Asilimia kubwa sisi ngozi nyeusi hatutakiani mema,yaani MTU akionesha kujishugulisha tu lasma apigwe majungu.hongera mwalimu maproso mungu azidi kukujalia
Hongera sana! Millard Ayo kwa jitihada zako unazozifanya kutuletea taarifa mbali mbali mzuri kama hii nk. Hongera kwa Cameraman wako.Maprosoo brother pole kwa majukumu, endelea kuvumilia, Utafanikiwa, hongera sana kwa kujiongeza, safi sana brother.👍
Hongera sana mwalimu nashangaa anakaekusumbua maana experience ya miaka 12, huitaji kusoma kitabu kabla ya kufundisha, alafu wewe ni role model kwa hao watoto, siku moja niliuliza swala kwa unirvesity kwamba munapenda kuongelea swala la ajira sio sisi kuwa ma boss, mwalimu 🤔🤔🤔, so naamini unatengeneza hao watoto sana,
Hongera sana mwalimu , MAANA WABONGO WENGI WANAPENDA UBAKI MASIKINI ,NDO MAANA HATUENDELEI ,MAANA KILA MBEBA MAONO HAFI ,HATA UPIGWE VITA VIPI ,KAMA UMEBEBA MAONO HUFI ,UTAIBUKA TU
Maisha yalivyo makali ni vizuri kuwa kibiashara kando kusaidia kipato. Sasa kumpiga vita inakuwaje sasa mwisho wa siku ana majukumu yake. Na anafanya kitu halali haibi hatendi zambi anafanya biashara why Majungu! Mbona wasanii wanakuwa wasanii na pembeni wana kazi zao za kibiashara? Kuna tofauti gani na waalimu? Na wao wanajitaji kujiendeleza kama watu wengine siyo!
Wawooo Mwl maprosooo we ni genius sana pambana watumishi tunapaswa kuiga mfano wako hapo kulingana na maelezo yako kwa mwezi unaingiza 2400,000/= tofauti na mshahara wako. I magine watumishi tungefanya wote hivo kwa fursa tofauti tofauti tungefika mbali na kuacha majungu tungekuwa mfano wa kuingwa ktk jamii. Yaani cjui viongozi wetu baadhi yao wana kwama wapi? Eti chagua moja uache kazi ya ualimu au uuze mshikaki nime mind sana daaaaa
Iv somo la huyu jajaa nani anafel yani nani hapend kuinguia darasani.walim mmejifunza uchumi t apo ila angalia jamaa anavyofundisha kwa furaha na kwa ustad huu ualimu siku nani anao sasahv mafeki kibaaooo
Ivi Tanzania mtu akiajiriwa serekalini na afanye kazi nyengne mbadala inakuwa Jambo la ajabu sana?.. duuh! Basi ni kweli nyie wavivu angalieni jirani zenu hakuna mwenye kazi moja ata alie ajiriwa serekalini
Asilimia kubwa sisi ngozi nyeusi hatutakiani mema,yaani MTU akionesha kujishugulisha tu lasma apigwe majungu.hongera mwalimu maproso mungu azidi kukujalia
Kazi ya ualimu ni nzuri sana wanamaliza masomo mapema sana wengine wanaishia bar hongera kaka mungu aibariki kazi ya mikono yako
Safi sana kaka najua jitihada zako pambana ipo siku utafika achana na maneno ya watu
Powerful story millard hii stori nzito basi tu people bora ziangalie bongo kiki big up Mr maporoso hustle zako zitusue amen
Safi sana Millardayo. Naomba serikali ukutumie una kipaji sana cha ubunifu. Na hauna elimu kubwa sana lakini unatukosha kwa vipindi vyajo
Maprosoo is a very good person jamani 😀
Sawa sawa mzee maprosoo upo juu👍👍👍 nimekuelewa sn na wamekuelewa vizur,big up sn gwa kukaja
Hongera sana! Millard Ayo kwa jitihada zako unazozifanya kutuletea taarifa mbali mbali mzuri kama hii nk. Hongera kwa Cameraman wako.Maprosoo brother pole kwa majukumu, endelea kuvumilia, Utafanikiwa, hongera sana kwa kujiongeza, safi sana brother.👍
Tukiwa na waalim aina hii ya mwl maprosoo zahiri tutamaliza tatizo la utoro mashuleni na watoto wetu watapata elimu bora big up teacher maprosoo
Na hata kuhamasisha vijana kuwa kwenye Biashara pia
Namkumbuka mwalimu maproso shule ya chikongora,iliyopo Kata ya chikongora Hakika alikuwa mwalimu mzuri Sana, 😀😀😀nimekumbuka mbali sana
Hongera sana teacher , mshahara pekee hauwexikidhi mahitaji .
