MAKJUICE: KAANZA NA MTAJI WA ELFU 7 MPAKA DALADALA YA KUUZA JUICE MTAANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 02. 2018
  • Mjasiriamali Mak maarufu kama Mak Juice amezungumza jinsi alivyoanza biashara yake kwa mtaji mdogo lakini sasa imemsadia kuajiri vijana wengine na hata kubadili maisha yake kiuchumi, pamoja na hilo ameelezea jinsi alivyojipanga kuanza kusambaza juice yake mtaa kwa mtaa kwa bei hiyo hiyo ya elfu mbili.

Komentáře • 198

  • @aloycempandana1336
    @aloycempandana1336 Před 6 lety +107

    story kama izi hazina views kabisa kama video za diamond na ally kiba pia hata izi views zilizopo zipo negative then usipoona maendeleo unaisema ccm...jamaa kaongea points nyingi nzuri kuliko hiyo ishu ya 7000.. God have a mercy on Tanzania

  • @richardkobero6988
    @richardkobero6988 Před 6 lety +16

    Uthubutu na juhudi ndio vitu muhimu zaidi katika ujasiriamali...Kuna Dada anauza uji anaitwa Porridge point amethubutu na ameweza ,kwanini sisi tushindwe....Vijana tuache kulalamika tupige kazi...

  • @africanhappyadventure6951
    @africanhappyadventure6951 Před 6 lety +16

    Hakuna Mambo Magumu Kama Unajitumaaaa.. I like it

    • @jumaelias1019
      @jumaelias1019 Před 6 lety

      Yuko bomba sana huyu jamaa,maamuz magumu na yenye busara

  • @husnatgamaah1335
    @husnatgamaah1335 Před 6 lety +14

    Jamani amesema mtaji wa kwanza kwenda nao sokoni ni 7000 hajasemea vifaa🙄🙄 mnakua wagumu kuelewa jmn, hiyo fridge na blender si pengine alikua navyo tangu zaman kwa matumizi yake ya nyumbani??

    • @francemlwilo1586
      @francemlwilo1586 Před 5 lety +1

      husnat gamaah safiiii unauelewaaa sanaaaa

    • @keddlynebonny6462
      @keddlynebonny6462 Před 2 lety

      Kwa uelewa wangu mtaji nikuanzia banda, blendar na matunda hivyo bhac ameeleza kitu kidogo sana

  • @CatherineMrema-st8iq
    @CatherineMrema-st8iq Před 17 dny

    Mwenyezi Mungu akakuinue viwango na viwango..nimejifunza kitu ahsante 🙏

  • @suleimansaid769
    @suleimansaid769 Před 5 lety +4

    Fun juice soon In Sha Allh ndn ya tz more delicious

  • @petromtakati2975
    @petromtakati2975 Před 6 lety +5

    Comment zotw zimepingana na kaul ya mtaji wa 7000, mm naona kweli, kwasababu huenda Alivo kuwa ataanza labda hakuanza hivo hivo alianzia chini kabisa mpaka Sasa yupo hapo alipo

  • @leoniakalimanzira5090
    @leoniakalimanzira5090 Před 6 lety +11

    Tatzo hana sehem za watu kukaa ,,,kazdiwa Kingdom juice pale kuna pakukaa projector inaonesha mzik mkubwa Yan unaenjoy

    • @allyathumani119
      @allyathumani119 Před 5 lety

      Jamani!!! Ndiyo mwanzo, hata hao walianza kama yeye...

  • @annawinstone9426
    @annawinstone9426 Před 6 lety +6

    zanana aliongea kwa uwazi, but mskikaji aficha kidogo mtaji.....but still ameninspire sanaa

  • @sakarimomoi7040
    @sakarimomoi7040 Před 6 lety +6

    He is fuc**ing genius! Im inspired big up bro 👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @franbar4913
    @franbar4913 Před 6 lety +2

    Nice!!! You are smart!

