KUTANA NA MWALIMU MAPROSOO ANAYEUZA MISHIKAKI BAADA YA KUFUNDISHA "NAPATA HADI ELFU 80 KWA SIKU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 07. 2020

Komentáře • 168

  • @mwajumabulugu4115
    @mwajumabulugu4115 Před 4 lety +13

    Asilimia kubwa sisi ngozi nyeusi hatutakiani mema,yaani MTU akionesha kujishugulisha tu lasma apigwe majungu.hongera mwalimu maproso mungu azidi kukujalia

  • @isunga1964
    @isunga1964 Před 4 lety +13

    Kazi ya ualimu ni nzuri sana wanamaliza masomo mapema sana wengine wanaishia bar hongera kaka mungu aibariki kazi ya mikono yako

  • @pastorrobian3050
    @pastorrobian3050 Před 4 lety +19

    Safi sana kaka najua jitihada zako pambana ipo siku utafika achana na maneno ya watu

  • @wanderaothumani4919
    @wanderaothumani4919 Před 4 lety +5

    Powerful story millard hii stori nzito basi tu people bora ziangalie bongo kiki big up Mr maporoso hustle zako zitusue amen

  • @bundaman8542
    @bundaman8542 Před 4 lety +6

    Safi sana Millardayo. Naomba serikali ukutumie una kipaji sana cha ubunifu. Na hauna elimu kubwa sana lakini unatukosha kwa vipindi vyajo

  • @elikindjunior1874
    @elikindjunior1874 Před 3 lety +5

    Maprosoo is a very good person jamani 😀

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 Před 4 lety +4

    Sawa sawa mzee maprosoo upo juu👍👍👍 nimekuelewa sn na wamekuelewa vizur,big up sn gwa kukaja

  • @aliyjuma5362
    @aliyjuma5362 Před 3 lety +2

    Hongera sana! Millard Ayo kwa jitihada zako unazozifanya kutuletea taarifa mbali mbali mzuri kama hii nk. Hongera kwa Cameraman wako.Maprosoo brother pole kwa majukumu, endelea kuvumilia, Utafanikiwa, hongera sana kwa kujiongeza, safi sana brother.👍

  • @bbccaa4156
    @bbccaa4156 Před rokem +1

    Tukiwa na waalim aina hii ya mwl maprosoo zahiri tutamaliza tatizo la utoro mashuleni na watoto wetu watapata elimu bora big up teacher maprosoo

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 Před 9 měsíci

      Na hata kuhamasisha vijana kuwa kwenye Biashara pia

  • @marthamwiru1556
    @marthamwiru1556 Před 4 lety +4

    Namkumbuka mwalimu maproso shule ya chikongora,iliyopo Kata ya chikongora Hakika alikuwa mwalimu mzuri Sana, 😀😀😀nimekumbuka mbali sana

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 Před 4 lety +4

    Hongera sana teacher , mshahara pekee hauwexikidhi mahitaji .

