SIO UCHAWI: JAMAA ANANYANYUA TAIRI LENYE KILO 480, ANATEMBEA JUU YAKE HUKU AMEBEBA MTU | MSWAHILI
Vložit
- čas přidán 15. 01. 2023
- SIO UCHAWI: JAMAA ANANYANYUA TAIRI LENYE KILO 400, ANATEMBEA JUU YAKE HUKU AMEBEBA MTU | MSWAHILI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mfanyieni mpango aende America got talent nadhan atawashangaza wazungu zaidi ya kina Ramadhan brothers
True Ila kwenda kule ni process mwanangu
Naishi marekani tunaweza tuka msaport vzr sana
I even have America got talent acces
Kwahio ndugu upo malekan?
Inabidi waende na hilo taili maana ndio lenye uwezo woote hilo
@@blackblue9729a 😆😆😆
Dogo anaweza kwenda kwenye michezo ya Olympics au Commonwealth na akafanya vizuri, kwa uzito wake wa 62kg nguvu zake ni extraordinary.
Huyo jamaa mpelekeni America got talent
Watanzania nawaombeni mshare hii video sana tu! Huyu ataitwa America trust me guys
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💟
Kunyanyua vitu vizitu ambavyo having umbo la pembe unatumia miguu mikono na kifua hii ndio formular
Asante sana Babu Zembwela kwa kutuletea vipaji vilivyo jificha one love from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🧢
L0
Dah kaka noma sana wanasema n uchaw waite uwafundishe mazoez na namna na teknik inayotumika wap mguu mguu ukae wap na mkono up ushikilie kutumia nguv xako na z ziada!!
😄😄😄😄Wanawaza biya 2 ngavu hawana🔥🔥🔥🔥🔥💥💪💪💪💪Masha allah congratulations bro
Hongera sana babu zembwela mkongwe na fundi wa hizi kazi, ila ma Camera man wako wamekuangusha Kwenye shoots za Camera huenda wewe ukawa huzijui coz hauna huo utalaam ila wao wanajua walicho KIFANYA lakini pia niwapongeze kiasi chao wamejitahidi japo inabidi waongeze juhudi coz Camera haishutiwi kwa Mazoea ila kwa Skills. Asante naitwa Director Mavindi
Jamaa anapolinyanyua anatumia mikono na kifua kulipush .....
Hao wengne wanatumia mikono pekee bila kupush kwa kifua .....
I wish you all the best my brother ☺️ much love from Mombasa Kenya 🇰🇪❤️
🙏
Asee sio vizur kuchokoza mtu usiyemjua,huyo jamaa aliyenyanyua hilo tair ana mwili wa kawaida sana unaweza ukamchukulia poa kwenye daladala ila madhara yatakayokupata yatakuwa sio poa
Jamaa hajatuna Wala nn
Allah kamjalia maskini
Daaah,noumaa thanaa,yaani muda si mrefu tutamsikia yupo majuu
Uyoo jamaa salut sana amos kutoka burundii
Ila WASAFI bwana kwahiyo nyie bado mko 2022, kabisa Haki zote zime hifadhiwa (All rights Reserved 2022 ) wakati tuko 2023
Saluti sana kijana.
Nice
Daah. Aisee . Ila nahisi watu wanakosea kuweka miguu. Mwenyewe huwa anarudisha miguu nyuma kidogo ya tairi.
Kila kitu mazoea....ndio maana unakuta mtu mdogo tu' ana kilo 60 sokoni anapandisha GUNIA mbili za kilo mia begani.....wakati unaweza kulichukua BONGE la mtu lenye kilo 100 na kitu na linaenda gym, lkn asiweze kunyanyua GUNIA Moja la kilo mia..!
Kiufupi ni MAZOEA tu' ..ndio maana huyu Jamaa mdogo lkn analinyanyua...KISHALIZOEA
Huyu Jamaa aonane na Diamond
Mi nikukucheki tuuu namkumbuka Max...tuambie kidogo habari zake halooo
Max alifariki
Mie ningekuwepo hapo ningenyanyuwa Hilo tile
Kuinua hyo NGOMA ndio mtiti..Hyo kutembea juu ya TYRE wakishua ndo watashangaa. Ila michezo ya MA TYRE tumekua nayo, Kuna mchezo unaingia NDANI ya TYRE mwenzako analitembeza kwa mkono Umbali kabisa..
2023 tutaon viing
Twende Tena AGT wasafi mpeni connection
Nakubal hzo Mbegu za madog ukizitia kweny viaz na kwenye mboga za majan
Mimi naweza hilo
Dah umenitowa Akili mwanangu Yani nimekukubali atari
Hongera yake brother ila iyo habar ya kubebana hapana Kwa kweli 🤣🤣🤣🤣
@@stanleyngohani3306 😂😂😂hapana Kwa kweli
@@stanleyngohani3306 hongera
Mm apo naweza kuinua
Ananyanyua au analisimamishaa
Mashaallah
Mmhh ana balaa uyo 🙌🏻🙌🏻
Safi sana ajira sio lazima uajiriwe tayar umejiajiri hapo
Wengi wamenyanyua,hukuu miguu ipoo sawiaa,huyoo jamaaa amewekaa mguu mmoja umetangulia na mwengine umetangulia koo n distance ya miguu tu
Iringa ndio kwetu
Hatare sana
Mashaallah tabaraka rahman
Noma sana 💪💪
Anaitwa mtumishi. Jamaa Alafu haringi mwamba mmoja pisi sanaa. Siku aliniambia nilinyanyue nikafeli. Ila nikainuia nae. Siku nyingi akaniambia nilisukume Toka beach ni mzigo.
