MREMBO AMESOMA MASTERS MAREKANI ILA ANAUZA MAKANDE MWANZA
Vložit
- čas přidán 1. 02. 2019
- Nancy Lema ni msomi wa elimu ya Masters aliyoipata nchini Marekani ambapo mwaka 2015 aliamua kurudi nyumbani Tanzania na kutafuta Kazi kwenye Makampuni mbalimbali bila mafanikio ndipo akaamua kuingia mtaani kupika na kuuza Makande kwenye Ofisi mbalimbali za Mwanza.
Waliompenda uyu dada kama mimi tujuane mapemaaaa like apa. Najua uyo mtangazaji ndo wa kwanza ku like inaelekea kampenda sana uyu dad😆
penda sa Dada natakutamani
safi sana dada
mimi mwenyewe nimemzimia sana..mtoto mzuri mno,,on top ni mchapa kazi,,hawa ndio wanawake wa kugharamiwa
Hongera sana mdada
thanks very much
It's 2024.. nimerudi kwa mara nyingine kuiangalia hii video..its very inspiring❤
Me too am still watching
Siwekag comment youtube but how can i skip this inspiring young girl? Dada endelea hivo hivo. Huyu kasomea marekan ila hatujasikia kingereza cha "u know ze sing is" ...kajibu maswali kwa kiswahili safi kabisa. Tunakusupport na tunakupenda.
Jamani wasukuma hatuna hayo mambo tuna uhalisia.
Huyo sio msukuma ni mchaga wa pasua moshi kazaliwa mwanza tuu na kuishi Safi sana my sister Allah akupe zaidi hapo kithunguuu w angekuwa wale wengine U know nyingi Nakujishauwa
U know the way me u wat and wat ni za wasanii wanaojielewa wala hta
Mckilize vzriii.. Sema hajachanganya Sana'a
@Mashuea Salim, nakuunga mkono kwa hilo, Tanzania ya sasa au naweza kusema Africa tunahitaji vijana wa aina ya Nancy husasan kwa kipindi hiki cha ugumu wa Ajira, fanya unachopenda na usiogope maneno ya watu, najua wengine hawapendi hivyo lakini mm binafsi nimemkubali sana huyu dada, Kwanza ni msomi lakini ameona fursa na anatumia vzr, Vijana tuamke, mtu amesoma marekani tena masters anadhubutu kufanya kazi ambayo wengi wetu tunaidharau, tena wengine hata hawana elimu lakin nyodo nyingi zisizo na faida, kazi kusema wengine na kuwakatisha tamaa
This girl comes from the richest family in Mwanza lakn ana hustle, wengn tumetokea maisha ya shida lakn tunachagua kazi. God bless your hustle Nancy 😘♥️
glory gerald ok
This girl comes ndo nn
Musa Sabu hujaelewa nn Mbn nimeandika kila kitu kinaeleweka?
@@glorygerald1228 hahaaaa vp lakn kwema
my dear nabuwezeshwaji unadhan ni rahis tu huna mtaji ukafanye hayo?
kama na ww unaangalia huku unasoma comments, like tujuane 😂
㊗㊗㊗㊗㊗
@@zunaiqbintameir5348 umeanza lin kutukana?
Safi sana
Djmuba Tech Services tsap
@@mrmongi1865 whtsp
Proud of you mdogo wangu...CHAGA ON FLEEK ...KAMA WW MCHAGA DUNGA LIKE
brighton shakila hapa ndo mnapokoseaga, mnaleta mambo ya uchaga kwenye mambo ya msingi, sio saw a!
wachaga bana
@@gaspermwaipopo691 umeona eeh,wanaboaa
Watu wanaongea mambo ya msingi ili wengene tujifuze wewe upo unasema kama wewe ni mchaga gonga leka twende sawa muache haya mambo ya ujinga muache watu tujifunze hapa
brighton shakila og
Naangalia hii 2020 na nimemaliza chuo, sitamani kabisa kuajiliwa japo wazazi wa natamani Sana kuniona naenda officine! Umenitia moyo dada hopefully iko siku nitafanikiwa kama wewe!