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo6510 Před 4 lety +1

    Waoooo daah Mwenyezi Mungu akubaliki milele Sir maprosso

  • @Juma_Content
    @Juma_Content Před 4 lety

    Video ya uchebe kumpiga shilole hii apa czcams.com/video/BAKUvuVXpaY/video.html

  • @nurudovino288
    @nurudovino288 Před 4 lety +3

    Kazi nzuri Mungu azidi kukuinua zaidi kuwa penda watoto

  • @kingswebe3251
    @kingswebe3251 Před 4 lety +5

    huku kwetu mtu akiajiriwa sio size yenu tena, nampa hongera maprosoo

  • @georgeisdory9998
    @georgeisdory9998 Před 4 lety +5

    Safii sanaa maprosoo 👏👏👏 hii ni zaidi ya ujasili wengi awawezi hiii

    • @Amneamne-qi2du
      @Amneamne-qi2du Před 4 lety

      Masha'allah Allah abariki kazi ya mikono yako

  • @petermapunda3450
    @petermapunda3450 Před 4 lety +1

    Hongera Sana kaka I like for skills of your knowledge

  • @solemba595
    @solemba595 Před 4 lety +2

    Dah Hongera sana Mwalimu, kiukweli umepambana

  • @jimmiejr9531
    @jimmiejr9531 Před 4 lety +11

    Nimependa namna mwl mkuu alivyo appreciate kazi na uwezo wa mwenzie

  • @neemamahusho6193
    @neemamahusho6193 Před 4 lety +5

    Na Mungu atakubariki usikate tamaaaa na kumwomba Mungu

  • @alexkabeho5609
    @alexkabeho5609 Před 4 lety +2

    Hongera sana mwalimu nashangaa anakaekusumbua maana experience ya miaka 12, huitaji kusoma kitabu kabla ya kufundisha, alafu wewe ni role model kwa hao watoto, siku moja niliuliza swala kwa unirvesity kwamba munapenda kuongelea swala la ajira sio sisi kuwa ma boss, mwalimu 🤔🤔🤔, so naamini unatengeneza hao watoto sana,

  • @assilaa2007
    @assilaa2007 Před 4 lety +20

    Safi san napenda mwanaume mweny uthubutu hajali wala nin big up sanaaa💪

  • @neemaremus4924
    @neemaremus4924 Před 4 lety +4

    Hongera sana mwalimu, Mungu abariki kazi ya mikono yako

  • @dorndet6179
    @dorndet6179 Před 4 lety +4

    Well done mr.
    Mungu mwema

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 9 měsíci

    Hongera sana mwalimu , MAANA WABONGO WENGI WANAPENDA UBAKI MASIKINI ,NDO MAANA HATUENDELEI ,MAANA KILA MBEBA MAONO HAFI ,HATA UPIGWE VITA VIPI ,KAMA UMEBEBA MAONO HUFI ,UTAIBUKA TU

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 Před 4 lety +2

    kazi nzuru ticha,,,Mungu akusimamie

  • @SanchoGN
    @SanchoGN Před 2 lety +1

    Hongera mwalimu. Barikiwa pia.

  • @lamecklaurentius8936
    @lamecklaurentius8936 Před rokem +1

    Utulivu wa Mwl humsaidia MwlMkuu kufanya Majukumu yake ya kiuongozi vizuri. Huyu Mlw Mkuu Yuko vizuri.

  • @bakariyusufujuma
    @bakariyusufujuma Před 4 lety +9

    Amekuwa rafiki wa watoto hajimwambafai nimekubali

  • @IBRAHIMELSUBHY
    @IBRAHIMELSUBHY Před 4 lety

    czcams.com/video/LP5JJ876psw/video.html
    Iᒪᙓ ᐯIᗪᙓO Yᗩ *ᑎᗩSᕼᙓᙓᗪ* YᙓTᙀ ᑭᙓᑎᗪᙎᗩ *SᗩSᗩ IᙏᙓTOKᗩ*
    𝐔𝐧𝐚𝐧𝐠𝐨𝐣𝐚 𝐧𝐢𝐧𝐢? 𝐮𝐬𝐢𝐜𝐡𝐞𝐫𝐞𝐰𝐞 𝐛𝐨𝐧𝐲𝐞𝐳𝐚 𝐋𝐢𝐧𝐤 𝐡𝐚𝐩𝐨 𝐣𝐮𝐮 𝐤𝐮𝐢𝐭𝐚𝐳𝐚𝐦𝐚
    ɴᴀsᴜʙɪʀɪ ᴍʀᴇᴊᴇsʜᴏ ᴋᴜᴛᴏᴋᴀ ᴋᴡᴇɴᴜ ɪʟɪ ɴɪᴡᴀʟᴇᴛᴇᴇ ᴄʜᴇɴɢɪɴᴇ ᴋɪʟɪᴄʜᴏ ʙᴏʀᴀ ᴋᴡᴀ ᴜᴡᴇᴢᴏ ᴡᴀᴋᴇ ᴀʟʟᴀʜ.( *SIDHARAU MAONI* )