  • @jenivavedasto636
    @jenivavedasto636 Před 6 lety +2

    hongera sana bro! big up

  • @suzanlyamuya4442
    @suzanlyamuya4442 Před 6 lety +2

    Safi sana kaka!!! MUNGU akazidi kukuongoza ktk kazi yako na sisi utuombee tufikie salama malengo yetu.

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 Před 6 lety +1

    Nakuamini kwa kuanza na mtaji wa 7000 watu wanazani biashara lazima uanzie milioni no, tena mtaji mdogo ndio unakufanya uwe milionea well done 👍🏾

  • @williumhelbert6644
    @williumhelbert6644 Před 6 lety +1

    mac nakubali sana mzazi nakumbuka kazi yako yakwanza ya chps lakini umekoma salul broo

  • @angelamhina3010
    @angelamhina3010 Před 6 lety +4

    nimejifunza kitu hongera sana MAKJUICE

    • @hudsson75
      @hudsson75 Před 6 lety

      angela mhina sasa ashakufundisha kununua, blender, fridge, matunda, glass, na kujenga kibanda kwa elfu saba

  • @irenesisamo2184
    @irenesisamo2184 Před 5 lety +1

    Hongera Mark though nlikuwa sijaonaga upo wapi nimezoea kingdom juice

  • @iddatysupergirl6581
    @iddatysupergirl6581 Před 6 lety +7

    Hongera sana wengi watajifunza ila kwa mtaji wa 7000 binafsi siamin ila kiukwel juice inalipa sana kma ukiithamin

    • @tcbthemarket9317
      @tcbthemarket9317 Před 5 lety

      Elfu saba alienda nunulia matunda

    • @dianamgani69
      @dianamgani69 Před 11 měsíci

      Ni kweli mana apo hajaongelea gharama za kununua Brenda cjui ma fridge hzo glass za take away, ujenzi wa kibanda sawa hajatumia mtaji mkubwa ila sio 7000 mana hzo gharama zote za awali zinahesabika kama mtaji pia

  • @GovernorNkhulu
    @GovernorNkhulu Před 6 lety +12

    👊He is doing something with his life,It's inspiring

  • @kitimethegreat52
    @kitimethegreat52 Před 6 lety +4

    Yaani kote nimekuelewa ila umenichefua kwenye mark kondom

  • @33-snchronized
    @33-snchronized Před 6 lety +6

    Sio mwenzako auze juice na ww uuze juice fkiria tafta chako

  • @BarakaSanane
    @BarakaSanane Před 6 lety +1

    hongeraa watu wanatokwa mapovu biashara ni ubunifu ni kitu mhimu hyo 7000 kaitaja general pengine hzo juice kumi na moja ndo ziligharimu 7000 me nakupa hongeraa kwanza kwa uamuzi mgumu wa kuacha ajira sio kila mtu anaweza move foward

  • @andrewmalisa1893
    @andrewmalisa1893 Před 6 lety +11

    daah jamaa anarekodi nzito sana juice glass 11
    mteja wakwanza alikua mdada 😂😂😂
    big up bro

  • @foteliberty4080
    @foteliberty4080 Před 6 lety

    Gracius Makoi

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 Před 6 lety +2

    Mie napenda kufahamu ingridients za juice zako boss

  • @heavenlypatric4822
    @heavenlypatric4822 Před 5 lety +1

    I like it

  • @willyjulius7740
    @willyjulius7740 Před 6 lety +8

    mtaji wa elfu 7000 sio kweli,afu umeanza ndani ya banda zuri.

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Před rokem

    Hongera xana brother ###

  • @kassimpashua5020
    @kassimpashua5020 Před 5 lety +1

    Jamani tuwe waelewa Siku ya kwanza aliuza glasi kumi na moja kwa mtaji wa sh.7000/=inawezekana Siku hiyo hakuwa na vifungashio/glass zinazoonekana.Mtanzania thubutu utaweza.

  • @aishaaisha2957
    @aishaaisha2957 Před 6 lety

    Hongera kaka

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 Před 2 lety

    Hongera sana

  • @vailetjoseph6438
    @vailetjoseph6438 Před 6 lety

    Hongeraa saaanaa

  • @mkingasana400
    @mkingasana400 Před 4 lety

    hongera man kaza

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 Před 5 lety

    hongera

  • @harrymakongwa1147
    @harrymakongwa1147 Před 6 lety +1

    Umeniinspire upo creative sanaa bro..ntakucheki kwa email.

