n mtaji alioenda nao sokon sheh
Hongera xana brother ###
Jamani tuwe waelewa Siku ya kwanza aliuza glasi kumi na moja kwa mtaji wa sh.7000/=inawezekana Siku hiyo hakuwa na vifungashio/glass zinazoonekana.Mtanzania thubutu utaweza.
Hongera kaka
Hongera sana
Hongeraa saaanaa
hongera man kaza
hongera
Umeniinspire upo creative sanaa bro..ntakucheki kwa email.
Hizo mak juice Hazifiki mikoani...
Hyo elf 7 ndio alijenga na hcho kibanda alicho anza nacho au kibanda sio mtaji
Hhhhh mark condom tena kaka umetisha saana mzee . God bless you 💪💪
Nakubal
Sawa makoye upo sawa brother lakini please kuwa open bwana achakupindisha ukweli... Unasema ulianza mtaji wa 7000 na Hapo hapo unasema ulianza na banda Moja kwa moja je Banda ulijenga kwa shingapi... Au Mimi sijaelewa.... Pia hyo kutembelea wateja ebu naomba tupe strategic ways ili tuamin maaana daaaah nikweli umefanikiwa lakin it seems Kama unaficha ukweli flani ivi.....but anyways sawa huenda ndo Siri zako... Hongera bhna boss
Amesema aleinda sokoni kwa 7000 hyo inamaanisha ni ile variable cost sio fixed cost maana ukiangalia kiivo kuna blender za kusaga, glass,mirija, fridge, kodi na vingne
abra 26 safi kijana angu
bone pamoja sana kaka
Raphael Nkwabi amesema buku Saba ndo alienda nayo sokon afu unawez ukaaanzisha biashara watu wakawekeza biashara ikakuwa
Uwongo 7000 sio kweli
Hatukuelewi....unaposema mtaji buku7 wakati ushatengeneza banda..na kununua vifaa..kwani hilo nanda hukutumia gharama za kulitengeneza??kwani hyo hela uliyotengenezea banda cyo mtaji??au mtaji maana yake nn??tueleweshane...insipired story ila muwe wakweli mnapotoa success story zenu....
chacha itinde hapo kweli kazuga, ila muuliza maswali nae hajashtuka, maana haiwezekani gharama za kutengeneza banda usizijumuishe kwenye mtaji, never!
czcams.com/video/RFHnaJUf5zk/video.html
Jifunze yenye maana,kijana mbali tazama,kusanya mawazo ya jana,pambana japo yanabana
Kwani ukitaja kiasi sahihi cha mtaji utaharibu nini mtaji wa elfu 7 ni uongo bhn implicit cost + explicit cost ndo iwe elfu 7 ...???
Ongera bro
Hongera mtoto wa Sayuna Shekalaghe
Safi
Ume plan gud and still u have gud plan and also from ur talk u have also gud system
But 4 pple around he can't explain wat u want to hear means he is growing in business... kama umeelewa
Mmmmmh, huyu muhongo sana adi macho
✨🔥
Hongera ila jitahid na huku mkoan tuzipate
Hahahaaaaa buaaana weee ,embu fanya wewe ushike huko kwenu naimani umejifunza kitu hapo ko watakiwa kuitumia fursa hyo kufungua yako hapo mkoani kwako
MTU kafanya kazi benk unasema mtaji buku 7000
Armani Frey ww unahonekana una wivu
Mtaji sio pesa alonunulia matunda tu, gharama zote alizotumia biashara ikaanza ndio mtaji, sio kweli 7,000
hapo nimewaelewa
Armani Frey What a Lie...
ila labda anaongelea mali ghafi alizonunua kwa mara ya kwanza..
labda hivyo
Mie mwenyewe aijaniingia kichwani
Ongela
Safi boy
pendeni kuongea ukweli maaana hamjikubaligi kwann
Brother naomba kuwa supplier wako
Sukari kilo 1800/= Matunda assuming 2000/=take away glass 5000/= 😎
Hahah
Machine ya kusagia bei gani wabogo walishatuonaga kama watu wengi hatuna akili au hatujui kufikilia vzr
Yaan nmefunga ofc yangu y juice sbabu ya usimamizi.
