Komentáře •

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Před rokem +2

    Hapa kwenye kuacha kazi watu wengi wanaogopa pakin nikitenda cha ushujaa sana Asante kaka umenipa Akili Mpya

  • @afrovisuals-ksv894
    @afrovisuals-ksv894 Před 6 lety +11

    daaah sjawah kuangalia video inspirational kama hii....big up Mac umetisha mzee

  • @violetnyansiaboka2821
    @violetnyansiaboka2821 Před 5 lety +7

    Mungu akubariki nami nimekuwa na idea ya kujiajiri wala si kuajiriwa.umenipa moyo

  • @africanchild4525
    @africanchild4525 Před 6 lety +32

    Dah! Makoye classmate wangu. Hongera sana kwa hatua hiyo

  • @aggy_cakeandbites
    @aggy_cakeandbites Před 6 lety +6

    hata kama nimechelewa Ku comment. sitautendea moyo wangu haki nisipokupongeza Kaka Makoye, I wish ningejua mahali unapatikana japo nipate ushauri toka kwako maana nami Nataka kujiajiri Ila Nataka wa kunipa angalau mwongozo
    Barikiwa

  • @sherrydaniely9402
    @sherrydaniely9402 Před 7 lety +6

    shukrani kaka kweli kila jambo lahitaji uvumilivu nashukuru mnoo nimejifunza

  • @eunicesaumu7486
    @eunicesaumu7486 Před 7 lety +17

    I like that motivation Brother you have made my day

  • @rachelissa115
    @rachelissa115 Před 6 lety +8

    Waooooooh umenifanya nijiamini sana katika biashara yangu

  • @empoweredentrepreneurworld7446

    Hongera Sana kwa kutimiza ndoto zako na kuondokana na ndoto zao waajiri
    Mungu aibariki kazi ya mikono yako

  • @ceciliasenya9067
    @ceciliasenya9067 Před 6 lety +5

    Hongera sana kaka,ndio wakati wa vijana tuamke tujiajiri 👏

  • @alimngwalivuai3518
    @alimngwalivuai3518 Před 7 lety +2

    aisee umetisha san na umetutia moyo kwa sisi tusio na ajira. mungu atatusaidia inshalla

  • @husseinhemed645
    @husseinhemed645 Před 7 lety +19

    duh! hiyo ni
    meipenda sana broo na umenitia nguvu maan mm mwenyewe nimechoka kuajiriwa hapo mimepata somo hongera sana

    • @anetikapami4228
      @anetikapami4228 Před 6 lety +1

      Hussein Hemed, Niwengi kwakweli tuliochoka kuajiliwa

  • @zainabugirwana6895
    @zainabugirwana6895 Před 7 lety +2

    unamaamuzi mazuri umenifurahisha I like it wewe mkali Halipingiki mwenyezimungu akujalie

  • @margarethsaumu5602
    @margarethsaumu5602 Před rokem

    Hongera sana kwa kuweza kusimamia ndoto zako. Nimepata kiti kutoka kwako. Mungu akuinue zaidi.

  • @emmanueljackob4414
    @emmanueljackob4414 Před 6 lety

    Hongera kwa kupambana kaka Mungu akujalie ufike mbali na uendelee kuwa mfano kwa jamii

  • @fortchiyanda5273
    @fortchiyanda5273 Před 7 lety +16

    This guy has a very bright future

  • @daudm1558
    @daudm1558 Před 7 lety +12

    ...nimependa..bro hiyo issue.. maamuzi safi

  • @raymrash
    @raymrash Před 6 lety

    Hongera sana kaka barikwa sana..nimejifunza kitu...asante pia HZB TV

  • @masaimara3750
    @masaimara3750 Před 6 lety +22

    Daah, jamaa kasoma ikizu na bro wangu... maisha ni maamuzi

  • @ajeyfandhealthy8842
    @ajeyfandhealthy8842 Před 6 lety +1

    Brillient,focused,self confident in life bro big☝

  • @hosianakibona659
    @hosianakibona659 Před 5 lety +7

    good interview, good video quality, good voice quality. to much Ad sense Adds. but am satisfied and Already subscribed

  • @adrianashyko2781
    @adrianashyko2781 Před 6 lety +2

    From banker to business man....alright motivation kibao hapa

  • @zulfajuma9897
    @zulfajuma9897 Před 5 lety +4

    big up brooo nmekuelew sn mpk najiulza kwnn hii video ckuiona mapema

  • @faithmutho6400
    @faithmutho6400 Před 6 lety +2

    Nimependa sana kaka,,,, nina maswali kadhaa ningependa kumuuliza, nitampataje kupitia simu 😊😊😊.....