You inspired me sana Nancy, you opened my eyes kwa kweli. I loved it! Keep it up
Sijui Millard anawatoaga wapi watangazaji wake? All wanna high thinking capacity with good brains. Lazima uenjoy interview tu!
Millard Katika watangazaji wako nnao wakubali ni Huyu Kaka na Vidox na yule wa kike jina nmesahau yaan Hawa watu wanafanya nisichoke kufatilia Interview za Millard💪🏽💪🏽 Kazeni sana na Hongera sana Dada makande
I’m from DRC but right now I live in Virginia/USA. I always have same idea( returning home ), sadly I can not return to my country now coz situation is still not good yet, Burundi 🇧🇮 is my second home so after I get my US citizenship I will go back to Burundi and do something there, can’t wait to see my dream come true, let’s keep praying the Lord 🙏.
Never give up brother. Home sweet home sweet.
I'm from congo.
I wish to return also.
I live in the philippines.
May be our country congo will be good .together we can go in next level
Wow!..just wow!!..huyu dada naweza msikiliza over and over bila kuchoka, beautiful with brains, keep up the good work Nancy kuajiriwa ni utumwa na kikomo cha fikra tulicho rithishwa na jamii na wazazi wetu, tubadilishe mitazamo yetu vijana creativity, discipline, plans and execution is the way up..mtafute Nancy miaka 10 ijayo utamuita freemason.
Good girl good idea keep it up
Wengi wenye mawazo ya kuajiriwa hua wanawaza kuiba tu km sio pesa, wakati!
Kweli kaka aiseehe utumwa wa kishetani
Mambo yanapelekwa kisomisomi sahani znafwata China good.
Hongera mdada mzuri,,, Mungu abariki kazi ya mikono yako,,, wapenda kupika oyooooo!!!
Mimi nikirudi Nitauza Vitumbua tu hakuna Namna...Hongera Mama
Tuuzie vitumbua dada
Kamasisi.mabaharia.wa.meli.fifty thousand dollars Zanzibar home 18.
Joshua Nyamaiswe 😂😂😂😂😂
Ahahaha! Umenifurahisha sana
Tupo wengi hapa
You have made my day Nancy. You are my idol. Keep it up the good work. Your future is promising.
Nancy, you are an inspiration to many Africans and moreso all young people. I love your strength and committment to what you love. Go girl.
Nancy the boss lady..so inspiring keep doing what you do and believe me you will make it,don't pay attention to haters..I will come for some food when I get back to Tz. Much love from the United Kingdom.
Very interesting .
Allah atakujalia kheri. Utafika mbali sana.
love from Iringa
Beauty with brain 👌🏾well done ✅ my girl 😉
😂😂😂😂 mi Nina kidiploma changu kazi zote czitaki .... Wa Masters anauza makande .... Wacha nitafute bodaboda nipeleke kazi Ni kazi .....
Big up
Hahahaaa
😁😁😁
Haha
Nimecheka had machoz😂😂
Elimu ni chanzo cha marifaa#Nancy Lema(Beautiful girl).
Kweli hakuna mchaga mpumbavu
Dada Nancy nimependa sana jinsi unavyojituma kama ungekuwa karibu ningekutafuta
Sio.mzuri. Sema ni wakawaida maana iyo ya uzuri umeiganda. Wakaida tu
Mwanza kunanoga 🙋🙋🙋 mashallah hongera kwa wazo zurii la kujitofautisha na wengine kazi kazi.. I 💝U
Maryam Maram ok
Maa shaa Allah Mariam
@@abdullahrashid6297 u weclome
Good dada
i love this woman! So refreshing! I am moving back to East Africa!
Aiseee me nakuunga mkono Dada yangu, Hakuna kitu kinacholipa Kama kazi ya kujiajili. Me nafurahia kipaji changu cha utengenezaji wa keki na sihitaji kuajiliwa, Hongera sana
Bonifas nichek. 0679410076
Hongera sana NANCY kazi ni kazi haijalishi umesoma au laashukuru kile unacho kipata kuna wengine wana loose hope kwavile nimsomi na hawezi kutaka kujishughlisha na kitu chengine eti mpaka apate alichokisomea search pple are nonsence keep it up ☝ Nancy
Vizuri sana, Dada mrembo sana Ila ameamua kuweka usista du pembeni na kuamua kufanya biashara ndogo ndogo, madada msidange mitaani igeni mfano wa huyu dada.