  • @naomimabula2660
    @naomimabula2660 Před 4 lety

    Daaah. Maprosoo. Nakukumbuka., Nilifanya field Chikongola nikiwa nasoma Mtwara Ufundi

  • @emmyjohn3970
    @emmyjohn3970 Před 4 lety +1

    Fanya kazi ticha..big up

  • @dutchsafari7562
    @dutchsafari7562 Před 4 lety +3

    Big up mwalimuu maisha ni plan B

  • @godfreymwambwalo5282
    @godfreymwambwalo5282 Před 4 lety +2

    Hongera sana teacher

  • @ommyali1514
    @ommyali1514 Před 4 lety +5

    big up mwalimu...

  • @neemamagoma2993
    @neemamagoma2993 Před 4 lety +2

    Nakupongeza sanasana mwl maprosoo kaza buti broo utatoka namkuu wako anajielewa sana anajua namna unavyopambana

  • @alisaid5378
    @alisaid5378 Před 3 lety

    Mungu akucmamie teacher hongera sn

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Před 4 lety +11

    HII NDIO NCHI YA UCHUMI WA KATI

  • @latifamkulazi8378
    @latifamkulazi8378 Před 4 lety +2

    Walozoea vya kuomba wanasema hatalaki5 siwezi kufanya biashara😕
    Hongera babangu

  • @tausingomeni2568
    @tausingomeni2568 Před 4 lety +1

    Watu Wa mbeya hawalembi kwenye biashar, katengeneza kijiko chake kzr, kisafi, InshaAllah Allah atakujalia utafika mbali kwa biashar yko

  • @sweetlittlebabies9359
    @sweetlittlebabies9359 Před 4 lety +2

    Huyu teacher Yuko vizur sanaaaaaaaaa

  • @ngapulilangapulila5404
    @ngapulilangapulila5404 Před 4 lety +2

    Safi sana Mwl Maprosoo

  • @erickmassawe5107
    @erickmassawe5107 Před 4 lety

    Hongera xana mwalim umethubutu

  • @mosesnyamhanga449
    @mosesnyamhanga449 Před 4 lety +3

    Congratulations mwalim sisi waalimu tunapaswa tuige mfano kutoka kwa maprosso...mshahara hautoshi hii mwenyew nafaham!

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 Před 4 lety

    Hongera kwa jitihada zako.

  • @KhalidKhalid-zt1bc
    @KhalidKhalid-zt1bc Před 4 lety +18

    unaingiza elfu 80 kwa siku kisha unasubiri mfadhili kuboresha biashara yako? tuache tabia ya kuomba omba

    • @siaammo1104
      @siaammo1104 Před 4 lety +13

      Hapana nilivyowelewa anahitaji apate mtaalamu wakuli boresha jiko lake liwelakisasa.na siyo hela.

    • @innojtm1861
      @innojtm1861 Před 4 lety +6

      Anahitaji utaalamu namna gani ya kuboresha biashara yake

    • @ildephonsentahomvukiye5410
      @ildephonsentahomvukiye5410 Před 4 lety +1

      @@siaammo1104 tumeelewa pamoja kaka

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před 4 lety +2

      @@siaammo1104 No anataka misaada yote ya kuboreshewa jiko na kuinua biashara. Binadamu hatosheki na pesa.

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 Před 4 lety +4

      @@siaammo1104 kweli kbs na amesema mishikaki isipate vumbi..anahitaji jiko zuri..

  • @emmanueljohn5162
    @emmanueljohn5162 Před 4 lety +2

    Jamaa ana inspire sana

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem

    Hongera mwalimu nimeipenda hii

  • @vumiliamwakasege4847
    @vumiliamwakasege4847 Před 4 lety

    Big up my brother mpambanaji tangu tupo school.