Usichukulie POA ila Hongera kwa mwana huo mchongo unahitaji watu wenye Iron body
Naomba number yake
Unaitaji no yake unataka ujifunze kuinua
@@stanleyngohani3306 😁😁😁😁we aka mi sitaki kuvunjana migongo
@@stanleyngohani3306 nahitaji kuongea nae
Ili uweze kuinua Hilo inabidi uwe na strength ya mikono na miguu
Miguu ndio inakupa nguvu zaidi ya kuinua
Thanks
Ujuzi tosha serekali imuzamini kijana 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Dogo umeunza Asante mungu akusaindie
Asante
Asant
Wacheza ngumi, nendeni mkatafute pumzi kwenye hilo tail
wa kwanza hassan mwakinyo wa pili huyoo jamaa ✍️
dah kudadek mungu kambark nataman nimuone live huyo mwamba
Karibu bich unione
Nipo ruvuma... Nina uwezo wa kuliinua pia ..labda kuruka kamba ndio nitashindwa💪
Nakuja huko
Ntakuja huko nahilo tairi usjar
Jamaa ametisha sana😂😂😂😄
Hii computer au
@@jamessangijo6217 ukimuiga huyo lazima ukatibiwe muhimbili kilo400 sio mchezo😄😄😄
aende American got talent
Jamaa ana kitu cha ziada kwenye mwili wake
Mmmh mi mbn naona Ni kawaida2, kutembea2 Apo juu
Jangwani Sea breeze
Apelekwe jeshini huyo
Mambo madogo sana ayo mbona tunainua ayo matairi ya ma roller na wheelloader
Wp upo nikurete utest
Mungelituita kajala analiweza walai
Ilo laili linanyanyuliwa kwa taimingi sio unanyanyuwatu
Oya zembwela hakuna alie jamba hata kidogo br
Mungu akuongoze ktk safari yako ya mafanikio
🙏
Wonders never end guys 😢🙄🙄
Mungu aku bariki bro, Una kipaji
🙏
Asant
ongera kwakipaji chako chakipekee,mahan japo nimeona lakin bado sierewi erewi🙄Natamani nikuone live 🤦
Huerew nn ndugu
Mandonga anaweza kweli?
Mfanyieni mpango aenge kwenye got talent yyte
Nimemwona leo 17th Jan pale Mbuyuni karibu na njia panda ya salasala, kituoni akifanya hivyo.
Bro sogea nisije nikakubadilisha jina🤣
Kabogo family kabogo
Nitakachoshindwa kutembea juu ya Hilo taili sio kuliinua.
Karibu uje ufanye
Ndauli kabogo
Badala yakunyanyu mmtu anatikisa tako tuh
Hongera kaka
Asant🙏
Jahrou umeniangusha bhana mbavu yote hiyo mzee wangu
Alikula pufyaaa
zembwela ule wimbo wa zamani.ulokua unapiga Kwenye hichi.kipindi Mbona umeutoa? ulikua unazidi kupendezesha kipindi unachangamsha
Nyie watu msije mkajamba tu
czcams.com/video/trGROLrv6Qs/video.html
DAWA ZA KUPANDISHA NYOTA YAKO
czcams.com/video/trGROLrv6Qs/video.html
Muleteeni bedera jamn ipo Oman 🇴🇲🇴🇲
Anakujaje
Hay
Nenda kamuite yule jamaa wa tabata kisukulu anayenyanyua pikipiki na kuvuta gari,ananyanyua hilo
kabisaaa👊
Kuna mambo ya kujarabu kama kula lkn sio iii🤣
Kiuno na mgongo vinaweza kuachana
Yani zembwela eti njoo huku
Mmmh! Huyo jamaa ni hatari.
Chupi imechanika😀
Hii sasa hua tunasema usishane n ndovuu kun.....🤣🤣🤣🤣utakuja raruka msamba bure,huyu ukijaribu upigane naye atakuinua ka karatasi Wala
Hata mm naweza
💪💪💪
utakunya 😂🏃
Hakuna chaajabu kwenye taili Hilo hao wanakula chipsi kila sku ndiomaana hawana nguvu wanashindwaje hao
Nikuleteeee usimamishe
Wazee wa sabuni hata tairi ya bajaji hatunyanyui🤣
Yote yanawezekana mazoez tuu
Hajanyanyuwa Bali ameliinuwa2
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Eti natamani sana kujaribu ila tatizo moyo 🤣🤣🤣🤣
Mi nakuja kujaribu hapo jina kilo 62
Kipaji iko
Serekali iangalie Vijana na vipaji kama hivi.
Arafu iwafanyeje
Mara paap umeingia mziki wa mwana utachakaa mpaka ujikatae
Babu mvaamodo Kama max au machenini
Zembwela jaribu 🤣🤣🤣🤣🤣
Kabogo ni mkikuyu
Eti kilo 400
Huyu inaweza ikawa 👇
HAWAFU wa leo
DAUDI wa leo
Na wengine wa enzi hizo kwa nguvu walizojaliwa kustaajbisha waliowazunguka au hata Ulimwenguni kote❗👏🙏
😂😂😂😂😂😂nikiksa mb nais presha
Safi xana haise