Masha Allah.. Kaz ni Kaz dada yngu piga kz unaingiza hela nzur tu kuliko kutegemea Kaz za serikal..
Hongera kwa kujiongeza😍😍❤❤
Nice job my dia
Nancy, your decision added to your critical thinking toward jobs has set a very high standard and enormous inspiration to many, especially young people. I applaud your courage and your stance. Several young girls have expressed the challenges they face on their job search, many hit the wall, not because they are not qualified, but because of the favors some men ask from them. You may not have faced these obstacles, I only express what I have heard from some. I take my hat off for you, and I wish you the very best in this business that I'm positive it will thrive--and will lead to diversification as time goes.
I love your idea 😍😍 keep it up
Very smart and inspiring, your actions and mindset have literally defined the words 'don't settle'. I hope your business grows bigger and bigger.
Schola M ☺️👏👏
Wooww..... You have inspired me... Uko vizuri sana Nancy, may your hustles get blessed always
So blessed, dada upo vizuri sana..Mungu haibariki kazi ya mikono yako 🙏
Hawa ndio wanawake wa kuoa
Hilo ndo ulilofikiria haraka haraka kaka.
Yaaan
+Husn Mjuba Kuoa ni jambo la kheri dada Husn ,na Nacy ni wife material
@@mohamed.hassani9917 mimi ni mwanaume kaka .
+Husn Mjuba sorry jina limeniconfuse
Nimempenda sana mrembo nakazi anayofanya big up God blessing u 🙏🙏🙏
She is super People who have gone to school they have a lot to learn from her. Nancy stay blessed always!
Wow!!! you have really inspired me alot.. ul go far dear siz.. only the sky is the limit🙏
Daa siku nikija Mwanza lazma nije kula msosi hapo.Naona kuna usafi wa kiwango cha SGR na Stiglers gorge.Big up my lovely dada
Umetisha mkuu
Hahahahahah @ Abby, au umepnda kimwana
Abby Adams in
Mwenyezi Mungu asikupugukie, endelea kumtegemea ,USIACHE KUTOA ZAKA Malaki 3:10.
😅😅
Mungu abariki kazi za mikono yako
Mmmh uko vizuri Dada yangu
Congratulations nancy.kudos for thinking outside the box .utaenda mbali sister you got a real drive, passion and ambition.all the best.utafaulu.
congratulations gal. The good thing is that you put food on your table. You are young and beautiful and next may you have your own international brand!!!!!
Very inspiring story, God bless her hustle 🙏🏾
Kwa Mara ya kwaza na comment, this guy knows how to do interview, he deserves t b a presenter
Lubuva Martine Kuna watu watamuiga
0629301992 992 ndo hivyo
@@lubuvamartine2267 Anajua kwa kweli swali gani la kuuliza, Kongole kwake
Sanaaaa
Namimi na fuatiliaga ana juakazi yake sio maswali yakiginga big up Nancy nikiwa mwanza ntamtafuta napenda makande sana
I love u idea i wish I could join you am studying in India I always no Tanzania we have jobs problems am proud of you no matter how beautiful we are we supposed to work hard not only to use our sheps and beauty we have to make money we can even use our talent to make money big up for you your genius my sister mwaaaaaa
You can't go wrong in food industry if God bless your business. Good job.
I totally agree with what you mean by passion.
From UAE
That's good Nancy
Hawa ndiyo binadamu tunawo wahitaji hapa dunuani
Umeona eeeeh
Xaf xana c6 uko njema
😂😂😂
Dada, you are an amazing woman, umeniinspire na umenishangaza at the same time, endelea hivyo hivyo!!!!
For sure, am proud of her. Doing great job. Ill order when am around.