  • @daudm1558
    @daudm1558 Před 6 lety +3

    Hizo mak juice Hazifiki mikoani...

  • @ahmadchuma190
    @ahmadchuma190 Před 5 lety +2

    Hyo elf 7 ndio alijenga na hcho kibanda alicho anza nacho au kibanda sio mtaji

  • @hosseamelikioli9410
    @hosseamelikioli9410 Před 5 lety +3

    Hhhhh mark condom tena kaka umetisha saana mzee . God bless you 💪💪

  • @HusseinYusuph-sz8lu
    @HusseinYusuph-sz8lu Před 2 měsíci

    Nakubal

  • @raphaelnkwabi9676
    @raphaelnkwabi9676 Před 6 lety +4

    Sawa makoye upo sawa brother lakini please kuwa open bwana achakupindisha ukweli... Unasema ulianza mtaji wa 7000 na Hapo hapo unasema ulianza na banda Moja kwa moja je Banda ulijenga kwa shingapi... Au Mimi sijaelewa.... Pia hyo kutembelea wateja ebu naomba tupe strategic ways ili tuamin maaana daaaah nikweli umefanikiwa lakin it seems Kama unaficha ukweli flani ivi.....but anyways sawa huenda ndo Siri zako... Hongera bhna boss

    • @abra2620
      @abra2620 Před 6 lety +1

      Amesema aleinda sokoni kwa 7000 hyo inamaanisha ni ile variable cost sio fixed cost maana ukiangalia kiivo kuna blender za kusaga, glass,mirija, fridge, kodi na vingne

    • @bone102
      @bone102 Před 6 lety

      abra 26 safi kijana angu

    • @abra2620
      @abra2620 Před 6 lety

      bone pamoja sana kaka

    • @josephdionizy2868
      @josephdionizy2868 Před 5 lety

      Raphael Nkwabi amesema buku Saba ndo alienda nayo sokon afu unawez ukaaanzisha biashara watu wakawekeza biashara ikakuwa

    • @rickyshabudin4066
      @rickyshabudin4066 Před 4 lety

      Uwongo 7000 sio kweli

  • @anzakuishi9469
    @anzakuishi9469 Před 5 lety +3

    Hatukuelewi....unaposema mtaji buku7 wakati ushatengeneza banda..na kununua vifaa..kwani hilo nanda hukutumia gharama za kulitengeneza??kwani hyo hela uliyotengenezea banda cyo mtaji??au mtaji maana yake nn??tueleweshane...insipired story ila muwe wakweli mnapotoa success story zenu....

    • @ibengweboaz4327
      @ibengweboaz4327 Před 5 lety

      chacha itinde hapo kweli kazuga, ila muuliza maswali nae hajashtuka, maana haiwezekani gharama za kutengeneza banda usizijumuishe kwenye mtaji, never!

    • @vincentrajjat8890
      @vincentrajjat8890 Před 5 lety

      czcams.com/video/RFHnaJUf5zk/video.html

  • @abasiomary9609
    @abasiomary9609 Před 5 lety +2

    Jifunze yenye maana,kijana mbali tazama,kusanya mawazo ya jana,pambana japo yanabana

  • @alhabibunjuu715
    @alhabibunjuu715 Před 6 lety +5

    Kwani ukitaja kiasi sahihi cha mtaji utaharibu nini mtaji wa elfu 7 ni uongo bhn implicit cost + explicit cost ndo iwe elfu 7 ...???