Waoooo daah Mwenyezi Mungu akubaliki milele Sir maprosso
Video ya uchebe kumpiga shilole hii apa czcams.com/video/BAKUvuVXpaY/video.html
Kazi nzuri Mungu azidi kukuinua zaidi kuwa penda watoto
huku kwetu mtu akiajiriwa sio size yenu tena, nampa hongera maprosoo
Safii sanaa maprosoo 👏👏👏 hii ni zaidi ya ujasili wengi awawezi hiii
Masha'allah Allah abariki kazi ya mikono yako
Hongera Sana kaka I like for skills of your knowledge
Dah Hongera sana Mwalimu, kiukweli umepambana
Nimependa namna mwl mkuu alivyo appreciate kazi na uwezo wa mwenzie
Na Mungu atakubariki usikate tamaaaa na kumwomba Mungu
Hongera sana mwalimu nashangaa anakaekusumbua maana experience ya miaka 12, huitaji kusoma kitabu kabla ya kufundisha, alafu wewe ni role model kwa hao watoto, siku moja niliuliza swala kwa unirvesity kwamba munapenda kuongelea swala la ajira sio sisi kuwa ma boss, mwalimu 🤔🤔🤔, so naamini unatengeneza hao watoto sana,
Safi san napenda mwanaume mweny uthubutu hajali wala nin big up sanaaa💪
Kakangu mpiganaji toka kyela
@@itikamwakanyamale2690 unamfahamu???
Hongera sana mwalimu, Mungu abariki kazi ya mikono yako
Mate yamenidondoka kwakweli, big up mwalimu
Well done mr.
Mungu mwema
Hongera sana mwalimu , MAANA WABONGO WENGI WANAPENDA UBAKI MASIKINI ,NDO MAANA HATUENDELEI ,MAANA KILA MBEBA MAONO HAFI ,HATA UPIGWE VITA VIPI ,KAMA UMEBEBA MAONO HUFI ,UTAIBUKA TU
kazi nzuru ticha,,,Mungu akusimamie
Hongera mwalimu. Barikiwa pia.
Utulivu wa Mwl humsaidia MwlMkuu kufanya Majukumu yake ya kiuongozi vizuri. Huyu Mlw Mkuu Yuko vizuri.
Amekuwa rafiki wa watoto hajimwambafai nimekubali
czcams.com/video/LP5JJ876psw/video.html
Iᒪᙓ ᐯIᗪᙓO Yᗩ *ᑎᗩSᕼᙓᙓᗪ* YᙓTᙀ ᑭᙓᑎᗪᙎᗩ *SᗩSᗩ IᙏᙓTOKᗩ*
𝐔𝐧𝐚𝐧𝐠𝐨𝐣𝐚 𝐧𝐢𝐧𝐢? 𝐮𝐬𝐢𝐜𝐡𝐞𝐫𝐞𝐰𝐞 𝐛𝐨𝐧𝐲𝐞𝐳𝐚 𝐋𝐢𝐧𝐤 𝐡𝐚𝐩𝐨 𝐣𝐮𝐮 𝐤𝐮𝐢𝐭𝐚𝐳𝐚𝐦𝐚
ɴᴀsᴜʙɪʀɪ ᴍʀᴇᴊᴇsʜᴏ ᴋᴜᴛᴏᴋᴀ ᴋᴡᴇɴᴜ ɪʟɪ ɴɪᴡᴀʟᴇᴛᴇᴇ ᴄʜᴇɴɢɪɴᴇ ᴋɪʟɪᴄʜᴏ ʙᴏʀᴀ ᴋᴡᴀ ᴜᴡᴇᴢᴏ ᴡᴀᴋᴇ ᴀʟʟᴀʜ.( *SIDHARAU MAONI* )
Daaah. Maprosoo. Nakukumbuka., Nilifanya field Chikongola nikiwa nasoma Mtwara Ufundi
Fanya kazi ticha..big up
Big up mwalimuu maisha ni plan B
Hongera sana teacher
big up mwalimu...
Nakupongeza sanasana mwl maprosoo kaza buti broo utatoka namkuu wako anajielewa sana anajua namna unavyopambana
Mungu akucmamie teacher hongera sn
HII NDIO NCHI YA UCHUMI WA KATI
Walozoea vya kuomba wanasema hatalaki5 siwezi kufanya biashara😕
Hongera babangu
Watu Wa mbeya hawalembi kwenye biashar, katengeneza kijiko chake kzr, kisafi, InshaAllah Allah atakujalia utafika mbali kwa biashar yko
Huyu teacher Yuko vizur sanaaaaaaaaa
Safi sana Mwl Maprosoo
Hongera xana mwalim umethubutu
Congratulations mwalim sisi waalimu tunapaswa tuige mfano kutoka kwa maprosso...mshahara hautoshi hii mwenyew nafaham!
Hongera kwa jitihada zako.
unaingiza elfu 80 kwa siku kisha unasubiri mfadhili kuboresha biashara yako? tuache tabia ya kuomba omba
Hapana nilivyowelewa anahitaji apate mtaalamu wakuli boresha jiko lake liwelakisasa.na siyo hela.