Huyu mwandishi yuko vizuri analetaga habari nzuri zenye mafunzo mazuri sana
Yule mwingine analeta wale jamaa wa Arusha wanakula Maandazi makubwa kama tofali za kienyeji
🤣🤣🤣🤣🤣 chali ya Arusha wale🙊🙊
😀😀😀😀
Ahahaha
Ndio maana yule ni bonge anawekwa kwenye sekta yake😹😹
Ha ha ha ha
+254, Great inspiration to our generation. Smart and extremely beautiful.
Definition of do what you love ni huyu dada😍😍😍😍May God bless you ufungue branches mikoa mingi Tanzania
Fantastic interview and interviewer is so on point. Inspired 💯
I'm not Tanzanian but I leave and work in dar and speak not bad Swahili but this lady is role model for all women in tanzania not nandy with her naked videos.
What she is saying about America is not easy she is right, I'm from UK and I tell you is not an easy life, Tanzania has so much opportunity it just take hard work and patient.
Having a degree mean nothing today all successful people in business were school drop out. This lady will go far and I hope she does.
By the way makande ni nini?
🌽maize mixcher beans!
Pablo Escoba thanks
Melickzedeck Madaha
Ur welcome your the owner right and if so I want to try your food how can I get contact or order some?
Katengololo Steven
Cheers mate it sound nice and I'm sure the food will taste delicious
Thanks for your time,makande Ni chakula kinachotokana maize grain... wengine hupenda kuchanganya na maharage ( beans) Ila Nancy naona hachanganyi na nafaka nyingine...Ni kizuri..
Napenda sana wadada wa namna hii Mwanamke ni kupambana nimekupenda bure my dada Nancy. Mungu akubariki kazi ya Mikono yako
Anisia ludelemla Kuna watu wengine watamuiga
Ndio kuiga lazima haya ni mambo ya kuiga kabisa na cyo kuiga ujinga yy kawa ubao na sisi wengene atufundishe kupitia yy
Thank Millard ayo kwa kutuletea mfano wa kuigwa God bless you sister Nancy
Jiandae kuja kunihoji 😀😀I promise ntakuja kuedit comment nikifanikiwa
Keep it up
uyu dada ana masters tena ya Marekani
......ww una kidgree chako cha duce unajishaua km uend
......choon vile
........mjini dil kuwa na pesa
Akyanani true fact @ Richard
😂😂😂 umenena mkuu
😂😂
Sisi wasomi wetu akili zmedumaa kwa kutegemea kuajiriwa tuu sio km the whites .
Richard Philipo mmmmh Wa duce
Wow! Ushawahi kusikia msemo "beauty with brain"? ndo huyu sasa...such an inspiration mrembo...sio wale wakina nani sijui wanatuonesha makalio tu na michupi instagram...i love this interview.
umeonaeeee wale wamevurugwa
Kbs wah nampa mkono
Very nice big u I inspired me I wish you all the best ❤️❤️
Good Nancy, keep growing to prove that anything is possible if you put your mind on it ... My greeting from the other side
Hongera sana dada,utajiri haupatikani katika ajira,utajiri unapatikana katika ujasiria mali,huwezi kuwa tajiri kwa kulipwa mara kumi na mbili tu kwa mwaka mzima.
Dah bro Mkwelele nimekuelewa kinoma kwenye kulipwa mara kumi na mbili sema uwa atujiongezi kimawazo
Hehehehe this is xso true
sad facts but very true
Ni noma sana kulipwa mara 12 tu kwa mwaka mzma 😀
I second you 💪
Nimeupenda umeni inspire😘😘😘
Your great Dadaa, very good and new idea. We ni mfano wa kuigwa aiseh
Project management::::: umefika dada. Hongera na mungu akuweshe katika yote. Yaani umefika ndipo. usijutie kwenda marejani. elimu yako imekufaa katika hili. Shukuru Mungu sana sana.