  • @kingyehoshafatitvbornerys2496

    Duuuh hatar sana kaka.....yaani nimekupata hadi nahisi presha nangu inashuka maana umeniamshia mzuka wa kuendelea kupigania ndoto zangu❤❤

  • @cpson665
    @cpson665 Před 7 lety +5

    Ume inspire bro.. Mungu akubarik

  • @lucyauma2968
    @lucyauma2968 Před 2 lety

    Hongera kaka umeniia moyo na nimejifunza ila naomba mtu akitaji kujifunza na na ya kutengeneza anakufikia vipi 🙏

  • @lustikamlwilo7528
    @lustikamlwilo7528 Před 7 lety +6

    umeni inspire, ahsante

  • @mbazingwazawadi6486
    @mbazingwazawadi6486 Před 6 lety

    Hongera saana brother umeni inspire kiasi kwamba natamani nikutane na ww unipe ujuzi zaidi

  • @jelasnkoma4240
    @jelasnkoma4240 Před 7 lety +4

    hongera kwa biashara ila umemuachishia Ajira mzee wa Mugachelele Qboy🤣😂😂

  • @arenemedard3535
    @arenemedard3535 Před 5 lety +6

    Dah kaka ongera sana watu tunatoka external kuja Africa sana kuja kuchukua juice

  • @lightnesssomi1442
    @lightnesssomi1442 Před 7 lety +4

    hongera sana bro BT nyie watu wengine msiige biashara yake ila angalien mazingira yenu yanahitaji bidhaa gan mtatoka

  • @anetikapami4228
    @anetikapami4228 Před 6 lety +2

    Daa!! umenitya nguvu sana bro maana kuajiliwa nimechoka kabisaa.

  • @clementsanga
    @clementsanga Před 7 lety +9

    hongera sana kaka

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 7 lety +7

    cku zte biashara.inalipaaaa👍

  • @annakessy6060
    @annakessy6060 Před 4 lety +3

    Hongera sana kaka umenipa moyo sana ✍

  • @jonathankiula8123
    @jonathankiula8123 Před 7 lety +26

    Vema kabisa, hizi ndiyo habari sasa

    • @VimbaMedia
      @VimbaMedia Před 7 lety +1

      Jonathan Kiula shukran sana

    • @kingotv3162
      @kingotv3162 Před 5 lety

      *Hakuna mafanikio pasipo elimu juu ya jambo unalolifanya, Hii ni App pekee iliyonifanikisha kuweza kuona na kuthubutu katika UJASILIAMALI na kuwa mjasiliamali bora,*
      Nimeamua kukushirikisha katika hili ili na wewe uwe mjasiliamali bora Install sasa kupitia link hii,
      play.google.com/store/apps/details?id=com.kilimo.na.ufugaji.mfxxfntqhnsotnqtjw
      *Nakutakia mafanikio mema*

  • @michaelkadinde6946
    @michaelkadinde6946 Před 6 lety

    Tunahitaji vijana Kama hawa wawe wahamasishaji kwa vizazi vijavyo hongera kaka 👍

  • @wemamtotochanelyusuphomari8262

    Dah hongera sana kaka

  • @alexandrinadomaino1085
    @alexandrinadomaino1085 Před 7 lety +4

    Daaah kaka you have inspired me.

  • @emilydavidmdoe3552
    @emilydavidmdoe3552 Před 5 lety

    Hongera sana,nimependa juhudi uliyonayo

  • @b.a.m6243
    @b.a.m6243 Před 5 lety +2

    Nothing impossible ,,,,,, daaah amazing.

  • @richardngendakumana2871
    @richardngendakumana2871 Před 5 lety +1

    Daaa asanteni bro pakahivi nafikiriya kufanya vyashara ila naogopa sasa nifanyej

    • @salumucharles7419
      @salumucharles7419 Před 4 lety

      Easy is not option
      Life is hard
      Sifa ya mfanya biashara ni kujitoa sadaka ukiferi usikate taaamaaa nyanyuka fanya unacho kipenda
      See you at the top blood

  • @agathaphocus9938
    @agathaphocus9938 Před 2 lety

    Hongera kaka yangu kwa kazi nzur

  • @joyblessedtv
    @joyblessedtv Před 6 lety +1

    keep it up bro am hongera naja naja

  • @sifaelcharles5347
    @sifaelcharles5347 Před 6 lety

    an inspiration brother... tisha sana!

