brother hongera sana rais wangu wa university student Christian fellowship
Hongera Sana, mwalimu,tunaomba mafunzo.na SS kiongozi
Hongera classmate wangu kwa ujasili
Congratulations my friend Baba wawili
Umetisha mjumbe well done
Hongera kwake Eng: Michael
Kaz nzuri homeboy
Wahandisi wa umeme tusikouwa na ajira tupo wengi... Congratulation Engineer for that creativity
Kama mko wahandisi wengi mmesoma kwa nini msitafutane kampuni yenu kwa sababu Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe halisia na sivinginevyo
@@mukikibati3519 ni wazo zuri ila kinachochangia ni capital mkuu si unajua most of people wametokea kwenye familia duni
Amazing 👏 👏👏👏🔥
Kazi kazi
Safi sana
Mashallah
Ila huyo ni mchoyo wa fursa coz hafunguki vzr ndio shida yetu hiyo wa Tz
Kw mawasiliona zaidi tunaweza kukupataje ili kujifunza zaidi.
brazaa mwaiiii😂😂😂
Vijana watanzania mnaonaje mfano huo ukisoma kuwa mbunifu utafanikiwa
Hii tabia ya wahandis kuangalia darini wakiwa wanatafuta majibu hawawezi kuiacha 🙂
Hahahahahahaha tunakua kwenye designing stage mkuu kwa hiyo tunaona picha ambayo wengine hawaioni.
Nimekusikiliza vizuli muandisi Mimi Niko tunduma nauza juis changamoto yangu kwenye biashala hii ni blenda kaka wewe unafanyaje naomba nisaidoe
Msafara wa Tundulusu iringa na umati wa watu
👇👇👇👇👇
czcams.com/video/oNprfDnfISc/video.html
Hongera bro Michael kiongozi wangu wa UKWATA MBOZI