Siku zijazo namimi nitakuwa mtu Mkubwa Sana
Yusuph Japhari ni vizuri kujiambia utakuwa mkubwa lkn uwe unachukua HATUA kwa haraka
Yusuph Japhari 👏 mungu. Akufanyee. wepesi
+erick Msallenge asante Kaka na Nimekuelewa Sana
+Zawadi Zawadi 92575167 Nashkuru Sana
Yusuph Japhari wewe ni mtu mkubwa teari
Uwe Na Mtaji Mkubwa Au Mdogo Kufanikiwa Ni Kujituma Na Kujiwekea Malengo Ila Tofauti Na Ivyo Ata Uanzie Na Mamilion Yanaisha Tu
Hongera sana, ila kweny buku 7 umetudanganya
Jina langu wewe la nini blenda tu bei Ni zaidi ya laki
nzur
Broo mm ndo mmliki wa G juice sasa unavy sema mtaji wa elfu saba yan brenda elfu mbili chumba elfu na mia tano yan kila mwez mia tano na matunda bado frig na hiz cup unaz uzia juice be serious wakt una encourage vijana wafany biashara
Godcom peter asante
Godcom peter no hajaamanisha hivo amesema kwamba mtaji wake wa kwenda sokoni kununua matunda ni matunda ya elfu 7 sidhani kama amemaanisha gharama za ofisi na vitendea kazi
Kasema alienda sokoni na mtaji wa 7000 ina mana alienda kununua matunda kwa mtaji huo
Godcom peter 6
Bro daaah sikiliza tena upya
Safi sana bro God bless u
Nice na inatia moyo kila kitu kinawezekana nikujipanga tu nakutokubali kukata tamaaa
Kila kitu kinawezekana ,kikubwa ni subira tu na uvumilivu .
Suala la mtaji wa elfu saba sio kweli
😂😂😂😂😂😂 true boy
Nimekuelewa
Jee TRA unalipialakiniiii
hahaha
2inches has a chance
wanatuchoresha hawa
Elfu saba sio kweli ila mtaji sema ulikua mdogo ila nimependa kua umethubutu kila kijana anatakiwa kuthubutu
watu mnashindwa kuelewa yeye kasema alienda sokoni Na elfu 7 sio mtaji elfu saba
7000 contena kanunua bei gani, na bado kuna friji na brenda ya kusagia matunda ebu acha uongo au jaribu kufafanua kati ya pesa ya kununuria matunda na ya kuanzishia biashara
Big up sanaaa bro una zaid ya kipaji
Tatizo watanzania wako na Complement sana....kusema mtaji wa 7000 mimi naamini....natambua mazingira ya kuajiriwa wengi hatuna desturi ya kuweka akiba na ndio mana kila ikifika mwisho wa mwezi kila mtu analia mshahara....Kujiajir kunakufanya mtu usibweteke...Hongera sana kaka
Julius URONU ni kweli aisee watanzania kila kitu tupo negative sana bila kuangalia kipi tujifunze
Bro ebu jaribu kuichanganua iyo elfu mpaka kuanza biashara
Yeye alimaanisha katumia 7000 kununua material za kutengenezea juice yani matunda, sukari na vitu vingine muhimu kwenye juice..kuweni makini kwenye kusikiliza jambo alisema banda alishatengeneza Before
Julius URONU elfu 7 unaeza anza biashara ila huyo muongo
nmependa ushaur wako
Acha uongo wewe,huwezi kusema ushafanya kazi benki na kampuni ya simu halafu useme umeanza na mtaji wa 7000,kwa hiyo walikuwa wakikulipa mshahara 7000,UMEWEZEZESHWA or there's something behind the gam3
Fiboly Chifunda mtaji alienda kununulia matunda .......elewa alienda kununulia matunda ya buku sab Hilo swala la office hajataja gharama ya office n sh ngap
ongera sn maisha kujituma
Elf 7 sio kweli ase
Aache kupotosha watu bhana mtaji wa 7000 sio kweli
Lipa hayo mafriji ya jamaa aliekupa hapo mana hku hongkong anahangaika kila siku unamgaia elf50 tu ...
We pumbavu unatoa siri za watu.yanakuhusu? Atalipa tu mdogo mdogo. Makjuice tuwasiliane nikusupply sambusa
Kwenye mtaji umedanganya
kuusumtajiwash 7000 kiukweliamedanganya
Mtaj Wa 7000 Mhh😎😎
Mohammad Mpinga hiyo ni hela aliyonunulia matunda kwa siku ya kwanza, alikuwa anajaribu
Joseph Tula Boy Kumbuka Alishaajiriw Then Angalia Hyo Location Analipa Tsh Ngap Hzo Resources Anazotumia Tshngap Zote Hzo Ni Mtaj...