  • @leeonlinetv1847
    @leeonlinetv1847 Před 4 lety

    Big up teacher maprosso

  • @happynesbaemuhappynes8813

    MashAllah

  • @ofaliamkua8212
    @ofaliamkua8212 Před 4 lety +2

    ongera Sana mwalimu

  • @moahmedy7439
    @moahmedy7439 Před 3 lety

    Sir wangu keep it up

  • @khadijaomari9344
    @khadijaomari9344 Před 4 lety +3

    napenda watu wanao pambana wananipa amasha yakuto kata tamaaa

  • @samlaizer1998
    @samlaizer1998 Před 4 lety +2

    Mungu ni mwema kila wakatai

  • @dicksonulotu9717
    @dicksonulotu9717 Před 4 lety

    Hongera sana mwl maprosoo

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 Před 4 lety

    Safi Sana bro

  • @Sppah697
    @Sppah697 Před 4 lety +3

    Maisha yalivyo makali ni vizuri kuwa kibiashara kando kusaidia kipato. Sasa kumpiga vita inakuwaje sasa mwisho wa siku ana majukumu yake. Na anafanya kitu halali haibi hatendi zambi anafanya biashara why Majungu! Mbona wasanii wanakuwa wasanii na pembeni wana kazi zao za kibiashara? Kuna tofauti gani na waalimu? Na wao wanajitaji kujiendeleza kama watu wengine siyo!

  • @kpetres2872
    @kpetres2872 Před 4 lety +5

    Aseeee ameniinspire

  • @imanibakili8028
    @imanibakili8028 Před rokem

    Mwalimu umesema ukweli kabisa siku1 ukitudanganya utakuwa umetuangusha sana Milady ♥

  • @anethmlingi967
    @anethmlingi967 Před 4 lety +3

    Maprosoo chikongola hapo duh huyu ni mwalimu wa mfano namkumbuja milele

  • @joycehagman5622
    @joycehagman5622 Před 3 lety

    Una nipa moyo mkubwa baba. Hongera

  • @vero57
    @vero57 Před 4 lety +6

    YANI WEWE KAKA UKOSAFI SANA HOGERA SANA

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 2 lety

    Awesome 🔥🔥🔥🔥

  • @zainbomary3970
    @zainbomary3970 Před 4 lety +3

    Nimejifunza kupitia mwanlimu maprossoo

  • @vero57
    @vero57 Před 4 lety +9

    KUIBA NDIYO ZAMBI , KUCHOMA MISHIKAKI SIO ZAMBI KABISA

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 Před 4 lety

    Safi sana mwalimu

  • @suleimanismaili2855
    @suleimanismaili2855 Před 4 lety +1

    Dah safu sanaa

  • @laplayfanz
    @laplayfanz Před 4 lety

    Mashallah jama ana bidii.

  • @charlesndali7209
    @charlesndali7209 Před 3 lety

    Hongera

  • @tmtwane9092
    @tmtwane9092 Před 4 lety +1

    BILLNAS AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE NA NANDY gusa link kwa full story czcams.com/video/4Nxz4ZTes0M/video.html

    • @amanimanase5794
      @amanimanase5794 Před 4 lety

      Nyie mko kweny kutombana tu watu tuna waza maisha

  • @felistermaximillian2793

    Big up mwalimu

  • @swaggerizedninjagoseprocom8523

    Hatariiii

  • @hyahasisimsigala4346
    @hyahasisimsigala4346 Před 4 lety

    Big up sana...

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 Před 2 lety

    Very good

  • @dennisdidas2321
    @dennisdidas2321 Před 4 lety

    Vizur xan

  • @Discover70
    @Discover70 Před 4 lety

    Safi teacher 👨‍🏫

  • @felistanampoka8862
    @felistanampoka8862 Před 4 lety +2

    Usikate tamaa Kaka, Kaza moyo!