Anahitaji utaalamu namna gani ya kuboresha biashara yake
@@siaammo1104 tumeelewa pamoja kaka
@@siaammo1104 No anataka misaada yote ya kuboreshewa jiko na kuinua biashara. Binadamu hatosheki na pesa.
@@siaammo1104 kweli kbs na amesema mishikaki isipate vumbi..anahitaji jiko zuri..
Jamaa ana inspire sana
Hongera mwalimu nimeipenda hii
Big up my brother mpambanaji tangu tupo school.
Big up teacher maprosso
MashAllah
ongera Sana mwalimu
Sir wangu keep it up
napenda watu wanao pambana wananipa amasha yakuto kata tamaaa
Mungu ni mwema kila wakatai
Hongera sana mwl maprosoo
Safi Sana bro
Maisha yalivyo makali ni vizuri kuwa kibiashara kando kusaidia kipato. Sasa kumpiga vita inakuwaje sasa mwisho wa siku ana majukumu yake. Na anafanya kitu halali haibi hatendi zambi anafanya biashara why Majungu! Mbona wasanii wanakuwa wasanii na pembeni wana kazi zao za kibiashara? Kuna tofauti gani na waalimu? Na wao wanajitaji kujiendeleza kama watu wengine siyo!
Aseeee ameniinspire
Mwalimu umesema ukweli kabisa siku1 ukitudanganya utakuwa umetuangusha sana Milady ♥
Maprosoo chikongola hapo duh huyu ni mwalimu wa mfano namkumbuja milele
Una nipa moyo mkubwa baba. Hongera
YANI WEWE KAKA UKOSAFI SANA HOGERA SANA
Awesome 🔥🔥🔥🔥
Nimejifunza kupitia mwanlimu maprossoo
KUIBA NDIYO ZAMBI , KUCHOMA MISHIKAKI SIO ZAMBI KABISA
Dhambi
Mambo
Vp
Safi sana mwalimu
Dah safu sanaa
Mashallah jama ana bidii.
Hongera
BILLNAS AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE NA NANDY gusa link kwa full story czcams.com/video/4Nxz4ZTes0M/video.html
Nyie mko kweny kutombana tu watu tuna waza maisha
Big up mwalimu
Hatariiii
Big up sana...
Very good
Vizur xan
Safi teacher 👨🏫
Usikate tamaa Kaka, Kaza moyo!
Wawooo Mwl maprosooo we ni genius sana pambana watumishi tunapaswa kuiga mfano wako hapo kulingana na maelezo yako kwa mwezi unaingiza 2400,000/= tofauti na mshahara wako. I magine watumishi tungefanya wote hivo kwa fursa tofauti tofauti tungefika mbali na kuacha majungu tungekuwa mfano wa kuingwa ktk jamii. Yaani cjui viongozi wetu baadhi yao wana kwama wapi? Eti chagua moja uache kazi ya ualimu au uuze mshikaki nime mind sana daaaaa
🔥🔥
Presenter upo sawa
Nakupenda bure
wanao kufatilia washtak kwa Mungu kk
Kwa wanafunzi wote pita KWENYE CHANNEL yangu yapo MENGI mazuri uta yapata
Waooo mwalimu wangu umenchapa ww
😆😆😆
Ongera sana,usijari walimwengu ndio walivyo
Iv somo la huyu jajaa nani anafel yani nani hapend kuinguia darasani.walim mmejifunza uchumi t apo ila angalia jamaa anavyofundisha kwa furaha na kwa ustad huu ualimu siku nani anao sasahv mafeki kibaaooo
Naomba nikutanishwe nahuyu
Nimemuona munga ticha
Kila LA kheri mwl maprosoo
Milard. Kasema. Mishikaki
😍😍😍😍😍😍
Ivi Tanzania mtu akiajiriwa serekalini na afanye kazi nyengne mbadala inakuwa Jambo la ajabu sana?.. duuh! Basi ni kweli nyie wavivu angalieni jirani zenu hakuna mwenye kazi moja ata alie ajiriwa serekalini
Huyu mimi kabisa
ametumia akili kubwa MWENYEZIMUNG akamuezesha.
Endelea tu habanahaba hujaza kibaba nimefurahi wewe mtu sio mvivu kabisa
Huyo mwalimu agechekesha tu anakipaji cha kuiingiza haki 😃😃😃😃
Kaka walimu ndowako hivo wakiona unafanikiwa tuuu shida inaanza mchawi wamwalimu mwalimu mwenyewe
Kwa hapa umenena,adui wa mwalimu ni mwalimu mwenyewe
Ni kwel huwa wanafuatiliwa sana watumisho hasa walimu wakijiongeza kwa kipato wanasema eti hawafundishi
😂😂😂 nice
kwann sasa usitafute mfanya kaz iri uendelee nakufundisha