  • @marypartson8409
    @marypartson8409 Před rokem

    Hongera mtoto wa Sayuna Shekalaghe

  • @stephenmateo8677
    @stephenmateo8677 Před 4 lety

    Safi

  • @real_a0794
    @real_a0794 Před 6 lety +2

    Ume plan gud and still u have gud plan and also from ur talk u have also gud system
    But 4 pple around he can't explain wat u want to hear means he is growing in business... kama umeelewa

  • @adyaa8922
    @adyaa8922 Před 6 lety

    Mmmmmh, huyu muhongo sana adi macho

  • @calenmichael6853
    @calenmichael6853 Před rokem

    ✨🔥

  • @franciscaaugustino1733
    @franciscaaugustino1733 Před 6 lety +3

    Hongera ila jitahid na huku mkoan tuzipate

    • @saidysaleh7421
      @saidysaleh7421 Před 5 lety

      Hahahaaaaa buaaana weee ,embu fanya wewe ushike huko kwenu naimani umejifunza kitu hapo ko watakiwa kuitumia fursa hyo kufungua yako hapo mkoani kwako

  • @armanichicandow1225
    @armanichicandow1225 Před 6 lety +17

    MTU kafanya kazi benk unasema mtaji buku 7000

    • @nyotaamadi8389
      @nyotaamadi8389 Před 6 lety +1

      Armani Frey ww unahonekana una wivu

    • @zanubaahmed49
      @zanubaahmed49 Před 6 lety

      Mtaji sio pesa alonunulia matunda tu, gharama zote alizotumia biashara ikaanza ndio mtaji, sio kweli 7,000

    • @armanichicandow1225
      @armanichicandow1225 Před 6 lety +1

      hapo nimewaelewa

    • @iviejustified8109
      @iviejustified8109 Před 6 lety

      Armani Frey What a Lie...
      ila labda anaongelea mali ghafi alizonunua kwa mara ya kwanza..
      labda hivyo

    • @verenabenjamin2495
      @verenabenjamin2495 Před 6 lety

      Mie mwenyewe aijaniingia kichwani

  • @davidone4705
    @davidone4705 Před 6 lety

    Ongela

  • @bashirikimamula6643
    @bashirikimamula6643 Před 6 lety

    Safi boy

  • @ramadhanwiliam6477
    @ramadhanwiliam6477 Před 5 lety +2

    pendeni kuongea ukweli maaana hamjikubaligi kwann

  • @user-dk6rc9kb3f
    @user-dk6rc9kb3f Před 7 měsíci

    Brother naomba kuwa supplier wako

  • @stanleyjacob6744
    @stanleyjacob6744 Před 5 lety +3

    Sukari kilo 1800/= Matunda assuming 2000/=take away glass 5000/= 😎

  • @marypartson8409
    @marypartson8409 Před rokem

    Yaan nmefunga ofc yangu y juice sbabu ya usimamizi.

  • @yusuphjaphari154
    @yusuphjaphari154 Před 6 lety +20

    Siku zijazo namimi nitakuwa mtu Mkubwa Sana

  • @majaliwa_tz5004
    @majaliwa_tz5004 Před rokem

    Uwe Na Mtaji Mkubwa Au Mdogo Kufanikiwa Ni Kujituma Na Kujiwekea Malengo Ila Tofauti Na Ivyo Ata Uanzie Na Mamilion Yanaisha Tu

  • @gg-fq4mf
    @gg-fq4mf Před 5 lety

    Hongera sana, ila kweny buku 7 umetudanganya

    • @simontamba1285
      @simontamba1285 Před 5 lety

      Jina langu wewe la nini blenda tu bei Ni zaidi ya laki

  • @patrickemmanuelemmanuel9354

    nzur

  • @godcompeter9844
    @godcompeter9844 Před 6 lety +4

    Broo mm ndo mmliki wa G juice sasa unavy sema mtaji wa elfu saba yan brenda elfu mbili chumba elfu na mia tano yan kila mwez mia tano na matunda bado frig na hiz cup unaz uzia juice be serious wakt una encourage vijana wafany biashara

    • @hudsson75
      @hudsson75 Před 6 lety +1

      Godcom peter asante

    • @jac9495
      @jac9495 Před 6 lety

      Godcom peter no hajaamanisha hivo amesema kwamba mtaji wake wa kwenda sokoni kununua matunda ni matunda ya elfu 7 sidhani kama amemaanisha gharama za ofisi na vitendea kazi