Aliqnza kujenga kibanda kwa elfu 7 au kununua blenda au alikua akisaga na meno 😂
Ila kwel.. maelezo Co kwel hayajajitoshelezaaA
hatari
Aliacha kazi bank akaanzisha biashara ya sh 7,000? Hmmmm hii ndio Tanzania ya Viwanda 😁😁🤣🤣😃😄😄
Sasa hakuanza na elfu Saba
Dah:inavutia mno
pumbavu wapo wengine so huyo mpaka kuajiriwa kwenye makampuni
Kama mwanza
Mikoani
daah!...
daaaaah gud inspiration!!!!!!¡
Hongera sana Mac ofisi yako ipo wapi?
7000 uo ndo mtaji wa matunda
waongo wakubwa wanadanganya watu hawa
njoo uchukue million tuone kama utaweza kufikia hapo, kesho wakiitwa na makonda mnasema wwanaonewa
una onekana una ongea sana alafu vyoooooooooooooote pumba tu
sio kila mtu ana weza kuamin ulilazimishayo kukiaminisha
uyu dada kama alikataliwa na uyu jamaa
+INO DE CULTURE inavo onesha au kashezea alafu kutoka kapa tofauti alivo tarajia ndio maan ana mkandiiiia ana miasila yake ila nn siku zote ukiwa una plan una ishi ishi tu lazima udondokee pua kwa sisi tunao jitambua na nita pambanaji wala atushangai iki alicho kifanya jamaa kufanya kaz benk sio kua tajili ila watu wengi wana jitoa tu ufaham ndio madem wengi mwisho wa picha kutoa povu mtandaon 😂😂😂😂😂😂😂😂
+Najma Bajun
kweli Najma Bajun alaf cc watanzania wengi tunaanzia Story ya hapo hapo mtu alipo ila autaki kujua ya nyuma zaid uyu jamaa mm nimeanza kumfwatiliaga ckunyingi na anani inspire kuzid kusonga mbele bila kukata tamaa japo wengine wanamponda
huyu alitimuliwa bank kwa wizi wa pesa
Armani Frey acha wivu ww
Armani Frey 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
jaman we dad kila coment yko unamponda huyo kaka kwann?wivu unakusumbua ww alfu humtakii mema Allaaaa
ww, hujinyaki ww
Armani Chicandow ila sa hz kapiga bingo
WABONGO BWANA SO SO SO SO SO KIBAAAAAAAAAO... PUMBAVU
Tunazikosa hafanye utaratibu
nmekuelewa"brother umepambna kwel kwel
wewee acha uongo maaana hilo banda lakwako ama
wacha ujinga millard na wewe umelpwa
unaonekana unaubinafisi ww hutaki wengine wapate
Suzan Mangi kwan lazima upate kupitia mgongo wake pambana na hali yako
V I D O ❌
mbona mak condom it's coming soon
ndo wanavyoongea kumbe unga ndo biashara
Armani Frey if yua lazy husizingizie unga na ww uza unga ufike hapo kwanini binadamu tunakuwa wapesi wa kuukumu wenzetu haraka wakifanikiwa na kua na fikra ovyooooo!!!we jipige kando wacha wenye bidii wapambane watafikia malengo yao ww unaonekana mtu ambae huwezi endelea juu umejawa na negativity in yu my dear husiwe ivo na unafunza nn wadogo zetu wamelemewa kweli aeza kua ni unga but kumbuka kuna vijana wadogo wanatamani kua kama yy so ukisema ivo unawavunja moyo wacha kua mtu mbinafsi
Negativity mind....kamwe huwezi kusonga mbele kwa kuamini kila aliefanikiwa anafanya mambo haramu.....change ur mindset......
erick Msallenge i support you 100%but cant blame her koz africans we r full of negativity minded kuamini uchawi n bla bla ukisikia uchawi ni pale mtu ataki mwenzake afanikiwe surely wen will we come out from this negativity !!mostly tunajifikiria wenyewe tunakua wabinafsi fikirieni na kizazi kinachotufuata!!
Armani Frey aimaniisha kwamba hakuwa na pesa nyingine alikuwa nazo but si unajua uwezi ukaanza kutengeneza labda juice nyingine wakati ujajua unawateja wangapi au itapokelewa vizuri