You really made good choice,for,teaching gives enough time to do other things apart, while can be also part of the business. So keep it up, for, you're the future bigest and richest businesses person
I wish ningemsikia huyu dada kwa watu ambao wako serious, watangazaji wameshindwa kujua namna ya kuhandle interview kulingana na nahudhui yake, full masihara, wanakatisha point muhimu, wanaongea kuliko muhusika, wanasafari kubwa ya kujifunza kuwa bora
Dada umegusa nnapopataka nataman sana na mm nifnye icho kitu unachofanya ww shukran sana kwa kuntia moyo nimejifunza🙏
You really made good choice,for,teaching gives enough time to do other things apart, while can be also part of the business. So keep it up, for, you're the future bigest and richest businesses person
Thanks a lot
Mdada smart , watangazaji mnaboa
Naipenda sana hii biashara
Smart Brain ❤❤❤ historia yako inasisimua na mafunzo
woow very smart. Hongera sana dear...
Kuweza kuongea na hao waandishi kashafanyia kazi ualimu wake 😂🤌
Waandishi hovyoo kabisaa. Mkiuliza swali muacheni anaeulizwa aongee mpaka mwisho. Pia ulizeni maswali bora.
young,beautiful,and smart 🔥🔥🔥
Watangazaji wanaongea Sana lakini maswali ya msingi wanaacha kuuliza
Hongera san kipenz
I wish ningemsikia huyu dada kwa watu ambao wako serious, watangazaji wameshindwa kujua namna ya kuhandle interview kulingana na nahudhui yake, full masihara, wanakatisha point muhimu, wanaongea kuliko muhusika, wanasafari kubwa ya kujifunza kuwa bora
Nipe 5 , ni kipindi cha masihara, ila ukikiangalia kwa makini hakuna masihara.
Huyu Dada kama sijamfananisha niliwahi kufanya nae kozi 834kj makutupora
kwa kina ngalapi na mbeho😂😂😂
Go valentina🙏🏿🙏🏿
Nataman kuwa mfanya Biashara Sana nawazo Hilo lakn kuanza ndo nawaza
Shida mnaongea Sana watangazaji kuliko mhusika
Unanongwa wewe
❤
watangazaji hovyo sana
Asante studio.
Good
Safi sana
Aiseee watangazaji mnaboa, mwacheni mtu aleleze
Ok
Naomba no dada
Watangazaji mmeboa👎
Watangazaji masiala kibao dada yupo serious na majibu ya msingi
Kaka hicho kipindi ni cha masihara.
@@ganganainfochannelkama cha masihala msiweke vitu vya msingi waekeni kina bambo mje mfanye masihala
Naona umeamua kutupangia sasa😀
Nimependa jinsi ulivyohasi sana mwaya
Hasi au chanya?
Vale anajibu kisomi, watangazaji sijui wanaogopa kuuliza maswali vzri? Valentine Gabriel Philimon Moi.
Naomba namba yako pls
0762260936