    • @manselectorgway8580
      @manselectorgway8580 Před 6 lety

      Kasema alienda sokoni na mtaji wa 7000 ina mana alienda kununua matunda kwa mtaji huo

    • @theresiathomas3917
      @theresiathomas3917 Před 6 lety

      Godcom peter 6

    • @josephdionizy2868
      @josephdionizy2868 Před 5 lety

      Bro daaah sikiliza tena upya

  • @kizaabwe726
    @kizaabwe726 Před 6 lety +1

    Safi sana bro God bless u

  • @inallahitrust1888
    @inallahitrust1888 Před 6 lety +2

    Nice na inatia moyo kila kitu kinawezekana nikujipanga tu nakutokubali kukata tamaaa

    • @shabanmohamed1545
      @shabanmohamed1545 Před 5 lety

      Kila kitu kinawezekana ,kikubwa ni subira tu na uvumilivu .

  • @musanjama2211
    @musanjama2211 Před 6 lety +7

    Suala la mtaji wa elfu saba sio kweli

  • @stellahmosha9517
    @stellahmosha9517 Před 4 lety

    Nimekuelewa

  • @minaziparasu8748
    @minaziparasu8748 Před 6 lety +5

    Jee TRA unalipialakiniiii

  • @chriskalega3855
    @chriskalega3855 Před 6 lety +2

    wanatuchoresha hawa

  • @ramseyrmsy3366
    @ramseyrmsy3366 Před 5 lety

    Elfu saba sio kweli ila mtaji sema ulikua mdogo ila nimependa kua umethubutu kila kijana anatakiwa kuthubutu

  • @juliusshaban2443
    @juliusshaban2443 Před 6 lety +2

    watu mnashindwa kuelewa yeye kasema alienda sokoni Na elfu 7 sio mtaji elfu saba

    • @safaritourstv1909
      @safaritourstv1909 Před 5 lety

      7000 contena kanunua bei gani, na bado kuna friji na brenda ya kusagia matunda ebu acha uongo au jaribu kufafanua kati ya pesa ya kununuria matunda na ya kuanzishia biashara

  • @roi2554
    @roi2554 Před 5 lety +1

    Big up sanaaa bro una zaid ya kipaji

  • @juliusuronu8812
    @juliusuronu8812 Před 6 lety +3

    Tatizo watanzania wako na Complement sana....kusema mtaji wa 7000 mimi naamini....natambua mazingira ya kuajiriwa wengi hatuna desturi ya kuweka akiba na ndio mana kila ikifika mwisho wa mwezi kila mtu analia mshahara....Kujiajir kunakufanya mtu usibweteke...Hongera sana kaka

    • @erickmsallenge3724
      @erickmsallenge3724 Před 6 lety +1

      Julius URONU ni kweli aisee watanzania kila kitu tupo negative sana bila kuangalia kipi tujifunze

    • @hudsson75
      @hudsson75 Před 6 lety +1

      Bro ebu jaribu kuichanganua iyo elfu mpaka kuanza biashara

    • @juliusuronu8812
      @juliusuronu8812 Před 6 lety

      Yeye alimaanisha katumia 7000 kununua material za kutengenezea juice yani matunda, sukari na vitu vingine muhimu kwenye juice..kuweni makini kwenye kusikiliza jambo alisema banda alishatengeneza Before

    • @alhabibunjuu715
      @alhabibunjuu715 Před 6 lety

      Julius URONU elfu 7 unaeza anza biashara ila huyo muongo

    • @manernest5902
      @manernest5902 Před 5 lety

      nmependa ushaur wako

  • @fibolychifunda6639
    @fibolychifunda6639 Před 6 lety +1

    Acha uongo wewe,huwezi kusema ushafanya kazi benki na kampuni ya simu halafu useme umeanza na mtaji wa 7000,kwa hiyo walikuwa wakikulipa mshahara 7000,UMEWEZEZESHWA or there's something behind the gam3

    • @josephdionizy2868
      @josephdionizy2868 Před 5 lety

      Fiboly Chifunda mtaji alienda kununulia matunda .......elewa alienda kununulia matunda ya buku sab Hilo swala la office hajataja gharama ya office n sh ngap

