daaah sjawah kuangalia video inspirational kama hii....big up Mac umetisha mzee
Mungu akubariki nami nimekuwa na idea ya kujiajiri wala si kuajiriwa.umenipa moyo
hata kama nimechelewa Ku comment. sitautendea moyo wangu haki nisipokupongeza Kaka Makoye, I wish ningejua mahali unapatikana japo nipate ushauri toka kwako maana nami Nataka kujiajiri Ila Nataka wa kunipa angalau mwongozo
Barikiwa
shukrani kaka kweli kila jambo lahitaji uvumilivu nashukuru mnoo nimejifunza
I like that motivation Brother you have made my day
Waooooooh umenifanya nijiamini sana katika biashara yangu
Hongera Sana kwa kutimiza ndoto zako na kuondokana na ndoto zao waajiri
Mungu aibariki kazi ya mikono yako
Hongera sana kaka,ndio wakati wa vijana tuamke tujiajiri 👏
aisee umetisha san na umetutia moyo kwa sisi tusio na ajira. mungu atatusaidia inshalla
duh! hiyo ni
meipenda sana broo na umenitia nguvu maan mm mwenyewe nimechoka kuajiriwa hapo mimepata somo hongera sana
unamaamuzi mazuri umenifurahisha I like it wewe mkali Halipingiki mwenyezimungu akujalie
Hongera sana kwa kuweza kusimamia ndoto zako. Nimepata kiti kutoka kwako. Mungu akuinue zaidi.
Hongera kwa kupambana kaka Mungu akujalie ufike mbali na uendelee kuwa mfano kwa jamii
This guy has a very bright future
...nimependa..bro hiyo issue.. maamuzi safi
Hongera sana kaka barikwa sana..nimejifunza kitu...asante pia HZB TV
Brillient,focused,self confident in life bro big☝
good interview, good video quality, good voice quality. to much Ad sense Adds. but am satisfied and Already subscribed
From banker to business man....alright motivation kibao hapa
big up brooo nmekuelew sn mpk najiulza kwnn hii video ckuiona mapema
Nimependa sana kaka,,,, nina maswali kadhaa ningependa kumuuliza, nitampataje kupitia simu 😊😊😊.....
Duuuh hatar sana kaka.....yaani nimekupata hadi nahisi presha nangu inashuka maana umeniamshia mzuka wa kuendelea kupigania ndoto zangu❤❤
Ume inspire bro.. Mungu akubarik
Hongera kaka umeniia moyo na nimejifunza ila naomba mtu akitaji kujifunza na na ya kutengeneza anakufikia vipi 🙏
umeni inspire, ahsante
Hongera saana brother umeni inspire kiasi kwamba natamani nikutane na ww unipe ujuzi zaidi
hongera kwa biashara ila umemuachishia Ajira mzee wa Mugachelele Qboy🤣😂😂
Dah kaka ongera sana watu tunatoka external kuja Africa sana kuja kuchukua juice
hongera sana bro BT nyie watu wengine msiige biashara yake ila angalien mazingira yenu yanahitaji bidhaa gan mtatoka
Daa!! umenitya nguvu sana bro maana kuajiliwa nimechoka kabisaa.
hongera sana kaka
cku zte biashara.inalipaaaa👍
Hongera sana kaka umenipa moyo sana ✍
Vema kabisa, hizi ndiyo habari sasa
*Hakuna mafanikio pasipo elimu juu ya jambo unalolifanya, Hii ni App pekee iliyonifanikisha kuweza kuona na kuthubutu katika UJASILIAMALI na kuwa mjasiliamali bora,*
Nimeamua kukushirikisha katika hili ili na wewe uwe mjasiliamali bora Install sasa kupitia link hii,
play.google.com/store/apps/details?id=com.kilimo.na.ufugaji.mfxxfntqhnsotnqtjw
*Nakutakia mafanikio mema*
Tunahitaji vijana Kama hawa wawe wahamasishaji kwa vizazi vijavyo hongera kaka 👍
Dah hongera sana kaka
Daaah kaka you have inspired me.