    • @paschalphabian274
      @paschalphabian274 Před 4 lety

      Wawooo Mwl maprosooo we ni genius sana pambana watumishi tunapaswa kuiga mfano wako hapo kulingana na maelezo yako kwa mwezi unaingiza 2400,000/= tofauti na mshahara wako. I magine watumishi tungefanya wote hivo kwa fursa tofauti tofauti tungefika mbali na kuacha majungu tungekuwa mfano wa kuingwa ktk jamii. Yaani cjui viongozi wetu baadhi yao wana kwama wapi? Eti chagua moja uache kazi ya ualimu au uuze mshikaki nime mind sana daaaaa

  • @regis_be
    @regis_be Před 4 lety +1

    🔥🔥

  • @iamfriedrich
    @iamfriedrich Před rokem

    Presenter upo sawa

  • @bellahyuzzomylife4428
    @bellahyuzzomylife4428 Před 4 lety

    Nakupenda bure

  • @japhrystar2597
    @japhrystar2597 Před 4 lety +2

    wanao kufatilia washtak kwa Mungu kk

  • @teacherd
    @teacherd Před 4 lety

    Kwa wanafunzi wote pita KWENYE CHANNEL yangu yapo MENGI mazuri uta yapata

  • @mtegwamo3456
    @mtegwamo3456 Před 4 lety

    Waooo mwalimu wangu umenchapa ww

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 lety

    Ongera sana,usijari walimwengu ndio walivyo

  • @annastaziajohn9930
    @annastaziajohn9930 Před 4 lety +2

    Iv somo la huyu jajaa nani anafel yani nani hapend kuinguia darasani.walim mmejifunza uchumi t apo ila angalia jamaa anavyofundisha kwa furaha na kwa ustad huu ualimu siku nani anao sasahv mafeki kibaaooo

  • @bujamoviesonline8553
    @bujamoviesonline8553 Před rokem

    Naomba nikutanishwe nahuyu

  • @smartboe8188
    @smartboe8188 Před 4 lety +2

    Nimemuona munga ticha

  • @rehemaothman2185
    @rehemaothman2185 Před 4 lety +1

    Kila LA kheri mwl maprosoo

  • @said306nyatu9
    @said306nyatu9 Před 4 lety +1

    Milard. Kasema. Mishikaki

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Před 4 lety

    😍😍😍😍😍😍

  • @kijanahodari2080
    @kijanahodari2080 Před 4 lety +2

    Ivi Tanzania mtu akiajiriwa serekalini na afanye kazi nyengne mbadala inakuwa Jambo la ajabu sana?.. duuh! Basi ni kweli nyie wavivu angalieni jirani zenu hakuna mwenye kazi moja ata alie ajiriwa serekalini

  • @allykipila2821
    @allykipila2821 Před 4 lety +3

    Huyu mimi kabisa

  • @ibrahimrukundo3064
    @ibrahimrukundo3064 Před 4 lety +1

    ametumia akili kubwa MWENYEZIMUNG akamuezesha.

  • @mms9158
    @mms9158 Před 4 lety +2

    Endelea tu habanahaba hujaza kibaba nimefurahi wewe mtu sio mvivu kabisa

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 Před 3 lety

    Huyo mwalimu agechekesha tu anakipaji cha kuiingiza haki 😃😃😃😃

  • @neemamagoma2993
    @neemamagoma2993 Před 4 lety +1

    Kaka walimu ndowako hivo wakiona unafanikiwa tuuu shida inaanza mchawi wamwalimu mwalimu mwenyewe

    • @witneyjerry1293
      @witneyjerry1293 Před 4 lety

      Kwa hapa umenena,adui wa mwalimu ni mwalimu mwenyewe

  • @jacquelinemwakasala9563

    Ni kwel huwa wanafuatiliwa sana watumisho hasa walimu wakijiongeza kwa kipato wanasema eti hawafundishi

  • @queenmartine8792
    @queenmartine8792 Před 8 měsíci

    😂😂😂 nice

  • @kiumbemussa9231
    @kiumbemussa9231 Před 3 lety

    kwann sasa usitafute mfanya kaz iri uendelee nakufundisha