  • @ambaryahayapopo6729
    @ambaryahayapopo6729 Před 6 lety

    ongera sn maisha kujituma

  • @africangirls482
    @africangirls482 Před 5 lety

    Elf 7 sio kweli ase

  • @issashomary8711
    @issashomary8711 Před 5 lety

    Aache kupotosha watu bhana mtaji wa 7000 sio kweli

  • @salehgoldberg7237
    @salehgoldberg7237 Před 5 lety

    Lipa hayo mafriji ya jamaa aliekupa hapo mana hku hongkong anahangaika kila siku unamgaia elf50 tu ...

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 Před 4 lety

      We pumbavu unatoa siri za watu.yanakuhusu? Atalipa tu mdogo mdogo. Makjuice tuwasiliane nikusupply sambusa

  • @selemanjuma1595
    @selemanjuma1595 Před 5 lety

    Kwenye mtaji umedanganya

  • @endruhussen4425
    @endruhussen4425 Před 5 lety +1

    kuusumtajiwash 7000 kiukweliamedanganya

  • @mohammadmpinga7404
    @mohammadmpinga7404 Před 6 lety +3

    Mtaj Wa 7000 Mhh😎😎

    • @josephtula5525
      @josephtula5525 Před 6 lety

      Mohammad Mpinga hiyo ni hela aliyonunulia matunda kwa siku ya kwanza, alikuwa anajaribu

    • @mohammadmpinga7404
      @mohammadmpinga7404 Před 6 lety

      Joseph Tula Boy Kumbuka Alishaajiriw Then Angalia Hyo Location Analipa Tsh Ngap Hzo Resources Anazotumia Tshngap Zote Hzo Ni Mtaj...

  • @finahenly64
    @finahenly64 Před 5 lety

    Aliqnza kujenga kibanda kwa elfu 7 au kununua blenda au alikua akisaga na meno 😂

    • @chwabizobk8160
      @chwabizobk8160 Před 5 lety

      Ila kwel.. maelezo Co kwel hayajajitoshelezaaA

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 Před 3 lety

    hatari

  • @sharifunyengedi6322
    @sharifunyengedi6322 Před 5 lety

    Aliacha kazi bank akaanzisha biashara ya sh 7,000? Hmmmm hii ndio Tanzania ya Viwanda 😁😁🤣🤣😃😄😄

  • @lulumahungo6442
    @lulumahungo6442 Před 6 lety

    Sasa hakuanza na elfu Saba

  • @kbjuomaly8466
    @kbjuomaly8466 Před 5 lety

    Dah:inavutia mno

  • @yusuphikaku6728
    @yusuphikaku6728 Před 5 lety

    pumbavu wapo wengine so huyo mpaka kuajiriwa kwenye makampuni

  • @daudm1558
    @daudm1558 Před 6 lety

    Kama mwanza

  • @user-dk6rc9kb3f
    @user-dk6rc9kb3f Před 7 měsíci

    Mikoani

  • @justinemutahaba5431
    @justinemutahaba5431 Před 6 lety

    daah!...

  • @deevon3364
    @deevon3364 Před 5 lety

    7000 uo ndo mtaji wa matunda

  • @joycejohn7754
    @joycejohn7754 Před 6 lety

    waongo wakubwa wanadanganya watu hawa

  • @armanichicandow1225
    @armanichicandow1225 Před 6 lety +6

    njoo uchukue million tuone kama utaweza kufikia hapo, kesho wakiitwa na makonda mnasema wwanaonewa