Nimependa maamuzi yako. tazama umeawaajiri wangapi????? Hongera
Umewapiga gape waajiriwa wote in terms of financial freedom
Yes that's financial freedom.
anajieleza kiswahili kizuri kabisaa japo kasoma ila ungekuta mwngne kingereza kwa sanaa
😁
Huyu anaipenda nchi yake ndo maana anaongea kiswahili vizur hivyo hataki kuanza kuongea kizungu ila ni vizur sana alivyo ongea lugha yake mwanzo mwisho
Yaani tena angekua ndio wale warembo wetu wa bongo movie hapo angeongea kimombo cha majivuno hatari
Wale waso elimu ndio tabia zao
Nakosa maneno ya ku-comment hapa...
You are doing extra ordinary things.
keep it up
Huo ni mwanzo , tunakuombea ufanikiwe zaidi
Hongera saana kwa ubunifu na kujituma kwa bidii. Hii ndo Tanzania tunayoitaka kwa sasa vijana tuamke, tujitume kwa bidii na tufanye kazi. Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania.
You see the good thing about education is that. She is actually doing a normal thing done by many other restaurants and "mamantilie's" out there but she's doing it hilariously like on another crazy level. Thats the big difference huwezi fananisha na wauza makande wengine mtaani.
Uzuri wa elimu huko mbele wanakufundisha jinsi ya kujiongeza ukikosa ajira, lkn Tz ukikosa ajira unalalamika fb
😂😂😂😂
Haha
Kabisaaaaaaa…
Hapo unaji limit, unawezajiongeza hata kama umesoma elimu yetu hii hii. Tatizo kubwa tuliowengi hatutaki kujiongeza
@@Felix72282 si ndo tunajiongeza kwa kulalamika fb
Mashaallah Allah akubariki dd uwendelee na kaziyako vizuri kusoma dd silazima uajiriwe kazini serekalini mazali unaelimu yako unaweze kujiajiri mwenyewe inshaallah
Ni kweli unaweza kukosa ajira lkn kazi zipo nyingi tu ni kiasi cha kujitoa ufahamu na kutochagua nn cha kufanya ilimradi ni kitu halali kukifanya. Mungu akuongezee maarifa zaidi dada Nancy. Barikiwa sana
...and she is doing what she studied in the US.Project management and Finance...
njeri karuri I’m glad umeichekechua na kuiona hiyo hahah.
dada upo vizuri, ZESOO TV inaku support nguvu zote usikate tamaa
Daaa!! Nansiii hongera sana sana nimekupenda ila tupo weng kazi tusichague uko vizuri najua kutokana na elimu imo nayo na kazi ya kuuza makande wachache walikuzarau ila ukweli nikwamba utatoka tu kimasha kwa sababu ubunifu ni mzuri zaid yanzuro
Congrats to you Nancy. You’re right. Owning a business is more fun and rewarding than working for government for salary. I am not saying those working for salary in governments do not enjoy their work. I know lawyers and doctors who interact with people or the public often enjoy their work and professions. I am talking about enjoying what you really like. I am here in Wisconsin. I worked for the State for twenty years and had all privileges as a government official. But I quit the government position to start my own business-some people from Mwanza and Musoma going to college here worked for me and I paid them. They thanked me for paying them. That is rewarding. As a Msukuma raised in Kwimba and went to school Mwanza, I enjoy working hard and use my education. I know I was raised as a bureaucrat - believing working for the government was ultimate goal. But you may know most people who work in government end up as drunks and lazy for they are bored with at work. But once you own your a business and therefore become the boss; you enjoy life even better than those working in governments or banks. After all you hear more stealing and corruption occur more in governments than in private sector. When you own a business you cannot steal from yourself or be corrupt because your customers will abandon you. We have now in US business closing because they abused customers. Here is my advice to Nancy: 1) Expand your business - How? Go to the bank and get a loan. Please, do not be afraid borrowing money or being in debt-remember you’re still young. You know in US most people in business have loans from banks. They pay back their loans slowly. 2): advertise your business to reach more customers. In advertising, please try to develop a punch line or slogan; and buy radio and TV slots for ads. I see you have a carry-out food business; therefore get transportation: minivans to reach your customers quicker. 3) Try to manage now-teach people the kind of food you prepare; and focus to manage. Of course you may occasionally participate working. Thank God, you have now reached people in government and big corporations. But do not forget selling your food to the public. Congratulation for starting your own business. I may stop there one day.