Hongera sana,nimependa juhudi uliyonayo
Nothing impossible ,,,,,, daaah amazing.
Daaa asanteni bro pakahivi nafikiriya kufanya vyashara ila naogopa sasa nifanyej
Easy is not option
Life is hard
Sifa ya mfanya biashara ni kujitoa sadaka ukiferi usikate taaamaaa nyanyuka fanya unacho kipenda
See you at the top blood
Hongera kaka yangu kwa kazi nzur
keep it up bro am hongera naja naja
an inspiration brother... tisha sana!
nimeipenda hii big up ,i wish to meet with u!
good idea bro mungu akubariki
Asante kaka Mak be blessed
Asante kwa ushauri wako🙏
UME NI INSPIRE SANA NA MIMI NIPO MBIONI KUTOKA KUAJIRIWA NA KUJIAJIRI MWENYEWE SOON, MUNGU AIBARIKI KAZI ZA MIKONO YAKO BROTHER MAK NA PRODUCT YAKO IZIDI KUJUIKANA ZAIDI NA ZAIDI.
Mungu akulinde Mak. gooo goo oo Mak
Kaka nmkkbal sana Allah atusaidiie namie nataka unipe fikra nitoke kimaisha
well done kijana kama kwa unafanya biashara bori kwa manifaa kwako na wanuuzi kiafya
hongera sana kk
Wow Hongera sana kaka
iko poa sana broo; u r my model
dah kweli hongera kuajiriwa inahitaji moyo
Branch moja I we mbez beach tafadhali..tunapenda juice zako
I got u bro Makoye
Really Good.. Bro
Duh bro ujue Mungu anakuona, Yaani najiona kama nikaache kazi kesho, But ngoja nivute kamuda kidogo aisee maaana hakuna namna hapa ni kujiajiri tu
Hongera kaka nimejifunza kitu
umenitia moyo hata mm nimechoka kuajiriwa
TUPO WOTE ATA MIMI NIMECHOKA SANA KUAJIRIWA. NAIMANI TUKI THUBUTU TUNA WEZA.
nyanzala kaporo, Umeonaeeee, yani mimi natamani leo kesho niwe na biashara yangu. kuajiliwa ni kama utumwa
big up bro mak...
hongera broo
Hongera sana bro mak
Wow Makoye i real like you. You're kind-hearted and God bless you always
Unaushauri mzuri sana braza
Ahsante brother ntafanya k2
Brother God bless you
Nice very good keep it up
hongeraa
umeniongeza inspiration
Vijana mia kama hawa, ajira mia mtaani!
Thx bro umenifungua
I like mack for your decision
Idea yako ni Kama yangu natamani Sana kudeal na juice na matunda tu Asante Sana kwa kunipa Mwanga japo nahitaji kujua napatia wapi mashine ambayo nitaanzia isiwe Bei kwabwa ambayo itanishinda
Very nice boy adaptable peson
hongera kk
Asantee nimeipenda hii
Stay Blessed Mak juice
Nimeipenda na nimejifunza kitu
I like the way ya so charming
hongera sana bro
Masha Allah nmejifunza kitu
Hongera makoye
Niko korea kaskazini Nimekulewa sanaa brother
THE FOUNDER!!
hongera kaka
Big Up Saana Bro Mak Juice nainywa saana Juice yako ni Tamuu Balaah!
Congratulations broo.
inspiring aisee
Jaman natafuta vijana japo wa5 nataka nifungue Restaurant nipo mbeya twn ila wawe wamesomea hotel management pls yeyote ataekua teyar bac nategemea majibu mazur
Big up..Congrats
Hongera sana
Hongera
Hapa kwenye kuacha kazi watu wengi wanaogopa pakin nikitenda cha ushujaa sana Asante kaka umenipa Akili Mpya