    • @najmabajun1739
      @najmabajun1739 Před 6 lety +1

      una onekana una ongea sana alafu vyoooooooooooooote pumba tu

    • @najmabajun1739
      @najmabajun1739 Před 6 lety +1

      sio kila mtu ana weza kuamin ulilazimishayo kukiaminisha

    • @inodeculture2759
      @inodeculture2759 Před 6 lety

      uyu dada kama alikataliwa na uyu jamaa

    • @najmabajun1739
      @najmabajun1739 Před 6 lety +3

      +INO DE CULTURE inavo onesha au kashezea alafu kutoka kapa tofauti alivo tarajia ndio maan ana mkandiiiia ana miasila yake ila nn siku zote ukiwa una plan una ishi ishi tu lazima udondokee pua kwa sisi tunao jitambua na nita pambanaji wala atushangai iki alicho kifanya jamaa kufanya kaz benk sio kua tajili ila watu wengi wana jitoa tu ufaham ndio madem wengi mwisho wa picha kutoa povu mtandaon 😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @inodeculture2759
      @inodeculture2759 Před 6 lety

      +Najma Bajun
      kweli Najma Bajun alaf cc watanzania wengi tunaanzia Story ya hapo hapo mtu alipo ila autaki kujua ya nyuma zaid uyu jamaa mm nimeanza kumfwatiliaga ckunyingi na anani inspire kuzid kusonga mbele bila kukata tamaa japo wengine wanamponda

  • @armanichicandow1225
    @armanichicandow1225 Před 6 lety +5

    huyu alitimuliwa bank kwa wizi wa pesa

  • @fredyjohnwaifakaratz2473
    @fredyjohnwaifakaratz2473 Před 6 lety +2

    WABONGO BWANA SO SO SO SO SO KIBAAAAAAAAAO... PUMBAVU

  • @daudm1558
    @daudm1558 Před 6 lety

    Tunazikosa hafanye utaratibu

  • @ramadhanwiliam6477
    @ramadhanwiliam6477 Před 5 lety

    wewee acha uongo maaana hilo banda lakwako ama

  • @paulokilenga8025
    @paulokilenga8025 Před 6 lety

    wacha ujinga millard na wewe umelpwa

  • @suzanmangi9316
    @suzanmangi9316 Před 6 lety +2

    unaonekana unaubinafisi ww hutaki wengine wapate

    • @bone102
      @bone102 Před 6 lety +4

      Suzan Mangi kwan lazima upate kupitia mgongo wake pambana na hali yako

  • @muktartz7314
    @muktartz7314 Před 6 lety

    V I D O ❌

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd9146 Před 4 lety

    mbona mak condom it's coming soon

  • @armanichicandow1225
    @armanichicandow1225 Před 6 lety +3

    ndo wanavyoongea kumbe unga ndo biashara

    • @entertainmentplace3460
      @entertainmentplace3460 Před 6 lety +1

      Armani Frey if yua lazy husizingizie unga na ww uza unga ufike hapo kwanini binadamu tunakuwa wapesi wa kuukumu wenzetu haraka wakifanikiwa na kua na fikra ovyooooo!!!we jipige kando wacha wenye bidii wapambane watafikia malengo yao ww unaonekana mtu ambae huwezi endelea juu umejawa na negativity in yu my dear husiwe ivo na unafunza nn wadogo zetu wamelemewa kweli aeza kua ni unga but kumbuka kuna vijana wadogo wanatamani kua kama yy so ukisema ivo unawavunja moyo wacha kua mtu mbinafsi

    • @erickmsallenge3724
      @erickmsallenge3724 Před 6 lety +1

      Negativity mind....kamwe huwezi kusonga mbele kwa kuamini kila aliefanikiwa anafanya mambo haramu.....change ur mindset......

    • @entertainmentplace3460
      @entertainmentplace3460 Před 6 lety

      erick Msallenge i support you 100%but cant blame her koz africans we r full of negativity minded kuamini uchawi n bla bla ukisikia uchawi ni pale mtu ataki mwenzake afanikiwe surely wen will we come out from this negativity !!mostly tunajifikiria wenyewe tunakua wabinafsi fikirieni na kizazi kinachotufuata!!

    • @pancrasmassawe3416
      @pancrasmassawe3416 Před 6 lety +1

      Armani Frey aimaniisha kwamba hakuwa na pesa nyingine alikuwa nazo but si unajua uwezi ukaanza kutengeneza labda juice nyingine wakati ujajua unawateja wangapi au itapokelewa vizuri