  • @tktz5450
    @tktz5450 Před 5 lety +1

    nimeipenda hii big up ,i wish to meet with u!

  • @jamesgerald7192
    @jamesgerald7192 Před 6 lety

    good idea bro mungu akubariki

  • @meddamunisi889
    @meddamunisi889 Před 5 lety +3

    Asante kaka Mak be blessed

  • @kisalaTV
    @kisalaTV Před 6 lety

    Asante kwa ushauri wako🙏

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo2504 Před 7 lety +24

    UME NI INSPIRE SANA NA MIMI NIPO MBIONI KUTOKA KUAJIRIWA NA KUJIAJIRI MWENYEWE SOON, MUNGU AIBARIKI KAZI ZA MIKONO YAKO BROTHER MAK NA PRODUCT YAKO IZIDI KUJUIKANA ZAIDI NA ZAIDI.

  • @emeldapaul5796
    @emeldapaul5796 Před 6 lety +1

    Mungu akulinde Mak. gooo goo oo Mak

  • @jumahemed7546
    @jumahemed7546 Před 4 lety

    Kaka nmkkbal sana Allah atusaidiie namie nataka unipe fikra nitoke kimaisha

  • @jeninunu9177
    @jeninunu9177 Před 6 lety

    well done kijana kama kwa unafanya biashara bori kwa manifaa kwako na wanuuzi kiafya

  • @maduhundilanha7471
    @maduhundilanha7471 Před 7 lety +2

    hongera sana kk

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 Před 7 lety +1

    Hongera sana kijana kwa mafanikio yako, umenipa moyo.

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto7212 Před 7 lety +1

    Wow Hongera sana kaka

  • @yusuphrobert290
    @yusuphrobert290 Před 6 lety +1

    iko poa sana broo; u r my model

  • @noorenjohn5132
    @noorenjohn5132 Před 6 lety

    dah kweli hongera kuajiriwa inahitaji moyo

  • @kuchibengkuchibeng3895

    Branch moja I we mbez beach tafadhali..tunapenda juice zako

  • @jimmymarwamatjr491
    @jimmymarwamatjr491 Před 5 lety +3

    I got u bro Makoye

  • @ansyfalesy1457
    @ansyfalesy1457 Před 5 lety +1

    Really Good.. Bro

  • @kato_tz
    @kato_tz Před 6 lety +2

    Duh bro ujue Mungu anakuona, Yaani najiona kama nikaache kazi kesho, But ngoja nivute kamuda kidogo aisee maaana hakuna namna hapa ni kujiajiri tu

    • @queenkimambo6134
      @queenkimambo6134 Před 6 lety

      adolph emmanuel 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @magdalenamadusa440
    @magdalenamadusa440 Před 7 lety

    Hongera kaka nimejifunza kitu

  • @januarypeter4655
    @januarypeter4655 Před 7 lety +47

    umenitia moyo hata mm nimechoka kuajiriwa

    • @nyanzalakaporo2504
      @nyanzalakaporo2504 Před 7 lety +2

      TUPO WOTE ATA MIMI NIMECHOKA SANA KUAJIRIWA. NAIMANI TUKI THUBUTU TUNA WEZA.

    • @anetikapami4228
      @anetikapami4228 Před 6 lety +3

      January Peter, Kumbe tuko wengi tuliochoka kuajiliwa

    • @anetikapami4228
      @anetikapami4228 Před 6 lety +2

      nyanzala kaporo, Umeonaeeee, yani mimi natamani leo kesho niwe na biashara yangu. kuajiliwa ni kama utumwa

    • @gosaizaka1495
      @gosaizaka1495 Před 6 lety +2

      +Aneti Kapami tuko wengi ambao tumechoka kuajiriwaa

    • @anetikapami4228
      @anetikapami4228 Před 6 lety +2

      Gosai Zaka, umeonaee tena kama mimi ni shida

  • @katikirojuma6826
    @katikirojuma6826 Před 6 lety +3

    big up bro mak...

