Gari ndogo ya umeme inayotumia umeme wa elfu 1 na kutembea km 100

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 07. 2022
  • Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
  • Zábava

Komentáře • 42

  • @geofreymakwinja1727
    @geofreymakwinja1727 Před rokem +4

    Big up Freeman frank ndossi

  • @bejoytv2702
    @bejoytv2702 Před rokem +4

    Mapinduzi ya kitekinolojia,Mr.Masoud kipanya harakisha za kwako

  • @bintikigoma
    @bintikigoma Před rokem +4

    Nipeni Namba yake huyu jamaa hiki kigari lazima nikipande nimekipenda nipeni Namba yake

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před 6 měsíci +1

    Million 12 ni bora niongeze 2 ninunue Subaru impreza, mi siwez fanya ujinga alofanya huyu jamaa😢

  • @paulkihwele8403
    @paulkihwele8403 Před rokem +2

    Safi sana naomba namba ya ya huyu jamaa

  • @INFANI-SPORT-TV
    @INFANI-SPORT-TV Před rokem

    🙏🙏🔥

  • @neemakawonga9544
    @neemakawonga9544 Před rokem +3

    Kama ka handdrier

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 Před 6 měsíci

    Dah bongo mmh

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Před rokem +1

    Yaani ukipitisha barabarani hiko kidude chako utakanyagwa na malori😁😁😁

  • @Doremi_pro
    @Doremi_pro Před rokem

    Hakapinduki ako😂😂😂

  • @magrethpaul5959
    @magrethpaul5959 Před 3 měsíci

    😂looh haya bei nimeiskia

  • @BenLeeBl
    @BenLeeBl Před 3 měsíci

    Anae hoji nikilaza anaambiwa km 100 anauliza unatumia mda gani

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Před rokem +7

    Wewe utaendesha barabara ya wapi hapa tz kama hawajakuua na maroli

    • @zerotempa
      @zerotempa Před rokem

      😀😀😀

    • @rithadonatus8110
      @rithadonatus8110 Před rokem

      😁😁😁😁💕

    • @magrethpaul5959
      @magrethpaul5959 Před 3 měsíci

      Aisee hilo ndio lakwanza nililiwaza hivi ukila mzinga na wenye ndiga kubwa 😂unatoka salama kweli humo

  • @salimkassim6020
    @salimkassim6020 Před 5 měsíci

    Kipeni jina jengine Hamna gari apo

  • @user-th3mn1yb5o
    @user-th3mn1yb5o Před 11 měsíci

    Hello

  • @BenLeeBl
    @BenLeeBl Před 3 měsíci

    Kununua hako kadudu kwa milion 12 niupuuzi

  • @oswardboniphace8371
    @oswardboniphace8371 Před 3 měsíci

    KIROBOTO hicho kinamoendeza kasim juma sasa pic inakaa wap yan asee

  • @saidimneka621
    @saidimneka621 Před rokem

    KATUNI

  • @suleimanuledi7059
    @suleimanuledi7059 Před rokem +1

    Yani namiliki pexa alafu ninunue kigar Cha kitoto Cha nn

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Před 3 měsíci

    12ml apo amnipati unasukumwa naupepo wamaloli unajikuta uko mtoni

  • @luckysichone6705
    @luckysichone6705 Před rokem

    Naomba kuuliza bei yake ni shngi ngapi

  • @birianination7097
    @birianination7097 Před rokem +4

    Hivi kuna utofauti gani katika kodi kati ya magari ya umeme na mafuta.
    Na nijuhudi gani serikali inafanya kwajili ya watu kumiliki hizi gari.

    • @ericevon6399
      @ericevon6399 Před rokem +2

      Mpaka sasa hmna kodi iliowazii kwa magari ya umeme. Hata kwenye system hayajawekwa. Lakini serikali ilipaswaaa kuyapitisha bila kodi kutokana na kwamba yanatunza mazingira(zero emission) serikali yetu ina mambo mengi ya kujifunzaa kwenye swala la magari ya umeme, umeme wa jua na upepo vitu vingi tuko nyuma.

  • @marwakisyeri5609
    @marwakisyeri5609 Před rokem +1

    Kakikutana na Bus kubwa ama Lori hapo mbezi si utapaa kwa upepo!!

  • @tevintevin6254
    @tevintevin6254 Před rokem +3

    Kama hako sh ngap

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před rokem +3

    Sh. Ngapi?

  • @magrethpaul5959
    @magrethpaul5959 Před 3 měsíci

    Kinauzwaje hicho kigari cha jackchain😂

  • @sudistambuli3005
    @sudistambuli3005 Před rokem

    Nipo kenya lakini naiihitaji hiki chombo vipi naweza agizia