Congratulations my dear sister
Unatia moyo sio kuuza uzuri tu big up dada
Great mtu anasoma ili atawale maisha yake binafsi na atoe msaada kwa ambao hawakupa fursa kama yeye...
Yaani atengeneze fursa kwa wengine...
Attractiveness at work...
Wabongo wata copy
Hiyo ndiyo elimu sahihi...
Hongera mamaa
Ur the realest❤❤may God bless u more and more🥳🥳
AJIRA HAZIPO LAKINI KAZI ZIPO. BARIKIWA MAMA YANGU.
Jesus Christ of Nassarate!!!!..
"dady u bless every one who engages in business.."
Amen.
I'm so proud of you dada 💛. Hongera sana
Nice work.... keep it up and hopefully one day you will have franchises!
jamaa yupo vizuri kwenye kuuliza maswali, maswali yenye akili , anauliza vitu ambavyo hata mtoto mdogo anakuwa motivated kuwa positive katika maisha .
Mwanza sehemu gani darling, couz hii kitu sio ya kukosa kabisa
Very nice mdogo Wangu Nancy. Wazo tu la kuondoka kwa Trump kurudi Tz ni mindset kali sanaaaaaa. Umegeuza akili za sisters wengi wanaohisi uzuri wao ndio ngazi ya kutokea kupitia tips na offers za wanaume kumbe tabasam lako tu kwa mteja lina thaman ya million moja kupitia good business strategy. Nataman niwe mmoja wa Makande suppliers kwenye catering yako. 40x5000 kwa a single package...one of the brilliant minds towards Tanzania ya Viwanda. Keep it up.
hongera sana Nancy! kuajiriwa ni utumwa ila ukiamua kufanya kitu unachokipenda kwa moyo mmoja uwezo wa kufanikiwa zaidi ni mkubwa!Mungu azidi kubariki kazi ya mikono yako
Mwanza sehemu gan nancy
Jamaniii iv Hawa Watu WA dislike wananini lkn 😥😥😥ni wachawi 😂😂
Vaileth Chami wanaona wivu ndio maana wana dislike
Wakati utajuwa unachukiwa bila sababu na haujali ndio mwanzo kufaulu kwako
Vaileth Chami 😂😂😂umeona eeeh wachawi hawakosi wako kila kona hadi CZcams wapo 😂😂😂
Ahahhaha
Wengine hawaelewi maana yake dear wana dislike bila kujua wanajua wanalike
Wachaga walitumwaga pesa kweli,,dohhh
Cyo wachaga tu unatakiwa kujituma tu mwenyewe ndgu usikariri maneno ya watu
Hahaaaa,mtuache
Very interesting, awesome and I like what she is doing for real
Mungu Akuzindishe Dada yangu kukosa kazi sio mwisho WA maisha Ongera sana sana Dada yangu 💕💕💕💕💕
Seriously, your fiance is so lucky. Hawa ndo wanawake wa kuoa. Wapenda maendeleo
Tanzania tuko nyuma sana mtu hasomi ili asifanye biashara ndogo ndogo anasoma ili kupanua uwezo wake wa kufikiri na kuongeza maalifa aliyo nayo kama unaweza hesabu adi kumi basi unaongeza kuhesabu adi mia na unaweza uza ata vitumbua so msiwakatishe tamaa wanao ongeza uelewa wao
Oscar Allele
Nakubaliana nawe kabisa Oscar...
napambana kufundisha vijana ktk hilo eneo...
nimemfurahia huyo mpambanaji...
@@dominicsomola402 nimekupata man
Mwanangu chukua soda popote ulipo. Afu tuma namba ya mobile money nikurushie bundle
Oscar Allele
Oscar Allele fact
I love TZ lovely people. Hogera dada endelea. keep going.
congratulation sister ake. You really inspire us
blessing
hongera sana nacy kwa uthubutu
you are so inspirational Dada, keep it up, ufike mbali dada
Real you made wonderful project ,, we get something unique.....