  • @habibuyasini6349
    @habibuyasini6349 Před 7 lety +2

    hongera broo

  • @jainamalaika6048
    @jainamalaika6048 Před 5 lety +1

    Hongera sana bro mak

  • @fortunatekayuni5507
    @fortunatekayuni5507 Před 7 lety +1

    Wow Makoye i real like you. You're kind-hearted and God bless you always

  • @yohanajeremiahliku3158

    Unaushauri mzuri sana braza

  • @hamisihamisisaidi8832
    @hamisihamisisaidi8832 Před 5 lety

    Ahsante brother ntafanya k2

  • @olaislukumay571
    @olaislukumay571 Před 7 lety +1

    Brother God bless you

  • @RonnieMchatta-pr5bd
    @RonnieMchatta-pr5bd Před 8 měsíci

    Nice very good keep it up

  • @rahmaabdullah8117
    @rahmaabdullah8117 Před 7 lety +3

    hongeraa

  • @allyrutunga4452
    @allyrutunga4452 Před 7 lety +1

    umeniongeza inspiration

  • @saidabdallah3193
    @saidabdallah3193 Před 7 lety +4

    Vijana mia kama hawa, ajira mia mtaani!

  • @hemedtimbulo9545
    @hemedtimbulo9545 Před 7 lety

    Thx bro umenifungua

  • @gablesladyfashionanddesign1409

    I like mack for your decision

  • @agnessahia415
    @agnessahia415 Před 4 lety

    Idea yako ni Kama yangu natamani Sana kudeal na juice na matunda tu Asante Sana kwa kunipa Mwanga japo nahitaji kujua napatia wapi mashine ambayo nitaanzia isiwe Bei kwabwa ambayo itanishinda

  • @juliusapornaly7271
    @juliusapornaly7271 Před 6 lety

    Very nice boy adaptable peson

  • @rostamaziz6734
    @rostamaziz6734 Před 7 lety +1

    hongera kk

  • @mayungamanjebe4395
    @mayungamanjebe4395 Před rokem

    Asantee nimeipenda hii

  • @eliuthamangula1791
    @eliuthamangula1791 Před 6 lety

    Stay Blessed Mak juice

  • @jumalipongo9610
    @jumalipongo9610 Před 6 lety +2

    Nimeipenda na nimejifunza kitu

  • @abdulazizshabani6760
    @abdulazizshabani6760 Před 6 lety

    I like the way ya so charming

  • @lovenesstunzo6484
    @lovenesstunzo6484 Před 7 lety +3

    hongera sana bro

  • @AmaniMpesha-dh5dj
    @AmaniMpesha-dh5dj Před 9 měsíci

    Masha Allah nmejifunza kitu

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 Před 5 lety

    Hongera makoye

  • @nchambipeter5723
    @nchambipeter5723 Před 6 lety +4

    Hongera kaka

  • @dovicochristopher5388
    @dovicochristopher5388 Před 6 lety

    Niko korea kaskazini Nimekulewa sanaa brother

  • @bigbangtanzania1988
    @bigbangtanzania1988 Před 7 lety +7

    THE FOUNDER!!

  • @saharahaliki4703
    @saharahaliki4703 Před 7 lety

    hongera kaka

  • @kevoomlay2169
    @kevoomlay2169 Před 5 lety

    Big Up Saana Bro Mak Juice nainywa saana Juice yako ni Tamuu Balaah!

  • @felizwanzagi8465
    @felizwanzagi8465 Před 7 lety

    Congratulations broo.

  • @maureensunguya8779
    @maureensunguya8779 Před 7 lety +1

    inspiring aisee

  • @triciaburavan9180
    @triciaburavan9180 Před 7 lety +2

    Jaman natafuta vijana japo wa5 nataka nifungue Restaurant nipo mbeya twn ila wawe wamesomea hotel management pls yeyote ataekua teyar bac nategemea majibu mazur

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před 7 lety +3

    Big up..Congrats

  • @rahmamaganga646
    @rahmamaganga646 Před 4 lety

    Hongera sana

  • @JoiyceMassawe-bu6oi
    @JoiyceMassawe-bu6oi Před 11 měsíci +1

    Nimejifunza kitu kutoka kwako Mungu azidi kukupigania

  • @zainabmakame1321
    @zainabmakame1321 Před 5 lety

    Hongera